FRED VUNJA BEI ATOA SIRI ZA KUWA BILIONEA, HATA AKIWA NA MTOTO NAMUOA, HUWA NAPUNGUZA
Ойын-сауық
#makorokochotv
Soudy Brown KZread ni Nyumbani kwa Rais wa Wambea Na Popular Radio and Tv Personality “Soudy Brown” Kazi yangu ni moja tu kukupa kukuletea kila kinachoendelea kwa undani
Kama kuna Tukio umelishuhudia Mtaani au Mtandaoni na ungependa mimi na Team yangu Tulichimbe kwa Undani usisite kucheki nasi kupitia Namba ya simu +255 714 108 600 Email: makorokochostudio1@gmail.com
Je Unataka Kuona Zaidi Vipindi Vyetu? SUBSCRIBE @soudybrown
Please LIKE + SHARE with all your friends + loved ones
Soudy Brown
Whatsapp: +255 714 108 600
Instagram: soudybrown
Facebook: soudybrownTanzania
Twitter: soudybrown
Tiktok: www.tiktok.com/soudybrown
Пікірлер: 295
fredi vunja bei wewe ni genius kichwa chako kimejaa madini ya kila aina hakika utaendelea kufanikiwa 💪
Hela zinaisha Ila michongo haiishi labda ubadirishe AKILI, my role model of all time in hustling.
@Mwadaba
3 жыл бұрын
Kabisa
@godfreywilliam1167
3 жыл бұрын
eeeeeeeeeee3eeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeee3eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeweeeeeeweeeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweewweeeeeeeeeeeeeweee
@yudeboe
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kZ2tp9armsWWZdI.html
@mathayomalolo1071
3 жыл бұрын
@@Mwadaba 9099900999999pp0p99900999109990p9990099900991pp9p499991909p1pppppppp009990009999999909999009
@nyamwinukankwera3749
2 жыл бұрын
Kabisaa
Huyu jamaa yuko very smart kichwani, he's worth-listening to,
Appriciet..👏 Fredy..Unajua Man 👏 Hauna mapicha Picha....Wakanyagie TO Mch GANG & MONEY kawaida ytu..🎤🎤🎧
Vunja hajawahi niangusha hachoshi kumsikiliza ♥️🔥🙏🙏🙏🙏🙏
@adoniaskasusu9470
3 жыл бұрын
Kwakua unamkubal
@pendo8082
Жыл бұрын
Kabisa
Best interviewer ever heard
@kingazishekalaghe9598
Жыл бұрын
Huyu jamaa + Ruge mutahaba ilikuwa Ni Tanzania ya viwanda RIP Ruge now tuna Fred
safi sna mapembelo vavene Bro.umeaongea vizuri sana
Ulistahili kuwa bilionear kitambo sana broo. Ila msoto ni moja ya elimu nyengine ambayo nayo mungu aliipanga uijue ili uzidi kukuwa kiakili na maarifa. kiukweli broo wewe ni genius. Na unastahili kuwa zaidi ya hapo ulipo. Mungu akubariki sana broo. Endelea kutuwakikisha vijana wa mtaani broo.
Nampenda sana huyu kaka huwa hana majivuno alafu so intelligent 💪
Jamani I really love this Man Vunja bei nganjiro ❤
Bro Fred Vunja naskia raha sana unavo jibu maswali bila dharau wala nn na unajibu kisooomi sana Big Up bro ALLAH akujalia kila ulitakalo upate Amin Amin Amin 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ibraimoissiaca6058
3 жыл бұрын
Alafu anajibu very simple
@khamisshee5131
3 жыл бұрын
Smart sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simply huyu jamaa ni icon ya Taifa kwa sisi vijana!!🙏
Jamaa ni kichwa balaa, simply iconic!
Kwa kifupi vunja bei ...umekubarikaaa uko vzuri sanaa big up bro
Napata mawazo mapya kila nikimsikiliza huyu bro. big up sana
siku moja namimi ntahojiwa hivi na waanidhi wa habari wakitaka kujua madini ya biashara
@kombakomba7922
2 жыл бұрын
Amen
Mtangazaji yupo powa na maswali anouliza biga up
Unajuwa hadi una kera🥰🥰🥰
Kaka Fred mungu akubariki zaidi kwa hekima uliyonayo kwani niwachache sana wanaoweza kujumuika na watu wa hali ya chini.Mungu akuinue zaidi ya hapo ulipo
Smart is an understatement. His intelligence is on another level.
Jamaa uko na hoja Moto...I can listen you the whole day.
Fredy nakupenda Sana hujawahi niangusha unaueledi mkubwa Sana brother 🙌🙌🙌
Yan hyu kk Yuko smart sna big up wanaume wote wangekuwa kma ww maisha yangekuwa pow sna❤❤
Huyu jamaaa anajiamini sana... Namkubali sana anaongea kama hataki hawazi kuhusu maswali.. Anajibu anavyojisikia yeye tuuuu
Appreciated man
Mzee baba salute kwako nimekuelewa sana
Brother Fred uko vizuri mnooo Mungu akubariki sana natamani nikutafute nipate elimu kidogo.
Huyu jamaa anajua kuongea sana da! piga kazi kaka
I like u bro you the man standing may god bless u long life
@ausonikamugisha6639
3 жыл бұрын
Da uko smart mzee akili mingi
Broo uko vzr saana na kingine napenda jinc unavyojibu maswal kwa nizamu na heshima mno, wajina respect you.
Mungu akubariki sana uendelee mbele zaidi
Dah! Nimeipenda hi bro mungu akuzidishie kaka naamini namimi nitafanikiwa
Uko vizur bro Fred
Umenifundosha Jambo ambalo nimuhimu kwangu ubarikiwe
Safi sana,kwanza mkinga bahiri hatari wezi kupata ela yake ovyo ovyo.
Iko powa San hii interview 🤝
Kweli my love brother
Fredy yuko smart sana big up they way anajibu maswali positive way
Ila wakati mwingine ujue kuwa mtu anatafuta kwa nguvu na anapata tusiweke kila aliyefanikiwa ni mchawi tujue kuna kutafuta na kupata kama Mungu alimuumba mtu aje kuwa mwalimu anaweza kuumba mtu na kuwa tajiri pia tusikalili umasikini tu
😂😂😂😂😂😂 tunakata jina si ndo ivo.... Fred bhna
This guy is smart upstairs
@viviankatomari4140
3 жыл бұрын
Waoo
Dis guy is very smart , Mungu akusadie
interview kama hizi huwa hatuzielewi kabisa lakin ndio zinamaterial uakutosha
Utajiri wa mtu siri ya mtu mwenyewe mengine hayo maneno tu
@alisele5299
3 жыл бұрын
True
@sospetershijah5619
3 жыл бұрын
Wabongo hamchelewi ku judge
@julihanjosephyjs6361
3 жыл бұрын
Huyu mkinga bwana mmmmhh nyanda za juu za kusini hao usipime .mtani wangu huyo ila nimempenda Sana huyu kaka Yuko vizuri kwa maelezo yake.
@sadahgullam8228
3 жыл бұрын
@@sospetershijah5619 ivi we unawajua wakinga wewe ni nomaaa
@leonardchapa3836
3 жыл бұрын
Uko sahihi sn
Mwanangu napenda Sana interview ko mshikaj unaye muoji vunja nimekuelewa
Big up sana mzee baba upo vizuri mkinga
Just listening to him is a lesson 💜💜
@swahililandtv1
Жыл бұрын
faham zaidi jinsi mtu anavyo chukuliwa msukule, aina ya misukule, jisi ya kujikinga usichuliwe
Good point
Upo vizuri brother 🙏
MashaaAllah upo vinzuli vunja bei
Hili jamaa genius sana
Big up Fred🙏🙏
Sasa unataka turudi shuleni 😂😂😍😍❤
Asante kwa Somo
Waoooo nakukubali sana Fred hasa kwenye biashara ni mbunifu.
Big up bro Love u
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Nice idea
Daa safi sana kaka umeuelezea vizuri ..ujasiria mali...i never seen ur so calm bro,keep it up!!
Uyu jamaa ni genius
Big up sana mwamba
Big up vunja bei
Hongera. Uko bright my bro.
Big up broo
Brother uko vizuri maneno ya hekima
Yaan yuko smart san
Hahahaaa.....fredy.....nice.....nice....💪
Jamaa yuko makini
Kasoma BCOM VZR sana
Pamoja sana mkinga mwenzangu
@florasanga9848
2 жыл бұрын
Anatupa nguvu ya kupambana na sisi tutoke
Safi fred nakubali sn
Fred sauti yako tu💓💓💓
@flova7022
Жыл бұрын
Dooh kazi imeanza, Mimi nimeona kuni, wewe dawa, na mwingine mboga
Mungu mwema sana
Brother unajua sana Next dela boss of Tz
Safi broo vunja Bei unajua kujieleza iyo shule inakubeba
Daaahhh hiki kichwa achana nacho kabisa
Unajua kijib maswali bro
Dah ndio raha ya kusoma alafu kutumia elimu yako kufanya maendeleo
@philipoonesmo7227
3 жыл бұрын
Huyu mjomba ana akil sio elimu tu,prof yuko chin ya huyu jamaa
@ilovejesus9303
3 жыл бұрын
@@philipoonesmo7227 ni kweli lakini maana kuna maprofesa bado wanapanga mitaani
@tedymwandara5480
3 жыл бұрын
Wasomi wengi hawawezi biashara, huyu ana kipawa
@neemanyerere5160
3 жыл бұрын
Exactly
@christinammasy4115
Жыл бұрын
Yaah, elimu imemfanya awe SMART zaidi kichwani
Smart brain
Ana ubunifu sana mashallah,,yani huchoki kumsikiza kwakweli
Kiongozi salute udzovile
Safi sana
Fred anatoa. Michongooo.. mumeskia nyinyi machawa🤣🤣🤣😌
Namimi nikupe ushauri Ijapokuwa sina hela, kamwe usioe mwanamke Mwenye mtoto, utaharibu kila kitu hata kama anajua Biashara. Labda kama mtoto ni wako. Hata kama Mtoto wakike, kuna mataifa haswa huku marekani wakinamama wanacheza dili na mabinti zao waseme Baba alitaka kunibaka, hapo unalipa mpaka unakoma. Stay away from single mothers
@betsyakoko6810
3 жыл бұрын
Wapi utapata mwanamke hajazaa I'll call wapata wale wameza na wanaficha
@nizarkatunda9662
3 жыл бұрын
part from that. kuwa na mahusiano au kuoa mwanamke ambae tayali ana mtoto ni changamoto.
@yordanyona1234
3 жыл бұрын
Wengine wanakuwa wametoa mimba
@hidayaswai3119
2 жыл бұрын
Khaaaaa
@benignajosephwatendewao2065
Жыл бұрын
@@nizarkatunda9662 vipi kuwa na mwanaume tayari anamtoto?
Nakubali kaka mauki-26
Hongera sana Fred
Broo Fred Nakukubali kinyama broo
Jamaa bonge la msomi na umeniinspire sana
Brother ume ni inspire sana. But hongera kwa hatua hyo.
smart
Mwijaku kamalizia interview...
Interview natamani iendelee daaaa
How can I meet this man
Safi kusikia hizi ndio good interview
Yn huyu bro namkubar kipawa alich nach katk kujbu maswal dah mungu akujrie na kutngulie kwenye maleng n mafnikio yk a afy tel brother
Fred broo nakulew sana .nachota sana madini yako ya future
Mwijaku ashafika kwa Freddy 13:35 hahaaa
Napenda sana kuwa na mienendo kama yake fred na nataman kuwa kama yeye
Fred lesson ✍🏿✅
Huyu jamaa Ni real man
🔥🔥🔥🔥
Brother nkbli xn