PETER MSECHU NA MJENGO WAKE WA KIFAHARI, AFUNGUKA ALIVYOJENGA KWA GHARAMA "SIUZI HATA KWA BILIONI 3"
Жүктеу.....
Пікірлер: 810
@teychriss32489 ай бұрын
Kila binadamu ana ndoto ya kuishi kwenye nyumba kama hii na zaidi!! Hongereni sana kwa kweli!! Nimependa sana hiyo sentenso ya Mimi na mke wangu!!
@barakakomba6087
9 ай бұрын
Hongera kwanao jua ujenzi nini tumekuelewa narudia tena hongera bro☝️👍
@paulmushi24289 ай бұрын
Hongera Mr*Mrs Peter Msechu endeleeni kumcha na kumpenda Mungu
@salimmwabundu9589 ай бұрын
Mungu nibariki nguvu na mm niweze miliki kama hii naamini inawezekna ilimradi napambana...Hongera sana Msechu
@mwanaikaomar8628
9 ай бұрын
Aamin yaa Rabby.wewe na ss pia
@UsafiMichael-mc8kt
8 ай бұрын
Itakuwa hvyo
@matronmalimali68096 ай бұрын
Msechu Nyumba yako ni nzuri sanaaa kuliko ya Mwijaku Msechu nakupa mauwa yakooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@seifsaid845
4 ай бұрын
Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
@JohnPrine-ut2ni9 ай бұрын
Dah bro peter ameniinspire sana MUNGU ambariki tusiache kupambania ndoto zetu siku zote
@lulanjamd38869 ай бұрын
Mungu muumba wa mbingu na nchi amlinde Peter msechu na familia yake Amen.
@franknicolaus1921
9 ай бұрын
Amen
@ivankulola5847
6 ай бұрын
Na wewe pia, akutimizie ndoto zako
@monikamasasi75829 ай бұрын
Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
@mimihuyo82399 ай бұрын
Kila mtu anatamani kuishi kwenye nyumba nzuri tena aliyoijenga mwenyewe. Hongera sana Peter na Mkeo kweli mmeweza
@Fx_expertmoneymaker0019 ай бұрын
Msechu umenifanya nijifikirie mara mbili mbili... 💪
@jamalumwinama2774
9 ай бұрын
Haaaaahaaaaa
@joshuamwaisaka18399 ай бұрын
Thats awesome. Hongera BIG Peter kwa kujenga nyumba nzuri. You have spoken important things to wasanii
@lucmpangaje87279 ай бұрын
This man is a role model to many 😍😍😍❤️❤️❤️
@tunkuh6618 ай бұрын
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
@devissyprian15269 ай бұрын
Bwana Yesu awasaidie mkae salama mpaka muishi miaka 99 mkiwa pamoja Bwana awalinde
@VeronicaMwilombe4 ай бұрын
Watoto na mke part wanavyogombania remote ya a/c n.k 😢 I felt that father's joy
@ldavis77532 ай бұрын
Yaan Msechu kanifanya niache kuwaza kujenga ghorofa very classic home❤
@gradnessshitindi36949 ай бұрын
Mme wangu Shitindi tutegemee nyumba kama hii miaka ijayo.. acha tumuombe Mungu uzima,,, hongera sana Mr and Mrs msechu🥰
@yusuphsanga7194
9 ай бұрын
Hahahahhha
@Chalsbanks9 ай бұрын
Power!! I'm inspired, congratulations brother 🙏
@rahmahabibu47279 ай бұрын
Napenda msechu anavompa kipaumbele mke wake napenda sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ na mungu awabariki
@amanimanase8798
9 ай бұрын
VIP na ww nianze kukupa priority
@lucymoshi6866
9 ай бұрын
Aisee hii ni ya kuigwa jilindeni ombeni sana hili lisiondoke kwenu na shetani asipate nafasi hongereni
@rhodachristopher4398
9 ай бұрын
ndio maana wanafanikiwa
@sskondopoleani9616
9 ай бұрын
Wanaume wengi waliowaamini wake zao na kuwashirikisha kwenye mambo ya maendeleo ndani ya familia Trust Me *WAMEFANIKIWA*
@user-ex4jv5uz9w9 ай бұрын
Congrats father Msechu kwa kufanikiwa kumilik chako
@IsynickАй бұрын
Mungu akubariki sana Peter Msechu kwa vile unavyomthamini mke wako.
@Jacque_Fungo9 ай бұрын
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
@elizabethkimaro44439 ай бұрын
Kwenye kila maendeleo ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake❤ umechagua fungu lililo bora Hongera sana na Mfike mbali🎉
@judicalosika7642
5 ай бұрын
Hakika Hakika Hakika
@beatricepallangyo28219 ай бұрын
Hongera sana Peter Msechu na Mkeo.., Mwenyenzi Mungu Awabariki sana na watoto wenu!!!
@255kwetu89 ай бұрын
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
@shivobs44859 ай бұрын
Nyumba ni nzuri sanaaaaa yaaani sanaaaaaa
@immanuelmruma-nr8kl9 ай бұрын
Hongera sana peter Msechu you deserve to be a role model
@sky-wz5zi9 ай бұрын
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
@williammsilu86179 ай бұрын
Honestly, I love every in this house. Nice achievement my brother.
@zulekha30289 ай бұрын
Mashllh mashallh....nyumba nzurisanasana...hongerenisn...mungu awajaalie maisha ya furaha awaepushe na hasadi za viumbe vyake..
@yumbujackson8699 ай бұрын
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
@Bracha_collections9 ай бұрын
The house is real Nice...! Hongera sanaaa Peter na Mke wako. Amazing House🎉🎉🎉🎉
@user-xn7oc4qu2m5 ай бұрын
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
@rosejeremy94849 ай бұрын
ishi kwenye ndoto zako big up umeua congratulations
@nicolenabintu25099 ай бұрын
Mfano wa ku igwa , felicitations Piter 🌷🍂🙏🏾🔥
@sonnyr18999 ай бұрын
Nadhani huyu ndio msani alie heshimisha sana yake. Ongera sana brother umenipa usongo na wivu wa maendeleo. Big up brother Heshima yako.
@victormbekomize81549 ай бұрын
Kuna watu hawaamini katika Mungu;Msechu waoneshe kuwa MUNGU anaishi ndani yetu.
@peterdavid4230
9 ай бұрын
Amina Mungu anatenda sana ukimuamini
@user-zs4qz4wm2n
9 ай бұрын
Wewe lala usijitume uone kama Mungu atatenda au wasubili wagalatia watende😂
@AbuubakaryLyamba-pc1gp19 күн бұрын
Hongera Sana mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@dwiny78419 ай бұрын
Wapi baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂Congrats🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Msechu
@SharifaOman-bf1bn9 ай бұрын
Alhamdulilah. Mungu awajalie na familia yako
@pascalntandu12179 ай бұрын
Hongera Brother na family yako;nyumba nzuri.
@hamenyayohanakasase58369 ай бұрын
Kwa kweli hata mimi nimejifunza kitu hapo. Hongereni sana Bw. & Bibi Msechu.
@FL777-i6c9 ай бұрын
Be blessed my brother. Soo inspirational😊
@salimbilali51749 ай бұрын
Mfano WA kuigwa Kwa Peter msechu from wasanii to watu WA kawaida.... Peter msechu ❤❤❤
@TM.Sullusi9 ай бұрын
Napenda mama Lolo anavotumia maneno "Tulifanya, tulikusanya, etc". UMOJA NI NGUVU.
@user-lo9pb1po8l9 ай бұрын
Hii ni zaid ya nyumba,mara nyingi huwa naona kwenye kideo hasa mijumba ya dubai❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@naomihaika5389 ай бұрын
Congratulations Mr. Peter...you truly are a role model
@saumusalimuhassan24999 ай бұрын
Hongera sana Bro, Mashallah 🙏
@twalebleboss96879 ай бұрын
AMAZING..... !!! MAASHAALLAH
@biasharaonline6936 ай бұрын
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
@TECHTZTV5 ай бұрын
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
@gabrielkokolo42519 ай бұрын
Wow that's awesome, big up kwake
@ismailmussa56629 ай бұрын
Mashallah safi sana msechuu, with the help of Almighty God under the sun nothing impossible brother
@selemanmaganga-le4zg6 ай бұрын
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
@marianajohn54159 ай бұрын
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
@konshazikonsha6180
9 ай бұрын
Sio kila mke au mwanamke ana akili kama za mama Lolo ujuee!!!
@judicalosika7642
5 ай бұрын
@@konshazikonsha6180Sahihi mzee
@m___ck7999 ай бұрын
Amazing 👏
@hafsalucky10889 ай бұрын
Hongera sn Peter na Mkewo Mungu awatunze na kuwabariki zaidi.❤
@kekiplus1andonly9 ай бұрын
Aristote naye alisema ana nyumba eeeeh😂😂😂😂😂basi sawa MashaAllah 🎉🎉pongezi kubwa kwa hii family,MashaAllah 🎉🎉🎉
@magrethmathayo28009 ай бұрын
waoooo hongera sana msechu
@BurtonSon9 ай бұрын
Blessed Brother you and your family..
@jacksonngusi41229 ай бұрын
Hongera peter ni msanii mwenye akili ya kimaisha
@priscillatumwesige45259 ай бұрын
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
@sulleymanjimmy22149 ай бұрын
Hongera sana bro I appreciate you for this 👏👏👏
@devotamutayoba93739 ай бұрын
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa. Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
@hasani5659 ай бұрын
Bonge moja la nyumba congratulations msechu family ❤
@rashdiyange77589 ай бұрын
Kuazia sasa ngoja niwe kalibu sasa na mkewangu kwastaili apana ubabe naweka pemben kuazia leo asante msechu
@paulojoel6551
3 ай бұрын
Na uyo mke wako awe na akili sasa
@user-rk4xy5ii6i9 ай бұрын
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
@umfahad26099 ай бұрын
Ma sha allah. Namuomba Mungu akujaalieni iwe nyumba ya furaha na amani. Na mzidi kuelewana.🇹🇿🇴🇲
@diipesa9 ай бұрын
MIMI NAONA NI BIG INSPIRATION KWA SISI VIJANA TUNAO AZA MAISHA NAKUKUBALI SANA BRO MSECHU ONE LUV🤝
@happyfaniabatromeo80109 ай бұрын
Safi Sana🔥🔥🔥tujifunzee ❤️❤️ Hongereni sanaaa na MUNGU awape mda mrefu wa kuishi kwa nyumba yenu🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@dayana5513story9 ай бұрын
Congratulations to them ❤❤
@EuniceMwanri-jw9py9 ай бұрын
Congratulations brother.. everything is God 🙏
@zulfahussein67849 ай бұрын
Kwakweli hongereni sana na Mungu awabariki kumiliki nyumba ni jambo na khey sana
@user-pb5df7hs1o5 ай бұрын
Safi sana unaongea Kwa hekima hongera sana
@lisauroble319 ай бұрын
Nimekukubali maneno yako safi sana nitafta mjenamimi nikifanikiwa mdizainie hongera sanaa mama lolo nitakutafta❤❤❤😂😂😂
@dominicngeno42276 ай бұрын
Congrats Peter Meschu great work
@Combinemedia75696 ай бұрын
You have inspired me alot brother,,may God bless you
@PasweloJr9 ай бұрын
Hongera sana Msechu nimekuwa naku admire toka enzi za Tusker Project Fame.Umekuwa mfano wa vijana wengi na hii ndo maana halisi ya kuwa kioo cha Jamii
@femidayahaya48829 ай бұрын
MashaAllah! Hongera sana Brother Peter Msechu.
@exaverykalinga14879 ай бұрын
Nyie ayo tv safi sn hizi ndo habari na hongera sn peter msechu umeonyesha mfano kwa vijana na wasani kwa ujumla....big up.
@stellahmhando58639 ай бұрын
I love this🔥🔥
@misschagga80429 ай бұрын
Sijakosea kuolewa na wapare maana ni wanajua kutafuta na kupenda hawana mambo mengi hongera sana kaka nyumba ni nzuri sanaaa.
@subirajohn728
9 ай бұрын
Peter ni WA Kigoma sio mpare
@frankjoshua68695 ай бұрын
Umeongea vema sana kaka Mungu akulinde
@rodgerushindi859 ай бұрын
Congratulations, The house aise ni kali sana
@10gb276 ай бұрын
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
@elinajacksonharusha71555 ай бұрын
Hongereni sana kwa kupambania ndoto zenu. Nyie ni watu na nusu na Mungu awajaalie ndoa yenu idumu, muwe na furaha na amani siku zenu zote.
@mwinchumuali74789 ай бұрын
Thanks for inspiration
@yusufulimo57379 ай бұрын
Hongera Sana umepambana.
@leaherasto9299 ай бұрын
Hongera Peter hongera sana nimekuelewa sana kwenye kasave ntafata mkondo
@rosehillary87429 ай бұрын
Jishaue Peter na mkeo ...Enjoy baba...tamba tamba sana...kimfaacho mtu chake. Usisikie ya watu Peter..Una nyumba nzuri nzuri sana. Nzuri mno
@thescop10039 ай бұрын
Kwenye mambo ya kipuuzi utakuta comment 10000. Ila kwenye vitu kama ivi unakuta tano. Tuuzwe tu😅
@Chiruka-qj3eb
9 ай бұрын
Unadhani watu wanapendaga maendeleo ya watu ingekuwa connection hapo ndo ungeona wasingelala leo😂
@msbeckie4693
9 ай бұрын
😅😅😅
@directorabiero340
9 ай бұрын
Ww ndie unaona upuuzi mwenzako kufanikiwa. Fanya kama vile unajenga Yako milady ayo aje akutangaze tu like
@Official83640
9 ай бұрын
Tumemchoka na yy kila leo hatupumui nyumba nyumba kina Kiba kina Samata wana mijengo ya maana mbona hatuoni wakijitapa kila leo huyu Muha ni mshamba na km hujui huyo anatangaza biashara ya hao waliojenga hiyo Nyumba upo TT
@automotivetz1275
9 ай бұрын
@@directorabiero340hujamuelewa
@mercycitungo19689 ай бұрын
Hongera sana sana Mr and Mrs Msechu.
@juliuskalawa78609 ай бұрын
Hongera kwako Brother Peter pamoja na Mke Mwema uliye naye...
@AbuubakaryLyamba-pc1gp19 күн бұрын
Waooooo nakuelewa Sana broo
@user-wk1ix1gm1p9 ай бұрын
Hongereni sana Mr and Mrs Msechu 👏🏻👏🏻
@ikokijuma-zv7wd9 ай бұрын
I wish that life my God daah
@tazedrochannel90979 ай бұрын
Outstanding!
@hidayaswai31199 ай бұрын
Woow Peter Msechu. Big up aisee. Umenitamanisha sana bro. One day
Пікірлер: 810
Kila binadamu ana ndoto ya kuishi kwenye nyumba kama hii na zaidi!! Hongereni sana kwa kweli!! Nimependa sana hiyo sentenso ya Mimi na mke wangu!!
@barakakomba6087
9 ай бұрын
Hongera kwanao jua ujenzi nini tumekuelewa narudia tena hongera bro☝️👍
Hongera Mr*Mrs Peter Msechu endeleeni kumcha na kumpenda Mungu
Mungu nibariki nguvu na mm niweze miliki kama hii naamini inawezekna ilimradi napambana...Hongera sana Msechu
@mwanaikaomar8628
9 ай бұрын
Aamin yaa Rabby.wewe na ss pia
@UsafiMichael-mc8kt
8 ай бұрын
Itakuwa hvyo
Msechu Nyumba yako ni nzuri sanaaa kuliko ya Mwijaku Msechu nakupa mauwa yakooo 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@seifsaid845
4 ай бұрын
Both houses are nice, ya msechu 1, mwijaku 2, aristote last. Am an architect and engineer but aristote has over used materials. one secret about house, white and black colour is the best
Dah bro peter ameniinspire sana MUNGU ambariki tusiache kupambania ndoto zetu siku zote
Mungu muumba wa mbingu na nchi amlinde Peter msechu na familia yake Amen.
@franknicolaus1921
9 ай бұрын
Amen
@ivankulola5847
6 ай бұрын
Na wewe pia, akutimizie ndoto zako
Mungu akubariki wewe na family yako,mke wako umempa nafasi tunayo ithamini wanawake wengi ana bahati kupata mume kama wewe,ndoto zanu zimetimia kwa kishindo na kutuacha mdomo wazi big congrats bro
Kila mtu anatamani kuishi kwenye nyumba nzuri tena aliyoijenga mwenyewe. Hongera sana Peter na Mkeo kweli mmeweza
Msechu umenifanya nijifikirie mara mbili mbili... 💪
@jamalumwinama2774
9 ай бұрын
Haaaaahaaaaa
Thats awesome. Hongera BIG Peter kwa kujenga nyumba nzuri. You have spoken important things to wasanii
This man is a role model to many 😍😍😍❤️❤️❤️
Ninavyopenda mambo ya nyumba na makazi Mungu mwenyewe anajua... Niwape hongera Mr & Mrs kwa kufikia malengo mliojiwekea hii ndio maana ya ushirikiano wa wanandoa.
Bwana Yesu awasaidie mkae salama mpaka muishi miaka 99 mkiwa pamoja Bwana awalinde
Watoto na mke part wanavyogombania remote ya a/c n.k 😢 I felt that father's joy
Yaan Msechu kanifanya niache kuwaza kujenga ghorofa very classic home❤
Mme wangu Shitindi tutegemee nyumba kama hii miaka ijayo.. acha tumuombe Mungu uzima,,, hongera sana Mr and Mrs msechu🥰
@yusuphsanga7194
9 ай бұрын
Hahahahhha
Power!! I'm inspired, congratulations brother 🙏
Napenda msechu anavompa kipaumbele mke wake napenda sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ na mungu awabariki
@amanimanase8798
9 ай бұрын
VIP na ww nianze kukupa priority
@lucymoshi6866
9 ай бұрын
Aisee hii ni ya kuigwa jilindeni ombeni sana hili lisiondoke kwenu na shetani asipate nafasi hongereni
@rhodachristopher4398
9 ай бұрын
ndio maana wanafanikiwa
@sskondopoleani9616
9 ай бұрын
Wanaume wengi waliowaamini wake zao na kuwashirikisha kwenye mambo ya maendeleo ndani ya familia Trust Me *WAMEFANIKIWA*
Congrats father Msechu kwa kufanikiwa kumilik chako
Mungu akubariki sana Peter Msechu kwa vile unavyomthamini mke wako.
Daaah he is a family man, unaona kabisa moyo wake upo kwa familia yake. Kwanini usitoboe!! Hongera sana sana. I connect to such grace. Iwe hivyo na kwangu pia 🙌🙌🙌
Kwenye kila maendeleo ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yake❤ umechagua fungu lililo bora Hongera sana na Mfike mbali🎉
@judicalosika7642
5 ай бұрын
Hakika Hakika Hakika
Hongera sana Peter Msechu na Mkeo.., Mwenyenzi Mungu Awabariki sana na watoto wenu!!!
Msechu binafsi mmeniinspire sana wewe pamoja na mkewe.Kupitia hii nyumba nami naweka malengo ya ujenzi.2030 nitawaita millardayo kwenye nyumba yangu.😊😊
Nyumba ni nzuri sanaaaaa yaaani sanaaaaaa
Hongera sana peter Msechu you deserve to be a role model
Namuelewa sana Msechu namna anavoelezea kwa hisia, namuelewa vzr sana. Mungu nakuomba uniinue kiuchumi na unipe hekima pia niweze kufika hatua hii. Kwa jina la Yesu.
Honestly, I love every in this house. Nice achievement my brother.
Mashllh mashallh....nyumba nzurisanasana...hongerenisn...mungu awajaalie maisha ya furaha awaepushe na hasadi za viumbe vyake..
Hongera sana kaka. Nimependa sana ujumbe wako unatia moyo kwa watu wengine tunaojitafta unatutia moyo na wengine kutokukata tamaa kwenye maisha big up bro🎉
The house is real Nice...! Hongera sanaaa Peter na Mke wako. Amazing House🎉🎉🎉🎉
Safi sana Mr msechu Mungu akikubariki lazima ushukuru na kufrahi Hongera sana nanimejifunza kitu kutoka kwako na mm nitaanza kumbe inawezekana kumiliki nyumba ninayo itaka natakiwa kuwa na nidhamu ya pesa
ishi kwenye ndoto zako big up umeua congratulations
Mfano wa ku igwa , felicitations Piter 🌷🍂🙏🏾🔥
Nadhani huyu ndio msani alie heshimisha sana yake. Ongera sana brother umenipa usongo na wivu wa maendeleo. Big up brother Heshima yako.
Kuna watu hawaamini katika Mungu;Msechu waoneshe kuwa MUNGU anaishi ndani yetu.
@peterdavid4230
9 ай бұрын
Amina Mungu anatenda sana ukimuamini
@user-zs4qz4wm2n
9 ай бұрын
Wewe lala usijitume uone kama Mungu atatenda au wasubili wagalatia watende😂
Hongera Sana mungu akuzidishie zaidi na zaidi
Wapi baba levo😂😂😂😂😂😂😂😂Congrats🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Msechu
Alhamdulilah. Mungu awajalie na familia yako
Hongera Brother na family yako;nyumba nzuri.
Kwa kweli hata mimi nimejifunza kitu hapo. Hongereni sana Bw. & Bibi Msechu.
Be blessed my brother. Soo inspirational😊
Mfano WA kuigwa Kwa Peter msechu from wasanii to watu WA kawaida.... Peter msechu ❤❤❤
Napenda mama Lolo anavotumia maneno "Tulifanya, tulikusanya, etc". UMOJA NI NGUVU.
Hii ni zaid ya nyumba,mara nyingi huwa naona kwenye kideo hasa mijumba ya dubai❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Congratulations Mr. Peter...you truly are a role model
Hongera sana Bro, Mashallah 🙏
AMAZING..... !!! MAASHAALLAH
Wanawake wa saivi anataka akija akute ushajenga mjumba, una magari yeye aje na jibegi lake la nguo tu aingie ndani😅 hawatutaki tukiwa tuna hussle ili tupambane pamoja, hadi tufanikiwe ndo wanajileta
Nimekuwa inspired sana na hii kitu kwa uwezo WA mungu siku moja nitakuja kuishi sehemu yangu mzur hataka kama isifikie hii ila angalau namm nitakuwa nimetimiza ndoto yangu..hongera sana peter msechu
Wow that's awesome, big up kwake
Mashallah safi sana msechuu, with the help of Almighty God under the sun nothing impossible brother
Mume kapata mke na Mke kapata mume" ongeleni saana, Ehee Mwenyezi Mungu wajalie hawa wajawako maelewano na upendo endelevu sikuzote za maisha yao, uwaepushe na kila lililokinyume nao, furaha ya huyu ikawe kwa huyu na furaha ya huyu ikawe kwa huyu pia na familia yao" Amen.
Hongera sana Peter! Watakao kubeza hawana akili! Funzo kubwa heshimuni sana wake zenu na muwashirikishe kwenye maendeleo! Mungu azidi kukuinua Peter na mkeo kipenzi mama lolo
@konshazikonsha6180
9 ай бұрын
Sio kila mke au mwanamke ana akili kama za mama Lolo ujuee!!!
@judicalosika7642
5 ай бұрын
@@konshazikonsha6180Sahihi mzee
Amazing 👏
Hongera sn Peter na Mkewo Mungu awatunze na kuwabariki zaidi.❤
Aristote naye alisema ana nyumba eeeeh😂😂😂😂😂basi sawa MashaAllah 🎉🎉pongezi kubwa kwa hii family,MashaAllah 🎉🎉🎉
waoooo hongera sana msechu
Blessed Brother you and your family..
Hongera peter ni msanii mwenye akili ya kimaisha
Hongereni sana .Hii ni mala ya kwanza kutoa comm.Nakumbuka mlivyojitoa kwa KUMWIMBIA Mungu Kkkt enzi hizo usharika wa kigoma mjini , kuanzia Baba,mama na Watoto.Haya ASANTE MUNGU ANAJIBU.WEWE UKUMBUKI MBEGU ULIYOIPANDA KWA MUNGU.SALUT
Hongera sana bro I appreciate you for this 👏👏👏
Hongereni sana Mr $ Mrs Msechu,hakika huu ndo umoja na mshikamano unaotakiwa kwenye ndoa. Haijalishi mnapitia changamoto zipi lkn mme akimpenda,kumthamini,kuwa muwazi na kumheshimu mke,kwa vyoyote vile mke atamtii mume wake na maisha yataenda vizuri
Bonge moja la nyumba congratulations msechu family ❤
Kuazia sasa ngoja niwe kalibu sasa na mkewangu kwastaili apana ubabe naweka pemben kuazia leo asante msechu
@paulojoel6551
3 ай бұрын
Na uyo mke wako awe na akili sasa
Hongera kakaangu mungu ampe maisha marefu ufanye mengi zaidu ya hayo .usitulie useme umemaliza manaume nikupambana hongera kwa mkewo mshauri wa familia❤
Ma sha allah. Namuomba Mungu akujaalieni iwe nyumba ya furaha na amani. Na mzidi kuelewana.🇹🇿🇴🇲
MIMI NAONA NI BIG INSPIRATION KWA SISI VIJANA TUNAO AZA MAISHA NAKUKUBALI SANA BRO MSECHU ONE LUV🤝
Safi Sana🔥🔥🔥tujifunzee ❤️❤️ Hongereni sanaaa na MUNGU awape mda mrefu wa kuishi kwa nyumba yenu🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Congratulations to them ❤❤
Congratulations brother.. everything is God 🙏
Kwakweli hongereni sana na Mungu awabariki kumiliki nyumba ni jambo na khey sana
Safi sana unaongea Kwa hekima hongera sana
Nimekukubali maneno yako safi sana nitafta mjenamimi nikifanikiwa mdizainie hongera sanaa mama lolo nitakutafta❤❤❤😂😂😂
Congrats Peter Meschu great work
You have inspired me alot brother,,may God bless you
Hongera sana Msechu nimekuwa naku admire toka enzi za Tusker Project Fame.Umekuwa mfano wa vijana wengi na hii ndo maana halisi ya kuwa kioo cha Jamii
MashaAllah! Hongera sana Brother Peter Msechu.
Nyie ayo tv safi sn hizi ndo habari na hongera sn peter msechu umeonyesha mfano kwa vijana na wasani kwa ujumla....big up.
I love this🔥🔥
Sijakosea kuolewa na wapare maana ni wanajua kutafuta na kupenda hawana mambo mengi hongera sana kaka nyumba ni nzuri sanaaa.
@subirajohn728
9 ай бұрын
Peter ni WA Kigoma sio mpare
Umeongea vema sana kaka Mungu akulinde
Congratulations, The house aise ni kali sana
Mungu akunariki sana Peter. Kila anajenga but damn, beauty ya nyumba yako niyakipekee. Clip imeonesha nje tu inakufanya mtu utake kujua ndani kutakuaje. InshaAllah nami soon im following your steps🙏🏾🙏🏾
Hongereni sana kwa kupambania ndoto zenu. Nyie ni watu na nusu na Mungu awajaalie ndoa yenu idumu, muwe na furaha na amani siku zenu zote.
Thanks for inspiration
Hongera Sana umepambana.
Hongera Peter hongera sana nimekuelewa sana kwenye kasave ntafata mkondo
Jishaue Peter na mkeo ...Enjoy baba...tamba tamba sana...kimfaacho mtu chake. Usisikie ya watu Peter..Una nyumba nzuri nzuri sana. Nzuri mno
Kwenye mambo ya kipuuzi utakuta comment 10000. Ila kwenye vitu kama ivi unakuta tano. Tuuzwe tu😅
@Chiruka-qj3eb
9 ай бұрын
Unadhani watu wanapendaga maendeleo ya watu ingekuwa connection hapo ndo ungeona wasingelala leo😂
@msbeckie4693
9 ай бұрын
😅😅😅
@directorabiero340
9 ай бұрын
Ww ndie unaona upuuzi mwenzako kufanikiwa. Fanya kama vile unajenga Yako milady ayo aje akutangaze tu like
@Official83640
9 ай бұрын
Tumemchoka na yy kila leo hatupumui nyumba nyumba kina Kiba kina Samata wana mijengo ya maana mbona hatuoni wakijitapa kila leo huyu Muha ni mshamba na km hujui huyo anatangaza biashara ya hao waliojenga hiyo Nyumba upo TT
@automotivetz1275
9 ай бұрын
@@directorabiero340hujamuelewa
Hongera sana sana Mr and Mrs Msechu.
Hongera kwako Brother Peter pamoja na Mke Mwema uliye naye...
Waooooo nakuelewa Sana broo
Hongereni sana Mr and Mrs Msechu 👏🏻👏🏻
I wish that life my God daah
Outstanding!
Woow Peter Msechu. Big up aisee. Umenitamanisha sana bro. One day
Amen..mmefanya vizuri..Mungu azidi kuwabariki
Hongera sana Munene mwenzangu...
Hongereni sana Mr & Mrs.Msechu