VIDEO: BABA LEVO Atoboa SIRI nyumba ya MWIJAKU/Sio yake/Kanyumba KEMBAMBA

Ойын-сауық

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 156

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz86 ай бұрын

    Hamjajua Hawa majamaa wanaakili Sana ni kuchezatyu na akili zetu😅😅 B Levo anajua Nyumba ya mwijaku

  • @uwimana6533

    @uwimana6533

    6 ай бұрын

    Kabisa 😂😂😂

  • @jackmabirangacharles9398

    @jackmabirangacharles9398

    6 ай бұрын

    Hahahaha 😆

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    6 ай бұрын

    Ni kwer

  • @khalidballeth5957

    @khalidballeth5957

    6 ай бұрын

    Ndio Teknik ya kupata kipato chao,,,hadi kuweza hata kujenga

  • @ElishaSolomoni-kc4zk

    @ElishaSolomoni-kc4zk

    6 ай бұрын

    Wao wanajuana.

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo6 ай бұрын

    He he heeeeee,nichekw.mie,nilikua nataka baba levo ucheme, chema zaidi broo bado ujachema😂😂😂😂. Nakupenda sana baba levo Kwa niaba ya Diamond 😂😂😂

  • @allybobsaith
    @allybobsaith6 ай бұрын

    Kwa haraka haraka hio ni nyumba ya BABA LEVO mnakorogwa akili😂😂😂

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo6 ай бұрын

    Hawa jamaa baba levo na Mwijaku ili kazi zao ziende vizuri lazma wapingane na siku wakikubaliana au wateteane lazma kazi zao zitapunguwa

  • @rerisamba
    @rerisamba6 ай бұрын

    Hizo nyumba za juu mnaxipenda lakini ukizizoea zina kusinya inafika mahali kupanda stairs inachosha

  • @CarorinaJohn
    @CarorinaJohn6 ай бұрын

    Binadamu kulizisha kaz sanaaa

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus456 ай бұрын

    Hati sio issue kubwa. Nyumba yangu nimehamia 2016 hati ya kiwanja nimepata 2023

  • @donlinechanell4760

    @donlinechanell4760

    6 ай бұрын

    Yaan uhamie 2016 af hati ya kiwanja 2023 😂😂 ulijenga kweny kiwanja ambacho hakina hati? Kilikua cha nan? Hat ya kiwanja na nyumba nitofauti em tuache

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z6 ай бұрын

    Kweli peter msechu kiukweli ana nyumba

  • @user-to3uq1ct6d
    @user-to3uq1ct6d6 ай бұрын

    Kwa milioni 125 nakubaliana na baba Levi

  • @hamadmakame6040
    @hamadmakame60406 ай бұрын

    Jengeni nyumba akhera

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m6 ай бұрын

    hahahahaha baba levo mbwaaa ww we yko ikwapi bongo noma

  • @oneplustv3862
    @oneplustv38626 ай бұрын

    😂😂😂 uyu jamaa bhana ety gorofa modo

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo38396 ай бұрын

    Acha majungu baba revo

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je5 ай бұрын

    Baba levo umezakiwa na kipaji cha komedi kweli

  • @donkaloza6985
    @donkaloza69856 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂et gorofa Modo😂

  • @ISMAILNASHON-zh3sg
    @ISMAILNASHON-zh3sg6 ай бұрын

    Hii nimeipenda kwa hawa jamaa,"" mtu anapokosoa kazi yako ndo vizuri maana anakufanya ujione bado hujafika

  • @user-rm6ph3sm5j
    @user-rm6ph3sm5j6 ай бұрын

    hahaha hawa wanajuana...mimi wananifurahisha tu

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya63176 ай бұрын

    Baba leo kichwakogum😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-zl8ls4dw6w
    @user-zl8ls4dw6w6 ай бұрын

    Baba levo umeongea haki

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai97656 ай бұрын

    Imagine babalevo aongea kaukweli pahali😂😂

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar58656 ай бұрын

    huyu baba levo ni mkongoman sio mtz anavibali kama hana mpelekani congo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2776 ай бұрын

    Nyieeeeee eti kisima😂😂😂😂

  • @mwajemisalum8277
    @mwajemisalum82776 ай бұрын

    Baba levo wacha maneno fanya kweli na wewe

  • @djmosikahayo
    @djmosikahayo6 ай бұрын

    levo ❤😂🇨🇩

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv6 ай бұрын

    Kama umeona baba levo anajinusa makwapa yake nipe like yako

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no6 ай бұрын

    😂😂😂😂 eti Gorofa modo daah

  • @user-il1kv9zv9j
    @user-il1kv9zv9j6 ай бұрын

    Ukweli baba levo nyumba no modo

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter24976 ай бұрын

    Nyumba ya mke wake.. huo ndio ukweli

  • @user-jw2mo1oj6d
    @user-jw2mo1oj6d6 ай бұрын

    Uyuu baba levooo atafiaaa mdomoo

  • @joycemlay5762
    @joycemlay57626 ай бұрын

    Ety ana hipsi kubwa😂

  • @sarahwawuda5164

    @sarahwawuda5164

    6 ай бұрын

    😂😂😂

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel10366 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂Ila babalevo

  • @user-wi2iu1yw7g
    @user-wi2iu1yw7g6 ай бұрын

    Huna jipya fala were,ya kwako iko wapi?

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse99266 ай бұрын

    Umesema ukweli ningeshanga Kama nipesazawo bilamukopo but it’s OK☺️

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g6 ай бұрын

    Baba Level mbona unajichanganya, mala nyumba siyo yake sasa unampongeza kwalipi🤣🤣🤣🤣

  • @alibachirofficial3939

    @alibachirofficial3939

    6 ай бұрын

    Uwusiyo😂😂😂

  • @jaywellprince5369

    @jaywellprince5369

    6 ай бұрын

    Anampongeza tu kua kashirikiana na mkewe ila anaamini mwenye hati miliki ni ya mkewe

  • @muhirefiston83

    @muhirefiston83

    6 ай бұрын

    ​@@jaywellprince5369 😂😂😂😂 wivu tupu kk Ako nao😅😅😅😅

  • @kalungamabrucki61

    @kalungamabrucki61

    6 ай бұрын

    Hebu acheni kuongea madudu huku Marekani na canada watu wanaoishi magorofani ni maskini matajiri wanaishi kwenye Villa za chini uliza sisi wabeba box wote huku tunaishi magorofani sasa acheni ulimbukeni

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    6 ай бұрын

    Umeongea ukweli... hata boss hakai seat ya mbele​@@kalungamabrucki61

  • @ZainabuIsmail-fm2ey
    @ZainabuIsmail-fm2ey6 ай бұрын

    Ki ukweli ata mm nakua na wacwac yuko mtu nyuma ya mwinjku mtu mzito ataki ajulikane kama nyuma ni ya kwake anaogopa kutumbuliwa lakini kama nyumba ni ya kwake nampa hongera cna wala sio kinafki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @-KINKAU
    @-KINKAU6 ай бұрын

    Acha roho mbayaaaa sio kila kitu Uwe unapiga Uwe unakubali hayaa tunasubiri ya kwako

  • @leecode6135
    @leecode61356 ай бұрын

    Hiyo inaitwa Tinny house ndio style ya siku hizi

  • @ernestelias7889
    @ernestelias78896 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babalevo bwana awa jamaa waacheni2 wanajuana wenyewe

  • @PHARIDUNASORO-oi7bs
    @PHARIDUNASORO-oi7bs6 ай бұрын

    Dar kwer we chawa Tena chawa wakutokea kigoma wabwawe

  • @user-ho1ho2uk9n
    @user-ho1ho2uk9n6 ай бұрын

    Mwambie huo mama

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey26146 ай бұрын

    Nilichogundua baba level anapenda sana kuitaja namba 3😅😅😅😅

  • @newttechog75

    @newttechog75

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂mmae

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe45786 ай бұрын

    Umejileta mwenyewe baba Levo na domo lako kubwa la kimbea. Wewe la kwako liko wapi? Kazi kuhongwa gari na Mondi

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya96486 ай бұрын

    Kauli hizi vipi?! "...nyumba sio ya kwake...halafu tena ninafahamu gharama yake tangu wanatafuta mirunda, cement na mke wake...tena nampongeza amenyamazisha watu, mara akikosa marejesho benki itachukua halafu gharama halisi ni kadhaa...sasa lipi la kweli...?!.

  • @EminathaKombotela
    @EminathaKombotela6 ай бұрын

    Kuchangia tim gan

  • @user-jb2zg5cp7j
    @user-jb2zg5cp7j6 ай бұрын

    Kamali😂😂

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin95206 ай бұрын

    Wanajuana hawa

  • @beatricewmussa4049
    @beatricewmussa40496 ай бұрын

    Jitu zima wivu wa kitoto khaaa!

  • @nappekiliakiliasalimu346

    @nappekiliakiliasalimu346

    6 ай бұрын

    hawa wanajuwana naww 😅

  • @anitarafa
    @anitarafa6 ай бұрын

    😊😊😊comments ndio zinabamba......i don't want pics i what problems 😂😂😂😂😂

  • @onesmomlinga2739
    @onesmomlinga27396 ай бұрын

    Wewe mbona hueleweki ila nmegundua ninyi mnaelewana

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py6 ай бұрын

    Huyu nae hasadii kwerii yeye yake iko wapii anaumia ndani kwa ndani unafurahisha watu ndani unamaumivuu utakipa kod mpak ukomee hat inahusu nin na mitandao

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn.6 ай бұрын

    😂😂baba levo. Foundation) slab) finishing milion 100 akil yenu kubwa xna nyie

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv44736 ай бұрын

    Wasoma comment relax wanajuana hawa

  • @lulu24peter24
    @lulu24peter246 ай бұрын

    Me nikichokion apo lazm nianguke hasa huko.juu swiming pool

  • @kingkongchest-rv5rf
    @kingkongchest-rv5rf6 ай бұрын

    Vizuri tunataka wasanii wabunifu kama hawa Tz

  • @happynelson1136
    @happynelson11366 ай бұрын

    Hongera ya kinafiki umempatia kweli na nyumba sio yake atakuwa mke wake kajenga tena kwa mkopo, mwijaku hawezi hata kukopa benki sababu hana kazi maalum ya kuajiriwa na uchawa hauwezi kupata hela ya kujenga, watu majuu wana kazi mbili lakini hawana uwezo wa kujenga bongo

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard95526 ай бұрын

    Futa kwanza hiyo kauli,kwamba alisimamisha nchi kwa ajili ya uzinduzi wa nyumba.Hii nchi yetu kweli ukute ni chanel ya vituko mbinguni.

  • @user-ff4zm3hk7b
    @user-ff4zm3hk7b6 ай бұрын

    We nae mke wa diamond una matatizo....name jenga yako Acha ufala😅😅😅😅😅

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o6 ай бұрын

    Wewe ndio msemaa kwer wandish wengine mabubu awajui kuriza mashwari kwa mwijaku

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile49216 ай бұрын

    Hapo kwenye ngazi hujaongopa hata mimi nilishtuka hasa usalama kwa watoto

  • @user-ny3de2qq6r

    @user-ny3de2qq6r

    6 ай бұрын

    Ni kweli

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo216 ай бұрын

    Wivu en!

  • @Qs3557
    @Qs35576 ай бұрын

    Nyumba Kama ya sungura

  • @Tiffany340
    @Tiffany3406 ай бұрын

    Nyumba kama ofisi za chama buana 🤣🤣🤣, ila apo kwa mondi abadilishe furniture zake kwanza tangu enzi za tanasha walipokuwa wapenzi abadilishe 😂😂

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele6 ай бұрын

    Gorofa 123m Jenga uone kama inatosha

  • @shariffmcleja9533
    @shariffmcleja95336 ай бұрын

    Nyie waandishi ndio mafala mko na video za ile nyumba kama ni mbaya ndogo nzuri au kubwa lakini paka Babalevo atoi maoni yake kuihusu ndio mjue

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe1186 ай бұрын

    Mnajuana nyinyi wenyewe

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo39806 ай бұрын

    Wahuni hawa

  • @user-wy6tv5uq5c
    @user-wy6tv5uq5c6 ай бұрын

    Acha wivu

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i6 ай бұрын

    Mtu mwenye nyumba yake anajua Kila kifaa alichonunua ile si nyumba yake

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola36976 ай бұрын

    😅😅😅😅😅 HIKI KICHWA

  • @user-bq8hj9ci5f
    @user-bq8hj9ci5f6 ай бұрын

    Duuu wanaweze kuchez Naakir zawatu

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i6 ай бұрын

    Pili anaishi maisha ya bongo kitasa anasema milioni kumi nane 18mil alafu wanakuja tena kusema kitasa Mara ya pili tena milioni nane point tano 8.5mil anadhani sisi wambumbavu tusio na akili au umakini.

  • @user-yh4ge7gc3o
    @user-yh4ge7gc3o6 ай бұрын

    Ila baba levo na mwijaku wanajuana 😂😂😂😂

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy63365 ай бұрын

    Mbona unatuchanganya mara cyo yake mara mke amepambana, ucha wivu

  • @chrisantushokororo8450
    @chrisantushokororo84506 ай бұрын

    Hapo kwenye bafu umetudanganya mbona kaonesha bafu ni kubwa sana acha uwongo

  • @morjanoman5181
    @morjanoman51816 ай бұрын

    Apo kashaweza Tu iwenyembamba ila kapata

  • @user-gq9im9tu3d
    @user-gq9im9tu3d6 ай бұрын

    Bab levo

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h6 ай бұрын

    Wewe wewe unasema nyumba sio yake weweweee unasema unajua jinsi alivyokua ana hangaika na mirundi.nyumba ya mwijaku na amejitahdi sana Kwa levo yake.wacha b levo Domo wewe kawaida yako.haya mara unampongeza we miyeyusho

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy6 ай бұрын

    😅😅😅 eti gorofa modo

  • @bekabakari7394
    @bekabakari73946 ай бұрын

    Namuana huyu jamaa Sijui haelewi kua kuna women glass And men’s glass anavaatu lakini sio shida Kwa sababu wabongo wengi hawaelewi ndio maana

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster94626 ай бұрын

    Aloo interview tuu inashika trend kwel machwa niwamooto

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.69996 ай бұрын

    Hawa wanajuana

  • @stratega03
    @stratega036 ай бұрын

    jamaa domo kaya😂😂😂

  • @akidakombo259
    @akidakombo2596 ай бұрын

    We shoga mwenzio yupo kwake ww na mabinti zako chumba kimoja😂😂

  • @doreenmsafari2945

    @doreenmsafari2945

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa6 ай бұрын

    Hahahahaaa😅😅😅😅😅99

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын

    MAONGEZI YA WIVU MWISHO MTAROGANA UNAONGEA MTU ATAJENGA YEYE ANAISHI WACHA ROO MBAYA TABIA ZETU SISI MPAKA VIONGOZI WETU CHAFU WATANZANIA

  • @brunokassim4599
    @brunokassim45996 ай бұрын

    Acha unafiki onyesha ya kwako

  • @user-es7cw2zi3j
    @user-es7cw2zi3j6 ай бұрын

    eti modo

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba85136 ай бұрын

    Huyo muandishi wa habari mdada huyo kwenye suala la nyuma sio yake anapenda umbeya anakazia

  • @user-bf2qe3zk4s
    @user-bf2qe3zk4s6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar58656 ай бұрын

    wanaume huu ni umama badilikeni ndio maana mukaitwa wa bongo

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z6 ай бұрын

    Machawa😂😂😂Kama kawaida Yao kupondeana

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    6 ай бұрын

    Ni sehemu ya kazi yao, wanajuana wote na wanafanya kazi pamoja.

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell47606 ай бұрын

    Hamna ghorofa ya billion pale 😂😂

  • @salamamamashenge5493
    @salamamamashenge54936 ай бұрын

    Ila Babalevo na Mwijaku nilikua nazani ni marafiki 😅na tena alikua anajipanguza nini 😂😂😂

  • @isayakihongile4921

    @isayakihongile4921

    6 ай бұрын

    Ananusa pafyumi aliyojipulizia kwapani

  • @veronicamgeni9414
    @veronicamgeni94146 ай бұрын

    Msechu aliwaumiza

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah29906 ай бұрын

    Apo kwenye milioni 100 ndugu umedanganya watu na ni dhahiri wewe ni muongo😂😂😂😂

  • @yusuphyuda-jq1xy

    @yusuphyuda-jq1xy

    6 ай бұрын

    Inawezekana

  • @yusuphyuda-jq1xy

    @yusuphyuda-jq1xy

    6 ай бұрын

    100m unajenga gorofa

  • @salumabdallah2990

    @salumabdallah2990

    6 ай бұрын

    @@yusuphyuda-jq1xy unahisi watu wote ni wajjnga au mimi kwenye ujenzi nishakaaa na naujua ujenzi

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack95776 ай бұрын

    Hajaeleweka anaomgea nini

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili6 ай бұрын

    Wivu mkubwa

  • @edustudiotz3879
    @edustudiotz38796 ай бұрын

    Mh!

  • @jamesluckson2367
    @jamesluckson23676 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f6 ай бұрын

    Ninyi waha vipi? Baba levo mlole, msechu katubuka, Ali kina , kagongo na hata diamond , nyote ni ndugu kwa nini mnapondana badala ya kuhamasishana? inawezekana mkikutana mnahamasishana kama mlivyofanya wakati wa leka tutikite wi shavu ameneke lakini hiki nilichosikia kwa mwijaku na baba levo hapana hapana hapana Mimi nimpongeze mwijaku na wale wote walifanikiwa kujenga nyumba ya chini na kama baba levo ana karabati nyumba aliyopanga basi abadirike.

Келесі