VIDEO: BABA LEVO Atoboa SIRI nyumba ya MWIJAKU/Sio yake/Kanyumba KEMBAMBA
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 156
Hamjajua Hawa majamaa wanaakili Sana ni kuchezatyu na akili zetu😅😅 B Levo anajua Nyumba ya mwijaku
@uwimana6533
6 ай бұрын
Kabisa 😂😂😂
@jackmabirangacharles9398
6 ай бұрын
Hahahaha 😆
@zainabwage4658
6 ай бұрын
Ni kwer
@khalidballeth5957
6 ай бұрын
Ndio Teknik ya kupata kipato chao,,,hadi kuweza hata kujenga
@ElishaSolomoni-kc4zk
6 ай бұрын
Wao wanajuana.
He he heeeeee,nichekw.mie,nilikua nataka baba levo ucheme, chema zaidi broo bado ujachema😂😂😂😂. Nakupenda sana baba levo Kwa niaba ya Diamond 😂😂😂
Kwa haraka haraka hio ni nyumba ya BABA LEVO mnakorogwa akili😂😂😂
Hawa jamaa baba levo na Mwijaku ili kazi zao ziende vizuri lazma wapingane na siku wakikubaliana au wateteane lazma kazi zao zitapunguwa
Hizo nyumba za juu mnaxipenda lakini ukizizoea zina kusinya inafika mahali kupanda stairs inachosha
Binadamu kulizisha kaz sanaaa
Hati sio issue kubwa. Nyumba yangu nimehamia 2016 hati ya kiwanja nimepata 2023
@donlinechanell4760
6 ай бұрын
Yaan uhamie 2016 af hati ya kiwanja 2023 😂😂 ulijenga kweny kiwanja ambacho hakina hati? Kilikua cha nan? Hat ya kiwanja na nyumba nitofauti em tuache
Kweli peter msechu kiukweli ana nyumba
Kwa milioni 125 nakubaliana na baba Levi
Jengeni nyumba akhera
hahahahaha baba levo mbwaaa ww we yko ikwapi bongo noma
😂😂😂 uyu jamaa bhana ety gorofa modo
Acha majungu baba revo
Baba levo umezakiwa na kipaji cha komedi kweli
😂😂😂😂😂😂et gorofa Modo😂
Hii nimeipenda kwa hawa jamaa,"" mtu anapokosoa kazi yako ndo vizuri maana anakufanya ujione bado hujafika
hahaha hawa wanajuana...mimi wananifurahisha tu
Baba leo kichwakogum😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba levo umeongea haki
Imagine babalevo aongea kaukweli pahali😂😂
huyu baba levo ni mkongoman sio mtz anavibali kama hana mpelekani congo
Nyieeeeee eti kisima😂😂😂😂
Baba levo wacha maneno fanya kweli na wewe
levo ❤😂🇨🇩
Kama umeona baba levo anajinusa makwapa yake nipe like yako
😂😂😂😂 eti Gorofa modo daah
Ukweli baba levo nyumba no modo
Nyumba ya mke wake.. huo ndio ukweli
Uyuu baba levooo atafiaaa mdomoo
Ety ana hipsi kubwa😂
@sarahwawuda5164
6 ай бұрын
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Ila babalevo
Huna jipya fala were,ya kwako iko wapi?
Umesema ukweli ningeshanga Kama nipesazawo bilamukopo but it’s OK☺️
Baba Level mbona unajichanganya, mala nyumba siyo yake sasa unampongeza kwalipi🤣🤣🤣🤣
@alibachirofficial3939
6 ай бұрын
Uwusiyo😂😂😂
@jaywellprince5369
6 ай бұрын
Anampongeza tu kua kashirikiana na mkewe ila anaamini mwenye hati miliki ni ya mkewe
@muhirefiston83
6 ай бұрын
@@jaywellprince5369 😂😂😂😂 wivu tupu kk Ako nao😅😅😅😅
@kalungamabrucki61
6 ай бұрын
Hebu acheni kuongea madudu huku Marekani na canada watu wanaoishi magorofani ni maskini matajiri wanaishi kwenye Villa za chini uliza sisi wabeba box wote huku tunaishi magorofani sasa acheni ulimbukeni
@josephlorri431
6 ай бұрын
Umeongea ukweli... hata boss hakai seat ya mbele@@kalungamabrucki61
Ki ukweli ata mm nakua na wacwac yuko mtu nyuma ya mwinjku mtu mzito ataki ajulikane kama nyuma ni ya kwake anaogopa kutumbuliwa lakini kama nyumba ni ya kwake nampa hongera cna wala sio kinafki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Acha roho mbayaaaa sio kila kitu Uwe unapiga Uwe unakubali hayaa tunasubiri ya kwako
Hiyo inaitwa Tinny house ndio style ya siku hizi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babalevo bwana awa jamaa waacheni2 wanajuana wenyewe
Dar kwer we chawa Tena chawa wakutokea kigoma wabwawe
Mwambie huo mama
Nilichogundua baba level anapenda sana kuitaja namba 3😅😅😅😅
@newttechog75
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mmae
Umejileta mwenyewe baba Levo na domo lako kubwa la kimbea. Wewe la kwako liko wapi? Kazi kuhongwa gari na Mondi
Kauli hizi vipi?! "...nyumba sio ya kwake...halafu tena ninafahamu gharama yake tangu wanatafuta mirunda, cement na mke wake...tena nampongeza amenyamazisha watu, mara akikosa marejesho benki itachukua halafu gharama halisi ni kadhaa...sasa lipi la kweli...?!.
Kuchangia tim gan
Kamali😂😂
Wanajuana hawa
Jitu zima wivu wa kitoto khaaa!
@nappekiliakiliasalimu346
6 ай бұрын
hawa wanajuwana naww 😅
😊😊😊comments ndio zinabamba......i don't want pics i what problems 😂😂😂😂😂
Wewe mbona hueleweki ila nmegundua ninyi mnaelewana
Huyu nae hasadii kwerii yeye yake iko wapii anaumia ndani kwa ndani unafurahisha watu ndani unamaumivuu utakipa kod mpak ukomee hat inahusu nin na mitandao
😂😂baba levo. Foundation) slab) finishing milion 100 akil yenu kubwa xna nyie
Wasoma comment relax wanajuana hawa
Me nikichokion apo lazm nianguke hasa huko.juu swiming pool
Vizuri tunataka wasanii wabunifu kama hawa Tz
Hongera ya kinafiki umempatia kweli na nyumba sio yake atakuwa mke wake kajenga tena kwa mkopo, mwijaku hawezi hata kukopa benki sababu hana kazi maalum ya kuajiriwa na uchawa hauwezi kupata hela ya kujenga, watu majuu wana kazi mbili lakini hawana uwezo wa kujenga bongo
Futa kwanza hiyo kauli,kwamba alisimamisha nchi kwa ajili ya uzinduzi wa nyumba.Hii nchi yetu kweli ukute ni chanel ya vituko mbinguni.
We nae mke wa diamond una matatizo....name jenga yako Acha ufala😅😅😅😅😅
Wewe ndio msemaa kwer wandish wengine mabubu awajui kuriza mashwari kwa mwijaku
Hapo kwenye ngazi hujaongopa hata mimi nilishtuka hasa usalama kwa watoto
@user-ny3de2qq6r
6 ай бұрын
Ni kweli
Wivu en!
Nyumba Kama ya sungura
Nyumba kama ofisi za chama buana 🤣🤣🤣, ila apo kwa mondi abadilishe furniture zake kwanza tangu enzi za tanasha walipokuwa wapenzi abadilishe 😂😂
Gorofa 123m Jenga uone kama inatosha
Nyie waandishi ndio mafala mko na video za ile nyumba kama ni mbaya ndogo nzuri au kubwa lakini paka Babalevo atoi maoni yake kuihusu ndio mjue
Mnajuana nyinyi wenyewe
Wahuni hawa
Acha wivu
Mtu mwenye nyumba yake anajua Kila kifaa alichonunua ile si nyumba yake
😅😅😅😅😅 HIKI KICHWA
Duuu wanaweze kuchez Naakir zawatu
Pili anaishi maisha ya bongo kitasa anasema milioni kumi nane 18mil alafu wanakuja tena kusema kitasa Mara ya pili tena milioni nane point tano 8.5mil anadhani sisi wambumbavu tusio na akili au umakini.
Ila baba levo na mwijaku wanajuana 😂😂😂😂
Mbona unatuchanganya mara cyo yake mara mke amepambana, ucha wivu
Hapo kwenye bafu umetudanganya mbona kaonesha bafu ni kubwa sana acha uwongo
Apo kashaweza Tu iwenyembamba ila kapata
Bab levo
Wewe wewe unasema nyumba sio yake weweweee unasema unajua jinsi alivyokua ana hangaika na mirundi.nyumba ya mwijaku na amejitahdi sana Kwa levo yake.wacha b levo Domo wewe kawaida yako.haya mara unampongeza we miyeyusho
😅😅😅 eti gorofa modo
Namuana huyu jamaa Sijui haelewi kua kuna women glass And men’s glass anavaatu lakini sio shida Kwa sababu wabongo wengi hawaelewi ndio maana
Aloo interview tuu inashika trend kwel machwa niwamooto
Hawa wanajuana
jamaa domo kaya😂😂😂
We shoga mwenzio yupo kwake ww na mabinti zako chumba kimoja😂😂
@doreenmsafari2945
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Hahahahaaa😅😅😅😅😅99
MAONGEZI YA WIVU MWISHO MTAROGANA UNAONGEA MTU ATAJENGA YEYE ANAISHI WACHA ROO MBAYA TABIA ZETU SISI MPAKA VIONGOZI WETU CHAFU WATANZANIA
Acha unafiki onyesha ya kwako
eti modo
Huyo muandishi wa habari mdada huyo kwenye suala la nyuma sio yake anapenda umbeya anakazia
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
wanaume huu ni umama badilikeni ndio maana mukaitwa wa bongo
Machawa😂😂😂Kama kawaida Yao kupondeana
@nassercurtis9579
6 ай бұрын
Ni sehemu ya kazi yao, wanajuana wote na wanafanya kazi pamoja.
Hamna ghorofa ya billion pale 😂😂
Ila Babalevo na Mwijaku nilikua nazani ni marafiki 😅na tena alikua anajipanguza nini 😂😂😂
@isayakihongile4921
6 ай бұрын
Ananusa pafyumi aliyojipulizia kwapani
Msechu aliwaumiza
Apo kwenye milioni 100 ndugu umedanganya watu na ni dhahiri wewe ni muongo😂😂😂😂
@yusuphyuda-jq1xy
6 ай бұрын
Inawezekana
@yusuphyuda-jq1xy
6 ай бұрын
100m unajenga gorofa
@salumabdallah2990
6 ай бұрын
@@yusuphyuda-jq1xy unahisi watu wote ni wajjnga au mimi kwenye ujenzi nishakaaa na naujua ujenzi
Hajaeleweka anaomgea nini
Wivu mkubwa
Mh!
😂😂😂
Ninyi waha vipi? Baba levo mlole, msechu katubuka, Ali kina , kagongo na hata diamond , nyote ni ndugu kwa nini mnapondana badala ya kuhamasishana? inawezekana mkikutana mnahamasishana kama mlivyofanya wakati wa leka tutikite wi shavu ameneke lakini hiki nilichosikia kwa mwijaku na baba levo hapana hapana hapana Mimi nimpongeze mwijaku na wale wote walifanikiwa kujenga nyumba ya chini na kama baba levo ana karabati nyumba aliyopanga basi abadirike.