PETER MSECHU AUPONDA MJENGO WA MWIJAKU, ADAI HAUNA THAMANI YA BILIONI ATOBOA SIRI "ANGENITAFUTA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 316
@user-bk6ue5zl5t6 ай бұрын
Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee
@shafiimwehemba45496 ай бұрын
Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏
@jelasnkoma4240
6 ай бұрын
Alafu ni Msomi pia
@enockmlyuka64756 ай бұрын
Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
@odiramwamba-fb2el
6 ай бұрын
Big up !
@boniphacejohn2981
6 ай бұрын
Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani
@KUPASteven
6 ай бұрын
Safiii Sanaa msechu
@user-qo5vn9xl8v5 ай бұрын
Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana
@selestinokazumba6 ай бұрын
Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu
@eppiemodest6 ай бұрын
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
@vincentauxerbius75546 ай бұрын
Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂
@laukhanpaulo49965 ай бұрын
Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV
@user-zh2ko6nj5g6 ай бұрын
msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo
@mwakwelisaid31526 ай бұрын
Congratulations mr msechu for ur advise
@amaniluhambire50806 ай бұрын
Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana
@iddimngazija19576 ай бұрын
Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌
@felistersanga42076 ай бұрын
Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo
@alecheconradninje61836 ай бұрын
Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂
@user-qy4vz9tr5n6 ай бұрын
Big up Msechu , you were focused . From +254
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu
@dicksonmutabazi19666 ай бұрын
Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.
@rerisamba6 ай бұрын
Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri
@deusntobi66826 ай бұрын
Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho
@lightnesselirehema14646 ай бұрын
Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana
@hawamsangi55906 ай бұрын
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
@leaherasto9296 ай бұрын
Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo
@abedysteven49306 ай бұрын
Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!
@deusdedithjoseph75886 ай бұрын
Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo
@othumanomari15896 ай бұрын
Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪
@fredrickmichael23176 ай бұрын
Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi
@1stladyafrica402
6 ай бұрын
Msechu ni Mpare sio mchaga
@Sidrasidra6366 ай бұрын
Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana
@RaymondNjengo-bq1zc
6 ай бұрын
Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi
@user-tt1nm9xs4n
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@alexsuleiman37956 ай бұрын
Safi sana msechu umeongea kama mwanaume
@piterfedrick46473 ай бұрын
Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana
peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii
@NataliaKenny-vb6os6 ай бұрын
Nyota na ing'ae kwako wee nakuombea🎉😊
@odoieriasmonga65916 ай бұрын
Msechu umeongea pointi safi sana
@jaymapepefatma59366 ай бұрын
Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@dorahmushi-we6ts
4 ай бұрын
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
@cymioncassian48466 ай бұрын
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
@jacquelinemwakasala95636 ай бұрын
Peter umeongea point sana yaan hubabaishi
@gidixgillogillo33594 ай бұрын
umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii
@AbuubakarMfinanga2 ай бұрын
Dah kwel yupo vizur mashalah
@ScopionScopion-zj9cd6 ай бұрын
nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai
@KSACTV6 ай бұрын
FROM KENYA NYUMBA YA MSECHU NI KALI SANA KWA WASANI WA TZ VERY DETAILED
@saadarashid81746 ай бұрын
So so true 👍 nyumba hujengi siku moja
@ismailjuma61856 ай бұрын
Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa
@zawadichalale40476 ай бұрын
Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua
@Allyabdalah-oj2wc6 ай бұрын
Very matured
@MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын
Msechu anaongea facts
@tingathebest6 ай бұрын
Asante peter msechu umetufundisha sana❤❤❤❤❤
@user-yq4sn6cq1l6 ай бұрын
Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana
@mussaally14996 ай бұрын
Very positive
@MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын
Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .
@edsonDR_90
6 ай бұрын
Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka
@naimasbuguza23956 ай бұрын
Msechu yko real sannnah.
@sabokoMAILA6 ай бұрын
Point sana msechu
@user-hl9xu4vo1q6 ай бұрын
Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi
@righitkileo6 ай бұрын
❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana
@rynerlinuma8484
6 ай бұрын
Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
@starjay30526 ай бұрын
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
@aishatest44516 ай бұрын
Asante Sana kaka
@floramwakyosi92986 ай бұрын
big up sana Msechu
@robertevarist15956 ай бұрын
Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi
@moseskulola69136 ай бұрын
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
@babanadia32016 ай бұрын
Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml
@Dianamwansasu
6 ай бұрын
Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe
@najmasalim-rg6ow
6 ай бұрын
@@Dianamwansasuhaizid ml 350
@jwisetv4833
6 ай бұрын
Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba
@elizampayo4057
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rikekikonyo2265
6 ай бұрын
@@DianamwansasuNyumba ya bil 1 unaijua wewe?
@yusuphkanyuza19746 ай бұрын
Safi sana kaka kwa ushauri wako mzr
@aluneanthony34686 ай бұрын
Dah meschu big up
@beatricemrisho84316 ай бұрын
Big up msechu
@user-yj5sz9tl2b6 ай бұрын
salute kaka uko wazi bro
@ruu65926 ай бұрын
Msechu nyumba yako nzuri sana
@hawamsangi55906 ай бұрын
Nyumba ya Msechu ni nzuri na thamani.na very stand very organized tiles zake ni za Spain sio mchina garden nzuri .ghorofa ya mwijaku ni wingi wa matofali sir nzuri
@johnmalembo64646 ай бұрын
Bro uko sawa kabisa ..busara
@AhadiMkuyu6 ай бұрын
We ndoumeongea point sio mwijaku mpenda masifa
@peternyambui74926 ай бұрын
Safi sana!!
@clarencendyetabula30806 ай бұрын
Msechu big up umeiongea ukweli mzee ila wale wa makele tunajua wanachikilenga.
@user-bi3fw7li3p6 ай бұрын
Well said
@user-yw1rq3xj1q6 ай бұрын
Umenene hapo kakaa🎉
@annasalum47006 ай бұрын
Anaongea vizuri sana msechu haropoki yani .
@robertmsigalla92596 ай бұрын
Msechu unaongea kikubwa sana kaka❤
@musamalabeja36706 ай бұрын
Umetisha mkuu, umeongea Kwa data
@duncanwanjeri65006 ай бұрын
Oyaaa nairobi
@cmantz88376 ай бұрын
Una b moja unajenga mwaka mzima unajenga nini?
@DM_156 ай бұрын
Kweli kabisa finishing yake ni beirahis sana mimi kama mjenzi nina experience hio
@kekiplus1andonly6 ай бұрын
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
@AhimidiweMchau2 ай бұрын
Kweli kabisa brother
@elbaricktv16326 ай бұрын
Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂
@fuadaladawi12556 ай бұрын
Peter msechu umesema kweli
@user-ib7kn6fs4x6 ай бұрын
Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter
@Muuzambuzi6 ай бұрын
Safii msechu
@benedictinelusambo0696 ай бұрын
Kaongea point sana
@Truly_Afrikan6 ай бұрын
The big brain talking points
@ChiefKisensiOnline6 ай бұрын
Fact ☝🏾👍🏿💪🏿
@jonathansenkondo80936 ай бұрын
Msechu una akili sana
@lovesallu52926 ай бұрын
😂😂Msechu barikiwa❤
@lucienkalombo85016 ай бұрын
Nakubali kaka
@user-ks9ic7ss5x6 ай бұрын
Big up mwijaku
@Kissarop6 ай бұрын
Mwijaku.I think is crazy person
@user-xh3id9il6k6 ай бұрын
Kaka msechu kunywa soda mm nitakulipia kwa kututia moyo vijana tutajenga mdgo mdogo
Пікірлер: 316
Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee
Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏
@jelasnkoma4240
6 ай бұрын
Alafu ni Msomi pia
Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!
@odiramwamba-fb2el
6 ай бұрын
Big up !
@boniphacejohn2981
6 ай бұрын
Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani
@KUPASteven
6 ай бұрын
Safiii Sanaa msechu
Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana
Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu
Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇
Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂
Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV
msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo
Congratulations mr msechu for ur advise
Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.
Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana
Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌
Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo
Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂
Big up Msechu , you were focused . From +254
Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu
Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.
Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri
Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho
Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana
Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.
Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo
Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!
Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo
Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪
Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi
@1stladyafrica402
6 ай бұрын
Msechu ni Mpare sio mchaga
Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana
@RaymondNjengo-bq1zc
6 ай бұрын
Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi
@user-tt1nm9xs4n
6 ай бұрын
😅😅😅😅
Safi sana msechu umeongea kama mwanaume
Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana
Akili kubwa SANA mwanangu...hongra Petermsechu
MSECHU NIMEKUPENDA HUWAVUNJI MOXO VIJANA BALI UNAWATIA MOYO NAO WAANZE TARATIIBU.
Big nimekupata umejielewa sana
peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii
Nyota na ing'ae kwako wee nakuombea🎉😊
Msechu umeongea pointi safi sana
Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@dorahmushi-we6ts
4 ай бұрын
Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.
Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,
Peter umeongea point sana yaan hubabaishi
umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii
Dah kwel yupo vizur mashalah
nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai
FROM KENYA NYUMBA YA MSECHU NI KALI SANA KWA WASANI WA TZ VERY DETAILED
So so true 👍 nyumba hujengi siku moja
Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa
Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua
Very matured
Msechu anaongea facts
Asante peter msechu umetufundisha sana❤❤❤❤❤
Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana
Very positive
Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .
@edsonDR_90
6 ай бұрын
Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka
Msechu yko real sannnah.
Point sana msechu
Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi
❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana
@rynerlinuma8484
6 ай бұрын
Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu
Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…
ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo
Asante Sana kaka
big up sana Msechu
Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi
Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..
Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml
@Dianamwansasu
6 ай бұрын
Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe
@najmasalim-rg6ow
6 ай бұрын
@@Dianamwansasuhaizid ml 350
@jwisetv4833
6 ай бұрын
Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba
@elizampayo4057
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@rikekikonyo2265
6 ай бұрын
@@DianamwansasuNyumba ya bil 1 unaijua wewe?
Safi sana kaka kwa ushauri wako mzr
Dah meschu big up
Big up msechu
salute kaka uko wazi bro
Msechu nyumba yako nzuri sana
Nyumba ya Msechu ni nzuri na thamani.na very stand very organized tiles zake ni za Spain sio mchina garden nzuri .ghorofa ya mwijaku ni wingi wa matofali sir nzuri
Bro uko sawa kabisa ..busara
We ndoumeongea point sio mwijaku mpenda masifa
Safi sana!!
Msechu big up umeiongea ukweli mzee ila wale wa makele tunajua wanachikilenga.
Well said
Umenene hapo kakaa🎉
Anaongea vizuri sana msechu haropoki yani .
Msechu unaongea kikubwa sana kaka❤
Umetisha mkuu, umeongea Kwa data
Oyaaa nairobi
Una b moja unajenga mwaka mzima unajenga nini?
Kweli kabisa finishing yake ni beirahis sana mimi kama mjenzi nina experience hio
Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄
Kweli kabisa brother
Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂
Peter msechu umesema kweli
Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter
Safii msechu
Kaongea point sana
The big brain talking points
Fact ☝🏾👍🏿💪🏿
Msechu una akili sana
😂😂Msechu barikiwa❤
Nakubali kaka
Big up mwijaku
Mwijaku.I think is crazy person
Kaka msechu kunywa soda mm nitakulipia kwa kututia moyo vijana tutajenga mdgo mdogo
Unaongea vizuri Sana msechu
Hongera msechu unamaneno mazuri
Upo sahihi sana msechu
Nice