PETER MSECHU AUPONDA MJENGO WA MWIJAKU, ADAI HAUNA THAMANI YA BILIONI ATOBOA SIRI "ANGENITAFUTA"

Пікірлер: 316

  • @user-bk6ue5zl5t
    @user-bk6ue5zl5t6 ай бұрын

    Kaka hongeraaa sanaaa umeongea point sanaaaa hongeraaa mungu akubariki ushushe mjengo mwingineee

  • @shafiimwehemba4549
    @shafiimwehemba45496 ай бұрын

    Awali sikuwa namfahamu Msechu, kumbe ni mtu mwenye busara zake! 👏👏👏

  • @jelasnkoma4240

    @jelasnkoma4240

    6 ай бұрын

    Alafu ni Msomi pia

  • @enockmlyuka6475
    @enockmlyuka64756 ай бұрын

    Peter umeongea point na Kwa busara. Ni miongoni mwa vijana wachache ambao ni mfano wa kuigwa! Inaonesha kuwa una nidhamu na umelelewa vizuri! Hongera Kwa kumjali mkeo na kuthamini mchango wake ktk mafanikio yenu!

  • @odiramwamba-fb2el

    @odiramwamba-fb2el

    6 ай бұрын

    Big up !

  • @boniphacejohn2981

    @boniphacejohn2981

    6 ай бұрын

    Safi sana Peter, point sana na busara nyingi mnoo kichwani

  • @KUPASteven

    @KUPASteven

    6 ай бұрын

    Safiii Sanaa msechu

  • @user-qo5vn9xl8v
    @user-qo5vn9xl8v5 ай бұрын

    Msechu nimsanii mwenye akiri nahofu yamungu big up msechuumewaelimisha vizuri vijana

  • @selestinokazumba
    @selestinokazumba6 ай бұрын

    Haya ndo maneno yakuongea mtu mwenye akili Big up msechuu

  • @eppiemodest
    @eppiemodest6 ай бұрын

    Sikieni. Mwijaku nyumba siyo yake. Mnapoteza mda kuzungumzia. Ya nini kulinganisha nyumba ya owner na mwingine mpangaji tu. 😂😂😂😂.. Mwijaku ni mpangaji tu. Sifieni ya Peter ambaye ni nguvu zake mwenyewe. Hongera brother Peter na mkeo.👏👏👏👏👏👏😇

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius75546 ай бұрын

    Peter ameongea fact sana huweZ pata interview nzur yenye ukweli kama hii amini hivo😅😅😅😅😂😂

  • @laukhanpaulo4996
    @laukhanpaulo49965 ай бұрын

    Daah Msechu kiukweli umejenga mwanangu kwanza hapo ndani kwako ni 🔥🔥🔥 tunavionaga kwenye TV

  • @user-zh2ko6nj5g
    @user-zh2ko6nj5g6 ай бұрын

    msechu unajitambua, upo unique...last time tulikutana ktk tukio la mradi wa mwalimu Nyerere....kwel nilipenda style ya music wako ambao upo ktk promo

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid31526 ай бұрын

    Congratulations mr msechu for ur advise

  • @amaniluhambire5080
    @amaniluhambire50806 ай бұрын

    Big love from Canada. Naomba namba ya Peter Msechu.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11546 ай бұрын

    Yaaaan nilikuwa nakusubilia hii interview ya Peter msechu maaana walikuwa wanakutag Sana na nyumba yako Ila umeongea kwa utulivu Sana

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija19576 ай бұрын

    Binafsi nimevutiwa sana na nyumba ya msechu ingawa mwijaku nae katu nyoosha🙌

  • @felistersanga4207
    @felistersanga42076 ай бұрын

    Mjengo wako naukubali Sana msechu big up mama Lolo

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje61836 ай бұрын

    Kaka Msechu weka wazi ndo taaluma ya mkeo kasoma Ardhi university ana degree kali mnooo😂

  • @user-qy4vz9tr5n
    @user-qy4vz9tr5n6 ай бұрын

    Big up Msechu , you were focused . From +254

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus70686 ай бұрын

    Nimeuchukua ushauli wako🙏Hongera sana msechu

  • @dicksonmutabazi1966
    @dicksonmutabazi19666 ай бұрын

    Msechu kaongea vyema sana, sisi wataalamu wa ujenzi tumemuelewa.

  • @rerisamba
    @rerisamba6 ай бұрын

    Lakini. Nyumba ya Msechu imekaa na msingi mzuri

  • @deusntobi6682
    @deusntobi66826 ай бұрын

    Busara zimefunika ufaham wa msechu. Hongera kwake kwa kujitambua kiasi hicho

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema14646 ай бұрын

    Hongera sana Msechu nyumba yako nzuri sana nimeona kwa nje tu hiyo garden na garbions zimepandisha thamqnivhiyo nyumba sana

  • @hawamsangi5590
    @hawamsangi55906 ай бұрын

    Huyu mwijaku nilimbukeni kubali nyumba ya Msechu ina mvuto Hilo ghorofa lake sio standard . Hiyo bathroom tiles za mchina alafu the bathroom is big for nothing kaweka SINK jeusi choo cheupe daah. Peter Msechu is also interior designer tena international designer hiyo ni talent yake. Big up Msechu that is a good house and classic.

  • @leaherasto929
    @leaherasto9296 ай бұрын

    Nikweli nyumba nifinishing. Msechu nyumba yako nzuri sana Finishing nigharama sana pia Mwijaku honger kwakujenga utakuja kukarabati miaka ijayo

  • @abedysteven4930
    @abedysteven49306 ай бұрын

    Af pia nyumba ya mzechu Ina gharama kubwa kuliko ya mwijaku!

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph75886 ай бұрын

    Safi Sana brother una akili sana msechu nafurahi muno kutupa moyo

  • @othumanomari1589
    @othumanomari15896 ай бұрын

    Congratulations bro kimfaacho mtu nicheke nahakuna kitukibaya urichokitafuta kwa jashorako💪💪

  • @fredrickmichael2317
    @fredrickmichael23176 ай бұрын

    Huyu chagga Ana uelewa naongea ukweli si kupata sifa..nyumba ya msechu ina kiwango ina dhamani zaidi

  • @1stladyafrica402

    @1stladyafrica402

    6 ай бұрын

    Msechu ni Mpare sio mchaga

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6366 ай бұрын

    Kusema kweli mi mwenyewe nyumba ya mwijaku siku yielewa japo nami sina 🫠 bora ange jenga nyumba ya chini ya maana

  • @RaymondNjengo-bq1zc

    @RaymondNjengo-bq1zc

    6 ай бұрын

    Kiwanja kidogo cha Mwijaku kujenga nyumba ya chini,ndio maana kajenga ya juu ili apate nafasi

  • @user-tt1nm9xs4n

    @user-tt1nm9xs4n

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @alexsuleiman3795
    @alexsuleiman37956 ай бұрын

    Safi sana msechu umeongea kama mwanaume

  • @piterfedrick4647
    @piterfedrick46473 ай бұрын

    Hongera sana peter na asante kwa kutufundisha vijana

  • @RodriguezOdhiambo
    @RodriguezOdhiambo6 ай бұрын

    Akili kubwa SANA mwanangu...hongra Petermsechu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22586 ай бұрын

    MSECHU NIMEKUPENDA HUWAVUNJI MOXO VIJANA BALI UNAWATIA MOYO NAO WAANZE TARATIIBU.

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary23836 ай бұрын

    Big nimekupata umejielewa sana

  • @starjay3052
    @starjay30526 ай бұрын

    peter msechu umeongea ukweli kabisa ata me najenga naona ela jinsi nnavotumia ela mwijaku muongo peter yupo saii

  • @NataliaKenny-vb6os
    @NataliaKenny-vb6os6 ай бұрын

    Nyota na ing'ae kwako wee nakuombea🎉😊

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga65916 ай бұрын

    Msechu umeongea pointi safi sana

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma59366 ай бұрын

    Yani wa Bongo kila kitu munacho fanya lazima mukipost kwenye media😢😅😭 this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @dorahmushi-we6ts

    @dorahmushi-we6ts

    4 ай бұрын

    Wanahamasishana, Kwa hili litawakumbusha vijana kushindana ki maendeleo na sio kujirusha wapi na nani, mrembo yupi au kapangisha nyumba ya gharama Gani na maeneo Gani! Vijana shindaneni kumiliki vitu kama hivi.. Hongera sana Msechu, Hilo umeitoa hapo ni darasa kubwa.

  • @cymioncassian4846
    @cymioncassian48466 ай бұрын

    Msechuu nmekuelewa sana tena mno,maneno Unayosema yamenif undisha sana,mimi mwenyewe kibanda changu nmeanza kujenga 2019 mpka leo sijamaliza na sio nyumba ni kibanda cha kuepuka kugombana na wenye nyumba mjini hpo,tuache sifa mnatakiwa mseme Ukweli ili sisi tujifunze kutoka kwenu,

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala95636 ай бұрын

    Peter umeongea point sana yaan hubabaishi

  • @gidixgillogillo3359
    @gidixgillogillo33594 ай бұрын

    umeniinspire sana brother msechu sana yan sjawai kua inspired namna hii. nami ntajenga zaidi ya hii

  • @AbuubakarMfinanga
    @AbuubakarMfinanga2 ай бұрын

    Dah kwel yupo vizur mashalah

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd6 ай бұрын

    nyumba ya mwijaku haizid mlion 500 iyo bi,1.3 akawambie wamasai

  • @KSACTV
    @KSACTV6 ай бұрын

    FROM KENYA NYUMBA YA MSECHU NI KALI SANA KWA WASANI WA TZ VERY DETAILED

  • @saadarashid8174
    @saadarashid81746 ай бұрын

    So so true 👍 nyumba hujengi siku moja

  • @ismailjuma6185
    @ismailjuma61856 ай бұрын

    Kaka ww ndo muanzilishi wa hili battle la ujenz wa nyumba big up umetu inspire sanaaa kaka asant saaanaaa

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale40476 ай бұрын

    Nyumba kujenga taratibu ndio inakuwa nzuri coz unadisaign taratibu na kwa uwakika na kupata material yauhakika unakuwa na mda mzuri wa kuchagua

  • @Allyabdalah-oj2wc
    @Allyabdalah-oj2wc6 ай бұрын

    Very matured

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын

    Msechu anaongea facts

  • @tingathebest
    @tingathebest6 ай бұрын

    Asante peter msechu umetufundisha sana❤❤❤❤❤

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l6 ай бұрын

    Wewe unabusala saana kaka msecu safi sana

  • @mussaally1499
    @mussaally14996 ай бұрын

    Very positive

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын

    Msechu kwa kweli Mwaka mmoja kujenga nyumba na hela ipo... unaweza jenga nyumba hata mwaka ni mwingii sana .

  • @edsonDR_90

    @edsonDR_90

    6 ай бұрын

    Nyumba nzuri hata kama una pesa ya kutosha atleast kuanzia mwaka

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza23956 ай бұрын

    Msechu yko real sannnah.

  • @sabokoMAILA
    @sabokoMAILA6 ай бұрын

    Point sana msechu

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q6 ай бұрын

    Msechu yupo sahihi sana, nyumba yangu ilikua naijenga haraka sana, inabidi niturie ili nifanye kitu kizur zaidi

  • @righitkileo
    @righitkileo6 ай бұрын

    ❤❤point .❤❤ila hiyo nyumba ya Mwijaku ni ya kawaida sana. Hiyo qarama anayoisema hamna.kama.kiki labda sawa.kawaida sana

  • @rynerlinuma8484

    @rynerlinuma8484

    6 ай бұрын

    Gharama aloitaja Mwijaku ni kikombelezo tu

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania37976 ай бұрын

    Hapa ndo utajua kuwa #mwijaku sio mpenda naendeleo kwa wenzake…na elimu yake haijamsaidia chochote. Uwezi kaa mbele ya chombo cha habari ukazungumza shiti… 1.3 billion. “Unaijua ??????” Peter msechu anaongea ukweli..na utainspire vizazi na vizazi. #mwijaku ropo ropo tu…

  • @starjay3052
    @starjay30526 ай бұрын

    ata mimi mtani kwangu watu wamejenga magolafa ila me yachini na boma tu ahabali wanayo ✌️💯💯 ipo ivo mwijaku kaongea uwongo me boma mbaka nimekamilika na ni bola la viumba vi 4 ila nimetumia milioni 6 mbaka leo mwijaku muongo

  • @aishatest4451
    @aishatest44516 ай бұрын

    Asante Sana kaka

  • @floramwakyosi9298
    @floramwakyosi92986 ай бұрын

    big up sana Msechu

  • @robertevarist1595
    @robertevarist15956 ай бұрын

    Wasanii wote wangeishi ktk ukweli km Msechu, Jamii ingeelimika sana kupitia Muziki wao na Maisha yao binafsi

  • @moseskulola6913
    @moseskulola69136 ай бұрын

    Sijawahi kumusikiliza uyu jama peter .ina ni mtu anaakilizake timamu .anaogeha jambo lamahana sana ku usumaisha .kwanza nyumba yake kalisana tena sana Mimi naishi cape town .kuishi kwenye nyumba ya chini dio utajiri gorofa ni style zakimaskini sikuizi matajiri wote wanaishi kwenye nyumba as chini kama nyumba ya peter msechu ...kaka peter usiwe najibu kama ule mwijaku chizi ule .sio muzima ..

  • @babanadia3201
    @babanadia32016 ай бұрын

    Mtu ambae hajawahi jenga ndio anaweza kukubali hiyo garama ya 1.3bl lakin ukweli huo mjengo hauwezi zidi 300ml

  • @Dianamwansasu

    @Dianamwansasu

    6 ай бұрын

    Wewe ujenzi gharama zake unajua wewe

  • @najmasalim-rg6ow

    @najmasalim-rg6ow

    6 ай бұрын

    ​@@Dianamwansasuhaizid ml 350

  • @jwisetv4833

    @jwisetv4833

    6 ай бұрын

    Co kweli mzee nawewe hujajenga 300 ni ndogo sana kwenye ile nyumba

  • @elizampayo4057

    @elizampayo4057

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @rikekikonyo2265

    @rikekikonyo2265

    6 ай бұрын

    ​@@DianamwansasuNyumba ya bil 1 unaijua wewe?

  • @yusuphkanyuza1974
    @yusuphkanyuza19746 ай бұрын

    Safi sana kaka kwa ushauri wako mzr

  • @aluneanthony3468
    @aluneanthony34686 ай бұрын

    Dah meschu big up

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho84316 ай бұрын

    Big up msechu

  • @user-yj5sz9tl2b
    @user-yj5sz9tl2b6 ай бұрын

    salute kaka uko wazi bro

  • @ruu6592
    @ruu65926 ай бұрын

    Msechu nyumba yako nzuri sana

  • @hawamsangi5590
    @hawamsangi55906 ай бұрын

    Nyumba ya Msechu ni nzuri na thamani.na very stand very organized tiles zake ni za Spain sio mchina garden nzuri .ghorofa ya mwijaku ni wingi wa matofali sir nzuri

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64646 ай бұрын

    Bro uko sawa kabisa ..busara

  • @AhadiMkuyu
    @AhadiMkuyu6 ай бұрын

    We ndoumeongea point sio mwijaku mpenda masifa

  • @peternyambui7492
    @peternyambui74926 ай бұрын

    Safi sana!!

  • @clarencendyetabula3080
    @clarencendyetabula30806 ай бұрын

    Msechu big up umeiongea ukweli mzee ila wale wa makele tunajua wanachikilenga.

  • @user-bi3fw7li3p
    @user-bi3fw7li3p6 ай бұрын

    Well said

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q6 ай бұрын

    Umenene hapo kakaa🎉

  • @annasalum4700
    @annasalum47006 ай бұрын

    Anaongea vizuri sana msechu haropoki yani .

  • @robertmsigalla9259
    @robertmsigalla92596 ай бұрын

    Msechu unaongea kikubwa sana kaka❤

  • @musamalabeja3670
    @musamalabeja36706 ай бұрын

    Umetisha mkuu, umeongea Kwa data

  • @duncanwanjeri6500
    @duncanwanjeri65006 ай бұрын

    Oyaaa nairobi

  • @cmantz8837
    @cmantz88376 ай бұрын

    Una b moja unajenga mwaka mzima unajenga nini?

  • @DM_15
    @DM_156 ай бұрын

    Kweli kabisa finishing yake ni beirahis sana mimi kama mjenzi nina experience hio

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly6 ай бұрын

    Ooooh kumbe maneno alianza mwijaku 😂😂😂😂😂peter msechu achana na mambo ya mabishano,sio style yako. bora mtu una nyumba jamani ...kwani ni mashindano😮😢🙄🙄🙄

  • @AhimidiweMchau
    @AhimidiweMchau2 ай бұрын

    Kweli kabisa brother

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16326 ай бұрын

    Afu nikweli nyumba ya mwijaku ni vyumba vilivyobebana TU sio gorofa😂😂😂

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi12556 ай бұрын

    Peter msechu umesema kweli

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x6 ай бұрын

    Hata boss wa doto magar ilisifu nyumba ya peter

  • @Muuzambuzi
    @Muuzambuzi6 ай бұрын

    Safii msechu

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo0696 ай бұрын

    Kaongea point sana

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan6 ай бұрын

    The big brain talking points

  • @ChiefKisensiOnline
    @ChiefKisensiOnline6 ай бұрын

    Fact ☝🏾👍🏿💪🏿

  • @jonathansenkondo8093
    @jonathansenkondo80936 ай бұрын

    Msechu una akili sana

  • @lovesallu5292
    @lovesallu52926 ай бұрын

    😂😂Msechu barikiwa❤

  • @lucienkalombo8501
    @lucienkalombo85016 ай бұрын

    Nakubali kaka

  • @user-ks9ic7ss5x
    @user-ks9ic7ss5x6 ай бұрын

    Big up mwijaku

  • @Kissarop
    @Kissarop6 ай бұрын

    Mwijaku.I think is crazy person

  • @user-xh3id9il6k
    @user-xh3id9il6k6 ай бұрын

    Kaka msechu kunywa soda mm nitakulipia kwa kututia moyo vijana tutajenga mdgo mdogo

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz6 ай бұрын

    Unaongea vizuri Sana msechu

  • @rahelmasamu3490
    @rahelmasamu34906 ай бұрын

    Hongera msechu unamaneno mazuri

  • @saulimmbaga.safisana9556
    @saulimmbaga.safisana95566 ай бұрын

    Upo sahihi sana msechu

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania6 ай бұрын

    Nice

Келесі