Yani Master WA Bongo WA kiume skuizi Wana akili yakutafuta pesa na kufanya maendeleo ikiwemo kujenga na kuoa,sio zamani wakipata pesa wanaspend na mademu wmisho wake wanafilisika nakuanza kungada,Big up Mwijako,Baba levo,Aristooooteee,Dimond ,Harmonise na wengine wanaojielewa
@btylove18706 ай бұрын
Tembo🐘 ako so humble Mashaallah ❤
@user-ge3mt9lw5w
6 ай бұрын
Sanaaaa mpk Raha mashaallah
@diipesa6 ай бұрын
Mwijaku mimi sikupingi baba keep up✊🏻
@batatukatotolabikay52966 ай бұрын
Allah azidi kukuzidishiye kaka yangu. Kwa kweli umefaa kazi kubwa. Congratulation once again
@estakapufi75826 ай бұрын
Hongera sana mwijaku ktk maisha ukifanya kitu kizuli lazima ujisikie faraja sana, ni mfano wa kuigwa maana vijana acheni kuiga ujinga igeni mambo mazuri, muulize kafanyeje mpaka kafikia apo ndio maisha sio leo kidimbwi anakuja msanii gani ilimradi mpate pombe zabule😂😂😂
@RichardCharo-zx3sy6 ай бұрын
From Kenya congratulations DC
@noelmtao27356 ай бұрын
Vyote sawa! Hongera sana! Tahadhari tu hizo ngazi kama meli ndugu yangu!
@ChristinaOnditi-el3xo6 ай бұрын
Mungu akujaalie.iwe salama ,usije ukafikiri wote hao uliowaalika wanafurahia mafanikio Yako,ingekua na mie ningefanya tu Dua na kuhamia,wengine wangejua tu pole pole kwajili ya usalama
@baimarrajahbuayan6237
6 ай бұрын
Haswaaa lkkn anainad mno
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Yani uyu inaonekana alifunga naziri ndio mana anafanya Ayo kiukweri mfano kwa wasanii waliowengi wanapangatu
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Inatakiwa wajifuze apo sasa kama kujenga sio KAZI aswapale unapotiania kilakitu hinawezekana wapunguze kujikubali wawekeze vitu kama ivi
@hadijamandanje6189
6 ай бұрын
Jamani ukifanya kitu kizuri kina Raha na hata Mwenyezi Mungu alisema zioneshe neema nilizokujaalia kwa kunishukuru na kwa waislamu wenye Nia njema wanawaombea Dua hi yo vitu visipatwe na husuda Ila kujizuia kutangaza si kazi ndogo
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Tayari dua imepita ndiomaana Leo kawaharika wasaniwezake
@user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын
Kusapotiwa ni vitu vya kawaida muhimu kutumia akil kama mwijaku, watu washaanza ooh anatakiwa amshukur diamond n sawa lkn nae amebebwa akajishikilia sio kama wengne wanabebwa wanajiachia, mwachen mwijaku katoa funzo kubwa kwa wengne wanaopenda kila bata sana bdo wpo nyumba za kupanga, hongera DC
@carolinemwatsuma95076 ай бұрын
Hongera DC mwijaku,mungu azidi kukubariki
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
Wow mwijaku kelele. Zimeleta. Faida big up broo 😂🎉
@shabanirashid77976 ай бұрын
Ni moja ya hatua mzuri yaaani kumbe Mwijaku yuko Perfect for 100% kiasi hiko duuuuh hii ni fundisho kwa watu ambao wanambeza Mwijaku
@user-bd6pe7io5y6 ай бұрын
Nina furaha kwa ajiri yako Mwijaku hongera sana broo
@morjanoman51816 ай бұрын
Jamani wasanii tz chukueni mfano uliobora ombenimaarifa apo ongera sana mwinjaku umefanya kazi. Mzuri sana
@muhidiniharuna37356 ай бұрын
Ongera sana bro mwijaku hii sio wale wanaopiga picha na nyumba za watu
@smartonlinetv51446 ай бұрын
Hongera sana my brother,bila shaka sasa wengine wataanza kujitambua kupitia wewe na watafanya makubwa zaidi
@user-qq6mv6vh3e6 ай бұрын
Ongera sana mwijaku acha wakusema waseme
@saidmtenda16286 ай бұрын
Tukumbuke fahari zote hizi mwisho wa siku Allah anatuhitaji tumwabudu.
@fuadaladawi12556 ай бұрын
Mwejaku congratulation for your villah.my Allah bless Harmonize for help to the poor
@coolson29256 ай бұрын
ila mwijaku unaheshima sana Mungu akutunze.....nimependa unavyomwambia harmonise umeniheshimisha ...choppa mmeniheshimisha wallah....😪😪😪
@landmadvdmbeyacity9561
6 ай бұрын
Haahahha ad wanafik mnakubar shoo kwer hela noma
@salumuseif3324
6 ай бұрын
@@landmadvdmbeyacity9561mwanangu ukiwa na ela watu wansahau mabaya yote mamae
@coolson2925
6 ай бұрын
mnafki nan sasa hapo,,acha ulevi mkuu@@landmadvdmbeyacity9561
@user-wz9no5wx3g6 ай бұрын
Nampenda harmonize wallah Hana majivuno
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Hana kabisa konde wetu
@KassimHanga-xr7rb6 ай бұрын
Good up kaka umetisha ❤
@aminatanzanya74756 ай бұрын
DC umeupiga mwingi Hongera sana 🎉🎉🎉
@hadija8466 ай бұрын
Mwijaku hongera sana na pia Harmonize ni mtu mwema sana kwako yaani staa mkubwa ivyo kakuwakilisha 💯 kwa 💯
@user-or2gj9qe8p6 ай бұрын
Hongera sana mwijaku siyo kazi ndogo
@DM_156 ай бұрын
Nimesikia konde akimtonya mjaku kitu kuhusu watu wabaya😂
@bashiruhassani10176 ай бұрын
Zamarad unakuja kwa kas Sana ad raha
@Lanihsarumu6 ай бұрын
Mungu azidi kukuongoza vema mwijaku na muzidi kushikamana upendo uhendelee na konde famiry❤❤
@AzizNgitu-wk3ey6 ай бұрын
Napenda mwijaku anavyo jifanya kama mjinga kumbe anajia anacho fanya
@AlbertWilbert-uy8qz6 ай бұрын
Brother ongera sanaaa ila nilivo mtazama hermonaize kapenda sana ila kapenda zaidi ukojuu kawa surprised sana
@Aminmwansile-we8vn6 ай бұрын
Hongera Sana mwijaku
@user-ff4zm3hk7b6 ай бұрын
Nakubali sana mwijaku piga kazi baba usiwe kama baba levo maneno meng vitendo hakuna
@Octavinaelisa-fn6js6 ай бұрын
Kumbe kaka mwijaku una akiri ivi hongera sana broo
@nzeyimanamwavita19046 ай бұрын
Hongera sana mwijaaku 👌👌
@nizwaoman83786 ай бұрын
Ongera kaka mungu akuzidishie inshaallah
@ELVIRAPRODUCT4 ай бұрын
Nyumaba kubwa Ila kainyima nyumba, si ungefanya hata vyumba vitatu, waha wenzio tukija dar kufikie kwa Kaka mwijaku😅😅😅
@salinababe68946 ай бұрын
Congratulations❤❤❤
@banguha6 ай бұрын
Kuna mwimbaji aliimba wanaokudhalau siku moja watakusalimia kwa heshima leo watu wote walikuwa wanakuita majina matus kibao leo wanakupongeza hongera sana
@dominicngeno42276 ай бұрын
Hongera Sana bro 🙏 congrats
@zeyanaalgheithy65616 ай бұрын
Kwa kweli nakupongeza na mungu akulinde na macbo ya mahasidi kwa sbb kuna mastaaa wakubwa hapo tz bado wanakodi. Nyumba kutuonesa pesa tu
@WitnessLeganya6 ай бұрын
Harmonize muhuni😅 eti amani ya bwana iwe nanyi😂😂😂
@athumanabubakary59306 ай бұрын
Kujenga jengo kama Hilo sio mchezo aisee mpaka Sasa Kuna watu haawaaamini
@michaelmpagwa25536 ай бұрын
Congratulations home boy
@mashopluck6 ай бұрын
HONGERA SANA MWIJAKU ENDELEA ZAIDI UMETHIBITISHA SANAA INA HELA
@user-bn6st5ti7z6 ай бұрын
Waaooh inafrahisha sana kabisa hongera kwake mwijaku
@sabatoongara87636 ай бұрын
Acheni uchawa na nyie mwenzenu akifanya kitu kizur anastaili pongezi, big up mwijaku
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Mashallah umeupiga mwingi mnoooo ❤
@mash37756 ай бұрын
Sijaipenda i video reason mbona Ibra hana time ya kuongea naye mbona ivo lakin Mash37 from kenya
@user-nd8gg4ig7m6 ай бұрын
Mashaallh hongera kaka mwijaku
@bettyokito7746 ай бұрын
Congratulations mwijaku❤❤❤❤🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲
@user-xl9wc6ob4v6 ай бұрын
mwijaku anaishi pazur kuliko mondi 😂😂😂
@kelvinmacharia92396 ай бұрын
Congratulations 🎉🎉
@Udindigwa6 ай бұрын
Inapendeza sana
@terashangwe2554 ай бұрын
Ongera sana ndugu yangu
@zomasamweli6 ай бұрын
Kiukweli mwijaku ww ni mtu wa kuigwa sana umenifunza k2 mkubwa
@user-jk6zk5lo9r6 ай бұрын
Hongera mwijako kiukweli lakin mimi nimekuwa Thomaso😂😂 kidogo siamin Mungu atupe umri kwa hapo baadae tutakujasikia waziri fulani anadai mwijako ampishe kwenye nyumba yake😂😅😂#time will tell
@veveveve55176 ай бұрын
Congratulations mwijaku
@faidhacute6 ай бұрын
Mwijaku hawezi kujenga nyumba kma hii sema anapenda sana kiki yan hafanani na nyumba hii bhana mi sijawah kumwamini mwijaku, but hyo nyumba ni ya mkewake coz mkewe ni mwasibu bank flan hv
@elicktilia44306 ай бұрын
Ongera sanaa kaka
@user-zs9hp5mm5e6 ай бұрын
Hongera bro
@hafsahjunior26456 ай бұрын
Hongera kaka🎉❤
@daudibuffalo36466 ай бұрын
Nina Iman wote tuliocomment hapa tunaenda kupambana ili tuweze kupata mjengo Kama wa mwijaku wote tuseme Amina, inshallah 🙏
@ngowibeatrice1701
6 ай бұрын
Amen
@allthingdranabeauty
6 ай бұрын
Amen Nimependa sio kuonea wivu wa kijinga umesema poa
@FatumaMuya
6 ай бұрын
Amiin
@Lanihsarumu
6 ай бұрын
Amina
@jamesmeitalami4676 ай бұрын
Big up brother
@mitelpclassic66916 ай бұрын
Congratulations chawa promax
@bernaberna41596 ай бұрын
Hongera mwijaaaakuuu🎉🎉🎉🎉
@suleimanrodriguez94846 ай бұрын
Ongera sana Mwijaku🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-ch5ww8hs1i5 ай бұрын
Hapo harmonize hajara wara kuvuta bangi mwijaku nae hajaweka ugoro
@fathimamct2326 ай бұрын
Hongera sana kama ni kweli nyumba yako ila hizo bei za milango za vitasa umetupiga umemtumia kazi yako ya usanii na kama unamtumia usanii kuwa sio nyumba yako hapo inafanya udalali kwa Mr. Khalid utanikera sana mwijaku udalali fanya kwa maana kazi ni kazi ila usijisifu kama sio chako.
@abubakarymaulidy56816 ай бұрын
Mashaa alla mwijaku
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp6 ай бұрын
Congratulations 🎊🍾🎉
@mika.m.msanya21696 ай бұрын
Bigup Kaka
@scolasticaantony58736 ай бұрын
Hongera xana
@user-wh7gj9ug9s4 ай бұрын
Hongera
@user-tf4jp7ig7r6 ай бұрын
mwijaku is big ft ulikua una bweka sana mm nilikuelewa nikakwambia wewe unatumia akili na elimu uliokua nayo ukaniambia asante mdogo wangu ona sasa umewaacha midomo wazi watu wewe umetisha sio kama huyo mapua na mwenzie h mama
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Hbaba hana gari atakua na nyumba
@fettyrashid9042
6 ай бұрын
Mapua anabonge la nyumba na nyumba nyingine nne exclusive hii nakupa
@tatually13666 ай бұрын
🎉🎉🎉 mashallah 💝 ❤ 🎉
@AlainLutherking-dx2cy6 ай бұрын
Courage vieux mujaku
@user-pe4fx4gr7x6 ай бұрын
Hongera kwa mapambano kaka hatimae mafanikio yanao ekana
@saumukiduma6 ай бұрын
Hongera sana kijan
@Dymitri-Babushka.6 ай бұрын
Hata mimi nataka nikiwa mkubwa nikasomee uchawa choo kikuyu,hii fani inalipa ❤
@doreenmsafari2945
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-rh7lv6hp4k
6 ай бұрын
Uhakika
@MichaelJohn-xh4kf6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 on love 🤲🤲🤲🤲🤲
@babykisura10896 ай бұрын
manara wivu umemjaa ndo maan ajafika wkt alialikwa😅😅au sbb amejua konde anafika angekuwa mond kaambiwa lzm manara angefika😂
@faithfaith-zr6gz6 ай бұрын
Hao nao mgambo wa harmonize 😂😂 kha!!
@tabyabelemwenebenga23116 ай бұрын
Sitaki kuamini kama Mathias anaenda kuishi magorofani.
@SalimAbdallah-tg1yo
6 ай бұрын
Huyo Ni mtu muhimu Sana kama hufahamu
@tabyabelemwenebenga2311
6 ай бұрын
@@SalimAbdallah-tg1yo najua bro
@magrethmbangama1199
6 ай бұрын
Hongera sana mwijaku sio wengine wanabaki ooh nimenunua nywele 10ml uko kwenye nyumba ya kupanga ukipata nafasi fanya vitu kama hv maana kesho huijui.
@AsdDsa-fi5qk
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂utani ww
@TeophilBuilding
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@user-nb8oq2kd7c6 ай бұрын
Duu🤔🤔wewe sio chawa Tena ni muheshimiwa🤚🥰🥰🥰
@allymatilda75196 ай бұрын
Hongera mwijaku
@graceyamado85786 ай бұрын
Hongera sanaa
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Hadi raha mwijaku naomba ajira nifagie ngazi hizo😅😅😅
@mwanaidikingazi42226 ай бұрын
Hongera sanaaa mwijaku hata kama wakisema nikwako
@BenardIsmail
6 ай бұрын
Kua makini bro sio Kila mtu anapenda mafanikio yako.hongera sana ila nakusihi mengine yabaki siri
@user-kt8yd8xe4c6 ай бұрын
Hongera sana
@user-cv3de8zj2s5 ай бұрын
Congratulations
@estersilvester4236 ай бұрын
Kajala hayupo body la hamonize lishajaaa tena duuuuh, kajala Ana siri ya kubalance body la hamo
@salumuseif33246 ай бұрын
ukiwa na ela.unaheshimika unapendwa watu wanasahu aibu zote
@gilibersumari74336 ай бұрын
mpaka Leo sauti Zina washinda alafu mnataka na wenzenu mnatu malizia MB tuuu vilaza
@QueenMishy6 ай бұрын
Weeee mwijakuuuu weeeeh umeua 😂😂😂😂
@WillsOffuture-ux5tf6 ай бұрын
Ibra mrefu uyoooo
@Directorjax556 ай бұрын
Good
@josephinewangwe11546 ай бұрын
Jamani Ibra na macho yake ya huruma anavyo angalia. Ndogo wangu usijali nawe siku yako itafika tu😂
Пікірлер: 302
I realy love how harmonize and Ibra socialize hawana maringo mingi...big up... straight outer kenye❤❤
Huzuri wa mmkonde hanaga zarau sbabu yye maisha aliyoptia anayjua vzr na sis tulianza mftilia tngu bss
Huwez Amin kumbe yule ambae unamfanyia uchawa anakupa pesa nawe ukatumia akili kuzitumia badae anakuja kukuheshimu Sana, congratulations Bro😊
Yani Master WA Bongo WA kiume skuizi Wana akili yakutafuta pesa na kufanya maendeleo ikiwemo kujenga na kuoa,sio zamani wakipata pesa wanaspend na mademu wmisho wake wanafilisika nakuanza kungada,Big up Mwijako,Baba levo,Aristooooteee,Dimond ,Harmonise na wengine wanaojielewa
Tembo🐘 ako so humble Mashaallah ❤
@user-ge3mt9lw5w
6 ай бұрын
Sanaaaa mpk Raha mashaallah
Mwijaku mimi sikupingi baba keep up✊🏻
Allah azidi kukuzidishiye kaka yangu. Kwa kweli umefaa kazi kubwa. Congratulation once again
Hongera sana mwijaku ktk maisha ukifanya kitu kizuli lazima ujisikie faraja sana, ni mfano wa kuigwa maana vijana acheni kuiga ujinga igeni mambo mazuri, muulize kafanyeje mpaka kafikia apo ndio maisha sio leo kidimbwi anakuja msanii gani ilimradi mpate pombe zabule😂😂😂
From Kenya congratulations DC
Vyote sawa! Hongera sana! Tahadhari tu hizo ngazi kama meli ndugu yangu!
Mungu akujaalie.iwe salama ,usije ukafikiri wote hao uliowaalika wanafurahia mafanikio Yako,ingekua na mie ningefanya tu Dua na kuhamia,wengine wangejua tu pole pole kwajili ya usalama
@baimarrajahbuayan6237
6 ай бұрын
Haswaaa lkkn anainad mno
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Yani uyu inaonekana alifunga naziri ndio mana anafanya Ayo kiukweri mfano kwa wasanii waliowengi wanapangatu
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Inatakiwa wajifuze apo sasa kama kujenga sio KAZI aswapale unapotiania kilakitu hinawezekana wapunguze kujikubali wawekeze vitu kama ivi
@hadijamandanje6189
6 ай бұрын
Jamani ukifanya kitu kizuri kina Raha na hata Mwenyezi Mungu alisema zioneshe neema nilizokujaalia kwa kunishukuru na kwa waislamu wenye Nia njema wanawaombea Dua hi yo vitu visipatwe na husuda Ila kujizuia kutangaza si kazi ndogo
@morjanoman5181
6 ай бұрын
Tayari dua imepita ndiomaana Leo kawaharika wasaniwezake
Kusapotiwa ni vitu vya kawaida muhimu kutumia akil kama mwijaku, watu washaanza ooh anatakiwa amshukur diamond n sawa lkn nae amebebwa akajishikilia sio kama wengne wanabebwa wanajiachia, mwachen mwijaku katoa funzo kubwa kwa wengne wanaopenda kila bata sana bdo wpo nyumba za kupanga, hongera DC
Hongera DC mwijaku,mungu azidi kukubariki
Wow mwijaku kelele. Zimeleta. Faida big up broo 😂🎉
Ni moja ya hatua mzuri yaaani kumbe Mwijaku yuko Perfect for 100% kiasi hiko duuuuh hii ni fundisho kwa watu ambao wanambeza Mwijaku
Nina furaha kwa ajiri yako Mwijaku hongera sana broo
Jamani wasanii tz chukueni mfano uliobora ombenimaarifa apo ongera sana mwinjaku umefanya kazi. Mzuri sana
Ongera sana bro mwijaku hii sio wale wanaopiga picha na nyumba za watu
Hongera sana my brother,bila shaka sasa wengine wataanza kujitambua kupitia wewe na watafanya makubwa zaidi
Ongera sana mwijaku acha wakusema waseme
Tukumbuke fahari zote hizi mwisho wa siku Allah anatuhitaji tumwabudu.
Mwejaku congratulation for your villah.my Allah bless Harmonize for help to the poor
ila mwijaku unaheshima sana Mungu akutunze.....nimependa unavyomwambia harmonise umeniheshimisha ...choppa mmeniheshimisha wallah....😪😪😪
@landmadvdmbeyacity9561
6 ай бұрын
Haahahha ad wanafik mnakubar shoo kwer hela noma
@salumuseif3324
6 ай бұрын
@@landmadvdmbeyacity9561mwanangu ukiwa na ela watu wansahau mabaya yote mamae
@coolson2925
6 ай бұрын
mnafki nan sasa hapo,,acha ulevi mkuu@@landmadvdmbeyacity9561
Nampenda harmonize wallah Hana majivuno
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Hana kabisa konde wetu
Good up kaka umetisha ❤
DC umeupiga mwingi Hongera sana 🎉🎉🎉
Mwijaku hongera sana na pia Harmonize ni mtu mwema sana kwako yaani staa mkubwa ivyo kakuwakilisha 💯 kwa 💯
Hongera sana mwijaku siyo kazi ndogo
Nimesikia konde akimtonya mjaku kitu kuhusu watu wabaya😂
Zamarad unakuja kwa kas Sana ad raha
Mungu azidi kukuongoza vema mwijaku na muzidi kushikamana upendo uhendelee na konde famiry❤❤
Napenda mwijaku anavyo jifanya kama mjinga kumbe anajia anacho fanya
Brother ongera sanaaa ila nilivo mtazama hermonaize kapenda sana ila kapenda zaidi ukojuu kawa surprised sana
Hongera Sana mwijaku
Nakubali sana mwijaku piga kazi baba usiwe kama baba levo maneno meng vitendo hakuna
Kumbe kaka mwijaku una akiri ivi hongera sana broo
Hongera sana mwijaaku 👌👌
Ongera kaka mungu akuzidishie inshaallah
Nyumaba kubwa Ila kainyima nyumba, si ungefanya hata vyumba vitatu, waha wenzio tukija dar kufikie kwa Kaka mwijaku😅😅😅
Congratulations❤❤❤
Kuna mwimbaji aliimba wanaokudhalau siku moja watakusalimia kwa heshima leo watu wote walikuwa wanakuita majina matus kibao leo wanakupongeza hongera sana
Hongera Sana bro 🙏 congrats
Kwa kweli nakupongeza na mungu akulinde na macbo ya mahasidi kwa sbb kuna mastaaa wakubwa hapo tz bado wanakodi. Nyumba kutuonesa pesa tu
Harmonize muhuni😅 eti amani ya bwana iwe nanyi😂😂😂
Kujenga jengo kama Hilo sio mchezo aisee mpaka Sasa Kuna watu haawaaamini
Congratulations home boy
HONGERA SANA MWIJAKU ENDELEA ZAIDI UMETHIBITISHA SANAA INA HELA
Waaooh inafrahisha sana kabisa hongera kwake mwijaku
Acheni uchawa na nyie mwenzenu akifanya kitu kizur anastaili pongezi, big up mwijaku
Mashallah umeupiga mwingi mnoooo ❤
Sijaipenda i video reason mbona Ibra hana time ya kuongea naye mbona ivo lakin Mash37 from kenya
Mashaallh hongera kaka mwijaku
Congratulations mwijaku❤❤❤❤🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲
mwijaku anaishi pazur kuliko mondi 😂😂😂
Congratulations 🎉🎉
Inapendeza sana
Ongera sana ndugu yangu
Kiukweli mwijaku ww ni mtu wa kuigwa sana umenifunza k2 mkubwa
Hongera mwijako kiukweli lakin mimi nimekuwa Thomaso😂😂 kidogo siamin Mungu atupe umri kwa hapo baadae tutakujasikia waziri fulani anadai mwijako ampishe kwenye nyumba yake😂😅😂#time will tell
Congratulations mwijaku
Mwijaku hawezi kujenga nyumba kma hii sema anapenda sana kiki yan hafanani na nyumba hii bhana mi sijawah kumwamini mwijaku, but hyo nyumba ni ya mkewake coz mkewe ni mwasibu bank flan hv
Ongera sanaa kaka
Hongera bro
Hongera kaka🎉❤
Nina Iman wote tuliocomment hapa tunaenda kupambana ili tuweze kupata mjengo Kama wa mwijaku wote tuseme Amina, inshallah 🙏
@ngowibeatrice1701
6 ай бұрын
Amen
@allthingdranabeauty
6 ай бұрын
Amen Nimependa sio kuonea wivu wa kijinga umesema poa
@FatumaMuya
6 ай бұрын
Amiin
@Lanihsarumu
6 ай бұрын
Amina
Big up brother
Congratulations chawa promax
Hongera mwijaaaakuuu🎉🎉🎉🎉
Ongera sana Mwijaku🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hapo harmonize hajara wara kuvuta bangi mwijaku nae hajaweka ugoro
Hongera sana kama ni kweli nyumba yako ila hizo bei za milango za vitasa umetupiga umemtumia kazi yako ya usanii na kama unamtumia usanii kuwa sio nyumba yako hapo inafanya udalali kwa Mr. Khalid utanikera sana mwijaku udalali fanya kwa maana kazi ni kazi ila usijisifu kama sio chako.
Mashaa alla mwijaku
Congratulations 🎊🍾🎉
Bigup Kaka
Hongera xana
Hongera
mwijaku is big ft ulikua una bweka sana mm nilikuelewa nikakwambia wewe unatumia akili na elimu uliokua nayo ukaniambia asante mdogo wangu ona sasa umewaacha midomo wazi watu wewe umetisha sio kama huyo mapua na mwenzie h mama
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Hbaba hana gari atakua na nyumba
@fettyrashid9042
6 ай бұрын
Mapua anabonge la nyumba na nyumba nyingine nne exclusive hii nakupa
🎉🎉🎉 mashallah 💝 ❤ 🎉
Courage vieux mujaku
Hongera kwa mapambano kaka hatimae mafanikio yanao ekana
Hongera sana kijan
Hata mimi nataka nikiwa mkubwa nikasomee uchawa choo kikuyu,hii fani inalipa ❤
@doreenmsafari2945
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-rh7lv6hp4k
6 ай бұрын
Uhakika
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 on love 🤲🤲🤲🤲🤲
manara wivu umemjaa ndo maan ajafika wkt alialikwa😅😅au sbb amejua konde anafika angekuwa mond kaambiwa lzm manara angefika😂
Hao nao mgambo wa harmonize 😂😂 kha!!
Sitaki kuamini kama Mathias anaenda kuishi magorofani.
@SalimAbdallah-tg1yo
6 ай бұрын
Huyo Ni mtu muhimu Sana kama hufahamu
@tabyabelemwenebenga2311
6 ай бұрын
@@SalimAbdallah-tg1yo najua bro
@magrethmbangama1199
6 ай бұрын
Hongera sana mwijaku sio wengine wanabaki ooh nimenunua nywele 10ml uko kwenye nyumba ya kupanga ukipata nafasi fanya vitu kama hv maana kesho huijui.
@AsdDsa-fi5qk
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂utani ww
@TeophilBuilding
6 ай бұрын
😅😅😅😅
Duu🤔🤔wewe sio chawa Tena ni muheshimiwa🤚🥰🥰🥰
Hongera mwijaku
Hongera sanaa
Hadi raha mwijaku naomba ajira nifagie ngazi hizo😅😅😅
Hongera sanaaa mwijaku hata kama wakisema nikwako
@BenardIsmail
6 ай бұрын
Kua makini bro sio Kila mtu anapenda mafanikio yako.hongera sana ila nakusihi mengine yabaki siri
Hongera sana
Congratulations
Kajala hayupo body la hamonize lishajaaa tena duuuuh, kajala Ana siri ya kubalance body la hamo
ukiwa na ela.unaheshimika unapendwa watu wanasahu aibu zote
mpaka Leo sauti Zina washinda alafu mnataka na wenzenu mnatu malizia MB tuuu vilaza
Weeee mwijakuuuu weeeeh umeua 😂😂😂😂
Ibra mrefu uyoooo
Good
Jamani Ibra na macho yake ya huruma anavyo angalia. Ndogo wangu usijali nawe siku yako itafika tu😂