MAMA YAKE MWIJAKU AFUNGUKA, AKIWA KWENYE MJENGO MPYA "NILISHAMKANYA, ASIINGILIE, MAISHA YA WATU"
Жүктеу.....
Пікірлер: 77
@mchumiajuani19936 ай бұрын
Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@mutalemwa-woerle6 ай бұрын
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@rajimuashirafa82656 ай бұрын
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@OnlyRuky6 ай бұрын
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@mawazoaliselemani6 ай бұрын
Mama yake mzuri Masha Allah,
@rerisamba6 ай бұрын
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@alibinali_6 ай бұрын
Masha'Allah Mama
@user-wb2xo2lv7n6 ай бұрын
Mama unabusara sana kweli ❤
@nzeyimanamwavita19046 ай бұрын
ManshaaAllah Mama
@agnesjohn93826 ай бұрын
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@omanmct1356 ай бұрын
Mashallllah
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Mama mashallah ❤❤
@beatricepallangyo28216 ай бұрын
Hongera sana Mama!!!!
@ritapiusnicolaus70686 ай бұрын
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@vincentmokenye44656 ай бұрын
Hongera jamani mama yupo vizuri
@starjay30526 ай бұрын
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
@Am-vo5cu6 ай бұрын
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@saidnhoathuman10146 ай бұрын
Hongera yake
@renatusjeremiah6 ай бұрын
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc
6 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa3920
6 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
@user-me5ec4xp2j6 ай бұрын
Yupo vizuri Kama my mom alivo
@ibrahimomari24586 ай бұрын
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
@mawalasparepart68686 ай бұрын
Mama mwijaku mlembo sana
@bakariomari87586 ай бұрын
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@nsiamasawe45786 ай бұрын
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@MichaelJames-tp6co6 ай бұрын
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@RehemaMasunga-ml7kt6 ай бұрын
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile5746
6 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
6 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud565
6 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@mwanahamisinyenzi-vo6mj6 ай бұрын
Nimekupenda bureee
@kilimanjaro77international265 ай бұрын
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@happyminja-kb1ow6 ай бұрын
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@kilimanjaro77international265 ай бұрын
Banda la njiwa
@venusmakbel46796 ай бұрын
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ShekiyaoHussein-ki4ty6 ай бұрын
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@user-mb4si9nm3c6 ай бұрын
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@mathewungani97246 ай бұрын
Huu ni Ushamba
@angelsblackboard80086 ай бұрын
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan8358
6 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari8758
6 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel3809
6 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial5676
6 ай бұрын
Kwa kweli@@bakariomari8758
@omanmct1356 ай бұрын
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@mawalasparepart68686 ай бұрын
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@user-uc8ei8kn3l
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@KALULUALLI6 ай бұрын
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel29
6 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@sofitanzanian9556 ай бұрын
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian955
6 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian955
6 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,
Пікірлер: 77
Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
Mama yake mzuri Masha Allah,
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
Masha'Allah Mama
Mama unabusara sana kweli ❤
ManshaaAllah Mama
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
Mashallllah
Mama mashallah ❤❤
Hongera sana Mama!!!!
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
Hongera jamani mama yupo vizuri
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
Hongera yake
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc
6 ай бұрын
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa3920
6 ай бұрын
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga1094
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama
Hongeraa.lakin yumba aifik bilion 1.usiwakatoshe vijana😊
Mmmmmh cna hakika
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
Yupo vizuri Kama my mom alivo
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
Mama mwijaku mlembo sana
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile5746
6 ай бұрын
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
6 ай бұрын
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud565
6 ай бұрын
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
Nimekupenda bureee
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
Banda la njiwa
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
Huu ni Ushamba
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan8358
6 ай бұрын
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari8758
6 ай бұрын
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel3809
6 ай бұрын
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial5676
6 ай бұрын
Kwa kweli@@bakariomari8758
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
Kumbe mama mwijuku pisi kali
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@user-uc8ei8kn3l
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel29
6 ай бұрын
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
Wivu
@sofitanzanian955
6 ай бұрын
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian955
6 ай бұрын
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu1128
6 ай бұрын
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,
@aaa64sa13
6 ай бұрын
Fikra na Akili zako ni ndogo sana.