NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"
Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B) utakua umemuona sana kwenye harusi nyingi akisherehesha kama MC nchini Tanzania, vilevile ni mmoja wa Vijana wa Tanzania pia waliotumia mitandao ya kijamii vizuri kutengeneza majina yao (kuji-brand) na kuonesha kazi zao, leo ameongea na AyoTV na kutueleza mengi tusiyoyafahamu kuhusu yeye ikiwemo kazi ya ualimu kwenye shule ya Sekondari ya Kata.
Пікірлер: 572
Aisee. Huyu mtangazaji nmempenda sana.... amejijua kua hatutak kumsikiliza yeye ila anayemhoji... ana maneno machache mpaka raha.... maswal hayaelezei sanaaa aisee ❣❣❣❣.... mb za mawazo sikuhz hatuna muda na maneno mengi ya watangazaji.... sijapeleka mbele hata kidogo... na MC gara b pia hachoshi kumsikiliza... maswal yametulia❣❣❣
@annamosha968
Жыл бұрын
Saaana 👍👍👍
Haya Ndio maisha tunayoyataka kwa wasanii wetu muishi maisha Really sio ya kuigiza kwenye majumba ya wenzenu hongera sana gala b,kwa umri uliokuwa nao umepambana na dua zangu unazo kk
@olivamarunda8318
2 жыл бұрын
Ukiwa masikini ni wanasemaje ukiwa tajiri wanasemaje Je lipi jema
@juliethhope7281
2 жыл бұрын
N shemeji jmn ana pambana sanaaaa.mnoooooo jmni ANAPAMBANA! SANAAA.
@sarachaura4996
Жыл бұрын
Hongera sana gala
NI MHAYA aliefanikiwa sana Lakini no masifa nampenda sana na MUNGU azidi kumwinua kila iitwapo leo
Hongera sana so Ukimuona mtu na maisha yake-- muache hujui alikoanzia
This is a what we call hardwork. Kumbe haya hayajaja kwa bahati. Umeendelea kutufunza kwamba hakuna mafanikio yanakuja kirahisi.
@ayshersaadallah1886
2 жыл бұрын
For sure my dear
@leticiascalion7592
2 жыл бұрын
Kabisa
Yaani wew ni best Mc kwangu napenda sana unavyo host. Keep it up. Mungu akujalie mema zaidi.
Wallah mb zangu Leo zimeenda kihalali. Sana coz umenifunza vitu vingi mno... Mc wangu WA Dunia mwaaaaa nikija bongo Nina jambo langu lazima uhusike katik khafla yangu aise shukran Sana kwa kunipanua akili yangu
@finestford007
Жыл бұрын
ulitaka zisiende🤣
Asiekukubali basi akapate chanjo haki wewe ni mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana tuliowengi umepambana na matunda yanaonekana alafu uko peace sana ya mwana. Hongera Garab
You are the best example ever....keep it up.
Nakukubari sana mkuuu huko vizuri sana ilove you so much gara B. 😘🥰🥰🥰💃💃
Wow. GaraB may God almighty continue to lift u. More blessings bro from home.
Huyu Mwamba yupo njema sana kimaisha 👏🏾👏🏾👏🏾
mimi nimependatu Alipo sema ::Alhamdulillah:: ikiwa yeye ni Dini nyingne Mashallah
@bmbright5393
2 жыл бұрын
Jaman alhamdulilah ni lugha ya kiarabu Sio dini
@benabdoul8762
2 жыл бұрын
Hhh eti lugha ya kiyarabu
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
@@bmbright5393 apana kaka nikumshukuru mungu kwa kira jambo
@wisperfect5320
2 жыл бұрын
Kipi cha ajabu apo
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
Chaajabu nn,sisi hatunaga ubaguzi ujue.maana kutamka neno ladini nyingine siyokubadiri dini km mnavyofikiriaga nyinyi.kwenu mtu akitamka yakwetu tu uwiiiiii watu watakavyotukana
Nyumba mzuri mashaa Allah wallah ukijituma mungu anakufungulia mpaka ww mwenyewe utashangaa
@priscadaniel6459
2 жыл бұрын
Kabisa
@leticiascalion7592
2 жыл бұрын
Kabisa
@zawadimrindoko6782
2 жыл бұрын
MUNGU ✅ Mungu ✅ mungu ❎
Mashallah uko vizuri ktk kupambana na maisha ..may God stand with you.
Nakupenda sanaaaa Kaka mungu akujarie maisha marefu na yenye baraka
Nimejifunza Sana kwa MC Garab. Asante Millard kwa kucover hii .
Da nimempenda bure ukisikia mchapakazi na mtafutaji basi ndiyo huyu sasa Mungu akubariki sana kazi ya mikono yako amen
Hongera Sana kk, umejenga mjengo wa uhakika, ni mzuri mno aisee!
MC Gara B upo vizuri mno kwenye maswala ya kazi aisee 🤗 Watu wengi wanahisi Mtu anapata kiurahisi tu 🙄 Tuchape Kazi Jmn 💪✌️
Hamna raha kama kuwa na mwanaume anajipenda inamrahisishia sana mke. Ur wife is indeed lucky wallahi. Mc wa harusi yangu mwakani. Yn hata ukiwa booked ntapeleka mbele mpk siku ukiwa friiiiiii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@jasmineshechambo3401
2 жыл бұрын
Namm naomba niwepo🤣👌
@juliethhope7281
2 жыл бұрын
Tishaa sanaaa dear 🤝
@user-ok9xb1mi7b
Жыл бұрын
Acheni tu jamani yani asiejipenda ata huoni raha ya pesa zake it's very board by the way very board bora ata kua single
My best Mc Yesu akutunze ww na familia yko Unajua sn kazi ❤️❤️❤️❤️❤️
Mashallah hongera mc wang nakukubali sna wallah
God Bless You Ayo Tv For Such innovation from Gara B keep it up
Unawakilisha... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
I live in the USA. Sipendi harusi. But I always watch this great man. He dressses to impress. He loves what he does and he is talented. Future spokesperson wa serikali. Mark my words. Kuna siku atanikumbuka kwa hili....
@kennedjohn5785
2 жыл бұрын
Naungana na wewe japo sio kwa cheo hicho ulichokitaja but nimeona uongozi wa kiserikali ndani yake.
@winnersstore9161
2 жыл бұрын
Sawa Sheikh Yahya
@mgm412
2 жыл бұрын
Kuna umuhim gan kusema unaishi USA...acha ushamba
@irenel1494
2 жыл бұрын
@@mgm412 😂😂😂😂🙌🏼
@irenel1494
2 жыл бұрын
@@winnersstore9161 😂😂😂😂
Mashallah, hongera sana *MC Gara B*
Kama wewe ni mhuya gonga like
@pimpam9220
6 ай бұрын
Ukabila wa nini sasa?
BIG UP, nmependa kwenye ushauri wako, kwamba mtu asiwe na ndoto yakuja kuwa kama fulani, ni ajipange yeye kama yeye
Safi sana kaka nakupendaga Bure Mungu aendelee kukubariki pamoja na familia yako
Hongera kaka Mungu ni mukubwa
Brother Mwija, I know you very well i remember tulishafanya kaz pamoja Vodacom na wakat huo wewe ni mwalimu, Ur very true and big fighter, keep it up Kaka angu, Mungu akuinue zaid ya hapo ulipo.
Nakukubali sana mc gara b Mungu atukutanishe siku moja inshaalah...
Hongera Sana MC Mungu akubariki
This is a very good promotional interview .
Wooooow kumbe hii nyumba wanaigiziaga ni yake nzuri mnooo hongera kwakee
So cute and he so humble! Hana majivuno
@iviejustified8109
2 жыл бұрын
Very handsome and humble!
@gladnesskombo7490
2 жыл бұрын
Kbisa yaani utadhani co mzaliwa wa kabila flani mkoani Kagera
@hamidayanga8224
2 жыл бұрын
@@gladnesskombo7490 🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera Sana Mc Gara B.
Hadi rahaaa hongera kwakeee anatuhamasisha tutafute pesa
I really love listening to this guy aki mc kwa Harusi.....he is hilarious n smart sana
Thanks much brother gara B for inspiration
Nakukumbuka sir rugalabam allah akuongezee zaid na zaid
All the way from Kasita Seminary, Mahenge. Nakukumbuka sana mzee G-smile wa TYCS Easter conference. Hongera sana broo
@zakayomaginga6649
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
Hongera upo vizur mwaya
Maashaallaah mungu akuzidishie inshaallah
Hongera Sana kaka tumekaa ofisi moja 2015
Ndio maana Anahekima sana kwa shughur zake....data pia zinakupngoza👌👌👌
In Very professional way ......
Honger sn kaka unamaisha mashaallah uko vizur 👌
@benadethamugeta3073
2 жыл бұрын
l lo ol mol olol olo
Umejaliwa sana kwa kipato
Ur a genius itoshe kusema hivyo tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mashaallah Allah akupe maisha marefu
wahaya tunamajivuno ila tumejariwa kutafuta ongera sana kaka chomaaa💪💪💪
@alexandrinadomaino9868
2 жыл бұрын
Haaa haa eti majivuno wahaya oyeeee. Omukama atwebembele.
Alhamdulilah mungu azidi kukubariki na familia yko ameen
Umenifundisha kitu kikubwa mno be blessed a man of God
Uko vizuri mdogo wangu❤️❤️❤️
Wow MashaAllah
Uyu mkaka ni mzuri mashaa allah na yuaongea kwa point😘hapo kwenye upandri pamoto kka yaani uwache kuoa uwache kuwa na watoto uwache kuwa na mke ahaaa ukorophi huo😃
@kiri5807
2 жыл бұрын
Uwache kuoa ila wazini .
@pamelafabian6601
2 жыл бұрын
Asingeweza ona alivyozaa kama kuku
Bro uko vizuri sana nakukubali mno na hata huku jua kali kweli ww ni noma
Tufanye kazi tuache zana mbaya pia Mambo mazuri hataki harakaa chimba kwaza mifereji alafu uone Kama huto pata ,,,,kiukweli watanzania tulo wengi ,,wavivu wakufikiriiii ,nakufanya
Hongera sana kk manshallah maisha mazur
Mlio sikia alhamdulillah like zenu
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Si kamshukuru mungu au kakosea
Hongera sana Gara B kazi nzuri mnooo, hi Pascal
Waoooh!hongera sana mcgarab
nyumba nzuri eeeeh😍😍😍
Big up This is A haya I know Kagera yangu.
I love it,, well done Brother
Kaka Mungu akuinue viwango vingn zaidi nimejifunza kitu km kijana mwenzako sintokata tamaa kabisa acha nisonge mbele na Mungu wangu kwa jinsi ninavyopambana iko sk nitaziishi ndoto zangu
Mwalimu wang wa english Pendamoyo GODFREY RUGALABAMU
@dannysemwenda5301
2 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiri huu ushuhuda
Nimekuelewa sana Shemeji yangu Mc Gara b, na nimejifunza kitu kikubwa sana hapa.
One love from kasita seminary 🔥🔥🔥enter to learn leave to serve🔥🔥
Aisee uko professional sana🙌🙌🙌🙌
Asante bro umenifundisha mengi.
Hongera Sana kwa kutokukata tamaa
hongera sana ila badae msije tuambia muuza unga au kamtoa mtu kafara
@fatumarashidi5182
2 жыл бұрын
Watu hawakosi la kusema
interested,much love
Hongera Gara B nimepata neno kuwa kazi nzuri inajiuza, thank you
Mc wa KIMATAIFAAA....🤗🤗🤗hongera zake kwa family na mafanikio yke kwa jumlaa.mungu awatunze tuseme INSHALLAH 🤗
@mashaali4127
2 жыл бұрын
Wa kimataifa buanaaah
There is the gap between hard working and succession so there is the one who can close this gap, his name is ALMIGHTY GOD, kuna gepu kati ya uchapakazi na mafanikio kwa wacha MUNGU, MUNGU huliondoa gepu ilo na watumishi wake hufanikiwa, na kwa wale wengine humwendea mwivi shetani anawafanikisha kwa mafanikio makubwa kwa tiketi ya kutoa kafara " mafanikio yeyote duniani yana njia mbili ya MUNGU na ya shetani, na kwaiyo huyu jamaa (mc) anaehojiwa hapa anajua siri ya mafanikio yake".
Mamaee kiskia bonge la bangaloo ndo ili sasa mamaee ongela sana baba na mm nta chukua dizain yko ya nyumba iyo duuuu big upsana baba
Very nice family 👪 bro hongera sana @Garab
Great inspiration 🙏
Mahojiano mazuri sana.We kichwa Gala B. Mseminari upo vizuri.
Uko better mno...Ma Sha Allah...
Mungu akutunze zaidi
Mwenye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho atanyang,'anywa na alicho nacho,,big up bro, MUNGU akutunze na akubariki Zaid na zaidi,,na katk mambo yako yote mkumbuke MUNGU wako maana ndo kila kitu🖖🖖🖖♥️♥️
Ma shaa allah
dream come true hongera Gara B
Big up brother the fighter
Nakupenda kwajir yakaz zako kwenye jua kari umefanya vzur mno
Kufanikiwa mpka ujitume hongera sana zidi kupambana
Hongera the fighting is real bro ,halaf kuna comment mtu anasema freemason roho za kimaskin zitatuisha lin cjui🤣🤣🙌🏽
@allthingdranabeauty
2 жыл бұрын
Uko halipo kuna watu wanamajumba zaidi ya hii Na sio free m nikufanya kazi tu kwa bidii
@olivamarunda8318
2 жыл бұрын
Beth usijusumbuea Na Hao wapogo tuu hawataki kazi
@rachelmbeyu4385
2 жыл бұрын
Yaani ukifanikiwa kidogo tu unaitwa freemason
@husna34562
2 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty kweli
@johnmmbaga3903
2 жыл бұрын
Roho za umaskini wamezibeba 😆😆
Keep it up my brother 😘🌷💚
Very smart,I like him
Keep it up. Kuchapa kazi ndio msingi na self discipline
Mungu akulinde mpambanaji sana
Mungu akubariki Mc Garab 🔥🔥🔥😍
hardworking pays 🙌🙌
Mashaallah uko vizuri mc gara
Very hard working person!!