NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"

Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B) utakua umemuona sana kwenye harusi nyingi akisherehesha kama MC nchini Tanzania, vilevile ni mmoja wa Vijana wa Tanzania pia waliotumia mitandao ya kijamii vizuri kutengeneza majina yao (kuji-brand) na kuonesha kazi zao, leo ameongea na AyoTV na kutueleza mengi tusiyoyafahamu kuhusu yeye ikiwemo kazi ya ualimu kwenye shule ya Sekondari ya Kata.

Пікірлер: 572

  • @witneywilly
    @witneywilly2 жыл бұрын

    Aisee. Huyu mtangazaji nmempenda sana.... amejijua kua hatutak kumsikiliza yeye ila anayemhoji... ana maneno machache mpaka raha.... maswal hayaelezei sanaaa aisee ❣❣❣❣.... mb za mawazo sikuhz hatuna muda na maneno mengi ya watangazaji.... sijapeleka mbele hata kidogo... na MC gara b pia hachoshi kumsikiliza... maswal yametulia❣❣❣

  • @annamosha968

    @annamosha968

    Жыл бұрын

    Saaana 👍👍👍

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad6332 жыл бұрын

    Haya Ndio maisha tunayoyataka kwa wasanii wetu muishi maisha Really sio ya kuigiza kwenye majumba ya wenzenu hongera sana gala b,kwa umri uliokuwa nao umepambana na dua zangu unazo kk

  • @olivamarunda8318

    @olivamarunda8318

    2 жыл бұрын

    Ukiwa masikini ni wanasemaje ukiwa tajiri wanasemaje Je lipi jema

  • @juliethhope7281

    @juliethhope7281

    2 жыл бұрын

    N shemeji jmn ana pambana sanaaaa.mnoooooo jmni ANAPAMBANA! SANAAA.

  • @sarachaura4996

    @sarachaura4996

    Жыл бұрын

    Hongera sana gala

  • @annashaoo-cs3wg
    @annashaoo-cs3wg Жыл бұрын

    NI MHAYA aliefanikiwa sana Lakini no masifa nampenda sana na MUNGU azidi kumwinua kila iitwapo leo

  • @happymushi2219
    @happymushi22192 жыл бұрын

    Hongera sana so Ukimuona mtu na maisha yake-- muache hujui alikoanzia

  • @UnpopularDiscussion
    @UnpopularDiscussion2 жыл бұрын

    This is a what we call hardwork. Kumbe haya hayajaja kwa bahati. Umeendelea kutufunza kwamba hakuna mafanikio yanakuja kirahisi.

  • @ayshersaadallah1886

    @ayshersaadallah1886

    2 жыл бұрын

    For sure my dear

  • @leticiascalion7592

    @leticiascalion7592

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @naahnaah2403
    @naahnaah24032 жыл бұрын

    Yaani wew ni best Mc kwangu napenda sana unavyo host. Keep it up. Mungu akujalie mema zaidi.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11542 жыл бұрын

    Wallah mb zangu Leo zimeenda kihalali. Sana coz umenifunza vitu vingi mno... Mc wangu WA Dunia mwaaaaa nikija bongo Nina jambo langu lazima uhusike katik khafla yangu aise shukran Sana kwa kunipanua akili yangu

  • @finestford007

    @finestford007

    Жыл бұрын

    ulitaka zisiende🤣

  • @nunuuali5316
    @nunuuali53162 жыл бұрын

    Asiekukubali basi akapate chanjo haki wewe ni mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana tuliowengi umepambana na matunda yanaonekana alafu uko peace sana ya mwana. Hongera Garab

  • @apoloniamdendemi2091
    @apoloniamdendemi20912 жыл бұрын

    You are the best example ever....keep it up.

  • @sukariyao6537
    @sukariyao65372 жыл бұрын

    Nakukubari sana mkuuu huko vizuri sana ilove you so much gara B. 😘🥰🥰🥰💃💃

  • @joank7929
    @joank79292 жыл бұрын

    Wow. GaraB may God almighty continue to lift u. More blessings bro from home.

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын

    Huyu Mwamba yupo njema sana kimaisha 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru66962 жыл бұрын

    mimi nimependatu Alipo sema ::Alhamdulillah:: ikiwa yeye ni Dini nyingne Mashallah

  • @bmbright5393

    @bmbright5393

    2 жыл бұрын

    Jaman alhamdulilah ni lugha ya kiarabu Sio dini

  • @benabdoul8762

    @benabdoul8762

    2 жыл бұрын

    Hhh eti lugha ya kiyarabu

  • @maloomaalmnsj5111

    @maloomaalmnsj5111

    2 жыл бұрын

    @@bmbright5393 apana kaka nikumshukuru mungu kwa kira jambo

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    2 жыл бұрын

    Kipi cha ajabu apo

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    2 жыл бұрын

    Chaajabu nn,sisi hatunaga ubaguzi ujue.maana kutamka neno ladini nyingine siyokubadiri dini km mnavyofikiriaga nyinyi.kwenu mtu akitamka yakwetu tu uwiiiiii watu watakavyotukana

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91562 жыл бұрын

    Nyumba mzuri mashaa Allah wallah ukijituma mungu anakufungulia mpaka ww mwenyewe utashangaa

  • @priscadaniel6459

    @priscadaniel6459

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @leticiascalion7592

    @leticiascalion7592

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @zawadimrindoko6782

    @zawadimrindoko6782

    2 жыл бұрын

    MUNGU ✅ Mungu ✅ mungu ❎

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel18262 жыл бұрын

    Mashallah uko vizuri ktk kupambana na maisha ..may God stand with you.

  • @vannesamgasha7030
    @vannesamgasha70302 жыл бұрын

    Nakupenda sanaaaa Kaka mungu akujarie maisha marefu na yenye baraka

  • @victoriaishengoma5634
    @victoriaishengoma56342 жыл бұрын

    Nimejifunza Sana kwa MC Garab. Asante Millard kwa kucover hii .

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal52 жыл бұрын

    Da nimempenda bure ukisikia mchapakazi na mtafutaji basi ndiyo huyu sasa Mungu akubariki sana kazi ya mikono yako amen

  • @dafrosadeus5203
    @dafrosadeus52032 жыл бұрын

    Hongera Sana kk, umejenga mjengo wa uhakika, ni mzuri mno aisee!

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys2 жыл бұрын

    MC Gara B upo vizuri mno kwenye maswala ya kazi aisee 🤗 Watu wengi wanahisi Mtu anapata kiurahisi tu 🙄 Tuchape Kazi Jmn 💪✌️

  • @marianajohn5415
    @marianajohn54152 жыл бұрын

    Hamna raha kama kuwa na mwanaume anajipenda inamrahisishia sana mke. Ur wife is indeed lucky wallahi. Mc wa harusi yangu mwakani. Yn hata ukiwa booked ntapeleka mbele mpk siku ukiwa friiiiiii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @jasmineshechambo3401

    @jasmineshechambo3401

    2 жыл бұрын

    Namm naomba niwepo🤣👌

  • @juliethhope7281

    @juliethhope7281

    2 жыл бұрын

    Tishaa sanaaa dear 🤝

  • @user-ok9xb1mi7b

    @user-ok9xb1mi7b

    Жыл бұрын

    Acheni tu jamani yani asiejipenda ata huoni raha ya pesa zake it's very board by the way very board bora ata kua single

  • @suzanrichard3648
    @suzanrichard36482 жыл бұрын

    My best Mc Yesu akutunze ww na familia yko Unajua sn kazi ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Gift-cx1uo
    @Gift-cx1uo2 жыл бұрын

    Mashallah hongera mc wang nakukubali sna wallah

  • @innocentmushi2721
    @innocentmushi27212 жыл бұрын

    God Bless You Ayo Tv For Such innovation from Gara B keep it up

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Unawakilisha... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @cmsa1r
    @cmsa1r2 жыл бұрын

    I live in the USA. Sipendi harusi. But I always watch this great man. He dressses to impress. He loves what he does and he is talented. Future spokesperson wa serikali. Mark my words. Kuna siku atanikumbuka kwa hili....

  • @kennedjohn5785

    @kennedjohn5785

    2 жыл бұрын

    Naungana na wewe japo sio kwa cheo hicho ulichokitaja but nimeona uongozi wa kiserikali ndani yake.

  • @winnersstore9161

    @winnersstore9161

    2 жыл бұрын

    Sawa Sheikh Yahya

  • @mgm412

    @mgm412

    2 жыл бұрын

    Kuna umuhim gan kusema unaishi USA...acha ushamba

  • @irenel1494

    @irenel1494

    2 жыл бұрын

    @@mgm412 😂😂😂😂🙌🏼

  • @irenel1494

    @irenel1494

    2 жыл бұрын

    @@winnersstore9161 😂😂😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana *MC Gara B*

  • @gloryjesus4308
    @gloryjesus43082 жыл бұрын

    Kama wewe ni mhuya gonga like

  • @pimpam9220

    @pimpam9220

    6 ай бұрын

    Ukabila wa nini sasa?

  • @tutakusaidiakupatagari8831
    @tutakusaidiakupatagari88312 жыл бұрын

    BIG UP, nmependa kwenye ushauri wako, kwamba mtu asiwe na ndoto yakuja kuwa kama fulani, ni ajipange yeye kama yeye

  • @nchambimaduhu997
    @nchambimaduhu99711 ай бұрын

    Safi sana kaka nakupendaga Bure Mungu aendelee kukubariki pamoja na familia yako

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile97492 жыл бұрын

    Hongera kaka Mungu ni mukubwa

  • @evelynvedastus9764
    @evelynvedastus97642 жыл бұрын

    Brother Mwija, I know you very well i remember tulishafanya kaz pamoja Vodacom na wakat huo wewe ni mwalimu, Ur very true and big fighter, keep it up Kaka angu, Mungu akuinue zaid ya hapo ulipo.

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo71542 жыл бұрын

    Nakukubali sana mc gara b Mungu atukutanishe siku moja inshaalah...

  • @alicempuya5238
    @alicempuya52382 жыл бұрын

    Hongera Sana MC Mungu akubariki

  • @khamisally7550
    @khamisally75502 жыл бұрын

    This is a very good promotional interview .

  • @gracepatric4371
    @gracepatric43712 жыл бұрын

    Wooooow kumbe hii nyumba wanaigiziaga ni yake nzuri mnooo hongera kwakee

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat1652 жыл бұрын

    So cute and he so humble! Hana majivuno

  • @iviejustified8109

    @iviejustified8109

    2 жыл бұрын

    Very handsome and humble!

  • @gladnesskombo7490

    @gladnesskombo7490

    2 жыл бұрын

    Kbisa yaani utadhani co mzaliwa wa kabila flani mkoani Kagera

  • @hamidayanga8224

    @hamidayanga8224

    2 жыл бұрын

    @@gladnesskombo7490 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын

    Hongera Sana Mc Gara B.

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph93782 жыл бұрын

    Hadi rahaaa hongera kwakeee anatuhamasisha tutafute pesa

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks84942 жыл бұрын

    I really love listening to this guy aki mc kwa Harusi.....he is hilarious n smart sana

  • @enockisraelnashon5382
    @enockisraelnashon53822 жыл бұрын

    Thanks much brother gara B for inspiration

  • @NGALEMA
    @NGALEMA2 жыл бұрын

    Nakukumbuka sir rugalabam allah akuongezee zaid na zaid

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti2482 жыл бұрын

    All the way from Kasita Seminary, Mahenge. Nakukumbuka sana mzee G-smile wa TYCS Easter conference. Hongera sana broo

  • @zakayomaginga6649

    @zakayomaginga6649

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala75972 жыл бұрын

    Hongera upo vizur mwaya

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis29242 жыл бұрын

    Maashaallaah mungu akuzidishie inshaallah

  • @michaeldotto3859
    @michaeldotto38592 жыл бұрын

    Hongera Sana kaka tumekaa ofisi moja 2015

  • @felistarmwakapalila6801
    @felistarmwakapalila68012 жыл бұрын

    Ndio maana Anahekima sana kwa shughur zake....data pia zinakupngoza👌👌👌

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2602 жыл бұрын

    In Very professional way ......

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8502 жыл бұрын

    Honger sn kaka unamaisha mashaallah uko vizur 👌

  • @benadethamugeta3073

    @benadethamugeta3073

    2 жыл бұрын

    l lo ol mol olol olo

  • @BukuruIbrahim-o3m
    @BukuruIbrahim-o3m11 сағат бұрын

    Umejaliwa sana kwa kipato

  • @marianajohn5415
    @marianajohn54152 жыл бұрын

    Ur a genius itoshe kusema hivyo tu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akupe maisha marefu

  • @shamilanamkubarisanasultan1018
    @shamilanamkubarisanasultan10182 жыл бұрын

    wahaya tunamajivuno ila tumejariwa kutafuta ongera sana kaka chomaaa💪💪💪

  • @alexandrinadomaino9868

    @alexandrinadomaino9868

    2 жыл бұрын

    Haaa haa eti majivuno wahaya oyeeee. Omukama atwebembele.

  • @ummimohamed2148
    @ummimohamed21482 жыл бұрын

    Alhamdulilah mungu azidi kukubariki na familia yko ameen

  • @brianmnsumy6945
    @brianmnsumy69452 жыл бұрын

    Umenifundisha kitu kikubwa mno be blessed a man of God

  • @bjchamba6452
    @bjchamba64522 жыл бұрын

    Uko vizuri mdogo wangu❤️❤️❤️

  • @asiaasiajey5551
    @asiaasiajey55512 жыл бұрын

    Wow MashaAllah

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Uyu mkaka ni mzuri mashaa allah na yuaongea kwa point😘hapo kwenye upandri pamoto kka yaani uwache kuoa uwache kuwa na watoto uwache kuwa na mke ahaaa ukorophi huo😃

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    Uwache kuoa ila wazini .

  • @pamelafabian6601

    @pamelafabian6601

    2 жыл бұрын

    Asingeweza ona alivyozaa kama kuku

  • @sebastianbernard-kb2ip
    @sebastianbernard-kb2ip Жыл бұрын

    Bro uko vizuri sana nakukubali mno na hata huku jua kali kweli ww ni noma

  • @ummymwalimu3965
    @ummymwalimu39652 жыл бұрын

    Tufanye kazi tuache zana mbaya pia Mambo mazuri hataki harakaa chimba kwaza mifereji alafu uone Kama huto pata ,,,,kiukweli watanzania tulo wengi ,,wavivu wakufikiriiii ,nakufanya

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif472 жыл бұрын

    Hongera sana kk manshallah maisha mazur

  • @seifhamood8993
    @seifhamood89932 жыл бұрын

    Mlio sikia alhamdulillah like zenu

  • @maloomaalmnsj5111

    @maloomaalmnsj5111

    2 жыл бұрын

    Si kamshukuru mungu au kakosea

  • @rehemaomary3267
    @rehemaomary32672 жыл бұрын

    Hongera sana Gara B kazi nzuri mnooo, hi Pascal

  • @zaitunimrisho6377
    @zaitunimrisho63772 жыл бұрын

    Waoooh!hongera sana mcgarab

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana3802 жыл бұрын

    nyumba nzuri eeeeh😍😍😍

  • @jenestermerchades9111
    @jenestermerchades91112 жыл бұрын

    Big up This is A haya I know Kagera yangu.

  • @vivianvincent4303
    @vivianvincent43032 жыл бұрын

    I love it,, well done Brother

  • @joetemba6376
    @joetemba63762 жыл бұрын

    Kaka Mungu akuinue viwango vingn zaidi nimejifunza kitu km kijana mwenzako sintokata tamaa kabisa acha nisonge mbele na Mungu wangu kwa jinsi ninavyopambana iko sk nitaziishi ndoto zangu

  • @japhetfesto2021
    @japhetfesto20212 жыл бұрын

    Mwalimu wang wa english Pendamoyo GODFREY RUGALABAMU

  • @dannysemwenda5301

    @dannysemwenda5301

    2 жыл бұрын

    Nilikuwa nasubiri huu ushuhuda

  • @mckingmojojo363
    @mckingmojojo363 Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana Shemeji yangu Mc Gara b, na nimejifunza kitu kikubwa sana hapa.

  • @zakayomaginga6649
    @zakayomaginga6649 Жыл бұрын

    One love from kasita seminary 🔥🔥🔥enter to learn leave to serve🔥🔥

  • @ahuriladaniel9849
    @ahuriladaniel98492 жыл бұрын

    Aisee uko professional sana🙌🙌🙌🙌

  • @monicaregina7792
    @monicaregina77922 жыл бұрын

    Asante bro umenifundisha mengi.

  • @zenamshana6852
    @zenamshana68522 жыл бұрын

    Hongera Sana kwa kutokukata tamaa

  • @fadhiliignusy3790
    @fadhiliignusy37902 жыл бұрын

    hongera sana ila badae msije tuambia muuza unga au kamtoa mtu kafara

  • @fatumarashidi5182

    @fatumarashidi5182

    2 жыл бұрын

    Watu hawakosi la kusema

  • @madamtemu4167
    @madamtemu41672 жыл бұрын

    interested,much love

  • @farajagideon8170
    @farajagideon81702 жыл бұрын

    Hongera Gara B nimepata neno kuwa kazi nzuri inajiuza, thank you

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70392 жыл бұрын

    Mc wa KIMATAIFAAA....🤗🤗🤗hongera zake kwa family na mafanikio yke kwa jumlaa.mungu awatunze tuseme INSHALLAH 🤗

  • @mashaali4127

    @mashaali4127

    2 жыл бұрын

    Wa kimataifa buanaaah

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth25112 жыл бұрын

    There is the gap between hard working and succession so there is the one who can close this gap, his name is ALMIGHTY GOD, kuna gepu kati ya uchapakazi na mafanikio kwa wacha MUNGU, MUNGU huliondoa gepu ilo na watumishi wake hufanikiwa, na kwa wale wengine humwendea mwivi shetani anawafanikisha kwa mafanikio makubwa kwa tiketi ya kutoa kafara " mafanikio yeyote duniani yana njia mbili ya MUNGU na ya shetani, na kwaiyo huyu jamaa (mc) anaehojiwa hapa anajua siri ya mafanikio yake".

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange77582 жыл бұрын

    Mamaee kiskia bonge la bangaloo ndo ili sasa mamaee ongela sana baba na mm nta chukua dizain yko ya nyumba iyo duuuu big upsana baba

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro69302 жыл бұрын

    Very nice family 👪 bro hongera sana @Garab

  • @bryannacheli1760
    @bryannacheli17602 жыл бұрын

    Great inspiration 🙏

  • @georgebundala1915
    @georgebundala19152 жыл бұрын

    Mahojiano mazuri sana.We kichwa Gala B. Mseminari upo vizuri.

  • @salhasaid9667
    @salhasaid96672 жыл бұрын

    Uko better mno...Ma Sha Allah...

  • @tusajigwemathias9185
    @tusajigwemathias91852 жыл бұрын

    Mungu akutunze zaidi

  • @vailethmagwisha4071
    @vailethmagwisha40712 жыл бұрын

    Mwenye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho atanyang,'anywa na alicho nacho,,big up bro, MUNGU akutunze na akubariki Zaid na zaidi,,na katk mambo yako yote mkumbuke MUNGU wako maana ndo kila kitu🖖🖖🖖♥️♥️

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya74212 жыл бұрын

    Ma shaa allah

  • @leaherasto929
    @leaherasto9292 жыл бұрын

    dream come true hongera Gara B

  • @maymlay8198
    @maymlay81982 жыл бұрын

    Big up brother the fighter

  • @merysamueli5195
    @merysamueli51952 жыл бұрын

    Nakupenda kwajir yakaz zako kwenye jua kari umefanya vzur mno

  • @joyceenos4397
    @joyceenos43972 жыл бұрын

    Kufanikiwa mpka ujitume hongera sana zidi kupambana

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43672 жыл бұрын

    Hongera the fighting is real bro ,halaf kuna comment mtu anasema freemason roho za kimaskin zitatuisha lin cjui🤣🤣🙌🏽

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    2 жыл бұрын

    Uko halipo kuna watu wanamajumba zaidi ya hii Na sio free m nikufanya kazi tu kwa bidii

  • @olivamarunda8318

    @olivamarunda8318

    2 жыл бұрын

    Beth usijusumbuea Na Hao wapogo tuu hawataki kazi

  • @rachelmbeyu4385

    @rachelmbeyu4385

    2 жыл бұрын

    Yaani ukifanikiwa kidogo tu unaitwa freemason

  • @husna34562

    @husna34562

    2 жыл бұрын

    @@allthingdranabeauty kweli

  • @johnmmbaga3903

    @johnmmbaga3903

    2 жыл бұрын

    Roho za umaskini wamezibeba 😆😆

  • @avelinakwezi2013
    @avelinakwezi20132 жыл бұрын

    Keep it up my brother 😘🌷💚

  • @magiehermess9949
    @magiehermess99492 жыл бұрын

    Very smart,I like him

  • @editatairo9667
    @editatairo96672 жыл бұрын

    Keep it up. Kuchapa kazi ndio msingi na self discipline

  • @careenallyally3668
    @careenallyally36682 жыл бұрын

    Mungu akulinde mpambanaji sana

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron26692 жыл бұрын

    Mungu akubariki Mc Garab 🔥🔥🔥😍

  • @totoojackie4268
    @totoojackie42682 жыл бұрын

    hardworking pays 🙌🙌

  • @sharifahega6811
    @sharifahega68112 жыл бұрын

    Mashaallah uko vizuri mc gara

  • @jaligawesa
    @jaligawesa2 жыл бұрын

    Very hard working person!!

Келесі