HUYU HAPA MWALIMU KIGINGI WA LAW SCHOOL/ UKWELI HALISI HUU HAPA/ UDHALILISHAJI WATAJWA/ NI MTATA!!

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 12

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu2 ай бұрын

    Mtu huyu makini sana alivutia usikivu wangu. nilitamani kusikia changamoto alizokumbana nazo katika safari yake ya elimu. Nilitaka sana kusikia hadithi yake, kujua asili yake ya kielimu, vikwazo alivyokumbana navyo, na jinsi anavyotazama kupunguza vikwazo hivyo kwa wanafunzi wengine. Pia ushauri wake kwa wenye shauku yakutaka kuwa wabobezi kwenye Sheria. Mahojiano mazuri sana, Hongera kwa mtangazaji, utulivu, maswali yenye maana.

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l2 ай бұрын

    Mtangazaji makini sanaaaaaa

  • @mourricetullah6519
    @mourricetullah65192 ай бұрын

    Shongaaa mtaalamu kabisa wa civili😅 mie namkubali sana hana bayaa kabsa wala wasimchafue kabsaa😀

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile3322 ай бұрын

    Hongera Sana mtangazaji

  • @jameskapele441
    @jameskapele4412 ай бұрын

    Mtu na nusu yaani. Mimi hajunishika. Sema jamaa kanenepa sana.

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian12592 ай бұрын

    Kaka yetu kabisaaa

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa55252 ай бұрын

    Endelea kula 30000 zetu

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc2 ай бұрын

    Yuko vizuri

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p2 ай бұрын

    Mwalimu bora ni yule anayeweza kusoma na kutafiti fani yake kwa kiwango cha juu kabisa cha ujuzi uliopita na pia kuweza kuona fani yake inakokwenda na akachanganya hayo aliyoyapata kulingana na mitaala ya kile anachotakiwa kufundisha na awe na uwezo wa kuisafirisha elimu hiyo kutoka kwake kwenda kwa mwanafunzi wake na mwanafunzi huyo akaelewa alichofundishwa. Kama Mwalimu huyo hajayafanya hayo atakuwa halitendei haki joho la ualimu.

  • @sheistheblackqueen

    @sheistheblackqueen

    2 ай бұрын

    Mwanafunzi anaweza asielewe pia. Haitamaanisha kuwa mwalimu si bora. Inakua shida kama wooote hawajaelewa

  • @WakilimsomiHilaly
    @WakilimsomiHilaly2 ай бұрын

    Well noted@hampreyShonga

  • @mzeemambo8238

    @mzeemambo8238

    2 ай бұрын

    Keep it up Hon. Shonga

Келесі