No video

DAR24 YAMTUNUKU MZEE MAKOSA/ AFUNGUKA MAZITO MBELE YA MEYA/ "SIKUTARAJIA HAYA"

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#IRINGA #MZEEMAKOSA #Dar24Media

Пікірлер: 255

  • @suleimanpossa5474
    @suleimanpossa5474 Жыл бұрын

    Mr makosa ulinisaidia nikiwa nasoma Mkwawa na siku hiyo nilikua dispensary Yako kutibiwa. Nikafanyiwa vipimo nikalipia. Ila sikua na hela za kutosha kulipia dawa. Mr Makosa alinisaidia kupata dawa Toka dispensary yake bila kulipia. Natamani siku Moja nikutane nae nimpe japo laki 1

  • @saburimvano3514

    @saburimvano3514

    Ай бұрын

    Nikukumbushe tu kuwa hiyo ahadi yako kama haujawahi kuonana naye naomba utafute namna ya kuwasiliana naye na umtumie hata kwa mpesa

  • @dennisnjonanje62

    @dennisnjonanje62

    8 күн бұрын

    Kuna mpesa mzee 😂😂😂

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Жыл бұрын

    Bila kumsahau Eddo Bashir alie anza nae mpeni like zake hapa

  • @ananiabaraka4067
    @ananiabaraka406720 күн бұрын

    Anko makosa nimemfahamu mitandaoni, nikapata neema ya kuishi iringa kwa mwezi mmoja, niliazimu kutoka moyoni mwangu kumtafta, nilifanikiwa kumuona siku hiyo machozi yalinilengalenga sana😢. Mungu ampe mema na mwisho mwema anamoyo wa UTU❤.

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Жыл бұрын

    Safi sana, Wema siku zote hauozi, hongera mzee Makosa.

  • @kingnassor9438
    @kingnassor9438Күн бұрын

    Welldone well done again . Thanks so much Dar24. From England. King uk

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 Жыл бұрын

    Nimependa sana jitihada za Mzee Makosa pia Dar 24 nimependa sana mwandishi huna Roho mbaya kabisa Ongera sana Kaka.

  • @rinasmart5123
    @rinasmart5123 Жыл бұрын

    Utambuliwaji wa watu muhimu kama Makosa ni kitu chenye maana na chenye matokeo chanya. Nimependa mtazamo na namna Makosa anavyoyachukulia maisha. Ana akili na upeo mkubwa pamoja na changamoto kubwa aliyoipitia. Nawashukuru nakuwapongeza Dar 24 kwa kulisukuma mbele hili swala la mchango wa Makosa. I just loved it. So very much.

  • @patriciaboniface9975
    @patriciaboniface9975 Жыл бұрын

    Uyu mzee kanibadilisha sana moyo wangu kanifanya ninyanyuke nifute machozi niende mbele nakujipiga kifua kwamba kuanguka kimaisha si mwisho wa maisha mungu amtunze mr makosa

  • @Josephineexsuper

    @Josephineexsuper

    Жыл бұрын

    Hakika tupo wengi

  • @rubenprince8990

    @rubenprince8990

    Жыл бұрын

    @@Josephineexsuper huyo mzee makosa maneno yote aliyoyasema mimi nimeyaweka moyoni mpaka nakufa naishi hapa AUSTRALIA 🇦🇺 lakini nimekubali mzee makosa ndo mpango mzima

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Жыл бұрын

    Kazi nzuri Dar24, tunakushukuru Makosa kwa kutoa kwa jamii, Mungu akujalie heri.

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 Жыл бұрын

    very interesting kwa kwel...Hongereni Dar24 na mzee makosa

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Жыл бұрын

    Namkubali sana mjomba makosa. Mzalendo👏🇹🇿.

  • @saidjephter
    @saidjephterАй бұрын

    hongera sana Dr24 , kwakweli nmefatilia mahojiano yako na mzee Makosa 1 ad 5, Hakika nimejifunza mambo mengi Shukrani sana.

  • @salmaheri971
    @salmaheri971 Жыл бұрын

    Jambo la Baraka Sana kuona a naanza kuedhiwa

  • @sakuranitillya6088
    @sakuranitillya6088 Жыл бұрын

    Nimependa sanaaaa hongereni dar 24 huaga hamkoseagi hongereni sana

  • @davidadammssika3374
    @davidadammssika3374 Жыл бұрын

    @Dar 24 mmefanya kazi nzuri sana! Nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwa Mzee Makosa

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    Жыл бұрын

    Niliomba msaada wao nikashindwa kusaidiwa kuna huyu tapeli anajiita Zabron C mwita, hili limtu limetapeli weng linazunguka kwenye mitandao kila media nakujifanya ana sitori ili awatapeli watu

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Жыл бұрын

    Dar24 mmefanya jambo jema sana sana, nimejikuta na smile kwa ajili ya Makosa. Safi sana

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын

    Mungu nipe roho ya uvumilivu kama wa mzee makosa

  • @angebizokunda3447
    @angebizokunda3447 Жыл бұрын

    Wow.❤

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Жыл бұрын

    Jambo kubwa sana dar24 kwa Mzee huyu ni shujaa wa kweli hongera

  • @issaabdallah7660
    @issaabdallah7660 Жыл бұрын

    Hongera sana dar24 hakika mmefanya jambo kubwa sana mungu atawalipa

  • @bobboris4859
    @bobboris4859 Жыл бұрын

    MAKOSA THE LEGEND

  • @bonaventuremwaipaja1938
    @bonaventuremwaipaja1938 Жыл бұрын

    Nimefurahi sana kufuatilia kipindi hiki cha Mzee MAKOSA kwa kweli ana IQ Kubwa Sana. Mfano aliposema *Kila Mwanafunzi aminishwe kupanda mti Mmoja tu kwa kipindi hicho cha Masomo yake 7 ya elimu ya msingi mti utakuwa mkubwa* Nipo Washington DC nawafuatilia Dar 24 Shukrani

  • @johnsondavid1619
    @johnsondavid1619 Жыл бұрын

    Dar24, Mmefanya kazi nzuri na kumbwa sana, Mbarikiwe

  • @kelvinmsodoki7130
    @kelvinmsodoki7130 Жыл бұрын

    Mungu awabariki kwa huwo wema mliofanya

  • @asajilepiusmahenge5729
    @asajilepiusmahenge5729 Жыл бұрын

    Kweli maisha ni safari ndefu sana kikubwa ni kuishi na watu vizuri mzee makosa kweli una moyo mkubwa jinsi ulivyokuwa na majumba nk looh!🙏🙏🙏

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Жыл бұрын

    Kuishi na mtu na kumpenda ni vitu viwili tofaut.💪🙏♥️

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Жыл бұрын

    Yaan naomba mpk Rais Samia amtambue apate kurudishiwa vitu vyake km zile ushuru walizomtoa wakati ilikuwa kwa faida ya nchi Ahsante Dar 24💪🏼

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Жыл бұрын

    Dar 24 asanteni sana kiukweli

  • @filemonnoah9082
    @filemonnoah9082 Жыл бұрын

    Haijalishi style ya Maisha aliyo nayo, Haijalishi nyakati mbaya alizopitia wala haijalishi makosa aliyoyafanya katika maisha yake, Ila ijulikane Mungu hutumia vidhaifu kwa ajili ya utukufu wake! Yeye kuwajali wengine kuliko yeye mwenyewe ametimiza kile ambacho wanadamu wote tunapaswa kufanya kwa ajili ya wengine. Mungu anamuona na atambadilisha na kuwa bora zaidi na hata maisha yake yakikoma, kuna jambo la kujifunza atakaloliacha kwa vizazi vijavyo!...Lipo tumaini la mti kuwa ukatwapo huchipua tena.....! Ayubu 14:7-9

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 Жыл бұрын

    Safi sana hongera makosa

  • @jamesmwakibinga4611

    @jamesmwakibinga4611

    Жыл бұрын

    Sijawahi Kuchanga Michango ya Jamii za media... Uyu Mzee Mkianzisha Kampeni ya Saidia Kumuinua Makosa Mimi nitachanga.

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Жыл бұрын

    Daa machozi yananitoka anaongea kwa hisia sanaa na machungu ya selikali kuchukua pesa zake ❤❤ anko makosa

  • @vom84
    @vom84 Жыл бұрын

    Mtabarikiwa sana Dar24

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 Жыл бұрын

    Hawa ndo watu wa kuenziwa sasa cyo mtu anakuwa maarufu kwa kunywa pombe n.k tunategemea tumwone akialikwa bungeni na kwny majukwaa mengine 'big up dar 24 media my favorite online media👏

  • @Josephineexsuper

    @Josephineexsuper

    Жыл бұрын

    Wewe ni akili kubwa, NAUNGA mkono hoja yako. Watu kama Hawa wanastahili kupewa heshima na vyuo vikuu, pia kualikwa bungen. LAKINI maajabu hapa kwetu mlevi anakuwa recognized na anaalikwa bungeni, na wabunge wanamshangilia Kwa makofi😝😝

  • @dictarchelsea

    @dictarchelsea

    Жыл бұрын

    Halafu akishaitwa bungeni?

  • @jumaally7021
    @jumaally7021 Жыл бұрын

    Nikikosa kuwapa pongezi dar24 nitakua mchoyo na mdhaifu wa nafsi. Hongera kwa kazi nzuri hasa niliyoifuatilia kuhusu mzee makosa. Mungu awape nguvu,afya,imani na kipato kinachotoshereza kukuza kazi zenu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Kupenda ni kitu automatic utokea yupo sawa, na ni kweli mtu anaweza kuishi na mtu na hasimpende na hii hipo katka mausiano

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau1586 Жыл бұрын

    Dar24 mko sahihi sanaa sio kuonyesha mambo yasiyo na msingi huu ndio mfano mzuri vyombo vingine vya habari vijifunze kutoka kwenu nimewapenda sanaa

  • @fatumahamadi6072
    @fatumahamadi60722 ай бұрын

    Mashaallah mzee makosa alijitahid kufanya mazingira yapendeze

  • @leonardnyange7152
    @leonardnyange7152 Жыл бұрын

    Uyu mzee anakitu kikubwa sema tz atuwezi kumuendo

  • @user-zj6xn8dr4u
    @user-zj6xn8dr4u3 ай бұрын

    I'm watching it from south Africa

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Жыл бұрын

    MashaAllah MashaAllah mungu ni mwema , tunaomba apatiwe mwanasheria mzuri hata wa serikali ili afuatiliwe Mali zake kama hospital na gesti zake zirudishwe kwenye mikono yake ,amefanya kazi kubwa baba wa watu halafu wakampola kirahisi inauma sana .Asante da24 Kwa kulitilia mkazo hongereni sana

  • @cathykayinga9327

    @cathykayinga9327

    Жыл бұрын

    Hospital yake hakuzurumiwa ila aliuza mwenyewe na wake zake nilikua shahidi siku ya mauziano na walianza kdg kdg kuuza mara viti mara madawa mwisho hospital ikawa haina kitu ndio akanunua daktar alieitwa Dr Ngallah

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, msiishie kumpatia tuzo ya karatasi tu, mpangieni Mr. Makosa posho ya kila mwezi angalau 300,000/= pamoja na NHIF yake na mkewe, hii itakuwa hamasa kwa Wanairinga wengine kuupenda mkoa na Serikali yao.

  • @kidodosimichael349

    @kidodosimichael349

    Жыл бұрын

    Uko SAHIHI 💯 and it's very simple!!!! ‼️‼️

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Жыл бұрын

    Bless up Stand up Jah bless you makosa

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 Жыл бұрын

    anampenda sn Mumgu huyu mzee Mungu Ampe maisha mema

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Жыл бұрын

    Namkumbuka sana makosa pale wilolesi alikuwa anatupa tule maembe ila kokwatumuachie then anatengenezea miti na kuppanda kila nyumba

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Kufilisika kwa wajasiriamali kama hawa iwe changamoto kwa wasomi wetu wanaotuaminisha kuwa na weledi ktk masuala ya uchumi na biashara. Mifumo ya uchumi ya Wenzetu wa huko "majuu" huwalinda sana entrepreneurs wa namna ya Mr. Makosa. Mfumo wetu wa Uchumi na biashara Tz, maafisa biashara wanafanyakazi ya kukamata na kufunga biashara za watu, siyo kuzifanya ziendelee. TRA, mabenki ya biashara siyo rafiki wa biashara na wafanyabiashara, na, ndiyo maana wengi wanajiingiza kwenye matumizi ya ushirikina "ndagu" kwa imani kulinda na kuendeleza biashara zao. Tanzania pagumu sana kufanya biashara.

  • @Josephineexsuper

    @Josephineexsuper

    Жыл бұрын

    Genius. Akili kubwa. Umewaza Kwa MAPANA, na huu ndio ukweli

  • @mosesmashili4969

    @mosesmashili4969

    Жыл бұрын

    Umeongea pakubwa sana.

  • @apolinarytheking
    @apolinarytheking Жыл бұрын

    Dar24 mumejua kuonyesha upendo wa pekee kwa mzee wetu.Mungu awabariki sanaa.

  • @tolepeter3538
    @tolepeter35384 ай бұрын

    Pongezi sana kwa kumtambua Huyu bwana.Napenda habari za Tanzania.Salamu kutoka Kenya.🇰🇪

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Makosa your servant of God, you did well in

  • @edibilyedson6442
    @edibilyedson6442 Жыл бұрын

    Kaka asante kwa Interview makin, ila nakuomba kama ikiwezekana Serikali wafanye kumrudishia kias cha pesa yake iliyotaifishwa ili aweze endelea jimudu kimaisha na endelea mawazo yake ya kutunza mazingira. Kimsingi aliweka hazina ya badae japo watu hawakuitambua na serikal ikampiga nyundo japo ili lilikuwa suala la serikali flani na mfumo wake.

  • @samidquiz6316

    @samidquiz6316

    Жыл бұрын

    Kumbe alifillisiwa daah

  • @musamlulu2233
    @musamlulu22335 ай бұрын

    Dar24 mmefanya jambo jema sana hii nimeitazama 2024 kwa mara ya kwanza ila imenigusa sana mungu awabarki muendelee kufanya vyema pia mungu ambariki mzee makosa huko aliko.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Жыл бұрын

    Aisee nilifuatilia interview zz nyuma,mpka hii nimeifuatilia kiukweli Dar 24 mmefanya jambo kubwa sana la kutambua mchango wa mzee makosa,mwenyewe nimeanza kupanda miti kupitia mawazo niliyoyapata. Upendo mwingi kutoka hapa Finland 🇫🇮🇫🇮🤝

  • @Josephineexsuper

    @Josephineexsuper

    Жыл бұрын

    Safi sana. Kama upo Finland ukumbuke pia kurudi upande na huku nyumbani

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Жыл бұрын

    Tutakukumbuka mzee makosa kwa uhai wako huu god bless you

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Жыл бұрын

    Nimemuelewa Mzee hapo amemaanisha Anaishi nae ki mazoea tu ila sio Love 💕 katika moyo anaishi nae ki mazoea tu Yani amemzoea hawezi kumkosa kwa mazoea aliojijengea kwake ila Hana Love 💕 kumoyo gwake😂😂😂😂😂😍😭

  • @happyhousekeeper

    @happyhousekeeper

    Жыл бұрын

    Haha inauma ukijua 😀😀 imbora angekuwa make ndio hapendi yeye .

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Жыл бұрын

    Wow Babaangu Makosa Leo apigwa na kitu kizito yani bong la surprise.ila nyie Dar 24 Mumebarikiwa sio kidongo na Mungu azidi kuwabariki bila kusahau wote ambao wameshiriki.nimeamini mazuri haozi

  • @neemalambo9790
    @neemalambo9790 Жыл бұрын

    Aisee bigup Dar 24. Nimeguswa sana na Makosa, Mungu amlejeshee hali yake kwa kuwa ni mtoa msaada

  • @maryamali5679
    @maryamali5679 Жыл бұрын

    Jamani makosa amenigusa sana,very smart, akumbukwe kitaifa kama balozi wa mazingira kitaifa.yaani dar 24 mmefanya jambo,mungu awabariki.

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 Жыл бұрын

    Ukimuangalia kama mlevi mlevi lakini akiulizwa swali utashangaa jinsi anavolijibu kwa IQ kubwa alafu ana madini kichwani ya kutosha.

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    Жыл бұрын

    Hakika💪

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    Жыл бұрын

    Yuko vizurii sijui msomi huyu

  • @munyakatali7514

    @munyakatali7514

    Жыл бұрын

    Anakunywa sana lakini nafikili ni stress ila anapenda amani

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Жыл бұрын

    Mngetengeneza GO FUND MAKOSA achangiwe chochote kilichopo.

  • @user-zj6xn8dr4u
    @user-zj6xn8dr4u3 ай бұрын

    Even now we still watch it it's very interesting 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @emmanuelbernard8628
    @emmanuelbernard8628 Жыл бұрын

    Hongera sana Dar 24

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Жыл бұрын

    Mh Mtangazaji Rambati 24 Mungu Asimame Nanyi Azidi Kuwainua Kwa Kazi Kubwa na Nzuri SANA Kwa Taifa letu la Tanzania na Dunia Jamani

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Жыл бұрын

    Hata kwa mungu kesho ana ujira mkubwa sana hiyo ni sandakan na hazina ya kudumu ❤❤❤❤❤❤

  • @angelinamwaimu
    @angelinamwaimu9 ай бұрын

    Nampa big up

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Жыл бұрын

    Mzee Mungu akupe mrefu akujalie afya njema amin nimekupenda una hekima sana

  • @cuthbertbruce2098
    @cuthbertbruce2098 Жыл бұрын

    Sasa wale wafanyabiashara wakubwa wa Iringa wajitafakari Kama media inatoka dar na kuja kumshika mkono makosa wa Iringa na wao wapo serikali idara ya mazingira ipo haioni haja yakufanya kitu ni aibu sana

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 Жыл бұрын

    Nic 1❤

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын

    Dar24 mkovizuuri sana hua nawafatilia sana 👍 MAKOSA nizaidi ya Stering, Bg up sanaa

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 Жыл бұрын

    Wema ni Akiba, hongera sana Mzee Makosa! Unatunzo yako Mbinguni.

  • @luhizomkombozi5763
    @luhizomkombozi5763 Жыл бұрын

    Duh!! Haya maisha tumwombe MUNGU tuwe na mwisho mwema!! Asanteni sana dar 24

  • @hassanihathunu9531

    @hassanihathunu9531

    3 ай бұрын

    Thummah amiin

  • @hassanihathunu9531

    @hassanihathunu9531

    3 ай бұрын

    Thummah amiin

  • @aminahassan4523
    @aminahassan4523 Жыл бұрын

    Love from Kenya 😍

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 Жыл бұрын

    Dar24......hongereni kwa kazi nzuri ...kwa kazi kuu ya Mungu

  • @thabitmolly6957
    @thabitmolly6957 Жыл бұрын

    Wema unaishi hongera Dar 24 hongera Mzee wangu Makosa kwa kuipendezesha Iringa

  • @PascalErnest
    @PascalErnest2 ай бұрын

    Makosa nimejifunza vingi kwako babA mungu akupe Maisha marefu mzee wetu🎉🎉❤❤

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu15125 ай бұрын

    you deserve credit mzee makosa,u did good job .mtu mmoja tu mzee makosa by then alifanya kitu ambacho wengi by then hakuona impact yake baadae lkn Leo watu wa iringa wana enjoy muonekano mzuri na hewa nzuri ,ingekuwaje kama wangetokea akina mzee makosa 100 hapo iringa kwa kipindi hicho? Hongereni dar24 media

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Nimependa makosa, nimkweli haongei uongo mbali na, kusema kuwa hampendi mkewe bali alimuita wakati anaulizwa nini afanyiwe anamthamini pia mkewe

  • @spkaprotas
    @spkaprotas29 күн бұрын

    DAR 24 MNAPASWA KUPEWA TUZO❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @edwardmwakanolo1259
    @edwardmwakanolo1259 Жыл бұрын

    Pongezi nyingi sana kwenu Dar 24 kwa kazi nzuri,huyo mzee aungwe mkono kwa nguvu zote,ikiwezekana mbali na kuwa balozi wa Mazingira kwenu Dar 24 basi awe balozi pia mkoa wa Iringa upande wa mazingira,mzee anakitu kikubwa saba kichwani kwake kwa ustawi wa mazingira

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Жыл бұрын

    Yeah noma sana my brother 🔥🔥🔥🔥

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын

    Hongereni Dar24 lkn kumbukeni awali alisema aliambiwa alipie miti alitopanda hapo mmepawekaje, japo jingine ni kuwa watu waache kupanda mti moja na sherere kwa kiongozi kumwagilia maji mti

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын

    Hongera sana dar 24 hongera sana Mzee makosa, ila isije ikatokea baadae kuwa hizo miti zimeoteshwa na halimashauri kama kwa sasa ilivyokua kwa majaliwa aliyeokoa kwenye precision

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Жыл бұрын

    Watu kama aho wachache duniani

  • @MohamedAli-mv6dk
    @MohamedAli-mv6dk Жыл бұрын

    Hondera Dar24 kwa kumukubuka shuja mzee makosa kwa hodari wake wa ki pekee kwa kugusa mazingira mimi niko usa 🇺🇸

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Жыл бұрын

    Tujifunzeni Sana huyu mzee makosa aliyafanya haya kwaajili ya watu na kwa ajili ya Mungu yaan alifanya masaada ndio mana Bado Mungu amezidi kumkumbuka

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 Жыл бұрын

    Makosa mpeni hella jamn maisha yeke yakae vizur naona ajaa kasawa vzr anawaza Mali zake

  • @hamisinamanolo9570
    @hamisinamanolo9570 Жыл бұрын

    Dar 24 Ongereni sana kwa kupost vitu vya msingi na kuelimisha.

  • @martinmasaga4023
    @martinmasaga4023 Жыл бұрын

    Huyu ndio mfano bora zaidi wa kuitwa Daktari wa heshima, napendekeza apewe heshima hiyo pia Mali zake anazodai kudhurumiwa basi Serikali ifanyie kazi kujilizisha na kama itawezekana huyu mtu arudishie pesa zake hata kama sio zote.

  • @Josephineexsuper

    @Josephineexsuper

    Жыл бұрын

    Hakika, umewaza kama Mimi. Na wengi sana wamedhulumiwa haki na Mali zao. Kuna familia unaziona zinaishi maisha duni, lakini ukiwasikiliza story za maisha yao, wanakuonyesha majumba katkat ya miji na kusema Babu zao walidhulumiwa enzi hizo. Watu walidhulumiwa sana

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    Жыл бұрын

    Wadhuurumaji wapo wengi sana, Tunaomba serikali yetu itusaidie akina ZABRON C MWITA, ni tapeli alafu anajificha kwenye uchawi tunaomba viongozi wetu watusaidie

  • @laurinfred2931

    @laurinfred2931

    Жыл бұрын

    @@dorcaskidoti249 huwa ni tapeli kumbe

  • @stephensinka5616

    @stephensinka5616

    Жыл бұрын

    Yes good point

  • @alexaugustino4644
    @alexaugustino4644 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏dar24 kwa kuibua hili alisahaulika jaman makosa ahsante sana

  • @mwoney1
    @mwoney1Ай бұрын

    Mungu akupe kila hitaji la moyo wako makosa

  • @floraflora5717
    @floraflora57176 ай бұрын

    ,😂😂😂😂😂❤❤❤ yaani wewe Mzee nampenda sana ❤❤

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Жыл бұрын

    Alipwe pesa kwa.kutunza mazingira, kama kumbusti kwenye pesa za dharura.

  • @shaniepallah1773

    @shaniepallah1773

    Жыл бұрын

    Nakubaliana na mzee wetu kwa asilimia mia moja nikweli wengine wanaishi na wake ili wakuze familia ila sio kwa mapenzi

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Жыл бұрын

    Asantee dar24 leo nimekutana na mtu mweny idea Yangu asantee Kwa kunipa nguvu

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 Жыл бұрын

    pongezi nyingi sana kwenu da24 media kazi nzuri mwenyezi MUNGU azidi kuwabaliki

  • @husseinsidibe4954
    @husseinsidibe4954 Жыл бұрын

    Mazungumzo Safi 👌🏾

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Жыл бұрын

    Aisee huyu mzee ana IQ kubwa sana. Ningependa kumiona nakumshika mkono nakumshukuru kwa mchango wake

  • @tz5454

    @tz5454

    Жыл бұрын

    Njoo nikupeleke

  • @danielmbalwa9307
    @danielmbalwa9307 Жыл бұрын

    Hongeraaa sanaaa Dar 24 kwa kumjalii nduguu yetuu makosaaa miakaa ya 1996 mpk 2000 nikiwa Iringaa

  • @ntiliyothomas225
    @ntiliyothomas2252 ай бұрын

    Daaaaah Mungu atamuinua tena hakika anaani sana na Mungu

  • @shabanbruno8136
    @shabanbruno8136 Жыл бұрын

    Very smart huyu jamaa…Ana hisia sana na hasira kwa kupoteza pesa zake kwa Wema wake kwa serikali…nadhan viongozi wanaona na wanaweza kuwa na chakumfanyia huyu mzee kabla hajafariki….tusisubiri aondoke duniani ndipo tuje tutambue mchango wake

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 Жыл бұрын

    Asante Sana baba mzee makosa

  • @AngelEmmanuel-t8l
    @AngelEmmanuel-t8lАй бұрын

    Nimepita kwingi nimejifunza mengi ila mzee makosa kanifunza mengi zaidi yani maisha yangu yote ya duniani sito wahi kukata tamaa kabisa nitaheshimu kila nimuonae mbele yangu yani kan funza mengi mpaka naogopa

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau1586 Жыл бұрын

    Genius huyu jamaa

Келесі