MREMBO ALIYEJENGA NYUMBA 3, ALIACHA KAZI, "MOJA MIL 280, WANANIITA FREEMASON".

Пікірлер: 514

  • @tamuafrikastudios6251
    @tamuafrikastudios6251 Жыл бұрын

    Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 Жыл бұрын

    Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake

  • @winniecharles8883

    @winniecharles8883

    Жыл бұрын

    Congratulation dear nami napenda kufanya biashara

  • @enelybukuku6902
    @enelybukuku6902 Жыл бұрын

    Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Жыл бұрын

    Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    Жыл бұрын

    Majigambo sana

  • @mwitaagness455

    @mwitaagness455

    Жыл бұрын

    Mpk nimeacha kuangalia

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Жыл бұрын

    Naunga hoja

  • @kanyanga0852

    @kanyanga0852

    Жыл бұрын

    Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara

  • @joelsamwel2580

    @joelsamwel2580

    Жыл бұрын

    Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana

  • @marymwamwezi4837
    @marymwamwezi4837 Жыл бұрын

    Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako

  • @rebekamutta3033
    @rebekamutta3033 Жыл бұрын

    Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha

  • @favourfranciss2111
    @favourfranciss2111 Жыл бұрын

    Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 Жыл бұрын

    Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha

  • @imankyamba4424

    @imankyamba4424

    Жыл бұрын

    Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo

  • @claramrosso2566

    @claramrosso2566

    Жыл бұрын

    Dada muongooo

  • @dorcassoza6416

    @dorcassoza6416

    4 ай бұрын

    Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu

  • @dorcassoza6416

    @dorcassoza6416

    4 ай бұрын

    Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Жыл бұрын

    Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!

  • @nassirmohamed8492

    @nassirmohamed8492

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @angelavayinga914

    @angelavayinga914

    Жыл бұрын

    Kweli kbs tutafute hela

  • @floraflora5964

    @floraflora5964

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @evalinmsengi4327

    @evalinmsengi4327

    Жыл бұрын

    Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana

  • @philipphanuel9558

    @philipphanuel9558

    Жыл бұрын

    Biashara mtandao ndio nini

  • @mcback4384
    @mcback4384 Жыл бұрын

    positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    Жыл бұрын

    Ukitaka kuelewa vizuri positive na negative nenda ukapime Vvu ndy utajua yupo sahihi 🤣🤣🤣

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын

    Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka

  • @venniealloyce2174
    @venniealloyce2174 Жыл бұрын

    Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏

  • @edwinmtei9400

    @edwinmtei9400

    Жыл бұрын

    Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini

  • @ernestamnyanyi9603
    @ernestamnyanyi9603 Жыл бұрын

    Your inspiring me

  • @lyidiakaburure8129
    @lyidiakaburure8129 Жыл бұрын

    Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.

  • @jacklinemassawe-cz8it
    @jacklinemassawe-cz8it Жыл бұрын

    Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @innocentcareen818

    @innocentcareen818

    Жыл бұрын

    Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka

  • @dottohami
    @dottohami Жыл бұрын

    Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲

  • @hamadgimat5669
    @hamadgimat5669 Жыл бұрын

    Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    Жыл бұрын

    Amiina

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Жыл бұрын

    Jaman hongera sana mdg wangu

  • @GladnessMarandu-qp3oz
    @GladnessMarandu-qp3oz Жыл бұрын

    Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,

  • @lemalema3613
    @lemalema3613 Жыл бұрын

    Well done. So inspiring. Keep it up.

  • @petermuhoro2236

    @petermuhoro2236

    Жыл бұрын

    napenda unicanue kama ifo, napenda kuwa kama wewe tafadhali

  • @petermuhoro2236

    @petermuhoro2236

    Жыл бұрын

    nakusikilisa sawasawa

  • @precioussilungwe7365
    @precioussilungwe7365 Жыл бұрын

    Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.

  • @rehemamfugale4388
    @rehemamfugale4388 Жыл бұрын

    Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Жыл бұрын

    Hongera Sana Dada kwa kupambana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Hongera sana 😍💪

  • @lucymrosso6930
    @lucymrosso6930 Жыл бұрын

    Nmekupenda sn. Asante

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 Жыл бұрын

    Majigambo Kwa sana

  • @annaluciahillary5107
    @annaluciahillary5107 Жыл бұрын

    Nimekupenda San dada🥰🥰🥰

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Жыл бұрын

    Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Жыл бұрын

    Barikiwe sana

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 Жыл бұрын

    Big up Masipeti

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Жыл бұрын

    Woow congratulations

  • @ShamsiaShamsia-qr4lh
    @ShamsiaShamsia-qr4lh Жыл бұрын

    Mashallah ❣️♥️ asante Sana

  • @NeemaMuna-eq2cg
    @NeemaMuna-eq2cg Жыл бұрын

    Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 Жыл бұрын

    Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Жыл бұрын

    Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito500 Жыл бұрын

    Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana

  • @khafsayahya4066
    @khafsayahya4066 Жыл бұрын

    Masipety❤️❤️❤️

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 Жыл бұрын

    Hongera sana,umeweza.

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Жыл бұрын

    Mashaailaah

  • @uviko8848
    @uviko8848 Жыл бұрын

    Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.

  • @zaitunirajabu1317

    @zaitunirajabu1317

    Жыл бұрын

    True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy

  • @uviko8848

    @uviko8848

    Жыл бұрын

    @@zaitunirajabu1317 sanaaa

  • @kelvinnjawike1808

    @kelvinnjawike1808

    Жыл бұрын

    Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu

  • @roseombay2086
    @roseombay2086 Жыл бұрын

    Zaka na sadaka,asante dada

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 Жыл бұрын

    Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii

  • @veronikamwampashe984

    @veronikamwampashe984

    Жыл бұрын

    Axante sana dunia imeisha

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    Жыл бұрын

    Waambie

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Жыл бұрын

    Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa

  • @gasgartv6931
    @gasgartv6931 Жыл бұрын

    Dada angu masipety Mzungu sana Ana roho safi sana

  • @DanielJames-of7yr
    @DanielJames-of7yr Жыл бұрын

    Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu

  • @user-fq7rq3sb9c
    @user-fq7rq3sb9c6 ай бұрын

    Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana

  • @pendo8082
    @pendo8082 Жыл бұрын

    Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu

  • @gracekenan4665

    @gracekenan4665

    Жыл бұрын

    Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara

  • @pendo8082

    @pendo8082

    Жыл бұрын

    @@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli

  • @samorasanga2230
    @samorasanga2230 Жыл бұрын

    Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano

  • @kamogesamuel2461

    @kamogesamuel2461

    Жыл бұрын

    Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.

  • @timoliiisaya3824

    @timoliiisaya3824

    Жыл бұрын

    @@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆

  • @boashamah3642
    @boashamah36429 ай бұрын

    Money Talks my dear friends And well done my big sister ❤

  • @leilamsafiri8320
    @leilamsafiri8320 Жыл бұрын

    Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini

  • @neemagellop2532

    @neemagellop2532

    Жыл бұрын

    Nimecheka

  • @winniecharles8883

    @winniecharles8883

    Жыл бұрын

    Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤

  • @MaryNgoi-

    @MaryNgoi-

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @veronicatemba7683

    @veronicatemba7683

    Жыл бұрын

    Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha

  • @marthasomi

    @marthasomi

    Жыл бұрын

    Hongera mdogo wangu

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Жыл бұрын

    Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha

  • @jenifagerald1822

    @jenifagerald1822

    Жыл бұрын

    Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze

  • @Nairathotmail

    @Nairathotmail

    Жыл бұрын

    @@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi

  • @maryamkhamis724
    @maryamkhamis724 Жыл бұрын

    Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢

  • @jasminmayumba9421

    @jasminmayumba9421

    Жыл бұрын

    Pole sana dada, hakika Allah atakulipia

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    Жыл бұрын

    Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana

  • @maryamkhamis724

    @maryamkhamis724

    Жыл бұрын

    @@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah

  • @maryamkhamis724

    @maryamkhamis724

    Жыл бұрын

    @@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Жыл бұрын

    follow the process of success✊

  • @fikamanciya8190
    @fikamanciya8190 Жыл бұрын

    thank you so much mam

  • @gaomariwa7637
    @gaomariwa763710 ай бұрын

    Classmate🎉🎉 hongera

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Жыл бұрын

    Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Жыл бұрын

    TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.

  • @Jackmushil

    @Jackmushil

    Жыл бұрын

    Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.

  • @MoureenMushiMushi

    @MoureenMushiMushi

    Жыл бұрын

    Umesema

  • @minjesha
    @minjesha Жыл бұрын

    Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..

  • @floralyimo1609
    @floralyimo1609 Жыл бұрын

    Hongera sana dada

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @hubman6780
    @hubman67803 ай бұрын

    Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Жыл бұрын

    Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃

  • @user-md1os3ye2g
    @user-md1os3ye2g4 ай бұрын

    Hongera sana mwanangu umeugusa moyowangu napendasana ujenzi. Natamani hataningeongea nawewe binafsi

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Жыл бұрын

    Masha'allah

  • @evnctmb1824
    @evnctmb1824 Жыл бұрын

    Ongera Sana dadaa

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 Жыл бұрын

    Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪

  • @user-uw9rz5zo7j
    @user-uw9rz5zo7j6 ай бұрын

    Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Жыл бұрын

    Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..

  • @NataliaKenny-vb6os

    @NataliaKenny-vb6os

    9 ай бұрын

    Anafanya biashara gani?😢

  • @gentlethegentle9607
    @gentlethegentle9607 Жыл бұрын

    Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄

  • @hapinessobeth4131

    @hapinessobeth4131

    Жыл бұрын

    Ujiunge na neolife ndo wanachotaka

  • @fikamanciya8190

    @fikamanciya8190

    Жыл бұрын

    wow wow what a beautiful

  • @fikamanciya8190

    @fikamanciya8190

    Жыл бұрын

    I'm coming to buy a property in your country

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Жыл бұрын

    KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.

  • @athumanimhanga2053

    @athumanimhanga2053

    Жыл бұрын

    Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya

  • @selestinantandu6530
    @selestinantandu6530 Жыл бұрын

    Hongera mpenz

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 Жыл бұрын

    Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara

  • @lilianmsumba7146
    @lilianmsumba7146 Жыл бұрын

    Siri ya maisha anajua Mungu.

  • @Nairathotmail

    @Nairathotmail

    Жыл бұрын

    Siri ya maisha nitapeli. Mie kanitapeli milioni moja laki nane sasa mbali watu huwajui

  • @jasminmayumba9421

    @jasminmayumba9421

    Жыл бұрын

    @@Nairathotmail alikutapeli vipi utujuze tusije na sisi tukayavagaa

  • @Nairathotmail

    @Nairathotmail

    Жыл бұрын

    @@jasminmayumba9421 watu wawe makini sana isije kuwa kuta yalo nikuta mie

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy9 ай бұрын

    Asate dada naomba no zako ❤❤❤

  • @Official83640
    @Official83640 Жыл бұрын

    Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi

  • @stellahlinusi8215

    @stellahlinusi8215

    Жыл бұрын

    mbona biashala aisemi uyo janja janja

  • @Official83640

    @Official83640

    Жыл бұрын

    @@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    Жыл бұрын

    ​@@Official83640 ndio hpo

  • @stellahlinusi8215

    @stellahlinusi8215

    Жыл бұрын

    @@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye

  • @gracekenan4665

    @gracekenan4665

    Жыл бұрын

    Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho

  • @winnieexavery3304
    @winnieexavery3304 Жыл бұрын

    Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Жыл бұрын

    Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow

  • @Jackmushil

    @Jackmushil

    Жыл бұрын

    Neolife/GNLD ni network marketing

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    Жыл бұрын

    ​@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni

  • @Jackmushil

    @Jackmushil

    Жыл бұрын

    @@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo

  • @Burner_Acc

    @Burner_Acc

    Жыл бұрын

    ​@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing

  • @Nairathotmail

    @Nairathotmail

    Жыл бұрын

    @@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Жыл бұрын

    Ajifunze kwanza kingereza 🤣

  • @getrudahiasint3198
    @getrudahiasint3198 Жыл бұрын

    Dadaaaa nimeipenda sana ulivyofanyikiwa lakini unajisifia sana

  • @estherlyanga834
    @estherlyanga8348 ай бұрын

    Hongera dada

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Жыл бұрын

    Huyu asiejua hata positive ni nini ?? Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Жыл бұрын

    KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi

  • @hope-eversam1278
    @hope-eversam12789 ай бұрын

    Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын

    Hongera sana

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Жыл бұрын

    Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko

  • @thadeynyenza4948
    @thadeynyenza4948 Жыл бұрын

    Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe

  • @almostaphiqarlown158
    @almostaphiqarlown158 Жыл бұрын

    Big Deal Sana NAPENDA SANA mpambanaji katika MAISHA YANGU

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Жыл бұрын

    Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19

  • @user-bd6if2vn8s
    @user-bd6if2vn8s9 ай бұрын

    Nimekupenda dada naomba namba tuongee

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Жыл бұрын

    Ongera sana nime furahia naintervju yako

  • @HoseaLeonard
    @HoseaLeonard2 ай бұрын

    Umakini unahitajika sana unaoowasikiliza the so called motivation speakers 😂😂😂

  • @spency2371
    @spency2371 Жыл бұрын

    ❤️❤️

  • @godfreycharlessrarariae3619
    @godfreycharlessrarariae3619 Жыл бұрын

    Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa

  • @marycelinapaschal8710
    @marycelinapaschal8710 Жыл бұрын

    Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee

  • @ankaramanka464

    @ankaramanka464

    Жыл бұрын

    Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo

  • @omanmct135
    @omanmct135 Жыл бұрын

    Naic

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 Жыл бұрын

    Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu

  • @user-ub6ej6er3d
    @user-ub6ej6er3d4 ай бұрын

    Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje

  • @saidimsuya853
    @saidimsuya853 Жыл бұрын

    Ongera aisee

  • @user-su7uo3eu5b
    @user-su7uo3eu5b5 ай бұрын

    Good 👍

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op5 күн бұрын

    chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada

  • @user-wg1rn5ee7i
    @user-wg1rn5ee7i10 ай бұрын

    Mama yangu alipata strock kwa kuwasikiliza hawa washenzi kabisaaaa! Mnapata pesa kwa utapeli wa kijingaaa! Yaaan ni vile tu vita ni ya Bwana ngojq niache

  • @lyidiakaburure8129
    @lyidiakaburure8129 Жыл бұрын

    Naomba naomba yako kwa ajili ya oshauri mwangu

Келесі