MREMBO ALIYEJENGA NYUMBA 3, ALIACHA KAZI, "MOJA MIL 280, WANANIITA FREEMASON".
Жүктеу.....
Пікірлер: 514
@tamuafrikastudios6251 Жыл бұрын
Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
@michaelngadi8178 Жыл бұрын
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Congratulation dear nami napenda kufanya biashara
@enelybukuku6902 Жыл бұрын
Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Majigambo sana
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Mpk nimeacha kuangalia
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Naunga hoja
@kanyanga0852
Жыл бұрын
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
@joelsamwel2580
Жыл бұрын
Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana
@marymwamwezi4837 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako
@rebekamutta3033 Жыл бұрын
Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha
@favourfranciss2111 Жыл бұрын
Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best
@castorymhoja6050 Жыл бұрын
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
@imankyamba4424
Жыл бұрын
Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo
@claramrosso2566
Жыл бұрын
Dada muongooo
@dorcassoza6416
4 ай бұрын
Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu
@dorcassoza6416
4 ай бұрын
Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia
@devisshirima6780 Жыл бұрын
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@angelavayinga914
Жыл бұрын
Kweli kbs tutafute hela
@floraflora5964
Жыл бұрын
Kweli
@evalinmsengi4327
Жыл бұрын
Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana
@philipphanuel9558
Жыл бұрын
Biashara mtandao ndio nini
@mcback4384 Жыл бұрын
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
@josephlorri431
Жыл бұрын
Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine
Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka
@venniealloyce2174 Жыл бұрын
Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏
@edwinmtei9400
Жыл бұрын
Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini
@ernestamnyanyi9603 Жыл бұрын
Your inspiring me
@lyidiakaburure8129 Жыл бұрын
Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.
@jacklinemassawe-cz8it Жыл бұрын
Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤
@innocentcareen818
Жыл бұрын
Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka
@dottohami Жыл бұрын
Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲
@hamadgimat5669 Жыл бұрын
Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Amiina
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Jaman hongera sana mdg wangu
@GladnessMarandu-qp3oz Жыл бұрын
Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,
@lemalema3613 Жыл бұрын
Well done. So inspiring. Keep it up.
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
napenda unicanue kama ifo, napenda kuwa kama wewe tafadhali
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
nakusikilisa sawasawa
@precioussilungwe7365 Жыл бұрын
Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.
@rehemamfugale4388 Жыл бұрын
Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela
@kulwanzobe7657 Жыл бұрын
Hongera Sana Dada kwa kupambana
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera sana 😍💪
@lucymrosso6930 Жыл бұрын
Nmekupenda sn. Asante
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Majigambo Kwa sana
@annaluciahillary5107 Жыл бұрын
Nimekupenda San dada🥰🥰🥰
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Barikiwe sana
@MyMercy84 Жыл бұрын
Big up Masipeti
@florabuzoya3948 Жыл бұрын
Woow congratulations
@ShamsiaShamsia-qr4lh Жыл бұрын
Mashallah ❣️♥️ asante Sana
@NeemaMuna-eq2cg Жыл бұрын
Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada
@hidayamotto7210 Жыл бұрын
Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo
@salymkitumbika8644 Жыл бұрын
Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana
@khafsayahya4066 Жыл бұрын
Masipety❤️❤️❤️
@nambuacassandramlaki3516 Жыл бұрын
Hongera sana,umeweza.
@mayarashidi2765 Жыл бұрын
Mashaailaah
@uviko8848 Жыл бұрын
Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.
@zaitunirajabu1317
Жыл бұрын
True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy
@uviko8848
Жыл бұрын
@@zaitunirajabu1317 sanaaa
@kelvinnjawike1808
Жыл бұрын
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
@roseombay2086 Жыл бұрын
Zaka na sadaka,asante dada
@joelsamwel2580 Жыл бұрын
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
@veronikamwampashe984
Жыл бұрын
Axante sana dunia imeisha
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Waambie
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa
@gasgartv6931 Жыл бұрын
Dada angu masipety Mzungu sana Ana roho safi sana
@DanielJames-of7yr Жыл бұрын
Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu
@user-fq7rq3sb9c6 ай бұрын
Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana
@pendo8082 Жыл бұрын
Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara
@pendo8082
Жыл бұрын
@@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli
@samorasanga2230 Жыл бұрын
Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano
@kamogesamuel2461
Жыл бұрын
Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.
@timoliiisaya3824
Жыл бұрын
@@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆
@boashamah36429 ай бұрын
Money Talks my dear friends And well done my big sister ❤
@leilamsafiri8320 Жыл бұрын
Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini
@neemagellop2532
Жыл бұрын
Nimecheka
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤
@MaryNgoi-
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@veronicatemba7683
Жыл бұрын
Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha
@marthasomi
Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu
@esterdoriye8377 Жыл бұрын
Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha
@jenifagerald1822
Жыл бұрын
Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi
@maryamkhamis724 Жыл бұрын
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
@jasminmayumba9421
Жыл бұрын
Pole sana dada, hakika Allah atakulipia
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei
@charlesrongo3615 Жыл бұрын
follow the process of success✊
@fikamanciya8190 Жыл бұрын
thank you so much mam
@gaomariwa763710 ай бұрын
Classmate🎉🎉 hongera
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.
@Jackmushil
Жыл бұрын
Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.
@MoureenMushiMushi
Жыл бұрын
Umesema
@minjesha Жыл бұрын
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
@floralyimo1609 Жыл бұрын
Hongera sana dada
@imagepower3641 Жыл бұрын
Uko vizuri
@hubman67803 ай бұрын
Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃
Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪
@user-uw9rz5zo7j6 ай бұрын
Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..
@NataliaKenny-vb6os
9 ай бұрын
Anafanya biashara gani?😢
@gentlethegentle9607 Жыл бұрын
Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄
@hapinessobeth4131
Жыл бұрын
Ujiunge na neolife ndo wanachotaka
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
wow wow what a beautiful
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
I'm coming to buy a property in your country
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.
@athumanimhanga2053
Жыл бұрын
Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya
@selestinantandu6530 Жыл бұрын
Hongera mpenz
@maryamsaleh8438 Жыл бұрын
Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara
@lilianmsumba7146 Жыл бұрын
Siri ya maisha anajua Mungu.
@Nairathotmail
Жыл бұрын
Siri ya maisha nitapeli. Mie kanitapeli milioni moja laki nane sasa mbali watu huwajui
@jasminmayumba9421
Жыл бұрын
@@Nairathotmail alikutapeli vipi utujuze tusije na sisi tukayavagaa
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 watu wawe makini sana isije kuwa kuta yalo nikuta mie
@SaumaBakari-ld2dy9 ай бұрын
Asate dada naomba no zako ❤❤❤
@Official83640 Жыл бұрын
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
mbona biashala aisemi uyo janja janja
@Official83640
Жыл бұрын
@@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@Official83640 ndio hpo
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho
@winnieexavery3304 Жыл бұрын
Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽
@Burner_Acc Жыл бұрын
Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow
@Jackmushil
Жыл бұрын
Neolife/GNLD ni network marketing
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni
@Jackmushil
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo
@Burner_Acc
Жыл бұрын
@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa
@JOHNJOHN-pu7wb Жыл бұрын
Ajifunze kwanza kingereza 🤣
@getrudahiasint3198 Жыл бұрын
Dadaaaa nimeipenda sana ulivyofanyikiwa lakini unajisifia sana
@estherlyanga8348 ай бұрын
Hongera dada
@neema_mollel Жыл бұрын
Huyu asiejua hata positive ni nini ?? Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi
@hope-eversam12789 ай бұрын
Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu
@RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын
Hongera sana
@ndohoriomsacky445 Жыл бұрын
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
@thadeynyenza4948 Жыл бұрын
Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe
@almostaphiqarlown158 Жыл бұрын
Big Deal Sana NAPENDA SANA mpambanaji katika MAISHA YANGU
@mohammedkhimji7505 Жыл бұрын
Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...
@sifatiiman
Жыл бұрын
sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19
@user-bd6if2vn8s9 ай бұрын
Nimekupenda dada naomba namba tuongee
@neemamasudi7988 Жыл бұрын
Ongera sana nime furahia naintervju yako
@HoseaLeonard2 ай бұрын
Umakini unahitajika sana unaoowasikiliza the so called motivation speakers 😂😂😂
@spency2371 Жыл бұрын
❤️❤️
@godfreycharlessrarariae3619 Жыл бұрын
Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa
@marycelinapaschal8710 Жыл бұрын
Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee
@ankaramanka464
Жыл бұрын
Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo
@omanmct135 Жыл бұрын
Naic
@johansenrauben6166 Жыл бұрын
Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu
@user-ub6ej6er3d4 ай бұрын
Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje
@saidimsuya853 Жыл бұрын
Ongera aisee
@user-su7uo3eu5b5 ай бұрын
Good 👍
@RoseMshana-pm8op5 күн бұрын
chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada
@user-wg1rn5ee7i10 ай бұрын
Mama yangu alipata strock kwa kuwasikiliza hawa washenzi kabisaaaa! Mnapata pesa kwa utapeli wa kijingaaa! Yaaan ni vile tu vita ni ya Bwana ngojq niache
Пікірлер: 514
Nafikiri angeweza kueleza namna ambavyo amerweza kupambana kuliko kuelezea maisha aliyonayo. Watu wanapenda kusikia steps za kufuata ili na wao wajifunze.
Congratulations dada masipetii uko vzr # ni maamuzi magumu xana kuacha kazi na kujiajiri ukiamn ndo Moja ya njia ya kutoboa kupitia biashara # keep going # uthubutu, kujituma, na nidhamu ya pesa ndo imekufanya uwe hapo pia baraka za mungu kupitia wazazi # kuhusu biashara ameshasema yey amejikita kwenye kuuza bidhaa za kuwasaidia wanawake Kwa wanaume katika mambo ya uzazi na amesomea pharmacy # hayo mengne ni additional au feeling zake
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Congratulation dear nami napenda kufanya biashara
Hongera Sana mdogo wangu,hakika umepambanana.wanawake tunaweza Tena tukijiamini tunafanya Mambo makubwa
Bahati nzuri nimeangalia hii interview kupitia WI-FI, Naweza sema ni mojawapo ya interviews mbaya kuwahi ziona. Mbali na majigambo sijaona content ambayo inaelezea footprints zake, hicho ndicho audiences walikitaka. Bora angesema ka trade forex au crypto currency tujue moja, au alipata mentor aliyempa connection za uhakika za import products za China...
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Majigambo sana
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Mpk nimeacha kuangalia
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Naunga hoja
@kanyanga0852
Жыл бұрын
Maisha ni Siri nzito, mwingine anasema aliuza mihogo, mwingine vitumbua na mwingine mambo mengine ukiyafuata utajikuta upo somaria, anyway ni ya kuangalia tu hayo mambo ya familia masikini aka fukara
@joelsamwel2580
Жыл бұрын
Uyo dada namjuaaa ni tapeli anakuzia dawa kwa laki 3 ukauze anakwambia utapata faida ya laki 6 muongoooo sana
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda na mungu akubariki Sana Sana Sana. Naitaji ushauri wako
Hongera sana dada. Mungu azidi kukupandisha
Tumekuwa inspired 🙏Thank you Millard 🙏You are the best
Muongopeni mungu sema ukweli kujenga sawa umuli na mda wa kazi hauendani agekuwepo magufuli ulitakiwa ukanguliwe biashara yako acha uongo .unabiashara nyingine umeificha
@imankyamba4424
Жыл бұрын
Ina maana Magufuli alikuwa anakomoa watu au sio ndio maana hayupo leo
@claramrosso2566
Жыл бұрын
Dada muongooo
@dorcassoza6416
4 ай бұрын
Ni roho Mbaya, ukichukua maamuzi magumu kila kitu kinawezekana, ni akili tu
@dorcassoza6416
4 ай бұрын
Achane roho Mbaya, kwenye biashara inawezekana kabisa, mshahara ni pesa ya kutunza familia
Cha msingi hapa ni kila mtu apambane tuu, mafanikio ya mtu yakupe wivu wa kupambana ili kuyafikia malengo yako. Na watu mjifunze pia sadaka huwa inanena !! Kama Mungu ndiye aliyemuwezesha na akuwezeshe wewe na mimi pia !! Tupambane tumheshimu Mungu na tutafute hela !!
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@angelavayinga914
Жыл бұрын
Kweli kbs tutafute hela
@floraflora5964
Жыл бұрын
Kweli
@evalinmsengi4327
Жыл бұрын
Samahan Dada naomba mawasiliano yako ili unisaidie kitu tushee mawazo naomba sana
@philipphanuel9558
Жыл бұрын
Biashara mtandao ndio nini
positive chanya ndio vizuri, negative ni hasi naona unayachanganya, kikubwa ninachokuunga mkono ni fungu la 10, nimefanya kazi mwaka mzima sikujua mshahara wangu ulipokua unaenda wote ila baada ya kutoa fungu la 10 miezi miwili tu nimeona mafanikio makubwa, hilo nakuunga mkono
@josephlorri431
Жыл бұрын
Hahaha, positive nyingine nzuri hasa kucheki afya mf HIV test, na magonjwa mengine
@barakakusa7606
Жыл бұрын
Ukitaka kuelewa vizuri positive na negative nenda ukapime Vvu ndy utajua yupo sahihi 🤣🤣🤣
Safi sana mass peti mwewe ni mfano wa kuigwa nimeelewa zaka na sadaka
Congratulations 👏 may God keep bless you 🙏
@edwinmtei9400
Жыл бұрын
Ndo miaka 29 mitaa ipewe jina lako na serikali ilikataa na wanaona ujinga huu, halafu ukiona una pesa unajisifu jua kuna walakini
Your inspiring me
Hongera sana Dada ukweli umenifurahisha sana natamani nionane na were uniambukize upako wa kutafuta pesa Mungu aendelee kukutunza.
Usingetaja zaka ningeona fremason na mm😂😂😂😂😂 zaka ndo kila kitu. Zaka kamili baraka kamili. Ngoja niendelee kuangalia sasa naomba umeze mate kidogo shoga angu❤❤❤❤❤❤❤❤
@innocentcareen818
Жыл бұрын
Toa zaka mama kikamilifu utaongezewa na kuongezeka
Masha Allha hongera sana dada umeweza mpenzi 👌😘🔥wacha na mm nipambane huku🇴🇲
Hongera Sana na mungu azidi kukulinda hasa katika swala zima. Lamapenzi kwa wazazi na mtoto
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Amiina
Jaman hongera sana mdg wangu
Mwenyez Mungu na akujalie hitaji la moyo wako dada,pia nahitaji ushauri kutoka kwako ,
Well done. So inspiring. Keep it up.
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
napenda unicanue kama ifo, napenda kuwa kama wewe tafadhali
@petermuhoro2236
Жыл бұрын
nakusikilisa sawasawa
Umenitia hasira ya maisha...umri wako na mambo yako tofauti it's like u re my daughter...hongera sana sana.
Hongera sana, naomba na mm unishike mkono mm ni dereva wa maloli, sema trela
Hongera Sana Dada kwa kupambana
Hongera sana 😍💪
Nmekupenda sn. Asante
Majigambo Kwa sana
Nimekupenda San dada🥰🥰🥰
Hongera sana natamani kufika hapo ulipo ngoja nipambane nakosea San kutokuto fungu la kumi
Barikiwe sana
Big up Masipeti
Woow congratulations
Mashallah ❣️♥️ asante Sana
Safi sana unaweza kunielekeza na mm dada
Seema biashara gan unafanya bas🤣unajisifia mnoo
Kweli NGUVU za kiume ni janga aisee namimi soon ntaanza kuuza by the way hongera sana
Yani nimempenda mpaka raha, na mwenyewe yupo na furaha ya ushindi, hongera sana
Masipety❤️❤️❤️
Hongera sana,umeweza.
Mashaailaah
Biashara yake Ni ya mtaji mkubwa Ana pharmacy anauza madawa, madawa yanalipa sana faida Ni nusu kwa nusu. Ukieka mia unapata Mia mbili.
@zaitunirajabu1317
Жыл бұрын
True kabis 🤸🤣🤣inapesa chafy
@uviko8848
Жыл бұрын
@@zaitunirajabu1317 sanaaa
@kelvinnjawike1808
Жыл бұрын
Very inspiring hiz kaz za medical za kidwanz sana unasoma kwa garama na mda mrefu unakuja kulipwa lak 3😂😂😂😂😂 usipokua makin utaishia kununua kadeti na iPhone tu
Zaka na sadaka,asante dada
Wohii huyu dada ni tapeli alituita makumbusho melinium tower atupe mchongo wa kujiajiri akatuambia tununue dawa kwa laki 3 tukauze tutapata faida ya laki sita na atatusapoti kupata wateja mweee mweeee sio poa mjoja wetu alitoa hela yake hakupaata wateja wala hakuuza chochote na pale alipo kuwa anasema ndo offisi yake hakumkuta jamani ninacho wambia ninakijua msije mkamtafuta huyu dada ni mwiziiiiii
@veronikamwampashe984
Жыл бұрын
Axante sana dunia imeisha
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Waambie
Nimekupenda sana dada pia napenda sana watu wapambanaji na wanaotia nguvu nasio wanaokatisha tamaa sijui kwanini mtu akishindwa anakatisha tamaa
Dada angu masipety Mzungu sana Ana roho safi sana
Uko vizuri Sana dada, naomba tuwasiliane unisaidie kitu
Nimekupenda mnoo mdogoang hongera sana
Hongera sana ila ninachojua mm mafanikio ni siri ya mtu
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Umesema kweli unaweza ukaanza biashara iyo wewe usitoboe ....watu Huwa hawasemi behind hizo biashara
@pendo8082
Жыл бұрын
@@gracekenan4665 ni kweli watu wengi hawasemagi ukweli
Hongera sana mfamasia wenzangu naomba Namba yako Kwa mawasiliano
@kamogesamuel2461
Жыл бұрын
Mimi ninaheshimu watu proactive. Ninaomba kuongea nawe zaidi ili kujifunza jambo.
@timoliiisaya3824
Жыл бұрын
@@kamogesamuel2461 we baki na njaa zako ustegemee utakua Kama yeye😆
Money Talks my dear friends And well done my big sister ❤
Jinsi anavyojisifia ukitaka kuliwa vipesa vyako kidogo ulivyo navyo.basi mtafute huyu dada akuonyeshe biashara ndio utajua kulanguliwa ni nini
@neemagellop2532
Жыл бұрын
Nimecheka
@winniecharles8883
Жыл бұрын
Napenda kufanya biashara lkn cjui pakianzia❤
@MaryNgoi-
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@veronicatemba7683
Жыл бұрын
Huyu ni muhun niliwahi kumtafuta nikaongea naye mwisho nikagundua ni tapel nikamkacha
@marthasomi
Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu
Milard ayo umekosea kumpa mic 🎤 aongee mwanzo mwisho ungemuhoji wenye mafanikio wanataja hiyo biashara anayoficha
@jenifagerald1822
Жыл бұрын
Ndio hapo,,,,mbn hataji hiyo kazi ili na sisi tujifunze
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@jenifagerald1822 mwizi ndo maana saivi kaja na huku apate kuibiya watu zaidi
Asalaam aleykum huyu dada muongo sana na ni mwizi wallah katuibia pesa huyu dada karibia milioni mbili tulitaka dawa za uzazi na matatizo mengine nasi tukamtumia pesa wallah naapa na Mie muislam huyu dada hatujamsamehe ataenda kutulipa kesho AKHERA in sha Allah Yaani Ata siamini Kama kachukua pesa ekesha haja tutumie dawa kila nikikumbuka roho inaniuma sana Allah atatulipia kwa huyu dada mwizi anaibia watu pesa kuhusu dawa munaongea na Sim uzuri unatuma pesa ekesha hatumi dawa wala nn izo Mali za utapeli nenda uko bonge unanenepa kwa Nguvu za watu looo 😢😢
@jasminmayumba9421
Жыл бұрын
Pole sana dada, hakika Allah atakulipia
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Ni ukweli tapeli mzoefu huyu Kuna rafiki yangu pia alimtumia pesa ya dawa za uzazi kamkalia kimyaaa muongo sana
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 Ahsante sana ndugu yangu hakika malipo yapo kwa Allah
@maryamkhamis724
Жыл бұрын
@@shamimushittindi1418 tena muongo sana huyu dada kwa Kweli Allah yupo atatulipia haki ya mtu haipotei
follow the process of success✊
thank you so much mam
Classmate🎉🎉 hongera
Kupata ni siri ya mtu! Haijalishi una umri gani! Kama umepata ni siri yako! Ulivyo fanya unajua wewe na mungu wako!
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
TUSIMVUNJE MOYO HATA SISI TUNAWEZA MAADAM HATUJAFA BADO ILA TUCHAPE KAZI.
@Jackmushil
Жыл бұрын
Lazima atangaze maana ndoa anavyotangazia biashara yake ukajiunge Neolife/GNLD ni network marketing.
@MoureenMushiMushi
Жыл бұрын
Umesema
Hongera sana masipeti..ila kitu kinachonikwaza ni kuweka account private ya instagram..ni bora ungefungua ndio ungepata watu wengi zaidi..Anyway kuhusu jiko la nyumba unasema ni quality sana yes ni zuri ila jiko dogo sana..jiko langu ukiona mamy..its very big..kubwa la kutosha..kibongo bongo umeweza sana..hongera..
Hongera sana dada
Uko vizuri
Hongera dada iwe iwavyo hongera dada yangu🎉🎉🎉🎉
Izo comments noma 🤣🤣🤣mashallah lkn dda kila atakula kwa urefu wa kamba yke alaaah 💃
Hongera sana mwanangu umeugusa moyowangu napendasana ujenzi. Natamani hataningeongea nawewe binafsi
Masha'allah
Ongera Sana dadaa
Dada mdogo mwenyewe pesa nyingi + chief God love tafuta pesa💪
Hongera dada na mm nitafuata nyayo zako
Jamani huyu binti namjua wakati anaishi boko ni mpambanaji mnooo...hongera my dear..
@NataliaKenny-vb6os
9 ай бұрын
Anafanya biashara gani?😢
Mbona sijaelewa lengo la hii clip. Ni biashara ya nyumba? au yeye mwenywe?😄 mara anasema yey ni single mother lkn hawez sema kma yupo single.😄
@hapinessobeth4131
Жыл бұрын
Ujiunge na neolife ndo wanachotaka
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
wow wow what a beautiful
@fikamanciya8190
Жыл бұрын
I'm coming to buy a property in your country
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KAMA HUJAELEWA AYO TV ANATAKA NA SISI WAZEMBE TUAMKE NA KUTIA BIDII ILI TUJIKWAMUE KIMAISHA.
@athumanimhanga2053
Жыл бұрын
Mbona simuelewi kwaza biashala gani anafanya
Hongera mpenz
Ma sha Allah lkn tambo nyingi kama Haji Manara
Siri ya maisha anajua Mungu.
@Nairathotmail
Жыл бұрын
Siri ya maisha nitapeli. Mie kanitapeli milioni moja laki nane sasa mbali watu huwajui
@jasminmayumba9421
Жыл бұрын
@@Nairathotmail alikutapeli vipi utujuze tusije na sisi tukayavagaa
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@jasminmayumba9421 watu wawe makini sana isije kuwa kuta yalo nikuta mie
Asate dada naomba no zako ❤❤❤
Nyumba 4 ndani ya miaka 3 aah dada ulikuwa unazichota bank au mbona wenye kz zao miaka 10 nyumba 1 inawagalagaza tuambie ukweli bwana hiyo biashara uliyoifanya hd utoe nyumba 4 kwa muda mfupi
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
mbona biashala aisemi uyo janja janja
@Official83640
Жыл бұрын
@@stellahlinusi8215 Ndy nashangaa miaka 3 nyumba za M.280 tena 4 aah asitudanganye bwana ht hao wauza unga hawawezi jenga hivyo
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@Official83640 ndio hpo
@stellahlinusi8215
Жыл бұрын
@@Official83640 muongo kwa nn asemi biashala muongo uyo kuna mtu yupo nyuma yake anae muezesha pesa lakini sio biashala tu ndo nyumbani nne miaka 3 apana kila mtu ana mpinga kwamba muongo eti kisa mchaga hahaha asitudanganye
@gracekenan4665
Жыл бұрын
Wanataka kufanya watu wengine hawahustle watu wapo makazini miaka nenda Rudi kujenga nyumba Moja tu inawatoa jasho
Sikujua kumbe ARUSHA ni kijijini 😂😂🙌🏽🙌🏽
Unafanya biashara gani ndo jambo la msingi, maneno mengi bado sijui unafanya nini zaidi ya kusema wewe ni single mother na nyumba zako. Hongera anyhow
@Jackmushil
Жыл бұрын
Neolife/GNLD ni network marketing
@husseingabo5497
Жыл бұрын
@@Jackmushil hakuna biashara ya namna hiyo hao ni matapeli fungukeni
@Jackmushil
Жыл бұрын
@@husseingabo5497 kwani nimeandika nini hapo
@Burner_Acc
Жыл бұрын
@@Jackmushil kumbe matapeli wa network marketing
@Nairathotmail
Жыл бұрын
@@Burner_Acc nitapeli kweli mie kanitapeli pesa nyingi sana naona saivi kaja hapa
Ajifunze kwanza kingereza 🤣
Dadaaaa nimeipenda sana ulivyofanyikiwa lakini unajisifia sana
Hongera dada
Huyu asiejua hata positive ni nini ?? Dada usitubebe ufala wewe ,una secret bness Tena illegal ila unajiuma uma .acha porojo pls .
@dicksonkilupa2258
Жыл бұрын
KWANI HILO DUKA LA MADAWA HAMLIONI? NA SISI TUTIE BIDII KUSOMA KAZI ZIPO NYINGI ILA SIYO ZA KUAJIRIWA. AMERUHUSU KUMTAFUTA ILI ATUSHAURI , SASA TUNATAKAJE? MBONA VIJANA WENYE PESA WAKO WENGI TU, HAPO HAKUNA UBAYA WOWOTE.
Napenda mtoto anaejua thamani ya wazazi
Nimekupenda, 1 kuwapenda wazazi na mimi nakupa baraka pokea mwanangu
Hongera sana
Jamani watu wa mkoa wa Kilimanjaro wanajenga hatari jamani wanajenga majumba y hatari wanashindana tokeni mikoani mingine nendeni mkoa w Kilimanjaro mjifunze huko
Mafanikio ni Mungu, huwezi kuyapata kwa kusikiliza waliofanikiwa. Baki na Mungu akupe na wewe
Big Deal Sana NAPENDA SANA mpambanaji katika MAISHA YANGU
Kesho mende nae mutamuita Mrembo... Semeni Binti...
@sifatiiman
Жыл бұрын
sio binti ni mwanamke binti mwisho miaka 19
Nimekupenda dada naomba namba tuongee
Ongera sana nime furahia naintervju yako
Umakini unahitajika sana unaoowasikiliza the so called motivation speakers 😂😂😂
❤️❤️
Sawaa hongera--ila bado uhalisia wamaelezo haujakaa sawa
Mambo ya neo Life ,,,,hizi biashara kilakona wanao fanikiwa niwachachee
@ankaramanka464
Жыл бұрын
Kama mchezo wa pata potea zinataka moyo
Naic
Bina fusi na pambana kuzitafuta fulusa ila sielewi mambo ni mengi na sielewi cha kufanya Kama kuna mtu anaweza nisaidia network karibu
Hongera nime tamani kuwa kama wewe dada je nakupataje
Ongera aisee
Good 👍
chuo,kazi, biashara,bado miaka 29, tu, majigambo kibao,ila hongera dada
Mama yangu alipata strock kwa kuwasikiliza hawa washenzi kabisaaaa! Mnapata pesa kwa utapeli wa kijingaaa! Yaaan ni vile tu vita ni ya Bwana ngojq niache
Naomba naomba yako kwa ajili ya oshauri mwangu