SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 116
Eee Mungu nisaidie na Mimi🙇🏼♀️🙏
Hata mie na ndoto kama ya huyu dada inshallah ngoja nipambane,hongera dada❤💪💪
@shakirashakira-gc2yw
6 ай бұрын
In shaallah
Big up Jirani hao ndo wanawake wenye akili njema. Nimependa " sio mtu wa starehe". Nimeamua kumake money na kuinvest".
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Ni jirani yako?
@gloriamwanjali9371
10 ай бұрын
Team Goba
Hongera dada nami natamani niwe na nyumba hongera sana Mungu awe pamoja nawe
Kate kama Kate Hongera shoga angu.... 😘
Hongera sana dada ata mimi nikiimaliza itakuya ya kifahari maana nimeipania
Hongeren nyumba nzur na ya bint nsur❤
Nimekupenda dada sana sana
Maa Shaa Allah, pazuri
Nyumba haijaonyeshwa vizuri,camera man na editor inabidi waangalie wengine hasa ulaya na sa/Nigeria/ke jinsi ya kuonyesha nyumba.sauti zingikuwa zinaskika in background huku nyumba inaonyeshwa kwa mapana kuliko watu na maelezo
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Yaani hata sijaona vizuri kwakweli.
@michaelmwalupale3354
10 ай бұрын
Nami nilitaka kuandika comment ya namna hii yani crew ya production na editors wamefeli sana. Wanaonyesha mtangazaji badala ya kuonyesha nyumba.
Hongereni sana kwa nyumba nzuri lakini miundombinu mmmmhhh wapi na London
Huwa nafurahi sana pindi ninapo ona Tanzania vijana Wanafanya maendeleo kama haya
Dada zuri hongera sana dear,nimependa sana dizain ya nyumba yako naweza kupata contact zako nami nahitaji kufanya ujenzi kama huo.
🙌🙌👍 Kazi nzuri
Mashaa Allah
Mmh mashaalah
Hongera sana dada
Hongera mdada, mfano wa kuiga
hongera sana dear zuli😊
Mashallah hongera saaaaaaaana
Mashallah big up dada
Nyieeee! Mungu nisaidie.
@nancymrs359
11 ай бұрын
Amen atakusaidia.
Nyumba yatatu hongera dia simchezo ee Mungu nipe kazi namimi niweze kujenga
Cameraman hajaitendea haki hii video very poor
Sijaziona London, zipo sana uarabuni sio ulaya. Halafu London hakuna nyumba za watu za kawaida nzuri hivyo kwa sababu hakuna ardhi, hizi nyumba zipo nje ya London. London nyumba nyingi ni magorofa/Flats za kuweka watu wengi.
Hongera sana
Mungu nisaidie na mm nipate kwangu
HONGER sana ZURI.
Hongera dada
Jan bless u sister🎉🎉
Choo kama chumba changu khaaaa dada shikamoo hongera
Zinapunguza gharama lakini zinavuja wakati wa mvua ,,,, tatizo ni nini ama mafundi bado hawajapata ujuzi na nchi yetu mashaallah ina Mua sasakulinganisha na mataifa mengine ambayo mvua zashida aiiiii
@KhadijahAlly-jz7rl
11 ай бұрын
Inategemea na fundi
Vzr Sana 💥💥
❤❤
Kabla ya yote muwe mnawauliza na kazi wanazofanya kwa mnavoongea kwa urahisi wengine tunaweza kukufuru kwa mungu
@MustafaAkilimali
10 күн бұрын
Nikweli kabisa
Hongera lakini taa za disco nyumbani sijaelewa na sakafu ikipigwa deki mtadondoka vyumba 7 vya nini ?
Nic
Haya mwijaku umeona maisha sio kelele
Daaa nyumba mzur sana
Naic
Huo usasa mkajenge na madhabahu za Mungu
Hajatuambia amewezaje kufikia hapo, kukataa bata sio sababu ila angetuambia amewekezaje ndo angetuinspire
Eee Mungu nisaidie na mimi nijenge kama hiyo Amina. Inshallah
HII hata kama sijaona vizur lakini mpaka sasa naona imetumika MILION 800 hongera sijui umepata wapi hii pesa hebu tuambizane vijana
@ginimbifamily3995
Жыл бұрын
😄😄😄 Aisee umenifurahisha san kwel...iv unajua Million 800 wew? Nyumba ake ni nzur ten ni kali san ila kwa Hiyo pesa unayosema sio labda kidogo Million 300 adi 400...Kwa mtu ambae ameshawah kujenga atakubaliana na mimi
@gloriamwanjali9371
Жыл бұрын
Inaweza finally vema tu kama ni mtu wa ujenzi wa viwango
@ericmambele1230
Жыл бұрын
800 uongo wewe
@happylynguya3464
Жыл бұрын
@@ginimbifamily3995 Inaonekana hata pesa unazo, niazime milioni 10 jamani 🙆🙆
Acheni wivu , mdada ame jitahidi kabisa ongera sana
Nyumba ndio kila kitu🙏
Dada chooni weka Bidee kwa kujisafisha unapomaliza haja zako.Simon,Italy
@sagboison6297
Жыл бұрын
Ziko aje
@africanchild4525
2 ай бұрын
System hiyo ipo kwenye vyoo vya kisasa vinakuja vimewekewa maji na vitufe unabonyeza tu inakusafisha yenyewe na ukimaliza unabonyeza kitufe kingine cha kukupuliza upepo kukausha maji.
Haf London mtaa gani huo tupe jina
Unakuta kk ndio ume mtelekeza huyu dada unaweza jutia
Mmmh wanaloga ili kuwapata wazungu wakajenga,lkn ingekuwa tunajua historia yake ya upambanaji kidogo tungeunga mkono
@salmabamba2751
10 ай бұрын
Maisha ya watu Yana siri kubwa dear
Choo icho kinasumbua sana kwenye swala la kubonyeza maji
Mmeboa sana, tunataka kuona nyumba sio kuona sura zenu na ma-bla bla kibao
1.3 kagorofa je sisi tutaweza
huyo zuri ana chura hatare
Mwamposa on the beat Sema Hongera umetumia akili maana mwingine angekuwa na mwamposa na angeishia kudai mawigi
@NeemaTairo
10 ай бұрын
Kumbe anatoka na mwamposa
@priscamakendi2239
10 ай бұрын
Mwamposa kaingiaje hapo😢😢
@dianamdaku9802
10 ай бұрын
kheeee
@verobecamfipa8655
10 ай бұрын
Ata me nilijua tu lazma awe na sponsor bhana Sio bure
@gracepatric4371
8 ай бұрын
mamazuri wawatu ❤
Uje na Njombe Kuna nyumba huku ni balaa
Hahahaha... That was President Reagan... yes he did say " It's not what your Government do for you, is what you can do for your Government" . The best President we ever had in America.. and Trump
Af mwijaku anakuja kupiga kelele
Lakini si mtazeeka😂😂😂😂
Hela wanapata wapi hawa? Mbona Me natafuta sana sizipati jamani
@trillhappybeautypoint9874
10 ай бұрын
Njoo kwenye upako kawe kwa mwamposa utajenga fasta
Saluti kwako zuri
Mwamposaaaaaaa
@euniceahadi1496
6 ай бұрын
Wengine wote hawajaelewa code 😂
Nipe namba ya zuri nimuoe😂😂😂😂😂😂😂😂
@MizeKombeSuleiman-id1rp
10 ай бұрын
😂
@trecygohy7847
10 ай бұрын
Wanaume mnavyopenda vya Bure. Huna haya, ukiingia kwny ndoa wewe n mkia tu, akili Bado ndogo sana. Ataolewa na mwanaume mwenye akili na sio jitu kama wewe unayesubiri ugali na kwenda chooni
@salmsalmo931
6 ай бұрын
Wanaume wanapenda wanawake wanaopambana hawataki mwanamke mzigo
Siri ya mafanikio ni pamoja na kuwachuna wanaume mafala
@bone102
Жыл бұрын
usiwe mjinga kiasi hcho pambana na wewe sio unamuonea wivu mtoto wa kike
@joyce55727
Жыл бұрын
Kwan hao wanao chunwa hawana akili????
@veronicatweve8908
Жыл бұрын
@@bone102 😂😂
@gloriamwanjali9371
Жыл бұрын
Tena Goba kuna wanawake wengi wenye mijengo. Maisha ni priority. Kuna wengine walio na pesa pesa zao wanatumia kwa show off wengine kama hao wanaakili njema. Amesema hana starehe ila anapenda kuwekeza kwenye ujenzi. She is simple, beautiful, determined and visionary aka focused
@kakaaignas3675
Жыл бұрын
Nenda kwa wachune na wewe
Hongera dada