SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 116

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 Жыл бұрын

    Eee Mungu nisaidie na Mimi🙇🏼‍♀️🙏

  • @tabutabu8900
    @tabutabu890011 ай бұрын

    Hata mie na ndoto kama ya huyu dada inshallah ngoja nipambane,hongera dada❤💪💪

  • @shakirashakira-gc2yw

    @shakirashakira-gc2yw

    6 ай бұрын

    In shaallah

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 Жыл бұрын

    Big up Jirani hao ndo wanawake wenye akili njema. Nimependa " sio mtu wa starehe". Nimeamua kumake money na kuinvest".

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    Жыл бұрын

    Ni jirani yako?

  • @gloriamwanjali9371

    @gloriamwanjali9371

    10 ай бұрын

    Team Goba

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac835610 ай бұрын

    Hongera dada nami natamani niwe na nyumba hongera sana Mungu awe pamoja nawe

  • @lovenessmahsen3433
    @lovenessmahsen343310 ай бұрын

    Kate kama Kate Hongera shoga angu.... 😘

  • @zulfarashid5060
    @zulfarashid506010 ай бұрын

    Hongera sana dada ata mimi nikiimaliza itakuya ya kifahari maana nimeipania

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib6 ай бұрын

    Hongeren nyumba nzur na ya bint nsur❤

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Жыл бұрын

    Nimekupenda dada sana sana

  • @KhadijahAlly-jz7rl
    @KhadijahAlly-jz7rl11 ай бұрын

    Maa Shaa Allah, pazuri

  • @saidathumani5747
    @saidathumani5747 Жыл бұрын

    Nyumba haijaonyeshwa vizuri,camera man na editor inabidi waangalie wengine hasa ulaya na sa/Nigeria/ke jinsi ya kuonyesha nyumba.sauti zingikuwa zinaskika in background huku nyumba inaonyeshwa kwa mapana kuliko watu na maelezo

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    Жыл бұрын

    Yaani hata sijaona vizuri kwakweli.

  • @michaelmwalupale3354

    @michaelmwalupale3354

    10 ай бұрын

    Nami nilitaka kuandika comment ya namna hii yani crew ya production na editors wamefeli sana. Wanaonyesha mtangazaji badala ya kuonyesha nyumba.

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Жыл бұрын

    Hongereni sana kwa nyumba nzuri lakini miundombinu mmmmhhh wapi na London

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia23236 ай бұрын

    Huwa nafurahi sana pindi ninapo ona Tanzania vijana Wanafanya maendeleo kama haya

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Жыл бұрын

    Dada zuri hongera sana dear,nimependa sana dizain ya nyumba yako naweza kupata contact zako nami nahitaji kufanya ujenzi kama huo.

  • @katemilaya9773
    @katemilaya9773 Жыл бұрын

    🙌🙌👍 Kazi nzuri

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy26439 ай бұрын

    Mashaa Allah

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid37438 ай бұрын

    Mmh mashaalah

  • @HamadiNgulungo-zf1zc
    @HamadiNgulungo-zf1zc Жыл бұрын

    Hongera sana dada

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi236211 ай бұрын

    Hongera mdada, mfano wa kuiga

  • @bartondidas849
    @bartondidas8496 ай бұрын

    hongera sana dear zuli😊

  • @aishanmakeki568
    @aishanmakeki56810 ай бұрын

    Mashallah hongera saaaaaaaana

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi242510 ай бұрын

    Mashallah big up dada

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Жыл бұрын

    Nyieeee! Mungu nisaidie.

  • @nancymrs359

    @nancymrs359

    11 ай бұрын

    Amen atakusaidia.

  • @user-jz2ju2wx2m
    @user-jz2ju2wx2m10 ай бұрын

    Nyumba yatatu hongera dia simchezo ee Mungu nipe kazi namimi niweze kujenga

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Жыл бұрын

    Cameraman hajaitendea haki hii video very poor

  • @samniza1763
    @samniza176310 ай бұрын

    Sijaziona London, zipo sana uarabuni sio ulaya. Halafu London hakuna nyumba za watu za kawaida nzuri hivyo kwa sababu hakuna ardhi, hizi nyumba zipo nje ya London. London nyumba nyingi ni magorofa/Flats za kuweka watu wengi.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Hongera sana

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo9316 ай бұрын

    Mungu nisaidie na mm nipate kwangu

  • @nancymrs359
    @nancymrs35911 ай бұрын

    HONGER sana ZURI.

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Жыл бұрын

    Hongera dada

  • @user-st3jh2sj1b
    @user-st3jh2sj1b6 ай бұрын

    Jan bless u sister🎉🎉

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi242510 ай бұрын

    Choo kama chumba changu khaaaa dada shikamoo hongera

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Жыл бұрын

    Zinapunguza gharama lakini zinavuja wakati wa mvua ,,,, tatizo ni nini ama mafundi bado hawajapata ujuzi na nchi yetu mashaallah ina Mua sasakulinganisha na mataifa mengine ambayo mvua zashida aiiiii

  • @KhadijahAlly-jz7rl

    @KhadijahAlly-jz7rl

    11 ай бұрын

    Inategemea na fundi

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 Жыл бұрын

    Vzr Sana 💥💥

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Жыл бұрын

    ❤❤

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard40316 ай бұрын

    Kabla ya yote muwe mnawauliza na kazi wanazofanya kwa mnavoongea kwa urahisi wengine tunaweza kukufuru kwa mungu

  • @MustafaAkilimali

    @MustafaAkilimali

    10 күн бұрын

    Nikweli kabisa

  • @chapter2719
    @chapter271910 ай бұрын

    Hongera lakini taa za disco nyumbani sijaelewa na sakafu ikipigwa deki mtadondoka vyumba 7 vya nini ?

  • @henrymoghu5087
    @henrymoghu508710 ай бұрын

    Nic

  • @moriscollins4494
    @moriscollins44946 ай бұрын

    Haya mwijaku umeona maisha sio kelele

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Жыл бұрын

    Daaa nyumba mzur sana

  • @omanmct135
    @omanmct135 Жыл бұрын

    Naic

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala95636 ай бұрын

    Huo usasa mkajenge na madhabahu za Mungu

  • @monikaswai4188
    @monikaswai41884 ай бұрын

    Hajatuambia amewezaje kufikia hapo, kukataa bata sio sababu ila angetuambia amewekezaje ndo angetuinspire

  • @emilianikakiziba
    @emilianikakiziba6 ай бұрын

    Eee Mungu nisaidie na mimi nijenge kama hiyo Amina. Inshallah

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Жыл бұрын

    HII hata kama sijaona vizur lakini mpaka sasa naona imetumika MILION 800 hongera sijui umepata wapi hii pesa hebu tuambizane vijana

  • @ginimbifamily3995

    @ginimbifamily3995

    Жыл бұрын

    😄😄😄 Aisee umenifurahisha san kwel...iv unajua Million 800 wew? Nyumba ake ni nzur ten ni kali san ila kwa Hiyo pesa unayosema sio labda kidogo Million 300 adi 400...Kwa mtu ambae ameshawah kujenga atakubaliana na mimi

  • @gloriamwanjali9371

    @gloriamwanjali9371

    Жыл бұрын

    Inaweza finally vema tu kama ni mtu wa ujenzi wa viwango

  • @ericmambele1230

    @ericmambele1230

    Жыл бұрын

    800 uongo wewe

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    Жыл бұрын

    @@ginimbifamily3995 Inaonekana hata pesa unazo, niazime milioni 10 jamani 🙆🙆

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi798810 ай бұрын

    Acheni wivu , mdada ame jitahidi kabisa ongera sana

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint987410 ай бұрын

    Nyumba ndio kila kitu🙏

  • @simonmarwa
    @simonmarwa Жыл бұрын

    Dada chooni weka Bidee kwa kujisafisha unapomaliza haja zako.Simon,Italy

  • @sagboison6297

    @sagboison6297

    Жыл бұрын

    Ziko aje

  • @africanchild4525

    @africanchild4525

    2 ай бұрын

    System hiyo ipo kwenye vyoo vya kisasa vinakuja vimewekewa maji na vitufe unabonyeza tu inakusafisha yenyewe na ukimaliza unabonyeza kitufe kingine cha kukupuliza upepo kukausha maji.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360Ай бұрын

    Haf London mtaa gani huo tupe jina

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl10 ай бұрын

    Unakuta kk ndio ume mtelekeza huyu dada unaweza jutia

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Жыл бұрын

    Mmmh wanaloga ili kuwapata wazungu wakajenga,lkn ingekuwa tunajua historia yake ya upambanaji kidogo tungeunga mkono

  • @salmabamba2751

    @salmabamba2751

    10 ай бұрын

    Maisha ya watu Yana siri kubwa dear

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b10 ай бұрын

    Choo icho kinasumbua sana kwenye swala la kubonyeza maji

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm178010 ай бұрын

    Mmeboa sana, tunataka kuona nyumba sio kuona sura zenu na ma-bla bla kibao

  • @sethstiven3393
    @sethstiven33933 ай бұрын

    1.3 kagorofa je sisi tutaweza

  • @edwinismail9401
    @edwinismail94012 ай бұрын

    huyo zuri ana chura hatare

  • @Evelyn-gd5dv
    @Evelyn-gd5dv11 ай бұрын

    Mwamposa on the beat Sema Hongera umetumia akili maana mwingine angekuwa na mwamposa na angeishia kudai mawigi

  • @NeemaTairo

    @NeemaTairo

    10 ай бұрын

    Kumbe anatoka na mwamposa

  • @priscamakendi2239

    @priscamakendi2239

    10 ай бұрын

    Mwamposa kaingiaje hapo😢😢

  • @dianamdaku9802

    @dianamdaku9802

    10 ай бұрын

    kheeee

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    10 ай бұрын

    Ata me nilijua tu lazma awe na sponsor bhana Sio bure

  • @gracepatric4371

    @gracepatric4371

    8 ай бұрын

    mamazuri wawatu ❤

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala95636 ай бұрын

    Uje na Njombe Kuna nyumba huku ni balaa

  • @iuseyoutube620
    @iuseyoutube6209 ай бұрын

    Hahahaha... That was President Reagan... yes he did say " It's not what your Government do for you, is what you can do for your Government" . The best President we ever had in America.. and Trump

  • @mamodelmam
    @mamodelmam5 ай бұрын

    Af mwijaku anakuja kupiga kelele

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala95636 ай бұрын

    Lakini si mtazeeka😂😂😂😂

  • @The7101987
    @The710198710 ай бұрын

    Hela wanapata wapi hawa? Mbona Me natafuta sana sizipati jamani

  • @trillhappybeautypoint9874

    @trillhappybeautypoint9874

    10 ай бұрын

    Njoo kwenye upako kawe kwa mwamposa utajenga fasta

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru448910 ай бұрын

    Saluti kwako zuri

  • @zawadibernard8232
    @zawadibernard82326 ай бұрын

    Mwamposaaaaaaa

  • @euniceahadi1496

    @euniceahadi1496

    6 ай бұрын

    Wengine wote hawajaelewa code 😂

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv635511 ай бұрын

    Nipe namba ya zuri nimuoe😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp

    @MizeKombeSuleiman-id1rp

    10 ай бұрын

    😂

  • @trecygohy7847

    @trecygohy7847

    10 ай бұрын

    Wanaume mnavyopenda vya Bure. Huna haya, ukiingia kwny ndoa wewe n mkia tu, akili Bado ndogo sana. Ataolewa na mwanaume mwenye akili na sio jitu kama wewe unayesubiri ugali na kwenda chooni

  • @salmsalmo931

    @salmsalmo931

    6 ай бұрын

    Wanaume wanapenda wanawake wanaopambana hawataki mwanamke mzigo

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Жыл бұрын

    Siri ya mafanikio ni pamoja na kuwachuna wanaume mafala

  • @bone102

    @bone102

    Жыл бұрын

    usiwe mjinga kiasi hcho pambana na wewe sio unamuonea wivu mtoto wa kike

  • @joyce55727

    @joyce55727

    Жыл бұрын

    Kwan hao wanao chunwa hawana akili????

  • @veronicatweve8908

    @veronicatweve8908

    Жыл бұрын

    @@bone102 😂😂

  • @gloriamwanjali9371

    @gloriamwanjali9371

    Жыл бұрын

    Tena Goba kuna wanawake wengi wenye mijengo. Maisha ni priority. Kuna wengine walio na pesa pesa zao wanatumia kwa show off wengine kama hao wanaakili njema. Amesema hana starehe ila anapenda kuwekeza kwenye ujenzi. She is simple, beautiful, determined and visionary aka focused

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    Жыл бұрын

    Nenda kwa wachune na wewe

  • @ashahassan2120
    @ashahassan21209 ай бұрын

    Hongera dada

Келесі