Dakika 10 za Kishimba mbele ya MAPROFESA wa Tanzania kwenye kongamano la mitaala na sera ya elimu
10:05
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akitoa maoni yake kwenye kongamano la sera na mitaala ya elmu Tanzania leo Jumapili Mei 14, 2023 jijini Dodoma.
Пікірлер: 103
Dah! Umezingumzia uhalisia wa maisha yetu na elimu tuliyonayo. You are the real professor.
Hata kama hawajampa udaktari wa heshima sisi wananchi tumeshampa uproffesor
Asante profesa Kishimba unazungumzia uhalisia kabisa
Hii ni point kubwa sana, kuwafundisha watu waweze kuishi, sio kusoma bila uwezo wa kujitegemea
Mzee Kishimb ni Mtanzania wa pekee sana.Akili yake ni ya kimapinduzi Sana.
Huyu ndo awe M/Kiti wa maprofesa Tz 👏 👏
Nashangaa ubongo wa huyu mzee wangu unajaaje katika fuvu lake. Ana ubongo MKUBWA sana. Anazungumza mambo ya "mtaani" kabisa.
Master Kishimba, mzee ana maono chanya sana. Ana akilo nyingi mnoo.
Proud of you Mh. Mbunge wangu
@emmanuelkabote7246
Жыл бұрын
Akili kubwa sana
Constructive thinking. You are a blessed fellow. Unatufikirisha nje ya box. Aksante sana Mhe. Kishimba
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Afu mnawapa udokta wakina tale
@chiefchacha2992
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 Tale..!!?? Tale gani mwanangu?
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
@@chiefchacha2992 babu tale si alipewa udaktari wa heshma
Siku moja niliota huyu mheshimiwa amekua kiongozi mkubwa sana! Natamani hiyo ndoto ije iwe kweli.
@philemonmagesa5548
Жыл бұрын
Ni ngumu kumpatia uongozi mkubwa maana anaga uongozi wakisiasa kanyooka na siasa zetu za Tanzania zinataka kugeuza geuza mambo.
@azizirubelwa2992
Жыл бұрын
@@philemonmagesa5548 Umesema kweli Ili watu wale lazima kijiko ukiite chepe hapo itaonekana uko sawa na umekuwa
Hii akili ni Kubwa sanaa kuliko mawazo yetu
Mzee Mungu akupe maisha, Kwakweli watoto wachuo sasaivi akirudi nyumbani uwezi kumuacha dukani vocha huzikuti.
Mzee Huyu Ana Akili sana.. Tatizo mawazo yake hayafanyiwi kazi tuu kwakweli
Real contents of life Much kudos this wise man with golden mindset
Mtazamo wa Mzee Kishimba ni kwamba hilo andiko halijaingiza mabadiliko ya msingi kwa elimu yetu. Inabidi lifanyiwe kazi kubwa zaidi. Ni kweli kabisa. Kazi bado ni kubwa liboreshwe. Aina ya wajumbe pia inaweza kusababisha tusipate kitu bora. Hiyo kazi inataka watu wenye upeo na mawazo mapana na siyo kiwango kikubwa cha elimu tu . Ningetamani Mzee Kishimba awe kati ya wenyeviti wakuu wa kamati hiyo !
Elimu inafundisha watafuta fedha sio wenye maarifa ya kujua mifumo ya uchumi' na ya uzalishaji mali na namna ya kuibadili na kuendesha wakati fedha sio msingi WA maendeleo ni matokeo TU. imf kwa sababu ya misaada Yao wamesema serikali ijitoe kwenye uzalishajiyaani mifumo ya uchumi ikadanganyika mifumo ya uchumi inatawaliwa na watu wao ndo maana imeweka mitaala ya kufundisha wajiriwa na WA kujiajiri hao ni money hunter( mafisadi ) na watumwa wasio na mbinu ya kuishi kwa kutumia mazingira yao
The real professor 👏
Hakika Kishimba ni Profesa
Hajawahi kuongea Pumba huyu mzee.. Japo wapo wasioweza kumuelewa
Anzia hapa 1.Idealism 2.Realism 3.Pragmatism 3. Reconstructionism 4 . Progressivism Sasa aina ya elimu, wanafunzi, waalimu,, shule na mtaala na mbinu za kufundisha zinategemea falsafa tunayoichukua.
Huyu Mzee ukipata muda wa kumsikiliza ni wa tofauti sana na ni asset kubwa sana kwa Taifa letu
Asilimia 100, Nakukubali sana profesa kishimba
Daa, huyu mzee huyu...., always anafikiria visivyo fikirika na wengine yaani. Kwamba Ulaya wanafunga shule wakati wa baridi, why na sisi tusifunge wakati wa mvua? We mzee ni profesa kabisa
Mimi singu mahona nakupongeza Sana kishimba mungu akubariki
Ni kweli kabisa mtoto ambaye anaejua kufanya KAZI huwa hapendi rushwa
Tanzania tumpe nchi huyu jamaaa
daa mr.kishimba unakalisha hadi ma profesa .???????👊👊👊👊👊👊🙏
Big brain
Wise man
Kila siku umekuwa ni mtu bora sana, mchango wako juu ya mabadiliko ya Elimu ni mkubwa sana.
Ni kweli, elimu ya ujasliamali hiyo, ifundishwe kwenye mitaala yetu. Mfano kuna kitabu kimoja cha Mchungaji wa Kisabato anaitwa Kenani Mwasomola, kinaelezea kujitoa kwenye umasikini, kinaeleza kabisa ukilima mti wa parachichi mmoja kwa gharama fulani baada ya muda fulani utavuna maparachichi Kadhaa na utaingiza pesa kiasi kadhaa, n.k.
@rehemakanyere4188
Жыл бұрын
Kweli
Kishimba ni moto
Safi kabisa kishimba
Proud of kahama
Elimu ya tanzania ni historia ya matukio ya wazungu na uvumbuzi wao
@mcwaya
Жыл бұрын
Ukweli mtupu
Achilla mbali hao wanaopewa Udaktari, Mhe. Kishimba apewe Uprofesa kabisa maana kila nikimsikiliza absolutely ni highly thinker anaemfuata Kasheku Musukuma
Daaah!!
Good speach
Nakukubali kwa hoja na mawazo yako
Genius Kishimba. Wadau Wa mazoezi mpo? Piteni hapa Kuna video za mazoezi ya kujenga mwili kupunguza uzito pia
Huyu mzee ni akili kubwa.
Very nice speech
HALLOW TANZANIA HUYU MZEE INGALIFAA AWE MUHADHIR ANAYOUAZUNGUMZA NO MASOMO KAMILI YA KUWA NA SILABI YA MAZINGATIO NAMNA YA KUQAPATA VIJANA HARAKA WENYE KUJITEGEMEA
Mwanafalsafa mkuu wasomi hoi.
Jimbo la kahama endeleeni kutuletea huyu mbunge tunajifufunza mengi kupitia yeye hata kama serikali haipokei mawazo yake, ahsante kahama kwa mbunge huyu
Jishimba ni moto wa kuotea mbali
Mie huyu mzee ndio najaribu kufuata nyendo zake ili angalau kuondokana na ufukara.Kaongea kitu hapo kwamba chanzo cha rushwa ni kwa walioshindwa kupanga maisha hivyo wanaaamua njia nyepesi ya kuendesha maisha ambayo ni rushwa
KWELI VITENDO HUZIDI MANENO - ASANTE
Sasa naomba kuuliza physics ina application gani kwenye nursing?Current electricity,etc vinahusika gani humu.Hebu tubadilike.
safi sana sana sanaaa 💪
Huyu mzee namkubali sana
Huyu Profesa Kishimba ameutangulia sana ufahamu wa baadhi Viongozi wetu katika Nchi hii. " Mh Kishimba ameuliza swali ,"Kwa nini wasomi ndio wanakuwa tatizo kwa wazazi na kwa nchi,badala ya kuwa ufumbuzi wa tatizo"?
Yes boss,,, kahama one"""""
Naweza kupata mawasiliano na huyu mzee Naweza kua na suluhu kamili kwenye swala hili
Genius
Master Kishimba, akili kubwa..
Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu
Huyu ndio Profesa wetu
Mda mwafrika anaokaa shuleni ndio wakati mfumo wake wa elimu unavurugwa na kuvuruga maisha yake yote
Salute
Maana yake ni tunacho fundishana sio sahihi
@hadijamandanje6189
Жыл бұрын
Tunafundishana tusichokihitaji Kwa kweli
Uyu akipewa urais nchi itakuwa nzur san
Hili jamaa lipo kihalisia sana ndiomaana ni tajiri sana
Prof. Mh. Dr. Kishimba PhD in action.
Cha msingi serikali ni lazima iwe na sera ya kuwa na viwanda vingi kama mali zipo kilimo na kuzichakata itakuwa lahisi kwa wananchi itatoa ulahisi .
Akili kubwa, madarasa machache.
tatizo serikali ni vichwa vigumu wakishaamua yao wameamua ndio shida na ndio shida
Ni kweli ila mafundi wana zaraulika sana
We produce that we can't consume
@patrickKitambo
Жыл бұрын
This is a simple explanation of our education system.. infact we don't even know why we have education system
Huyu ndo profesa,achana na hao maprofesa wa vitabu
Huyu anafaa kuwa Rais wa nchi. Namuona marehemu magufuli ndani yake. Tunahitaji kiongozi kama huyu.
Hawa prof wetu wanamuelewa au wanaangalia mawazo kwa kupitia vyeti?
Ukimsikiliza kishimba usipokuwa tajiri basi tena maana ana mawazo mbadala ya kutosha
Ni vyema aeleweke anachosema
Haha Huyu mzee master saana
Sawa mkuu ila hawawezi kukuelewa
IQ yake ni kubwa sana
Huyu jamaa akili kubwa sana
Badilisheni mitaala hapo imeeleweka
Una akiri ya kuzaliwa
.
Kishimba ana akili sana
Huyu Mzee Apewe Maua yake
Akili yenye matamauluku
Hki ni kichwa haswa
Kwahiyo tufunge shule miezi mitatu? Tukalime au vipi, ama msimu wa kilimo kanda ya kusini na mashariki, kaskazini ni tofauti! Arusha wafunge mwezi wa 12 mpaka wa 3, .
@jamesmasanja1963
Жыл бұрын
Wewe hujaelewa ludia kusikiliza
@amonbwanakunu910
Жыл бұрын
🚮🚮🚮
@johanes9630
Жыл бұрын
Mzee kishimba nakkbali,nadhani ww una elim kubwa ya ujasiliamali.
Good speach
Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu
Hapo vyuoni watuwekee mashamba ya kila vilimo ndio dawa muda wa kwenda kuruka viwanja wawe shambani.