Dakika 10 za Kishimba mbele ya MAPROFESA wa Tanzania kwenye kongamano la mitaala na sera ya elimu

10:05
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba akitoa maoni yake kwenye kongamano la sera na mitaala ya elmu Tanzania leo Jumapili Mei 14, 2023 jijini Dodoma.

Пікірлер: 103

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Жыл бұрын

    Dah! Umezingumzia uhalisia wa maisha yetu na elimu tuliyonayo. You are the real professor.

  • @mrsmile5425
    @mrsmile5425 Жыл бұрын

    Hata kama hawajampa udaktari wa heshima sisi wananchi tumeshampa uproffesor

  • @user-io5vs3hs8w
    @user-io5vs3hs8w2 ай бұрын

    Asante profesa Kishimba unazungumzia uhalisia kabisa

  • @tanzaniafxlab
    @tanzaniafxlab Жыл бұрын

    Hii ni point kubwa sana, kuwafundisha watu waweze kuishi, sio kusoma bila uwezo wa kujitegemea

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Жыл бұрын

    Mzee Kishimb ni Mtanzania wa pekee sana.Akili yake ni ya kimapinduzi Sana.

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Жыл бұрын

    Huyu ndo awe M/Kiti wa maprofesa Tz 👏 👏

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Жыл бұрын

    Nashangaa ubongo wa huyu mzee wangu unajaaje katika fuvu lake. Ana ubongo MKUBWA sana. Anazungumza mambo ya "mtaani" kabisa.

  • @blassabdon8241
    @blassabdon8241 Жыл бұрын

    Master Kishimba, mzee ana maono chanya sana. Ana akilo nyingi mnoo.

  • @juliusbutindi6222
    @juliusbutindi6222 Жыл бұрын

    Proud of you Mh. Mbunge wangu

  • @emmanuelkabote7246

    @emmanuelkabote7246

    Жыл бұрын

    Akili kubwa sana

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 Жыл бұрын

    Constructive thinking. You are a blessed fellow. Unatufikirisha nje ya box. Aksante sana Mhe. Kishimba

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Afu mnawapa udokta wakina tale

  • @chiefchacha2992

    @chiefchacha2992

    Жыл бұрын

    @@fahadfaraj6474 Tale..!!?? Tale gani mwanangu?

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    @@chiefchacha2992 babu tale si alipewa udaktari wa heshma

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Жыл бұрын

    Siku moja niliota huyu mheshimiwa amekua kiongozi mkubwa sana! Natamani hiyo ndoto ije iwe kweli.

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    Жыл бұрын

    Ni ngumu kumpatia uongozi mkubwa maana anaga uongozi wakisiasa kanyooka na siasa zetu za Tanzania zinataka kugeuza geuza mambo.

  • @azizirubelwa2992

    @azizirubelwa2992

    Жыл бұрын

    @@philemonmagesa5548 Umesema kweli Ili watu wale lazima kijiko ukiite chepe hapo itaonekana uko sawa na umekuwa

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 Жыл бұрын

    Hii akili ni Kubwa sanaa kuliko mawazo yetu

  • @josiacharles2778
    @josiacharles27788 ай бұрын

    Mzee Mungu akupe maisha, Kwakweli watoto wachuo sasaivi akirudi nyumbani uwezi kumuacha dukani vocha huzikuti.

  • @SuleimanMohamed-Alkhusaib
    @SuleimanMohamed-Alkhusaib Жыл бұрын

    Mzee Huyu Ana Akili sana.. Tatizo mawazo yake hayafanyiwi kazi tuu kwakweli

  • @meshackwilfred5380
    @meshackwilfred5380 Жыл бұрын

    Real contents of life Much kudos this wise man with golden mindset

  • @josephg.mwangamila4865
    @josephg.mwangamila4865 Жыл бұрын

    Mtazamo wa Mzee Kishimba ni kwamba hilo andiko halijaingiza mabadiliko ya msingi kwa elimu yetu. Inabidi lifanyiwe kazi kubwa zaidi. Ni kweli kabisa. Kazi bado ni kubwa liboreshwe. Aina ya wajumbe pia inaweza kusababisha tusipate kitu bora. Hiyo kazi inataka watu wenye upeo na mawazo mapana na siyo kiwango kikubwa cha elimu tu . Ningetamani Mzee Kishimba awe kati ya wenyeviti wakuu wa kamati hiyo !

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Жыл бұрын

    Elimu inafundisha watafuta fedha sio wenye maarifa ya kujua mifumo ya uchumi' na ya uzalishaji mali na namna ya kuibadili na kuendesha wakati fedha sio msingi WA maendeleo ni matokeo TU. imf kwa sababu ya misaada Yao wamesema serikali ijitoe kwenye uzalishajiyaani mifumo ya uchumi ikadanganyika mifumo ya uchumi inatawaliwa na watu wao ndo maana imeweka mitaala ya kufundisha wajiriwa na WA kujiajiri hao ni money hunter( mafisadi ) na watumwa wasio na mbinu ya kuishi kwa kutumia mazingira yao

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 Жыл бұрын

    The real professor 👏

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Жыл бұрын

    Hakika Kishimba ni Profesa

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Жыл бұрын

    Hajawahi kuongea Pumba huyu mzee.. Japo wapo wasioweza kumuelewa

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y Жыл бұрын

    Anzia hapa 1.Idealism 2.Realism 3.Pragmatism 3. Reconstructionism 4 . Progressivism Sasa aina ya elimu, wanafunzi, waalimu,, shule na mtaala na mbinu za kufundisha zinategemea falsafa tunayoichukua.

  • @josephrobert7725
    @josephrobert7725 Жыл бұрын

    Huyu Mzee ukipata muda wa kumsikiliza ni wa tofauti sana na ni asset kubwa sana kwa Taifa letu

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 Жыл бұрын

    Asilimia 100, Nakukubali sana profesa kishimba

  • @fadhililihinda6491
    @fadhililihinda6491 Жыл бұрын

    Daa, huyu mzee huyu...., always anafikiria visivyo fikirika na wengine yaani. Kwamba Ulaya wanafunga shule wakati wa baridi, why na sisi tusifunge wakati wa mvua? We mzee ni profesa kabisa

  • @SinguMahona-hy7ud
    @SinguMahona-hy7ud Жыл бұрын

    Mimi singu mahona nakupongeza Sana kishimba mungu akubariki

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg9 ай бұрын

    Ni kweli kabisa mtoto ambaye anaejua kufanya KAZI huwa hapendi rushwa

  • @peacechodile8578
    @peacechodile8578 Жыл бұрын

    Tanzania tumpe nchi huyu jamaaa

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Жыл бұрын

    daa mr.kishimba unakalisha hadi ma profesa .???????👊👊👊👊👊👊🙏

  • @norascomulenzi222
    @norascomulenzi222 Жыл бұрын

    Big brain

  • @princes6045
    @princes6045 Жыл бұрын

    Wise man

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Жыл бұрын

    Kila siku umekuwa ni mtu bora sana, mchango wako juu ya mabadiliko ya Elimu ni mkubwa sana.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын

    Ni kweli, elimu ya ujasliamali hiyo, ifundishwe kwenye mitaala yetu. Mfano kuna kitabu kimoja cha Mchungaji wa Kisabato anaitwa Kenani Mwasomola, kinaelezea kujitoa kwenye umasikini, kinaeleza kabisa ukilima mti wa parachichi mmoja kwa gharama fulani baada ya muda fulani utavuna maparachichi Kadhaa na utaingiza pesa kiasi kadhaa, n.k.

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Жыл бұрын

    Kishimba ni moto

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Жыл бұрын

    Safi kabisa kishimba

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Жыл бұрын

    Proud of kahama

  • @johnluis35
    @johnluis35 Жыл бұрын

    Elimu ya tanzania ni historia ya matukio ya wazungu na uvumbuzi wao

  • @mcwaya

    @mcwaya

    Жыл бұрын

    Ukweli mtupu

  • @_CyprianBC
    @_CyprianBC Жыл бұрын

    Achilla mbali hao wanaopewa Udaktari, Mhe. Kishimba apewe Uprofesa kabisa maana kila nikimsikiliza absolutely ni highly thinker anaemfuata Kasheku Musukuma

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Жыл бұрын

    Daaah!!

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Жыл бұрын

    Good speach

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 Жыл бұрын

    Nakukubali kwa hoja na mawazo yako

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 Жыл бұрын

    Genius Kishimba. Wadau Wa mazoezi mpo? Piteni hapa Kuna video za mazoezi ya kujenga mwili kupunguza uzito pia

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 Жыл бұрын

    Huyu mzee ni akili kubwa.

  • @SakaMaduhu-uf5dt
    @SakaMaduhu-uf5dt Жыл бұрын

    Very nice speech

  • @RamadhanHaji-jw6dl
    @RamadhanHaji-jw6dl Жыл бұрын

    HALLOW TANZANIA HUYU MZEE INGALIFAA AWE MUHADHIR ANAYOUAZUNGUMZA NO MASOMO KAMILI YA KUWA NA SILABI YA MAZINGATIO NAMNA YA KUQAPATA VIJANA HARAKA WENYE KUJITEGEMEA

  • @rwakyenderajulius3861
    @rwakyenderajulius3861 Жыл бұрын

    Mwanafalsafa mkuu wasomi hoi.

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Жыл бұрын

    Jimbo la kahama endeleeni kutuletea huyu mbunge tunajifufunza mengi kupitia yeye hata kama serikali haipokei mawazo yake, ahsante kahama kwa mbunge huyu

  • @eliasgulinja442
    @eliasgulinja4424 ай бұрын

    Jishimba ni moto wa kuotea mbali

  • @luganosimon4111
    @luganosimon4111 Жыл бұрын

    Mie huyu mzee ndio najaribu kufuata nyendo zake ili angalau kuondokana na ufukara.Kaongea kitu hapo kwamba chanzo cha rushwa ni kwa walioshindwa kupanga maisha hivyo wanaaamua njia nyepesi ya kuendesha maisha ambayo ni rushwa

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py Жыл бұрын

    KWELI VITENDO HUZIDI MANENO - ASANTE

  • @catherinepenbin6780
    @catherinepenbin67809 ай бұрын

    Sasa naomba kuuliza physics ina application gani kwenye nursing?Current electricity,etc vinahusika gani humu.Hebu tubadilike.

  • @frenkfarm
    @frenkfarm Жыл бұрын

    safi sana sana sanaaa 💪

  • @stephanosimkoko630
    @stephanosimkoko630 Жыл бұрын

    Huyu mzee namkubali sana

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Жыл бұрын

    Huyu Profesa Kishimba ameutangulia sana ufahamu wa baadhi Viongozi wetu katika Nchi hii. " Mh Kishimba ameuliza swali ,"Kwa nini wasomi ndio wanakuwa tatizo kwa wazazi na kwa nchi,badala ya kuwa ufumbuzi wa tatizo"?

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 Жыл бұрын

    Yes boss,,, kahama one"""""

  • @bakarisamaki5711
    @bakarisamaki5711 Жыл бұрын

    Naweza kupata mawasiliano na huyu mzee Naweza kua na suluhu kamili kwenye swala hili

  • @kiatu
    @kiatu Жыл бұрын

    Genius

  • @salimmwakumi3852
    @salimmwakumi38528 ай бұрын

    Master Kishimba, akili kubwa..

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 Жыл бұрын

    Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Huyu ndio Profesa wetu

  • @BITUROKAZERI
    @BITUROKAZERI Жыл бұрын

    Mda mwafrika anaokaa shuleni ndio wakati mfumo wake wa elimu unavurugwa na kuvuruga maisha yake yote

  • @josephmalila4793
    @josephmalila4793 Жыл бұрын

    Salute

  • @joviignus1674
    @joviignus1674 Жыл бұрын

    Maana yake ni tunacho fundishana sio sahihi

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    Жыл бұрын

    Tunafundishana tusichokihitaji Kwa kweli

  • @agusmileofficial2845
    @agusmileofficial284510 ай бұрын

    Uyu akipewa urais nchi itakuwa nzur san

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf4 ай бұрын

    Hili jamaa lipo kihalisia sana ndiomaana ni tajiri sana

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Жыл бұрын

    Prof. Mh. Dr. Kishimba PhD in action.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын

    Cha msingi serikali ni lazima iwe na sera ya kuwa na viwanda vingi kama mali zipo kilimo na kuzichakata itakuwa lahisi kwa wananchi itatoa ulahisi .

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864Ай бұрын

    Akili kubwa, madarasa machache.

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Жыл бұрын

    tatizo serikali ni vichwa vigumu wakishaamua yao wameamua ndio shida na ndio shida

  • @komborashid5891
    @komborashid5891 Жыл бұрын

    Ni kweli ila mafundi wana zaraulika sana

  • @seifomar8297
    @seifomar8297 Жыл бұрын

    We produce that we can't consume

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    Жыл бұрын

    This is a simple explanation of our education system.. infact we don't even know why we have education system

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 Жыл бұрын

    Huyu ndo profesa,achana na hao maprofesa wa vitabu

  • @Users2523
    @Users2523 Жыл бұрын

    Huyu anafaa kuwa Rais wa nchi. Namuona marehemu magufuli ndani yake. Tunahitaji kiongozi kama huyu.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Жыл бұрын

    Hawa prof wetu wanamuelewa au wanaangalia mawazo kwa kupitia vyeti?

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Жыл бұрын

    Ukimsikiliza kishimba usipokuwa tajiri basi tena maana ana mawazo mbadala ya kutosha

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Жыл бұрын

    Ni vyema aeleweke anachosema

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Жыл бұрын

    Haha Huyu mzee master saana

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Жыл бұрын

    Sawa mkuu ila hawawezi kukuelewa

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 Жыл бұрын

    IQ yake ni kubwa sana

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Жыл бұрын

    Huyu jamaa akili kubwa sana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Жыл бұрын

    Badilisheni mitaala hapo imeeleweka

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Жыл бұрын

    Una akiri ya kuzaliwa

  • @WilsonKimori-qt1vj
    @WilsonKimori-qt1vj8 ай бұрын

    .

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution Жыл бұрын

    Kishimba ana akili sana

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 Жыл бұрын

    Huyu Mzee Apewe Maua yake

  • @simonhaule8976
    @simonhaule8976 Жыл бұрын

    Akili yenye matamauluku

  • @leonardjackson269
    @leonardjackson269 Жыл бұрын

    Hki ni kichwa haswa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Жыл бұрын

    Kwahiyo tufunge shule miezi mitatu? Tukalime au vipi, ama msimu wa kilimo kanda ya kusini na mashariki, kaskazini ni tofauti! Arusha wafunge mwezi wa 12 mpaka wa 3, .

  • @jamesmasanja1963

    @jamesmasanja1963

    Жыл бұрын

    Wewe hujaelewa ludia kusikiliza

  • @amonbwanakunu910

    @amonbwanakunu910

    Жыл бұрын

    🚮🚮🚮

  • @johanes9630

    @johanes9630

    Жыл бұрын

    Mzee kishimba nakkbali,nadhani ww una elim kubwa ya ujasiliamali.

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Жыл бұрын

    Good speach

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 Жыл бұрын

    Hv kwanini munaogopa kumpa uwaziri wa elimu

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 Жыл бұрын

    Hapo vyuoni watuwekee mashamba ya kila vilimo ndio dawa muda wa kwenda kuruka viwanja wawe shambani.

Келесі