MBUNGE KISHIMBA ALIVYOWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 314
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa
@briansancedo93363 жыл бұрын
Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
@fredricksteven20633 жыл бұрын
Huyu mbunge ni great thinker!!!
@Locker69963 жыл бұрын
Professor Kishimba... very smart😄
@jjborn87283 жыл бұрын
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey3143
3 жыл бұрын
Asante
@musasabu6969
3 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
@mariammwenda97193 жыл бұрын
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza
3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn886
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole3962
3 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
@novathpanga82163 жыл бұрын
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@fadhilisecha42683 жыл бұрын
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule2092
3 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee3345
3 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana6288
3 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
@msafitv86633 жыл бұрын
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
@stellamwasenga62053 жыл бұрын
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
@jorammpore96283 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota8945
3 жыл бұрын
Safisana mzee
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
@emmanuelfwillo67213 жыл бұрын
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
@eliasmtaki85183 жыл бұрын
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo8865
3 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda6490
3 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince8267
3 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut2047
3 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
@newbornhaule16353 жыл бұрын
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta6577
3 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
@M7-Band3 жыл бұрын
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo7476
3 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene847
3 жыл бұрын
Fine
@henryxavery17133 жыл бұрын
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
@prosperkillas23983 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
@yovithaobed55743 жыл бұрын
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
@boniphacemihayo15913 жыл бұрын
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
@fadhiliignusy37903 жыл бұрын
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias1666
3 жыл бұрын
Ukwel
@godlovemlinge22203 жыл бұрын
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
@bahatinzingula43093 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
@henryxavery17133 жыл бұрын
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
@amanmwakyoma22633 жыл бұрын
Hakika huyasemayo keep it up
@josehaule94253 жыл бұрын
Very wiser man, God bless you Mp
@emmanuelmuhando10523 жыл бұрын
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
@felicianholle30103 жыл бұрын
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
@msafitv86633 жыл бұрын
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
@soloartist_ivanvespalusind16093 жыл бұрын
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
@abubakarsuleman19833 жыл бұрын
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
@danielkyando67263 жыл бұрын
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
@opportunities27673 жыл бұрын
My best MP of all time... big up
@trickyjosia43263 жыл бұрын
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
@timbukwa97713 жыл бұрын
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
@rockyvlogs22143 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
@magongwematinde57733 жыл бұрын
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
@masundelwa3 жыл бұрын
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi574
3 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard5709
3 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
@saxannjo61733 жыл бұрын
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
@monicakalinga82583 жыл бұрын
Shikamoo baba unajuua sana Professor
@magorimagori92643 жыл бұрын
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
@paschazianestorymatunda64903 жыл бұрын
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
@titus_maridhia3 жыл бұрын
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
@kassimmurji28723 жыл бұрын
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
@gipsonmwankobela28252 жыл бұрын
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
@theophilmalaba40483 жыл бұрын
Excellent
@neemasalema15463 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
@MrMandevu213 жыл бұрын
Respect mzee wangu
@leverimlaki56673 жыл бұрын
Huyu mzee huwa anaongea vitu nyeti sana ambavyo wenye PHD hawawazi hivyo. Huyu mzee kweli anawaza tofauti kabisa.
@awesomevibes58473 жыл бұрын
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
@ibrahimkitela82333 жыл бұрын
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
@jeremiahzacharia76553 жыл бұрын
Huyu Mzee shikamoo.
@emmanuelmanga34783 жыл бұрын
Good Kashimba
@sebamgalula26323 жыл бұрын
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
@saimonmakoye50093 жыл бұрын
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
@uledimtumwa24063 жыл бұрын
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
@mbarikiahamadjuma68243 жыл бұрын
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
@godfreygeofrey78043 жыл бұрын
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
@plasidodavid14873 жыл бұрын
Genius 👏👏
@sebamgalula26323 жыл бұрын
Genious, 😊😊😊
@davidmagundu22853 жыл бұрын
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
@aristidestibaijukasebastia52253 жыл бұрын
Mungu akubariki Mh Kishimba
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
@munampinda18883 жыл бұрын
The Best Kishimba
@eligiusvitalis35043 жыл бұрын
Great thinker
@ama77423 жыл бұрын
Anatema nondooo🔥🔥👌
@chumanondochuma80123 жыл бұрын
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
@musasabu69693 жыл бұрын
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
@mrmhenipm3 жыл бұрын
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben4914
3 жыл бұрын
Mh aisee?
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
@bakarikissiga62883 жыл бұрын
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Huyu Mzee ni kama kaletwa kwa neema ya mungu ana mchango mkubwa kwa taifa.
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Atusaidie juu ya machinga
@revelianalphonce81153 жыл бұрын
yupo vzr sana hakiri pana
@dr_godfrey3 жыл бұрын
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
@gasperswai69633 жыл бұрын
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
@yagwishaheke25243 жыл бұрын
Duuh huyu ni professor
@rwelamira3 жыл бұрын
Very practical
@rashidkipingu73583 жыл бұрын
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
@mujwahuzikyabwishukuru29172 жыл бұрын
PROFESSOR KAMILI.
@chrismassawe3263 жыл бұрын
Mbunge makini sana
@hemedshalua20023 жыл бұрын
Genius
@ahmedyusuphkasili21152 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@imchristian3233 жыл бұрын
Daah mzee anajua struggle za mtaa
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Where hapo Sasa track soti,😄😄
@bahatijohn32223 жыл бұрын
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
@salehsaid40952 жыл бұрын
Awa watu ni jamii ya Hayati dr.magu ni adimu sana .inafaa awe ata waziri wa sector mama serekalini
@wanderenyeura90113 жыл бұрын
Speaker pia kaongea point
@frankmailu9433 жыл бұрын
Mh.kishimba nimekuelewa sana
@emmanuelmogela58713 жыл бұрын
Uyu Mzee jembe jamani anatakiwa apewe nafasi ya juuu
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
na ulinzi
@boazisanga7463 жыл бұрын
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
@evaristbamfu71493 жыл бұрын
Huyu ni hazina sana kwa Taifa letu. Alindwe sana
@mediacare67442 жыл бұрын
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Uyu mzee na suzan lyimo james mbatia wanajua sana mambo ya elimu
Пікірлер: 314
Kishimba OYEEEEEEE umetishaaa
Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
Huyu mbunge ni great thinker!!!
Professor Kishimba... very smart😄
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey3143
3 жыл бұрын
Asante
@musasabu6969
3 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei3349
3 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza
3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn886
3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole3962
3 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule2092
3 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee3345
3 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu142
3 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana6288
3 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota8945
3 жыл бұрын
Safisana mzee
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo8865
3 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda6490
3 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince8267
3 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut2047
3 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta6577
3 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo7476
3 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene847
3 жыл бұрын
Fine
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin5306
3 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias1666
3 жыл бұрын
Ukwel
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
Hakika huyasemayo keep it up
Very wiser man, God bless you Mp
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps
3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
My best MP of all time... big up
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi574
3 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard5709
3 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
Shikamoo baba unajuua sana Professor
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
Excellent
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
Respect mzee wangu
Huyu mzee huwa anaongea vitu nyeti sana ambavyo wenye PHD hawawazi hivyo. Huyu mzee kweli anawaza tofauti kabisa.
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
Huyu Mzee shikamoo.
Good Kashimba
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
Genius 👏👏
Genious, 😊😊😊
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
Mungu akubariki Mh Kishimba
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
The Best Kishimba
Great thinker
Anatema nondooo🔥🔥👌
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben4914
3 жыл бұрын
Mh aisee?
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
Huyu Mzee ni kama kaletwa kwa neema ya mungu ana mchango mkubwa kwa taifa.
Atusaidie juu ya machinga
yupo vzr sana hakiri pana
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
Duuh huyu ni professor
Very practical
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
PROFESSOR KAMILI.
Mbunge makini sana
Genius
Uko vizuri kishimba
Daah mzee anajua struggle za mtaa
Where hapo Sasa track soti,😄😄
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
Awa watu ni jamii ya Hayati dr.magu ni adimu sana .inafaa awe ata waziri wa sector mama serekalini
Speaker pia kaongea point
Mh.kishimba nimekuelewa sana
Uyu Mzee jembe jamani anatakiwa apewe nafasi ya juuu
@KalimaxStudios
3 жыл бұрын
na ulinzi
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
Huyu ni hazina sana kwa Taifa letu. Alindwe sana
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
Uyu mzee na suzan lyimo james mbatia wanajua sana mambo ya elimu