VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa uchaguzi Moshi ameingia katika mgogoro na wanachama wa Chadema chanzo kikiwa ni fomu ya wagombea wa Chadema.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 602
,Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Baba ulieumba mbingu na nchi vyote vilivyomo Baba simama tusaidie uchaguzi wa amani tunakuangalia wewe hatutaona mwingine na jua unaweza njia zako hazichunguziki uliefanya njia ktkt ya bahari fanya njia zako Mungu wewe unatujua kuliko tunavyojijua unaona mpaka mioyo iliyofichika damu ya mtanzania yoyote ilindwe na wewe
Daah! angekuwepo Adamu mchomvu angefupisha mazungumzo tu...!! huyu mkurugenzi ni jeuri Sana.
Huyu mkurugenzi Ana kiburi Mi sio Chadema lakini kwa hili mkurugenzi unakera
@abassmtemekelemkovizuritv7231
3 жыл бұрын
Piga makofii ya maan upuuz kama huo wanini mnanlea hvo
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
CHADEMA kwa kuzua maneno huwawezi. Unamsikiliza kuwa waliambiwa na NCCR mageuzi Wanachakachua mwenyewe kisha waanazua kesi hawa watu ni wajinga sana
@verdianabanabi5943
3 жыл бұрын
Kweli mkurugenzi anakela ila hajui cheo siyo dhamana
@mathiasmsese6128
3 жыл бұрын
hapana hawa wazee wanataka mbango mbona mkurugenzi amewaambia wapeleke tena aliwaambia muda mrefu tu
@amosikabalata6381
3 жыл бұрын
Ndugu yangu unajua hawa watu ambao wako upande wa utawala wana jeuri sana
Huyu msimamizi anachokitafuta atakipata! Huu sio uchaguzi wa serikali za mitaa
@martinemaganga2546
3 жыл бұрын
Tatizo ni kwamba wanaochukua form wanamchanganya kwanini wao mara aliyechukua form siyo yeye
@givenkigahe8116
3 жыл бұрын
@@martinemaganga2546 acha ujinga ww
@laghanganuwagi7602
3 жыл бұрын
We ulijuaje kwamba wsnamchanganya?
@verdianabanabi5943
3 жыл бұрын
Mkurugenzi tumia busara katika kazi yako na hekima usije ukaleta shida
Mkurugenzi tumia hekima na wajibika, ni accountability yake hao ni wateja wako kujua form ni feki a u receipt ni wewe, jua receipt inatumika ku-acknowledge payment, na wewe mkurgenzi ndiyo process owner, unavyo Tiba Shaka Nani wa kutoa wajibu hayo zaidi ya ofisi yako?
@mtengiefoya2835
3 жыл бұрын
Pmpmpm
@saidasimba9979
3 жыл бұрын
Kwani kawajibu nini si amesema wawasilishe vielelezo. Tatizo liko wap.
@mariamhassan1894
3 жыл бұрын
Huyo anatak kichapo ajui hapo ndio kaskazn chadema ndio kwao
@denismassawe9255
3 жыл бұрын
Chadema mtakaa sanaa
@hassankurwa464
3 жыл бұрын
Waende Polisi Mkurugenzi Hana taaluma ya wanacho kidai
Asanteni sana kina mama kwa ujasiri wenu.
Mkurugenzi wa Moshi ujue kuna utawala wa mpito nchi hii haina mwenyewe, mwenywe ni Mungu tu. Utakuja jutia kijana
Hawa wakurugenzi mwaka huu tutaimba nao iyenaiyena ama zetu ama zao
@aidanhamza4656
3 жыл бұрын
Uwe mbele mbele ili wakutegue kiuno mkeo wakulele wenzio
@mwambamkombozi4672
3 жыл бұрын
Aidan Hamza mbona jina alifanani na majibu unayomuandia mtu au jina bandia?!!
@nabothngailo6594
3 жыл бұрын
Ndo.maana.tulikataa.wakulugenzi.kusimamia.uchaguzi
@aidanhamza4656
3 жыл бұрын
@@mwambamkombozi4672 jibu lenye uhalisia kabisa hilo yeye anasema ataimba naye iyena iyena wakat anao wapigania wao wapo makwao wanakula raha , sasa ndio namwambia awe mbele mbele kule kwenye kupamba ili akione cha moto c anataka kuimba naye
@hadija846
3 жыл бұрын
Haahaaaahaaaaa nyimbo mzuri sana iyenaiyena ama zetu ama zao 👍😍
Hawa Viongozi gani wasio na hekima, baadae wanasema tutangulize Mungu, yaan aibu tupu
Ndomana tulipendekeza kwamba msimamizi wa uchaguzi asiwe mkurugenzi mana ni walewale
@leokamil6284
3 жыл бұрын
Umeona eee
@barakanatus5676
3 жыл бұрын
Ujaelewa hapa yaani form yeyote wanasema feki sasa Mkurugenz ataongea nini
@williamkayanda603
3 жыл бұрын
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
@williamkayanda603
3 жыл бұрын
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
@jaksonjulius9010
3 жыл бұрын
@@williamkayanda603 hatariiy
Duh shida nn wakurugenzi mbona mnawatesa sa wapinzani jmn!!!
Mbona vizingiti vinakua vingi kwa wagombea wa chadema jaman!!!🤔🤔🤔
Yaani wametangaza kukubalika leo wameanza wizi. Si wanapendwa? Figisu za nini?
@jafariakili2360
3 жыл бұрын
Yaaan
Hawa jamaa wanatutesa sana ila ipo siku wataumbuka tup pamja na chadema wawo wangake tunataka mabadiliko ccm tumeichoka jaman
@petermwacha9909
3 жыл бұрын
Vitu vingine vinatengenezwa na vyama vyenu kisha baadae wanaanza kueneza uongo. Angalia yule mtu wa ACT aliekamatwa kule KIBAMBA.
@timorpathsullusi7055
3 жыл бұрын
Wapuuzi hao, si wafate taratibu za Tume, wenyewe wanabishania nje ya ofisi. Na majibu yao watapewa hovyohovyo
@victormneney8789
3 жыл бұрын
Mnapo jibu humu comment mjue kuna vipanya pandikizi vyakutetea upuuzi kama vile vya hai leo vinanyea ndoo kisa buku ten
@lindambilinyi6253
3 жыл бұрын
Tumeichoka,wasubil oct 28 ccm tutawanyoosha shenzy zao
Kwa mambo ya kipuuzi kama haya tutawezaje kudumisha amani.Huyu mkurugenzi aache kucheza na haki za watu wa Moshi
Hapa hakuna mkurugenzi,sasa FOMU c za kwako hutaki kupokea huyu itakuwa alitaka kuwachomekea ili bde aje awakatae sasa pale ishu ishabumbuluka atakufa nazo mwenyewe
Hatari sana. God help Tz, Tuondolee wahujumu haki wote hata kama wanania njema kwa mawazo yao
Huu uchaguz wa mwaka huu Mungu tuvushe😭😭
@fattyjoe1911
3 жыл бұрын
😭😭😭😭🤧😤
@saningotobikongotiek8072
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😂😂🤓
@msetikebwasi6895
3 жыл бұрын
Amna ni kawaida tu.
Nimemfatilia sana mkurugenzi, nimegundua chadema mnakwenda kwa mihemuko, na jazba mnatakiwa kuwa watulivu mpewewe maelekezo sahihi
@charzwilson9494
3 жыл бұрын
Chunguza akiriyako Kisha Pima ujue Kama hujanasiriwa na maisha
Dah noma hii
Mwaka huu ccm wajiangarie sana
@twaibumikidadi7377
3 жыл бұрын
kbsaa kabsaaa maaana wanaaanhaika sanaaaaa!
@petermwacha9909
3 жыл бұрын
CCM wanahusikaje? Nyie mnatengeneza comed zenu mnasumbua WASIMAMIZI wa uchaguzi
@gideonstephen6879
3 жыл бұрын
Hi Nicole mbinu mpya na sct juzi ubungo nao wakafanya wanapeleka barua haina hata reference namba halafu mgombea mwenyewe ni mwna sheria huu ni utoto
@msuo7215
3 жыл бұрын
@@gideonstephen6879 mh ni shida kwakweli
@naomimabula2660
3 жыл бұрын
Mkurugenzi uelewa mdogo sana jaman, hilo suala sio la kifamilia, ni dhamana tu umepewa, sikiliza Wananchi
Utajibu mbele za Mungu wako
Dah 😯😯😯😯
Huyu niwakupiga na inatakiwa apigwe kabla ya uchaguzi na ikibidi akajue cheo nidhama siyo uungu
@shanelisessoa6319
3 жыл бұрын
Ndugu zangu hawa Miungu watu ndio watakao tuleta vita vya wenyewe kwawenyewe,na mwisho nikuwa ng'oa mapema kwa nia ya kuleta amani ya nchi, Huyu niwa kushughulikia yawezekana nimaelekezo
@kaishozigodfrey3476
3 жыл бұрын
Hujielewi kwani maelekezo ya mkurugenzi hayajaeleweka? Tatizo tushajua tu kuwa CDM wazee wakiki. NCCR na ACT unamaana hawajielewi? Pumbavu CDM fuata kanuni na taratibu za nchi fala nyinyi
@fattyjoe1911
3 жыл бұрын
🏋♀️🏌🏻♂🤸🏿♂🤺🤣🤣🤣
@willymgogo6975
3 жыл бұрын
Tendeni haki tulinde amani
@danielgiiti7295
3 жыл бұрын
Wee fara tu
Kama CCM wanapendwa, hizi figusi zote za nn??
@mlapikauma7660
3 жыл бұрын
Huku kwetu tumetiliwa mageti barabarani..Hahaaa hofuuuuuuu
@mathiasmsese6128
3 жыл бұрын
ukiondoa ushabiki wa vyama hawa wazee wamekua na mbango zisizo na maana. walitakiwa waendee kwa police waconfirm
@sweetbertrwiza5982
3 жыл бұрын
Apo sasa!!!
@babylonyNgwembe
3 жыл бұрын
CHADEMA wanatakiwa wajfunze zama zmebadlka na siyo kama awali kutafuta kiki za kujiboost
Aisee kiukwel mm huyu mkurugenz ningkuwa hpo angerud nyumbani na maundu au meno hana
Huyu mkurugenz hatufai moshi tunaongozwaje na mtu kma huyu?
@mohamedwarsame3073
3 жыл бұрын
Mpigeni Tu.Mshenzi Mkubwa
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Ndio maana inatakiwa mabadiliko
@victormneney8789
3 жыл бұрын
Katiba mpya tume huru
AIBU KUBWAAAAAAA ME NAWAOGOPA BINADAM MAANA WALIMUUA YESU PIA WALICHUKIWA NA MARAIKA MKUU WA BODI YA MASIFU YA MUNGU NA NDIO MAANA NAWAOGOPA BINADAMUUUUUUUU🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🛌
Mwacheni tu atawatambua tu
Mkurugenzi anaongea na kupangusa mdomo kwa ulimi kama nyoka😁😁😁 dalili za hila. Unavuruga uchaguzi kwa sababu za kijinga kabisa. Kwani hizo formu hazina number? Pokea formu kwa number ya copy uliyobaki nayo kwenye copy book eti kwa kuwa wameshaenda polisi hupokei tena real?
@sniperbogo6210
3 жыл бұрын
Ccm ndio hiyo inaenda kufa yenyewe kiulain yan
@abassmtemekelemkovizuritv7231
3 жыл бұрын
Alooo mm nicingekuvumilia hata dkk 2
Hivi huyo mkurugenzi anafanya hivyo kwa ili iweje ?.Au anatekeleza maagizo toka juu?.Yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yameanza.
huyo mkurugenzi ni mwizi kama mwizi mwingine yoyote muiba kuku pumbavu zake
Mmmh
Mkurugenzi ahahoja ya msingi. Msikilize anasema formu ziko sahihi. Kama unashaka nenda polisi wathibitishe theni rudisha lakini kwa kibali cha polisi. Sasas shida iko wapi? Mkurugeni uko vizuri sana kimaelezo hao wahuni achana nao wafate taratibu.
Duh! Hatari sana
Hao wapumbavu wa pigeni hata mawe maana washenzi kweli
@jamesngonndo6672
3 жыл бұрын
Gombeneni tuuu
Mwaka huu hakika tutashuhudia mengi
@sponsor7882
3 жыл бұрын
Sasa basi
Kama ni kenya 🇰🇪 huyu jamaa sijui kweli form tu
Hawa ndo wanaharibu uchaguzi,kwa hakika inauma Sana maana ukiangalia huyu mtu anakabidhiwa majukumu ya kusimamia uchaguzi ilihali hajateuliwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,kiukweli Mungu atusaidie siku moja haya yasionekane
Katibu uko vizuri
Dah, lakini tukumbuke kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yanaendelea
Form zimefifia
Hatareeeee sana.
Aiseh
Daaah! Tz nchi yangu.
NCCR- waliwambia form siyo sahihi indeed 🤨🤨🤨
hapa kazi tu
Ndio matatizo ya kuwa na makurugenzi makada ya ccm !! Unazi wala hana sifa za kiongozi!! Magufuli umetukosea sana kwa huu mtindo wa kuteuwa nafasi za utendaji kama ukurugenzi makada wa ccm !! Haibu!!
Hatima ya nchi yetu imekuwa mkononi mwa wateule kweli tunahitaji katiba mpya bila hvo tutabuluzwa Sana ??
Ccm inakata roho bado kuzikwa tu
@adrophwilliam3225
3 жыл бұрын
Sasa maziko yamesha tangazwa.
Huyu mjinga ni wa kuondoa hapa Kilimànjaro. Mpumbavu mmoja anaweza kuhatarisha amani ya nchi yetu.
Mkurugenzi mama ana kichwa kigumu sana haelewi anachokifanya, yupo yupo tu na kiburi kazi itamshinda.
Ndugu haya ni maisha tu, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. Tutendeane wema.
kwanini form zenye utata ni za wapinzani tu!!!!!!?????
@fattyjoe1911
3 жыл бұрын
Jamani eti hata mitambo nayo risiti inaprint ya ccm tu yani mpizini akifika zinagoma ,ccm je mitambo inazindiku🤣🤣🤣🤣🤣 jamani tusubiri movie
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Mkurugenzi anasema muda imeisha hatoi huduma
@lindambilinyi6253
3 жыл бұрын
Hapo xx
@yusuphmohammad1385
3 жыл бұрын
Sababau wanakihoro cha kujaza wenzao wametulia na wamepewa semina juu ya hizo fomu
Uyu jamaa mpuuz sana wewe mnapeleka shda police alafu unataka urudishe sasa msimamz atapokeaje form so lazima ithibitshwe tena na police ivyo wamejchanganya wenyewe na wakat mwngne wanapga goli la MKONO wenyewe kwa upande wapli kwan wao nani mana malalamiko n mbwembwe kbao kla siku
Tunduuuuuuuuuuuuuu.😂😀😁😂😀😁🚵🚵🚵🚵 kubwaaaaaa sana
Hili Ni kada ndani ya koti la mkurugenzi
Mungu ingilia Kati Mambo ya hovyo kabisa haya,nimambo aibu kwa taifa,huu mchezo mchafu,haki itendeke Kama wanadamu,Kweli Kuna binadamu na wanywadamu,Mungu anawaona!
Maelekezo.siyo.mazuri
Jamani, amani muitunze!!
Aibu sana ila kumbuka hakuna mwenye hati miliki ya hii inchi
Mkurugenzi kaswaki mdomo unanuka🥱
Kushindwaa bhaaan!!
Inasikitisha sana
Huu ni ushuhuda tosha kuwa Tanzania haijawa tayari kwa uchaguzi huru. Tume ya uchaguzi ni upuuzi mtupu. Bila katiba mpya tutakuwa tunawalaumu bure hawa wakurugenzi. Wapo kutimiza matakwa ya chama chao tawala. Inasikitisha sana.
Viongozi wa dini semeni na hii,AMANI ipo apo kwa mkurugenzi.
@ambasonkalenga2047
3 жыл бұрын
Wasemakweli nimashehe waliopo kifungoni tu wengine wote wachumia tumbo kula zaka za masikini tu kumbuka wengine walipewe hata pesa za escro
Hawa macccm yalisha shindwa wana tumia dhambi
Nikupe kazi nikupe nyumba nikupe gari Kisha mtangaze mshindi! Nakufuta kazi
Bola kama ninoma naiwe nomaaaa
Huyu mkurugez nikilaza jaman,,😂😂😂😂
TATIZO WA CHADEMA HAMKO WASKIVU HATA KIDOGO.
Hekima na busara zinahitaji
Kiongozi Kama huyu hata Sijui niseme anafaa au hafai maana kid ngozi wetu wa nchi kashasema sheria zitekelezwe ili kusiwepo malalamiko sasa huyu anataka kutuchafulia jina.
@kissirukuba6538
3 жыл бұрын
Wanapokea maagizo kutoka wap?????
Sikuona sababu ya kugombana na mkurugenzi kabla ya kujaza hizo form alizowapa na kuzirudisha akizikataa ndiyo muanze kesi , sasa mnaanza kulinganisha na za vyama vingine sijui mliziona wapi, tulizeni mizuka ndugu!!
Mazee wazima mnakomaa na chadema mmmmm njaa hizi
Yani ndy mnategemea huyu mtu awatangaze kama mkishinda 😳😳 nisawa na kusubiri Meli airport
Inauma sana unapoona mtu Kwa mamlaka aliyopewa, anataka kusababisha vurugu bila sababu. Very sad.
Polisi sio watoaji wa fomu
@wahidkombokhamis4330
3 жыл бұрын
Tume ndiyo inayoanzisha vurugu na sio polisi, mtazamo tu
Shida iko wapi
Huyu Mkurugenzi gani kiazi,tunawatoa wapi Hawa aina ya wakurugenzi .mnatuabisha Sanaa ktk serikali. Huwezi kujianika km umeharibu
Huyo mkurungenzi yuko sahihi ,yeye ndiye aliyewapa hizo fomu wao wanadai ni feki na wameripoti kituo cha polisi,hivi,swali LA kujiuliza kati ya mkurungezi na hao wagombea ni nani mwenye ujuzi na hizo fomu,isitoshe hakuna aliyeiona hiyo fomu,tuwe na akiba ya maneno itatusaidia!
Siasa zitawa maliza wtz😂😂😂😂
Wewe ndio uliowapa walipoona haziko sawa kwanini hawakurudi kwako wakaenda polisi ??? Kwani polisi ndio waliowapa?? Wangekuja kwako kwanza wakuoneshe uzione kama sio zenyewe ndio aangeenda lakini sasa wameshaenda huko halafu ndio wanakuja kwa mkiirugenzi kulalamika waendelee na polisi kelele za nini si ndiko walikoona watapata msaada. Hawa chadema bwana hawaa taabu sana
Hivi katiba yetu IPO wazi kuwa kila MTU anahaki ya kuchaguliwa na kuchagua sasa hata mambo yanayoletwa ya kuwanyima watu haki ya kugombea kwa kigezo cha fomu ni batili kabisa mgombea amepita kwenye mchakato wa chama na kimewapitisha mkurugenzi anaonekana ameandaa mgombea wake lazima apite,Hii ndiyo inaleta tafasiri kuwa maamuzi mengine ya MAHAKAMA unaona Hana shida yanaleta migongano inaonekana wazi wasimamizi wengi wa uchaguzi ni wana chama wa chama kilicho kwenye kinyanganyiro ni vipi haki itatendeka,hili majaji wa MAHAKAMA ya rufaa ndiyo kwenye majibu
Duh
CCM mnachokifanya mungu anawaona
Uongozi wa juu tafadhari angalieni haya mambo yanatia aibu nchi yetu pia inaonyesha picha isiokua nzuri kwataifa letu!!! Machafuko mengine mtasababisha wenyewe na sio wapinzani!!!
Tunakoelekea Si kuzuri. mtaingiza nchi hii kwenye matatizo kwa kujitia upofu. mkurugenzi wewe ndiye kiongozi unayesimamia zoezi hilo alafu watu wanakuja kwako kama kiongozi badala ya kushughulia malalamiko yao unafanya upuuzi mizaha na kujitia upofu. kesho mahakamani utajibu nini? au fujo ikitokea usalama ukaharibika utasema nini hapo.
Kwakweli cjui hiki kiburi wanakipata wapi wakurungezi ira Mungu atawahukumu tu
Huyu mkurugenz Hana akili kabisa ni kilaza
Siasa hizi jamani
Nyinyi chadema hamridhiku n'a chochote pahali mlipo mnaleta balaa
MAGUFULI KAMA KWELI NI MCHA MUNGU,KWELI. Naakubali kuwa kemea watu wake hadharani kama kweli ni anajua nini maana ya mcha Mungu, TUNATAKA TUMEHURU UCHAGUZI HUU HATUTAKUWA KONDOO WA KAFARA
@edwarddaniel5683
3 жыл бұрын
Sahau hilo
@rebekabarakakibangokibango6552
3 жыл бұрын
Mshamba wewe kwan kamtuma yeye
@donaldmaziku7915
3 жыл бұрын
Mcha Mungu gani huyo?
@eaglecrown1101
3 жыл бұрын
Ama kweli mkuki kwa nguluwe kwa binadamu mchungu, ucha MUNGU kwa magufuli kwenu vitendo vya kutekana na kuchoma Moto office zenu huo ndio ucha MUNGU....!!!
@adrophwilliam3225
3 жыл бұрын
@@rebekabarakakibangokibango6552 Mkurugezi kazi anapewa na nani?
Watanzania wenzangu tulieni tudhuma aijawai kushinda kwamwe ina mwisho naisi mwaka huu Mungu kaisha tuandalia Daudi alie muua goriati watu wakafulaihi
Duh haya mambo yanayotokea sio haki kabisa cjui tunaelekea wap wa Tanzania
African life down nduguzagu
Mtaacha dhambi lini jamani?
Hii aibu kwanchi yetu
halafu amevaa kofia ya tume
Nyie wakurugenzi mmezoea kuonea chadema