LISSU AMVAA NYALANDU, WATU WAKE WANACHOMEW NYUMBA MOTO, ANAENDA UINGEREZA? SIJUI TULIMUITAJE CHADEMA
#TANZANIA: SIJUI TULIMLETAJE LAZARO CHADEMA, WATU WAKE WANACHOMEWA MOTO YEYE ANAENDA UINGEREZA? - LISSU
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amvaa Lazaro Nyalandu kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa ardhi, Lissu adai alimpigia simu akasema yuko uwanja wa ndege anaenda Uingereza, "watu wake wanachomewa nyumba yeye anaenda Uingereza?, sijui tulimletaje letaje, mmeletewa vita na Serikali, si kwasababu halali iko upande wao, walishindwa kesi"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 88
Huyu jamaa anajua anajua anajua hadi anakeraaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 TZ hii sijawahi kuona kama kuna Raia mwenye akili zilizopevuka kama za huyu kiumbe. Hakupaswa kuzaliwa wala kuishi nchi hizi za Kiafrika. Huyu mtu alipaswa kuwa nembo za nchi fulani huko mambele 😍😍🥰🥰
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Kweli kabisa
@deniccgabriel6153
Ай бұрын
Aya mambo yapo nihaki wananchi kuyajua lkn CCM huficha ukweli huu😢😢miaka mingi.,..
@YahayaKishakwi
Ай бұрын
Anajua sana
@adelinelyaruu3036
Ай бұрын
Mungu amtunze na kumlinda
Tuungane kwa pamoja kuindoa ccm
Sisi watanzania ni waajabu tunawapenda watu wanaotudaganya. Watu wakweli wanapigwa vita, kwa nini hatutaki kumuelewa Huyu Lissu!
@adamlubawa1281
Ай бұрын
Lissu ni Tapeli tu hawezi kusaidia chochote kile Ameshindwa kusaidia akiwa mbunge atasaidiaje sasa hivi Waeleze sera za chama chako
@ibrahshifta1595
Ай бұрын
We mzee hujitambui ,hivi ww unamuweza Lissu ? Mavi ww
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
@@adamlubawa1281auna akili ww mkubwa mzima lakini akili kisoda hiv ccm tangu wamechukua nchi miaka mingapi Kero zile zile tangu nimepata akili hadi leo Umeme Barabara mbovu Afya
Welldone mh Lissu.
Elimisha jamiii ielewe haki zao, zilizofichwa na haramu CCM
@rogersiddy
Ай бұрын
Wamewaficha alafu wanawafanya wajinga wanawadanganya tu wao wanatajirika kwa mali za nchi yetu kikundi kidogo tu
@adelinelyaruu3036
Ай бұрын
Elimu Elimu Elimu
Tanzania wapo 7 watano lisu1 mpina 2 aidani kenani3 esta bulaya4 mwabukusi5 mbarikiwa mwakipesile6 na kishimba7 MUNGU walinde uwasaidie
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Esta mtoe bhna weeee
Awamu hii wakimwaga ugari tutamwaga mboga sote tuwe na njaa
@rogersiddy
Ай бұрын
Aaah sana Mungu yupo atupe njia tumechoka kwakweli🙏🤲
Lissu ww niwakipekeee sana
Big up tundu
Akili.kubwa.mungu.akulinde.ccm.hawataki.watu.wenye.akili.ndio.maana.walitaka.ufe
Viva Lissu❤
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Huyu jamaa anajua, huihitaji akili kubwa kumuelewa...suala la ubunge ni bajeti pia yy hutembea jimbo kwa jimbo. Hazungumzii ya jimbo moja...
Huyu mwalim tumepewa na mungu tusimwache aende
Ccm wanajifanyaga watekelezaji Na watu wakujari watu kwenye kero dogodogo kipind cha kampenitu . Ndo wanajifanyaga wema Tanzania amkaa
Lissu mnyampaa uko saw katbak KWANZA
Akili km hizi zitunzwe
Sema baba
Lisu unafaa sana mungu akupe miaka 100000
Upo viziri
Lisu umetishaa ashukuliwe mama mzazi wa lisu
Kama huna akili kubwa huwezi kumwelewa lisu , tunahitaji wapatikane akina lisu watano wengine
BRAVO KOMREDI LISSU.....KWA HAKIKA NCHI 'INAUZWA'....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUING'OE CCM MADARAKANI....MIKATABA YOTE IPITIWE UPYA NA VIONGOZI WOTE WALIOHUSIKA HATUTAWAACHA SALAMA!
KICHWA KIMOJA NI SAWA NA MAFISIEMU WOOOTE TANZANIA DAH JAMAA KICHWA SANA ILA UKIWA TAHILA UWEZI ELEWA😅
Ukweli unawauma wanaomtukana lisu maana kwenye ccm hawana kama lisu ,nakama yupo tuwapambanishe wabishane kwa hoja
Wa tz tunahitaji viongozi ka lisu ,heche,mbowe, wasio ogopa kusema kweli nawaombea kwa mungu wasipate janga lolote mungu awalinde ili wazidi kuturolea blanket zito walilotufunika ccm tusiijue kweli maana kwa sasa naamini wa tz tumeanza kuelewa nini kinasababisha tunakua masikini
Akili ya lisu ni sawa na maccm million 10
Umemsahau Halima Mdee.
Huo ndo upinzani wa kweli.
Wewe unae muita risu tapeli kuma amamaako
😂😂😂
Mnyampaa, mkali
CCM hawana huruma
Na ulipokuwa mbunge uliwasaidiaje LISSU WACHA UTAPELI HUWEZI KUSAIDIA CHOCHOTE
@kakak1245
Ай бұрын
Jimbo tofauti
@YahayaKishakwi
Ай бұрын
Anae weza nani
@ibrahshifta1595
Ай бұрын
Nenda zako na U CCM wako ,sura bayaaaa
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Ww taila
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Yani hata mwanao huko nyumban anakuona ww ni mbwa baba mbwa takataka
Í📗🇹🇿💪💯👁️👁️👁️👁️👁️👁️👁️👫👫😃👨🏿🤝👨🏻👬😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CHADOMOOOO😂😂 yaani yeye ni kukosoa tu. Aseme amewafanyia nini wananchi alipokuwa mbunge na aache porojo
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Subilia upigwe mnada basi upewe tishet mwakan utulie kimya
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Hiil kitu wenye akili Timamu tuu na siyo matahila ukiwa tahila basi utakosoa
@benswai8099
28 күн бұрын
Stupid kweli wee hewa
Now the res no ccm the res police ccm and military that all nyarandu went ccm because of leadership saif benefits not leadership for tanzanian population nyarandu is not a capable leader
Big AP
Sema basi ukiwa wewe utafanya nini?? Mbona kuutwa unalalama tu! Mikutano unafanya mwenyewe wenzako wako wapi? Au utaongoza nchi peke yako? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂😂
@user-ti8fn1wn1w
Ай бұрын
Akr huna sahz ni dampen?
@albinusmkono5887
Ай бұрын
Wewe dorodh msuya unaonge pumba.kama huna Cha kuongea SI ukae kimya.wenzake wanakuhusu nn.?? Kuelemishwa wananchi wajue haki zao ni kosa wewe bumumba sana.
@dorothmsuya1686
Ай бұрын
@@albinusmkono5887 wewe ni nani mpaka unifundishe cha kuongea! Hebu pita kule na hao waganga njaa wenzako! Wewe unajielewa unanisaidia nini!
@dorothmsuya1686
Ай бұрын
@@albinusmkono5887 sisi tunataka sera! Anatuelimisha kwani yeye ni nani! Njaa tu hizo akiingia atakua zaidi ya hawa waliopo!
Toa sera za chama chako acha upimbi
@richardnganya2311
Ай бұрын
Kuna tatizo mahali fulani.
@adamlubawa1281
Ай бұрын
Hana Sera yeye kazi yake ni kuwadanganya na kuwaongopea tu Sijui hao anaoongea nao wanahitaji historia
@albinusmkono5887
Ай бұрын
Wewe said kwakua hujitambui na huna la kusema Bora ukae kimya.unaongea utumbo sasa unataka Sela ipi ya kwako.? Toa wewe yakwako mnafiki sana😢😢😢
@ShamteMohmed-ed2kk
Ай бұрын
Porojo tu
@ibrahshifta1595
Ай бұрын
Haya manyumbu ya CCM majinga sana na yanaroho mbaya sana ,alafu yanajua hayakubariki ndo maana mnalazimisha watu wasimuelewe Lissu, ww huoni anazungumzia matatizo ya wananchi au? We unataka sera Gani? Ina maana wananchi hawaelewi wajibu wao, unatakiwa kwanza uguse matatzoo ya watu ndo watakuelewa ,nyie wehu kweli
SIJUWI CHADEMA WALIMKUBALI VIPI HUYU MWEDAWAZIMU TUDU LISSU
@levissanga8867
Ай бұрын
Mwendawazimu ni wewe usiyejali haki za watu
@petermasanilo732
Ай бұрын
Mwendawazimu ni wewe kama ulikuwa hujui
@user-mf7xy3sf6q
Ай бұрын
Mwenda wazma ni wew usiye jitabua
@richardnganya2311
Ай бұрын
Kabla hujaoondoa kibanzi jichoni pako hangaikia boriti jichoni kwako.
@albinusmkono5887
Ай бұрын
Wewe. Ndio tunakushangaa uwenda wazimu wako umepitiriza kikomo
Shida.kubwa.tanzania.kila.Rais.anaekuja.anakujanamamboyake.mwenyewendiomaanahatuendelei.haswa.vijijikunashida.nyingisana.kama.kwetu.korogwe.watutupo.toka.74.leotunaambiwa.wavamizi.tunatakiwatuondoke.wakati.Nyerere.alituwekapale.vijiji..6.mgobe.kalekwa.lewa.god.sheni.kwa.mbaazi.msambiazi.watuwotehao.twende.wap.mamasamia.angalia.masikin.kamawamekwambia.ni.msitu.sio.msitu.ni.vijijtena.vinahati.sasahatiimetoa.nchigani.kama.sio.Tz
@youngsachafurniture5482
Ай бұрын
Wanakula nchi kila uchao