LISSU AMVAA NYALANDU, WATU WAKE WANACHOMEW NYUMBA MOTO, ANAENDA UINGEREZA? SIJUI TULIMUITAJE CHADEMA

#TANZANIA: SIJUI TULIMLETAJE LAZARO CHADEMA, WATU WAKE WANACHOMEWA MOTO YEYE ANAENDA UINGEREZA? - LISSU
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amvaa Lazaro Nyalandu kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa ardhi, Lissu adai alimpigia simu akasema yuko uwanja wa ndege anaenda Uingereza, "watu wake wanachomewa nyumba yeye anaenda Uingereza?, sijui tulimletaje letaje, mmeletewa vita na Serikali, si kwasababu halali iko upande wao, walishindwa kesi"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 88

  • @madenge731
    @madenge731Ай бұрын

    Huyu jamaa anajua anajua anajua hadi anakeraaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 TZ hii sijawahi kuona kama kuna Raia mwenye akili zilizopevuka kama za huyu kiumbe. Hakupaswa kuzaliwa wala kuishi nchi hizi za Kiafrika. Huyu mtu alipaswa kuwa nembo za nchi fulani huko mambele 😍😍🥰🥰

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @deniccgabriel6153

    @deniccgabriel6153

    Ай бұрын

    Aya mambo yapo nihaki wananchi kuyajua lkn CCM huficha ukweli huu😢😢miaka mingi.,..

  • @YahayaKishakwi

    @YahayaKishakwi

    Ай бұрын

    Anajua sana

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Mungu amtunze na kumlinda

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943Ай бұрын

    Tuungane kwa pamoja kuindoa ccm

  • @adrianoadriano-ys6bm
    @adrianoadriano-ys6bmАй бұрын

    Sisi watanzania ni waajabu tunawapenda watu wanaotudaganya. Watu wakweli wanapigwa vita, kwa nini hatutaki kumuelewa Huyu Lissu!

  • @adamlubawa1281

    @adamlubawa1281

    Ай бұрын

    Lissu ni Tapeli tu hawezi kusaidia chochote kile Ameshindwa kusaidia akiwa mbunge atasaidiaje sasa hivi Waeleze sera za chama chako

  • @ibrahshifta1595

    @ibrahshifta1595

    Ай бұрын

    We mzee hujitambui ,hivi ww unamuweza Lissu ? Mavi ww

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    ​@@adamlubawa1281auna akili ww mkubwa mzima lakini akili kisoda hiv ccm tangu wamechukua nchi miaka mingapi Kero zile zile tangu nimepata akili hadi leo Umeme Barabara mbovu Afya

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794Ай бұрын

    Welldone mh Lissu.

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636Ай бұрын

    Elimisha jamiii ielewe haki zao, zilizofichwa na haramu CCM

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    Ай бұрын

    Wamewaficha alafu wanawafanya wajinga wanawadanganya tu wao wanatajirika kwa mali za nchi yetu kikundi kidogo tu

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Elimu Elimu Elimu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын

    Tanzania wapo 7 watano lisu1 mpina 2 aidani kenani3 esta bulaya4 mwabukusi5 mbarikiwa mwakipesile6 na kishimba7 MUNGU walinde uwasaidie

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Esta mtoe bhna weeee

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yqАй бұрын

    Awamu hii wakimwaga ugari tutamwaga mboga sote tuwe na njaa

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    Ай бұрын

    Aaah sana Mungu yupo atupe njia tumechoka kwakweli🙏🤲

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын

    Lissu ww niwakipekeee sana

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620Ай бұрын

    Big up tundu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743Ай бұрын

    Akili.kubwa.mungu.akulinde.ccm.hawataki.watu.wenye.akili.ndio.maana.walitaka.ufe

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tnАй бұрын

    Viva Lissu❤

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206Ай бұрын

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @jonathansam4159
    @jonathansam4159Ай бұрын

    Huyu jamaa anajua, huihitaji akili kubwa kumuelewa...suala la ubunge ni bajeti pia yy hutembea jimbo kwa jimbo. Hazungumzii ya jimbo moja...

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeterАй бұрын

    Huyu mwalim tumepewa na mungu tusimwache aende

  • @MwakaSchone-gt7xc
    @MwakaSchone-gt7xcАй бұрын

    Ccm wanajifanyaga watekelezaji Na watu wakujari watu kwenye kero dogodogo kipind cha kampenitu . Ndo wanajifanyaga wema Tanzania amkaa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Lissu mnyampaa uko saw katbak KWANZA

  • @Mkorajr
    @MkorajrАй бұрын

    Akili km hizi zitunzwe

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585Ай бұрын

    Sema baba

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6yАй бұрын

    Lisu unafaa sana mungu akupe miaka 100000

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444Ай бұрын

    Upo viziri

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6yАй бұрын

    Lisu umetishaa ashukuliwe mama mzazi wa lisu

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeterАй бұрын

    Kama huna akili kubwa huwezi kumwelewa lisu , tunahitaji wapatikane akina lisu watano wengine

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7uАй бұрын

    BRAVO KOMREDI LISSU.....KWA HAKIKA NCHI 'INAUZWA'....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUING'OE CCM MADARAKANI....MIKATABA YOTE IPITIWE UPYA NA VIONGOZI WOTE WALIOHUSIKA HATUTAWAACHA SALAMA!

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482Ай бұрын

    KICHWA KIMOJA NI SAWA NA MAFISIEMU WOOOTE TANZANIA DAH JAMAA KICHWA SANA ILA UKIWA TAHILA UWEZI ELEWA😅

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeterАй бұрын

    Ukweli unawauma wanaomtukana lisu maana kwenye ccm hawana kama lisu ,nakama yupo tuwapambanishe wabishane kwa hoja

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeterАй бұрын

    Wa tz tunahitaji viongozi ka lisu ,heche,mbowe, wasio ogopa kusema kweli nawaombea kwa mungu wasipate janga lolote mungu awalinde ili wazidi kuturolea blanket zito walilotufunika ccm tusiijue kweli maana kwa sasa naamini wa tz tumeanza kuelewa nini kinasababisha tunakua masikini

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeterАй бұрын

    Akili ya lisu ni sawa na maccm million 10

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Umemsahau Halima Mdee.

  • @isayagilson5710
    @isayagilson5710Ай бұрын

    Huo ndo upinzani wa kweli.

  • @LuckmanMiraji
    @LuckmanMirajiАй бұрын

    Wewe unae muita risu tapeli kuma amamaako

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    😂😂😂

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatshaАй бұрын

    Mnyampaa, mkali

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336Ай бұрын

    CCM hawana huruma

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281Ай бұрын

    Na ulipokuwa mbunge uliwasaidiaje LISSU WACHA UTAPELI HUWEZI KUSAIDIA CHOCHOTE

  • @kakak1245

    @kakak1245

    Ай бұрын

    Jimbo tofauti

  • @YahayaKishakwi

    @YahayaKishakwi

    Ай бұрын

    Anae weza nani

  • @ibrahshifta1595

    @ibrahshifta1595

    Ай бұрын

    Nenda zako na U CCM wako ,sura bayaaaa

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Ww taila

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Yani hata mwanao huko nyumban anakuona ww ni mbwa baba mbwa takataka

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043Ай бұрын

    Í📗🇹🇿💪💯👁️👁️👁️👁️👁️👁️👁️👫👫😃👨🏿‍🤝‍👨🏻👬😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NDEWARA
    @NDEWARAАй бұрын

    CHADOMOOOO😂😂 yaani yeye ni kukosoa tu. Aseme amewafanyia nini wananchi alipokuwa mbunge na aache porojo

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Subilia upigwe mnada basi upewe tishet mwakan utulie kimya

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Hiil kitu wenye akili Timamu tuu na siyo matahila ukiwa tahila basi utakosoa

  • @benswai8099

    @benswai8099

    28 күн бұрын

    Stupid kweli wee hewa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Ай бұрын

    Now the res no ccm the res police ccm and military that all nyarandu went ccm because of leadership saif benefits not leadership for tanzanian population nyarandu is not a capable leader

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131Ай бұрын

    Big AP

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686Ай бұрын

    Sema basi ukiwa wewe utafanya nini?? Mbona kuutwa unalalama tu! Mikutano unafanya mwenyewe wenzako wako wapi? Au utaongoza nchi peke yako? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂😂

  • @user-ti8fn1wn1w

    @user-ti8fn1wn1w

    Ай бұрын

    Akr huna sahz ni dampen?

  • @albinusmkono5887

    @albinusmkono5887

    Ай бұрын

    Wewe dorodh msuya unaonge pumba.kama huna Cha kuongea SI ukae kimya.wenzake wanakuhusu nn.?? Kuelemishwa wananchi wajue haki zao ni kosa wewe bumumba sana.

  • @dorothmsuya1686

    @dorothmsuya1686

    Ай бұрын

    @@albinusmkono5887 wewe ni nani mpaka unifundishe cha kuongea! Hebu pita kule na hao waganga njaa wenzako! Wewe unajielewa unanisaidia nini!

  • @dorothmsuya1686

    @dorothmsuya1686

    Ай бұрын

    @@albinusmkono5887 sisi tunataka sera! Anatuelimisha kwani yeye ni nani! Njaa tu hizo akiingia atakua zaidi ya hawa waliopo!

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qwАй бұрын

    Toa sera za chama chako acha upimbi

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Ай бұрын

    Kuna tatizo mahali fulani.

  • @adamlubawa1281

    @adamlubawa1281

    Ай бұрын

    Hana Sera yeye kazi yake ni kuwadanganya na kuwaongopea tu Sijui hao anaoongea nao wanahitaji historia

  • @albinusmkono5887

    @albinusmkono5887

    Ай бұрын

    Wewe said kwakua hujitambui na huna la kusema Bora ukae kimya.unaongea utumbo sasa unataka Sela ipi ya kwako.? Toa wewe yakwako mnafiki sana😢😢😢

  • @ShamteMohmed-ed2kk

    @ShamteMohmed-ed2kk

    Ай бұрын

    Porojo tu

  • @ibrahshifta1595

    @ibrahshifta1595

    Ай бұрын

    Haya manyumbu ya CCM majinga sana na yanaroho mbaya sana ,alafu yanajua hayakubariki ndo maana mnalazimisha watu wasimuelewe Lissu, ww huoni anazungumzia matatizo ya wananchi au? We unataka sera Gani? Ina maana wananchi hawaelewi wajibu wao, unatakiwa kwanza uguse matatzoo ya watu ndo watakuelewa ,nyie wehu kweli

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120Ай бұрын

    SIJUWI CHADEMA WALIMKUBALI VIPI HUYU MWEDAWAZIMU TUDU LISSU

  • @levissanga8867

    @levissanga8867

    Ай бұрын

    Mwendawazimu ni wewe usiyejali haki za watu

  • @petermasanilo732

    @petermasanilo732

    Ай бұрын

    Mwendawazimu ni wewe kama ulikuwa hujui

  • @user-mf7xy3sf6q

    @user-mf7xy3sf6q

    Ай бұрын

    Mwenda wazma ni wew usiye jitabua

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Ай бұрын

    Kabla hujaoondoa kibanzi jichoni pako hangaikia boriti jichoni kwako.

  • @albinusmkono5887

    @albinusmkono5887

    Ай бұрын

    Wewe. Ndio tunakushangaa uwenda wazimu wako umepitiriza kikomo

  • @SalumChema
    @SalumChemaАй бұрын

    Shida.kubwa.tanzania.kila.Rais.anaekuja.anakujanamamboyake.mwenyewendiomaanahatuendelei.haswa.vijijikunashida.nyingisana.kama.kwetu.korogwe.watutupo.toka.74.leotunaambiwa.wavamizi.tunatakiwatuondoke.wakati.Nyerere.alituwekapale.vijiji..6.mgobe.kalekwa.lewa.god.sheni.kwa.mbaazi.msambiazi.watuwotehao.twende.wap.mamasamia.angalia.masikin.kamawamekwambia.ni.msitu.sio.msitu.ni.vijijtena.vinahati.sasahatiimetoa.nchigani.kama.sio.Tz

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    Ай бұрын

    Wanakula nchi kila uchao

Келесі