Alichokisema Tundu Lissu Akiwa Singida Mjini, "Kama Tusingekuwa Wakorofi Huu Mkutano Usingefanyika"

Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akihutubia wananchi wa Singida Mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Stendi.

Пікірлер: 93

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575Ай бұрын

    Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.

  • @SeifYusuf-jf7bn
    @SeifYusuf-jf7bnАй бұрын

    TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.

  • @user-lt1nr4tk9r
    @user-lt1nr4tk9rАй бұрын

    Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын

    Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194Ай бұрын

    Una akili sanaaa yani God bless you all the time

  • @anosiata8242
    @anosiata8242Ай бұрын

    Mungu akulinde lissu.

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2rАй бұрын

    Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064Ай бұрын

    Big up brother tundu lisu

  • @nicodemusngwala2079
    @nicodemusngwala2079Ай бұрын

    Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika

  • @josephmlazier1391
    @josephmlazier1391Ай бұрын

    Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana

  • @adamlubawa1281

    @adamlubawa1281

    Ай бұрын

    Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU

  • @faustinebahenobi3412

    @faustinebahenobi3412

    Ай бұрын

    Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!

  • @ibrahshifta1595

    @ibrahshifta1595

    Ай бұрын

    Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea

  • @raymondnlelwa427

    @raymondnlelwa427

    Ай бұрын

    Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!

  • @user-lt1nr4tk9r
    @user-lt1nr4tk9rАй бұрын

    Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Ай бұрын

    Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    Ай бұрын

    Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs

  • @RUSTERNYAIKOBA
    @RUSTERNYAIKOBAАй бұрын

    Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha

  • @matiredms917
    @matiredms917Ай бұрын

    Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121Ай бұрын

    😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6ziАй бұрын

    Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu

  • @willyadam4776
    @willyadam4776Ай бұрын

    Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Jamani Tundu Lisu mmmm

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084Ай бұрын

    sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?

  • @YohanaThadeo-ki2qg
    @YohanaThadeo-ki2qgАй бұрын

    Ongera lisu

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489Ай бұрын

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657Ай бұрын

    Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657Ай бұрын

    This man is very intelligent.

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tnАй бұрын

    🤝❤❤🙏

  • @rastheunique
    @rastheuniqueАй бұрын

    Tundu Lissu 💪💪

  • @user-ti4gw9jb8w
    @user-ti4gw9jb8wАй бұрын

    Safi sana mweshimiwa

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395Ай бұрын

    Kweli tuu

  • @salummichael87
    @salummichael87Ай бұрын

    Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA

  • @BelievePeace-jg5pc
    @BelievePeace-jg5pc25 күн бұрын

    Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    Jamaa hachoki Mwezi mzima yuko barabarani daily

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640Ай бұрын

    Makini sana

  • @henrymligo2440
    @henrymligo2440Ай бұрын

    Ok!

  • @BarakaMisanga
    @BarakaMisangaАй бұрын

    Poleee

  • @abelchuche7968
    @abelchuche7968Ай бұрын

    Hatari sanaaaaaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_EverythingАй бұрын

    ✌️👍👊.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219Ай бұрын

    Duh

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636Ай бұрын

    MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын

    Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉

  • @khalidikaghembe1775
    @khalidikaghembe1775Ай бұрын

    Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2mАй бұрын

    Haya mambo ni mazito sana

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBahaАй бұрын

    Tufanye mapinduzi ya kweli

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540Ай бұрын

    Kama kawaida moto unawaka

  • @emmanuelrobert4757
    @emmanuelrobert4757Ай бұрын

    Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn

  • @SAMSONKOIKAI
    @SAMSONKOIKAIАй бұрын

    Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Rais Hana kitu

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5uАй бұрын

    Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064Ай бұрын

    18,200

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350Ай бұрын

    kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote

  • @josephmatiko4805
    @josephmatiko4805Ай бұрын

    Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke

  • @IssayaNdinga
    @IssayaNdingaАй бұрын

    Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu

  • @evelina9621
    @evelina962114 күн бұрын

    Lisu.toa Mafundisho.kwa.watu.wajueuukombozi..n.sasa

  • @msabahaali758
    @msabahaali758Ай бұрын

    Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qmАй бұрын

    Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo

  • @SalumChema
    @SalumChemaАй бұрын

    Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689Ай бұрын

    Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qmАй бұрын

    Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308Ай бұрын

    Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa

  • @user-rn9og1rk3l

    @user-rn9og1rk3l

    Ай бұрын

    😂❤❤umepiga penyewe mwamba

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219Ай бұрын

    Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala

  • @dribrahimmamboleo4435

    @dribrahimmamboleo4435

    Ай бұрын

    Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2rАй бұрын

    Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeriАй бұрын

    WEWE UNA MATATIZO YA AKILI

  • @helenakamenya8680

    @helenakamenya8680

    Ай бұрын

    Kagongwe choko wewe na ccm yako.

  • @philemonsnyanda9450

    @philemonsnyanda9450

    Ай бұрын

    We ndo unamatatizo wala siyo lisu

  • @abdullahalsharji9428
    @abdullahalsharji9428Ай бұрын

    Zote tisa kumi uchaguzi

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593Ай бұрын

    Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa

  • @dribrahimmamboleo4435

    @dribrahimmamboleo4435

    Ай бұрын

    Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593Ай бұрын

    Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂

  • @husseinjosephitocho6754

    @husseinjosephitocho6754

    Ай бұрын

    kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789Ай бұрын

    Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686Ай бұрын

    Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2mАй бұрын

    Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka

  • @rabsonchisumo6640

    @rabsonchisumo6640

    Ай бұрын

    Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7jiАй бұрын

    SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU

  • @user-gr9wc7bc2m

    @user-gr9wc7bc2m

    Ай бұрын

    Sikiliza vizuri

  • @bakarimrao3655

    @bakarimrao3655

    Ай бұрын

    RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    Ай бұрын

    @@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧

  • @henrynicholaus3977

    @henrynicholaus3977

    Ай бұрын

    Hamia chato

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535Ай бұрын

    Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu

  • @msabahaali758

    @msabahaali758

    Ай бұрын

    kwaio ulitaka watu wasombwe kwa malori

  • @henrynicholaus3977

    @henrynicholaus3977

    Ай бұрын

    Tuko kwenye simu tukiwa na ww

Келесі