Alichokisema Tundu Lissu Akiwa Singida Mjini, "Kama Tusingekuwa Wakorofi Huu Mkutano Usingefanyika"
Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akihutubia wananchi wa Singida Mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Stendi.
Жүктеу.....
Пікірлер: 93
@tibbsminja2575Ай бұрын
Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.
@SeifYusuf-jf7bnАй бұрын
TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.
@user-lt1nr4tk9rАй бұрын
Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga
@hamphumichael7194Ай бұрын
Una akili sanaaa yani God bless you all the time
@anosiata8242Ай бұрын
Mungu akulinde lissu.
@user-we5px7gp2rАй бұрын
Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.
@lupyanamatimbwi8064Ай бұрын
Big up brother tundu lisu
@nicodemusngwala2079Ай бұрын
Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika
@josephmlazier1391Ай бұрын
Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana
@adamlubawa1281
Ай бұрын
Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU
@faustinebahenobi3412
Ай бұрын
Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!
@ibrahshifta1595
Ай бұрын
Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu
@MajiiIfande
Ай бұрын
Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea
@raymondnlelwa427
Ай бұрын
Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!
@user-lt1nr4tk9rАй бұрын
Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu
@richardnganya2311
Ай бұрын
Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)
@rogersiddy
Ай бұрын
Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs
@RUSTERNYAIKOBAАй бұрын
Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha
@matiredms917Ай бұрын
Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.
@lunangabenjamin3121Ай бұрын
😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.
@DevothaLighton-dl6ziАй бұрын
Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu
@willyadam4776Ай бұрын
Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika
@ChristerKokuАй бұрын
Jamani Tundu Lisu mmmm
@paulmadundo8084Ай бұрын
sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...
@MajiiIfande
Ай бұрын
Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?
@YohanaThadeo-ki2qgАй бұрын
Ongera lisu
@davidchihimba9489Ай бұрын
❤
@geraldgedi4657Ай бұрын
Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .
@deusdebitkowa9657Ай бұрын
This man is very intelligent.
@williamgeorge-hd2tnАй бұрын
🤝❤❤🙏
@rastheuniqueАй бұрын
Tundu Lissu 💪💪
@user-ti4gw9jb8wАй бұрын
Safi sana mweshimiwa
@ambitiousholyspirit395Ай бұрын
Kweli tuu
@salummichael87Ай бұрын
Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA
@BelievePeace-jg5pc25 күн бұрын
Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii
@bukurunestory3540Ай бұрын
Jamaa hachoki Mwezi mzima yuko barabarani daily
@rabsonchisumo6640Ай бұрын
Makini sana
@henrymligo2440Ай бұрын
Ok!
@BarakaMisangaАй бұрын
Poleee
@abelchuche7968Ай бұрын
Hatari sanaaaaaaa
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👍👊.
@beinafuu6219Ай бұрын
Duh
@prospermalala6636Ай бұрын
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏
@ChristerKokuАй бұрын
Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.
@fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын
Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉
@khalidikaghembe1775Ай бұрын
Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Haya mambo ni mazito sana
@PaskaliBahaАй бұрын
Tufanye mapinduzi ya kweli
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha
@bukurunestory3540Ай бұрын
Kama kawaida moto unawaka
@emmanuelrobert4757Ай бұрын
Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn
@SAMSONKOIKAIАй бұрын
Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha
@MajiiIfande
Ай бұрын
Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Rais Hana kitu
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa
@lupyanamatimbwi8064Ай бұрын
18,200
@mashakalukinda2350Ай бұрын
kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote
@josephmatiko4805Ай бұрын
Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke
@IssayaNdingaАй бұрын
Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu
Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul
@BonaBonala-bp5qmАй бұрын
Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo
@SalumChemaАй бұрын
Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki
@salummohamed2689Ай бұрын
Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?
@BonaBonala-bp5qmАй бұрын
Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu
@othmarluwawilo8308Ай бұрын
Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa
@user-rn9og1rk3l
Ай бұрын
😂❤❤umepiga penyewe mwamba
@beinafuu6219Ай бұрын
Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala
@dribrahimmamboleo4435
Ай бұрын
Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂
@user-we5px7gp2rАй бұрын
Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?
@HamzaHeriАй бұрын
WEWE UNA MATATIZO YA AKILI
@helenakamenya8680
Ай бұрын
Kagongwe choko wewe na ccm yako.
@philemonsnyanda9450
Ай бұрын
We ndo unamatatizo wala siyo lisu
@abdullahalsharji9428Ай бұрын
Zote tisa kumi uchaguzi
@makongorowassira6593Ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa
@dribrahimmamboleo4435
Ай бұрын
Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole
@makongorowassira6593Ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂
@husseinjosephitocho6754
Ай бұрын
kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia
@stevesungura6789Ай бұрын
Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili
@dorothmsuya1686Ай бұрын
Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka
@rabsonchisumo6640
Ай бұрын
Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU
@user-gr9wc7bc2m
Ай бұрын
Sikiliza vizuri
@bakarimrao3655
Ай бұрын
RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
@@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧
@henrynicholaus3977
Ай бұрын
Hamia chato
@rashidisaidi8535Ай бұрын
Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu
Пікірлер: 93
Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.
TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.
Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo
Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga
Una akili sanaaa yani God bless you all the time
Mungu akulinde lissu.
Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.
Big up brother tundu lisu
Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika
Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana
@adamlubawa1281
Ай бұрын
Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU
@faustinebahenobi3412
Ай бұрын
Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!
@ibrahshifta1595
Ай бұрын
Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu
@MajiiIfande
Ай бұрын
Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea
@raymondnlelwa427
Ай бұрын
Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!
Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu
@richardnganya2311
Ай бұрын
Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)
@rogersiddy
Ай бұрын
Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs
Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha
Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.
😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.
Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu
Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika
Jamani Tundu Lisu mmmm
sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...
@MajiiIfande
Ай бұрын
Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?
Ongera lisu
❤
Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .
This man is very intelligent.
🤝❤❤🙏
Tundu Lissu 💪💪
Safi sana mweshimiwa
Kweli tuu
Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA
Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii
Jamaa hachoki Mwezi mzima yuko barabarani daily
Makini sana
Ok!
Poleee
Hatari sanaaaaaaa
✌️👍👊.
Duh
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏
Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.
Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉
Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi
Haya mambo ni mazito sana
Tufanye mapinduzi ya kweli
Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha
Kama kawaida moto unawaka
Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn
Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha
@MajiiIfande
Ай бұрын
Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii
Rais Hana kitu
Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa
18,200
kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote
Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke
Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu
Lisu.toa Mafundisho.kwa.watu.wajueuukombozi..n.sasa
Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul
Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo
Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki
Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?
Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu
Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa
@user-rn9og1rk3l
Ай бұрын
😂❤❤umepiga penyewe mwamba
Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala
@dribrahimmamboleo4435
Ай бұрын
Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂
Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?
WEWE UNA MATATIZO YA AKILI
@helenakamenya8680
Ай бұрын
Kagongwe choko wewe na ccm yako.
@philemonsnyanda9450
Ай бұрын
We ndo unamatatizo wala siyo lisu
Zote tisa kumi uchaguzi
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa
@dribrahimmamboleo4435
Ай бұрын
Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂
@husseinjosephitocho6754
Ай бұрын
kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia
Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili
Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂
Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka
@rabsonchisumo6640
Ай бұрын
Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa
SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU
@user-gr9wc7bc2m
Ай бұрын
Sikiliza vizuri
@bakarimrao3655
Ай бұрын
RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!
@OmmyJames-xn7ji
Ай бұрын
@@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧
@henrynicholaus3977
Ай бұрын
Hamia chato
Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu
@msabahaali758
Ай бұрын
kwaio ulitaka watu wasombwe kwa malori
@henrynicholaus3977
Ай бұрын
Tuko kwenye simu tukiwa na ww