TUNDU LISSU ASHUSHA NONDO JUU YA MUUNGANO HUKU AKIWAULIZA WAKAZI WA MPWAPWA KANA NI NCHI MOJA AU
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@user-fr7jj1bo7y2 ай бұрын
Asante Tundu Lissu Mungu azidi kukupa afya njema na kukulinda.
@petermogha7025
Ай бұрын
Kutoka kwa shetan
@dullahkalanjedullahkalanje1422Ай бұрын
Mungu akuweke sana mwamba tupo pamoja atuwezi kumpa kura raia wa nchi nyingine kura zote zako
@FestoLubalisho29 күн бұрын
Hiyo ya muungano baba tunakushukuru kwa erimu mungu akupe nguvu ya kutuerimisha ubarikiwe sana
@Moneyprinter72 ай бұрын
Huyu ni zawadi toka kwa Mungu kwa watanzania
@ismailismailmwaluseke21112 ай бұрын
Jamaa anajua sana mpaka anakela
@evelina9621Ай бұрын
7.30am
@evelina9621Ай бұрын
Elim.ya.zanzibar.elim.iko.juu
@mwakapalamwakapala8317Ай бұрын
Ukimsikiliza kwa makini Lissu, Kuna jambo lakujifunza kutoka kwake
@user-zx4ur4zu6g2 ай бұрын
Ni yeye
@cath-ef7wd2 ай бұрын
Kwani tundulisu nyinyi watanganyika mnakosa nn kwenyi huu muungano? Maana naona kila kitu cha Tanganyika kinafanyika vizuri tu...kwa kivuli cha muungano sasa shida iko wapi? Zanzibar pamoja na kuwa na serekali yake lakini bado ni maskini haha hohe...shida nini Anty?
@edwardgafachu89322 ай бұрын
Maana ya kumiliki ardhi ni kwamba Mtanganyika huwezi kujenga au kununua nyumba Zanzibar, huwezi kulima n.k lakini wao huku wanaruhusiwa kumiliki nyumba, hoteli, gesti, na mashamba
@King_Of_EverythingАй бұрын
👍👊✌️。
@erasmichuwa40492 ай бұрын
Ukweli halisi ni kwamba sisi siyo nchi moja kwani, Mtanganyika hana haki ya kuchagua au kuchaguliwa Zanzibar, kuajiriwa, kumiliki ardhi na mambo mengine
@abulaaliyah77amani91Ай бұрын
Kaz
@patrinraura13972 ай бұрын
Upinzani ni afya kwa maendeleo ya nchi yoyote Duniani Wapinzani wanaibua baadhi ya mambo ambayo baadhi ya Wananchi wa kawaida wasingeweza kuyajua.Tuwaombe Wapinzani muungane ili tuwe na Vyama viwili vyenye nguvu ili kuleta ushindani wa maendeleo Tuige SIMBA NA YANGA
@undulemwakasweswe3797Ай бұрын
In
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
ASANTE SANA TUMEJUA CCM KAKIKUNDI WANAJIFICHIA HAPO KTK MUUNGANO
@yassirarafat2858Ай бұрын
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
@yassirarafat2858Ай бұрын
Hivi mnazani watanganyika Kuna mzanzibar anaependa mungano huu wa zulma Kama vp tujaribu kufanya x change miaka 60 mumetutawala Sasa tuwape Tanganyika yenu Kisha serikal ya jamuhuri ya Tanzania na mihimili yake yote Kwa muda wa mia mitano tuone Kama na nyinyi mtaa kimnya
@assenganews9435Ай бұрын
Napendekeza chadema ifanye mabadiliko ya katiba . Tuwe na muundo wa serikali tatu . Yaani mwenyekiti chadema zanzibar mwenyekiti chadema Tanganyika Mwenyekiti chadema Taifa
@SaidOmar-iw9kkАй бұрын
Mzarau mwiba humchoma ccm walimdharau Mzee warioba sasa watamkumbuka
@EdmundSostenesАй бұрын
Ogera sana Mtanganyika ariesoma vizuri na kuelewa sheria za nchi na katiba kwa kuendelea kujitoa na kupambania haki ya Wataganyika
@user-ti8fn1wn1wАй бұрын
Asante kwa darasa
@yassirarafat2858Ай бұрын
Sio kweli kama mtanganyuka Hana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa hivi mzee mwinyi na mwanawe Hussein wametokea wp watanganyika acheni ubaguzi kisa mama kua rais wa watanganyika ndio imekua shida yote hiyo hebu daeni maslah ya Tanganyika yenu musiongelee upuzi wa kijinga usiokua na tija
@youngsachafurniture5482Ай бұрын
Kama uwelewi huyu ww ni ndondocha kabisa aisee
@assenganews9435Ай бұрын
Bonge la shule
@suleimanomar46932 ай бұрын
Wauza nyungo wote wa Zanzibar ni wabara.
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Wanamiliki Ardhi?
@kingtheswaggerdon
2 ай бұрын
tafadhali ujibu swali....
@simonmchali662
2 ай бұрын
Hata wachina wanauza karanga tanzania, je niwatanzania?
@hashimmuslihkheleg1234
Ай бұрын
Nndio wenye pesa nyinyi kaz yenu kulimaaaaaaaa
@hashimmuslihkheleg1234
Ай бұрын
Sorry ckufaham comment
@HilmarKahwiliАй бұрын
Channel haifunguki.
@yassirarafat2858Ай бұрын
Ongelea point za msingi ili watanganyika na nyinyi muwe na serikal yenu kwanza tumeshachoka na mungano wa kimabavu rais wa kwanza wa zanzibar hakua na zamira ya mungano Kama huu wa kijinga kabisa Nia wazanzibar ni kujitawala wenyewe na sio kutawaliwa na watwana na Kama tulikua tunahitaji kutawaliwa ni Bora angeliendelea kutawala sultan kutoka oman tungelikua na maendeleo miaka 60 ya mungano ujinga mtupu
@abdalahgunda13192 ай бұрын
Why tundundulisu gos much deeper is because trying to show thouse who creat lie propaganda without sense lmpact into Zanzibar and Tanganyika that jointvencter crush started since 1995 into Tanzania Palament Antilles now that why we need new constuetion remove this misunderstanding jointvencter between Zanzibar and Tanganyika
@kaziburejuma8313Ай бұрын
Bonge la shule
@yassirarafat2858Ай бұрын
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
Пікірлер: 42
Asante Tundu Lissu Mungu azidi kukupa afya njema na kukulinda.
@petermogha7025
Ай бұрын
Kutoka kwa shetan
Mungu akuweke sana mwamba tupo pamoja atuwezi kumpa kura raia wa nchi nyingine kura zote zako
Hiyo ya muungano baba tunakushukuru kwa erimu mungu akupe nguvu ya kutuerimisha ubarikiwe sana
Huyu ni zawadi toka kwa Mungu kwa watanzania
Jamaa anajua sana mpaka anakela
7.30am
Elim.ya.zanzibar.elim.iko.juu
Ukimsikiliza kwa makini Lissu, Kuna jambo lakujifunza kutoka kwake
Ni yeye
Kwani tundulisu nyinyi watanganyika mnakosa nn kwenyi huu muungano? Maana naona kila kitu cha Tanganyika kinafanyika vizuri tu...kwa kivuli cha muungano sasa shida iko wapi? Zanzibar pamoja na kuwa na serekali yake lakini bado ni maskini haha hohe...shida nini Anty?
Maana ya kumiliki ardhi ni kwamba Mtanganyika huwezi kujenga au kununua nyumba Zanzibar, huwezi kulima n.k lakini wao huku wanaruhusiwa kumiliki nyumba, hoteli, gesti, na mashamba
👍👊✌️。
Ukweli halisi ni kwamba sisi siyo nchi moja kwani, Mtanganyika hana haki ya kuchagua au kuchaguliwa Zanzibar, kuajiriwa, kumiliki ardhi na mambo mengine
Kaz
Upinzani ni afya kwa maendeleo ya nchi yoyote Duniani Wapinzani wanaibua baadhi ya mambo ambayo baadhi ya Wananchi wa kawaida wasingeweza kuyajua.Tuwaombe Wapinzani muungane ili tuwe na Vyama viwili vyenye nguvu ili kuleta ushindani wa maendeleo Tuige SIMBA NA YANGA
In
ASANTE SANA TUMEJUA CCM KAKIKUNDI WANAJIFICHIA HAPO KTK MUUNGANO
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
Hivi mnazani watanganyika Kuna mzanzibar anaependa mungano huu wa zulma Kama vp tujaribu kufanya x change miaka 60 mumetutawala Sasa tuwape Tanganyika yenu Kisha serikal ya jamuhuri ya Tanzania na mihimili yake yote Kwa muda wa mia mitano tuone Kama na nyinyi mtaa kimnya
Napendekeza chadema ifanye mabadiliko ya katiba . Tuwe na muundo wa serikali tatu . Yaani mwenyekiti chadema zanzibar mwenyekiti chadema Tanganyika Mwenyekiti chadema Taifa
Mzarau mwiba humchoma ccm walimdharau Mzee warioba sasa watamkumbuka
Ogera sana Mtanganyika ariesoma vizuri na kuelewa sheria za nchi na katiba kwa kuendelea kujitoa na kupambania haki ya Wataganyika
Asante kwa darasa
Sio kweli kama mtanganyuka Hana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa hivi mzee mwinyi na mwanawe Hussein wametokea wp watanganyika acheni ubaguzi kisa mama kua rais wa watanganyika ndio imekua shida yote hiyo hebu daeni maslah ya Tanganyika yenu musiongelee upuzi wa kijinga usiokua na tija
Kama uwelewi huyu ww ni ndondocha kabisa aisee
Bonge la shule
Wauza nyungo wote wa Zanzibar ni wabara.
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Wanamiliki Ardhi?
@kingtheswaggerdon
2 ай бұрын
tafadhali ujibu swali....
@simonmchali662
2 ай бұрын
Hata wachina wanauza karanga tanzania, je niwatanzania?
@hashimmuslihkheleg1234
Ай бұрын
Nndio wenye pesa nyinyi kaz yenu kulimaaaaaaaa
@hashimmuslihkheleg1234
Ай бұрын
Sorry ckufaham comment
Channel haifunguki.
Ongelea point za msingi ili watanganyika na nyinyi muwe na serikal yenu kwanza tumeshachoka na mungano wa kimabavu rais wa kwanza wa zanzibar hakua na zamira ya mungano Kama huu wa kijinga kabisa Nia wazanzibar ni kujitawala wenyewe na sio kutawaliwa na watwana na Kama tulikua tunahitaji kutawaliwa ni Bora angeliendelea kutawala sultan kutoka oman tungelikua na maendeleo miaka 60 ya mungano ujinga mtupu
Why tundundulisu gos much deeper is because trying to show thouse who creat lie propaganda without sense lmpact into Zanzibar and Tanganyika that jointvencter crush started since 1995 into Tanzania Palament Antilles now that why we need new constuetion remove this misunderstanding jointvencter between Zanzibar and Tanganyika
Bonge la shule
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika