HISTORIA ya BASIL MRAMBA: WAZIRI ALIYEISHIA GEREZANI, AFARIKI KWA CORONA..
HISTORIA ya BASIL MRAMBA: WAZIRI ALIYEISHIA GEREZANI, AFARIKI KWA CORONA..
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Fedha wa Tanzania, Basil Pesambili Mramba amefariki dunia leo Jumanne, Agosti 17, 2021 katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam wakati akipatiwa matibabu.
Mramba aliwahi kuwa Waziri wa Fedha katika utawala wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambapo aliiongoza Wizara hiyo mwaka 2001-2005, baadaye Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko mwaka 2006 hadi 2008.
Familia ya Mramba imethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kueleza kuwa ni wanafamilia wachache wataruhusiwa kufika kutoa pole nyumbani kwa marehemu, Mawenzi Road, Oysterbay jijini Dar.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 46
RIP Basil mramba. Basi tuuu jamani poleni saana SOOTE
Thank you for your service, may you rest in peace, Amen!
Legendary man😭Mungu akupumzishe salama
Amekufa na chanjo na sio town weye acha uongo ile ni chanjo ya corona na bado wengi watafuata
@heyumi2340
2 жыл бұрын
ina maana kila ansyekufa ni korona looooo
Pumzika kwa amani mzee Mramba
Rip mramba😭😭
Mungu amlaze mahala peponi Mramba baba uliitoa Rombo mbali sana sitachoka kukusifia siku alipotembelea shuleni kwetu Shauritanga ilipopata janga la moto😭😭😭😭
@wilsonmkumbo9575
2 жыл бұрын
Usipo IBA utaishije wajameni iii,
Rafiki yangu pumzika kwa amani
nice
Mko juu global tv
Tujipange kwa mungu duniani tuko kwa muda tu
Mbunge na waziri amemaliza kazi yake pumzika kwa amani
@felichismishirima9705
2 жыл бұрын
Baba pole sana
rip mzee
1995-2000 mkuu wa mkoa wa mbeya
R.I.P MJOMBA
Rip
Nakumbuka aliwahi kuwaambia watanzania wale nyasi ila raisi anunuliwe ndege. Ndege ya mkamba ilinunuliwa wali haikuwa hi kuruka mpaka leo. Lakini pia walinunua rada kwa rusha. Wauaji wa uma.
@florencemeza6540
6 ай бұрын
Kumbe nawe unakumbuka alikuwa na majivu ya hovyooo
Hukueleza mengi! Fanya uchunguzi wa kutosha kabla ya kupachika stori zako sizizojaa taarifa. Uwe mwazi usifiche taarifa hasi na kuinua chanya tu! Je Mramba hakuwahi kuwa mzito MDC Nyerere akampenda na kumpa ubunge wa kuteuliwa na kuwa uwaziri sifa (chanya) na alifanya vizuri hiyo kazi. Je hakupoteza ubunge mahakamani 1986/7 na Ngalai ex mp Rombo akapoteza ubunge? Hadi kuupata tena kipindi cha awamu ya II alipo gombea na kurudia kuwa mbunge Rombo ndipo Mkapa akampa uwaziri tena Mbona hayo matukio umeyaweka kapuni? Jitathimini kabla hujatathiminiwa
R.I.P jembe, hivi huyu ndio walikuwa karibu na Mkapa?
Hr
Rest in peace
Mbona hujataja ukuu wa mkoa wa mbeya
Awamu ya tatu mara mmeandka alikuwa wazr wa fedha wakat wa Jakaya mrisho kikwete andken vzur hzo caption zenu
Mbn husemii jimbo ganii sasa
Kala chumvi
Umesahau.aliwahikuwa.mkuuwamkoambeya.pia
Hiyo ndyo zawadi yake. Chanjo imeanza kutoa kafara sasa. Shikamoo chanjooo
@friminamkenda7405
2 жыл бұрын
kwani we Elisha Kayagwa utaishi milele chizi wwep
Pumzi kaka. Ulivipiga vita vyema. Kwa jamii ya wapiga kura wako na wewe binafai. Hawajutii maisha yako Duniani. Umewaacha pazuri.
@catherinemassawe2273
2 жыл бұрын
Sisi warombo ndo tunsjua umuhimu wako Rip mramba wetu
Walisema amekufa amefia ulaya uko vp tena
@janetkalinga1204
2 жыл бұрын
Unachanganya na Balali
Hauna llt unalojua ww kwann hautaji mkoa wala kijj.
@nuliatbaraka6350
2 жыл бұрын
Acheni upuuzi mtu kafa unamtangazia alivyokuwa gerezani kwani alikuwa mfungwa mpaka anakuwa,mnatafuta utamu wa habari usisahau pia hujasahaulika ukiwa wakukebehi
@agneschuwa7699
2 жыл бұрын
Mkoa wa Kilimanjaro rombo mashati
Amezaliwa mkoa gani mbona ausemi
@wematesha5872
2 жыл бұрын
alikua mbunge wa wilaya ya rombo moshi
@hansonmlay7565
2 жыл бұрын
Mkoa wa Kilimanjaro kijiji cha shimbi kati wilaya ya rombo
Fisadi weetu jamani, innalillahi wainnaillaihi rajiuun
@samotv9157
2 жыл бұрын
Daah!.
@zenaabdallah3797
2 жыл бұрын
SS TUMSAMEHE KWANI TUKIFANYA HIVYO BAC MUNGU ATAMSAMEHE PIA
Rip