NIKKI MBISHI: B DOZEN NA ADAM MCHOMVU, NYIE SIO WALEMAVU/ MSILETE HURUMA
Ойын-сауық
#TheBarTender ... Episode Number 11 🍹🍸 .
.
Leo Kwenye TV Atakuwepo Baba Malcom, Zohan #NikkiMbishi Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 na Kupiga Mastory na #BabaAko #Jonijooo .
.
Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙
Пікірлер: 1 000
Hii interview imenifumbua sana kuhusu wasanii. Nimejua why nikki mbishi sio msanii anayepewa promo sana. Its because HE KNOWS MUCH kushinda wanaotaka kumtumia. NIKKI YOU ARE A GENIUS BRO
Mwamba Jonijooo tokea nianze kuangalia interviews zako zote za TheBarTender sijaona Mtu genious kama Nikki Mbishi I appreciate That
Huwa naamini mimi nina IQ kubwa sababu nliweza kujisemea moyoni tangu siku ya kwanza nimemskia nyimbo ya nikki mbishi kwamara ya kwanza nikiwa kidato chapili 2011 pasina promo wala shinikizo lolote kuwa huyu jamaa ni msanii wakipekee mkali zaidi kuwahi kurap Africa nanilitokea kupendezwa hadi leo kwa namna jamaa anaghani na lifestyle I'm proud to be nikki mbishi fun
Wangapi ndo tunaangalia leo hii Interview ya Nikki mbishi,Tujuane. UNJU NI genius.
Jonijoo kama sisi ndio mabosi zako na unakubali hili,tunaomba NIKI MBISHI ALUDI TENA APO,,,,BABAAKO
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Naunga mkono hoja...
@mvungigaming
5 жыл бұрын
Naunga mkono hoja...
@modricabdis2796
5 жыл бұрын
Sure
@pantaleodamas6879
5 жыл бұрын
😄😄😄
@rohityalsina5972
5 жыл бұрын
Naunga oga mkoro uga ega oga hoja mkono
Nikki Mbishi is the genious infact. I love this Guy.
@thabitdaudi9815
5 жыл бұрын
lakn ulutegema nin kwa mtu aliesoma computer engineering hio course bila division 1 husomi. so offcourse he is bright
@danielmadenyeka4248
5 жыл бұрын
Huko na nako utabamba tu Jonijoo. Salute sn kijana
@dambwelahiphop
4 жыл бұрын
You have too
Jonijoo leo kakutana na teke za mbavu 😂😂😂 Nick sio mtu mzuri 😄😄
Hip pop is consciousness jonijoo... Niki much respect bro...sema nini iyo photosynthesis.. Kama umeteleza ..ni kitendo cha mmea kujitengenezea chakula.Sema umetisha mzazi still material yana flow
nikki mbishi duuuh!!! i say ya leo nimeipenda.....yani uyu jamaa ni msomi ivi na hata haringi walai...heshima yangu imepanda zaidi mkubwa wangu....toka .pande za thika road kenya.
This guy is speaking his mind, that is a mere truth. I hate this behaviour of our artistes bowing down to radio presenters.
Haaaaaaa huyo ndo the said of Dr UNJU,the Genious,Terabites majina kibaaao! baba akoooo leo umepatikana mzee!!
Amezoea kukutana na wabana pua ambao hawajasoma leo kakutana na msomi + genius Mr Unju 📚
daaah huyu jamaaa bhn n kweli mbishi kila swali yeye kameza tuu #jonijoo baba ako umechemka ww leo wahuni siyo watu wazuri💪💪
Leo babakoo umeingia geto la mhuni jasho limekutoka 😀😀😀
dr unju bin unuk baba Malcolm comrade kipepe you are doing well bro
Don't JUDGE a book by the COVER ,take your time to read what is inside. Nikki Mbishi umetisha. Big up Bro.
Kazi nzuri sna kaka #JONIJOO creativity ya hali ya juu mtu hachoki kutazama INTERVIEWS zako hku akirudi rudia wala hazichoshi big uppp bruv 🙏💯💯
Nikki the most genius mc ever seen in Tanzania
@edwardsichilengwe2330
5 жыл бұрын
Azizi Juma kabisa
@kimani754
5 жыл бұрын
NGWAIR i do approve Nikki too
Mad love from Kenya, nikki is a bright dude....never missed any of your show...i had to write a comment coz of the high IQ that nikki have.
@fadhiliibrahim9702
5 жыл бұрын
You're very right
@Kobe_254
5 жыл бұрын
He should move to Kenya, right? LoL
@sashayusufu6045
4 жыл бұрын
Mpe zawad brother
@BrooDiara
Жыл бұрын
@K Kobe 😅jjh😅k9okh😅kk😅😅kjjkjjkjhjhhko😅ko😅jkhk😅kkjjj😅kkjhjil😅j
Baba ako niki mbish umtisha mkali i didn't expect you could be dat genius 4 real dont judge a book by its cover ✊
The guy is talented and smart.. Nikki mbishi 👍
Mojaa ya interview kalii za bartender🙌🏿🙌🏿
@mecksedeckkauzeni5703
5 жыл бұрын
interview kama hizi naonaga ulaya
UNJU UMEUA HII INTERVIEW YA GENIUS MOTHER FANTA.... LONG LIFE KAKA
Nikki mbishi arudishwe tena. He's genius 🙆
I see genius nick 😂😂😂 jonijo huyo cyo lelemama wanamjuwa IYUNGA MUST
@mussa5461
5 жыл бұрын
Amesoma pale must Mbeya kumbe
@shaphyvuai6805
4 жыл бұрын
Mbeya computer science
Leo umekutana na msomi duuu jamaa katisha saana kama umekubali Leo jojo kachemka gonga like
@chikanunoizmekah8540
5 жыл бұрын
Mjuba
@ramsokhamis9262
5 жыл бұрын
Yaaaan baalaa watu Kama awoo tunawaita The brighter thinker..
@kyataonline5262
4 жыл бұрын
NIKKI MBISHI !!
Mwisho wasiku kuwe na na tunzo za bartender itakua nzur babaaaaako
hahahaha ya leo imekuwa kicheko kwangu Mr. Mbishi anajibu kama vile hajui kumbe ndiyo kasema jibu! embu tusiwe Mwijaku jamani;;;;~
@khalidwaziri5403
5 жыл бұрын
Haha this men is smart
@ramsokhamis9262
5 жыл бұрын
Yaaaan sio poaa jamaaa yukoo timamuu saanaa kichwaniii.... 🤔🤔💪
@ellybissack8284
4 жыл бұрын
wameenda kupiga magot kwa dozen n Adam mchomvu wana lia lia kuzimia studio waonewe huruma hii game sio ya huruma watu wanafany kz
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
@@ellybissack8284 nimerepeat Mara nyingi, yani nineipenda
Interview kali kuliko zote 2019
Nikki unaakili nyingi San acha wakuite mbishi nimekuelewa San ankoli big-up
Definition of genius.... Dr Unju... namkubali sanaaaaa
A pure meaning of GENIOUS..#UNJU
😁😁😁😁😁😁😁Leo ndo leo Jonijooo umekula za uso daah sikutegemea kama Niki mbishi Yuko vizuri kiasi iko Nilikuwa namchukulia Poa ila Leo amenikomesha mpaka Mimi duuh wahuni kweli siyo watu😁😁😁😁😁Jonijoo baba ako
@shallyakida819
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Iyo ndo faida ya kwenda shule!!! jonijo fanyeni mpango wa kutowa tuzo za hapo kwenye maswali aiseee my bro Nik leo kipindi chako kakipeleka kisomi snaaaaaaa!!!!
Nikki mbishi unju bin unut.....uko poa sanaaaaa kwa lyrics kalii iLa kujifnya too much know on everything ndio mbya vitu vingne potezea sio kila kitu unachukulia too personal nakukubali sanaaaaa keep good music like kma unamkubali unju
Nimefurahi sana Leo nikki Ana akili sana masha Allah 💖
Babaako Nikki mbish umetisha kwa maswal Duuuuu wasanii walioenda shule
Doooh this is the best interview i have seen this year✌🔥🔥 mad respect Unju
cjawah coment toka kipind hiki kimeanzaa ILAAA N mbishi ni Genious maswal nimependa ulivojibu kazi nzur broo
@shabannyangido3305
4 жыл бұрын
Naku
Babaako wahuni Sio watu umechezea za uso leo😂😂😂#NIKKI MBISHI🙌🙌🙌
@atenionesmo_A10
3 ай бұрын
nouma mzee
Haahahhaahh baba malcom umetisha mzee baba wauni hatukosag mswal since we at skull and MC should knw more as u did...congratulation bro
i lyk this interview...eeeh bwana q-chillah amezidi kazi kulia lia tu mtu mzima oyoooo
aliyeona Nikki ameayapika jicho makalio ya Martha alike
Unju ni noooma. Ana diploma tu lakin ni mjuzi wa mambo hvyo. Hawa ndio magenius tunao wataka. HIVi ushaongeza elimu yako kk. We ni Fundi sana Niki mbishi. kama unakubali gonga like hapa.
Nimependa sana u genius wa jamaa, big up. Kwenu ni pale ulipozaliwa siyo alipozaliwa baba yako. Baba akoooo
Kazi nzuri bro #wahuni sio watu wazuri kutoka +254 namkubali jonijooooo.....babaAkooo
@leeskillz3734
5 жыл бұрын
Sio #babaako ni slogan ya #MotraTheFuture
@fibonaccimwadime9479
5 жыл бұрын
@@leeskillz3734 haina vanga that guy is super genius amepita maswali yote ya jonijoo isipokuwa yale extra moja kamlemea bt tried his best ,i have not seen a guy with confidence like this #Nikki mbishi big ups
@leeskillz3734
5 жыл бұрын
@@fibonaccimwadime9479 huyo ni #babamalcom ni shida hakoseag we tafuta interview zake ila usisahau ile ya #jonijo akiwa na #nikkimbishi kweny #timesfm
Huyu jamaa ntaanza kumfuatilia... Yuko bright sana.
we need this kind of rappers.not only gifted but rapper should also be elite n literate cyo unaimba imba utumbo afu kichwa kibovu. A supa bigup bro UNJU UNJU
@Cyper255
5 жыл бұрын
Ngoja aje Nikki wa Pili na PHD yake tuone kama yupo vizuri kichwani au ni elimu ya kukariri.
@azizymasawe2090
5 жыл бұрын
Ukonga stand up
Lazima ukifua umwage povu 😂😂😂🔥🔥😂💯💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊daaa! Unju wee ni hatari
@ibrahimzubery9994
4 жыл бұрын
Joninjooo babako mtubaya hapo muhuni simtu babako nikibishi noma Leo umekula uchochoro mkali
,😂😂😂jmn Nikki usivae mwani upo poa tuu handsome
Tangu show ianze hii ndo show kali kuliko zilizopita...... Jamaa yupo smart sana, anajibu vizur sana...... Interviews za wana hip hop znakuaga lit sana.....
@thabitdaudi9815
5 жыл бұрын
jamaa kanishangaza had mimi he is freaking genius daah
@sashayusufu6045
4 жыл бұрын
napenda maswali yako lakini ungetoa zawad Kwa wanao jibu
Jonijoo yaaan kati ya bartender zoooote me nimeenjoy ya kwanza ya #GIGYMONEY & #NIKKI MBISHI hizi ni noumaaaaaaa babuuuuuuu
@yahayamzaramu9203
3 жыл бұрын
Mimi pia broo nirio injoy zaidi ni ya nkki na gygy
Tukiwa na mastaa 50 tz kama nikk mbishi game litafika mbali namkubali maisha yangu yote 🏁✊🏿
Katika Bartender zote zilizopita hii imeua zote Nikki mbishi salute
Joni joo leo umepatikana jamaa yuko vizur ile mbaya amejitafautisha na wengine wote
Nick Mbishi you are genius bro nimesikiliza interview nzima sijakereka hata kidogo especially sehemu ya maswali hapo umeniacha hoi you made my day Bro😂😂😂
Nikk mbishi ni genius huyu jamaa
Nikki 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
huyu unju ni shida nice interview
NIMEKUELEWA SANA NIKKI MBISHI KILE KITENDO CHA Q CHILLLAH KWENDA KULIALIA KWA B DAZEN ILI AMSAIDIE NI UJINGA NA UKOSEFU WA AIDIA MPYA KATIKA ANACHOKIFANYA KIUKWELI Q CHIEF NI MTU MKUBWA SANA KIMUZIKI ...... HONGERA SANA NIKKI MBISHI KWA KUONGEA UKWELI
Nadhani leo walikua hawakuelewi washakufahamu unju mtu mkubwa ubongo mkwabwa best interview ever seen b4
Unju the genius noma sana haijawah tokea kabisaaaa show Kali jonijoo kasomeee
Tunamsubiri huyo Nikki wa Pilli wao tuone usomi wake, jonijo mleteee kwenye hii kitu asee.
Jamaa kapasua nakubali sana bonge la inter view
Leo mmekutana na jiwe UNJU BIN UNUQ...the Genius hahahahaaaa
Mumuite na Yule Nikki Mwenye masters Tulinganishe uwezo wa kichwaaa
@jumanyamhanga8606
5 жыл бұрын
Haaahaaa
@rogermbogo2423
5 жыл бұрын
Huyuu muhun anajuaaa
@denismrutu9655
5 жыл бұрын
Hawezi yule
#the bartender aminia sana,
Dr Unju! Aaaah! Noma sana!! Uko deep sana! Kama hujui vile kumbe ndio jibu! Kichwa matata sana! Kina vitu vingi sana na leo ndio nimeelewa kwa nini wimbo kama kijusi wimbo bora wa hip hop kuwahi kuusikia umetoka kichwani kwako!!
Kozi ya kibaaabeeee, af kimyaaaaa. Ila watu wana kozi za makelele wanaitwa wasomi. Nikki zohan is the real genius.
Sijawah comment ila kwa huyu noma sana .....ni genius sana huyu.
nikki mbishi shule imekaa kijanja hpo
Genius nikki mbishi
Bado moja kati ya interview bora sana alizowahi kuzifanya Mbishi...nimeirudia tena kuisikiliza leo 2023
Mi sio country boy 😂😂😂 • country boy(m) • young killer(m) •gigy money(f) • lulu diva(f) • dude(m) • master j(m) • romy jones(m) • kitale(m) • chege(m) • madam ritha(f) • NIKKI MBISHI(m) NOTE: Female=27.3% Male =72.7%
Plz jonijo uyu mtu mleye tena mala yapili unafanya intervew ksli lkn intervew ya uyu jamaa nikar kuliko zote jamaa anaakili nyingi sana
The best interview kwenye the bar tender 🙌🙌🙌jamaa aliua asee schokagi kuicheki
Interview bora kabisa. Hongera nikki. Tunataman wasanii wawe na level hizi za uelewa wa mambo. Sio wote ila wengi wawe hivi mfano ukiwa na nikki wote wawil..game inaweza kupata muelekeo mzuri
Aiseee sijawahi kucoment you tube ila huyu jamaaa kafanya nicoment maaana kwa kumwangalia tuuu nikasema hawezi chomoka maswali ya jonijo ila kampangua jonijo kama ajax alivompangua real Madrid kwake.akili mingi bro@niki mbishi
@godblessmhando1326
5 жыл бұрын
show kal
Ana haki ya kuitwa mbishi ( Respect my bro Nikki mbishi)
ivi like mnazipelekaga wapi namimi naombeni jamani...
Aaaaah nikki mbishi we nyoko mamae
Sikuwahi kuwa fan wa nikki ila nimemkubali kwaanzia leo huyu jamaa ni hatar
@jumachillo
5 жыл бұрын
Brother niki anachokiandika n anachochana ni mara 1000 ya anachoongea kwenye interview ! swali langu umemkubali kwa interview au mziki wake?
@Nelsonmlay
5 жыл бұрын
@@FreshFizzo kabisa
@georgemagori2158
5 жыл бұрын
Nikki Mbishi n msanii hatar xnaa bongo tafta nyimbo zake uckilize ndugu
Unju nina madada wazurii wabichi tuma mshenga...
Duuuh nikki mbishi salute sanaaa bro uko vzr
Baba Malcolm brein capacity yako ni kubwa mnoo nimekubali sana upo smarti kichwani .thanks wasafi maaaaama BABAAAAAKO katishaaa sana
What a Genious 🙌🙌🙌.. Nick u're a realy 'Mbishi'
genius Nikki hii ndo interview bora kuliko zote nilizoangalia big up nikki, jonijooo and wasafi tv
Jonijoo leo umekutana na babaaako mwenyewe hahahahaaa...wise ones chill like nobodyz business.
Shikamoooo unju. Upo vizur sana mwote mwote. Kwel we ni kichwa cha Taifa.
Genious Nikkii Mbishii baba Malcom
WCB Firee.
Ebhnaaa huyu Jamaa ni GENIUS
Shikamoo broo unjuu......Baba ako umepatkana leo😁😁😁
Mpaka muda umekua hautoshi Nikki mbishi ni moja kati ya wasanii wa chache ambao wapo smart kiakili
This man is GENIUS 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ndo uyo Alexander Bellam🤣🤣🤣something like like that.....but ckumbuki vizuriiiiiiiii.......we mbishi wew
Jonijo umekutana na teke la vandame
Msanii mwenye elimu na kumbu kumbu zake ...👏👏👏
Baba Malcom,unakuwa genius sana bwana. I do appreciate you bro
nicki genious aka dr unju...smart mind