NIKKI MBISHI: B DOZEN NA ADAM MCHOMVU, NYIE SIO WALEMAVU/ MSILETE HURUMA

Ойын-сауық

#TheBarTender ... Episode Number 11 🍹🍸 .
.
Leo Kwenye TV Atakuwepo Baba Malcom, Zohan #NikkiMbishi Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 na Kupiga Mastory na #BabaAko #Jonijooo .
.
Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙

Пікірлер: 1 000

  • @JulianDamas
    @JulianDamas5 жыл бұрын

    Hii interview imenifumbua sana kuhusu wasanii. Nimejua why nikki mbishi sio msanii anayepewa promo sana. Its because HE KNOWS MUCH kushinda wanaotaka kumtumia. NIKKI YOU ARE A GENIUS BRO

  • @bartonussiri6781
    @bartonussiri67815 жыл бұрын

    Mwamba Jonijooo tokea nianze kuangalia interviews zako zote za TheBarTender sijaona Mtu genious kama Nikki Mbishi I appreciate That

  • @tamimukombo3097
    @tamimukombo30975 жыл бұрын

    Huwa naamini mimi nina IQ kubwa sababu nliweza kujisemea moyoni tangu siku ya kwanza nimemskia nyimbo ya nikki mbishi kwamara ya kwanza nikiwa kidato chapili 2011 pasina promo wala shinikizo lolote kuwa huyu jamaa ni msanii wakipekee mkali zaidi kuwahi kurap Africa nanilitokea kupendezwa hadi leo kwa namna jamaa anaghani na lifestyle I'm proud to be nikki mbishi fun

  • @officer1208
    @officer12085 жыл бұрын

    Wangapi ndo tunaangalia leo hii Interview ya Nikki mbishi,Tujuane. UNJU NI genius.

  • @wa2kusitz650
    @wa2kusitz6505 жыл бұрын

    Jonijoo kama sisi ndio mabosi zako na unakubali hili,tunaomba NIKI MBISHI ALUDI TENA APO,,,,BABAAKO

  • @mvungigaming

    @mvungigaming

    5 жыл бұрын

    Naunga mkono hoja...

  • @mvungigaming

    @mvungigaming

    5 жыл бұрын

    Naunga mkono hoja...

  • @modricabdis2796

    @modricabdis2796

    5 жыл бұрын

    Sure

  • @pantaleodamas6879

    @pantaleodamas6879

    5 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @rohityalsina5972

    @rohityalsina5972

    5 жыл бұрын

    Naunga oga mkoro uga ega oga hoja mkono

  • @nyotamy3678
    @nyotamy36785 жыл бұрын

    Nikki Mbishi is the genious infact. I love this Guy.

  • @thabitdaudi9815

    @thabitdaudi9815

    5 жыл бұрын

    lakn ulutegema nin kwa mtu aliesoma computer engineering hio course bila division 1 husomi. so offcourse he is bright

  • @danielmadenyeka4248

    @danielmadenyeka4248

    5 жыл бұрын

    Huko na nako utabamba tu Jonijoo. Salute sn kijana

  • @dambwelahiphop

    @dambwelahiphop

    4 жыл бұрын

    You have too

  • @edwardmbele6752
    @edwardmbele67525 жыл бұрын

    Jonijoo leo kakutana na teke za mbavu 😂😂😂 Nick sio mtu mzuri 😄😄

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda94505 жыл бұрын

    Hip pop is consciousness jonijoo... Niki much respect bro...sema nini iyo photosynthesis.. Kama umeteleza ..ni kitendo cha mmea kujitengenezea chakula.Sema umetisha mzazi still material yana flow

  • @collinsnjuguna3119
    @collinsnjuguna31195 жыл бұрын

    nikki mbishi duuuh!!! i say ya leo nimeipenda.....yani uyu jamaa ni msomi ivi na hata haringi walai...heshima yangu imepanda zaidi mkubwa wangu....toka .pande za thika road kenya.

  • @sezaboy2940
    @sezaboy29405 жыл бұрын

    This guy is speaking his mind, that is a mere truth. I hate this behaviour of our artistes bowing down to radio presenters.

  • @tumainifuraha199
    @tumainifuraha1995 жыл бұрын

    Haaaaaaa huyo ndo the said of Dr UNJU,the Genious,Terabites majina kibaaao! baba akoooo leo umepatikana mzee!!

  • @barakachawe6241
    @barakachawe62415 жыл бұрын

    Amezoea kukutana na wabana pua ambao hawajasoma leo kakutana na msomi + genius Mr Unju 📚

  • @haroonmdou2954
    @haroonmdou29545 жыл бұрын

    daaah huyu jamaaa bhn n kweli mbishi kila swali yeye kameza tuu #jonijoo baba ako umechemka ww leo wahuni siyo watu wazuri💪💪

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown43235 жыл бұрын

    Leo babakoo umeingia geto la mhuni jasho limekutoka 😀😀😀

  • @aggreymgallah6250
    @aggreymgallah62505 жыл бұрын

    dr unju bin unuk baba Malcolm comrade kipepe you are doing well bro

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia41405 жыл бұрын

    Don't JUDGE a book by the COVER ,take your time to read what is inside. Nikki Mbishi umetisha. Big up Bro.

  • @lawrancejosephat7387
    @lawrancejosephat73875 жыл бұрын

    Kazi nzuri sna kaka #JONIJOO creativity ya hali ya juu mtu hachoki kutazama INTERVIEWS zako hku akirudi rudia wala hazichoshi big uppp bruv 🙏💯💯

  • @azizijuma9959
    @azizijuma99595 жыл бұрын

    Nikki the most genius mc ever seen in Tanzania

  • @edwardsichilengwe2330

    @edwardsichilengwe2330

    5 жыл бұрын

    Azizi Juma kabisa

  • @kimani754

    @kimani754

    5 жыл бұрын

    NGWAIR i do approve Nikki too

  • @victorodera2756
    @victorodera27565 жыл бұрын

    Mad love from Kenya, nikki is a bright dude....never missed any of your show...i had to write a comment coz of the high IQ that nikki have.

  • @fadhiliibrahim9702

    @fadhiliibrahim9702

    5 жыл бұрын

    You're very right

  • @Kobe_254

    @Kobe_254

    5 жыл бұрын

    He should move to Kenya, right? LoL

  • @sashayusufu6045

    @sashayusufu6045

    4 жыл бұрын

    Mpe zawad brother

  • @BrooDiara

    @BrooDiara

    Жыл бұрын

    ​@K Kobe 😅jjh😅k9okh😅kk😅😅kjjkjjkjhjhhko😅ko😅jkhk😅kkjjj😅kkjhjil😅j

  • @mbawilehasheem7438
    @mbawilehasheem74385 жыл бұрын

    Baba ako niki mbish umtisha mkali i didn't expect you could be dat genius 4 real dont judge a book by its cover ✊

  • @khalifkarama
    @khalifkarama5 жыл бұрын

    The guy is talented and smart.. Nikki mbishi 👍

  • @nasibushekulamba4257
    @nasibushekulamba42575 жыл бұрын

    Mojaa ya interview kalii za bartender🙌🏿🙌🏿

  • @mecksedeckkauzeni5703

    @mecksedeckkauzeni5703

    5 жыл бұрын

    interview kama hizi naonaga ulaya

  • @khalifamkali4286
    @khalifamkali42865 жыл бұрын

    UNJU UMEUA HII INTERVIEW YA GENIUS MOTHER FANTA.... LONG LIFE KAKA

  • @hawadutch6478
    @hawadutch64785 жыл бұрын

    Nikki mbishi arudishwe tena. He's genius 🙆

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28875 жыл бұрын

    I see genius nick 😂😂😂 jonijo huyo cyo lelemama wanamjuwa IYUNGA MUST

  • @mussa5461

    @mussa5461

    5 жыл бұрын

    Amesoma pale must Mbeya kumbe

  • @shaphyvuai6805

    @shaphyvuai6805

    4 жыл бұрын

    Mbeya computer science

  • @jumalove2631
    @jumalove26315 жыл бұрын

    Leo umekutana na msomi duuu jamaa katisha saana kama umekubali Leo jojo kachemka gonga like

  • @chikanunoizmekah8540

    @chikanunoizmekah8540

    5 жыл бұрын

    Mjuba

  • @ramsokhamis9262

    @ramsokhamis9262

    5 жыл бұрын

    Yaaaan baalaa watu Kama awoo tunawaita The brighter thinker..

  • @kyataonline5262

    @kyataonline5262

    4 жыл бұрын

    NIKKI MBISHI !!

  • @babubomba8563
    @babubomba85635 жыл бұрын

    Mwisho wasiku kuwe na na tunzo za bartender itakua nzur babaaaaako

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer45485 жыл бұрын

    hahahaha ya leo imekuwa kicheko kwangu Mr. Mbishi anajibu kama vile hajui kumbe ndiyo kasema jibu! embu tusiwe Mwijaku jamani;;;;~

  • @khalidwaziri5403

    @khalidwaziri5403

    5 жыл бұрын

    Haha this men is smart

  • @ramsokhamis9262

    @ramsokhamis9262

    5 жыл бұрын

    Yaaaan sio poaa jamaaa yukoo timamuu saanaa kichwaniii.... 🤔🤔💪

  • @ellybissack8284

    @ellybissack8284

    4 жыл бұрын

    wameenda kupiga magot kwa dozen n Adam mchomvu wana lia lia kuzimia studio waonewe huruma hii game sio ya huruma watu wanafany kz

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    @@ellybissack8284 nimerepeat Mara nyingi, yani nineipenda

  • @luomusicchannelfromtanzani5650
    @luomusicchannelfromtanzani56505 жыл бұрын

    Interview kali kuliko zote 2019

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis58115 жыл бұрын

    Nikki unaakili nyingi San acha wakuite mbishi nimekuelewa San ankoli big-up

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68055 жыл бұрын

    Definition of genius.... Dr Unju... namkubali sanaaaaa

  • @sabamillion2076
    @sabamillion20765 жыл бұрын

    A pure meaning of GENIOUS..#UNJU

  • @ashanalinga8719
    @ashanalinga87195 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁Leo ndo leo Jonijooo umekula za uso daah sikutegemea kama Niki mbishi Yuko vizuri kiasi iko Nilikuwa namchukulia Poa ila Leo amenikomesha mpaka Mimi duuh wahuni kweli siyo watu😁😁😁😁😁Jonijoo baba ako

  • @shallyakida819

    @shallyakida819

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @norahprotas1769
    @norahprotas17695 жыл бұрын

    Iyo ndo faida ya kwenda shule!!! jonijo fanyeni mpango wa kutowa tuzo za hapo kwenye maswali aiseee my bro Nik leo kipindi chako kakipeleka kisomi snaaaaaaa!!!!

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68055 жыл бұрын

    Nikki mbishi unju bin unut.....uko poa sanaaaaa kwa lyrics kalii iLa kujifnya too much know on everything ndio mbya vitu vingne potezea sio kila kitu unachukulia too personal nakukubali sanaaaaa keep good music like kma unamkubali unju

  • @maryamammar1488
    @maryamammar14885 жыл бұрын

    Nimefurahi sana Leo nikki Ana akili sana masha Allah 💖

  • @paulsylvester7877
    @paulsylvester78775 жыл бұрын

    Babaako Nikki mbish umetisha kwa maswal Duuuuu wasanii walioenda shule

  • @Norbert_Assenga
    @Norbert_Assenga5 жыл бұрын

    Doooh this is the best interview i have seen this year✌🔥🔥 mad respect Unju

  • @salimsalem5991
    @salimsalem59915 жыл бұрын

    cjawah coment toka kipind hiki kimeanzaa ILAAA N mbishi ni Genious maswal nimependa ulivojibu kazi nzur broo

  • @shabannyangido3305

    @shabannyangido3305

    4 жыл бұрын

    Naku

  • @christinalrene1132
    @christinalrene11325 жыл бұрын

    Babaako wahuni Sio watu umechezea za uso leo😂😂😂#NIKKI MBISHI🙌🙌🙌

  • @atenionesmo_A10

    @atenionesmo_A10

    3 ай бұрын

    nouma mzee

  • @allysudi4429
    @allysudi44295 жыл бұрын

    Haahahhaahh baba malcom umetisha mzee baba wauni hatukosag mswal since we at skull and MC should knw more as u did...congratulation bro

  • @dennismwalagho5858
    @dennismwalagho58585 жыл бұрын

    i lyk this interview...eeeh bwana q-chillah amezidi kazi kulia lia tu mtu mzima oyoooo

  • @bravoothegreat3115
    @bravoothegreat31155 жыл бұрын

    aliyeona Nikki ameayapika jicho makalio ya Martha alike

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87675 жыл бұрын

    Unju ni noooma. Ana diploma tu lakin ni mjuzi wa mambo hvyo. Hawa ndio magenius tunao wataka. HIVi ushaongeza elimu yako kk. We ni Fundi sana Niki mbishi. kama unakubali gonga like hapa.

  • @paschalmasanja1483
    @paschalmasanja14835 жыл бұрын

    Nimependa sana u genius wa jamaa, big up. Kwenu ni pale ulipozaliwa siyo alipozaliwa baba yako. Baba akoooo

  • @fibonaccimwadime9479
    @fibonaccimwadime94795 жыл бұрын

    Kazi nzuri bro #wahuni sio watu wazuri kutoka +254 namkubali jonijooooo.....babaAkooo

  • @leeskillz3734

    @leeskillz3734

    5 жыл бұрын

    Sio #babaako ni slogan ya #MotraTheFuture

  • @fibonaccimwadime9479

    @fibonaccimwadime9479

    5 жыл бұрын

    @@leeskillz3734 haina vanga that guy is super genius amepita maswali yote ya jonijoo isipokuwa yale extra moja kamlemea bt tried his best ,i have not seen a guy with confidence like this #Nikki mbishi big ups

  • @leeskillz3734

    @leeskillz3734

    5 жыл бұрын

    @@fibonaccimwadime9479 huyo ni #babamalcom ni shida hakoseag we tafuta interview zake ila usisahau ile ya #jonijo akiwa na #nikkimbishi kweny #timesfm

  • @nicken3250
    @nicken32505 жыл бұрын

    Huyu jamaa ntaanza kumfuatilia... Yuko bright sana.

  • @nowtv300
    @nowtv3005 жыл бұрын

    we need this kind of rappers.not only gifted but rapper should also be elite n literate cyo unaimba imba utumbo afu kichwa kibovu. A supa bigup bro UNJU UNJU

  • @Cyper255

    @Cyper255

    5 жыл бұрын

    Ngoja aje Nikki wa Pili na PHD yake tuone kama yupo vizuri kichwani au ni elimu ya kukariri.

  • @azizymasawe2090

    @azizymasawe2090

    5 жыл бұрын

    Ukonga stand up

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36835 жыл бұрын

    Lazima ukifua umwage povu 😂😂😂🔥🔥😂💯💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊daaa! Unju wee ni hatari

  • @ibrahimzubery9994

    @ibrahimzubery9994

    4 жыл бұрын

    Joninjooo babako mtubaya hapo muhuni simtu babako nikibishi noma Leo umekula uchochoro mkali

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad7105 жыл бұрын

    ,😂😂😂jmn Nikki usivae mwani upo poa tuu handsome

  • @Rick-pr6ym
    @Rick-pr6ym5 жыл бұрын

    Tangu show ianze hii ndo show kali kuliko zilizopita...... Jamaa yupo smart sana, anajibu vizur sana...... Interviews za wana hip hop znakuaga lit sana.....

  • @thabitdaudi9815

    @thabitdaudi9815

    5 жыл бұрын

    jamaa kanishangaza had mimi he is freaking genius daah

  • @sashayusufu6045

    @sashayusufu6045

    4 жыл бұрын

    napenda maswali yako lakini ungetoa zawad Kwa wanao jibu

  • @hezbonmahaulane7798
    @hezbonmahaulane77985 жыл бұрын

    Jonijoo yaaan kati ya bartender zoooote me nimeenjoy ya kwanza ya #GIGYMONEY & #NIKKI MBISHI hizi ni noumaaaaaaa babuuuuuuu

  • @yahayamzaramu9203

    @yahayamzaramu9203

    3 жыл бұрын

    Mimi pia broo nirio injoy zaidi ni ya nkki na gygy

  • @amanihamidu2095
    @amanihamidu20955 жыл бұрын

    Tukiwa na mastaa 50 tz kama nikk mbishi game litafika mbali namkubali maisha yangu yote 🏁✊🏿

  • @modooutfits1339
    @modooutfits13395 жыл бұрын

    Katika Bartender zote zilizopita hii imeua zote Nikki mbishi salute

  • @howardally4116
    @howardally41165 жыл бұрын

    Joni joo leo umepatikana jamaa yuko vizur ile mbaya amejitafautisha na wengine wote

  • @charlestobby6031
    @charlestobby60315 жыл бұрын

    Nick Mbishi you are genius bro nimesikiliza interview nzima sijakereka hata kidogo especially sehemu ya maswali hapo umeniacha hoi you made my day Bro😂😂😂

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54375 жыл бұрын

    Nikk mbishi ni genius huyu jamaa

  • @normanmhina5601
    @normanmhina56015 жыл бұрын

    Nikki 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @elishamalila5904
    @elishamalila59045 жыл бұрын

    huyu unju ni shida nice interview

  • @peterlibelinah8597
    @peterlibelinah85975 жыл бұрын

    NIMEKUELEWA SANA NIKKI MBISHI KILE KITENDO CHA Q CHILLLAH KWENDA KULIALIA KWA B DAZEN ILI AMSAIDIE NI UJINGA NA UKOSEFU WA AIDIA MPYA KATIKA ANACHOKIFANYA KIUKWELI Q CHIEF NI MTU MKUBWA SANA KIMUZIKI ...... HONGERA SANA NIKKI MBISHI KWA KUONGEA UKWELI

  • @mudykhalid2708
    @mudykhalid27085 жыл бұрын

    Nadhani leo walikua hawakuelewi washakufahamu unju mtu mkubwa ubongo mkwabwa best interview ever seen b4

  • @shulekongwechrisdadchrisda401
    @shulekongwechrisdadchrisda4015 жыл бұрын

    Unju the genius noma sana haijawah tokea kabisaaaa show Kali jonijoo kasomeee

  • @emmanuelmasanula7464
    @emmanuelmasanula74645 жыл бұрын

    Tunamsubiri huyo Nikki wa Pilli wao tuone usomi wake, jonijo mleteee kwenye hii kitu asee.

  • @sureboitv4274
    @sureboitv42745 жыл бұрын

    Jamaa kapasua nakubali sana bonge la inter view

  • @evancevlado5049
    @evancevlado50495 жыл бұрын

    Leo mmekutana na jiwe UNJU BIN UNUQ...the Genius hahahahaaaa

  • @jangajr6504
    @jangajr65045 жыл бұрын

    Mumuite na Yule Nikki Mwenye masters Tulinganishe uwezo wa kichwaaa

  • @jumanyamhanga8606

    @jumanyamhanga8606

    5 жыл бұрын

    Haaahaaa

  • @rogermbogo2423

    @rogermbogo2423

    5 жыл бұрын

    Huyuu muhun anajuaaa

  • @denismrutu9655

    @denismrutu9655

    5 жыл бұрын

    Hawezi yule

  • @funnycomtv9613
    @funnycomtv96135 жыл бұрын

    #the bartender aminia sana,

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard48725 жыл бұрын

    Dr Unju! Aaaah! Noma sana!! Uko deep sana! Kama hujui vile kumbe ndio jibu! Kichwa matata sana! Kina vitu vingi sana na leo ndio nimeelewa kwa nini wimbo kama kijusi wimbo bora wa hip hop kuwahi kuusikia umetoka kichwani kwako!!

  • @bluesportstvtz4033
    @bluesportstvtz40335 жыл бұрын

    Kozi ya kibaaabeeee, af kimyaaaaa. Ila watu wana kozi za makelele wanaitwa wasomi. Nikki zohan is the real genius.

  • @marysilayo9529
    @marysilayo95295 жыл бұрын

    Sijawah comment ila kwa huyu noma sana .....ni genius sana huyu.

  • @ramadhankiduwanga4932
    @ramadhankiduwanga49325 жыл бұрын

    nikki mbishi shule imekaa kijanja hpo

  • @brynbrizzy9000
    @brynbrizzy90005 жыл бұрын

    Genius nikki mbishi

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 Жыл бұрын

    Bado moja kati ya interview bora sana alizowahi kuzifanya Mbishi...nimeirudia tena kuisikiliza leo 2023

  • @joesimba
    @joesimba5 жыл бұрын

    Mi sio country boy 😂😂😂 • country boy(m) • young killer(m) •gigy money(f) • lulu diva(f) • dude(m) • master j(m) • romy jones(m) • kitale(m) • chege(m) • madam ritha(f) • NIKKI MBISHI(m) NOTE: Female=27.3% Male =72.7%

  • @hansmaston1949
    @hansmaston19495 жыл бұрын

    Plz jonijo uyu mtu mleye tena mala yapili unafanya intervew ksli lkn intervew ya uyu jamaa nikar kuliko zote jamaa anaakili nyingi sana

  • @zuberysaugga3605
    @zuberysaugga36055 жыл бұрын

    The best interview kwenye the bar tender 🙌🙌🙌jamaa aliua asee schokagi kuicheki

  • @TheLasn7
    @TheLasn75 жыл бұрын

    Interview bora kabisa. Hongera nikki. Tunataman wasanii wawe na level hizi za uelewa wa mambo. Sio wote ila wengi wawe hivi mfano ukiwa na nikki wote wawil..game inaweza kupata muelekeo mzuri

  • @lawrencewilfredlugendo8781
    @lawrencewilfredlugendo87815 жыл бұрын

    Aiseee sijawahi kucoment you tube ila huyu jamaaa kafanya nicoment maaana kwa kumwangalia tuuu nikasema hawezi chomoka maswali ya jonijo ila kampangua jonijo kama ajax alivompangua real Madrid kwake.akili mingi bro@niki mbishi

  • @godblessmhando1326

    @godblessmhando1326

    5 жыл бұрын

    show kal

  • @balneoshujaashupav9456
    @balneoshujaashupav94565 жыл бұрын

    Ana haki ya kuitwa mbishi ( Respect my bro Nikki mbishi)

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31495 жыл бұрын

    ivi like mnazipelekaga wapi namimi naombeni jamani...

  • @truppdizz7330
    @truppdizz73305 жыл бұрын

    Aaaaah nikki mbishi we nyoko mamae

  • @Nelsonmlay
    @Nelsonmlay5 жыл бұрын

    Sikuwahi kuwa fan wa nikki ila nimemkubali kwaanzia leo huyu jamaa ni hatar

  • @jumachillo

    @jumachillo

    5 жыл бұрын

    Brother niki anachokiandika n anachochana ni mara 1000 ya anachoongea kwenye interview ! swali langu umemkubali kwa interview au mziki wake?

  • @Nelsonmlay

    @Nelsonmlay

    5 жыл бұрын

    @@FreshFizzo kabisa

  • @georgemagori2158

    @georgemagori2158

    5 жыл бұрын

    Nikki Mbishi n msanii hatar xnaa bongo tafta nyimbo zake uckilize ndugu

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18545 жыл бұрын

    Unju nina madada wazurii wabichi tuma mshenga...

  • @nicksonmgale4699
    @nicksonmgale46995 жыл бұрын

    Duuuh nikki mbishi salute sanaaa bro uko vzr

  • @taflandon3355
    @taflandon33555 жыл бұрын

    Baba Malcolm brein capacity yako ni kubwa mnoo nimekubali sana upo smarti kichwani .thanks wasafi maaaaama BABAAAAAKO katishaaa sana

  • @shabanimbaga8921
    @shabanimbaga89215 жыл бұрын

    What a Genious 🙌🙌🙌.. Nick u're a realy 'Mbishi'

  • @luxtiller5773
    @luxtiller57735 жыл бұрын

    genius Nikki hii ndo interview bora kuliko zote nilizoangalia big up nikki, jonijooo and wasafi tv

  • @fadhilfedha9533
    @fadhilfedha95335 жыл бұрын

    Jonijoo leo umekutana na babaaako mwenyewe hahahahaaa...wise ones chill like nobodyz business.

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata12375 жыл бұрын

    Shikamoooo unju. Upo vizur sana mwote mwote. Kwel we ni kichwa cha Taifa.

  • @agroplants576
    @agroplants5765 жыл бұрын

    Genious Nikkii Mbishii baba Malcom

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2335 жыл бұрын

    WCB Firee.

  • @dharaphylutavi9624
    @dharaphylutavi96245 жыл бұрын

    Ebhnaaa huyu Jamaa ni GENIUS

  • @preciousrey1639
    @preciousrey16395 жыл бұрын

    Shikamoo broo unjuu......Baba ako umepatkana leo😁😁😁

  • @dicksoniaidani3822
    @dicksoniaidani38225 жыл бұрын

    Mpaka muda umekua hautoshi Nikki mbishi ni moja kati ya wasanii wa chache ambao wapo smart kiakili

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy39235 жыл бұрын

    This man is GENIUS 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @getujohn3630
    @getujohn36304 жыл бұрын

    Ndo uyo Alexander Bellam🤣🤣🤣something like like that.....but ckumbuki vizuriiiiiiiii.......we mbishi wew

  • @modooutfits1339
    @modooutfits13395 жыл бұрын

    Jonijo umekutana na teke la vandame

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar50175 жыл бұрын

    Msanii mwenye elimu na kumbu kumbu zake ...👏👏👏

  • @sarahmwasege7573
    @sarahmwasege75735 жыл бұрын

    Baba Malcom,unakuwa genius sana bwana. I do appreciate you bro

  • @exodusezekielkaitira6238
    @exodusezekielkaitira62385 жыл бұрын

    nicki genious aka dr unju...smart mind

Келесі