NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO

Ойын-сауық

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 71

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman1884 жыл бұрын

    NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai53364 жыл бұрын

    Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama4 жыл бұрын

    Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK

  • @softcoolupdate5472
    @softcoolupdate54723 жыл бұрын

    Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake

  • @inocentmbowe4160
    @inocentmbowe41604 жыл бұрын

    Nikki namkubali sana

  • @allexlunny7795
    @allexlunny77954 жыл бұрын

    kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba73574 жыл бұрын

    nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism

  • @blaisejongo3925
    @blaisejongo39254 жыл бұрын

    mbishi noma

  • @mulisaemmanuel8728
    @mulisaemmanuel87284 жыл бұрын

    Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up

  • @sizakitego4374
    @sizakitego43744 жыл бұрын

    Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa

  • @Ram_1893

    @Ram_1893

    2 жыл бұрын

    Mexicana Lacavella

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang12884 жыл бұрын

    B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥

  • @babubomba8563
    @babubomba85634 жыл бұрын

    Tunaomba mwendelezo wake

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela52474 жыл бұрын

    Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    3 жыл бұрын

    Wanamyima dili wakisema ni mbishi

  • @amonijajila1218
    @amonijajila12184 жыл бұрын

    Respect mabrother unjuu

  • @nakalikyumile4370
    @nakalikyumile43704 жыл бұрын

    Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa

  • @constantinenzigilwa8513
    @constantinenzigilwa85133 жыл бұрын

    nakukubali broo nikki B

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare21182 жыл бұрын

    My brother UNJU 👊 saluty broo

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba73574 жыл бұрын

    nikki bhana mambo yake😂😂. Anajua sana kwenye midundo mr. unju.

  • @mickeytv3691
    @mickeytv36914 жыл бұрын

    Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza81984 жыл бұрын

    Vita y Bengaz Under ground King 🤴

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd4 жыл бұрын

    Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa

  • @gideonjulius9782
    @gideonjulius97823 жыл бұрын

    Underground Legendary

  • @alijuma7401
    @alijuma74012 жыл бұрын

    Genius

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande46924 жыл бұрын

    Nikki mbishi

  • @2nyoorap67
    @2nyoorap674 жыл бұрын

    Nakubali unju

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan56944 жыл бұрын

    Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai53364 жыл бұрын

    Majina kibao sio

  • @hassansamata5995
    @hassansamata59954 жыл бұрын

    Unjuuu mkali wao

  • @scariothagreat
    @scariothagreat4 жыл бұрын

    jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu4464 жыл бұрын

    Haka kajipu haka balaa

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87674 жыл бұрын

    #nikkimbishi

  • @barakamtesigwa3097
    @barakamtesigwa30974 жыл бұрын

    Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba

  • @nelsonmasolwa8343

    @nelsonmasolwa8343

    3 жыл бұрын

    nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear

  • @mr25d99
    @mr25d994 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda

  • @dekamotionpictures2132
    @dekamotionpictures21324 жыл бұрын

    👍

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza81984 жыл бұрын

    Unju Bin UNUK....!!

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus42354 жыл бұрын

    Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi23314 жыл бұрын

    3:50🤣🤣🤣

  • @adamsengo3138
    @adamsengo31384 жыл бұрын

    Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣

  • @amanimakovya2228
    @amanimakovya22284 жыл бұрын

    Dr unju

  • @josephdonald6199
    @josephdonald61994 жыл бұрын

    Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz4 жыл бұрын

    Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo60574 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio

  • @thomasmathias7237
    @thomasmathias72374 жыл бұрын

    Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,

  • @chaulee20c58
    @chaulee20c584 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/n6ts1cieecrXZJc.html tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi23314 жыл бұрын

    18:9 😂😂😂😂

  • @yassinijuma4708
    @yassinijuma47084 жыл бұрын

    Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man

  • @marianamacha3452
    @marianamacha34524 жыл бұрын

    😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃

  • @great__sheik6391
    @great__sheik63914 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @hushbtz3310
    @hushbtz33104 жыл бұрын

    Wanaharakati wote Gusa link kzread.info/dash/bejne/aJicu6ypfKbRldo.html Kusikia michano

  • @mickeytv3691
    @mickeytv36914 жыл бұрын

    Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes

  • @helmanfabian4427
    @helmanfabian44274 жыл бұрын

    Unju punguza kuchonga

  • @gasperallute23
    @gasperallute234 жыл бұрын

    Bin Upupu

  • @danieldeogratus1683
    @danieldeogratus16834 жыл бұрын

    18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    Huyo jamaa ni mkongo

  • @msatijunior6304
    @msatijunior63044 жыл бұрын

    Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop

  • @johncavishe353

    @johncavishe353

    4 жыл бұрын

    We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68804 жыл бұрын

    Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..

  • @napster2558

    @napster2558

    4 жыл бұрын

    Ishu n u MC si ela

  • @hellyally4395

    @hellyally4395

    4 жыл бұрын

    hela gani anatengeneza ww

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    4 жыл бұрын

    Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..

  • @scariothagreat

    @scariothagreat

    4 жыл бұрын

    @@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote

  • @mussangonya6179

    @mussangonya6179

    4 жыл бұрын

    Mbish ndio best uyo ney boya

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin97014 жыл бұрын

    Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi

  • @mtumweusy4652
    @mtumweusy46524 жыл бұрын

    Nikki mbishi kawa Nikki michambo, Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,

Келесі