NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO
Ойын-сауық
All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 71
NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑
Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu
Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK
Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake
Nikki namkubali sana
kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live
nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism
mbishi noma
Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up
Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa
@Ram_1893
2 жыл бұрын
Mexicana Lacavella
B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥
Tunaomba mwendelezo wake
Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up
@hkmeme5437
3 жыл бұрын
Wanamyima dili wakisema ni mbishi
Respect mabrother unjuu
Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa
nakukubali broo nikki B
My brother UNJU 👊 saluty broo
nikki bhana mambo yake😂😂. Anajua sana kwenye midundo mr. unju.
Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm
Vita y Bengaz Under ground King 🤴
Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa
Underground Legendary
Genius
Nikki mbishi
Nakubali unju
Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI
Majina kibao sio
Unjuuu mkali wao
jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂
Haka kajipu haka balaa
#nikkimbishi
Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba
@nelsonmasolwa8343
3 жыл бұрын
nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear
Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda
👍
Unju Bin UNUK....!!
Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo
3:50🤣🤣🤣
Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣
Dr unju
Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂
Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana
😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio
Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,
kzread.info/dash/bejne/n6ts1cieecrXZJc.html tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize
18:9 😂😂😂😂
Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man
😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃
😂😂😂😂😂😂
Wanaharakati wote Gusa link kzread.info/dash/bejne/aJicu6ypfKbRldo.html Kusikia michano
Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes
Unju punguza kuchonga
Bin Upupu
18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Huyo jamaa ni mkongo
Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop
@johncavishe353
4 жыл бұрын
We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri
Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..
@napster2558
4 жыл бұрын
Ishu n u MC si ela
@hellyally4395
4 жыл бұрын
hela gani anatengeneza ww
@abdulmohd6880
4 жыл бұрын
Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..
@scariothagreat
4 жыл бұрын
@@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote
@mussangonya6179
4 жыл бұрын
Mbish ndio best uyo ney boya
Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi
Nikki mbishi kawa Nikki michambo, Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,