NIKKI MBISHI AVUNJA UKIMYA/ AZICHAMBUA LABEL ZA MUZIKI/ 'WANABABAISHA'/ TUNATAKA HELA/ KATIBA MPYA
#STORYANDRHYMES #NIKKIMBISHI #HarounTambwe
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 55
Nakukubali sana Nikki mbishi unajitambua unajijua sana mdogo wangu
Napenda sana hyo background sound. InaSound kama 'Playboy' song in quite a Slow temple...Production ya Kipindi ni Konyo sana🔥🔥
Ningumu Kumpata mc wa bongo ana knowledge zaidi ya unju...hupati the realest mc ....da genius
@ambokilenyondo3122
Жыл бұрын
Unju ni moja Kati ya ma mcs wenye knowledge
Damu ya mara nakukubali sana Nikki mbishi
One of the best of all time
Nikimsikiliza Unju na gain vtu vingi I appeiciate bro!
Greatest of all time Dr Unju bin Unuq🎶🎵🎵🎵✊💪
Salute Nikki mbish
Nikimskilizaga unju huwa natenga muda kabisa🔥🔥🔥
Super GENIUS
Mwanamdhiki unjuu bin unuki 💥💥
🎉 nkubali mbishi nakuelewa sana blo
Power II nimefurah kuisikia tena hap!
Icon,, huyu mkal ipo siku atajua kuwa huku kitaa anatema knowledge yafaa awe na Hip hop College au free class yake ili tupate wakina unju wengi dunia ya realities iwepo,,,
Real talk Unju
Mwanangu we noma
Anae hoji katsha Sana
Jamaa sijawah kuchoka ngoma zke wala interview zke
Media nyingi za kibongo zimejaa mashoga, wambea n.k shida sana😢
Mkoa wa MARA hakunaga Fara Harakati ndio zetu acheni hao machawa waendelee kupotosha vijana dawa yao ipo jikoni
Mwenye misingi ya hip-hop na misingi yake lazima awe na fundisho kama Nikki
Wasanii wengi wanatoa Ep Unju yeye anatoaga mix tap na album. Ila cha muhimu watu wajue interview ya Nikki mbishi ni Lp hisiyochosha kusikiliza.
Respect
Kweli kabisa
NAJUA,MASHABAKIK WA WCB MLISHAKIMBIA TOKA DAKIKA YA 5,YA INTERVIEW..
@m___ck799
Жыл бұрын
😂😂😂
@ambroceharouna1612
Жыл бұрын
Upeo Mdg haha
Nce mamen nakubari sana unju mbish 🙏🙏🙏
amini kaka yAni bongo bado yani ungekua u s a unge kua kama shon p bu camp
Wasaniii wa hip-hop ni watu wa kuwaharia vzuri sana
Mtu hatry cn ✊🏿
UNJU🔥🔥
Mtu hatry cn Unju
Unjuuuuuu
Iyo biti kali
Wasafi wame changia kuua hip hop tanzania
One of the only realest mo*fakaz in a game... I think I'm blessed to be part of this era to witness Unju Bin Unuki Era.. no cap, no bullshit, no fuckin doubt this dawg got his own shine 🌄
kipindi kizuri lakini umetumia muda mwingi sana kumuuliza maisha yake kuliko albam yake so sometime muulize kuhusu contents za kila nyimbo humo ndan na kuona vionjo na vibes kipindi anaandaa kazi hiyo
💯💥✌️
Unju bin unuki baba malcom
UNJU kigu
Unju
😎😎💯💯💪💪💪
Og
Kichwa
Kumbe Adam ni kikosi kazi
Hatutaki ushauri wa bure Nikki mbishi bratha ni mbishi riri
Jamaa anaspit shule
Baba marcom ,,,,,
rangi nyingi mno
Mhhhhh huyu ndo maana wenge alimchana mpaka akanyosha mikono
@nikkimbishiunju2402
Жыл бұрын
Unakazwa
@edwardmarco7686
Жыл бұрын
@@nikkimbishiunju2402 🤣🤣🤣🤣🙌