ALLAN KINGDOM: Mtanzania aliyeshirikishwa na KANYE WEST na kutumbuiza pamoja, asimulia ilivyokuwa
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Жүктеу.....
Пікірлер: 91
@AllanKingdom Жыл бұрын
Asanteni sana kwa upendo, much love! ✊🏾🇹🇿🖤
@homeboybeyondtheborders4935
6 ай бұрын
Ila unaipenda Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana
@elymollel Жыл бұрын
Ukiachilia kuishi mbele kwa muda ila anaongea Kiswahili bila kuchanganya mbwembwe . Hongera kwako bro!
@funydog9424
Жыл бұрын
Kuwasiliana na watu wa nyumban mara Kwa mara na kurud kutembelea kumemfanya awe anaongea vzur
@salimtabu4703 Жыл бұрын
Jamaa anasound kama Idris sultans
@NoelChambo
Жыл бұрын
Kabisa
@mwajumabinwa604
Жыл бұрын
Yeah 😂
@sumayaishengoma4543
Жыл бұрын
Kabisa …
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
100%
@water_music40
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kwel umejuaje hahahahah DNA ihusike
@chaggaogtz8125 Жыл бұрын
Jamaa anaibless sana Tanzania,pia ana ngoma na G Nako
@sautisevarino1656 Жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview ,Big up SNS
@RichWise671 Жыл бұрын
Kama umesikia sauti ya #Idris_Sultan🔥🔥🔥🔥
@omaryissah3133
Жыл бұрын
Duuuuu kabisa kk saut Ni Idris kabisaa
@malikasdiary3527
Жыл бұрын
Nilikuwa nangoja Hii comment hahahahah
@andrewmmbaga1665
Жыл бұрын
🤣
@peterhenry710 Жыл бұрын
one of my favorite channel madini mengi sana kutoka kwa mnyamwezi
@sehemunzuri Жыл бұрын
Performance ya All day ni one of the greatest performances ever!!!
@methodjasson2159 Жыл бұрын
safi sana allan kwa kupambania carrie yako na big up kwa lugha ya kiswahili vizuri sana❤
@swahili3603 Жыл бұрын
Big Up sana Brother Sky unajitahidi sana kufikia Engo ambazo Media nyingi hawafiki👍
@Kasyetaderrick Жыл бұрын
Interview safi Kabisa big up chief , unajua sana !!
@sistersade9039 Жыл бұрын
Amazing interview and so much knowledge and impressive wonderful character 👏
@dn.n4983 Жыл бұрын
Big up ubsrikiwe wote
@ezekiambise2595 Жыл бұрын
Ana sound kama Idris sultan
@salimtabu4703
Жыл бұрын
True
@ibrahimmsham1099
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa haujakosea bandugu
@unknown_9942 Жыл бұрын
Duuh kumbe ni miaka 6 aseeh ile interview ndo ilinifanya nimjue huyu jamaa tangu kipindi hicho mpaka leo na namfatilia sana jamaa mpaka anakuja Tanzania anafanya ngoma na Gnako kiukweli jamaa mkali na nimfano mzuri wa kuigwa maisha yake yote Marekani ila bdo anakiswahili chake kizuri hongera sana ALLAN KINGDOM ✊
@FahadAli-ni5eu
Жыл бұрын
Ana ngoma kali na patoranking huyo
@officialoscaroscarjrfan Жыл бұрын
Good work💯💯💥sky nakubali sana
@deomakomba8364 Жыл бұрын
Kimsingi nimependa sana mahojiano yako na Allan mwenye ye chembechembe za majimoto Ngoreme wilaya ya Serengeti mkoani Mara. Allan yupo vizuri, anaipenda asili yake. Safi sana Sky na Sns.
@lilboyka Жыл бұрын
Nimemuelewa sana uy mwamba achanganyi kingereza oy saf sana mwana😄👊
@ashirafuhuruma6412 Жыл бұрын
Jamaa naskia tuu sound yako kumbe ndo wewe big up sana
@Anuaryomary-su9cd Жыл бұрын
Shout ana kwa Allan for keep it raising 🎉🎉🎉
@jwisetv4833 Жыл бұрын
Nimemupenda mama ake
@stylishgenius9886 Жыл бұрын
Our blood
@johnagak5305 Жыл бұрын
Iron sharpens iron salute to you both great interview
@benancejohn1198 Жыл бұрын
🙌🙌🙌
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
🎉🎉🎉🌺🌺🌺🌺
@johnagak5305 Жыл бұрын
Big facts about Afro beats being number one 🙌
@yojoruta3379 Жыл бұрын
Big up kwa mama wa Allan
@user-yo3yy7fx1i11 ай бұрын
Idriss Sultan Kakako hapa
@soudbako5925 Жыл бұрын
Bonge moja la interview
@gaitanokamage7366 Жыл бұрын
speech tone kama idris sultan
@BALEKECH2770 Жыл бұрын
Allan unasema kweli
@zaud6581 Жыл бұрын
Aaaha umeua sana nimeichek hiyo performance
@gibbs1320 Жыл бұрын
Wakurya nipeni likes zangu basi
@issakhan260 Жыл бұрын
Hii kitu kali saana nami nimemjua kwa kuendelea hivi manaaje unatusaidia kujua watu tunao paswa kujua Ahsante❤️🙏🙏🙏
@ObligeeNdoni-pb4vs Жыл бұрын
Dogo anahakili sana, haya ndio mambo tunatakisikia sio wakina mwijaku sijui chawa ovyoo kabisa!
@ChoroTesla Жыл бұрын
nakumbuka ngoma ya all day ilitamba sana enzi hizo ile chorus ilikua bad sana aisee nakumbuka nilikua advance daaah sio mchezo
@user-vi3xx5ew5i Жыл бұрын
Kweri nakupa big up ndiyo maana viongozi wakienda kusomea PHD hujiona watu bora zaidi na ndiyo maana hawawajuwi wazungu sisi tunaoishi nao ndiyo tunawajuwa
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Sauti kama Idriss Sultan, nakukubali sana Allan, na nakumbuka siku ulivyoojiwa na SNS. 😊
@user-yo3yy7fx1i11 ай бұрын
Diva mke WA sheikh WA Mchongo unaskiza Kaka mzungu Hapa ILA kiswahili
@bonemwaminifu3935 Жыл бұрын
Sound kama idris
@thebestmusic1603 Жыл бұрын
Jama anaongea kama idris sultans
@vkmalove1307 Жыл бұрын
Namjua huyumwana
@omaraliiddi1424 Жыл бұрын
Sns.....
@fredykephacy5166 Жыл бұрын
Nimempenda sn
@brackarpizzo8364 Жыл бұрын
mwana ana sauti ya Idris Sultan
@nawafmohdy3476 Жыл бұрын
Kam idris yn saut yke😃
@benorjangson7300 Жыл бұрын
Futur Ya Tz
@drmdee Жыл бұрын
Mm ckujuaga mtz na nlikua namuona mtandaoni nkajua mkenya
@ydm8710 ай бұрын
He sound like Idriss sultan
@khasmamtega5963 Жыл бұрын
Afu haringiiii
@ksnjos001 Жыл бұрын
Waafrica wapo NAIVE sana hawajui kwamba wazungu hawapendi watu weusi...
@emmanulvictory507 Жыл бұрын
Unaweza ukasema ni mdogo ake idris
@rodgersgregory7198 Жыл бұрын
27:00-27:10😅
@LadaSaidi11 ай бұрын
Katika mahojiano bora pamoja na haya huyu jamaa anajua kujieleza kuliko maelezo
@thaddythaddeuc2724 Жыл бұрын
Somo la bule
@drmdee Жыл бұрын
Kumbe mtanzania?
@vt-kn6qf Жыл бұрын
Jirani yangu mm nipo North dakota Dickinson kweli Minnesota Kuna bari kichizi ila uku kwetu nikiama
@njoroboihastla
Жыл бұрын
Nataka kuja huko namim🤣
@KhadijaAbdallah-kn3ii Жыл бұрын
Muongeaji huyo hatari
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Jamaa nimemuelewa sana ukikaa na mzungu unajiona kabisa mtu mweusi ni tofauti na mzungu. Ndio maana muafrika anaweza kuuza bandari bila kujali vizazu vijavyo vitakuja kuishi vipi,ila mzungu hawezi fanya uo ujinga. Waafrika bado sio binadamu aliyekamilika aisee
@bontelcomedy8687 Жыл бұрын
Dar kwel walikua na Kanye salute kwa sky
@saidmwasemu-do5tp Жыл бұрын
Na vp Owl city anatokea wap
@user-vi3xx5ew5i Жыл бұрын
Jenga Shule ili watu waepukane na umaskini
@Annie-tt8fi Жыл бұрын
Kama ningekua nasikiliza juujuu tu na siangalii ningedhani ni Idris sultani anaongea
@mcgeemwamba9303 Жыл бұрын
Gee Mwamba Ft Kado Kitengo Freesty battle kzread.info/dash/bejne/pqyCt5WkoK23ZpM.html
@hassanabuu6 Жыл бұрын
Idrisasultan 😂😂😂 Extax USA gun🔫🔫🔫
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Uyu kaka nimempendaje?
@khalfanmohd5807
Жыл бұрын
Punguza upwiru dada 😂
@herbertygeofrey2724
Жыл бұрын
Mtafute akutoe upwiru uende nae ulaya 😂😂
@ntimimalamula2104 Жыл бұрын
Sasa sio mtanzania huyo ni msouth
@vt-kn6qf
Жыл бұрын
Unachuki na wivu vya mdamu ni mtanzania kamili it better you read the constitution Brother . Ujanga pia ni karama ...unakarama ya ujinga
@jimmyx8412
Жыл бұрын
@@vt-kn6qf yupo sahihi,.. chalii ni msouth Africa kwasababu Africa tunachukua upande wa Baba
Пікірлер: 91
Asanteni sana kwa upendo, much love! ✊🏾🇹🇿🖤
@homeboybeyondtheborders4935
6 ай бұрын
Ila unaipenda Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana
Ukiachilia kuishi mbele kwa muda ila anaongea Kiswahili bila kuchanganya mbwembwe . Hongera kwako bro!
@funydog9424
Жыл бұрын
Kuwasiliana na watu wa nyumban mara Kwa mara na kurud kutembelea kumemfanya awe anaongea vzur
Jamaa anasound kama Idris sultans
@NoelChambo
Жыл бұрын
Kabisa
@mwajumabinwa604
Жыл бұрын
Yeah 😂
@sumayaishengoma4543
Жыл бұрын
Kabisa …
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
100%
@water_music40
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kwel umejuaje hahahahah DNA ihusike
Jamaa anaibless sana Tanzania,pia ana ngoma na G Nako
Nimeipenda sana hii interview ,Big up SNS
Kama umesikia sauti ya #Idris_Sultan🔥🔥🔥🔥
@omaryissah3133
Жыл бұрын
Duuuuu kabisa kk saut Ni Idris kabisaa
@malikasdiary3527
Жыл бұрын
Nilikuwa nangoja Hii comment hahahahah
@andrewmmbaga1665
Жыл бұрын
🤣
one of my favorite channel madini mengi sana kutoka kwa mnyamwezi
Performance ya All day ni one of the greatest performances ever!!!
safi sana allan kwa kupambania carrie yako na big up kwa lugha ya kiswahili vizuri sana❤
Big Up sana Brother Sky unajitahidi sana kufikia Engo ambazo Media nyingi hawafiki👍
Interview safi Kabisa big up chief , unajua sana !!
Amazing interview and so much knowledge and impressive wonderful character 👏
Big up ubsrikiwe wote
Ana sound kama Idris sultan
@salimtabu4703
Жыл бұрын
True
@ibrahimmsham1099
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa haujakosea bandugu
Duuh kumbe ni miaka 6 aseeh ile interview ndo ilinifanya nimjue huyu jamaa tangu kipindi hicho mpaka leo na namfatilia sana jamaa mpaka anakuja Tanzania anafanya ngoma na Gnako kiukweli jamaa mkali na nimfano mzuri wa kuigwa maisha yake yote Marekani ila bdo anakiswahili chake kizuri hongera sana ALLAN KINGDOM ✊
@FahadAli-ni5eu
Жыл бұрын
Ana ngoma kali na patoranking huyo
Good work💯💯💥sky nakubali sana
Kimsingi nimependa sana mahojiano yako na Allan mwenye ye chembechembe za majimoto Ngoreme wilaya ya Serengeti mkoani Mara. Allan yupo vizuri, anaipenda asili yake. Safi sana Sky na Sns.
Nimemuelewa sana uy mwamba achanganyi kingereza oy saf sana mwana😄👊
Jamaa naskia tuu sound yako kumbe ndo wewe big up sana
Shout ana kwa Allan for keep it raising 🎉🎉🎉
Nimemupenda mama ake
Our blood
Iron sharpens iron salute to you both great interview
🙌🙌🙌
🎉🎉🎉🌺🌺🌺🌺
Big facts about Afro beats being number one 🙌
Big up kwa mama wa Allan
Idriss Sultan Kakako hapa
Bonge moja la interview
speech tone kama idris sultan
Allan unasema kweli
Aaaha umeua sana nimeichek hiyo performance
Wakurya nipeni likes zangu basi
Hii kitu kali saana nami nimemjua kwa kuendelea hivi manaaje unatusaidia kujua watu tunao paswa kujua Ahsante❤️🙏🙏🙏
Dogo anahakili sana, haya ndio mambo tunatakisikia sio wakina mwijaku sijui chawa ovyoo kabisa!
nakumbuka ngoma ya all day ilitamba sana enzi hizo ile chorus ilikua bad sana aisee nakumbuka nilikua advance daaah sio mchezo
Kweri nakupa big up ndiyo maana viongozi wakienda kusomea PHD hujiona watu bora zaidi na ndiyo maana hawawajuwi wazungu sisi tunaoishi nao ndiyo tunawajuwa
Sauti kama Idriss Sultan, nakukubali sana Allan, na nakumbuka siku ulivyoojiwa na SNS. 😊
Diva mke WA sheikh WA Mchongo unaskiza Kaka mzungu Hapa ILA kiswahili
Sound kama idris
Jama anaongea kama idris sultans
Namjua huyumwana
Sns.....
Nimempenda sn
mwana ana sauti ya Idris Sultan
Kam idris yn saut yke😃
Futur Ya Tz
Mm ckujuaga mtz na nlikua namuona mtandaoni nkajua mkenya
He sound like Idriss sultan
Afu haringiiii
Waafrica wapo NAIVE sana hawajui kwamba wazungu hawapendi watu weusi...
Unaweza ukasema ni mdogo ake idris
27:00-27:10😅
Katika mahojiano bora pamoja na haya huyu jamaa anajua kujieleza kuliko maelezo
Somo la bule
Kumbe mtanzania?
Jirani yangu mm nipo North dakota Dickinson kweli Minnesota Kuna bari kichizi ila uku kwetu nikiama
@njoroboihastla
Жыл бұрын
Nataka kuja huko namim🤣
Muongeaji huyo hatari
Jamaa nimemuelewa sana ukikaa na mzungu unajiona kabisa mtu mweusi ni tofauti na mzungu. Ndio maana muafrika anaweza kuuza bandari bila kujali vizazu vijavyo vitakuja kuishi vipi,ila mzungu hawezi fanya uo ujinga. Waafrika bado sio binadamu aliyekamilika aisee
Dar kwel walikua na Kanye salute kwa sky
Na vp Owl city anatokea wap
Jenga Shule ili watu waepukane na umaskini
Kama ningekua nasikiliza juujuu tu na siangalii ningedhani ni Idris sultani anaongea
Gee Mwamba Ft Kado Kitengo Freesty battle kzread.info/dash/bejne/pqyCt5WkoK23ZpM.html
Idrisasultan 😂😂😂 Extax USA gun🔫🔫🔫
Uyu kaka nimempendaje?
@khalfanmohd5807
Жыл бұрын
Punguza upwiru dada 😂
@herbertygeofrey2724
Жыл бұрын
Mtafute akutoe upwiru uende nae ulaya 😂😂
Sasa sio mtanzania huyo ni msouth
@vt-kn6qf
Жыл бұрын
Unachuki na wivu vya mdamu ni mtanzania kamili it better you read the constitution Brother . Ujanga pia ni karama ...unakarama ya ujinga
@jimmyx8412
Жыл бұрын
@@vt-kn6qf yupo sahihi,.. chalii ni msouth Africa kwasababu Africa tunachukua upande wa Baba
Ana ngoma inaitwa monkey see noma 🚀🚀🚀
Mbona kama pacha wake Idris sultan 😄😄