Part 1. Nikki Mbishi afunguka kuhusu katiba mpya, sitaki maua yenu, Blue/Nyandu Tozi Malengend.

Пікірлер: 43

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr Жыл бұрын

    Leta full interview Chen kuzngua ganja Unju ana bonga fact Alafu Albm nmenunua Ina Mawe heavyweight

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 Жыл бұрын

    Uhulu wakuabudu skuizi umepitiriza ukienda nyumba za ibada naona kama wanaigiza pesa wanaingiza kwa mafuta ya upako imani yanguvu zagiza inafanyika tupo macho brother unjuu sjui nikwambiaje 💥💥💥💥🎙️🎙️🎙️🎙️

  • @skataezer7487

    @skataezer7487

    Жыл бұрын

    Uhulu ni Nini hiyo ndugu yangu jifunzeni basi Kiswahili

  • @mkolekulwa3090
    @mkolekulwa3090 Жыл бұрын

    Unju ana akili sana huyu mwamba watu kama hawa ni faida sana Kwa taifa lolote duniani

  • @t.ikingtz5703
    @t.ikingtz5703 Жыл бұрын

    Uwa naenjoy San interview za #unju

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati89805 күн бұрын

    Una akali sana, kweli asiyejielewa hawezi kukuelewa

  • @LIMATV_TANZANIA
    @LIMATV_TANZANIA Жыл бұрын

    Mahojiano mazuri tena ya kimkakati. Yanakuza utamaduni halisi.✊✊

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp3 ай бұрын

    Unju Chukua Jimbo Mzee Baba

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi Жыл бұрын

    MHeshimiwa DR.UNJU💯💯💯💯💥💥💥💥💥💥💯💥💯💥💯💥👏👏👏🤝🤝🤝

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 Жыл бұрын

    Mzuka mwingi Unju

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Жыл бұрын

    Legend

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 Жыл бұрын

    Kumsikiliza Unju inabidi umsikilize mwanzo Mwisho Sasa hapa ndo mmefanya nini

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n7 ай бұрын

    Hashimu anaimba wee upo boya ww

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Жыл бұрын

    Mbona interview fupi wapi tunaipa yamuendelezo?

  • @pademwanaharakati8980
    @pademwanaharakati89805 күн бұрын

    Wee mwamba ni mwanaharakati piua, unajua jinsi ya dadavua kitu kwakina majibu yaliyoshba

  • @hamzaobadia590
    @hamzaobadia590 Жыл бұрын

    Kumbe J r yupo times fm

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Жыл бұрын

    J.R Junior Naenjoy sana ukihoji interview zako haswa hup hop unasupport kubwa bro

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Жыл бұрын

    Akili nyingi unjuuuu

  • @bobolino1951

    @bobolino1951

    Жыл бұрын

    Sana jamaa ni jiniaz

  • @BugaJustine-wr9pt
    @BugaJustine-wr9pt Жыл бұрын

    Baba ckupingi mazee

  • @BugaJustine-wr9pt

    @BugaJustine-wr9pt

    Жыл бұрын

    Unajua akujui atabaki kukubali nyegezi

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Жыл бұрын

    Interview za unju,chid na eyez nako hua naenjoy na hazichoshi

  • @bobolino1951

    @bobolino1951

    Жыл бұрын

    Wewe kama Mimi kabisa na nyandu tozy pia

  • @tulisanga2023
    @tulisanga2023 Жыл бұрын

    SEMA unju anabalaa kwenye mahojiano yeyote

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Жыл бұрын

    Nimerudi leo nilikua mtatumalizia ila bado wapi tuifate maana timesfm ipo nusu jr vip unatusumbua wafuas wako

  • @tunyoorap825
    @tunyoorap825 Жыл бұрын

    Bin upupu

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Жыл бұрын

    Hiyo mic 🎤 yenu inatakiwa kunyanyuka kidogo sauti iko chini

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Hiphop wana akili Waimbaji wakihojiwa ni ovyo tu

  • @baloziubalozini5074

    @baloziubalozini5074

    Жыл бұрын

    Ni Hiphoppas(Wanaohusika na utamaduni wa Hip Hop)

  • @frankkajoba8372

    @frankkajoba8372

    Жыл бұрын

    Iko wazi Hip Hop artists wengi wanaandika kwa kufikiri( kutumia akili), wale wengine wanaangalia udaku, ngono, kiki, utunzi hafifu na upumbavu mtupu kwa walio wengine

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    Жыл бұрын

    @@frankkajoba8372 kweli kabisa

  • @LIMATV_TANZANIA

    @LIMATV_TANZANIA

    Жыл бұрын

    Hata mashabiki wa muziki wa RAP Wana akili pia😂😂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Жыл бұрын

    Sasa nyie CHIMBO LA HIP HOP kwanini mnapost interview muhimu kama izi NUSU NUSU? hata kwa wakazi mmefanya vivyo hivyo

  • @chimbolahiphop9981

    @chimbolahiphop9981

    Жыл бұрын

    Kaka tuuwiane radhi kuna muda inatulazimu kufanya hivyo

  • @dclassTurpin-jx3wh

    @dclassTurpin-jx3wh

    Жыл бұрын

    dada wakazi naye msanii?

  • @all-victorious2156
    @all-victorious2156 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ana nyimbo gani mbona kama hana hit hata moja??

  • @christophertz

    @christophertz

    Жыл бұрын

    Duh 🤔

  • @santanatz2559

    @santanatz2559

    Жыл бұрын

    We utakuwa umeanza kusikiliza mziki juzi

  • @all-victorious2156

    @all-victorious2156

    Жыл бұрын

    @@santanatz2559 hizo ngoma zake alizowahi kufanya miaka ya 2009-2012 ni ndogo sana naona anajipaisha tu na kujiweka kwenye ukubwa asiokuwa nao.

  • @Ram_1893

    @Ram_1893

    Жыл бұрын

    Unamzungumzia jamaa gani?

  • @babalaujamaa7131

    @babalaujamaa7131

    Жыл бұрын

    Sawa toa wewe hit tuisikie

Келесі