Professor Jay afunguka bifu yake na Chameleone, ugomvi na P-Funk, kukosa ubunge na mengine (Part 2)

Professor Jay anaelezea jinsi alivyoingia kwenye bifu na Jose Chameleon kutokana na wimbo Nikusaidiaje na pia namna wimbo huo kutumika kwenye filamu ya Disney, Queen of Katwe ulivyozua ugomvi na mtayarishaji wa wimbo huo P-Funk. Pia anaeleza alivyochukulia kushindwa ubunge jimbo la Mikumi kwenye uchaguzi wa 2020
#ChillnaSky

Пікірлер: 68

  • @ibrahimgabriel4828
    @ibrahimgabriel48283 жыл бұрын

    Endelea kuishi ili tuendelee kufaidi mziki unaoishi. Asante mungu kwa zawadi ya uhai wa huyu jamaa

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi73533 жыл бұрын

    Safi Sana Big ⭐ Bro Tunakuheshimu Sana 🇷🇼 Funga Buti tuvuke Boda kwa boda

  • @freddieelice6377
    @freddieelice63773 жыл бұрын

    Wakongwe hawa, historia zao za safari ya Maisha zinavutia sana, tuletee wote kila mwezi tujifunze kwao

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph97293 жыл бұрын

    P, jay wewe ndo msani ambaye anafata mungu sio wale wenye kusema ati mwenzake akimkosea itabaki vita mpaka siku ya mwisho asante sana p,jay wanadamu tuakosea inafa kusamehe pro jay uko 100% may god bless uUUU

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51313 жыл бұрын

    Hiyo ndio mwana music wa kweli yakati zetu ndio alikuwa akituburudisha thankS bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @halimama6314
    @halimama6314 Жыл бұрын

    Love to J❤😢❤🎉🎉 Happy to you J❤❤❤👍👍🇰🇪🇰🇪👌👌

  • @strong8534
    @strong85343 жыл бұрын

    Thank you so much bro Sky for hosting this Professor! Love SnS from Mozambique 🇲🇿

  • @salvatoreignazio1701
    @salvatoreignazio17013 жыл бұрын

    Jay king of hip hop in africa..nakukubali sana mwamba.wartching you from mombasa 001 kenya

  • @soipei3359
    @soipei33593 жыл бұрын

    Maneno ya professor Jay ni album tosha

  • @natureshirima3937
    @natureshirima39373 жыл бұрын

    Professor jay nakubali Sana nipo hapa masikan nasikiliza ngoma ya bongo dar salamu hapa legend on eyes open

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29833 жыл бұрын

    Sky hata tuki coment hautupagi like zako. Acha choyo bundala asee.

  • @mosesabwao2673
    @mosesabwao26734 ай бұрын

    professor Jay is a true story teller

  • @edwardyaa6956
    @edwardyaa69563 жыл бұрын

    Sky mwambie prof sio tu watanzia,wakenya tunamsaport sana

  • @AishaAisha-eb9hh

    @AishaAisha-eb9hh

    3 жыл бұрын

    Wewe... vile hawatupendi.... there's a clip mtanzania mmoja sijui ni nani kwa hiyo nchi but the hate he has for us Kenyans, ni Mungu tu.

  • @edwardyaa6956

    @edwardyaa6956

    3 жыл бұрын

    @@AishaAisha-eb9hh wanatupenda but most of em wana wivu wakiamini tuko smart kuwaliko

  • @peterdavid4230
    @peterdavid42303 жыл бұрын

    Professor Jay akili nyingi sana daah🙏

  • @victorchampion1513
    @victorchampion15133 жыл бұрын

    ninge shangaa kama prof.angekuwa na bifu na Diamond,,, but kwa kuwa ni LEGEND DR. JOSE MAYANJA FAMILY CHAMELEON,, hapo cna cha kukoment, hiy ni vita ya U.S.A na Russia

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын

    Busaraaa iko juu. Peace.

  • @pendaelilaizer2834
    @pendaelilaizer28343 жыл бұрын

    Nikweli huyo mwana namfatiliya sana sana akiwa mjengoni

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku69093 жыл бұрын

    Nakufata pro j moja na mtu nakubali mpaka kesho

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Mimi STAREHE na NIKUSAIDIEJE ni nyimbo ambazo zina ujumbe mkubwa tangu bongo fleva ianzishwe na zme imbwa na wasanii hao hao JAY na FEROOZ

  • @babusbabu3699

    @babusbabu3699

    3 жыл бұрын

    Hakuna msanii kama ww nyimbo zinaishii

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz3 жыл бұрын

    Kweli Pro Jay una busara

  • @ogindiii1465
    @ogindiii14653 жыл бұрын

    A living legend, 🇰🇪

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo60573 жыл бұрын

    Prof j ni brother wa hii game ya music

  • @nurukwilabya2790
    @nurukwilabya27903 жыл бұрын

    Daaaah mastory yanafurahisha sana

  • @qunjantv6105
    @qunjantv61053 жыл бұрын

    Mdondeshe platinumz apo akirudi tuh south Africa plz sky walker nijibu text yangu tafadhari

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman93443 жыл бұрын

    Mashallah hongera sana kweli My big bro up sana

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid26333 жыл бұрын

    Salute Professor J

  • @gitegagitega6543
    @gitegagitega65433 жыл бұрын

    Sky wewe ukojuu mawinguniii Prof. Namkubali kinoma huku🇧🇮 Kuna ngoma alifanya na BIG FIZZO & T MAX ninoma Yakitambo ukitaka muulize prof mwenyewe BIG FIZZO ulimpa interview na ulimuaidi vingi Ilasijaona interview nyingine Lakini peace kwako🇧🇮❤️🇹🇿🙏☝️✔️👊✔️

  • @kingbashar4293

    @kingbashar4293

    3 жыл бұрын

    😂 Una mtetea msanii sio?

  • @fakiibabalao4185
    @fakiibabalao41853 жыл бұрын

    Wakwanza like zngu

  • @theceefamily7764
    @theceefamily77643 жыл бұрын

    Hongera P'J na Mungu akubariki na kwenda mbali pamoja na Sns,nawapenda nyote🔥💪❤️🌞🙏🇰🇪.

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni42753 жыл бұрын

    Professor anapenda Amani.. Be blessed 🙏🙏🙏🙏

  • @alizuluman4739
    @alizuluman47393 жыл бұрын

    Wa mitulinga big up 👍

  • @erikimethod6246
    @erikimethod62463 жыл бұрын

    Jay ubarikiwe

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard48723 жыл бұрын

    Huwa na enjoy sana nikimsikiliza jay anapohojiwa! Noma sana

  • @papykatoziking2395
    @papykatoziking23953 жыл бұрын

    There's no any rapper like u prof jay on my side is in Africa

  • @JOHNJOHN-pu7wb

    @JOHNJOHN-pu7wb

    3 жыл бұрын

    Do you know me?

  • @papykatoziking2395

    @papykatoziking2395

    3 жыл бұрын

    @@JOHNJOHN-pu7wb no I don't know u brother Who are you

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Жыл бұрын

    A man of persona Jeezy!

  • @qualitydon7753
    @qualitydon77533 жыл бұрын

    Salute kwako sky 974

  • @nelsonmpolochacha5035
    @nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын

    Asante kwa Marino Adimu

  • @armstrongh07
    @armstrongh073 жыл бұрын

    Role model Profesa. 💖🎶🌸

  • @djumakwizera9505
    @djumakwizera95052 жыл бұрын

    Namkubali sana jay kwa busara zake

  • @hellenhartley4316
    @hellenhartley43163 жыл бұрын

    Siasa pesa imenoga......

  • @mahelamponda9246
    @mahelamponda92463 жыл бұрын

    Respect kwako broo

  • @KalamuYaGalana
    @KalamuYaGalana2 ай бұрын

    Hapa ni kabla ya 462

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz3 жыл бұрын

    Hahahaaa ila Jay kwa vituko jmn yani ni raha tu....

  • @sponsor7882
    @sponsor78823 жыл бұрын

    Sky ur The Best in TZ for those who understand.

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36833 жыл бұрын

    Conscious mc ever 🔥

  • @karisabaya9350
    @karisabaya93503 жыл бұрын

    Noma sana

  • @swalehejeilani8112
    @swalehejeilani81123 жыл бұрын

    Hua nafurah sana kusikia watu wazima wanapatana sasa tuleteeni hip hop yazamani sasa

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo71973 жыл бұрын

    Nice interview, Sky tuletee Nikki Mbishi !!

  • @JOHNJOHN-pu7wb

    @JOHNJOHN-pu7wb

    3 жыл бұрын

    Aje kuchana?

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz3 жыл бұрын

    Babu Jay 😅😅😅

  • @kelvinbadili2223
    @kelvinbadili22233 жыл бұрын

    Sky nikki mbishi zamu yake

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4763 жыл бұрын

    Maqn kaka

  • @mapitotv6837
    @mapitotv68373 жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @hassanbashir4621
    @hassanbashir46213 жыл бұрын

    big up xana

  • @snazzyfranz1874
    @snazzyfranz18743 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @papykatoziking2395
    @papykatoziking23953 жыл бұрын

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @saidausi9917
    @saidausi991711 ай бұрын

    Wadau Mimi ni Shabiki yake P, J nikiwa Kenya huyu Mwamba anaendeleaje kiafya nilipata kusikia anaumwa Je Amepona?

  • @theboyofficial7441
    @theboyofficial74413 жыл бұрын

    Mimi hata sijua jay anahangaika nama ubunge yakazi gani wakati mziki wenyewe unamtosha sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly3 жыл бұрын

    Hebu mpite na huku muone mapishi

  • @youngresearchkenyalimited3183
    @youngresearchkenyalimited31833 жыл бұрын

    Mzee wa mitulinga. East Africa mzima haamna rappa matata kama Prof J.

Келесі