Professor Jay afunguka bifu yake na Chameleone, ugomvi na P-Funk, kukosa ubunge na mengine (Part 2)
Professor Jay anaelezea jinsi alivyoingia kwenye bifu na Jose Chameleon kutokana na wimbo Nikusaidiaje na pia namna wimbo huo kutumika kwenye filamu ya Disney, Queen of Katwe ulivyozua ugomvi na mtayarishaji wa wimbo huo P-Funk. Pia anaeleza alivyochukulia kushindwa ubunge jimbo la Mikumi kwenye uchaguzi wa 2020
#ChillnaSky
Пікірлер: 68
Endelea kuishi ili tuendelee kufaidi mziki unaoishi. Asante mungu kwa zawadi ya uhai wa huyu jamaa
Safi Sana Big ⭐ Bro Tunakuheshimu Sana 🇷🇼 Funga Buti tuvuke Boda kwa boda
Wakongwe hawa, historia zao za safari ya Maisha zinavutia sana, tuletee wote kila mwezi tujifunze kwao
P, jay wewe ndo msani ambaye anafata mungu sio wale wenye kusema ati mwenzake akimkosea itabaki vita mpaka siku ya mwisho asante sana p,jay wanadamu tuakosea inafa kusamehe pro jay uko 100% may god bless uUUU
Hiyo ndio mwana music wa kweli yakati zetu ndio alikuwa akituburudisha thankS bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Love to J❤😢❤🎉🎉 Happy to you J❤❤❤👍👍🇰🇪🇰🇪👌👌
Thank you so much bro Sky for hosting this Professor! Love SnS from Mozambique 🇲🇿
Jay king of hip hop in africa..nakukubali sana mwamba.wartching you from mombasa 001 kenya
Maneno ya professor Jay ni album tosha
Professor jay nakubali Sana nipo hapa masikan nasikiliza ngoma ya bongo dar salamu hapa legend on eyes open
Sky hata tuki coment hautupagi like zako. Acha choyo bundala asee.
professor Jay is a true story teller
Sky mwambie prof sio tu watanzia,wakenya tunamsaport sana
@AishaAisha-eb9hh
3 жыл бұрын
Wewe... vile hawatupendi.... there's a clip mtanzania mmoja sijui ni nani kwa hiyo nchi but the hate he has for us Kenyans, ni Mungu tu.
@edwardyaa6956
3 жыл бұрын
@@AishaAisha-eb9hh wanatupenda but most of em wana wivu wakiamini tuko smart kuwaliko
Professor Jay akili nyingi sana daah🙏
ninge shangaa kama prof.angekuwa na bifu na Diamond,,, but kwa kuwa ni LEGEND DR. JOSE MAYANJA FAMILY CHAMELEON,, hapo cna cha kukoment, hiy ni vita ya U.S.A na Russia
Busaraaa iko juu. Peace.
Nikweli huyo mwana namfatiliya sana sana akiwa mjengoni
Nakufata pro j moja na mtu nakubali mpaka kesho
Mimi STAREHE na NIKUSAIDIEJE ni nyimbo ambazo zina ujumbe mkubwa tangu bongo fleva ianzishwe na zme imbwa na wasanii hao hao JAY na FEROOZ
@babusbabu3699
3 жыл бұрын
Hakuna msanii kama ww nyimbo zinaishii
Kweli Pro Jay una busara
A living legend, 🇰🇪
Prof j ni brother wa hii game ya music
Daaaah mastory yanafurahisha sana
Mdondeshe platinumz apo akirudi tuh south Africa plz sky walker nijibu text yangu tafadhari
Mashallah hongera sana kweli My big bro up sana
Salute Professor J
Sky wewe ukojuu mawinguniii Prof. Namkubali kinoma huku🇧🇮 Kuna ngoma alifanya na BIG FIZZO & T MAX ninoma Yakitambo ukitaka muulize prof mwenyewe BIG FIZZO ulimpa interview na ulimuaidi vingi Ilasijaona interview nyingine Lakini peace kwako🇧🇮❤️🇹🇿🙏☝️✔️👊✔️
@kingbashar4293
3 жыл бұрын
😂 Una mtetea msanii sio?
Wakwanza like zngu
Hongera P'J na Mungu akubariki na kwenda mbali pamoja na Sns,nawapenda nyote🔥💪❤️🌞🙏🇰🇪.
Professor anapenda Amani.. Be blessed 🙏🙏🙏🙏
Wa mitulinga big up 👍
Jay ubarikiwe
Huwa na enjoy sana nikimsikiliza jay anapohojiwa! Noma sana
There's no any rapper like u prof jay on my side is in Africa
@JOHNJOHN-pu7wb
3 жыл бұрын
Do you know me?
@papykatoziking2395
3 жыл бұрын
@@JOHNJOHN-pu7wb no I don't know u brother Who are you
A man of persona Jeezy!
Salute kwako sky 974
Asante kwa Marino Adimu
Role model Profesa. 💖🎶🌸
Namkubali sana jay kwa busara zake
Siasa pesa imenoga......
Respect kwako broo
Hapa ni kabla ya 462
Hahahaaa ila Jay kwa vituko jmn yani ni raha tu....
Sky ur The Best in TZ for those who understand.
Conscious mc ever 🔥
Noma sana
Hua nafurah sana kusikia watu wazima wanapatana sasa tuleteeni hip hop yazamani sasa
Nice interview, Sky tuletee Nikki Mbishi !!
@JOHNJOHN-pu7wb
3 жыл бұрын
Aje kuchana?
Babu Jay 😅😅😅
Sky nikki mbishi zamu yake
Maqn kaka
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
big up xana
🔥🔥🔥
🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Wadau Mimi ni Shabiki yake P, J nikiwa Kenya huyu Mwamba anaendeleaje kiafya nilipata kusikia anaumwa Je Amepona?
Mimi hata sijua jay anahangaika nama ubunge yakazi gani wakati mziki wenyewe unamtosha sana
Hebu mpite na huku muone mapishi
Mzee wa mitulinga. East Africa mzima haamna rappa matata kama Prof J.