P-Funk Majani: Ni kweli nilimtesa Kajala, siwezi kumtungia tena mwanamke wimbo (Chill na Sky Part 3)
Ойын-сауық
P-Funk Majani anasimulia jinsi ambavyo aliwahi kumtesa mpenzi wa zamani Kajala, anaelezea jinsi alivyomsaliti na rafiki yake na kumtungia wimbo I'm Sorry. Anasimulia kuhusu familia yake na jinsi ambavyo alishindwa kutumia muda mwingi na watoto wake wakubwa. Anaelezea pia jinsi ambavyo amebadilika sana ukilinganisha na jinsi alivyokuwa zamani.
Chill na Sky ni kipindi cha redio cha saa nzima ambacho huruka kila siku za Jumamosi kupitia www.dizzimonline.com. Kinaendeshwa na Fredrick Bundala aka Skywalker. Download app yetu Playstore na Appstore ili usipitwe na vipindi vyetu.
_________________________________________________
Tufollow kwenye mitandao ya kijamii:
Instagram: / dizzimonline
Twitter: / dizzimonline
Facebook: / dizzimonline
Пікірлер: 46
Pfunk tunaomba uturudishie mziki wetu wa zaman sasa pruducer fake, mc fake yan hakuna feeling kabisa km umeliona hili gonga like hapa..
Nimemuelewa majani anafanya kazi kubwa kuna watu wanaamchukulia poa kumbukeni kila mtu ana maono yake kwenye huu ulimwengu big up to majani long forever legend
ONE AND ONLY PRODUCER IN TZ EVER
Ningependa kama majani angetoa kitabu cha maisha yake huku akihusisha na historian au chanzo cha bongo fleva kwani yeye ndiye GODFATHER wa huu muziki wetu
@juniorkapayer2395
5 жыл бұрын
True that
@fhvbvgkvgc8073
3 жыл бұрын
Kabisa
P. Funky, umekomaa kwa kweli. Unaweza saidia wengi kwa ushauri.
Ukiwa na akili utamuelewa xn huyu jamaa namuelewaa xn huyu bro
Ndo produced number one tz
It's good to be close to God brother.. #ProudlyStaunchCatholic
p. funk nakukubali sanaaa aisee
I like the way he talks
@joesimba
5 жыл бұрын
Ushamzimikia ww
Huwa namkubal san majn wa bong rekod kuliko produza yeyote bongo kaza broo ww ndio king of bong flave wasanii bora wote wametok kwako
big brain
Mi nshawahi kusikiaga izo stories, alikua anapiga wasanii makwenzi, anatukana , anawafukuza studios, ila alivyojibu ilo swali nimemuelewa
Kheee eti ndo naangalia leo.🤣
@hadijabashil2680
3 жыл бұрын
Tuko wote ambao ndo tunaona mwka huu
@saladaniel9274
3 жыл бұрын
Na mm pia
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Tupo wengi🤣🤣🤣
@johnelias9179
3 жыл бұрын
Neema VP
Baba la baba
Bongolo🤣🤣🤣🤣
mtoto wako mkubwa mashallaha
Good nice
masikini ana try kutokutukana ila unasikia Wata f 😢 I knw ni ramadan pia 😂😂😂😂 mie naona ramadan isogezwe iwe miez 2 angalau tusaidie wenye zambi nyingi kama sisi
@maryamdounga2290
6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1 😂😂😂daah
@ramadhanibwitu4266
6 жыл бұрын
Kitone Kantasha1
Kweri sana
Anaonekana msitaarabu sana huyu kaka
Weee paula anafanana na babake jamani
p1
kweli tumeshakua watu wazima
Hizi ndo interview za kuangalia
Watching in 2023.
Majani kama mzungu jamani kaa!
@iamzillahx6901
5 жыл бұрын
Chotara huyo, Tz & Dutch
@marymasanyiwa5738
3 жыл бұрын
Babaake ni mzungu kabisa
@timothymikola2317
10 ай бұрын
Baba muolanzi mama tz. Njombe
Wapare
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
mzee unachana povu
@anethnyamwangi5667
3 жыл бұрын
Niko
maswali ya maana huulizi....sasa kwa nini ujamuuliza watoto hao mapacha wako wapi na kwa nini hawajulikani
@mkungamedia6090
7 жыл бұрын
Nassor Said unataka swali gani mfano
@ashaomary347
3 жыл бұрын
Sema tu p nilikuwa nashughulika tupo kuwa tu aishi mikocheni B du jamaa alikuwa mtata sana kweli alikuwa anamtesa kasema uwazi ila Sasa Kawa mtu Zima