P-Funk Majani: Ni kweli nilimtesa Kajala, siwezi kumtungia tena mwanamke wimbo (Chill na Sky Part 3)

Ойын-сауық

P-Funk Majani anasimulia jinsi ambavyo aliwahi kumtesa mpenzi wa zamani Kajala, anaelezea jinsi alivyomsaliti na rafiki yake na kumtungia wimbo I'm Sorry. Anasimulia kuhusu familia yake na jinsi ambavyo alishindwa kutumia muda mwingi na watoto wake wakubwa. Anaelezea pia jinsi ambavyo amebadilika sana ukilinganisha na jinsi alivyokuwa zamani.
Chill na Sky ni kipindi cha redio cha saa nzima ambacho huruka kila siku za Jumamosi kupitia www.dizzimonline.com. Kinaendeshwa na Fredrick Bundala aka Skywalker. Download app yetu Playstore na Appstore ili usipitwe na vipindi vyetu.
_________________________________________________
Tufollow kwenye mitandao ya kijamii:
Instagram: / dizzimonline
Twitter: / dizzimonline
Facebook: / dizzimonline

Пікірлер: 46

  • @mouraj1376
    @mouraj13764 жыл бұрын

    Pfunk tunaomba uturudishie mziki wetu wa zaman sasa pruducer fake, mc fake yan hakuna feeling kabisa km umeliona hili gonga like hapa..

  • @salminhustler962
    @salminhustler962 Жыл бұрын

    Nimemuelewa majani anafanya kazi kubwa kuna watu wanaamchukulia poa kumbukeni kila mtu ana maono yake kwenye huu ulimwengu big up to majani long forever legend

  • @barakamgina6630
    @barakamgina66303 жыл бұрын

    ONE AND ONLY PRODUCER IN TZ EVER

  • @daviekleva1856
    @daviekleva18567 жыл бұрын

    Ningependa kama majani angetoa kitabu cha maisha yake huku akihusisha na historian au chanzo cha bongo fleva kwani yeye ndiye GODFATHER wa huu muziki wetu

  • @juniorkapayer2395

    @juniorkapayer2395

    5 жыл бұрын

    True that

  • @fhvbvgkvgc8073

    @fhvbvgkvgc8073

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce8895 жыл бұрын

    P. Funky, umekomaa kwa kweli. Unaweza saidia wengi kwa ushauri.

  • @ambililasambo5783
    @ambililasambo57836 жыл бұрын

    Ukiwa na akili utamuelewa xn huyu jamaa namuelewaa xn huyu bro

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic33706 жыл бұрын

    Ndo produced number one tz

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile96063 жыл бұрын

    It's good to be close to God brother.. #ProudlyStaunchCatholic

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu77827 жыл бұрын

    p. funk nakukubali sanaaa aisee

  • @jackiemapenzyambwamedson3919
    @jackiemapenzyambwamedson39196 жыл бұрын

    I like the way he talks

  • @joesimba

    @joesimba

    5 жыл бұрын

    Ushamzimikia ww

  • @abedkirway8668
    @abedkirway86683 жыл бұрын

    Huwa namkubal san majn wa bong rekod kuliko produza yeyote bongo kaza broo ww ndio king of bong flave wasanii bora wote wametok kwako

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi10295 жыл бұрын

    big brain

  • @anithaphilip3526
    @anithaphilip35264 жыл бұрын

    Mi nshawahi kusikiaga izo stories, alikua anapiga wasanii makwenzi, anatukana , anawafukuza studios, ila alivyojibu ilo swali nimemuelewa

  • @neemanicholaus5468
    @neemanicholaus54683 жыл бұрын

    Kheee eti ndo naangalia leo.🤣

  • @hadijabashil2680

    @hadijabashil2680

    3 жыл бұрын

    Tuko wote ambao ndo tunaona mwka huu

  • @saladaniel9274

    @saladaniel9274

    3 жыл бұрын

    Na mm pia

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    3 жыл бұрын

    Tupo wengi🤣🤣🤣

  • @johnelias9179

    @johnelias9179

    3 жыл бұрын

    Neema VP

  • @michaeladd3445
    @michaeladd34455 жыл бұрын

    Baba la baba

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын

    Bongolo🤣🤣🤣🤣

  • @garoedod6272
    @garoedod62724 жыл бұрын

    mtoto wako mkubwa mashallaha

  • @Shozesholive
    @Shozesholive Жыл бұрын

    Good nice

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16877 жыл бұрын

    masikini ana try kutokutukana ila unasikia Wata f 😢 I knw ni ramadan pia 😂😂😂😂 mie naona ramadan isogezwe iwe miez 2 angalau tusaidie wenye zambi nyingi kama sisi

  • @maryamdounga2290

    @maryamdounga2290

    6 жыл бұрын

    Kitone Kantasha1 😂😂😂daah

  • @ramadhanibwitu4266

    @ramadhanibwitu4266

    6 жыл бұрын

    Kitone Kantasha1

  • @Shozesholive
    @Shozesholive Жыл бұрын

    Kweri sana

  • @sakinaathuman7125
    @sakinaathuman71253 жыл бұрын

    Anaonekana msitaarabu sana huyu kaka

  • @Hotensia
    @Hotensia10 ай бұрын

    Weee paula anafanana na babake jamani

  • @husseinc
    @husseinc7 жыл бұрын

    p1

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    kweli tumeshakua watu wazima

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu95893 жыл бұрын

    Hizi ndo interview za kuangalia

  • @kiatu
    @kiatu Жыл бұрын

    Watching in 2023.

  • @rodampazi8616
    @rodampazi86166 жыл бұрын

    Majani kama mzungu jamani kaa!

  • @iamzillahx6901

    @iamzillahx6901

    5 жыл бұрын

    Chotara huyo, Tz & Dutch

  • @marymasanyiwa5738

    @marymasanyiwa5738

    3 жыл бұрын

    Babaake ni mzungu kabisa

  • @timothymikola2317

    @timothymikola2317

    10 ай бұрын

    Baba muolanzi mama tz. Njombe

  • @hellenmvungi8294
    @hellenmvungi82942 жыл бұрын

    Wapare

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    mzee unachana povu

  • @anethnyamwangi5667

    @anethnyamwangi5667

    3 жыл бұрын

    Niko

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23317 жыл бұрын

    maswali ya maana huulizi....sasa kwa nini ujamuuliza watoto hao mapacha wako wapi na kwa nini hawajulikani

  • @mkungamedia6090

    @mkungamedia6090

    7 жыл бұрын

    Nassor Said unataka swali gani mfano

  • @ashaomary347

    @ashaomary347

    3 жыл бұрын

    Sema tu p nilikuwa nashughulika tupo kuwa tu aishi mikocheni B du jamaa alikuwa mtata sana kweli alikuwa anamtesa kasema uwazi ila Sasa Kawa mtu Zima

Келесі