Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 2|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
NYOTA YAKO
Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 134
Naangalia almost interview zote za T.i.d he's true definition of entertainer
Uyu mjamaa wajukuu zake wataenjoy sana 💞
My best interview for 2022!! I enjoy watching TID interviews 🤣🤣🤣🔥🔥🔥🥰🥰🥰
@epiphaniaallute2726
2 жыл бұрын
Asante Salama umefanya mwaka kuanza vizuri kwa interview hii ya TID nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗
Interview za TID uwa hazichoshi kuzisikiliza, utani mwingi, vichekesho, mafunzo na story za hapa na pale! uwa naenjoy kichizi........big up TOP IN DAR
True TID was a big thing in Kenya early 2000s .. we really danced and sang his songs in da clubs saana.. we still have him on playlists wana wa kizazi icho…. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸👏👏👏
@saumabdallah6739
2 жыл бұрын
Nice San salama na TID 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
T I D ni moja ya watu wanaohitaji watu wenye akiri kubwa zaidi ili kuwaelewesha wengine na Imekuwa hivo Huwezi amini huyu mtu kama ana madini but Salama did it and tumepokea
TID IS BLESSED ....I CAN classsfy THS ONE OF TH BEST of th best FROM YAH STONE TOWN🔥🔥🔥🔥🔥
Yuko so funny huyu jamaa na ana akil ming sana
This dude is meant to be a hero and special.
I'm adding this in one of my best interviews
Ha ha ha ha ha ha hii nadhani itakua ni show kali kuliko zote 2022 sidhani km kuna itakayoizidi hii nimenjoy sana
Salama your so matured. Keep it up....
I love this entire interview… ♥️
Salama nimependa hapo mwisho ulipomalizia, it is a good advice
You brought ngwea.. You stay blessed guys
Mmenimalizia Bando, Nimerudisha Nyuma Kama Mara 50 Hivi, 👉😁👈
Love u so murch salama, kwa maswali mazuri sana. I hope tumejifunza mengi.🙏
Tid is a natural entertainer.
Salama tuletee saigon
😂😂😂😂Kama umeskia kummake ya salama like hapa
Maskini salama nampenda sana ningeona raha angekuwa ndugu yangu wa hiyari😘
Aisee TID ni zaid ya comedian
Nimesikia salama akisema kmmke................!!!!nani mwingine kasikia???????
Salama ur too genius,kuna swali umeiuliza hapo kwamba TID angependa kuzaliwa generation ipi
Daah Great Interview Great Bond, Show Ya Kijanja Sana, Entertainment While Educating, This Was Great, The Two Talented Dah Am Short Of Words, Ni Yeeiyeee! Watoto Wadogo!
tid big up sana..salama muite na mheshimiwa TEMBA
TID is a full vibe man. Nilienjoy show.
Top ni hatariii mungu akuweke sana we jamaa tuna enjoy maisha yako coz sijajutia bando langu
I loved the interview
Nimecheka sana na hii interview.. Tid is so so funny
11:11 I felt 💔💔🥺soo sad, you are a true legend.🇰🇪 we love you always ❤ 💖
Salama_ na Tid mmetisha Sana!
Yah Best interview ever for 2022...
Nime enjoy sana hii show
We ❤ you salama, it good 👍 program, interview 👏
Nyota yako was dangerous 🔥🔥🔥
The first to comment...wooow
My favorite artist Top in Dar
Tid na salama wapo very smart up stairs....bonge is interview 🤛
I real enjoy everything from you TID mnyama
Alot i have got from you TID 😊😊 Like the death of albat mangwes is still in contraductional situation 😡😡😡
Tid mnyama! Huboi kwenye interview! Nimecheka Sana!
Tid de man along side Salama we love you all
Pengine na stress zangu nakula sana panadol 😂
Nakuelewa TID maana upo real... keep it up!
love this ...... ni yeye
Salama siku moja umuhoji jesca tumuone sura
Big up sana guys....💪
To be honest I like you music brother,like the song wewe na jd understanding ooooooh ni hatari sana ule wimbo
Oooh my God!!!!!!! Huyo jamaa mkali saaaaana
😂😂😂😂mchongo wa taikondo nimekubali 🙌🏾
Nimechoka Sana😂🤣😂💕❤️Nice Bringing Him Yuko poa sana 🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾
this guy ni another level
Still Top In Dar.. Best Artist/Entertainer. Keep Shinning brother
I like it chin up my sisi.
Best interview in 2022
TID deserves more work.
Tid mzee wa kupenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wananiuuuaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni yeye,,,mnyama 🔥🔥🔥🔥
tid hakutakiwa kuwa bongo angetakiwa kuwa mbeleeeee 😂👌🏿👌 he is really
Ahahaha nimecheka sanaaa TID ni comedian 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nzuri sanaaa
Nimecheka sana leo
Dah TID siku moja kinondoni itaujuwa umuhimu wako,hukupaswa kabisa kuzaliwa stereo watu wanakuchukulia powa ila wee ni bonge la madini unaakili nyingi sana,watoto wadooogooooo.
I appreciate him
Top indar 😅🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣maniner kiboko watoto wadogooooo
Ni yeye mnyama.. interview so supa
i love jessica❤️
Napenda interview zake huyu jamaa kichizi
SALAMA na Kubari kazi zako
Daaah nimecheka saana😂😂😂😂😂😂
Real Guy. A lot of potential lost. TID. Maskini anajua ila kaaachwa Pekeyake
Hiiiiii kali hivi sasa iyo ya chid benz je nayo itatisha sana hebu mchekini benz bax
Mahojiano mazuri mno, Tid ni kichwa sana
Tid mnyama
TID is so real.....
Taikondoo ukafumaniwaa
My brother is taking... watoto wadogo...😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
L O L♥️
Oooh my God nachekaaaa🤣🤣🤣🤣🤣 T.I.D katisha
😅😅😅😅😅😅😅 TID You're Amazing
Umeongea kwa hisia sana hii inshu ya drugs hadi nimeumia
TID utunduu mwingiii sanaaaa
Namsubiri Chid Mabenz...😂😂😂
❤️❤️❤️
Hahaha nataman umuite Tena bwana😆😆😆😆😆😆😆😆😆nimecheka sana Kama ninja😆
😂😂😂♥️♥️♥️Love it
Leo Nimecheka eti kaingia na mlango, *TID* wewe kichaa 😂😂😂😂😀😀😀😀
Bro anaupiga mwingi sana!
TID ni mcheshi sana
huu R.I.P NGWAIR
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 this is awesome
Jabir nimependa kumpata huyu mtu, najua kingereza kitakuwa kingi sana😂😂😂😂
Ila T.I.D 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂nimecheka mpak nimepaliwa
Mwehe = Airplane ✈️
TID kwa lugha ni mzima sana uko saw jombaaaaa
madongo ndio njia ya kutokea, me niko nje kwajir hiyo mana yalinipa hasira😅😅
Rest In Peace Cow Wizzy