Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 2|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
NYOTA YAKO
Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 134

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo16402 жыл бұрын

    Naangalia almost interview zote za T.i.d he's true definition of entertainer

  • @eyshermohammed2236
    @eyshermohammed22362 жыл бұрын

    Uyu mjamaa wajukuu zake wataenjoy sana 💞

  • @salomembasha7100
    @salomembasha71002 жыл бұрын

    My best interview for 2022!! I enjoy watching TID interviews 🤣🤣🤣🔥🔥🔥🥰🥰🥰

  • @epiphaniaallute2726

    @epiphaniaallute2726

    2 жыл бұрын

    Asante Salama umefanya mwaka kuanza vizuri kwa interview hii ya TID nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗

  • @elizabetherenesti309
    @elizabetherenesti3092 жыл бұрын

    Interview za TID uwa hazichoshi kuzisikiliza, utani mwingi, vichekesho, mafunzo na story za hapa na pale! uwa naenjoy kichizi........big up TOP IN DAR

  • @Kobe_254
    @Kobe_2542 жыл бұрын

    True TID was a big thing in Kenya early 2000s .. we really danced and sang his songs in da clubs saana.. we still have him on playlists wana wa kizazi icho…. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸👏👏👏

  • @saumabdallah6739

    @saumabdallah6739

    2 жыл бұрын

    Nice San salama na TID 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MRiki03
    @MRiki032 жыл бұрын

    T I D ni moja ya watu wanaohitaji watu wenye akiri kubwa zaidi ili kuwaelewesha wengine na Imekuwa hivo Huwezi amini huyu mtu kama ana madini but Salama did it and tumepokea

  • @flyingpharmacyapp2191
    @flyingpharmacyapp21912 жыл бұрын

    TID IS BLESSED ....I CAN classsfy THS ONE OF TH BEST of th best FROM YAH STONE TOWN🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mfaummesaid4562
    @mfaummesaid45622 жыл бұрын

    Yuko so funny huyu jamaa na ana akil ming sana

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI.2 жыл бұрын

    This dude is meant to be a hero and special.

  • @abuuswahili
    @abuuswahili2 жыл бұрын

    I'm adding this in one of my best interviews

  • @kukunimali9293
    @kukunimali92932 жыл бұрын

    Ha ha ha ha ha ha hii nadhani itakua ni show kali kuliko zote 2022 sidhani km kuna itakayoizidi hii nimenjoy sana

  • @Eddiedillip
    @Eddiedillip2 жыл бұрын

    Salama your so matured. Keep it up....

  • @almah4luv
    @almah4luv2 жыл бұрын

    I love this entire interview… ♥️

  • @Eddo-es7zs
    @Eddo-es7zs2 жыл бұрын

    Salama nimependa hapo mwisho ulipomalizia, it is a good advice

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Жыл бұрын

    You brought ngwea.. You stay blessed guys

  • @businesstanzania
    @businesstanzania2 жыл бұрын

    Mmenimalizia Bando, Nimerudisha Nyuma Kama Mara 50 Hivi, 👉😁👈

  • @jeremiahbrazio2278
    @jeremiahbrazio22782 жыл бұрын

    Love u so murch salama, kwa maswali mazuri sana. I hope tumejifunza mengi.🙏

  • @bonifacembogo5675
    @bonifacembogo56752 жыл бұрын

    Tid is a natural entertainer.

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir92492 жыл бұрын

    Salama tuletee saigon

  • @sunbitekingtv809
    @sunbitekingtv8092 жыл бұрын

    😂😂😂😂Kama umeskia kummake ya salama like hapa

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын

    Maskini salama nampenda sana ningeona raha angekuwa ndugu yangu wa hiyari😘

  • @ernestmmeta8251
    @ernestmmeta82512 жыл бұрын

    Aisee TID ni zaid ya comedian

  • @shabanamiry1981
    @shabanamiry19812 жыл бұрын

    Nimesikia salama akisema kmmke................!!!!nani mwingine kasikia???????

  • @ephraimgilbert190
    @ephraimgilbert1902 жыл бұрын

    Salama ur too genius,kuna swali umeiuliza hapo kwamba TID angependa kuzaliwa generation ipi

  • @c75923
    @c759232 жыл бұрын

    Daah Great Interview Great Bond, Show Ya Kijanja Sana, Entertainment While Educating, This Was Great, The Two Talented Dah Am Short Of Words, Ni Yeeiyeee! Watoto Wadogo!

  • @fredgonga
    @fredgonga2 жыл бұрын

    tid big up sana..salama muite na mheshimiwa TEMBA

  • @erickkimathi5877
    @erickkimathi5877 Жыл бұрын

    TID is a full vibe man. Nilienjoy show.

  • @salummussa9880
    @salummussa98802 жыл бұрын

    Top ni hatariii mungu akuweke sana we jamaa tuna enjoy maisha yako coz sijajutia bando langu

  • @jaffarynkanda9786
    @jaffarynkanda97862 жыл бұрын

    I loved the interview

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Жыл бұрын

    Nimecheka sana na hii interview.. Tid is so so funny

  • @Remmy_Remmah
    @Remmy_Remmah2 жыл бұрын

    11:11 I felt 💔💔🥺soo sad, you are a true legend.🇰🇪 we love you always ❤ 💖

  • @lisulilelisulile763
    @lisulilelisulile7632 жыл бұрын

    Salama_ na Tid mmetisha Sana!

  • @moricemizambwa8125
    @moricemizambwa81252 жыл бұрын

    Yah Best interview ever for 2022...

  • @bushiryulaya1843
    @bushiryulaya1843 Жыл бұрын

    Nime enjoy sana hii show

  • @advocateishengoma1088
    @advocateishengoma10882 жыл бұрын

    We ❤ you salama, it good 👍 program, interview 👏

  • @inocentlema5574
    @inocentlema55742 жыл бұрын

    Nyota yako was dangerous 🔥🔥🔥

  • @dr.hermankessy
    @dr.hermankessy2 жыл бұрын

    The first to comment...wooow

  • @user-db7dw4ml8p
    @user-db7dw4ml8p Жыл бұрын

    My favorite artist Top in Dar

  • @denismalcom4219
    @denismalcom42192 жыл бұрын

    Tid na salama wapo very smart up stairs....bonge is interview 🤛

  • @Moochalah
    @Moochalah2 жыл бұрын

    I real enjoy everything from you TID mnyama

  • @elbarrey3305
    @elbarrey33052 жыл бұрын

    Alot i have got from you TID 😊😊 Like the death of albat mangwes is still in contraductional situation 😡😡😡

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard48722 жыл бұрын

    Tid mnyama! Huboi kwenye interview! Nimecheka Sana!

  • @manaldoowusu1598
    @manaldoowusu15982 жыл бұрын

    Tid de man along side Salama we love you all

  • @bjzee1981
    @bjzee19812 жыл бұрын

    Pengine na stress zangu nakula sana panadol 😂

  • @maryshirima1234
    @maryshirima12342 жыл бұрын

    Nakuelewa TID maana upo real... keep it up!

  • @happyhance5522
    @happyhance55222 жыл бұрын

    love this ...... ni yeye

  • @ohadyanderson4851
    @ohadyanderson48512 жыл бұрын

    Salama siku moja umuhoji jesca tumuone sura

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca2 жыл бұрын

    Big up sana guys....💪

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga81012 жыл бұрын

    To be honest I like you music brother,like the song wewe na jd understanding ooooooh ni hatari sana ule wimbo

  • @FikiriChuma
    @FikiriChuma2 ай бұрын

    Oooh my God!!!!!!! Huyo jamaa mkali saaaaana

  • @geeva99
    @geeva992 жыл бұрын

    😂😂😂😂mchongo wa taikondo nimekubali 🙌🏾

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao2 жыл бұрын

    Nimechoka Sana😂🤣😂💕❤️Nice Bringing Him Yuko poa sana 🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾

  • @mwl.mussashekinyashi2088
    @mwl.mussashekinyashi20882 ай бұрын

    this guy ni another level

  • @arnoldmbuya1579
    @arnoldmbuya1579 Жыл бұрын

    Still Top In Dar.. Best Artist/Entertainer. Keep Shinning brother

  • @butoyiamidou3022
    @butoyiamidou30222 жыл бұрын

    I like it chin up my sisi.

  • @nasri.27jr25
    @nasri.27jr252 жыл бұрын

    Best interview in 2022

  • @user-di1yp4vf6t
    @user-di1yp4vf6t2 жыл бұрын

    TID deserves more work.

  • @davidelijahlaiser4064
    @davidelijahlaiser40642 жыл бұрын

    Tid mzee wa kupenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wananiuuuaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shardalove1159
    @shardalove11592 жыл бұрын

    Ni yeye,,,mnyama 🔥🔥🔥🔥

  • @allydamas3832
    @allydamas38322 жыл бұрын

    tid hakutakiwa kuwa bongo angetakiwa kuwa mbeleeeee 😂👌🏿👌 he is really

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong60862 жыл бұрын

    Ahahaha nimecheka sanaaa TID ni comedian 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonifacewiliam4695
    @bonifacewiliam46952 жыл бұрын

    Nzuri sanaaa

  • @gladnesskimati
    @gladnesskimati2 жыл бұрын

    Nimecheka sana leo

  • @salaita2829
    @salaita2829 Жыл бұрын

    Dah TID siku moja kinondoni itaujuwa umuhimu wako,hukupaswa kabisa kuzaliwa stereo watu wanakuchukulia powa ila wee ni bonge la madini unaakili nyingi sana,watoto wadooogooooo.

  • @dr.hermankessy
    @dr.hermankessy2 жыл бұрын

    I appreciate him

  • @annamichael1433
    @annamichael14332 жыл бұрын

    Top indar 😅🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣maniner kiboko watoto wadogooooo

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad46822 жыл бұрын

    Ni yeye mnyama.. interview so supa

  • @nassprincetz
    @nassprincetz2 жыл бұрын

    i love jessica❤️

  • @issambwana4802
    @issambwana48022 жыл бұрын

    Napenda interview zake huyu jamaa kichizi

  • @osmanmtambo9918
    @osmanmtambo99182 жыл бұрын

    SALAMA na Kubari kazi zako

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky2 жыл бұрын

    Daaah nimecheka saana😂😂😂😂😂😂

  • @user-di1yp4vf6t
    @user-di1yp4vf6t2 жыл бұрын

    Real Guy. A lot of potential lost. TID. Maskini anajua ila kaaachwa Pekeyake

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo57712 жыл бұрын

    Hiiiiii kali hivi sasa iyo ya chid benz je nayo itatisha sana hebu mchekini benz bax

  • @mpajimungu5707
    @mpajimungu57073 ай бұрын

    Mahojiano mazuri mno, Tid ni kichwa sana

  • @alsonsemoka5019
    @alsonsemoka50192 жыл бұрын

    Tid mnyama

  • @zeyamar1655
    @zeyamar1655 Жыл бұрын

    TID is so real.....

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 Жыл бұрын

    Taikondoo ukafumaniwaa

  • @mrmelody255
    @mrmelody2552 жыл бұрын

    My brother is taking... watoto wadogo...😂😂😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @joharikasanda4476
    @joharikasanda44762 жыл бұрын

    L O L♥️

  • @antidabanyikwa3259
    @antidabanyikwa3259 Жыл бұрын

    Oooh my God nachekaaaa🤣🤣🤣🤣🤣 T.I.D katisha

  • @lisaseck.5974
    @lisaseck.597428 күн бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅 TID You're Amazing

  • @jumaamanghi8764
    @jumaamanghi87642 жыл бұрын

    Umeongea kwa hisia sana hii inshu ya drugs hadi nimeumia

  • @christianshayo1797
    @christianshayo1797 Жыл бұрын

    TID utunduu mwingiii sanaaaa

  • @maryshirima1234
    @maryshirima12342 жыл бұрын

    Namsubiri Chid Mabenz...😂😂😂

  • @nourvuitton2325
    @nourvuitton23252 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️

  • @salmashahbal2424
    @salmashahbal24242 жыл бұрын

    Hahaha nataman umuite Tena bwana😆😆😆😆😆😆😆😆😆nimecheka sana Kama ninja😆

  • @nicki1885
    @nicki18852 жыл бұрын

    😂😂😂♥️♥️♥️Love it

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Leo Nimecheka eti kaingia na mlango, *TID* wewe kichaa 😂😂😂😂😀😀😀😀

  • @0fficialsoni
    @0fficialsoni2 жыл бұрын

    Bro anaupiga mwingi sana!

  • @mustafachaurembo9169
    @mustafachaurembo91692 жыл бұрын

    TID ni mcheshi sana

  • @nassprincetz
    @nassprincetz2 жыл бұрын

    huu R.I.P NGWAIR

  • @iconskytz
    @iconskytz2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 this is awesome

  • @michaelsikapundwa4955
    @michaelsikapundwa49558 ай бұрын

    Jabir nimependa kumpata huyu mtu, najua kingereza kitakuwa kingi sana😂😂😂😂

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Жыл бұрын

    Ila T.I.D 😂😂😂😂😂😂😂

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku98022 жыл бұрын

    😂😂😂nimecheka mpak nimepaliwa

  • @mangetz2835
    @mangetz28352 жыл бұрын

    Mwehe = Airplane ✈️

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    TID kwa lugha ni mzima sana uko saw jombaaaaa

  • @michaelsikapundwa4955
    @michaelsikapundwa49558 ай бұрын

    madongo ndio njia ya kutokea, me niko nje kwajir hiyo mana yalinipa hasira😅😅

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana61482 жыл бұрын

    Rest In Peace Cow Wizzy

Келесі