THE CLASSIC JOSLIN PT 1:MAANA YA WIMBO PERFUME/NILIWABADILI WAGUMU KUA MABISHOO/WALINIKATAA/WAKAIGA
Joslin ni moja ya wasanii wakali sana wenye uwezo wa kurap na kuimba .ambao ni wachache sana katikanistoria ya Bongofleva,Album yake ya kwanza inayofahamika kwa jina la PERFUME ilikua ni classic ,ikiwa na m,ikwaju asilimia 90 ilitawala nanga za BongoFleva na Rap,hapa akipiga stories na Jabir Kuvichaka kuhusu mradi wake huo ambao kimsingi ulikua na madini mengi sana usioyafahamu
Пікірлер: 42
Nakumbuka unju bin unuq alituambia kilingeni 2013 kuwa joslin ni hiphop sana more than tunavyofikiri
I wonder why this interview has not got many viewers coz it's very wonderful creativity interview
Dj nakukubali sana maana kumtaja salehe jabiri ya ww kwwli music industry inaijua indeeb sana
Kuna shuhuli moja alimfanyia Byser kwenye dhahabu ya dully🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@marafikistation
11 ай бұрын
Afu mule aliandika jamaa huyo
@jrxavihernandez7319
11 ай бұрын
@@marafikistation Aiseee🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@binsururu
4 ай бұрын
😂😂😂😂
Napenda Sana Ngoma flan iv inaitwa Jose+Jose yupo na Jose mtambo
Mzikiwake unateka fikra kwajamii
Heshima kwako Joslin, mmefanyamengi sana kwenye muziki huu
Ametaja His 2nd album 'UMEWEZAJE' alafu wimbo ambao umebeba jina la album Umewezaje alifanya na lady j. dee....Boooonge moja la Ngoma aisee🔥🔥🔥🙌🏾
@joshuamakota6714
11 ай бұрын
Beat ya makochali kali sana nnayo kwenye simu
@luktz853
11 ай бұрын
Nkweli kabisa asee ni bonge langoma
@machiluelisha393
8 ай бұрын
Ilikuwa ni nyimba hatari kabisaa
Kaka big up kwa interview nzuri.... But back group music inasumbua please next time usiweke please inakuwa km makelele
Rasta flaan hivi unaeza mwona bishoow Hana mbambamba mingi babuuu
Mr nite basi joslin
Slang punch
Joslin mchala
One love 🇹🇿💯
Joh rudi
Kibonge tozi.. My brother unaua sana❤❤
Jo's Jo's joslin
Ile intro ni balaa sana
Perfume (Ka harufu ka Bangi) mwamba alisifia sana mmea
Machiz wanasema m nariingaa daily street
👋👋👋 cool san
🔥🔥
Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏 #2pacWithoutNoiseRing
True legend
Joslin ulimzingua nini dj Steve b dj skillz
Perfume Best song of our generation
Articulation ya Joslin ni perfect
Igonge tusikie
JoseLiin 🔥🔥🔥
Ni vita vya kiroho||hivi sasa ni soo||nitafanyajw
Hiyo ngoma ya kwanza ya Joslin KUINGIA STUDIO naikumbuka sana inaitwa ningejua ni nyimbo ya joint mobb .corous inasema. NINGEJUA YA KWAMBAAA NIA YAKO KUNIUA NISINGEEE FANYA MAOVU, SASA YAMENIPATAA! NABAKI NINGEJUAA NINGEJUAAAA......! DULLY ALIFANYA COROUS ,Baadhi ya mistari ya Joslin inasema "machizi wakasema kweli inatishaa"
J unaongea kwa mapozi
Nliendaga kumuona kwenye show asee kigambon navy zaman sana 2006
Madawa! Madawa! Madawa!
You don't use it man!
Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏 #2pacWithoutNoiseRing