THE CLASSIC JOSLIN PT 1:MAANA YA WIMBO PERFUME/NILIWABADILI WAGUMU KUA MABISHOO/WALINIKATAA/WAKAIGA

Joslin ni moja ya wasanii wakali sana wenye uwezo wa kurap na kuimba .ambao ni wachache sana katikanistoria ya Bongofleva,Album yake ya kwanza inayofahamika kwa jina la PERFUME ilikua ni classic ,ikiwa na m,ikwaju asilimia 90 ilitawala nanga za BongoFleva na Rap,hapa akipiga stories na Jabir Kuvichaka kuhusu mradi wake huo ambao kimsingi ulikua na madini mengi sana usioyafahamu

Пікірлер: 42

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo729111 ай бұрын

    Nakumbuka unju bin unuq alituambia kilingeni 2013 kuwa joslin ni hiphop sana more than tunavyofikiri

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk179711 ай бұрын

    I wonder why this interview has not got many viewers coz it's very wonderful creativity interview

  • @alihaji5088
    @alihaji508814 күн бұрын

    Dj nakukubali sana maana kumtaja salehe jabiri ya ww kwwli music industry inaijua indeeb sana

  • @jrxavihernandez7319
    @jrxavihernandez731911 ай бұрын

    Kuna shuhuli moja alimfanyia Byser kwenye dhahabu ya dully🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @marafikistation

    @marafikistation

    11 ай бұрын

    Afu mule aliandika jamaa huyo

  • @jrxavihernandez7319

    @jrxavihernandez7319

    11 ай бұрын

    @@marafikistation Aiseee🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @binsururu

    @binsururu

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @jimmyx8412
    @jimmyx841211 ай бұрын

    Napenda Sana Ngoma flan iv inaitwa Jose+Jose yupo na Jose mtambo

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc915611 ай бұрын

    Mzikiwake unateka fikra kwajamii

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa485411 ай бұрын

    Heshima kwako Joslin, mmefanyamengi sana kwenye muziki huu

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh11 ай бұрын

    Ametaja His 2nd album 'UMEWEZAJE' alafu wimbo ambao umebeba jina la album Umewezaje alifanya na lady j. dee....Boooonge moja la Ngoma aisee🔥🔥🔥🙌🏾

  • @joshuamakota6714

    @joshuamakota6714

    11 ай бұрын

    Beat ya makochali kali sana nnayo kwenye simu

  • @luktz853

    @luktz853

    11 ай бұрын

    Nkweli kabisa asee ni bonge langoma

  • @machiluelisha393

    @machiluelisha393

    8 ай бұрын

    Ilikuwa ni nyimba hatari kabisaa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky11 ай бұрын

    Kaka big up kwa interview nzuri.... But back group music inasumbua please next time usiweke please inakuwa km makelele

  • @bainolatino3412
    @bainolatino341211 ай бұрын

    Rasta flaan hivi unaeza mwona bishoow Hana mbambamba mingi babuuu

  • @salumjumah5648
    @salumjumah564811 ай бұрын

    Mr nite basi joslin

  • @paschalliving657
    @paschalliving65711 ай бұрын

    Slang punch

  • @user-hi4tf5bf8v
    @user-hi4tf5bf8v11 ай бұрын

    Joslin mchala

  • @johnchakupewadc4679
    @johnchakupewadc467911 ай бұрын

    One love 🇹🇿💯

  • @khatibumtaki7425
    @khatibumtaki742511 ай бұрын

    Joh rudi

  • @husseinbigga8021
    @husseinbigga802111 ай бұрын

    Kibonge tozi.. My brother unaua sana❤❤

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan513311 ай бұрын

    Jo's Jo's joslin

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga48057 ай бұрын

    Ile intro ni balaa sana

  • @kagirasta1476
    @kagirasta147611 ай бұрын

    Perfume (Ka harufu ka Bangi) mwamba alisifia sana mmea

  • @mahamudhashim746
    @mahamudhashim74611 ай бұрын

    Machiz wanasema m nariingaa daily street

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga698611 ай бұрын

    👋👋👋 cool san

  • @tahataly2413
    @tahataly241311 ай бұрын

    🔥🔥

  • @abdibuddy7583
    @abdibuddy75837 ай бұрын

    Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏 #2pacWithoutNoiseRing

  • @kelvinrichard2759
    @kelvinrichard275910 ай бұрын

    True legend

  • @bainolatino3412
    @bainolatino341211 ай бұрын

    Joslin ulimzingua nini dj Steve b dj skillz

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe74919 ай бұрын

    Perfume Best song of our generation

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye30107 ай бұрын

    Articulation ya Joslin ni perfect

  • @nassirfundy1997
    @nassirfundy199711 ай бұрын

    Igonge tusikie

  • @Loismo
    @Loismo10 ай бұрын

    JoseLiin 🔥🔥🔥

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye30107 ай бұрын

    Ni vita vya kiroho||hivi sasa ni soo||nitafanyajw

  • @user-th7ds6rx9i
    @user-th7ds6rx9i11 ай бұрын

    Hiyo ngoma ya kwanza ya Joslin KUINGIA STUDIO naikumbuka sana inaitwa ningejua ni nyimbo ya joint mobb .corous inasema. NINGEJUA YA KWAMBAAA NIA YAKO KUNIUA NISINGEEE FANYA MAOVU, SASA YAMENIPATAA! NABAKI NINGEJUAA NINGEJUAAAA......! DULLY ALIFANYA COROUS ,Baadhi ya mistari ya Joslin inasema "machizi wakasema kweli inatishaa"

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq6 ай бұрын

    J unaongea kwa mapozi

  • @benbranco3688
    @benbranco368811 ай бұрын

    Nliendaga kumuona kwenye show asee kigambon navy zaman sana 2006

  • @bennylove6021
    @bennylove60217 ай бұрын

    Madawa! Madawa! Madawa!

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani696411 ай бұрын

    You don't use it man!

  • @abdibuddy7583
    @abdibuddy75837 ай бұрын

    Hii ilinipita. Nimeifata humu 🙏 #2pacWithoutNoiseRing

Келесі