THE CLASSIC DAZ NUNDAZ: HISTORIA YA DAZ NUNDAZ/KUTOSWA NA MAJANI NA KURUDI/MAJI YA SHINGO/WA KWANZA
Moja ya makundi bora ya muda wote ya Bongofleva Daz Nundaz walifika kwenye The Classic na kutupa hadithi za kusisimua za maisha na muziki wao,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu.
Пікірлер: 39
Kuvi mwanetu uko deep sana kwenye hip hop &rap! .. hawa wanetu wa DAZ wamenikumbusha mbali sana, enzi ya kuchill posta mshatoka Tanganyika Library mida flani ya jioni mnaskilizia sketi za Jite na Forodhani! Pale konda kupigwa mitama ilikua kawaida tu enzi za ma dcm bado zamoto sana
Muziki Tanzania Mwisho 2003 sasa ni Top shelf
Kazi safi bro, naomba ukiwa unakumbushia mtu akitajwa mfano daz effects unaweka picha yao hapo, kama style ya mavaz ya akina ferouz za kitambo unaweka una compare ili iwe more vivid...
Hakika wasanii wa zaman walikuwa kwel kioo cha jamii japo kwa sasa wachache bado wanawakilisha but all in all big up u did very good music at your prime
@msakadoobongeladada-uh3sk
11 сағат бұрын
@@Sebastianrichard253 yaani ni WA Moto Hadi sasa ttzo ni wadau wa music Kwa sasa hatuskiliz good music Bali kelele na kuzipa big promo ndio tunawapoteza wenye mziki mzuri km daz nundaz, wagosi wa Kaya, mandojo na domo Kaya, kuna sugu n.k hata video za sasa haziendani na maudhui ya mashairi Yao kabisa
Kipindi pendwa sana ....Big presenter Jabir
La Rhumba noma sana. Na anasound kama sugu enzi hizo nilijua ni sugu kwenye nipe tano
@msakadoobongeladada-uh3sk
4 күн бұрын
exactly
@Qqambaa
3 күн бұрын
Ata nmeshtuka
Alianza verse ferooz
Wakwanzaaaaaa❤
La rhumba alikuwa mkali sana
Much respect #kuvifacts
Respect sana manundaz...respect daz mwalimu...alikuwa school mate wangu jitegemee (jite-wutang). Respect kwa nyundo zao zote hakuna unayoweza kui undermine, ila kwa Leo naomba watu wautambue wimbo wao unaitwa "shuka rymes" ni balaa kuliko kawaida...naamini watu wengi sna hawajawahi kuusikia. Much respect!
@user-zv7ef5ke1e
4 күн бұрын
Daah Ile kopo ndo funika bovu kuliko nyimbo yyt aisee goma linaamsha sanaaa
Daz nundaz vipaji vilikua vikubwa lakn vimeharibiwa na mihadarat
Most underrated talents
Daz bado anakula ngada
one love
Jaje mkongwe uwaje koo kunitambuu au jaje Nakudawia tu mkongwee
@KuviFacts
4 күн бұрын
jaje hebu nambia kwanza 🤣
Maswali ya kawaida mnoo, tatizo watangazaji wengi hawajui historia za watu hao, kutafuta watu wanaojua ili kuwapa madini,taasisi inahitaji vitu bora, wanaona kama wakimchukua Iddy Mwanaharamu atatajirika vile, lakini Majizo akimjua Iddy nna uhakika atafurahi....
@shafiisigera
4 күн бұрын
Hili swala nililiona hata kwenye interview ya Pfunk, Ni maandalizi tu, hata story za kutaka kusikia kitu gani, unakuta msanii kama hayupo aware ataulizwa issue gani,
@KuviFacts
2 күн бұрын
Njoo wewe na Iddy pia mfanye kaka ntawaachia kiti hiki mkuu
@KuviFacts
2 күн бұрын
Karibu na ww uje uulize kaka vzuri ukitaka hii nafasi nakupa hata uwe guest presenter 😀
Sasa Daz Alikuwa Mandul mob yy na Temba ila akaambiwa achague Ndio akaenda Daz nundaz.sasa tulipokua Jite wote school Siku inapigwa hio Nyimbo ndio shule nzina wakajua Kwamba David nyika ndio Daz baba.Had mwalim mkuu alishangaa
@ChegeMsemakweli-cv4qb
2 күн бұрын
Yule wa manduli mobb sio daz baba yule ni daz p
@salumsalum8866
2 күн бұрын
@@ChegeMsemakweli-cv4qb Ndio namjua sana m nimesoma na David nyika darasa moja jitegemee mpaka madaftar mengine yake yapo geto.ndio walikua watatu DAZ P. DAZ BABA.TEMBA.DAZ P SI ALIIMBA KAMA UNATAKA KUJA HOME BEBY
@salumsalum8866
2 күн бұрын
@@ChegeMsemakweli-cv4qb We uwon class mate kajala.ndio p funk anakuja Jite kwenye concet anamuona kajala alikuwa miss Bantu P anamtuma sasa RICH ONE Amfanyie mpango ndio kampata
Mm naombeni kuuliza nani alianza ile verse ya kwanza ya ngoma ile ya kamanda??????!!!
@user-uw4iv2be4e
20 сағат бұрын
Dazi baba
Ila daz akili yake haipo hapo😊...
@FahadAbubakari
5 күн бұрын
Yuko sawa ispokua yuko hivyo sku zote mtaratibu mnoo
@ramamabrok2523
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@ramamabrok2523
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@msakadoobongeladada-uh3sk
4 күн бұрын
@@FahadAbubakari kweli namfuatiliaga Sana huyu broo Yuko Sawa
@FahadAbubakari
4 күн бұрын
@@msakadoobongeladada-uh3sk ujue kila mtu kaumbwa namna yake wengine si fasaha sana kuzungumza