THE CLASSIC DAZ NUNDAZ: HISTORIA YA DAZ NUNDAZ/KUTOSWA NA MAJANI NA KURUDI/MAJI YA SHINGO/WA KWANZA

Moja ya makundi bora ya muda wote ya Bongofleva Daz Nundaz walifika kwenye The Classic na kutupa hadithi za kusisimua za maisha na muziki wao,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu.

Пікірлер: 39

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige10565 күн бұрын

    Kuvi mwanetu uko deep sana kwenye hip hop &rap! .. hawa wanetu wa DAZ wamenikumbusha mbali sana, enzi ya kuchill posta mshatoka Tanganyika Library mida flani ya jioni mnaskilizia sketi za Jite na Forodhani! Pale konda kupigwa mitama ilikua kawaida tu enzi za ma dcm bado zamoto sana

  • @MadembweDickson-ur4kl
    @MadembweDickson-ur4kl4 күн бұрын

    Muziki Tanzania Mwisho 2003 sasa ni Top shelf

  • @masaimara3750
    @masaimara37504 күн бұрын

    Kazi safi bro, naomba ukiwa unakumbushia mtu akitajwa mfano daz effects unaweka picha yao hapo, kama style ya mavaz ya akina ferouz za kitambo unaweka una compare ili iwe more vivid...

  • @Sebastianrichard253
    @Sebastianrichard2535 күн бұрын

    Hakika wasanii wa zaman walikuwa kwel kioo cha jamii japo kwa sasa wachache bado wanawakilisha but all in all big up u did very good music at your prime

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    11 сағат бұрын

    @@Sebastianrichard253 yaani ni WA Moto Hadi sasa ttzo ni wadau wa music Kwa sasa hatuskiliz good music Bali kelele na kuzipa big promo ndio tunawapoteza wenye mziki mzuri km daz nundaz, wagosi wa Kaya, mandojo na domo Kaya, kuna sugu n.k hata video za sasa haziendani na maudhui ya mashairi Yao kabisa

  • @rashidomar1558
    @rashidomar15585 күн бұрын

    Kipindi pendwa sana ....Big presenter Jabir

  • @mediking8611
    @mediking86115 күн бұрын

    La Rhumba noma sana. Na anasound kama sugu enzi hizo nilijua ni sugu kwenye nipe tano

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    4 күн бұрын

    exactly

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 күн бұрын

    Ata nmeshtuka

  • @Shafi-sd7om
    @Shafi-sd7om12 сағат бұрын

    Alianza verse ferooz

  • @adinanfauzu8988
    @adinanfauzu89885 күн бұрын

    Wakwanzaaaaaa❤

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir92495 күн бұрын

    La rhumba alikuwa mkali sana

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads5 күн бұрын

    Much respect #kuvifacts

  • @vincentmaholo9179
    @vincentmaholo91795 күн бұрын

    Respect sana manundaz...respect daz mwalimu...alikuwa school mate wangu jitegemee (jite-wutang). Respect kwa nyundo zao zote hakuna unayoweza kui undermine, ila kwa Leo naomba watu wautambue wimbo wao unaitwa "shuka rymes" ni balaa kuliko kawaida...naamini watu wengi sna hawajawahi kuusikia. Much respect!

  • @user-zv7ef5ke1e

    @user-zv7ef5ke1e

    4 күн бұрын

    Daah Ile kopo ndo funika bovu kuliko nyimbo yyt aisee goma linaamsha sanaaa

  • @IddMussa
    @IddMussa4 күн бұрын

    Daz nundaz vipaji vilikua vikubwa lakn vimeharibiwa na mihadarat

  • @afropatriot7769
    @afropatriot77694 күн бұрын

    Most underrated talents

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy38605 күн бұрын

    Daz bado anakula ngada

  • @munnadulle3558
    @munnadulle35585 күн бұрын

    one love

  • @zakariarichard3319
    @zakariarichard33194 күн бұрын

    Jaje mkongwe uwaje koo kunitambuu au jaje Nakudawia tu mkongwee

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    4 күн бұрын

    jaje hebu nambia kwanza 🤣

  • @Fogaster1
    @Fogaster15 күн бұрын

    Maswali ya kawaida mnoo, tatizo watangazaji wengi hawajui historia za watu hao, kutafuta watu wanaojua ili kuwapa madini,taasisi inahitaji vitu bora, wanaona kama wakimchukua Iddy Mwanaharamu atatajirika vile, lakini Majizo akimjua Iddy nna uhakika atafurahi....

  • @shafiisigera

    @shafiisigera

    4 күн бұрын

    Hili swala nililiona hata kwenye interview ya Pfunk, Ni maandalizi tu, hata story za kutaka kusikia kitu gani, unakuta msanii kama hayupo aware ataulizwa issue gani,

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 күн бұрын

    Njoo wewe na Iddy pia mfanye kaka ntawaachia kiti hiki mkuu

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    2 күн бұрын

    Karibu na ww uje uulize kaka vzuri ukitaka hii nafasi nakupa hata uwe guest presenter 😀

  • @salumsalum8866
    @salumsalum88665 күн бұрын

    Sasa Daz Alikuwa Mandul mob yy na Temba ila akaambiwa achague Ndio akaenda Daz nundaz.sasa tulipokua Jite wote school Siku inapigwa hio Nyimbo ndio shule nzina wakajua Kwamba David nyika ndio Daz baba.Had mwalim mkuu alishangaa

  • @ChegeMsemakweli-cv4qb

    @ChegeMsemakweli-cv4qb

    2 күн бұрын

    Yule wa manduli mobb sio daz baba yule ni daz p

  • @salumsalum8866

    @salumsalum8866

    2 күн бұрын

    @@ChegeMsemakweli-cv4qb Ndio namjua sana m nimesoma na David nyika darasa moja jitegemee mpaka madaftar mengine yake yapo geto.ndio walikua watatu DAZ P. DAZ BABA.TEMBA.DAZ P SI ALIIMBA KAMA UNATAKA KUJA HOME BEBY

  • @salumsalum8866

    @salumsalum8866

    2 күн бұрын

    @@ChegeMsemakweli-cv4qb We uwon class mate kajala.ndio p funk anakuja Jite kwenye concet anamuona kajala alikuwa miss Bantu P anamtuma sasa RICH ONE Amfanyie mpango ndio kampata

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah3 күн бұрын

    Mm naombeni kuuliza nani alianza ile verse ya kwanza ya ngoma ile ya kamanda??????!!!

  • @user-uw4iv2be4e

    @user-uw4iv2be4e

    20 сағат бұрын

    Dazi baba

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z5 күн бұрын

    Ila daz akili yake haipo hapo😊...

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    5 күн бұрын

    Yuko sawa ispokua yuko hivyo sku zote mtaratibu mnoo

  • @ramamabrok2523

    @ramamabrok2523

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @ramamabrok2523

    @ramamabrok2523

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    4 күн бұрын

    ​@@FahadAbubakari kweli namfuatiliaga Sana huyu broo Yuko Sawa

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    4 күн бұрын

    @@msakadoobongeladada-uh3sk ujue kila mtu kaumbwa namna yake wengine si fasaha sana kuzungumza

Келесі