THE CLASSIC SAIGON: MIAKA 32 YA NDANI YA GAME/MIAKA YA GIZA YA RAP KABLA YA BONGOFLEVA/KUZALIWA DPT
Saigon ni mwamba kabisa wa Hiphop Tanzania amekua kwenye game kwa miaka 32 sasa na amefanya mengi kukuza Hiphop Tanzania ikwemo kufanya kazi kwenye vyombo vya habari na kusaidia ukuaji wa wasanii wengi sana,amefika kupiga nasi stories muhimu za maisha yake
Пікірлер: 104
Saigon is the Fckn Genius ,jinsi anasikiza kwa makini, anaongea kwa tones, kupanda, kushuka,kusisitiza na swaga. The way anaelezea na kufafanua jambo. Mjuzi wa lugha, anatamka maneno kwa usahihi kabisa, kifupi jamaa ni hazina. Big respect to this man ebana Oi!!
@Basagamp4
Ай бұрын
Aaaaamin
@othumanlorenzo260
Ай бұрын
namsikiliza na kumuangalia hapa
@joshuamuro9494
Ай бұрын
Jamaa anajua sana nilitamani Majizo amvute Efm
@hassanhassan1019
Ай бұрын
Anajua sana
@abdulrajabu8252
25 күн бұрын
Ooooi saigon badest bigtime
Eee bwana Jabir hao wamba walikuwa wanafanyiwa video na ITV, nyimbo zote :- Tururuke Kwa Furaha, Word is Bond, Are You Down... Na rap za Era yao yote zilikuwa na video za ITV, mi sina connections ila wewe unaweza ukampata mtu kama Nicko Track asaidie kujua kama bado zipo pale ITV... Kuna historia kubwa sana itapotea (kama haijapotea tayari)... Kama zipo zitunzwe properly
@zuberyaunda5263
9 күн бұрын
Exactly umeongea fact
Nlimjua kwa show yake ya hip hop kali EATV...legend...salute toka Kenya
OYAAAAA . Baada ua interview na j moe nilitaka kukuandikia kuwa nataman umuite SAIGON … eee bana ulkua unaish akilin mwangu. Umetisha sana broo
Kuvi Misuti Please Please Tuletee na Jose Mtambo asee
@fongaamike2768
Ай бұрын
nilisha mwambia. Ila ana sema jamaa ni ngumu kumpata yani ataki kufanya interview. msanik wangu bora kabisa
@khalifasaid1131
Ай бұрын
Mzee wa kigambonino msanii wangu wa miaka yote
@FranklinMtei
19 күн бұрын
Kwa kweli, amlete muasisi wa commercial rap
Moja ya mc wakali na nimoja ya best tv presenter during my childhood
...kwa sisi tunao watch youtube tusikilizishe hizo nyimbo hata kwa 10sec
Legendary......wapewe maua yao ...hawa ndio waliochora ramani........♨♨
Oi ..Oi ..Oi.. SAIGON longtime sana Mnyamwezi sana
Daaah huyu ni Shekh wangu,pia nakubali anachokifanya kabla sijamjua kama ni Sheikh,but ALL IN ALL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA.NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH
@Basagamp4
Ай бұрын
Aaaaamin
Saigon ana jua kuelezea stori sana alafu ndani yake anafurahisha pia😂😂
R.I.P mwalimu Lukinga
Is Among the people who have made a Mark in Hip Hop Ooi ooi
Hip Hop Base enzi hizo inaruka channel 5 Aisee 🫡🫡🫡🫡shout out to the legendary Saigon
No comments with this dude....!!!! Saigon Kalinye ''oy'' Monster. Aajeeb saNA...!!
Mwamba alikujaga secondary mbez makonde kipind nipo kidato cha 1 akaturecod kipind Fran cha kuchagua nyimbo east Africa redio kwa mara Ya kwanza niliuza sura Kweny luninga😅❤
Big up kaka mkubwa leo na msikiliza saigoni ebwana oiii ebwana mzukaaaaa maua ya pokeka kaka hip hop bila madawa ✊🏿✌🏿👊🏿💪🏿
Saigon the legend,kwangu Mimi humuona kama our African DMX kutoka na Ile style yake ya rap
Eeeeebana Daaaah Oi Oi Oiiii.. SAIGON..🔥🔥🔥 SALUTE TO Former MC's #Saigon_Diplomats 🙌🙌🙌🙌
NAMKUBALI SANA KAKA SAIGON
Bonge la show, bonge la mcee ever! Naomba kupata hiyo album
Rolling back those years... a lot of mixed emotions! Ila maisha yale ilikua ni ya furaha sana...
Bro tunaomba The Classic kwenye TV....
Huyu mwamba mwanaharakati sana wa hip hop
Mchizi mtoto wa mjini sanaa ana madini kinoma
Saigon noumer sana legacy ya hip hop east Africa
Nakukubali Saigon! Hop uturekodie ngoma mpya!
Oiiiioii Kali Ni Kali Fikra Pana Namsayin'... It's Saigon Youh!!!✍️🫡🫡
LThe Living Legend SAIGON
Happy sozi again yan tena...ooohhhiii ooohiiii mzukaa# saigon💥💥
Saigon ana Ngoma yake moja inaitwa POVERTY hatari sana 🔥
Hawa ndo waasisi wa hip hop Og must respected. Namkubali sana brother wangu sijui Yuko wapi siku hizi
Paul beda alisoma agakhan nakumbuka
Kalinye
OOOIII OIII Saigon... ebwana daah
Saigon wa Mandela Court alikua hatari sana.nakumbuka enzi zetu za uk wazee
Kipindi namfatilia sana Saigon nkawanajiita na jina lake kama nickname kakaang akasema usije ukawa kama yeye. Lakini baadae Saigon akaancha mziki akawa mtu wasala sana😂
Nakumbuka sana, Forodhani the thing mlikua manzingatia maswali ya Lukinga? Alinisaidia sana Physics na Chemistry
MY Role model ✌✌✌
Saigon uwezo wake katika hip hop Bado hakuna wakumlinganisha naye ila kwa wanaowajua.
Mmmhh is the classic way up 🙌
Safi sana ✌️
>>>Eenh bhaana Daah
King crazy gk hapo ndo aliye baki CEO wa east coast team
Oioioio ebwana daah 💯
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🐐
Makelele atusikii interview ,,sijui efm imekuaje,,tangu hii kitambo mipya,imekuwa NI shida,na pia mpaka TV,sauti zimekuwa azitoki sweet
Mzee wa oiii oii dadadaaaa
Namuomba Joze Mtambo Mwana Kigambonino
Saigon marapa wa mwanzo kabisa miaka ile
Oiiiiiii ebwana oiiiiiiiii saigon
Tuletee dark master mzee
@iamzillahx6901
Ай бұрын
Alishapitaga kwenye kipindi
Kwo kuvichaka na suti😂
Imekuaje
Saigon Aminia.... Malindi Kenya
wa kigambonino ahusike kwenye pindi
Haa Saigon Karne Karne ww kaka wapi ulipoterea hata mm nilikuwa nakufatilia kipindi hichoo
Oi🇰🇪
Ni uyu mimi
Saigon
Kaka bongo palikuwa sio mahali pako kabisa. Level zako nyingine kabisa. Ila watz hawawezi kuelewa maana wakata viuno wameteka akili zao.
Mama Rudia ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Tena wapili anaitwa nani???ah ah😅
@atenionesmo_A10
Ай бұрын
aah ahh rudia😅😅
Hichi sio kipindi ni makumbusho ya sanaa ya tanzania
@KuviFacts
28 күн бұрын
🙏🏾
Anaumwa saigon huo uso vipi?
Saigon c alikua ustaaadh huyu
@kakorejrboyz6447
Ай бұрын
Ustaadh WA nn
@hundredcopies2719
Ай бұрын
Aliacha mziki akawa sheikh na alikuwa anatangaza Redio na Tv Iman ya Morogoro
@meckpro5574
Ай бұрын
@@hundredcopies2719namimi nashangaa kumuona kafanya tena mziki
@hundredcopies2719
Ай бұрын
Dunia inadanganya watu ... Alikuwa anatumiwa sana kwenye midaharo ya dini kwa lugha ya kingereza sababu anaongea kingereza kizuri
@mugadimon3563
Ай бұрын
Aliacha muziki akawa ustaadh. Lakini jamaa ni hazina ya mziki wa nchi hii.
Oiii
Kipindi kile Dah Saigon what is Born
Nipo nairobi wanakataa kua Jamaa NI mbongo😂😂😂😂😂 anavyo freestyle kimarecani
Tv Gani 1994 Tanzania 🇹🇿🧠🤔 ilikuwa inaonyesha
@Sean1877
29 күн бұрын
CTN
Oiiiii ebhn duh ebhn duh oiiiii..sigoniiii
Ni km cku nne zilizopita nikasema nimsachi huyu mwamba you tube baat namuona hapa daa mnyamwezi sn huyu Namkubali
Uyu jamaa alikuwa mnoma sana slang imetulia ila kama anaumwa saivi alikuwa bonge la handsome
@joshuamuro9494
Ай бұрын
Yah inaonesha hvyo, jamaa na mkubali sana kwa Lugha na Swagaa ni mtu mbad sana
Ebhna hoi ebhan hoi ebhan oi oi
Saigon ana ngoma yake moja hivi ambayo I can relate myself with or relate myself with inaitwa 'MSAMAHA' kwenye chorus hapo alifanya majani dah! Anakwambia ndugu jamaa na washkaji washkaji naomba msamaha!! USHETANI ulinipanda kwasababu ya 'POMBE' Bila kuisahau verse yake kali sana kwenye ngoma yake T.I.D inaitwa 'VIWANJANI'
Mbona niliskiaga amekufa?
@KuviFacts
Ай бұрын
Ulisikia wapi?
Nafikiri kwa makini
@aboubakarmahmoudmashaka696
Ай бұрын
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa
@aboubakarmahmoudmashaka696
Ай бұрын
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa??
@mugadimon3563
Ай бұрын
@@aboubakarmahmoudmashaka696Ni sheikh mpaka kesho