THE CLASSIC SAIGON: MIAKA 32 YA NDANI YA GAME/MIAKA YA GIZA YA RAP KABLA YA BONGOFLEVA/KUZALIWA DPT

Saigon ni mwamba kabisa wa Hiphop Tanzania amekua kwenye game kwa miaka 32 sasa na amefanya mengi kukuza Hiphop Tanzania ikwemo kufanya kazi kwenye vyombo vya habari na kusaidia ukuaji wa wasanii wengi sana,amefika kupiga nasi stories muhimu za maisha yake

Пікірлер: 104

  • @abdulengadumwala8025
    @abdulengadumwala8025Ай бұрын

    Saigon is the Fckn Genius ,jinsi anasikiza kwa makini, anaongea kwa tones, kupanda, kushuka,kusisitiza na swaga. The way anaelezea na kufafanua jambo. Mjuzi wa lugha, anatamka maneno kwa usahihi kabisa, kifupi jamaa ni hazina. Big respect to this man ebana Oi!!

  • @Basagamp4

    @Basagamp4

    Ай бұрын

    Aaaaamin

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    Ай бұрын

    namsikiliza na kumuangalia hapa

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    Ай бұрын

    Jamaa anajua sana nilitamani Majizo amvute Efm

  • @hassanhassan1019

    @hassanhassan1019

    Ай бұрын

    Anajua sana

  • @abdulrajabu8252

    @abdulrajabu8252

    25 күн бұрын

    Ooooi saigon badest bigtime

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019Ай бұрын

    Eee bwana Jabir hao wamba walikuwa wanafanyiwa video na ITV, nyimbo zote :- Tururuke Kwa Furaha, Word is Bond, Are You Down... Na rap za Era yao yote zilikuwa na video za ITV, mi sina connections ila wewe unaweza ukampata mtu kama Nicko Track asaidie kujua kama bado zipo pale ITV... Kuna historia kubwa sana itapotea (kama haijapotea tayari)... Kama zipo zitunzwe properly

  • @zuberyaunda5263

    @zuberyaunda5263

    9 күн бұрын

    Exactly umeongea fact

  • @jameskinuthiamunene6356
    @jameskinuthiamunene6356Ай бұрын

    Nlimjua kwa show yake ya hip hop kali EATV...legend...salute toka Kenya

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383Ай бұрын

    OYAAAAA . Baada ua interview na j moe nilitaka kukuandikia kuwa nataman umuite SAIGON … eee bana ulkua unaish akilin mwangu. Umetisha sana broo

  • @officialmrdeo8116
    @officialmrdeo8116Ай бұрын

    Kuvi Misuti Please Please Tuletee na Jose Mtambo asee

  • @fongaamike2768

    @fongaamike2768

    Ай бұрын

    nilisha mwambia. Ila ana sema jamaa ni ngumu kumpata yani ataki kufanya interview. msanik wangu bora kabisa

  • @khalifasaid1131

    @khalifasaid1131

    Ай бұрын

    Mzee wa kigambonino msanii wangu wa miaka yote

  • @FranklinMtei

    @FranklinMtei

    19 күн бұрын

    Kwa kweli, amlete muasisi wa commercial rap

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137Ай бұрын

    Moja ya mc wakali na nimoja ya best tv presenter during my childhood

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795Ай бұрын

    ...kwa sisi tunao watch youtube tusikilizishe hizo nyimbo hata kwa 10sec

  • @Chemba67
    @Chemba67Ай бұрын

    Legendary......wapewe maua yao ...hawa ndio waliochora ramani........♨♨

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447Ай бұрын

    Oi ..Oi ..Oi.. SAIGON longtime sana Mnyamwezi sana

  • @user-zy2vg6kl1s
    @user-zy2vg6kl1sАй бұрын

    Daaah huyu ni Shekh wangu,pia nakubali anachokifanya kabla sijamjua kama ni Sheikh,but ALL IN ALL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA.NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH

  • @Basagamp4

    @Basagamp4

    Ай бұрын

    Aaaaamin

  • @westcijosh
    @westcijoshАй бұрын

    Saigon ana jua kuelezea stori sana alafu ndani yake anafurahisha pia😂😂

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu4964Ай бұрын

    R.I.P mwalimu Lukinga

  • @kingkizeve1973
    @kingkizeve197321 күн бұрын

    Is Among the people who have made a Mark in Hip Hop Ooi ooi

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304Ай бұрын

    Hip Hop Base enzi hizo inaruka channel 5 Aisee 🫡🫡🫡🫡shout out to the legendary Saigon

  • @mohammedabdallah9692
    @mohammedabdallah96923 күн бұрын

    No comments with this dude....!!!! Saigon Kalinye ''oy'' Monster. Aajeeb saNA...!!

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563Ай бұрын

    Mwamba alikujaga secondary mbez makonde kipind nipo kidato cha 1 akaturecod kipind Fran cha kuchagua nyimbo east Africa redio kwa mara Ya kwanza niliuza sura Kweny luninga😅❤

  • @boitumeloboitumelo8038
    @boitumeloboitumelo8038Ай бұрын

    Big up kaka mkubwa leo na msikiliza saigoni ebwana oiii ebwana mzukaaaaa maua ya pokeka kaka hip hop bila madawa ✊🏿✌🏿👊🏿💪🏿

  • @prophdj
    @prophdjАй бұрын

    Saigon the legend,kwangu Mimi humuona kama our African DMX kutoka na Ile style yake ya rap

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482Ай бұрын

    Eeeeebana Daaaah Oi Oi Oiiii.. SAIGON..🔥🔥🔥 SALUTE TO Former MC's #Saigon_Diplomats 🙌🙌🙌🙌

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769Ай бұрын

    NAMKUBALI SANA KAKA SAIGON

  • @vincentmaholo9179
    @vincentmaholo9179Ай бұрын

    Bonge la show, bonge la mcee ever! Naomba kupata hiyo album

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056Ай бұрын

    Rolling back those years... a lot of mixed emotions! Ila maisha yale ilikua ni ya furaha sana...

  • @maprojectalltrends1296
    @maprojectalltrends1296Ай бұрын

    Bro tunaomba The Classic kwenye TV....

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766Ай бұрын

    Huyu mwamba mwanaharakati sana wa hip hop

  • @ericdeogratius970
    @ericdeogratius970Ай бұрын

    Mchizi mtoto wa mjini sanaa ana madini kinoma

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684Ай бұрын

    Saigon noumer sana legacy ya hip hop east Africa

  • @erastotweve2586
    @erastotweve2586Ай бұрын

    Nakukubali Saigon! Hop uturekodie ngoma mpya!

  • @ksonrap
    @ksonrapАй бұрын

    Oiiiioii Kali Ni Kali Fikra Pana Namsayin'... It's Saigon Youh!!!✍️🫡🫡

  • @stevechampion6559
    @stevechampion6559Ай бұрын

    LThe Living Legend SAIGON

  • @allysudi4429
    @allysudi4429Ай бұрын

    Happy sozi again yan tena...ooohhhiii ooohiiii mzukaa# saigon💥💥

  • @Jabali_Media
    @Jabali_MediaАй бұрын

    Saigon ana Ngoma yake moja inaitwa POVERTY hatari sana 🔥

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Hawa ndo waasisi wa hip hop Og must respected. Namkubali sana brother wangu sijui Yuko wapi siku hizi

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275Ай бұрын

    Paul beda alisoma agakhan nakumbuka

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224Ай бұрын

    Kalinye

  • @afreecastzaxie
    @afreecastzaxieАй бұрын

    OOOIII OIII Saigon... ebwana daah

  • @karibuautotanzania3979
    @karibuautotanzania3979Ай бұрын

    Saigon wa Mandela Court alikua hatari sana.nakumbuka enzi zetu za uk wazee

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffeeАй бұрын

    Kipindi namfatilia sana Saigon nkawanajiita na jina lake kama nickname kakaang akasema usije ukawa kama yeye. Lakini baadae Saigon akaancha mziki akawa mtu wasala sana😂

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y24 күн бұрын

    Nakumbuka sana, Forodhani the thing mlikua manzingatia maswali ya Lukinga? Alinisaidia sana Physics na Chemistry

  • @rajabulyanga8438
    @rajabulyanga8438Ай бұрын

    MY Role model ✌✌✌

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Saigon uwezo wake katika hip hop Bado hakuna wakumlinganisha naye ila kwa wanaowajua.

  • @ricchjamez
    @ricchjamezАй бұрын

    Mmmhh is the classic way up 🙌

  • @cholobrighter104
    @cholobrighter104Ай бұрын

    Safi sana ✌️

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472Ай бұрын

    >>>Eenh bhaana Daah

  • @VisenthYohana
    @VisenthYohanaАй бұрын

    King crazy gk hapo ndo aliye baki CEO wa east coast team

  • @Blacksamitz
    @BlacksamitzАй бұрын

    Oioioio ebwana daah 💯

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665Ай бұрын

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🐐

  • @emmanuelbarnabas2577
    @emmanuelbarnabas2577Ай бұрын

    Makelele atusikii interview ,,sijui efm imekuaje,,tangu hii kitambo mipya,imekuwa NI shida,na pia mpaka TV,sauti zimekuwa azitoki sweet

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Mzee wa oiii oii dadadaaaa

  • @jeverinopembe7945
    @jeverinopembe794526 күн бұрын

    Namuomba Joze Mtambo Mwana Kigambonino

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478Ай бұрын

    Saigon marapa wa mwanzo kabisa miaka ile

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213Ай бұрын

    Oiiiiiii ebwana oiiiiiiiii saigon

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128Ай бұрын

    Tuletee dark master mzee

  • @iamzillahx6901

    @iamzillahx6901

    Ай бұрын

    Alishapitaga kwenye kipindi

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723Ай бұрын

    Kwo kuvichaka na suti😂

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696Ай бұрын

    Imekuaje

  • @KalamuYaGalana
    @KalamuYaGalanaАй бұрын

    Saigon Aminia.... Malindi Kenya

  • @salumuathuman5286
    @salumuathuman5286Ай бұрын

    wa kigambonino ahusike kwenye pindi

  • @SipeKato
    @SipeKato26 күн бұрын

    Haa Saigon Karne Karne ww kaka wapi ulipoterea hata mm nilikuwa nakufatilia kipindi hichoo

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICSАй бұрын

    Oi🇰🇪

  • @AgustinoAlexander
    @AgustinoAlexanderАй бұрын

    Ni uyu mimi

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547Ай бұрын

    Saigon

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Kaka bongo palikuwa sio mahali pako kabisa. Level zako nyingine kabisa. Ila watz hawawezi kuelewa maana wakata viuno wameteka akili zao.

  • @kalutaabedi2742
    @kalutaabedi2742Ай бұрын

    Mama Rudia ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Tena wapili anaitwa nani???ah ah😅

  • @atenionesmo_A10

    @atenionesmo_A10

    Ай бұрын

    aah ahh rudia😅😅

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu240428 күн бұрын

    Hichi sio kipindi ni makumbusho ya sanaa ya tanzania

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    28 күн бұрын

    🙏🏾

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbasАй бұрын

    Anaumwa saigon huo uso vipi?

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696Ай бұрын

    Saigon c alikua ustaaadh huyu

  • @kakorejrboyz6447

    @kakorejrboyz6447

    Ай бұрын

    Ustaadh WA nn

  • @hundredcopies2719

    @hundredcopies2719

    Ай бұрын

    Aliacha mziki akawa sheikh na alikuwa anatangaza Redio na Tv Iman ya Morogoro

  • @meckpro5574

    @meckpro5574

    Ай бұрын

    ​@@hundredcopies2719namimi nashangaa kumuona kafanya tena mziki

  • @hundredcopies2719

    @hundredcopies2719

    Ай бұрын

    Dunia inadanganya watu ... Alikuwa anatumiwa sana kwenye midaharo ya dini kwa lugha ya kingereza sababu anaongea kingereza kizuri

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    Ай бұрын

    Aliacha muziki akawa ustaadh. Lakini jamaa ni hazina ya mziki wa nchi hii.

  • @RaiderTube
    @RaiderTubeАй бұрын

    Oiii

  • @JijoAce
    @JijoAceАй бұрын

    Kipindi kile Dah Saigon what is Born

  • @famakasari
    @famakasari15 күн бұрын

    Nipo nairobi wanakataa kua Jamaa NI mbongo😂😂😂😂😂 anavyo freestyle kimarecani

  • @AlexMosha-ci5uq
    @AlexMosha-ci5uqАй бұрын

    Tv Gani 1994 Tanzania 🇹🇿🧠🤔 ilikuwa inaonyesha

  • @Sean1877

    @Sean1877

    29 күн бұрын

    CTN

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nnАй бұрын

    Oiiiii ebhn duh ebhn duh oiiiii..sigoniiii

  • @yusufsuwi5350
    @yusufsuwi5350Ай бұрын

    Ni km cku nne zilizopita nikasema nimsachi huyu mwamba you tube baat namuona hapa daa mnyamwezi sn huyu Namkubali

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478Ай бұрын

    Uyu jamaa alikuwa mnoma sana slang imetulia ila kama anaumwa saivi alikuwa bonge la handsome

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    Ай бұрын

    Yah inaonesha hvyo, jamaa na mkubali sana kwa Lugha na Swagaa ni mtu mbad sana

  • @killindoabile3128
    @killindoabile3128Ай бұрын

    Ebhna hoi ebhan hoi ebhan oi oi

  • @user-xm9wr1lk4t
    @user-xm9wr1lk4tАй бұрын

    Saigon ana ngoma yake moja hivi ambayo I can relate myself with or relate myself with inaitwa 'MSAMAHA' kwenye chorus hapo alifanya majani dah! Anakwambia ndugu jamaa na washkaji washkaji naomba msamaha!! USHETANI ulinipanda kwasababu ya 'POMBE' Bila kuisahau verse yake kali sana kwenye ngoma yake T.I.D inaitwa 'VIWANJANI'

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xjАй бұрын

    Mbona niliskiaga amekufa?

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    Ай бұрын

    Ulisikia wapi?

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573Ай бұрын

    Nafikiri kwa makini

  • @aboubakarmahmoudmashaka696

    @aboubakarmahmoudmashaka696

    Ай бұрын

    Kwa iyo kaacha usheikh kabisa

  • @aboubakarmahmoudmashaka696

    @aboubakarmahmoudmashaka696

    Ай бұрын

    Kwa iyo kaacha usheikh kabisa??

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    Ай бұрын

    ​@@aboubakarmahmoudmashaka696Ni sheikh mpaka kesho

Келесі