Sawa Mwanamfalme uijuwae dini kuliko wengine. Binafsi nakuahidi kuwa nitaendelea Kuwataja kwasababu hata mwenyezi MUNGU anapenda Sifa,Kuabudiwa,Kusujudiwa na nk... Tuseme Insha'Allah 🙏 Allahu maaaaamin!
@mohammedabdallah96929 күн бұрын
Kazi bomba
@StoryzaibrahimАй бұрын
Sns imenileta hapa
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana ndugu! Karibu tena na tena....
@mrmtono3897Ай бұрын
Amani saana Basaga. May God bless you
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana kaka yangu Mtono. Mwenyezi MUNGU atujaalie kheri kwakweli
@mrmtono3897
Ай бұрын
@@Basagamp4 Amein
@patrickmkini9757Ай бұрын
Hongera saaana Basaga ndugu yangu.... Wimbo mzuri saaana na mwenyezi mungu akujaalie kheri mzee
@ezekieljailos9398Ай бұрын
Ujumbe mzur tisha sanaa
@HaldAthumanАй бұрын
Ujumbe wa kijamii kabisa huu Safi bro ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@dinocastico8495Ай бұрын
Ujumbe mzuri
@user-rk1xw1ed3tАй бұрын
Oiiiiii oiiii ebwana daaahhhhh deplowmatz Saigon back in the days my freestyle master the tz has ever seen
@Basagamp4
Ай бұрын
Yaaah Man yaah man
@FrankgamanuelАй бұрын
Hoihoihoi- Hooiiiiihii Mshua Saigon BigUp sana kumshika mkono mwana poa sana. Na Mmefanya kitu Unique sana na bora ktk Umoja. Hio Ngoma mtu yoyote anasikiliza labda hawe mchawi kupitiliza.
@Basagamp4
Ай бұрын
Lets us spread the Looooove
@tysonbadnessАй бұрын
Mjomba nakuona 🙏🙏
@abrahamhamisi9346Ай бұрын
Oiiii oiiii kalinye kalinye 🔥🔥🥶🥶
@Basagamp4
Ай бұрын
Ebwaaaaaana Daaaah😅
@ahmeddola4648Ай бұрын
Ujumbe umefika ma kamanda ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi . Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
@Basagamp4
Ай бұрын
Aaaaamin Aaaaamin Aaaaamin
@MBANGA_NAME2 ай бұрын
Mapambano yanaendelea safi sana kaka
@mohamedhamisi9766Ай бұрын
Nimekuja hapa baada ya kumsikia brother saigon
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani sana mkuu....tuendelee kuwa Pamoja. Usisahau Kusubscribe mzee
@dstarofficially7252 ай бұрын
nomaaa
@priscakaiza4951Ай бұрын
Saaaafi kazi nzuri kijana 🏆
@LukumaniAthumaniАй бұрын
Kwangaruuuuuuu mungu akujaalie mwanangu ipo diku tuu Kila kitu kitakuwa sawa
@Vichuda_TzАй бұрын
Kalinye kalinye bro bado mkali ana floo flan hv hazipitwagi na wakti noma
@Basagamp4
Ай бұрын
Ebwaaaana Daaaah
@mwanimuzic8067Ай бұрын
well done bro✈️✈️
@KalamuYaGalanaАй бұрын
Jeuri ya kiumbe hai ni uzima tu. Nakubali! Love from Malindi, Kenya
bro Saigon ulikuwa umexhukua uamuzi mzuri Sana wy brother umerudi kukanyaga Yale yale unajua namaanisha nini ujumbe mzuri hauwezi kupitia ktk mziki bro rudi rudi rudi acha kuxhafua hii kitu kabisa ujumbe huu ni kwa ajili ya ndugu yangu Saigon dah umenishangaza Sana ulikuwa ushapiga hatua kubwa mbona umerudi nyuma hatua kibao bro sukutegemeA kabisa hii bro @bro Saigon
@emmanuelchacha6718
Ай бұрын
He tryna make a living bro.
@user-dx8bk9oj4g
Ай бұрын
ASa kakosea wapi..uelewewa ni kitu kizurii kabla ya kuhukum
@Basagamp4
Ай бұрын
Sikiliza Ujumbe mkuu....Tunatembeza Kalimah
@Basagamp4
Ай бұрын
Hahahahhahahahh Saaaawq
@reggiemass6413
Ай бұрын
Punguza ushauri, watu wana mipango yao. Unaweza kuta wewe usiyeimba una dhambi nyingi kuliko Saigon, acha kuhukumu si kazi yako.
@salymkingungo5229Ай бұрын
Ujumbe mzuri ila kisanaa kazi ya kawaida ubunifu hafifu,natumai next time mtakata kiu yetu insha Allah.
Пікірлер: 102
Basaga kazi nzuri sana na makumbusho pia
@Basagamp4
17 күн бұрын
Shukrani saana ndugu yangu Kamanda! Tuendelee kusapotiana❤
Acha kutaja Mungu na mtume ktika muziki
@Basagamp4
20 күн бұрын
Sawa Mwanamfalme uijuwae dini kuliko wengine. Binafsi nakuahidi kuwa nitaendelea Kuwataja kwasababu hata mwenyezi MUNGU anapenda Sifa,Kuabudiwa,Kusujudiwa na nk... Tuseme Insha'Allah 🙏 Allahu maaaaamin!
Kazi bomba
Sns imenileta hapa
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana ndugu! Karibu tena na tena....
Amani saana Basaga. May God bless you
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana kaka yangu Mtono. Mwenyezi MUNGU atujaalie kheri kwakweli
@mrmtono3897
Ай бұрын
@@Basagamp4 Amein
Hongera saaana Basaga ndugu yangu.... Wimbo mzuri saaana na mwenyezi mungu akujaalie kheri mzee
Ujumbe mzur tisha sanaa
Ujumbe wa kijamii kabisa huu Safi bro ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ujumbe mzuri
Oiiiiii oiiii ebwana daaahhhhh deplowmatz Saigon back in the days my freestyle master the tz has ever seen
@Basagamp4
Ай бұрын
Yaaah Man yaah man
Hoihoihoi- Hooiiiiihii Mshua Saigon BigUp sana kumshika mkono mwana poa sana. Na Mmefanya kitu Unique sana na bora ktk Umoja. Hio Ngoma mtu yoyote anasikiliza labda hawe mchawi kupitiliza.
@Basagamp4
Ай бұрын
Lets us spread the Looooove
Mjomba nakuona 🙏🙏
Oiiii oiiii kalinye kalinye 🔥🔥🥶🥶
@Basagamp4
Ай бұрын
Ebwaaaaaana Daaaah😅
Ujumbe umefika ma kamanda ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi . Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
@Basagamp4
Ай бұрын
Aaaaamin Aaaaamin Aaaaamin
Mapambano yanaendelea safi sana kaka
Nimekuja hapa baada ya kumsikia brother saigon
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani sana mkuu....tuendelee kuwa Pamoja. Usisahau Kusubscribe mzee
nomaaa
Saaaafi kazi nzuri kijana 🏆
Kwangaruuuuuuu mungu akujaalie mwanangu ipo diku tuu Kila kitu kitakuwa sawa
Kalinye kalinye bro bado mkali ana floo flan hv hazipitwagi na wakti noma
@Basagamp4
Ай бұрын
Ebwaaaana Daaaah
well done bro✈️✈️
Jeuri ya kiumbe hai ni uzima tu. Nakubali! Love from Malindi, Kenya
@Basagamp4
Ай бұрын
Oooh Hahahahah Asante saana Kalamu...MUNGU akubariki saana. Umetishaaaaaaaaaaaa😊
AHSANTE🙏🏾 let’s keep playing this masterpiece together 💪🏾
@Basagamp4
Ай бұрын
Mr International
🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
SNS kanileta hapa.. kazi nzuri big up
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana ndugu yangu
Kazi nzuri kaka hongera sana
Kazi kubwaaa shem
@Basagamp4
Ай бұрын
Shem langu la Dunia......unakwenda kama Annie the Best of the Best 👌 KUUUULA CHUMA HICHO
Nimeisikiliza sababu ya Saigon
@Basagamp4
Ай бұрын
SHUKRANI SAANA NDUGU YANGU....SIO VIBAYA PIA
Nimeletwa na the Classic ya @kuvifact. Shout out to you Jabir Saleh
@Basagamp4
Ай бұрын
Respect ndugu yangu....Lets us be together ❤
Nimekuja baada ya kusikia the classic we miss you Sygon
@Basagamp4
Ай бұрын
YAAAH MAN TULIKUA PALE
@hemedyally1643
Ай бұрын
Kali ni kali
@saidsidaz
Ай бұрын
Km mm vile
@Basagamp4
Ай бұрын
@@saidsidaz Respect Saaana
Kazi nzuri sana ndugu yangu Basaga. You're the best. Nakuona mbali sana. Says Chief.
Safi blood
@Basagamp4
Ай бұрын
Uhakikaaaaaa Chibe Booooi
Saigoni
🙌
Keep pushing, great content
@Basagamp4
Ай бұрын
Asante saaana....usisahau Kusubscribe big bro
Big up my young bro, you're burning
Much love from Helsinki Finland upako umetufikia🙏
@Basagamp4
Ай бұрын
Respect 😂 Hahah Tehteh Kaaaaaazi kaaaaazi tu
Beautiful song sir. Well done
@Basagamp4
Ай бұрын
Tuendelee Kuwa Pamoja
Good job we got u from makambako
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana mzee wangu
Hongera mnyalukolo shef mseri baa!
@Basagamp4
Ай бұрын
Hahahahaha Be muyaaaaaa wifiha mbaha huno?
Ngoma kali sana mzee wangu..!
Real time hatujakata tamaaa
@Basagamp4
Ай бұрын
MUNGU mwema kwakweli
Nomaaa
tunapambana sana bro .......... Mungu akufungulie milango
@Basagamp4
Ай бұрын
Rangeee rangeee rangeeee.....na tuseme Aaaaaaaamin
Hongera saana kaka yangu
@Basagamp4
Ай бұрын
Shukrani saana ndugu yangu
Keep movin ...
Keep moving bro
Safi saaana kakq❤❤❤
Felling snaa
bro Saigon ulikuwa umexhukua uamuzi mzuri Sana wy brother umerudi kukanyaga Yale yale unajua namaanisha nini ujumbe mzuri hauwezi kupitia ktk mziki bro rudi rudi rudi acha kuxhafua hii kitu kabisa ujumbe huu ni kwa ajili ya ndugu yangu Saigon dah umenishangaza Sana ulikuwa ushapiga hatua kubwa mbona umerudi nyuma hatua kibao bro sukutegemeA kabisa hii bro @bro Saigon
@emmanuelchacha6718
Ай бұрын
He tryna make a living bro.
@user-dx8bk9oj4g
Ай бұрын
ASa kakosea wapi..uelewewa ni kitu kizurii kabla ya kuhukum
@Basagamp4
Ай бұрын
Sikiliza Ujumbe mkuu....Tunatembeza Kalimah
@Basagamp4
Ай бұрын
Hahahahhahahahh Saaaawq
@reggiemass6413
Ай бұрын
Punguza ushauri, watu wana mipango yao. Unaweza kuta wewe usiyeimba una dhambi nyingi kuliko Saigon, acha kuhukumu si kazi yako.
Ujumbe mzuri ila kisanaa kazi ya kawaida ubunifu hafifu,natumai next time mtakata kiu yetu insha Allah.
Nice work
Jeuri ya kiumbe hai ni uzima tu
#AMANI YA MITUME IWE NANYI NYOTE
Bonge la gomaaaaaaaa
Nomaaaaa
broda
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🔥
@Basagamp4
Ай бұрын
Dadaangu Mzuri huyooooooooooo. Saaafi Nimependa
Saigon
Basaga mk hood😂😂
@Basagamp4
Ай бұрын
Naaaam Tuuuuuuupo hapa
❤
Hongera buddah