Chalamila atoa ya moyoni sakata la kufungia wasanii, amtaja Ney wa mitego ningekuwa waziri ningefeli
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaaam, Albert Chalamila amesema endapo angechaguliwa kuwa Waziri wa Michezo Sanaa na Utamaduni kwenye upande wa michezo angefeli.
Amesema hayo leo Juni 12, 2024 jijini Dar es Salaam, akisisitiza kuwa kwenye masuala ya sanaa pamoja na uigizaji angefaulu kwa sababu tangu akiwa mdogo alipenda sana mambo hayo.
"Tangu nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana mambo ya uigizaji , uchekeshaji, kuimba kwaya, mazingaombwe na ndiyo kitu ambacho nilikuwa natamani kukifanya, ukiniambia niende kwenye mpira nilikuwa natoroka siendi uwanjani,"
Пікірлер: 39
Hongera sana Mh. RC Charamila, umeongea jambo la msingi kakini pia umetoa life skills kwa waalikwa wako naamini wameondoka kitu walivyoingia wamefanikiwa kujifunza toka kwako hakika ni tarajio la kesha katika jukwaa la uongozi, Mungu akuzidishie zaidi ya hapo.
Yupo vizuri huyu mzee Chalamila katika hili
Sema huyu jamaa namkubali anaweza sana siasa
Huyu Mzee anaakili kubwa Sana his mind is very smart
Mkuu wetu mkoa umeongea vyema sana kwakweli
Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi
Kabisa Kuna Kila sababu ya kutress back kabla hujamhukumu
Mpeni chuo afundishe 😂😂😂yupo vizuri sana
@TishaniUlanga-bj3nx
Ай бұрын
Hahaha😂huyu kabla ya uteuz ali 13:00 13:00 kuwa lecture.
Umeongea point kubwa saana Comrade
dah hapo kwenye makuuz umenigusa leo umeongea kitu fulan hivi kimenikaa nikweli kila mtu anapenda kitu kulingana na alikotoka yani malez yake nalez hiyo nimeelewa kiongoz kuna mwingine unaweza weka mzik wa ijili akaona si sawa kuna mwingine hipap akaona si sawa kumbe niile amekuaje
Perfectly
Kwer Ney anaishia Tz kama mkimbizi Kwa ajili ya kusema kwer😢
Subiri uchaguzi uishe
Upo vizuri jembe letu
Kiukweli sio sawa kufungia Kazi ya msanii kama kakosea aitwe awekwe sawa lakini mm naamini mziki wa ney hua ni somo kubwa sana kwa nchi yetu sjui mamlaka inatumia Sheria ipi kufungia Kazi ya msanii nimemkumbuka jpm wakati ney alipokamatwa Moro jpm alisema aachiwe haraka sana
By the way amekua lecture miaka ya nyuma ukifundisha mambo ya lugha Mwenge catholic university Moshi
Ngoa uchaguzi uishe 😂😂😂
Porojo tu,kuwe na shule za michezo na sanaa
Good say
Nimemuona kimaro😂😂😂
Leo umetoa lecture kabisa!! We unafaa kufundisha chuooo!!
@yudanziku6030
Ай бұрын
Kwakweli leo nimemwelewa sana
@aloycesamba998
Ай бұрын
Pokea 🥀🥀 yao mapema, m aana Leo umenifurahisha sana leo
@frolencejovenary667
Ай бұрын
Ameshafundisha chuo Kule Mbeya kabla ya kuja kuwa Kwenye siasa
@narymwamba7723
Ай бұрын
Alikua mwalimu wa secondary baadae lecture chuo
@DrMbonea
Ай бұрын
Alikua lecture pia
Sawa mkuu
Ni sawa na leo Roma aichane serikali uhoji ni kwanini, wakati inajulukana akina ...... Walivyo mkamata na kumtesa.
Shule za michezo muhimu
Kama kweli mnampende mpeni cheooo tuoneee
Sawa mweshimiwa swala la makuzi hata Yesu alisema kimtotokacho mtu ndio najisi sio kimwingiacho, mtu hutoa kilicho moyoni hata maneno. Pia hakuna miziki ya Injili kuna maneno ya injili.Injili unaweza kuimba hipap,bongo fleva, singeli, rege, bolingo, rumba nk.
Katika hili la Ney umeongea kwa hekima.
Sas ayo makofi yanin sas kaongea fact gan apo
@philemonsnyanda9450
Ай бұрын
Uchaguzi umekaribia tutasikia mengi
NENO
Akuna Albert mjinga
@malitomalito
Ай бұрын
Ata wanasayansi wapo wenye majina hayo
Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi