Chalamila atoa ya moyoni sakata la kufungia wasanii, amtaja Ney wa mitego ningekuwa waziri ningefeli

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaaam, Albert Chalamila amesema endapo angechaguliwa kuwa Waziri wa Michezo Sanaa na Utamaduni kwenye upande wa michezo angefeli.
Amesema hayo leo Juni 12, 2024 jijini Dar es Salaam, akisisitiza kuwa kwenye masuala ya sanaa pamoja na uigizaji angefaulu kwa sababu tangu akiwa mdogo alipenda sana mambo hayo.
"Tangu nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana mambo ya uigizaji , uchekeshaji, kuimba kwaya, mazingaombwe na ndiyo kitu ambacho nilikuwa natamani kukifanya, ukiniambia niende kwenye mpira nilikuwa natoroka siendi uwanjani,"

Пікірлер: 39

  • @TheKaswahili
    @TheKaswahiliАй бұрын

    Hongera sana Mh. RC Charamila, umeongea jambo la msingi kakini pia umetoa life skills kwa waalikwa wako naamini wameondoka kitu walivyoingia wamefanikiwa kujifunza toka kwako hakika ni tarajio la kesha katika jukwaa la uongozi, Mungu akuzidishie zaidi ya hapo.

  • @esrommakono9213
    @esrommakono9213Ай бұрын

    Yupo vizuri huyu mzee Chalamila katika hili

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6itАй бұрын

    Sema huyu jamaa namkubali anaweza sana siasa

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko7307Ай бұрын

    Huyu Mzee anaakili kubwa Sana his mind is very smart

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030Ай бұрын

    Mkuu wetu mkoa umeongea vyema sana kwakweli

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3cАй бұрын

    Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi

  • @Timoclement
    @TimoclementАй бұрын

    Kabisa Kuna Kila sababu ya kutress back kabla hujamhukumu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3buАй бұрын

    Mpeni chuo afundishe 😂😂😂yupo vizuri sana

  • @TishaniUlanga-bj3nx

    @TishaniUlanga-bj3nx

    Ай бұрын

    Hahaha😂huyu kabla ya uteuz ali 13:00 13:00 kuwa lecture.

  • @user-zh5kn2my4w
    @user-zh5kn2my4wАй бұрын

    Umeongea point kubwa saana Comrade

  • @danielndilili7525
    @danielndilili7525Ай бұрын

    dah hapo kwenye makuuz umenigusa leo umeongea kitu fulan hivi kimenikaa nikweli kila mtu anapenda kitu kulingana na alikotoka yani malez yake nalez hiyo nimeelewa kiongoz kuna mwingine unaweza weka mzik wa ijili akaona si sawa kuna mwingine hipap akaona si sawa kumbe niile amekuaje

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988Ай бұрын

    Perfectly

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947Ай бұрын

    Kwer Ney anaishia Tz kama mkimbizi Kwa ajili ya kusema kwer😢

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640Ай бұрын

    Subiri uchaguzi uishe

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451Ай бұрын

    Upo vizuri jembe letu

  • @BarakaMagere-nw6le
    @BarakaMagere-nw6leАй бұрын

    Kiukweli sio sawa kufungia Kazi ya msanii kama kakosea aitwe awekwe sawa lakini mm naamini mziki wa ney hua ni somo kubwa sana kwa nchi yetu sjui mamlaka inatumia Sheria ipi kufungia Kazi ya msanii nimemkumbuka jpm wakati ney alipokamatwa Moro jpm alisema aachiwe haraka sana

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530Ай бұрын

    By the way amekua lecture miaka ya nyuma ukifundisha mambo ya lugha Mwenge catholic university Moshi

  • @kisoso890
    @kisoso890Ай бұрын

    Ngoa uchaguzi uishe 😂😂😂

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262Ай бұрын

    Porojo tu,kuwe na shule za michezo na sanaa

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimuliziАй бұрын

    Good say

  • @jafarieliyakim6
    @jafarieliyakim6Ай бұрын

    Nimemuona kimaro😂😂😂

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953Ай бұрын

    Leo umetoa lecture kabisa!! We unafaa kufundisha chuooo!!

  • @yudanziku6030

    @yudanziku6030

    Ай бұрын

    Kwakweli leo nimemwelewa sana

  • @aloycesamba998

    @aloycesamba998

    Ай бұрын

    Pokea 🥀🥀 yao mapema, m aana Leo umenifurahisha sana leo

  • @frolencejovenary667

    @frolencejovenary667

    Ай бұрын

    Ameshafundisha chuo Kule Mbeya kabla ya kuja kuwa Kwenye siasa

  • @narymwamba7723

    @narymwamba7723

    Ай бұрын

    Alikua mwalimu wa secondary baadae lecture chuo

  • @DrMbonea

    @DrMbonea

    Ай бұрын

    Alikua lecture pia

  • @crintonhamis2550
    @crintonhamis2550Ай бұрын

    Sawa mkuu

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Ni sawa na leo Roma aichane serikali uhoji ni kwanini, wakati inajulukana akina ...... Walivyo mkamata na kumtesa.

  • @isaackambofi1241
    @isaackambofi1241Ай бұрын

    Shule za michezo muhimu

  • @richkaja3317
    @richkaja3317Ай бұрын

    Kama kweli mnampende mpeni cheooo tuoneee

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630Ай бұрын

    Sawa mweshimiwa swala la makuzi hata Yesu alisema kimtotokacho mtu ndio najisi sio kimwingiacho, mtu hutoa kilicho moyoni hata maneno. Pia hakuna miziki ya Injili kuna maneno ya injili.Injili unaweza kuimba hipap,bongo fleva, singeli, rege, bolingo, rumba nk.

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Katika hili la Ney umeongea kwa hekima.

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707Ай бұрын

    Sas ayo makofi yanin sas kaongea fact gan apo

  • @philemonsnyanda9450

    @philemonsnyanda9450

    Ай бұрын

    Uchaguzi umekaribia tutasikia mengi

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6pyАй бұрын

    NENO

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581Ай бұрын

    Akuna Albert mjinga

  • @malitomalito

    @malitomalito

    Ай бұрын

    Ata wanasayansi wapo wenye majina hayo

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3cАй бұрын

    Ney ni mwanaume kabisa hatakagi ujinga muacheni msemaji wa wananchi

Келесі