Mwenyezi mungu akupe umri mrefu rizki nyingi afya nyema ili uzidi kuwatetea wanyonge
@simonshija2476
24 күн бұрын
kusema mtu anatimu ndo kutetea!
@EzekielMatimbwi14 күн бұрын
Wananchi wa nchi hii nisawa na mpira mbovu, utakakopgiwa ndiko utakakoelekea
@SureJR-yd3zm21 күн бұрын
Hapo umeongea vizuri mzee
@DeograsiadNsembele6 күн бұрын
Ilike your presentation
@masoudalriyamy62983 сағат бұрын
Maneno hayo wanasiasa yanakuhusuni maneno mazito hayo maneno hayo ambizaneni mkaa pamoja msioneane haya
@mohamedkidamiharo4887Ай бұрын
Kwa hilo la mwigulu daa nauli zilipandishwa mama yupo nje pesa zinalipa wachezaji
@ShundeBajuta-xn6yp2 күн бұрын
Kazi wameisahau bali wanajaribu kufanya udanganyifu
@user-jl1ck1zo6b9 күн бұрын
leta hoja za msingi acha na mpira
@Reynoldsmgaya5 күн бұрын
Hii nchi ina mambo yake tuuh tuyaache
@justinjasson70705 күн бұрын
Kumiliki timu ya mpira sio dhambi, umekosa hoja
@user-bx3kl4hn6jКүн бұрын
Ni ufisadi2 uliopo ndani ya ccm
@robertlary600721 күн бұрын
Mhe. Lissu 😄😄😄 Wenzako wanamiliki team za mpira ili vijana wapate ajira kupitia talents walizobarikiwa na Mungu, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
@AlbertLemau
18 күн бұрын
Hzo Hela za kumilik team wanazitoa wapi , ukilinganisha na mishahara wanao lipwa Serikalini ??? Njoo Kwa hoja amby haitakuaibisha
@masoudalriyamy62983 сағат бұрын
Dhambi mwanasiasa kumiliki timu wakati wa mwalimu alikua mwanasiasa hata biashara haruhusiwi kutokana na kuogopa wasitumie wadhifa wao kwa mali za uma
@RehemaSalum-vp6rfКүн бұрын
Uyo mama enu kazi yake kuzulula tu ... Ajali lolote
@user-qd7pn2bt7iАй бұрын
Wanyiramba tubadilikeni hawa CCM kero tupu
@PatsonMbugh
26 күн бұрын
Osptl biashala zaudi
@NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын
Watanzania wanechoka ccm,leteni Sera zinazomgusa mwananchi dola mnaipata bila shida,fenyeni tafiti za kisiasa na mwelekeo wa upepo wa kisiasa,punguzeni matusi wapeni nafasi wanchi kusema wale wanayohitaji hakika mtaibuka kidedea
@clemencemkondya856118 күн бұрын
Acha porojo na kusema wenzako .Hizo ndiyo Sera za kutaka nchi .Wewe ultimate kuwa mbunge miaka kumi ulifanya nini?Tundulisu kila
@NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын
Usichukie mwigulu kumiliki timu,kaka pambania hoja za msingi ,Kama maji ,vyuo singida hakuna hata chuo kikuu singida vyuo vya Kati hakuna,viwanda,
@user-bx3kl4hn6j
Күн бұрын
Ameuliz2 anabiashara gani mpka aweze kumiliki tim ilo ndio swali lake km unalo mjibu
@charlesmsengi33228 күн бұрын
Facts
@user-bx3kl4hn6jКүн бұрын
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
@salumsaid730118 күн бұрын
Amechemmmmmkaaaaaa kwakweli
@AmmyMakita-bt4ip20 күн бұрын
Kwakwel anapatia hela wap jaman
@JeradiMwalingo27 күн бұрын
Mpaka mama nae ana timu jaribu kuitafuta itaipata
@MrishoMzelela-xb9bb
23 күн бұрын
Yanga sc
@Man_of_valor8 күн бұрын
Where are the policies?
@Prisca-ge4ig7 күн бұрын
Huna hoo
@user-wh9zj7kf7h23 күн бұрын
Kwani shida nini tunahitaji sokaikue
@MartinGao-pq3ed11 күн бұрын
Huyu mtu Hana jipya staafu siasa uheshimike
@paulombay688414 күн бұрын
Watanzania wanapenda mpira ko kura zipo hapo mzee
@suleymanmrutu949819 күн бұрын
Wewe hunahoja bn achakuingilia mpira kamahujui watu wamepata ajira na niwengisana nahapa ndiotunapandisha sokaletu hayo mengine nimawazoyakotu achawatu wampira wafanyemambo yampira wewe kwenyempira haupo ndiomana unatafuta kiki kupitia mpira
@ce-08
10 күн бұрын
Shida sio watu kupata ajira watu pesa wametoa wapi za kununua timu ya mpira watu wanaficha hela walizoiba huko
@ChristerKokuАй бұрын
Tuelimishe,ni makosa viongozi kumiliki timu za mpira?
@mohamedkidamiharo4887
Ай бұрын
Mwigulu alipokua wazili awamu ya tano ikapanda singida alipotolewa ikashuka alipolidishwa ikawa big star sasa kanunua ihefu
@GibsonNtamamilo
24 күн бұрын
Haihitaji Elimu ya chuo kikuu, mtu wa kawaida huwezi kumiliki timu ni gharama sana inahitaji fedha ya kutosha. Usajiri tu ni hatari ndugu, Ihefu wapo mapro wengi kwa mwezi sio chini ya Miloni 100 na zaidi.
@user-jx3yi9ci7g19 күн бұрын
Kuna ubaya gani kumiliki team?hapo umechemka
@ramadhankhamis88622 күн бұрын
Mwisho utakodi watu wa kukusikiliza
@JumaKiyogomo27 күн бұрын
Ongea sera
@NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын
Pambana lisu
@sebastianbenedict309025 күн бұрын
huna hoja mpira ni burudani tu
@emmanuelkamoli8215
23 күн бұрын
Huelewi
@jessalmas212219 күн бұрын
hawa jamaa wanatuibia pesa zetu hawafai kuiongoza nchi yetu ccm niwezi yani ccm ni kama familia ya panya
Пікірлер: 55
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu rizki nyingi afya nyema ili uzidi kuwatetea wanyonge
@simonshija2476
24 күн бұрын
kusema mtu anatimu ndo kutetea!
Wananchi wa nchi hii nisawa na mpira mbovu, utakakopgiwa ndiko utakakoelekea
Hapo umeongea vizuri mzee
Ilike your presentation
Maneno hayo wanasiasa yanakuhusuni maneno mazito hayo maneno hayo ambizaneni mkaa pamoja msioneane haya
Kwa hilo la mwigulu daa nauli zilipandishwa mama yupo nje pesa zinalipa wachezaji
Kazi wameisahau bali wanajaribu kufanya udanganyifu
leta hoja za msingi acha na mpira
Hii nchi ina mambo yake tuuh tuyaache
Kumiliki timu ya mpira sio dhambi, umekosa hoja
Ni ufisadi2 uliopo ndani ya ccm
Mhe. Lissu 😄😄😄 Wenzako wanamiliki team za mpira ili vijana wapate ajira kupitia talents walizobarikiwa na Mungu, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia
@AlbertLemau
18 күн бұрын
Hzo Hela za kumilik team wanazitoa wapi , ukilinganisha na mishahara wanao lipwa Serikalini ??? Njoo Kwa hoja amby haitakuaibisha
Dhambi mwanasiasa kumiliki timu wakati wa mwalimu alikua mwanasiasa hata biashara haruhusiwi kutokana na kuogopa wasitumie wadhifa wao kwa mali za uma
Uyo mama enu kazi yake kuzulula tu ... Ajali lolote
Wanyiramba tubadilikeni hawa CCM kero tupu
@PatsonMbugh
26 күн бұрын
Osptl biashala zaudi
Watanzania wanechoka ccm,leteni Sera zinazomgusa mwananchi dola mnaipata bila shida,fenyeni tafiti za kisiasa na mwelekeo wa upepo wa kisiasa,punguzeni matusi wapeni nafasi wanchi kusema wale wanayohitaji hakika mtaibuka kidedea
Acha porojo na kusema wenzako .Hizo ndiyo Sera za kutaka nchi .Wewe ultimate kuwa mbunge miaka kumi ulifanya nini?Tundulisu kila
Usichukie mwigulu kumiliki timu,kaka pambania hoja za msingi ,Kama maji ,vyuo singida hakuna hata chuo kikuu singida vyuo vya Kati hakuna,viwanda,
@user-bx3kl4hn6j
Күн бұрын
Ameuliz2 anabiashara gani mpka aweze kumiliki tim ilo ndio swali lake km unalo mjibu
Facts
Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi
Amechemmmmmkaaaaaa kwakweli
Kwakwel anapatia hela wap jaman
Mpaka mama nae ana timu jaribu kuitafuta itaipata
@MrishoMzelela-xb9bb
23 күн бұрын
Yanga sc
Where are the policies?
Huna hoo
Kwani shida nini tunahitaji sokaikue
Huyu mtu Hana jipya staafu siasa uheshimike
Watanzania wanapenda mpira ko kura zipo hapo mzee
Wewe hunahoja bn achakuingilia mpira kamahujui watu wamepata ajira na niwengisana nahapa ndiotunapandisha sokaletu hayo mengine nimawazoyakotu achawatu wampira wafanyemambo yampira wewe kwenyempira haupo ndiomana unatafuta kiki kupitia mpira
@ce-08
10 күн бұрын
Shida sio watu kupata ajira watu pesa wametoa wapi za kununua timu ya mpira watu wanaficha hela walizoiba huko
Tuelimishe,ni makosa viongozi kumiliki timu za mpira?
@mohamedkidamiharo4887
Ай бұрын
Mwigulu alipokua wazili awamu ya tano ikapanda singida alipotolewa ikashuka alipolidishwa ikawa big star sasa kanunua ihefu
@GibsonNtamamilo
24 күн бұрын
Haihitaji Elimu ya chuo kikuu, mtu wa kawaida huwezi kumiliki timu ni gharama sana inahitaji fedha ya kutosha. Usajiri tu ni hatari ndugu, Ihefu wapo mapro wengi kwa mwezi sio chini ya Miloni 100 na zaidi.
Kuna ubaya gani kumiliki team?hapo umechemka
Mwisho utakodi watu wa kukusikiliza
Ongea sera
Pambana lisu
huna hoja mpira ni burudani tu
@emmanuelkamoli8215
23 күн бұрын
Huelewi
hawa jamaa wanatuibia pesa zetu hawafai kuiongoza nchi yetu ccm niwezi yani ccm ni kama familia ya panya
Hapo unachemka ujue ulitaka wafanyeje kwa jamii
Una tafuta kiki huipati Ng,o
Wewe nyamaza aunalolote wewe lisu akuna maali unaenda naiyo
Tafuta sera
Akuna kitukibaya kama kufiliska kifikra
@ThobiasAlex-ez6fj
26 күн бұрын
Watanzania wengi bongo zetu zimeharibika,sasa unataka sera gani?
@samwelsimon7392
18 күн бұрын
@@ThobiasAlex-ez6fjubelgiji ndio chaguo lake
Hapo umechemka
Na wewe una miliki Nini , wakala wa mashoga au unafikir ujulikan