TUNDU LISSU AZICHAPA NA MWIGULU NCHEMBA | AMEPATA WAPI HELA YA KUMILIKI TIMU YA MPIRA NA.........

Ойын-сауық

Пікірлер: 55

  • @ShewaiKiondo
    @ShewaiKiondo26 күн бұрын

    Mwenyezi mungu akupe umri mrefu rizki nyingi afya nyema ili uzidi kuwatetea wanyonge

  • @simonshija2476

    @simonshija2476

    24 күн бұрын

    kusema mtu anatimu ndo kutetea!

  • @EzekielMatimbwi
    @EzekielMatimbwi14 күн бұрын

    Wananchi wa nchi hii nisawa na mpira mbovu, utakakopgiwa ndiko utakakoelekea

  • @SureJR-yd3zm
    @SureJR-yd3zm21 күн бұрын

    Hapo umeongea vizuri mzee

  • @DeograsiadNsembele
    @DeograsiadNsembele6 күн бұрын

    Ilike your presentation

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62983 сағат бұрын

    Maneno hayo wanasiasa yanakuhusuni maneno mazito hayo maneno hayo ambizaneni mkaa pamoja msioneane haya

  • @mohamedkidamiharo4887
    @mohamedkidamiharo4887Ай бұрын

    Kwa hilo la mwigulu daa nauli zilipandishwa mama yupo nje pesa zinalipa wachezaji

  • @ShundeBajuta-xn6yp
    @ShundeBajuta-xn6yp2 күн бұрын

    Kazi wameisahau bali wanajaribu kufanya udanganyifu

  • @user-jl1ck1zo6b
    @user-jl1ck1zo6b9 күн бұрын

    leta hoja za msingi acha na mpira

  • @Reynoldsmgaya
    @Reynoldsmgaya5 күн бұрын

    Hii nchi ina mambo yake tuuh tuyaache

  • @justinjasson7070
    @justinjasson70705 күн бұрын

    Kumiliki timu ya mpira sio dhambi, umekosa hoja

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6jКүн бұрын

    Ni ufisadi2 uliopo ndani ya ccm

  • @robertlary6007
    @robertlary600721 күн бұрын

    Mhe. Lissu 😄😄😄 Wenzako wanamiliki team za mpira ili vijana wapate ajira kupitia talents walizobarikiwa na Mungu, Kazi Iendelee 🇹🇿 #NasimamanaSamia

  • @AlbertLemau

    @AlbertLemau

    18 күн бұрын

    Hzo Hela za kumilik team wanazitoa wapi , ukilinganisha na mishahara wanao lipwa Serikalini ??? Njoo Kwa hoja amby haitakuaibisha

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62983 сағат бұрын

    Dhambi mwanasiasa kumiliki timu wakati wa mwalimu alikua mwanasiasa hata biashara haruhusiwi kutokana na kuogopa wasitumie wadhifa wao kwa mali za uma

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rfКүн бұрын

    Uyo mama enu kazi yake kuzulula tu ... Ajali lolote

  • @user-qd7pn2bt7i
    @user-qd7pn2bt7iАй бұрын

    Wanyiramba tubadilikeni hawa CCM kero tupu

  • @PatsonMbugh

    @PatsonMbugh

    26 күн бұрын

    Osptl biashala zaudi

  • @NtanduNjiku-ck4kw
    @NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын

    Watanzania wanechoka ccm,leteni Sera zinazomgusa mwananchi dola mnaipata bila shida,fenyeni tafiti za kisiasa na mwelekeo wa upepo wa kisiasa,punguzeni matusi wapeni nafasi wanchi kusema wale wanayohitaji hakika mtaibuka kidedea

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856118 күн бұрын

    Acha porojo na kusema wenzako .Hizo ndiyo Sera za kutaka nchi .Wewe ultimate kuwa mbunge miaka kumi ulifanya nini?Tundulisu kila

  • @NtanduNjiku-ck4kw
    @NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын

    Usichukie mwigulu kumiliki timu,kaka pambania hoja za msingi ,Kama maji ,vyuo singida hakuna hata chuo kikuu singida vyuo vya Kati hakuna,viwanda,

  • @user-bx3kl4hn6j

    @user-bx3kl4hn6j

    Күн бұрын

    Ameuliz2 anabiashara gani mpka aweze kumiliki tim ilo ndio swali lake km unalo mjibu

  • @charlesmsengi332
    @charlesmsengi33228 күн бұрын

    Facts

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6jКүн бұрын

    Mimi sio ccm sio chadema ilo naliweka wazi ila ccm na andazi Mimi nachagua andazi

  • @salumsaid7301
    @salumsaid730118 күн бұрын

    Amechemmmmmkaaaaaa kwakweli

  • @AmmyMakita-bt4ip
    @AmmyMakita-bt4ip20 күн бұрын

    Kwakwel anapatia hela wap jaman

  • @JeradiMwalingo
    @JeradiMwalingo27 күн бұрын

    Mpaka mama nae ana timu jaribu kuitafuta itaipata

  • @MrishoMzelela-xb9bb

    @MrishoMzelela-xb9bb

    23 күн бұрын

    Yanga sc

  • @Man_of_valor
    @Man_of_valor8 күн бұрын

    Where are the policies?

  • @Prisca-ge4ig
    @Prisca-ge4ig7 күн бұрын

    Huna hoo

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h23 күн бұрын

    Kwani shida nini tunahitaji sokaikue

  • @MartinGao-pq3ed
    @MartinGao-pq3ed11 күн бұрын

    Huyu mtu Hana jipya staafu siasa uheshimike

  • @paulombay6884
    @paulombay688414 күн бұрын

    Watanzania wanapenda mpira ko kura zipo hapo mzee

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu949819 күн бұрын

    Wewe hunahoja bn achakuingilia mpira kamahujui watu wamepata ajira na niwengisana nahapa ndiotunapandisha sokaletu hayo mengine nimawazoyakotu achawatu wampira wafanyemambo yampira wewe kwenyempira haupo ndiomana unatafuta kiki kupitia mpira

  • @ce-08

    @ce-08

    10 күн бұрын

    Shida sio watu kupata ajira watu pesa wametoa wapi za kununua timu ya mpira watu wanaficha hela walizoiba huko

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuАй бұрын

    Tuelimishe,ni makosa viongozi kumiliki timu za mpira?

  • @mohamedkidamiharo4887

    @mohamedkidamiharo4887

    Ай бұрын

    Mwigulu alipokua wazili awamu ya tano ikapanda singida alipotolewa ikashuka alipolidishwa ikawa big star sasa kanunua ihefu

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    24 күн бұрын

    Haihitaji Elimu ya chuo kikuu, mtu wa kawaida huwezi kumiliki timu ni gharama sana inahitaji fedha ya kutosha. Usajiri tu ni hatari ndugu, Ihefu wapo mapro wengi kwa mwezi sio chini ya Miloni 100 na zaidi.

  • @user-jx3yi9ci7g
    @user-jx3yi9ci7g19 күн бұрын

    Kuna ubaya gani kumiliki team?hapo umechemka

  • @ramadhankhamis886
    @ramadhankhamis88622 күн бұрын

    Mwisho utakodi watu wa kukusikiliza

  • @JumaKiyogomo
    @JumaKiyogomo27 күн бұрын

    Ongea sera

  • @NtanduNjiku-ck4kw
    @NtanduNjiku-ck4kw13 күн бұрын

    Pambana lisu

  • @sebastianbenedict3090
    @sebastianbenedict309025 күн бұрын

    huna hoja mpira ni burudani tu

  • @emmanuelkamoli8215

    @emmanuelkamoli8215

    23 күн бұрын

    Huelewi

  • @jessalmas2122
    @jessalmas212219 күн бұрын

    hawa jamaa wanatuibia pesa zetu hawafai kuiongoza nchi yetu ccm niwezi yani ccm ni kama familia ya panya

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman30324 күн бұрын

    Hapo unachemka ujue ulitaka wafanyeje kwa jamii

  • @MILHAJIABDALLAH
    @MILHAJIABDALLAH22 күн бұрын

    Una tafuta kiki huipati Ng,o

  • @ChinaBoy-jh8bm
    @ChinaBoy-jh8bm16 күн бұрын

    Wewe nyamaza aunalolote wewe lisu akuna maali unaenda naiyo

  • @user-dm6su5ii9b
    @user-dm6su5ii9b27 күн бұрын

    Tafuta sera

  • @alfanmussa3041
    @alfanmussa3041Ай бұрын

    Akuna kitukibaya kama kufiliska kifikra

  • @ThobiasAlex-ez6fj

    @ThobiasAlex-ez6fj

    26 күн бұрын

    Watanzania wengi bongo zetu zimeharibika,sasa unataka sera gani?

  • @samwelsimon7392

    @samwelsimon7392

    18 күн бұрын

    ​@@ThobiasAlex-ez6fjubelgiji ndio chaguo lake

  • @SaidAdam-xw3jh
    @SaidAdam-xw3jh22 күн бұрын

    Hapo umechemka

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganakiАй бұрын

    Na wewe una miliki Nini , wakala wa mashoga au unafikir ujulikan

Келесі