EXCLUSIVE: MJUE FREEMAN MBOWE MWENYEKITI na MWANASIASA wa CHADEMA/ELIMU/MKE/WATOTO na KESI ya UGAIDI
Ойын-сауық
#freemanmbowe #chadema #ccm #free #dullysantz #santzmedia #wasafimedia #manara #cloudsmedia #simulizinasauti #history
EMBU KIFUATILIE KISA HIKI KWANZA ALAFU NJOO KWENYE COMMENT TUANDIKIE MAONI YAKO
• MAISHA YA VIONGOZI
Пікірлер: 31
SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI " HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU
Wewe ni Mtangazaji mzuri sana
@Santzmedia
18 күн бұрын
Thenks 🤝
Bro simulizi yko haina mtiririko unaoleweka unarukaruka !!!!!
🎉🎉🎉🎉🎉 na msichokijuwa huyu ndo aliyenifanya niipende CHADEMA mwaka 2005 na hadi leo mm ni Kamanda halisi wa CHADEMA na siwezi badirika.
@Santzmedia
24 күн бұрын
Good kamanda
Hujui chochote! Gavana Bank kuu baada ya Edwin Mtei ni Charles Nyirabu! hitoria ya uongo na mapungufu mengi!
Ongera
@Santzmedia
24 күн бұрын
👍
Kilicho mtajirisha sana ni biashara haramu ya pembe za ndovu na madawa ya kulevya kama mirungi na bangi.
@Santzmedia
23 күн бұрын
🤔😂😂😂
Anatafuta haki tabani? anatafutia tumbo lake na watu wake
@user-tb8zb4rv6h
17 күн бұрын
Nadhani umesahau kutaja walipotuibia pesa za kigeni wakati wakiwa watumishi wa uma bank kuu ya Tanzania wakaiunguza gavana mtei nimrodi mkono mbowe
NI JASIRI HUYO FREEMAN AIKAELI MBOWE
@Santzmedia
Ай бұрын
Ni Mfano wa Kuigwa
Miaka 19 duh!!
@Santzmedia
27 күн бұрын
🤔
Bilikana Mbowe alikuwa miaka mingi sana alikuwa halipi kodi nchi usiseme kaonewa ni sheria
@Santzmedia
28 күн бұрын
Kama utakuwa umetufuatilia Vizuri si dhanii kama kunasehemu tumefikili au kuhisi Ameonewa!!!?
@mfalmekaitaba2425
24 күн бұрын
Kama halikuwa halipii huo ni uzembe wa wakusanya kodi
@JackKanyigo
19 күн бұрын
Kwa hiyo kama alikuwa halipi jibu ni kubomoa?..tumia akiri angalau za kwendea chooni
@MohamedRashid-py7ro
19 күн бұрын
@@JackKanyigo kwani nyumba ni yake
wewe ni ccm
@Santzmedia
22 күн бұрын
Why
Ndie mfanya siasa pekeeee nchini hapa
@Santzmedia
28 күн бұрын
Kiukweli
Mboe achia ngazi sasa
@Santzmedia
28 күн бұрын
Mmh😥😥
Wanschama wake wamemchoka haiwezekani awe yeye kila siku na kuhusu klub ya bilcanas ilikuwa inaendeshwa na Baba yake na ilikuwa nightclub na ilikuwa mali ya Nhc yeye alikuwa mrithi tu aondoke tu wamemchoka kwanini analazimisha uongozi aondoke tu
@Santzmedia
29 күн бұрын
@Margarethpolepole , Wewe NI Mtanzania wa kweli lakini jaribu kufuatilia ukweli wa mtu ,na usije ukalishwa sumu kuhusu mtu kwakuaminishwa kitu then ukamchukia mtu
@JackKanyigo
19 күн бұрын
Umefanya research au unaharisha tu