EXCLUSIVE: MJUE FREEMAN MBOWE MWENYEKITI na MWANASIASA wa CHADEMA/ELIMU/MKE/WATOTO na KESI ya UGAIDI

Ойын-сауық

#freemanmbowe #chadema #ccm #free #dullysantz #santzmedia #wasafimedia #manara #cloudsmedia #simulizinasauti #history
EMBU KIFUATILIE KISA HIKI KWANZA ALAFU NJOO KWENYE COMMENT TUANDIKIE MAONI YAKO
• MAISHA YA VIONGOZI

Пікірлер: 31

  • @Santzmedia
    @Santzmedia25 күн бұрын

    SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI " HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU

  • @MwitaTv
    @MwitaTv18 күн бұрын

    Wewe ni Mtangazaji mzuri sana

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    18 күн бұрын

    Thenks 🤝

  • @felixmsale9244
    @felixmsale924427 күн бұрын

    Bro simulizi yko haina mtiririko unaoleweka unarukaruka !!!!!

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba242524 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉 na msichokijuwa huyu ndo aliyenifanya niipende CHADEMA mwaka 2005 na hadi leo mm ni Kamanda halisi wa CHADEMA na siwezi badirika.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    24 күн бұрын

    Good kamanda

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5i20 күн бұрын

    Hujui chochote! Gavana Bank kuu baada ya Edwin Mtei ni Charles Nyirabu! hitoria ya uongo na mapungufu mengi!

  • @ashabushiri4610
    @ashabushiri461024 күн бұрын

    Ongera

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    24 күн бұрын

    👍

  • @georgefesto8455
    @georgefesto845523 күн бұрын

    Kilicho mtajirisha sana ni biashara haramu ya pembe za ndovu na madawa ya kulevya kama mirungi na bangi.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    23 күн бұрын

    🤔😂😂😂

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h17 күн бұрын

    Anatafuta haki tabani? anatafutia tumbo lake na watu wake

  • @user-tb8zb4rv6h

    @user-tb8zb4rv6h

    17 күн бұрын

    Nadhani umesahau kutaja walipotuibia pesa za kigeni wakati wakiwa watumishi wa uma bank kuu ya Tanzania wakaiunguza gavana mtei nimrodi mkono mbowe

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803Ай бұрын

    NI JASIRI HUYO FREEMAN AIKAELI MBOWE

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    Ай бұрын

    Ni Mfano wa Kuigwa

  • @deusntobi6682
    @deusntobi668227 күн бұрын

    Miaka 19 duh!!

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    27 күн бұрын

    🤔

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro28 күн бұрын

    Bilikana Mbowe alikuwa miaka mingi sana alikuwa halipi kodi nchi usiseme kaonewa ni sheria

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    28 күн бұрын

    Kama utakuwa umetufuatilia Vizuri si dhanii kama kunasehemu tumefikili au kuhisi Ameonewa!!!?

  • @mfalmekaitaba2425

    @mfalmekaitaba2425

    24 күн бұрын

    Kama halikuwa halipii huo ni uzembe wa wakusanya kodi

  • @JackKanyigo

    @JackKanyigo

    19 күн бұрын

    Kwa hiyo kama alikuwa halipi jibu ni kubomoa?..tumia akiri angalau za kwendea chooni

  • @MohamedRashid-py7ro

    @MohamedRashid-py7ro

    19 күн бұрын

    @@JackKanyigo kwani nyumba ni yake

  • @stanslausshayo7104
    @stanslausshayo710422 күн бұрын

    wewe ni ccm

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    22 күн бұрын

    Why

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka100828 күн бұрын

    Ndie mfanya siasa pekeeee nchini hapa

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    28 күн бұрын

    Kiukweli

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y28 күн бұрын

    Mboe achia ngazi sasa

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    28 күн бұрын

    Mmh😥😥

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743829 күн бұрын

    Wanschama wake wamemchoka haiwezekani awe yeye kila siku na kuhusu klub ya bilcanas ilikuwa inaendeshwa na Baba yake na ilikuwa nightclub na ilikuwa mali ya Nhc yeye alikuwa mrithi tu aondoke tu wamemchoka kwanini analazimisha uongozi aondoke tu

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    29 күн бұрын

    @Margarethpolepole , Wewe NI Mtanzania wa kweli lakini jaribu kufuatilia ukweli wa mtu ,na usije ukalishwa sumu kuhusu mtu kwakuaminishwa kitu then ukamchukia mtu

  • @JackKanyigo

    @JackKanyigo

    19 күн бұрын

    Umefanya research au unaharisha tu

Келесі