EXCLUSIVE: MAISHA YA ZITTO KABWE/ELIMU/NDOA/VITA ya SIASA/KUFUNGWA/KUMNG'OA WAZIRI/UGOMVI na MAKONDA
Ойын-сауық
#history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #zittokabwe#ACTWAZALENDO
MASWALI YAKO YOTE TEYALI TUMESHAYAJIBU KWENYE MAKALA HII HAPA UTAFAHAMU MAMBO YOTE YANAYOMUHUSU ZITTO KABWE
Пікірлер: 42
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
In politics is the confidence lmotion
@Santzmedia
2 ай бұрын
🤝🤝
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
@Santzmedia
Ай бұрын
😥
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
@Santzmedia
2 ай бұрын
Uko sahihi @maryamadam5622
Halima bulembo mbona huja muweka
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
@Santzmedia
2 ай бұрын
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
@Santzmedia
2 ай бұрын
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
@Santzmedia
5 күн бұрын
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
@Santzmedia
2 ай бұрын
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
@dr.lincolng7835
Ай бұрын
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
Safi thanaaa
@Santzmedia
2 ай бұрын
Thenks 🤝
Zitto kabwe
@Santzmedia
2 ай бұрын
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
@uwezomayonko5101
2 ай бұрын
Program sio PLOGLAM
@Santzmedia
2 ай бұрын
Thenks my brother 🙏🙏
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
@Santzmedia
2 ай бұрын
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@ibrahimally8073
2 ай бұрын
@@Santzmedia kheir
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
@Santzmedia
2 ай бұрын
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
@eastafricaqualitychickenfa9916
2 ай бұрын
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
Mnafiki huyo angekuwa malaya
@Santzmedia
2 ай бұрын
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
@Santzmedia
2 ай бұрын
Rais wa Nchi gani??😀
@aminatanzanya7475
2 ай бұрын
@@Santzmedia Tanzania
@hassanmfaume4522
Күн бұрын
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
Kileno😂ni zito
@Santzmedia
2 ай бұрын
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓