EXCLUSIVE: MAISHA YA ZITTO KABWE/ELIMU/NDOA/VITA ya SIASA/KUFUNGWA/KUMNG'OA WAZIRI/UGOMVI na MAKONDA

Ойын-сауық

#history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #zittokabwe#ACTWAZALENDO
MASWALI YAKO YOTE TEYALI TUMESHAYAJIBU KWENYE MAKALA HII HAPA UTAFAHAMU MAMBO YOTE YANAYOMUHUSU ZITTO KABWE

Пікірлер: 42

  • @badymedia9648
    @badymedia96482 ай бұрын

    Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13192 ай бұрын

    In politics is the confidence lmotion

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    🤝🤝

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6wАй бұрын

    Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    Ай бұрын

    😥

  • @maryamadam5622
    @maryamadam56222 ай бұрын

    Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Uko sahihi @maryamadam5622

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky20 күн бұрын

    Halima bulembo mbona huja muweka

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju24022 ай бұрын

    Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 ай бұрын

    Reo mmm leo acha.kuharibu lugha

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks43122 ай бұрын

    muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw5 күн бұрын

    Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    5 күн бұрын

    Ok. Ahsante Kwa maoni yako

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b2 күн бұрын

    Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange87512 ай бұрын

    Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe

  • @dr.lincolng7835

    @dr.lincolng7835

    Ай бұрын

    Uyu mtangazaji wa mchongo😂

  • @user-pl1mp5sl4k
    @user-pl1mp5sl4k2 ай бұрын

    Safi thanaaa

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Thenks 🤝

  • @kichebacossam8524
    @kichebacossam85242 ай бұрын

    Zitto kabwe

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡

  • @uwezomayonko5101

    @uwezomayonko5101

    2 ай бұрын

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju24022 ай бұрын

    Program sio PLOGLAM

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Thenks my brother 🙏🙏

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim10 күн бұрын

    Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally80732 ай бұрын

    Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    2 ай бұрын

    @@Santzmedia kheir

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume45222 ай бұрын

    Waislamu hawabatizwi😅😅😅

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"

  • @eastafricaqualitychickenfa9916

    @eastafricaqualitychickenfa9916

    2 ай бұрын

    Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h2 ай бұрын

    Mnafiki huyo angekuwa malaya

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    😂😂😂 tumefika huko jamani!!?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74752 ай бұрын

    Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Rais wa Nchi gani??😀

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    2 ай бұрын

    @@Santzmedia Tanzania

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Күн бұрын

    ​@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522Күн бұрын

    Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani90842 ай бұрын

    Kileno😂ni zito

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓

Келесі