Historia. Ya Kassim Majaliwa

Автокөліктер мен көлік құралдары

#waziri #mkuu #watanzania #usikutv #kassim_Majaliwq

Пікірлер: 22

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn46116 күн бұрын

    Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .

  • @Kainga47
    @Kainga47Ай бұрын

    Safi sana

  • @paulhando6286
    @paulhando628610 ай бұрын

    Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55679 ай бұрын

    Hapo shemeji yangu pa kuwa timu simba nimekupenda hiyo aina jina.Simba hoyoooo❤❤❤👍👍

  • @user-cv1ye7sx2d
    @user-cv1ye7sx2d9 ай бұрын

    Ubarkiwe na mwenyez Mungu nakuombea kwa utendaji wako makini nipo Kahama shinyanga

  • @AbigailBateyunga
    @AbigailBateyunga10 ай бұрын

    Safi saaaaana.❤ ✔️🇹🇿

  • @CharlesMembo
    @CharlesMembo10 ай бұрын

    Namkubari majaliwa agombee urais 2025

  • @anraneamisse9243
    @anraneamisse92439 күн бұрын

    Nandagala moja a.k.a mnacho

  • @mann9460
    @mann9460 Жыл бұрын

    mwana kaigo mwenzangu 🥰🥰🥰🥰

  • @RobertsKibasa-wi9mf

    @RobertsKibasa-wi9mf

    10 ай бұрын

    Ni kweli, tukipiga kitabu Kigonsera pamoja miaka hiyo.

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz9 ай бұрын

    Waziri mkuu hongera Kwa wasifu wako mzuri usiokinzana na utendaji KAZI wako.... Endelea kuwaongoza vyema mawaziri wako

  • @MashaSayi-ui7dz

    @MashaSayi-ui7dz

    9 ай бұрын

    EATV Stay blessed!

  • @petermboje5839
    @petermboje583910 ай бұрын

    Unafaa mxee kuwa rais wetu baba nakuombea

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 Жыл бұрын

    Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷

  • @USIKUTV

    @USIKUTV

    Жыл бұрын

    We acha kudanganya

  • @USIKUTV

    @USIKUTV

    Жыл бұрын

    Tulifanya utafit kabla ya kuipost Ulicho sema toa ushaidi wako wa kile ulicho sema

  • @ghuhenjasper8666
    @ghuhenjasper86669 ай бұрын

    Sasa apewe nafasi ya kuwa RAIS wa NCHI yetu ya Tanzania maana anafaa kwa UONGOZI.

  • @isamony58
    @isamony58 Жыл бұрын

    safi sana

  • @RaymondMahundi
    @RaymondMahundi13 күн бұрын

    Unajitambua kweli wewe.historia inasomwa hivyo kweli jana .hebu waachieni waandiahi habari Kazi yao

  • @USIKUTV

    @USIKUTV

    13 күн бұрын

    Kipi kilicho kosewa hapo

  • @USIKUTV

    @USIKUTV

    13 күн бұрын

    Fafanua

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Жыл бұрын

    Safi sana

Келесі