Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .
@Kainga47Ай бұрын
Safi sana
@paulhando628610 ай бұрын
Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki
@aminaomary55679 ай бұрын
Hapo shemeji yangu pa kuwa timu simba nimekupenda hiyo aina jina.Simba hoyoooo❤❤❤👍👍
@user-cv1ye7sx2d9 ай бұрын
Ubarkiwe na mwenyez Mungu nakuombea kwa utendaji wako makini nipo Kahama shinyanga
@AbigailBateyunga10 ай бұрын
Safi saaaaana.❤ ✔️🇹🇿
@CharlesMembo10 ай бұрын
Namkubari majaliwa agombee urais 2025
@anraneamisse92439 күн бұрын
Nandagala moja a.k.a mnacho
@mann9460 Жыл бұрын
mwana kaigo mwenzangu 🥰🥰🥰🥰
@RobertsKibasa-wi9mf
10 ай бұрын
Ni kweli, tukipiga kitabu Kigonsera pamoja miaka hiyo.
@MashaSayi-ui7dz9 ай бұрын
Waziri mkuu hongera Kwa wasifu wako mzuri usiokinzana na utendaji KAZI wako.... Endelea kuwaongoza vyema mawaziri wako
@MashaSayi-ui7dz
9 ай бұрын
EATV Stay blessed!
@petermboje583910 ай бұрын
Unafaa mxee kuwa rais wetu baba nakuombea
@nickjuma6020 Жыл бұрын
Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷
@USIKUTV
Жыл бұрын
We acha kudanganya
@USIKUTV
Жыл бұрын
Tulifanya utafit kabla ya kuipost Ulicho sema toa ushaidi wako wa kile ulicho sema
@ghuhenjasper86669 ай бұрын
Sasa apewe nafasi ya kuwa RAIS wa NCHI yetu ya Tanzania maana anafaa kwa UONGOZI.
@isamony58 Жыл бұрын
safi sana
@RaymondMahundi13 күн бұрын
Unajitambua kweli wewe.historia inasomwa hivyo kweli jana .hebu waachieni waandiahi habari Kazi yao
Пікірлер: 22
Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .
Safi sana
Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki
Hapo shemeji yangu pa kuwa timu simba nimekupenda hiyo aina jina.Simba hoyoooo❤❤❤👍👍
Ubarkiwe na mwenyez Mungu nakuombea kwa utendaji wako makini nipo Kahama shinyanga
Safi saaaaana.❤ ✔️🇹🇿
Namkubari majaliwa agombee urais 2025
Nandagala moja a.k.a mnacho
mwana kaigo mwenzangu 🥰🥰🥰🥰
@RobertsKibasa-wi9mf
10 ай бұрын
Ni kweli, tukipiga kitabu Kigonsera pamoja miaka hiyo.
Waziri mkuu hongera Kwa wasifu wako mzuri usiokinzana na utendaji KAZI wako.... Endelea kuwaongoza vyema mawaziri wako
@MashaSayi-ui7dz
9 ай бұрын
EATV Stay blessed!
Unafaa mxee kuwa rais wetu baba nakuombea
Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷
@USIKUTV
Жыл бұрын
We acha kudanganya
@USIKUTV
Жыл бұрын
Tulifanya utafit kabla ya kuipost Ulicho sema toa ushaidi wako wa kile ulicho sema
Sasa apewe nafasi ya kuwa RAIS wa NCHI yetu ya Tanzania maana anafaa kwa UONGOZI.
safi sana
Unajitambua kweli wewe.historia inasomwa hivyo kweli jana .hebu waachieni waandiahi habari Kazi yao
@USIKUTV
13 күн бұрын
Kipi kilicho kosewa hapo
@USIKUTV
13 күн бұрын
Fafanua
Safi sana