MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"

MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alizaliwa mwaka 1960 katika kijiji cha Nandagara, Kitongoji cha Nanditi (Lideko), wilayani Ruangwa mkoa wa Lindi, kusini mwa Tanzania.
Ni mtoto wa sita kuzaliwa kutoka kwa marehemu Mzee Hamisi Majaliwa.
Aliishi maisha ya ukiwa baada ya Mama yake mzazi, Binasa Issa Chikawe kufariki dunia akiwa bado mdogo, Shangazi yake Sharifa ni miongoni mwa walioshiriki malezi yake baada ya kufiwa na mama yake, aliyekuwa mke mdogo wa marehemu Mzee Hamisi majaliwa Hanga, aliyefariki dunia katika miaka ya 1990.
#PROFILE #KASSIMMAJALIWA
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 148

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi2 жыл бұрын

    Wanaomkubali Kasim Majaliwa kama mimi tugonge like hapa

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila10693 жыл бұрын

    No one can be more than Majaliwa next president 2025. Thank U Jpm Kwa kumkuza Majaliwa now his so fantastic leader. Asante Mungu kwa Tanzania Safi na imara.

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo59475 жыл бұрын

    Huyu ndiye Raisi awamu ya sita atakayeendeleza filosofia ya hapa kazi tu. Awamu ya Tano imeweka misingi mizito ya nidhamu ya utendaji uliotukuka na mambo tunayoyaona ni vyema mikoba hiyo ikaendelezwa na Mh. Kassim Majaliwa.

  • @Happy-go-lucky637
    @Happy-go-lucky6375 жыл бұрын

    Kama unamkubali majaliwa gonga like

  • @chawallamathew505

    @chawallamathew505

    5 жыл бұрын

    Yuko vizuri ana deserve

  • @mikidadimbalijika6500

    @mikidadimbalijika6500

    4 жыл бұрын

    Nc

  • @eliajoseph6865

    @eliajoseph6865

    3 жыл бұрын

    Namkubali. San hongela mwanangu

  • @joycejohn102
    @joycejohn1025 жыл бұрын

    Bravo kigonsera secondary and High school locates at Mbinga district in Ruvuma region hakika ni shule bora maana imetoa Waziri mkuu na hata Rais wa awamu ya 3 Hon Benjamin William Mkapa na mkurugenzi wa sasa wa usalama wa Taifa kasoma hapo hapo Kigonsera

  • @safiaothman1098
    @safiaothman10984 жыл бұрын

    Hongera Mheshimiwa Waziri Mkuu. Nakuombea kwa Allah kila la kheri katika Maisha na Majukumu yako. MIMI EX- DAS Urambo.

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn74342 жыл бұрын

    Maajaliwaa bila kipingamizi 2025 ndio rais wetu ajaee munguu mbariki majaliwaa. Mpe afya njemaa umjepushe na .achoo ya hasaad rais wetuu hakika uwiongoze tanzania mungu ibariki TANZANIA

  • @sadockmhinza699
    @sadockmhinza6995 жыл бұрын

    super intelligent man namkubali sana mwalimu kassim majaliwa

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha90415 жыл бұрын

    Kumbe hauna wazazi mh dar pore sana jembe letu

  • @zakariamaria9397

    @zakariamaria9397

    5 жыл бұрын

    Sema pole siy pore

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden57105 жыл бұрын

    Kweli tutakula kwa jasho big up hastle in blood

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline29 күн бұрын

    Story nzuri sana ila msomaji mmmm

  • @lutundujafau6020
    @lutundujafau60205 жыл бұрын

    Aisee,,,naamini kuna watu wako sehem lkn ndoto zao bado ndoto zao haziko kule kikubwa tuishi na malengo yetu tutatobowaaa,,💪💪💪

  • @abdulakihanza9328

    @abdulakihanza9328

    5 жыл бұрын

    Tunaomba profile ya kange lugola

  • @lutundujafau6020

    @lutundujafau6020

    5 жыл бұрын

    @@abdulakihanza9328 😀😀😀😀😀

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe38265 жыл бұрын

    mungu akuzdishie umri mlefu waziri mkuu majaliwa

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu9103 жыл бұрын

    "Mheshimiwa Waziri mkuu, Mheshimiwa kassim Majaliwa Ni Kiongozi Mzuri Sana, Ni mfatiliaji mzuri Sana, Ninamuombea kila la Kheri kutoka kwa Mwenyezi Mungu Katika Majukumu yake.

  • @josephmbughi6944
    @josephmbughi69443 жыл бұрын

    Saiv nmepata historia ya mheshmiwa ndugai na majaliwa kwa u-tube! Lengo jema tunatiwa moyo..

  • @fedrickmwikwabe279
    @fedrickmwikwabe2794 жыл бұрын

    Mh kassim majaliwa tunakuomba mwaka 2025 ugombee urais maana una uzoefu wakuongoza nchi by Fedrick mwikwabe from tarime Mara Tanzania

  • @hadijajohn7434

    @hadijajohn7434

    2 жыл бұрын

    Yani tunamkubali sana sana majaliwaa .mungu ampe afyaa njemaa

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Жыл бұрын

    Ana hekima huyu waziri mkuu

  • @gigotz1755
    @gigotz17555 жыл бұрын

    Jk inaelekea anamkubali Majaliwa

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa68725 жыл бұрын

    safi cn,namkubali sana mh Majaliwa

  • @charlesbwire2010
    @charlesbwire20105 жыл бұрын

    hongera sana kiongozi wetu

  • @pradeepgajjar8614
    @pradeepgajjar86142 жыл бұрын

    Kaka you are best god bless you long live and have healthy life🙏

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya22695 жыл бұрын

    Dah, hatujui yajayo mbele

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus5682 жыл бұрын

    Kumbe waziri wangu msomi nakupenda sana waziri mkuu wangu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22342 жыл бұрын

    Mungu akupe maish marefu na afya njema inshalaah

  • @hajiramadhani2699
    @hajiramadhani26993 жыл бұрын

    Amezaliwa kabla ya uhuru wa Tanzania Kama umemuelewa bado kijana gonga like

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49734 жыл бұрын

    Eee Jina lake linaendana na istoria ya maisha yake MAJALIWA MUNGU AKUJALIE KILA SIKU BABA

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo59475 жыл бұрын

    Atakuwa Waziri Mkuu wa Pili kuwa Raisi wa Tanzania baada ya Mwalimu J.K Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa Kwanza na baadaye kuwa Raisi wa Kwanza wa Tanzania. Tunakutakia kila la Kheri.

  • @davidchesco52

    @davidchesco52

    5 жыл бұрын

    Maingu Buremo mungu atusaidie maana anasifa kabisa kuwa Rais

  • @abdallaameir3153

    @abdallaameir3153

    2 жыл бұрын

    Nauliza nyerere alikua wazir mguu wa tanzania ama tanganyika s

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe3 жыл бұрын

    THE NEXT PRESIDENT

  • @user-zo3tl2ip6l
    @user-zo3tl2ip6l6 ай бұрын

    Huyo. Namkubari. Astimia100.

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha65152 жыл бұрын

    If mama will contest obvious Majaliwa will support her

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar54552 жыл бұрын

    Sikudhani. Hongera

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib45125 жыл бұрын

    I like it congradulation MP majaaliwa

  • @yeahjimmundakega8228

    @yeahjimmundakega8228

    5 жыл бұрын

    MtangaZaji unajua kutangaza vizuri sana !

  • @laurentfisso8111

    @laurentfisso8111

    5 жыл бұрын

    yuko vizuri majaliwa

  • @farhatfatma12

    @farhatfatma12

    4 жыл бұрын

    Spelling, spelling.

  • @mohdkiparah2584
    @mohdkiparah25843 жыл бұрын

    Allah amjaalie ampe nguvu na hekma kufanikisha majukumu yke

  • @hajimakame7554
    @hajimakame75545 жыл бұрын

    nampendaa Rais wangu wa baadae

  • @magretmartin6992
    @magretmartin69922 жыл бұрын

    Mungu akutangulie tunakupeda sana ujekuwa raisi

  • @frankmnale1900
    @frankmnale19005 жыл бұрын

    Alikuwa na karama ya uongozi toka utotoni...... Ndo maana mpaka leo ni kiongozi anaependwa na wengi

  • @nyangigewerema9123

    @nyangigewerema9123

    5 жыл бұрын

    frank mnale x

  • @dominickmassawe7720
    @dominickmassawe77202 жыл бұрын

    Huyu ndie raisi wetu

  • @roseamos2812
    @roseamos28125 жыл бұрын

    Nakuombea Kwa Mungu Ukawe president kwa miaka ijayo

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo415 жыл бұрын

    HUYU NI WA KIUMENI .. SINA MASWALI BALI MAJIBU TUU.. ANAFAA..! 2025..!

  • @hadijajohn7434

    @hadijajohn7434

    2 жыл бұрын

    Kabisaa anafaaa kasimu majaaliwaa awe rais wa TANZANIA tunamuombea

  • @salvatorybuha4328
    @salvatorybuha43285 жыл бұрын

    dah namkubali huyu jamaa ni hatari ni mchapakazi haswaa na ni mzalendo sana nampenda majaliwa balaa

  • @paulsamson335

    @paulsamson335

    3 жыл бұрын

    Kaieowtfd

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha90415 жыл бұрын

    Wewe ni raisi ujae baada ya raisi magufuri kumaliza

  • @joshualeonard8729

    @joshualeonard8729

    5 жыл бұрын

    Ni rais anaekuja rais wetu ataamua maana maamzi ya ukweli mheshimiwa pombe magufuri

  • @joshualeonard8729

    @joshualeonard8729

    5 жыл бұрын

    Magufuri ndo kila kitu

  • @drgerwinegosbert2547
    @drgerwinegosbert25475 жыл бұрын

    Given mashishanga ...baba yako alishawahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza?

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory34252 жыл бұрын

    Hakika hakuna mwenye haki tazama msalaba yesu aliteseka lakini alifikia kilele chake usiwe na roho wa uwepesi mungu akubariki

  • @akothbake3602
    @akothbake36022 жыл бұрын

    Raisi wetu wa awamu ya sita bila kipingamizi🇹🇿

  • @nipautago8574
    @nipautago85742 жыл бұрын

    Next president! 🇹🇿

  • @juliethmpuya9130
    @juliethmpuya91303 жыл бұрын

    Nic

  • @barakachawe6241
    @barakachawe62414 жыл бұрын

    Haha ndio najua leo kwamba mzee Warioba aliwahi kuwa waziri

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory34252 жыл бұрын

    Baba majaliwa piga moyo konde uone 2025 usituache kama muhimili wetu spika wa mbunge mungu atatulea kiongozi mzuri zaidi yake usiwe na ona fupi tazama parefu mbele

  • @polycarplazaro8482
    @polycarplazaro84822 жыл бұрын

    Namuona RAISI AJAE...WA JMTZ

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 Жыл бұрын

    Naomba profile ya Msukima - mbunge

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva70733 жыл бұрын

    @Given Mashishanga, profile ni nzuri ila, umefanya makosa kadhaa katika uwasilishaji wako, kiasi kwamba yanapotosha na kuharibu uhondo. Nitayaainisha hapa ili ujifunze na kuwa makini next time usomapo taarifa kama hizi. 1. Stokholm ni mji mkuu wa nchi iitwayo Sweden. Hakuna nchi duniani yenye jina la Sida, kama ulivyotamka kwenye taarifa yako. 2. Hakuna klabu Tanzania yenye jina la Namuongo, jina sahihi ni "Namungo" 3. Kwenye taarifa yako umetamka maneno: "...sakata la kabumbu..." halafu wala hukusema ni sakata lipi hilo. Huenda ulitaka kusema "...zaidi ya kusakata kabumbu, Mh. Waziri Mkuu ana fani nyingine..." Muandishi wa habari anapaswa kuwa makini katika utoaji wa taarifa, kwa sababu, zaidi ya mambo mengine, kazi hiyo huelimisha jamii pia. Taarifa zinapopotoshwa, kwa kukosa umakini au kutojua au kutofanya uchunguzi kabla ya kutoa taarifa husika, wakati fulani huweza kuleta balaa katika jamii husika. Ni muhimu sana kuwa makini katika taarifa zitolewazo.

  • @mosesmzakwe7774

    @mosesmzakwe7774

    2 жыл бұрын

    Umemuelewesha vizuri. Ajifundishe kuwa Makini

  • @whimsymaverick3057

    @whimsymaverick3057

    2 жыл бұрын

    Rejea pia "POSTIGLADUATE DIPLOMA'

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 жыл бұрын

    SINGIDA UNAITED

  • @machoguhamery3731

    @machoguhamery3731

    Жыл бұрын

    Na weww jufunze kiswahili hakuna neno muandishi katika kiswahili bali huandikwa na kutamkwa "mwandishi" siyo muandishi

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38992 жыл бұрын

    Nandagala nanyumbu nanganga Nachingwea Ruwangwa mpekenyela.

  • @abduldello1555
    @abduldello15555 жыл бұрын

    Safi sana, ila hujaeleza kuhusu familia yake.

  • @winnifridambata8718

    @winnifridambata8718

    3 жыл бұрын

    Familia yake Ana mke mmoja na watoto was 4 .

  • @sonymusa5333
    @sonymusa53335 жыл бұрын

    Huyu ndo raisi ajae

  • @francismkenda
    @francismkenda5 жыл бұрын

    Mhe. Majaliwa atabaki kuwa juuu atabaki kileleniiiiiii

  • @mamachris6811
    @mamachris68115 жыл бұрын

    M/kiti CWT Mkoa Singida

  • @nkunasuitbert7837
    @nkunasuitbert78373 жыл бұрын

    Profile ya mh. Waziri mkuu haikukamilika mbona hukusema alioa lini na mkewe anaitwa nani na mwenyeji wa wapi?

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard90592 жыл бұрын

    Nampenda kama magu

  • @stanleymbwana4828
    @stanleymbwana48285 жыл бұрын

    Kuna WAZIR OMAR ALL JUMA HAKUWA WAZIR MKUU

  • @ambakisyemwakinunu2002

    @ambakisyemwakinunu2002

    5 жыл бұрын

    Alikuwa makam wa Rais kipindi cha mkapa

  • @abuufauzaanmohd447

    @abuufauzaanmohd447

    4 жыл бұрын

    Hakuwa waziri mkuu alikuwa makamo wa rais

  • @emmanuelphabian1980
    @emmanuelphabian19802 жыл бұрын

    Dah nakusubil majaliwa nikupe kura yangu .

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus5682 жыл бұрын

    Bonge la handsome

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline29 күн бұрын

    Sida ni nchi gani?

  • @deusdedithkitaly8337
    @deusdedithkitaly83375 жыл бұрын

    anafaaa kuwa raisi akigombania nampa kura

  • @ruwailaomar6501

    @ruwailaomar6501

    3 жыл бұрын

    Kwa mgombea wa ccm ukimpa kura usimpe ni rais tu

  • @zenadaudzena2849

    @zenadaudzena2849

    2 жыл бұрын

    Sio kugombania ni kugombea

  • @agustinolugusi9671
    @agustinolugusi96715 жыл бұрын

    2025

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir31532 жыл бұрын

    Hapa naomba afafanuzi nyerere alikua waziri mkuu wa tanganyika ama tanzania sababu tunalishwa matango pori tu

  • @nestor384
    @nestor3845 жыл бұрын

    Makonda please!!!

  • @emanuelminja5537
    @emanuelminja55373 жыл бұрын

    Nchini Sweden

  • @abellutonja4589
    @abellutonja45893 жыл бұрын

    Kuna vingine huvijui unariport tuu

  • @chawawaally1259
    @chawawaally12594 жыл бұрын

    Ukuu was wilaya alianzia ulambo baadae rufiji

  • @godfreychitanda8098
    @godfreychitanda80982 жыл бұрын

    Daaa

  • @dattijulius2436
    @dattijulius24363 жыл бұрын

    Me nakuombea uwe raisi uendeleze kanuni ya hapa kazi tu

  • @josephmgongolwa9496
    @josephmgongolwa94963 жыл бұрын

    Mnisaidie kigosera nimbeya luvuma hapa mbona katudanganya

  • @ypg144
    @ypg1445 жыл бұрын

    Kuna kasoro nyingi sana umu mmedanganya

  • @kennedymtweve3187

    @kennedymtweve3187

    3 жыл бұрын

    Wewe ndiyo raisi ajaye basi maana kuna watu mnapenda kupinga kilakitu.

  • @alfanmussa3041
    @alfanmussa30412 жыл бұрын

    Umesaau km amewai kua mkuu wa wilaya ya bukoba mjini na kuwapiga walimu viboko

  • @salumuledy8682
    @salumuledy86822 жыл бұрын

    Huyo ndio anayetufahaa kuwa rais wetu

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene62392 жыл бұрын

    Rais wetu

  • @elisantekaaya3444
    @elisantekaaya34442 жыл бұрын

    Alizaliwa...1960…........ Mamake.. alizaliwa..1990..hivi.... Kuna.mtoto.wa.miaka.10.wa. kulelewa na shangazi???? Taarifa yako inatisha

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9413 жыл бұрын

    Hizi zote ni asante zake kikwete kuanzia magufuli na majaliwa hawa ndio wamerejesha ccm yetu tena kweny fom ....magufuli oyeeeeeee majaliwa oyeeeeee .......

  • @msetikebwasi8367

    @msetikebwasi8367

    2 жыл бұрын

    Hilo wengi tumelisahau.

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34292 жыл бұрын

    ajitangaza kuwa mgombea wa uraisi huyo kesha nunua radio hiyo imtangaze

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles71943 жыл бұрын

    Yaan wewe dada umesma miaka ya tisini naa alikua chuo mlimani ghala unarud Tena miaka ya themanini naa aliajiliwa mbona hujui kupangilia ?? Haya mambo waachieni akina Edgar na mpagaze hujui kupangilia

  • @christianosimba6083
    @christianosimba60832 жыл бұрын

    Uyu ndio rais wngu wa baadae kassimu

  • @agiedonath7687
    @agiedonath76873 жыл бұрын

    Magufuli

  • @user-hx3mq5fg7v
    @user-hx3mq5fg7v5 ай бұрын

    Unatosha kuwa rais

  • @marymajula5351
    @marymajula53513 жыл бұрын

    Sida ndio nini!!!

  • @babusadala5732
    @babusadala57322 жыл бұрын

    Mwambaa ......🤔🤔🤔

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    Majaliwa Jembe mchapa kazi anafaa kuvaa viatu vya JPM akimaliza mda wake

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph59662 жыл бұрын

    Kura yangu kwako 2025

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph45584 жыл бұрын

    Sigfred sio sigifild

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Jembe Majaliwa tunakupenda sana ,halafu wewe ujali wala nini kazi kazi.Tunakusubili 20..................

  • @jameskyoma3371
    @jameskyoma33713 жыл бұрын

    RAIS WA 2O25

  • @mbwanakivava461
    @mbwanakivava4614 жыл бұрын

    Kama amezaliwa 1960 mbona hana mvi?

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Unafikiri ana shida kama wewe?

  • @mbwanakivava461

    @mbwanakivava461

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 mvi haziletwi na shida we choko muulize baba yako aliyeshindwa kukusomesha Idiot

  • @rapperdx1331
    @rapperdx13315 жыл бұрын

    Bob makani, aliyekuwa Gavana wa benki enzi za mwalimu

  • @liberatusulaya2269

    @liberatusulaya2269

    3 жыл бұрын

    No, ni edwin mtei

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa28572 жыл бұрын

    Nina mkubali saaana

  • @ellymaz2187
    @ellymaz21874 жыл бұрын

    Peter Ching'ole???

  • @jumamdely747

    @jumamdely747

    3 жыл бұрын

    Waaakili

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa40734 жыл бұрын

    Mbn hujazungumza kuwachapa waalimu akiwa DC

  • @nelsonishengoma9548

    @nelsonishengoma9548

    4 жыл бұрын

    Kipindi hicho alikuwa naibu waziri Tamisemi

  • @ephraimndelwa4073

    @ephraimndelwa4073

    4 жыл бұрын

    @@nelsonishengoma9548 alikuw DC

  • @gracejulius3966

    @gracejulius3966

    2 жыл бұрын

    Wapi hiyo ndugu ?

  • @sisnatusmnali1655
    @sisnatusmnali16553 жыл бұрын

    Next next president

  • @japhaljumamagulu8969

    @japhaljumamagulu8969

    3 жыл бұрын

    Waziri yuko sawa tunaomba awe rais ajae mbele

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69615 жыл бұрын

    baada ya mzee magufuli rais wetu ni dr hussen mwinyi maarufu ruksa junior.Msisahau utaratibu wa tanzania kwanza miaka kumi rais mkristo na miaka kumi rais mwislam utaratibu uliowekwa na baba wa taifa mwl nyerere.Pili Rais wa kikristo wanakuwa wakali na wakiislam wanakuwa wapole.kwa historia baada mh magufuli rais mkali na baada yake ni dr hussen mwinyi (ruksa mdogo)ni mpole kama baba yake mzee mwinyi

  • @abdullahkimbweja1066

    @abdullahkimbweja1066

    5 жыл бұрын

    Eti ruksa junior 😀😃😄

  • @laodapigfarmmrduroc8327

    @laodapigfarmmrduroc8327

    5 жыл бұрын

    unaletaudino, ndio maana waafrica hamendelei koz mnawaza dini zilizo letwa na wageno ambazo zinatutenga hadi leo

  • @kennedymtweve3187

    @kennedymtweve3187

    3 жыл бұрын

    Tunataka kiongozi sio dini

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju24023 жыл бұрын

    NAMUNGO au NAMUONGO

  • @msafirilibagaja3792

    @msafirilibagaja3792

    3 жыл бұрын

    Namungo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist3 жыл бұрын

    Nchini Sida! Nchi gani hiyo? Yaani tumefika hapa?!!!!

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma85012 жыл бұрын

    Dictater

Келесі