WAZIRI MKUU AKASIRISHWA AMWASHIA MOTO MTUMISHI, "MMEJENGAJE MILIONI 11 HII NYUMBA, SITOWAVUMILIA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 321
@danielimeshack3712 Жыл бұрын
ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
@FreeGod368
Жыл бұрын
huyu alitakiwa kuwa rais
@jambo3751
Жыл бұрын
Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
@kazikazini1042
10 ай бұрын
Endeleeni kumchoresha
@JumaRashidi-qu6nv Жыл бұрын
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
@azizahharoun1236 Жыл бұрын
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
@abdulatiftu9836
Жыл бұрын
Kabisa our next president
@johngerald4677
Жыл бұрын
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Nyokooo
@ramadhanisanze3631
Жыл бұрын
Rais alibaki tz ambaye anaweza
@sophiaalexandersophia8610 Жыл бұрын
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
@abedomar5183 Жыл бұрын
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
@stefanomwanzarubi6216
Жыл бұрын
Hadinimemkumbuka magufuli
@bubelesatanzanialogistics3948
Жыл бұрын
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
@fadhilimanjeka3729
Жыл бұрын
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
@mahmoudabdallah4533
Жыл бұрын
Duh
@antonychristian1369
Жыл бұрын
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
@evarimdecoration4256 Жыл бұрын
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
@juliusdonard933 Жыл бұрын
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
@richardchijana9665 Жыл бұрын
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
@ramadhanhemedi1554 Жыл бұрын
Uko sahihi muheshimiwa hongera
@pirminmatumizi5464 Жыл бұрын
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
@sk-wj9or
Жыл бұрын
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
@ruthsawida8507
Жыл бұрын
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
@theresiamwandara7990 Жыл бұрын
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
@hamismabula9934 Жыл бұрын
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
@Really-football Жыл бұрын
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
@emmanuelaloyce932 Жыл бұрын
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
@yusuphkassimu227
Жыл бұрын
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
@margarethsolomon9823
Жыл бұрын
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Mungu Akulinde Baba🙏.
@laurenciakamata9 ай бұрын
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
@salmaathuman9156 Жыл бұрын
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
@mohamedkigwehe3561 Жыл бұрын
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
@rachellaiza7779 Жыл бұрын
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
@imaninjau9135 Жыл бұрын
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
@jamesjeremiah9416 Жыл бұрын
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana
@venancengunda3879 Жыл бұрын
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
@egonemmanuelkudaba4945
Жыл бұрын
Tunahitaji uzalendo
@jitabojilala6162 Жыл бұрын
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
@mudihb1820
Жыл бұрын
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
@jumambarale699 Жыл бұрын
Engineer anaharisha apoo....
@gapablessgadison6863 Жыл бұрын
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
@sk-wj9or Жыл бұрын
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
@michaelmaziku991 Жыл бұрын
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
@telaamtauta2227 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
@lovesallu5292 Жыл бұрын
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
@bonywahab9565 Жыл бұрын
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
@maryamaliy8509
Жыл бұрын
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
@queenlizzyplatnumz4942 Жыл бұрын
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
@edisonpeter3894 Жыл бұрын
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
@theuniversetv2870 Жыл бұрын
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
@sarahsimon8060 Жыл бұрын
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
@kavoomshana7289 Жыл бұрын
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
@neemakerefu4876 Жыл бұрын
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
@margarethsolomon9823 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
@erickwilliam6610 Жыл бұрын
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
@floraleonard9095 Жыл бұрын
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
@jerelkhondwani7165 Жыл бұрын
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
@bahatiamnon7579 Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
@erickwilliam6610 Жыл бұрын
Unaweza mkuu
@jamessimbaire3016 Жыл бұрын
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
@mrndundugurushi9782 Жыл бұрын
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
@sherryeverest2522 Жыл бұрын
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
@saidgoryo999 Жыл бұрын
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
@ummyjoel4308 Жыл бұрын
Hongera sana wazir mkuu
@jumahassan273 Жыл бұрын
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
@jacksonmkuye7739 Жыл бұрын
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
@madukaj.j.6999 Жыл бұрын
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
@johngerald4677 Жыл бұрын
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
@menovicmushy1032 Жыл бұрын
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
@hosea7919 Жыл бұрын
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
@chinjochwayaa7250
Жыл бұрын
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
@suleamberforreal7401 Жыл бұрын
The real replacement of JPM 😥
@crisndembwele4016 Жыл бұрын
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
@medsonulendo4221 Жыл бұрын
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
@malachcomedy4788 Жыл бұрын
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
@maryjoseph6973 Жыл бұрын
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
@benancejohn1198 Жыл бұрын
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
@fadhilidini1181 Жыл бұрын
mwamba wa uma tunakutegemea
@shebbythespyro5393 Жыл бұрын
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
@benjaminkiteleke8458
Жыл бұрын
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
@AnthonyVitalis-iy5su11 сағат бұрын
Sasa mkuu anae Jenga yeye analetewa tu material na kujenga anabebwa wakazi Gani beba mnunuzi
@wakalimediatz Жыл бұрын
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
@juliusjoseph4889 Жыл бұрын
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
@idyjumanne9796 Жыл бұрын
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
@emmanuelerasti2405 Жыл бұрын
Bebaaaa
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
@mathewmathayo212 Жыл бұрын
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
@ahmadiomari6913 Жыл бұрын
Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
@aishahamisi5854 Жыл бұрын
Mungu akubark
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
@waluohopaulo2116 Жыл бұрын
Rais analala
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeona eeeh😂😂😂
@johnsolo6709 Жыл бұрын
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
@diamondgeyser7987 Жыл бұрын
Big up PM
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Tumbua tu baba mijizi imejaa sana kila sekta
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Ivi kuna fund bongo anajenga mfumo matofal 25
@fakiikibakola1300 Жыл бұрын
Msaidie mma samia maana yule mma ajui kitu wanampga tu
@rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын
Wafungwe
@donaldelias6689 Жыл бұрын
Sio kwel laki 6 boma zima haitoshi.mbona hampgiii hesabu za fundi?
@directoridd5893 Жыл бұрын
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
@hidnakirungi3381 Жыл бұрын
Yaaan zunguka wazir wetu mtihan sana wengi wapgaj PTA kra kata ukague!
@florakweyunga4490 Жыл бұрын
Haaaah,Wazir wetu tunakupenda saana.lakini bana....MACHOZI yetu Kwa JPM Mpaka Sasa HAYAKAUKI.Eee Mungu mlinde Wazir wetu,MAJALIWA.
@maikobernado-4514 Жыл бұрын
Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏
@zainabrashid385 Жыл бұрын
Waziri we ndo ungekua raise wa nchi jamani
@alonhappy9906 Жыл бұрын
Honqera wazii mkuu wetu
@mwarishmodsalum555 Жыл бұрын
Wako wengi hao wapigaji wamerudi upya watu wanaenjoy tu serikarini sisi raia tunateseka kila sekta hao mnao
@mariamobedy9898 Жыл бұрын
Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa
@stivinmlelwa9860 Жыл бұрын
Majaliwa hongera ndoo tunachotaka watanzania tumeumizwa sana na huo UFISADI, wizi wa fedha za umma..
@fredyemmanuel4303 Жыл бұрын
Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia
@fridaernestmkedege900 Жыл бұрын
Shikamoo Pm ...unajua mpaka bei ya tiles
@omarkipotwile9052 Жыл бұрын
Hayo maswali unajifunga mwenyewe wao kazi yao kugonga nyundo tu
Пікірлер: 321
ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
@FreeGod368
Жыл бұрын
huyu alitakiwa kuwa rais
@jambo3751
Жыл бұрын
Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
@kazikazini1042
10 ай бұрын
Endeleeni kumchoresha
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
@abdulatiftu9836
Жыл бұрын
Kabisa our next president
@johngerald4677
Жыл бұрын
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Nyokooo
@ramadhanisanze3631
Жыл бұрын
Rais alibaki tz ambaye anaweza
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
@stefanomwanzarubi6216
Жыл бұрын
Hadinimemkumbuka magufuli
@bubelesatanzanialogistics3948
Жыл бұрын
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
@fadhilimanjeka3729
Жыл бұрын
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
@mahmoudabdallah4533
Жыл бұрын
Duh
@antonychristian1369
Жыл бұрын
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
Uko sahihi muheshimiwa hongera
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
@sk-wj9or
Жыл бұрын
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
@ruthsawida8507
Жыл бұрын
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
@yusuphkassimu227
Жыл бұрын
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
@margarethsolomon9823
Жыл бұрын
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
Mungu Akulinde Baba🙏.
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
@egonemmanuelkudaba4945
Жыл бұрын
Tunahitaji uzalendo
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
@mudihb1820
Жыл бұрын
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
Engineer anaharisha apoo....
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
@maryamaliy8509
Жыл бұрын
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
Unaweza mkuu
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
Hongera sana wazir mkuu
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
@chinjochwayaa7250
Жыл бұрын
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
The real replacement of JPM 😥
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
mwamba wa uma tunakutegemea
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
@benjaminkiteleke8458
Жыл бұрын
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
Sasa mkuu anae Jenga yeye analetewa tu material na kujenga anabebwa wakazi Gani beba mnunuzi
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
Bebaaaa
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
Mungu akubark
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
Rais analala
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeona eeeh😂😂😂
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
Big up PM
Tumbua tu baba mijizi imejaa sana kila sekta
Ivi kuna fund bongo anajenga mfumo matofal 25
Msaidie mma samia maana yule mma ajui kitu wanampga tu
Wafungwe
Sio kwel laki 6 boma zima haitoshi.mbona hampgiii hesabu za fundi?
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
Yaaan zunguka wazir wetu mtihan sana wengi wapgaj PTA kra kata ukague!
Haaaah,Wazir wetu tunakupenda saana.lakini bana....MACHOZI yetu Kwa JPM Mpaka Sasa HAYAKAUKI.Eee Mungu mlinde Wazir wetu,MAJALIWA.
Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏
Waziri we ndo ungekua raise wa nchi jamani
Honqera wazii mkuu wetu
Wako wengi hao wapigaji wamerudi upya watu wanaenjoy tu serikarini sisi raia tunateseka kila sekta hao mnao
Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa
Majaliwa hongera ndoo tunachotaka watanzania tumeumizwa sana na huo UFISADI, wizi wa fedha za umma..
Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia
Shikamoo Pm ...unajua mpaka bei ya tiles
Hayo maswali unajifunga mwenyewe wao kazi yao kugonga nyundo tu
Pga kazi mkuu Hawa watu watazoea
Kamata Dc,Rc wote ndio wapigaji