WAZIRI MKUU AKASIRISHWA AMWASHIA MOTO MTUMISHI, "MMEJENGAJE MILIONI 11 HII NYUMBA, SITOWAVUMILIA"

Пікірлер: 321

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 Жыл бұрын

    ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA

  • @athanacnicholauc3555

    @athanacnicholauc3555

    Жыл бұрын

    Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    Жыл бұрын

    huyu alitakiwa kuwa rais

  • @jambo3751

    @jambo3751

    Жыл бұрын

    Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..

  • @kazikazini1042

    @kazikazini1042

    10 ай бұрын

    Endeleeni kumchoresha

  • @JumaRashidi-qu6nv
    @JumaRashidi-qu6nv Жыл бұрын

    Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa

  • @azizahharoun1236
    @azizahharoun1236 Жыл бұрын

    That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺

  • @abdulatiftu9836

    @abdulatiftu9836

    Жыл бұрын

    Kabisa our next president

  • @johngerald4677

    @johngerald4677

    Жыл бұрын

    Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana

  • @maujanjatv24h41

    @maujanjatv24h41

    Жыл бұрын

    Nyokooo

  • @ramadhanisanze3631

    @ramadhanisanze3631

    Жыл бұрын

    Rais alibaki tz ambaye anaweza

  • @sophiaalexandersophia8610
    @sophiaalexandersophia8610 Жыл бұрын

    Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    Жыл бұрын

    Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Жыл бұрын

    RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako

  • @stefanomwanzarubi6216

    @stefanomwanzarubi6216

    Жыл бұрын

    Hadinimemkumbuka magufuli

  • @bubelesatanzanialogistics3948

    @bubelesatanzanialogistics3948

    Жыл бұрын

    Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu

  • @fadhilimanjeka3729

    @fadhilimanjeka3729

    Жыл бұрын

    Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    Жыл бұрын

    Duh

  • @antonychristian1369

    @antonychristian1369

    Жыл бұрын

    Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana

  • @evarimdecoration4256
    @evarimdecoration4256 Жыл бұрын

    Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Жыл бұрын

    Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Жыл бұрын

    Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha

  • @richardchijana9665
    @richardchijana9665 Жыл бұрын

    Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu

  • @ramadhanhemedi1554
    @ramadhanhemedi1554 Жыл бұрын

    Uko sahihi muheshimiwa hongera

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Жыл бұрын

    Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.

  • @sk-wj9or

    @sk-wj9or

    Жыл бұрын

    Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu

  • @ruthsawida8507

    @ruthsawida8507

    Жыл бұрын

    Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Жыл бұрын

    Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Жыл бұрын

    Majaliwa ungekuwa Rais tu!

  • @Really-football
    @Really-football Жыл бұрын

    mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka

  • @emmanuelaloyce932
    @emmanuelaloyce932 Жыл бұрын

    Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania

  • @yusuphkassimu227

    @yusuphkassimu227

    Жыл бұрын

    Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    Жыл бұрын

    CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Жыл бұрын

    Mungu Akulinde Baba🙏.

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata9 ай бұрын

    Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Жыл бұрын

    😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    Жыл бұрын

    Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    @@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 Жыл бұрын

    Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 Жыл бұрын

    Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 Жыл бұрын

    Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.

  • @jamesjeremiah9416
    @jamesjeremiah9416 Жыл бұрын

    Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana

  • @venancengunda3879
    @venancengunda3879 Жыл бұрын

    Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu

  • @egonemmanuelkudaba4945

    @egonemmanuelkudaba4945

    Жыл бұрын

    Tunahitaji uzalendo

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Жыл бұрын

    Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome

  • @mudihb1820

    @mudihb1820

    Жыл бұрын

    Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    Жыл бұрын

    acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu

  • @wazirmlogi7532

    @wazirmlogi7532

    Жыл бұрын

    @@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 Жыл бұрын

    Engineer anaharisha apoo....

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Жыл бұрын

    MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or Жыл бұрын

    Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Жыл бұрын

    Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu

  • @lovesallu5292
    @lovesallu5292 Жыл бұрын

    Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa

  • @bonywahab9565
    @bonywahab9565 Жыл бұрын

    Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....

  • @maryamaliy8509

    @maryamaliy8509

    Жыл бұрын

    Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Жыл бұрын

    Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Жыл бұрын

    Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame

  • @queenlizzyplatnumz4942
    @queenlizzyplatnumz4942 Жыл бұрын

    The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Жыл бұрын

    JPM tutakukumbuka daima aiseeee

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Жыл бұрын

    Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Жыл бұрын

    Majaliwa wafaa mno fanya kazi

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 Жыл бұрын

    Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 Жыл бұрын

    Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 Жыл бұрын

    Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Жыл бұрын

    Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 Жыл бұрын

    Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia

  • @floraleonard9095
    @floraleonard9095 Жыл бұрын

    Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.

  • @jerelkhondwani7165
    @jerelkhondwani7165 Жыл бұрын

    Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???

  • @bahatiamnon7579
    @bahatiamnon7579 Жыл бұрын

    Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 Жыл бұрын

    Unaweza mkuu

  • @jamessimbaire3016
    @jamessimbaire3016 Жыл бұрын

    Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!

  • @mrndundugurushi9782
    @mrndundugurushi9782 Жыл бұрын

    Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii

  • @sherryeverest2522
    @sherryeverest2522 Жыл бұрын

    Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua

  • @saidgoryo999
    @saidgoryo999 Жыл бұрын

    Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын

    Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩

  • @ummyjoel4308
    @ummyjoel4308 Жыл бұрын

    Hongera sana wazir mkuu

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Жыл бұрын

    Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika

  • @jacksonmkuye7739
    @jacksonmkuye7739 Жыл бұрын

    Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Жыл бұрын

    Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Жыл бұрын

    Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka

  • @menovicmushy1032
    @menovicmushy1032 Жыл бұрын

    Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea

  • @hosea7919
    @hosea7919 Жыл бұрын

    Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais

  • @chinjochwayaa7250

    @chinjochwayaa7250

    Жыл бұрын

    Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi

  • @suleamberforreal7401
    @suleamberforreal7401 Жыл бұрын

    The real replacement of JPM 😥

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Жыл бұрын

    Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 Жыл бұрын

    Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho

  • @malachcomedy4788
    @malachcomedy4788 Жыл бұрын

    Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 Жыл бұрын

    Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Жыл бұрын

    Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂

  • @fadhilidini1181
    @fadhilidini1181 Жыл бұрын

    mwamba wa uma tunakutegemea

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 Жыл бұрын

    Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2

  • @benjaminkiteleke8458

    @benjaminkiteleke8458

    Жыл бұрын

    Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su11 сағат бұрын

    Sasa mkuu anae Jenga yeye analetewa tu material na kujenga anabebwa wakazi Gani beba mnunuzi

  • @wakalimediatz
    @wakalimediatz Жыл бұрын

    Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Жыл бұрын

    Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 Жыл бұрын

    Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte

  • @emmanuelerasti2405
    @emmanuelerasti2405 Жыл бұрын

    Bebaaaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Жыл бұрын

    Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 Жыл бұрын

    Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 Жыл бұрын

    Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho

  • @aishahamisi5854
    @aishahamisi5854 Жыл бұрын

    Mungu akubark

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Жыл бұрын

    Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 Жыл бұрын

    Rais analala

  • @athanacnicholauc3555

    @athanacnicholauc3555

    Жыл бұрын

    Umeona eeeh😂😂😂

  • @johnsolo6709
    @johnsolo6709 Жыл бұрын

    Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 Жыл бұрын

    Big up PM

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Tumbua tu baba mijizi imejaa sana kila sekta

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Жыл бұрын

    Ivi kuna fund bongo anajenga mfumo matofal 25

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Жыл бұрын

    Msaidie mma samia maana yule mma ajui kitu wanampga tu

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын

    Wafungwe

  • @donaldelias6689
    @donaldelias6689 Жыл бұрын

    Sio kwel laki 6 boma zima haitoshi.mbona hampgiii hesabu za fundi?

  • @directoridd5893
    @directoridd5893 Жыл бұрын

    Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri

  • @hidnakirungi3381
    @hidnakirungi3381 Жыл бұрын

    Yaaan zunguka wazir wetu mtihan sana wengi wapgaj PTA kra kata ukague!

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Жыл бұрын

    Haaaah,Wazir wetu tunakupenda saana.lakini bana....MACHOZI yetu Kwa JPM Mpaka Sasa HAYAKAUKI.Eee Mungu mlinde Wazir wetu,MAJALIWA.

  • @maikobernado-4514
    @maikobernado-4514 Жыл бұрын

    Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 Жыл бұрын

    Waziri we ndo ungekua raise wa nchi jamani

  • @alonhappy9906
    @alonhappy9906 Жыл бұрын

    Honqera wazii mkuu wetu

  • @mwarishmodsalum555
    @mwarishmodsalum555 Жыл бұрын

    Wako wengi hao wapigaji wamerudi upya watu wanaenjoy tu serikarini sisi raia tunateseka kila sekta hao mnao

  • @mariamobedy9898
    @mariamobedy9898 Жыл бұрын

    Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa

  • @stivinmlelwa9860
    @stivinmlelwa9860 Жыл бұрын

    Majaliwa hongera ndoo tunachotaka watanzania tumeumizwa sana na huo UFISADI, wizi wa fedha za umma..

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Жыл бұрын

    Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 Жыл бұрын

    Shikamoo Pm ...unajua mpaka bei ya tiles

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 Жыл бұрын

    Hayo maswali unajifunga mwenyewe wao kazi yao kugonga nyundo tu

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Жыл бұрын

    Pga kazi mkuu Hawa watu watazoea

  • @azizamvungi6409
    @azizamvungi6409 Жыл бұрын

    Kamata Dc,Rc wote ndio wapigaji

Келесі