WAKALA WA VIPIMO AINGIA kwenye 18 za MAKONDA, MPAKA wa KENYA na TANZANIA,. 🙌🙌

Пікірлер: 114

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet7182 ай бұрын

    Napenda sana kazi za makonda,mtupatie huyu makonda uku Kenya.

  • @HidayaMbodze

    @HidayaMbodze

    Ай бұрын

    Ako sawa sana hongera kwake

  • @SamweliMwalindu
    @SamweliMwalindu2 ай бұрын

    bindamu bwana jema kwamakonda tunapongeza kwani mlitaka afanyeje mambo yakae sawa yupo vizuli sana hongera sana makonda chapa kazi

  • @chrissamani7921
    @chrissamani79212 ай бұрын

    Daaa! We jamaa kuna wakati unagusa saana moyo wangu mii! Endelea kumtumaini Mungu katika maisha yako

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe58422 ай бұрын

    Kweli makonda MUNGU akubariki uko kwa ajili ya kutetea wanyonge.MUNGU akupe maisha marefu

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri30762 ай бұрын

    Hongera Sana MH Makonda Kwa Kauli ya kujitathimini kwamba IPO siku na watoa Huduma watakuja kuwa wafanya Biashara je wangefanyiwa hivyo wangejisikiaje!! Asante

  • @nassorowaziri3076

    @nassorowaziri3076

    2 ай бұрын

    Pia zipo tasisi nyingi Tu Arusha wanalewa madaraka Sana mf Tmda

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa13342 ай бұрын

    Hongera makonda 🎉🎉 yes ur the good leader

  • @kibobomanguvu
    @kibobomanguvuАй бұрын

    Makonda nimekukubali sana mheshimiwa

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile54622 ай бұрын

    BABA KEGANI HUJAWAI KUNIANGUSHA mungu aendelee kukulinda

  • @reubenmwagisa4380
    @reubenmwagisa4380Ай бұрын

    Big up bro makonda, bidhaa bei zinakuwa juu kwa walaji, kwa kwa ajili ya watendaji waovu.

  • @johnmushi8777
    @johnmushi87772 ай бұрын

    Arusha mpaka mtasema,kazi,kazi 2

  • @J4UPro
    @J4UPro2 ай бұрын

    Makonda upo vizuri sana kiongozi

  • @user-dr1hs9fo9m
    @user-dr1hs9fo9m2 ай бұрын

    umemweza sana makonda bhana utaongea tu lakn

  • @janjakhalfan7283
    @janjakhalfan72832 ай бұрын

    Mungu akulinde sana kiongoz wangu, we piga kazi tu usiogope, wakuogopwa ni Mungu tu kwakuwa Dunia tunapita basi usiogope mkuu wangu,Napenda kazi zako ujawai kuniangusha, ata kama umekosea nimakosa yakibinadamu, kwakuwa atujakamilika ila mengi mazuri BARIKIWA SANA KIONGOZ

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yu2 ай бұрын

    "Jembe aliwezi kuwa zuri Kama mkulima sio mzuri... Makonda wewe mkulima mzuri jembe lako alichagui msitu, hongera Baba, muheshimishe Mama wa Taifa"

  • @williammbwambo79
    @williammbwambo792 ай бұрын

    Mm napenda confidence ya jamaa kwenye kujibu

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41792 ай бұрын

    Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤

  • @NeemaMweta
    @NeemaMwetaАй бұрын

    Mungu tupe bidii ya kumwombea rais mtarajiwa mungu zidisha ulinzi kwa mwanao

  • @allymganga3223
    @allymganga32232 ай бұрын

    Mpaka airport mkuu wachangamshe wawe fasta kuudumia wasafili

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma42402 ай бұрын

    Bro Makonda BigUp sana kwenye hili umeupiga Mwingi

  • @shukranamos2699
    @shukranamos2699Ай бұрын

    Mama mpe makonda tamisemi

  • @naturelle1097
    @naturelle10972 ай бұрын

    they need to put themselves in the customers shoes safi sana Mhe. Makonda. Promotion of Utalii great point😂😂😂😂sijui uongee nini tena hapo.waambie vyoo hapo boda ziwe safi 24/7

  • @shukranitv2971
    @shukranitv29712 ай бұрын

    Sema makonda anahuruma san

  • @AminaRamadhan-mg9lj

    @AminaRamadhan-mg9lj

    Ай бұрын

    Kabisaa angekuwaa ankoo maguu apoo asingerembaa hataa 😂😂😂😂😂

  • @dstaroficial
    @dstaroficial2 ай бұрын

    Mi natamani ukatili arusha ukomeshwe huko watu wanajifanya wana roho mbaya sana xjui ni bangi au mirungi

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 ай бұрын

    Upo vzr sana Mr.Paul

  • @MedsonUlendo
    @MedsonUlendo2 ай бұрын

    RC MAKONDA unatumia Milano Hai Sana kias kama watamwelewa kila kitu kitaenda Sawa

  • @user-st3hv8pi9i
    @user-st3hv8pi9iАй бұрын

    Nashangaa nikiangalia hiz krip sitaman kutoka

  • @dbogohe
    @dbogohe2 ай бұрын

    Hii nchi imejaa maozo sana kwa vichwa ka iv vnaitaj viongoz kama makondo yan kila sehem mkuu wake mara hayupo uy ana kaimu blablah nying Mh Paul Makonda yko vzur

  • @joharikasuwi6973
    @joharikasuwi6973Ай бұрын

    Yaani Arusha mpaka mthemeeeee, piga kazi bro

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma33372 ай бұрын

    Unapigwa vita Kwa sababu hizo tuu. Sidhani Kama watu wabaya watakuacha salama. Wakuubwa mikoa wangefuatilia Kwa ukaribu kiasi hicho. Samia angefurahi zaidi

  • @NeemaMweta
    @NeemaMwetaАй бұрын

    Mungu atakulinda baba hakuna wa kukugusa aimeen

  • @HamisHamza-uf6uz
    @HamisHamza-uf6uz2 ай бұрын

    Mi Nasubiri mahojiano ya Hospital kubwa za Arusha na changamoto za wananchi ,,mbona tunarudi kuleee kazi kazi hakuna kulala broo 👍👍

  • @charlesole7517
    @charlesole7517Ай бұрын

    Hahaaaa😂😂😂 Eti wamekaa kipigaji😂😂😂

  • @edwinnyale6265
    @edwinnyale62652 ай бұрын

    Hongera sana Makonda

  • @LusiaKawana
    @LusiaKawanaАй бұрын

    Bravoo👍👍

  • @prophetev.josephatfarasimw8445
    @prophetev.josephatfarasimw84452 ай бұрын

    Resilian principle , patient in listening,to act in profesionalism is our problem

  • @Justinndalama01
    @Justinndalama012 ай бұрын

    Ila mi nadhani hakupataga ziro mbona Kuna mda anaongea point sana🙌

  • @PureSoul-rf4xd

    @PureSoul-rf4xd

    Ай бұрын

    Ndio nashangaa hata mimi huyu si yule aliambiwa hana shule,na anafanya mambo ya kisomi na ubunifu wa hali ya juu, sheria ya kila mahali anajua,

  • @user-bo9vv9wl6e
    @user-bo9vv9wl6e2 ай бұрын

    WASHANIZUIYAA HAO KUENDA KENYA KWA SABABU TUU NINA BRITISH PASPOT HADI BASI LIKANIKIMBIA

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13392 ай бұрын

    Jamaa yuko vizuri

  • @emmymsangi8783
    @emmymsangi8783Ай бұрын

    Ukiwanyoosha Arusha ,mama akulete tena dar unyooshe hili jji

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter24972 ай бұрын

    vipeperushi vya utalii muhimu pia Boss

  • @daudisimyota3923
    @daudisimyota39232 ай бұрын

    Nimekukubali makonda tunaomba mama akuhamishie mkoa wa songwe tunalia na boda ya tunduma

  • @Mzitomatelephone
    @MzitomatelephoneАй бұрын

    Makonda awe mkuu wa mikoa yote ya Tz ,wanaokubali hii point nipeni like hata tatu basi

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535Ай бұрын

    ❤❤❤❤ Haunabaya

  • @amosmahona433
    @amosmahona433Ай бұрын

    Huyu wakala kiswa-English kingi sana

  • @NeemaGodfrey-yz2xc
    @NeemaGodfrey-yz2xc2 ай бұрын

    Makonda is a best, I like him

  • @NAMAYANINANYARO

    @NAMAYANINANYARO

    Ай бұрын

    Ofcouse!!

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138Ай бұрын

    👏👏👏👏👏

  • @godywyne7671
    @godywyne7671Ай бұрын

  • @user-eo4is4wk4v
    @user-eo4is4wk4vАй бұрын

    hekima ya makonda ni ya kiungu

  • @amaniluhambire5080
    @amaniluhambire50802 ай бұрын

    Makonda ,mkuu jeuri!

  • @golebenson4597
    @golebenson4597Ай бұрын

    Mbona hawakuelewi😂😂walipataje izzo mishe

  • @Petronkambi
    @PetronkambiАй бұрын

    Huyu jamaa nimtu kazi kweli kweli makonda Mungu akulinde sana

  • @MayungaMambosasa
    @MayungaMambosasa2 ай бұрын

    Endelea kuwaelimisha mkuu, maana watendaji walio wengi wanajali matumbo yao tu,

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 ай бұрын

    NDO VIJISOMI VYETU VIBABAISHAJI HIVO. RUSHWA TUU ZIMEWAKAA AKILINI. MUNGU AWACHOME NA KUWATEKETEZA KWA MOTO.

  • @geey7893

    @geey7893

    2 ай бұрын

    😂😂😂Umeongea statement nzuri sana ndugu yang. Eti vijisomi vyeti vibabaishaji. Kabisaa Yani, tunawaza maisha mazuri tu

  • @emanuelsamaytu9437
    @emanuelsamaytu9437Ай бұрын

    Jembeee makonda

  • @YonaBazilio-op6ex
    @YonaBazilio-op6ex2 ай бұрын

    Mmmh

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem48892 ай бұрын

    Kitu muhimu uamimifu Watu ni wezi wanaleta sifa mbaya kwa taifa

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13392 ай бұрын

    Huyu mtendaji siyo boya anajielewa sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677Ай бұрын

    Paul Makonda

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt2 ай бұрын

    mpaka waseme

  • @Lodrickmwambene
    @LodrickmwambeneАй бұрын

    Kingereza kiingi bla bla nyingii Wabongo bwana 😂😂😂😂😂

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma42402 ай бұрын

    Tatizo hapo kuna Siasa na Professional sio kila mtu anaweza kuwa Msemaji huyo incharge inaonekana sio Muongeaji.

  • @sss3s867
    @sss3s8672 ай бұрын

    haiwezekani kuwa boram wakala vipimo hawakufaa kulipwa na muingizaji bidhaa. hata hivyo wanabeba sample kila kukicha

  • @daimambise7519
    @daimambise75192 ай бұрын

    Tunakuomba tu ufanye ziara Longido kwa kina

  • @StephenKaisy
    @StephenKaisyАй бұрын

    1234

  • @AMEMUSSA-cr8my
    @AMEMUSSA-cr8my2 ай бұрын

    Kweli tuntumia muda mwingi boda.

  • @waziriboy9941
    @waziriboy99412 ай бұрын

    Makonda sio kiongozi Bhana, mwache MTU aeleze mpaka mwisho usimkatishe katishe Sasa, unataka kujiona perfect Sana wewe makonda, Mimi sikukubali

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj

    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj

    2 ай бұрын

    Acha kuchafua wewe kazi yamtu we umewahi kuongoza wapi ??

  • @user-ym5ko9ov2o

    @user-ym5ko9ov2o

    2 ай бұрын

    Mchawi

  • @ZuhuraMwanafuno

    @ZuhuraMwanafuno

    2 ай бұрын

    Akikubaliwa na mungu inatosha

  • @henrychacha5592
    @henrychacha55922 ай бұрын

    Mimi ninachokiona hapo ni yale Yale kwamba mtu akipewa nafasi/Mamlaka basi anawaona walio chini yake au anaowaongoza hawana akili bila kujuwa kuwa ndo wanaomlipa mshahara.Makonda timua wababaifu wote.Vingereza vingi kumbe uadilifu zero

  • @petershedrack4668

    @petershedrack4668

    2 ай бұрын

    Nenda basi kaongoze wewe andazi

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye2 ай бұрын

    Hv wakuu wengine wa mikoa huwa wanafanyaga nn

  • @JalsonJoseph
    @JalsonJoseph2 ай бұрын

    Makonda anakwamisha na viongozi wazee, wanaitaka nchi kijimilikisha wai na wajuu wao, na mimi nashauri viongozi wazee watipishe

  • @venancebasil4656
    @venancebasil46562 ай бұрын

    Jamaa amejieleza vizuri sana

  • @jelasnkoma4240

    @jelasnkoma4240

    2 ай бұрын

    Hajui kujieleza mkuu maana hajui utaratibu wa mabadiriko ya sheria😂😂

  • @kwzjkwz3532

    @kwzjkwz3532

    Ай бұрын

    hajui kujielewa tena ni cheap and poor explanation

  • @user-eo4is4wk4v
    @user-eo4is4wk4vАй бұрын

    makonda apewe maua yake

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3oАй бұрын

    Rc Makonda ni jembe mfano ulipokuwa jiji la Dar ulisimia miradi ya afya.maji barabara usalama n uvutaji wa Bangui n madawa kwa sasa jiji la Aruxha hunatete madam ya fhuruma n ufisadi

  • @isolatedman-ou7ok
    @isolatedman-ou7okАй бұрын

    Wakifanya hivo watapata wapi kula mpunga mwingi wakuiba

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin81072 ай бұрын

    Makonda unatafuta kiki tu,wakala yupo sahihi

  • @ikokijuma-zv7wd

    @ikokijuma-zv7wd

    2 ай бұрын

    😂

  • @user-ud1hn9gt3j
    @user-ud1hn9gt3jАй бұрын

    Lakini bado Baadhi Wanabeza

  • @JOSEPHMSEMWA-cy4yi
    @JOSEPHMSEMWA-cy4yi2 ай бұрын

    Makonda uje njombe

  • @fridaphilemon8898
    @fridaphilemon88982 ай бұрын

    Hapo osbp ni hatar

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7xАй бұрын

    Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156Ай бұрын

    Kila sketa ni shida

  • @yassinerasmus7400
    @yassinerasmus74002 ай бұрын

    Arusha mpaka mseme tu kwa Makondo 😁😁

  • @VianaKokutensa

    @VianaKokutensa

    2 ай бұрын

    Makonda 😅😅

  • @nappekiliakiliasalimu346
    @nappekiliakiliasalimu3462 ай бұрын

    Kwann 2025 tusikupe ww urais

  • @jamesmartin7026

    @jamesmartin7026

    2 ай бұрын

    Wewe sasa ni mmbea. Kwani hujui anayepeperusha bendera mwaka 2025 ni nani?

  • @user-ym5ko9ov2o

    @user-ym5ko9ov2o

    2 ай бұрын

    Bado mdogo

  • @user-sx7vt5ph9w
    @user-sx7vt5ph9w2 ай бұрын

    Uhakika 😂makonda

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3bАй бұрын

    Safi sana mkuu

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l2 ай бұрын

    Apewa ukuu wa mkoa wakudumu

  • @Lodrickmwambene

    @Lodrickmwambene

    Ай бұрын

    Awe raisi wakudumu

  • @ndagondago-iw1sc
    @ndagondago-iw1scАй бұрын

    Bonge la mtu

  • @mwamuyinga
    @mwamuyinga2 ай бұрын

    Interview yake mheshimiwa Ina mistake kidg

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    2 ай бұрын

    Kivipi nisaidie

  • @user-so3gy2io8l

    @user-so3gy2io8l

    2 ай бұрын

    Tulia ww

  • @a.m_--68
    @a.m_--682 ай бұрын

    Makonda unawabana watu lakini nikama unawadhalilisha, maana hutoi nafasi ya viongizi kujieleza kwa uhuru ambayo ni haki yao pia. Unawabana too much tafadhali tumia lugha ya staha bhna angalau kidogo.

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga34962 ай бұрын

    We utakua chadema

  • @thomaskiponda6079

    @thomaskiponda6079

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is2 ай бұрын

    Kwani ww bashite unajua Kila kitu Wacha wataalamu wafanye kazi acha mambo ya sifa sifa

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf

    @JeremiahMwalukosya-eh5nf

    2 ай бұрын

    Acha ujinga wa siasa wewe kawe mkuu wa mkoa wewe basi unalopa tu nachuki zako za kisiasa

  • @peterkanza2207

    @peterkanza2207

    2 ай бұрын

    Odilo magungu huna akili. Acha makonda apige kazi.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    2 ай бұрын

    Elewa hata muonekano wa mtu, huyo jamaa anaonekana kabisa ni shida kwa wananchi.

  • @azwarsele3581

    @azwarsele3581

    2 ай бұрын

    Huyu afisa hana kosa lolote, ni mfumo ndio tatizo.

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu2 ай бұрын

    Odilo mangungu mpaka leo hujui kua watalaam ndio wanao chelewesha huduma hupo wapi mzee ha ha haaaa tutachelewa sana kama bado wapo vijana kama wewe

Келесі