WAKALA WA VIPIMO AINGIA kwenye 18 za MAKONDA, MPAKA wa KENYA na TANZANIA,. 🙌🙌
Жүктеу.....
Пікірлер: 114
@chriseskibet7182 ай бұрын
Napenda sana kazi za makonda,mtupatie huyu makonda uku Kenya.
@HidayaMbodze
Ай бұрын
Ako sawa sana hongera kwake
@SamweliMwalindu2 ай бұрын
bindamu bwana jema kwamakonda tunapongeza kwani mlitaka afanyeje mambo yakae sawa yupo vizuli sana hongera sana makonda chapa kazi
@chrissamani79212 ай бұрын
Daaa! We jamaa kuna wakati unagusa saana moyo wangu mii! Endelea kumtumaini Mungu katika maisha yako
@vickykwembe58422 ай бұрын
Kweli makonda MUNGU akubariki uko kwa ajili ya kutetea wanyonge.MUNGU akupe maisha marefu
@nassorowaziri30762 ай бұрын
Hongera Sana MH Makonda Kwa Kauli ya kujitathimini kwamba IPO siku na watoa Huduma watakuja kuwa wafanya Biashara je wangefanyiwa hivyo wangejisikiaje!! Asante
@nassorowaziri3076
2 ай бұрын
Pia zipo tasisi nyingi Tu Arusha wanalewa madaraka Sana mf Tmda
@nacetsiringa13342 ай бұрын
Hongera makonda 🎉🎉 yes ur the good leader
@kibobomanguvuАй бұрын
Makonda nimekukubali sana mheshimiwa
@kabujeasukile54622 ай бұрын
BABA KEGANI HUJAWAI KUNIANGUSHA mungu aendelee kukulinda
@reubenmwagisa4380Ай бұрын
Big up bro makonda, bidhaa bei zinakuwa juu kwa walaji, kwa kwa ajili ya watendaji waovu.
@johnmushi87772 ай бұрын
Arusha mpaka mtasema,kazi,kazi 2
@J4UPro2 ай бұрын
Makonda upo vizuri sana kiongozi
@user-dr1hs9fo9m2 ай бұрын
umemweza sana makonda bhana utaongea tu lakn
@janjakhalfan72832 ай бұрын
Mungu akulinde sana kiongoz wangu, we piga kazi tu usiogope, wakuogopwa ni Mungu tu kwakuwa Dunia tunapita basi usiogope mkuu wangu,Napenda kazi zako ujawai kuniangusha, ata kama umekosea nimakosa yakibinadamu, kwakuwa atujakamilika ila mengi mazuri BARIKIWA SANA KIONGOZ
@VeronicaPaul-cj1yu2 ай бұрын
"Jembe aliwezi kuwa zuri Kama mkulima sio mzuri... Makonda wewe mkulima mzuri jembe lako alichagui msitu, hongera Baba, muheshimishe Mama wa Taifa"
@williammbwambo792 ай бұрын
Mm napenda confidence ya jamaa kwenye kujibu
@rosetreffert41792 ай бұрын
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
@NeemaMwetaАй бұрын
Mungu tupe bidii ya kumwombea rais mtarajiwa mungu zidisha ulinzi kwa mwanao
@allymganga32232 ай бұрын
Mpaka airport mkuu wachangamshe wawe fasta kuudumia wasafili
@jelasnkoma42402 ай бұрын
Bro Makonda BigUp sana kwenye hili umeupiga Mwingi
@shukranamos2699Ай бұрын
Mama mpe makonda tamisemi
@naturelle10972 ай бұрын
they need to put themselves in the customers shoes safi sana Mhe. Makonda. Promotion of Utalii great point😂😂😂😂sijui uongee nini tena hapo.waambie vyoo hapo boda ziwe safi 24/7
Mi natamani ukatili arusha ukomeshwe huko watu wanajifanya wana roho mbaya sana xjui ni bangi au mirungi
@stanslausmteme84552 ай бұрын
Upo vzr sana Mr.Paul
@MedsonUlendo2 ай бұрын
RC MAKONDA unatumia Milano Hai Sana kias kama watamwelewa kila kitu kitaenda Sawa
@user-st3hv8pi9iАй бұрын
Nashangaa nikiangalia hiz krip sitaman kutoka
@dbogohe2 ай бұрын
Hii nchi imejaa maozo sana kwa vichwa ka iv vnaitaj viongoz kama makondo yan kila sehem mkuu wake mara hayupo uy ana kaimu blablah nying Mh Paul Makonda yko vzur
@joharikasuwi6973Ай бұрын
Yaani Arusha mpaka mthemeeeee, piga kazi bro
@daudimusoma33372 ай бұрын
Unapigwa vita Kwa sababu hizo tuu. Sidhani Kama watu wabaya watakuacha salama. Wakuubwa mikoa wangefuatilia Kwa ukaribu kiasi hicho. Samia angefurahi zaidi
@NeemaMwetaАй бұрын
Mungu atakulinda baba hakuna wa kukugusa aimeen
@HamisHamza-uf6uz2 ай бұрын
Mi Nasubiri mahojiano ya Hospital kubwa za Arusha na changamoto za wananchi ,,mbona tunarudi kuleee kazi kazi hakuna kulala broo 👍👍
@charlesole7517Ай бұрын
Hahaaaa😂😂😂 Eti wamekaa kipigaji😂😂😂
@edwinnyale62652 ай бұрын
Hongera sana Makonda
@LusiaKawanaАй бұрын
Bravoo👍👍
@prophetev.josephatfarasimw84452 ай бұрын
Resilian principle , patient in listening,to act in profesionalism is our problem
@Justinndalama012 ай бұрын
Ila mi nadhani hakupataga ziro mbona Kuna mda anaongea point sana🙌
@PureSoul-rf4xd
Ай бұрын
Ndio nashangaa hata mimi huyu si yule aliambiwa hana shule,na anafanya mambo ya kisomi na ubunifu wa hali ya juu, sheria ya kila mahali anajua,
@user-bo9vv9wl6e2 ай бұрын
WASHANIZUIYAA HAO KUENDA KENYA KWA SABABU TUU NINA BRITISH PASPOT HADI BASI LIKANIKIMBIA
@elispiuselias13392 ай бұрын
Jamaa yuko vizuri
@emmymsangi8783Ай бұрын
Ukiwanyoosha Arusha ,mama akulete tena dar unyooshe hili jji
@constanciapeter24972 ай бұрын
vipeperushi vya utalii muhimu pia Boss
@daudisimyota39232 ай бұрын
Nimekukubali makonda tunaomba mama akuhamishie mkoa wa songwe tunalia na boda ya tunduma
@MzitomatelephoneАй бұрын
Makonda awe mkuu wa mikoa yote ya Tz ,wanaokubali hii point nipeni like hata tatu basi
@mohamedkige2535Ай бұрын
❤❤❤❤ Haunabaya
@amosmahona433Ай бұрын
Huyu wakala kiswa-English kingi sana
@NeemaGodfrey-yz2xc2 ай бұрын
Makonda is a best, I like him
@NAMAYANINANYARO
Ай бұрын
Ofcouse!!
@manuelsaramba2138Ай бұрын
👏👏👏👏👏
@godywyne7671Ай бұрын
❤
@user-eo4is4wk4vАй бұрын
hekima ya makonda ni ya kiungu
@amaniluhambire50802 ай бұрын
Makonda ,mkuu jeuri!
@golebenson4597Ай бұрын
Mbona hawakuelewi😂😂walipataje izzo mishe
@PetronkambiАй бұрын
Huyu jamaa nimtu kazi kweli kweli makonda Mungu akulinde sana
@MayungaMambosasa2 ай бұрын
Endelea kuwaelimisha mkuu, maana watendaji walio wengi wanajali matumbo yao tu,
@valenakomba76862 ай бұрын
NDO VIJISOMI VYETU VIBABAISHAJI HIVO. RUSHWA TUU ZIMEWAKAA AKILINI. MUNGU AWACHOME NA KUWATEKETEZA KWA MOTO.
@geey7893
2 ай бұрын
😂😂😂Umeongea statement nzuri sana ndugu yang. Eti vijisomi vyeti vibabaishaji. Kabisaa Yani, tunawaza maisha mazuri tu
@emanuelsamaytu9437Ай бұрын
Jembeee makonda
@YonaBazilio-op6ex2 ай бұрын
Mmmh
@hemedmselem48892 ай бұрын
Kitu muhimu uamimifu Watu ni wezi wanaleta sifa mbaya kwa taifa
@elispiuselias13392 ай бұрын
Huyu mtendaji siyo boya anajielewa sana
@angellomarcel5677Ай бұрын
Paul Makonda
@JescaMwagama-oc9yt2 ай бұрын
mpaka waseme
@LodrickmwambeneАй бұрын
Kingereza kiingi bla bla nyingii Wabongo bwana 😂😂😂😂😂
@jelasnkoma42402 ай бұрын
Tatizo hapo kuna Siasa na Professional sio kila mtu anaweza kuwa Msemaji huyo incharge inaonekana sio Muongeaji.
@sss3s8672 ай бұрын
haiwezekani kuwa boram wakala vipimo hawakufaa kulipwa na muingizaji bidhaa. hata hivyo wanabeba sample kila kukicha
@daimambise75192 ай бұрын
Tunakuomba tu ufanye ziara Longido kwa kina
@StephenKaisyАй бұрын
1234
@AMEMUSSA-cr8my2 ай бұрын
Kweli tuntumia muda mwingi boda.
@waziriboy99412 ай бұрын
Makonda sio kiongozi Bhana, mwache MTU aeleze mpaka mwisho usimkatishe katishe Sasa, unataka kujiona perfect Sana wewe makonda, Mimi sikukubali
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj
2 ай бұрын
Acha kuchafua wewe kazi yamtu we umewahi kuongoza wapi ??
@user-ym5ko9ov2o
2 ай бұрын
Mchawi
@ZuhuraMwanafuno
2 ай бұрын
Akikubaliwa na mungu inatosha
@henrychacha55922 ай бұрын
Mimi ninachokiona hapo ni yale Yale kwamba mtu akipewa nafasi/Mamlaka basi anawaona walio chini yake au anaowaongoza hawana akili bila kujuwa kuwa ndo wanaomlipa mshahara.Makonda timua wababaifu wote.Vingereza vingi kumbe uadilifu zero
@petershedrack4668
2 ай бұрын
Nenda basi kaongoze wewe andazi
@PeterMagoye2 ай бұрын
Hv wakuu wengine wa mikoa huwa wanafanyaga nn
@JalsonJoseph2 ай бұрын
Makonda anakwamisha na viongozi wazee, wanaitaka nchi kijimilikisha wai na wajuu wao, na mimi nashauri viongozi wazee watipishe
@venancebasil46562 ай бұрын
Jamaa amejieleza vizuri sana
@jelasnkoma4240
2 ай бұрын
Hajui kujieleza mkuu maana hajui utaratibu wa mabadiriko ya sheria😂😂
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
hajui kujielewa tena ni cheap and poor explanation
@user-eo4is4wk4vАй бұрын
makonda apewe maua yake
@user-zx3he3lp3oАй бұрын
Rc Makonda ni jembe mfano ulipokuwa jiji la Dar ulisimia miradi ya afya.maji barabara usalama n uvutaji wa Bangui n madawa kwa sasa jiji la Aruxha hunatete madam ya fhuruma n ufisadi
Wewe sasa ni mmbea. Kwani hujui anayepeperusha bendera mwaka 2025 ni nani?
@user-ym5ko9ov2o
2 ай бұрын
Bado mdogo
@user-sx7vt5ph9w2 ай бұрын
Uhakika 😂makonda
@user-tu2ne7so3bАй бұрын
Safi sana mkuu
@user-so3gy2io8l2 ай бұрын
Apewa ukuu wa mkoa wakudumu
@Lodrickmwambene
Ай бұрын
Awe raisi wakudumu
@ndagondago-iw1scАй бұрын
Bonge la mtu
@mwamuyinga2 ай бұрын
Interview yake mheshimiwa Ina mistake kidg
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Kivipi nisaidie
@user-so3gy2io8l
2 ай бұрын
Tulia ww
@a.m_--682 ай бұрын
Makonda unawabana watu lakini nikama unawadhalilisha, maana hutoi nafasi ya viongizi kujieleza kwa uhuru ambayo ni haki yao pia. Unawabana too much tafadhali tumia lugha ya staha bhna angalau kidogo.
@sakayonsakihunga34962 ай бұрын
We utakua chadema
@thomaskiponda6079
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@OdiloMagungu-uf5is2 ай бұрын
Kwani ww bashite unajua Kila kitu Wacha wataalamu wafanye kazi acha mambo ya sifa sifa
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
2 ай бұрын
Acha ujinga wa siasa wewe kawe mkuu wa mkoa wewe basi unalopa tu nachuki zako za kisiasa
Пікірлер: 114
Napenda sana kazi za makonda,mtupatie huyu makonda uku Kenya.
@HidayaMbodze
Ай бұрын
Ako sawa sana hongera kwake
bindamu bwana jema kwamakonda tunapongeza kwani mlitaka afanyeje mambo yakae sawa yupo vizuli sana hongera sana makonda chapa kazi
Daaa! We jamaa kuna wakati unagusa saana moyo wangu mii! Endelea kumtumaini Mungu katika maisha yako
Kweli makonda MUNGU akubariki uko kwa ajili ya kutetea wanyonge.MUNGU akupe maisha marefu
Hongera Sana MH Makonda Kwa Kauli ya kujitathimini kwamba IPO siku na watoa Huduma watakuja kuwa wafanya Biashara je wangefanyiwa hivyo wangejisikiaje!! Asante
@nassorowaziri3076
2 ай бұрын
Pia zipo tasisi nyingi Tu Arusha wanalewa madaraka Sana mf Tmda
Hongera makonda 🎉🎉 yes ur the good leader
Makonda nimekukubali sana mheshimiwa
BABA KEGANI HUJAWAI KUNIANGUSHA mungu aendelee kukulinda
Big up bro makonda, bidhaa bei zinakuwa juu kwa walaji, kwa kwa ajili ya watendaji waovu.
Arusha mpaka mtasema,kazi,kazi 2
Makonda upo vizuri sana kiongozi
umemweza sana makonda bhana utaongea tu lakn
Mungu akulinde sana kiongoz wangu, we piga kazi tu usiogope, wakuogopwa ni Mungu tu kwakuwa Dunia tunapita basi usiogope mkuu wangu,Napenda kazi zako ujawai kuniangusha, ata kama umekosea nimakosa yakibinadamu, kwakuwa atujakamilika ila mengi mazuri BARIKIWA SANA KIONGOZ
"Jembe aliwezi kuwa zuri Kama mkulima sio mzuri... Makonda wewe mkulima mzuri jembe lako alichagui msitu, hongera Baba, muheshimishe Mama wa Taifa"
Mm napenda confidence ya jamaa kwenye kujibu
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤
Mungu tupe bidii ya kumwombea rais mtarajiwa mungu zidisha ulinzi kwa mwanao
Mpaka airport mkuu wachangamshe wawe fasta kuudumia wasafili
Bro Makonda BigUp sana kwenye hili umeupiga Mwingi
Mama mpe makonda tamisemi
they need to put themselves in the customers shoes safi sana Mhe. Makonda. Promotion of Utalii great point😂😂😂😂sijui uongee nini tena hapo.waambie vyoo hapo boda ziwe safi 24/7
Sema makonda anahuruma san
@AminaRamadhan-mg9lj
Ай бұрын
Kabisaa angekuwaa ankoo maguu apoo asingerembaa hataa 😂😂😂😂😂
Mi natamani ukatili arusha ukomeshwe huko watu wanajifanya wana roho mbaya sana xjui ni bangi au mirungi
Upo vzr sana Mr.Paul
RC MAKONDA unatumia Milano Hai Sana kias kama watamwelewa kila kitu kitaenda Sawa
Nashangaa nikiangalia hiz krip sitaman kutoka
Hii nchi imejaa maozo sana kwa vichwa ka iv vnaitaj viongoz kama makondo yan kila sehem mkuu wake mara hayupo uy ana kaimu blablah nying Mh Paul Makonda yko vzur
Yaani Arusha mpaka mthemeeeee, piga kazi bro
Unapigwa vita Kwa sababu hizo tuu. Sidhani Kama watu wabaya watakuacha salama. Wakuubwa mikoa wangefuatilia Kwa ukaribu kiasi hicho. Samia angefurahi zaidi
Mungu atakulinda baba hakuna wa kukugusa aimeen
Mi Nasubiri mahojiano ya Hospital kubwa za Arusha na changamoto za wananchi ,,mbona tunarudi kuleee kazi kazi hakuna kulala broo 👍👍
Hahaaaa😂😂😂 Eti wamekaa kipigaji😂😂😂
Hongera sana Makonda
Bravoo👍👍
Resilian principle , patient in listening,to act in profesionalism is our problem
Ila mi nadhani hakupataga ziro mbona Kuna mda anaongea point sana🙌
@PureSoul-rf4xd
Ай бұрын
Ndio nashangaa hata mimi huyu si yule aliambiwa hana shule,na anafanya mambo ya kisomi na ubunifu wa hali ya juu, sheria ya kila mahali anajua,
WASHANIZUIYAA HAO KUENDA KENYA KWA SABABU TUU NINA BRITISH PASPOT HADI BASI LIKANIKIMBIA
Jamaa yuko vizuri
Ukiwanyoosha Arusha ,mama akulete tena dar unyooshe hili jji
vipeperushi vya utalii muhimu pia Boss
Nimekukubali makonda tunaomba mama akuhamishie mkoa wa songwe tunalia na boda ya tunduma
Makonda awe mkuu wa mikoa yote ya Tz ,wanaokubali hii point nipeni like hata tatu basi
❤❤❤❤ Haunabaya
Huyu wakala kiswa-English kingi sana
Makonda is a best, I like him
@NAMAYANINANYARO
Ай бұрын
Ofcouse!!
👏👏👏👏👏
❤
hekima ya makonda ni ya kiungu
Makonda ,mkuu jeuri!
Mbona hawakuelewi😂😂walipataje izzo mishe
Huyu jamaa nimtu kazi kweli kweli makonda Mungu akulinde sana
Endelea kuwaelimisha mkuu, maana watendaji walio wengi wanajali matumbo yao tu,
NDO VIJISOMI VYETU VIBABAISHAJI HIVO. RUSHWA TUU ZIMEWAKAA AKILINI. MUNGU AWACHOME NA KUWATEKETEZA KWA MOTO.
@geey7893
2 ай бұрын
😂😂😂Umeongea statement nzuri sana ndugu yang. Eti vijisomi vyeti vibabaishaji. Kabisaa Yani, tunawaza maisha mazuri tu
Jembeee makonda
Mmmh
Kitu muhimu uamimifu Watu ni wezi wanaleta sifa mbaya kwa taifa
Huyu mtendaji siyo boya anajielewa sana
Paul Makonda
mpaka waseme
Kingereza kiingi bla bla nyingii Wabongo bwana 😂😂😂😂😂
Tatizo hapo kuna Siasa na Professional sio kila mtu anaweza kuwa Msemaji huyo incharge inaonekana sio Muongeaji.
haiwezekani kuwa boram wakala vipimo hawakufaa kulipwa na muingizaji bidhaa. hata hivyo wanabeba sample kila kukicha
Tunakuomba tu ufanye ziara Longido kwa kina
1234
Kweli tuntumia muda mwingi boda.
Makonda sio kiongozi Bhana, mwache MTU aeleze mpaka mwisho usimkatishe katishe Sasa, unataka kujiona perfect Sana wewe makonda, Mimi sikukubali
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj
2 ай бұрын
Acha kuchafua wewe kazi yamtu we umewahi kuongoza wapi ??
@user-ym5ko9ov2o
2 ай бұрын
Mchawi
@ZuhuraMwanafuno
2 ай бұрын
Akikubaliwa na mungu inatosha
Mimi ninachokiona hapo ni yale Yale kwamba mtu akipewa nafasi/Mamlaka basi anawaona walio chini yake au anaowaongoza hawana akili bila kujuwa kuwa ndo wanaomlipa mshahara.Makonda timua wababaifu wote.Vingereza vingi kumbe uadilifu zero
@petershedrack4668
2 ай бұрын
Nenda basi kaongoze wewe andazi
Hv wakuu wengine wa mikoa huwa wanafanyaga nn
Makonda anakwamisha na viongozi wazee, wanaitaka nchi kijimilikisha wai na wajuu wao, na mimi nashauri viongozi wazee watipishe
Jamaa amejieleza vizuri sana
@jelasnkoma4240
2 ай бұрын
Hajui kujieleza mkuu maana hajui utaratibu wa mabadiriko ya sheria😂😂
@kwzjkwz3532
Ай бұрын
hajui kujielewa tena ni cheap and poor explanation
makonda apewe maua yake
Rc Makonda ni jembe mfano ulipokuwa jiji la Dar ulisimia miradi ya afya.maji barabara usalama n uvutaji wa Bangui n madawa kwa sasa jiji la Aruxha hunatete madam ya fhuruma n ufisadi
Wakifanya hivo watapata wapi kula mpunga mwingi wakuiba
Makonda unatafuta kiki tu,wakala yupo sahihi
@ikokijuma-zv7wd
2 ай бұрын
😂
Lakini bado Baadhi Wanabeza
Makonda uje njombe
Hapo osbp ni hatar
Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
Kila sketa ni shida
Arusha mpaka mseme tu kwa Makondo 😁😁
@VianaKokutensa
2 ай бұрын
Makonda 😅😅
Kwann 2025 tusikupe ww urais
@jamesmartin7026
2 ай бұрын
Wewe sasa ni mmbea. Kwani hujui anayepeperusha bendera mwaka 2025 ni nani?
@user-ym5ko9ov2o
2 ай бұрын
Bado mdogo
Uhakika 😂makonda
Safi sana mkuu
Apewa ukuu wa mkoa wakudumu
@Lodrickmwambene
Ай бұрын
Awe raisi wakudumu
Bonge la mtu
Interview yake mheshimiwa Ina mistake kidg
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
Kivipi nisaidie
@user-so3gy2io8l
2 ай бұрын
Tulia ww
Makonda unawabana watu lakini nikama unawadhalilisha, maana hutoi nafasi ya viongizi kujieleza kwa uhuru ambayo ni haki yao pia. Unawabana too much tafadhali tumia lugha ya staha bhna angalau kidogo.
We utakua chadema
@thomaskiponda6079
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Kwani ww bashite unajua Kila kitu Wacha wataalamu wafanye kazi acha mambo ya sifa sifa
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
2 ай бұрын
Acha ujinga wa siasa wewe kawe mkuu wa mkoa wewe basi unalopa tu nachuki zako za kisiasa
@peterkanza2207
2 ай бұрын
Odilo magungu huna akili. Acha makonda apige kazi.
@J4UPro
2 ай бұрын
Elewa hata muonekano wa mtu, huyo jamaa anaonekana kabisa ni shida kwa wananchi.
@azwarsele3581
2 ай бұрын
Huyu afisa hana kosa lolote, ni mfumo ndio tatizo.
Odilo mangungu mpaka leo hujui kua watalaam ndio wanao chelewesha huduma hupo wapi mzee ha ha haaaa tutachelewa sana kama bado wapo vijana kama wewe