Makonda ni kiongozi sahihi sana kwa mkoa wetu wa Arusha. Sahihi sana. Tumwombee Mungu na kumuunga mkono.
@neemamwanga5447Ай бұрын
Makonda hongera sana kwa kazi maana kuna watu tunawajua wanajiita ma engineers lakini elimu yao ukiitafakari unashtuka kwani hata akili zao za mkopo hawajielewi wanakuja mtaani anajikuta kumbe wa mchongo wachunguzwe elimu zao wengine labda wamepita kimiujiza maana hawaeleweki kabisa
@ismailradjabu38712 ай бұрын
Makonda na mzee mwanri, nawapenda saana
@Kabwela7762 ай бұрын
Makonda anaongea points sana
@yordanyona12342 ай бұрын
Makonda genius ..nyayo za Magu
@joycmsokile92202 ай бұрын
Safi Sana mheshimiwa, together we can change Tanzania.
@spendjulius-qz9mt2 ай бұрын
Good teacher... MAKONDA BIG MAN 🦾
@magrethmathayo28002 ай бұрын
makonda nilikua natamani uje Arusha hatimae imekua Mungu wa Mbinguni akulinde akufichena watu wote wabaya Amen 🙏🙏🙏🙏
@KiongoziMwandamizi2 ай бұрын
Huyu jamaa ni genius, Binafsi sijaridhishwa wataalam wa kuunga unga sana, technical know how haipo, watu hawajui hata nafasi zao zinahusu nini. Kwenye kutaja maeneo ya uwekezaji mtu anatoa history kweli?
@spendjulius-qz9mt2 ай бұрын
MAKONDA THE PRESIDENT NEXT TIME
@farhannahomary55052 ай бұрын
Yani hakuna kitu hao ila ujanjaujanja tu hawawezi hata kujua wanachokifanya hapo ungemwita kijana wa mitaani angechambua ila mzee zero
@abdulazizhabib4581Ай бұрын
Wasomi wetu wengi ni wa vyeti tu hawana jambo , thinking capacity yao iko chini sana
@Kabwela7762 ай бұрын
Elimu ya Tanzania hiyo watu hawawezi kujieleza na hawajui wanachoongea
@filexgallas35622 ай бұрын
uyu jamaa anaakili kubwa sana Sema tu anafungwa mikono
@godsonprosper66572 ай бұрын
Hii system ya Tausi inawafanya hapo jamaa walale. Hawajui wajibu wao.
@riazshaikh8577
Ай бұрын
Elimu zero kbsa, yani mtu hajui uchumi. Analysis zero
@neemamwanga5447Ай бұрын
Hapa hakuna kitu makonda ningekuja mimi nadhani ungenielewa maana mimi no form four then mmachinga wa mjini nina akili na uelewa kuliko hao certificate na degree, mara masters next time nakuja makonda utanielewa mimi mtoto wa kitaa ninayejua mvua na jua akili nipo smart
@yordanyona12342 ай бұрын
Mimi nakuelewa sana watu wa Business tunafahamu
@neemamwanga5447Ай бұрын
Viongozi wa halamashauri ya arusha wamewekwa sijui na wajomba maana km kuna kujuana hapa maana hawajui kujieleza, wajibu wao hawajui, wana vitambi tu vya rushwa na kupenda totozzzzz😂😂😂😂
@danielshimora53152 ай бұрын
Hiyo Ndio picha tosha, helimu ya Tanzania hakuna kitu, wengi wanaajiliwa kuganga njaa sio kutumia elimu Yao kutatua matatizo ya watu. Mama samia Mambo ni Bam Bam Bam.
@CatherineMbatta2 ай бұрын
Una akili Sana kuheshimiwa🙏🙏
@neemamwanga5447Ай бұрын
Makonda pita mjini kwenye maduka uone kodi na maduka zilivyo tofauti duka la mtaji wa milioni 3 analipa kodi sawa na mwenye duka la mtaji wa milioni 50 alafu akija k
@mapinduzisylvester19032 ай бұрын
Safi sana
@PeterStephen-on4zz2 ай бұрын
Raisi mama samia mpe luksa makonda. Atumbue wote ..viazi ndio vimejaa almashauli. Akuna watendaji 😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢
@banguha
Ай бұрын
Hahaaaa hilo neno kiaz limenikumbusha shulen mwal wetu wa English alikuwa analipenda
@-ef3wr10872 ай бұрын
Makonda uko na point mm nakufatilia sana
@SanareLaizer-en5it2 ай бұрын
Uko vizuri
@user-bl1tx8fc9v2 ай бұрын
Am proud of my RC, mwamba kwelikweli
@bwakiismail1262 ай бұрын
Iv ushuru wa magar c chanzo Cha mapato?
@asongwa2007Ай бұрын
Yaani kweli bado. Jamaa wanapigwa na bumbuwazi!
@dennischarles85242 ай бұрын
Tubadilike, as soon as mtu nanafungua business asigeuke kuwa adui wa government
@Nedjadist2 ай бұрын
Kwa namna hii, huyu Makonda ataka kujifanya mjuzi mno. Hakuna atakateweza kumjibu, maana kila ukijibu hatosheki wala kukubali.
@number179836
2 ай бұрын
Sahihi kabisa.
@generosennko83432 ай бұрын
Wataalam kweli wamekuwa exposed. Pengine ni nchi nzima hivyo hivyo, hamna kitu. Tuko chini ya viwango. Asante sana mkuu wa mkoa wa Arusha. Endelea kuamsha viongozi.
@yordanyona12342 ай бұрын
Wazungu wanaangalia namba ya wahitaji.. point hiyo wataalamu wanazidiwa na wanasiasa hivyo ndio maana sehemu nyingi mambo hayaendi
@nkondokubini76182 ай бұрын
Safi sana Makonda wewe ni Jembe huyu ni Kubini
@PeterStephen-on4zz2 ай бұрын
Do!?... Kwakweli uyo jamaa ni kiazi kabisa kalibia wote. 😢😢😢😅😅😅 . Raisi mama samia atuna wachumi kabisa kabisa. 🙏🙏🙏🙏🙏. Tanzania Nivigumu kupiga atua ukiwa na wasaidizi kama hawa..... na wapo serikalini.
@georgemwakalindile687
Ай бұрын
Yani ingekuwa likes mtu mmoja zinaongezeka,ningekuwa na minya tu mpaka kidole kichoke
@user-vo7yp5gj7xАй бұрын
Mama Samia plz plz plz Rejesha Mh Agrey Joshua Mwanri
@neemamwanga5447Ай бұрын
Mwanri mbunge wangu wa siha naomba kwa heshima ya wananchi mama mrudishe miaka 5 awanyooshe hawa vilaza
@imeldamatemu-gg9rl2 ай бұрын
Wakati wa Bwana umetufikia Arusha.Damu ya Yesu izidi kukufunika kaka etu.
@SonitajoseDonita-tm5ex2 ай бұрын
Haya sasa viongozi wababaishaji wanaunbuliwa Na Nakonda .hawatoshi Hawa, tunaomba tupewe watendaji Kazi sahihi wanaoweza Na kujua Kazi zako nje ndani.bila hivo utasubiri sana.nakumbuka Magu.tumechelewa sanaaaa
@SaidKinyota2 ай бұрын
Hawa watumishi wanakaba ofisini na matumbo yao tuuu na vinyonyozi tuuu hakuna kitu hapo afisi biashara hawezi kujierezee
@banguha
Ай бұрын
Yn ningeomba viyoyoz vitolewe ofcn wajipepee kwa magazeti labda akili zitachangamka
@yordanyona12342 ай бұрын
Mazao
@ajmstationery61572 ай бұрын
Sio rahisi watu wakawa na akili au wazo moja kama lako, pia majadiliano yanakuwa na mawazo tofauti, mwishoni mnaamua Kwa pamoja mfuate lipi.
@allyhamic1255
2 ай бұрын
Vip we iman yako inakuonesha kwamba wataalam wetu wamejitosheleza vilivyo..??
@ajmstationery6157
2 ай бұрын
@@allyhamic1255 Hapana. Ndio maana mwanzo niliandika kuwa ile ni chemsha bongo.
@ajmstationery61572 ай бұрын
Chemsha bongo
@georgemwakalindile687Ай бұрын
inaonekana Arusha watendaji wa serikali ni wazuri tu ila walikuwa business as usual.....hawakuwa na dira wala self commitment individually.....ni bata tu....
@abdull_hafidh2 ай бұрын
Tanzania simama nishuke
@user-ub2sm5vy2z2 ай бұрын
Makonda nakupenda sana
@ShamimuJuma-fs5oe2 ай бұрын
Jamani siwalisema makonda ajasoma mbona anaongea vitu vya point kuliko wasomi
@WazirJuma-gd5oo
Ай бұрын
Wanasema ulaya ukitaka kumua mbwa ulaya unampa jina baya. Wale niwabaya wa makonda.jamaa Yuko vzur mno ila mtu akikuchukia lazima akupe jina baya mungu amtunze makonda
@PureSoul-rf4xd
Ай бұрын
Ndio ushangee na wewe 🤷♀️🤷♀️mwezangu,mimi nachojua tu nihivi mtu mwenye uwezo au uwezo fulani hivi si rahisi watu wampende .
@gideonibatangaki13172 ай бұрын
Mh,Makonda kauliza swali kwa muhusika kaona mapungufu nikuwekeza kwenyesahani, jamani mnawazia kula tu hamuazii mengine.
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Kweli makobda ndio maana samia alisema umeichemsha Çcm.sasa zam yawatendaji waarusha wanachemshwa kweli kweli vipara vitaota nywele.navichwa vitaota vipara ghafra
@meryamabdullah2081
2 ай бұрын
Yn hao viongozi wa Arusha wanakaa vilaza utazan sio wasomi 🤔
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
@mohamedalidarabunyange48792 ай бұрын
Makonda mbonaa umee letwaa jamani arushaa inaa mkuu wazee
@mteulenyotamchana26232 ай бұрын
Aelewi kiswahili huyo bwana
@neemamwanga5447Ай бұрын
Fursa zipo ila hao matendaji ubongo wao umeganda, tunakuelewa makonda,
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
MIJIZI HIMEWEKWA KATIKA VITI KUPIGA PESA ZA WANANCHI TU😂😂😂😂
@user-rl4nv7ls4e2 ай бұрын
Makonda unafaa kuwa Rais kama kwel unaongea kutoka moyoni
@nathanmmasi38902 ай бұрын
Da makonda anafa sana sema atakaa sana apo ataamishwa tena.
@MrTop-wj7no2 ай бұрын
Daah huyu jamaa brain yake ya Ulaya tu ndo utakuta vitu kama hivo kujuwa hadi Chumvi inayotumika kila mwezi mpaka kwa siku😂😂😂
@IsmailMatola2 ай бұрын
Makonda sasa usipoangalia utakuwa unakimbiwa na watendaji maana maswali yako yanawatamanisha kwenda chooni maana asije akajikuta anapambana swali lako kaka uliza maswali yanayo endana na watendaji ma mbumbu mbu
@josephmussa0625
2 ай бұрын
😂😂
@SanareLaizer-en5it
2 ай бұрын
Uko vizuri sana
@banguha
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti uliza maswali yanayoendana na umbumbuu ila nimegundua watendaji wengi Mungu awasaidie nacheka hapa kama sijielew
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@user-tk4ej5hx2qАй бұрын
Haya ndo madharau ya kukaa offcn khaaaa,rushwa nyingi Arusha viongozi wanapachikwa tuuu,
@kyangwesignermohamed7867Ай бұрын
Yani bado Nibola aseme sehem furani kunahiki na hiki tuwekeze eneo nikiasi gani na uitaji na fursa onyeshe ziko wapi niaibu kwa huyo Afisa anavyo jikanyaga
@user-qy9qb9ul9z2 ай бұрын
The know nothing
@abdirazakmadhar20002 ай бұрын
KWA Hili tunazidiwa hata na jirani zetu inaonekana hakuna mkakati wa uchumi kuvuna dola zipo inje inje ni mipongo tu hawaja elezea kiukamilifu
@fredysiwale54132 ай бұрын
Kweli uelewa kuhusu uchumi ni shida hao ndio wataalamu wenye vidato mh makonda mwote mh kishimba, msukuma, ja pipo na moo. wa Simba hao watakuambia mambo yote ya uchumi sio hao wataalamu wKo
@SanareLaizer-en5it2 ай бұрын
Makonda kiongozi kweli
@iddiabdallah73522 ай бұрын
Yap mi nakuunga mkono pia watendaji hawana seduce power ktk utendaji ni wezi tu wamezubaa na ni kweli tunaibiwa kwakuwa hakuna kinachofanyika uwenda hata kuzurura hawatembei ktk vijiji kujua kero za kilimo au la na km ishu ya pembejeo inamalizwa kwa mara moja ili tusonge mbele sio kila siku tunarudi nyuma
@MichaelMaro-hj7yoАй бұрын
MUNGU Yuko nawe wachapishaji hao wanaongopa tu vitambi VYA wizi wanawalisha WATOTO wao Sumu MUNGU anawaona IKO siku mtoto wa maskn Hana HAKI Haha
@yordanyona12342 ай бұрын
Demand ya watu kwanza
@nazarethmanase44742 ай бұрын
Hatuna watendaji wenye uwezo. Wanafanyakazi bila utafiti.
@khadjiedson59542 ай бұрын
Elimu ya bongo bana hovyo
@durangobasics61952 ай бұрын
Waongee huko huko maofisini wasije mitaani. Waweke mifumo na wasimamie. Kisha waulize kero za mifumo basi
@user-vo7yp5gj7xАй бұрын
Mazao Matunda jamani Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
@OmanOman-dn6djАй бұрын
Makonda oyee
@user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын
Walioajiriwa kwenye nafasi kubwa na vyeo nagundua hawajui kitu kbsaaa japo ni wasomi ila hawa wa chini hata vyeo hawajapewa wanajua kukokotoa haswa na vyeo hawapewi sasa mtaaibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedalidarabunyange48792 ай бұрын
Makonda 😢
@godiusmghase81462 ай бұрын
MKUU Arusha DC WANA kipato Cha msitu na waterfall na Arusha DC hapigi greda barabara za kata tembelea hizo kat
@martintemu9123Ай бұрын
Makonda wewe ni kichwa..tunafurah sana kuletewa mtu kama ww
@FrolahRimo-cm3tu2 ай бұрын
Haw ndi watu wanaotuinea wajasiriamal
@user-sf3wi8xc5s2 ай бұрын
Kumbe tatizo elimu walikosomea. Basi mwekezaji awekeze mifumo ya elimu
@eliamwankenja7087Ай бұрын
Tumeluhusu wajinga kutufundishiae watoto wetu Safi sana makonda
@loningoletayo84532 ай бұрын
Hiii swalq uwekezaji watu wa prevents secter ndo wanaelewa
@paulomaligana3958Ай бұрын
Watu wako shaloo mbaya sijui nafasi wanapataje
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
Kwa maelezo hayo muekezaji awekezi
@radhiasalum71562 ай бұрын
Nacheka sijui nacheka nini😀😀🤣jamaa anasema anamatangazo ana tausi alafu uyo tausi hajaanzisha bali naataka kuanzisha hahahahah duu
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅😅
@radhiasalum7156
Ай бұрын
@@ziddyziddy2524 tanzania mfumo wa ufanyaji kazi mbovu mno
@mcholimkubwa2 ай бұрын
Kudadeeekii😂
@santebnassary74112 ай бұрын
Kigezo cha kua Rais ni kipi kwani? Muda utaamua
@user-bt3wt6nt4z
2 ай бұрын
We hukion au😂😂😂😂😂😂😂😂unamakusud wewe
@nurunewz1032 ай бұрын
Makonda, wachumi wanakuambia sahihi ila wewe unalojibu lako ambalo lipokichwani hautaki kusikiliza.
@wilibaldmallya71562 ай бұрын
Sijamuelewa Rc.Haya anayataka kutoka kwa viongozi wa aina gani?
@kakak1245
2 ай бұрын
❤😅😅😅
@GibsonNtamamilo
2 ай бұрын
Huwezi kumuelewa shule ulikuwa unasinzia na kula visheti😂😂😂
@banguha
Ай бұрын
@@GibsonNtamamilo😂😂😂😂 niachie mbavu zangu shulen alikuwa anakula visheti Yesu wangu
@iddiabdallah73522 ай бұрын
Mi naona hata maafsa elimu kilimo waangaliwe jamani maafsa afya
@godiusmghase81462 ай бұрын
Mkuu tembelea viwanda vilivyobinafsishwa uone waliofilisi na walioendelez
@michaelndilima62102 ай бұрын
Wabeja namala
@hermanmtalo63402 ай бұрын
Ajira za krosi krosi mtu lilifeli form four anapewa kazi kiujanjaujanja
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Wachumi wanaogopa hata kujitokeza
@HassanKangwa-sz4gn2 ай бұрын
Awe wazili mkuu 2025
@MichaelMaro-hj7yoАй бұрын
MAKONDA MKOMBOZI WA TAIFA TU PAMOJA NAWE MUNGU AKUTANGULIE
@broka_genius36152 ай бұрын
Jama anatoa macho tu 😅
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
@user-bt3wt6nt4z
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@godiusmghase81462 ай бұрын
MKUU wachumi ni kwazo kwa maendeleo
@user-ml5tq8hj2x2 ай бұрын
Arusha wamejaa matape haswa pole mkuu
@hermanmtalo63402 ай бұрын
Watakuaje na akili wakati hapo wamewekwa tu kisa mjomba alikuaga hapo
@radhiasalum7156
2 ай бұрын
Hapo sasa.yani wakiulizwa kuhusu ilo utaona jinsi walivyochomokezwa🤣🤣🤣
@komuhsengo97962 ай бұрын
😂
@iddiabdallah73522 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@amosmangura2 ай бұрын
Afrika vikapu vya Afrika viiwe bora kwa wageni nakupa mtaji Kofia za mkeka masai wawe burudani na utamaduni wa Tanzania
@leinaamos2 ай бұрын
Uko sahihi ni kweli Wananchi hawana elimu ya mfumo
Пікірлер: 148
Makonda ni kiongozi sahihi sana kwa mkoa wetu wa Arusha. Sahihi sana. Tumwombee Mungu na kumuunga mkono.
Makonda hongera sana kwa kazi maana kuna watu tunawajua wanajiita ma engineers lakini elimu yao ukiitafakari unashtuka kwani hata akili zao za mkopo hawajielewi wanakuja mtaani anajikuta kumbe wa mchongo wachunguzwe elimu zao wengine labda wamepita kimiujiza maana hawaeleweki kabisa
Makonda na mzee mwanri, nawapenda saana
Makonda anaongea points sana
Makonda genius ..nyayo za Magu
Safi Sana mheshimiwa, together we can change Tanzania.
Good teacher... MAKONDA BIG MAN 🦾
makonda nilikua natamani uje Arusha hatimae imekua Mungu wa Mbinguni akulinde akufichena watu wote wabaya Amen 🙏🙏🙏🙏
Huyu jamaa ni genius, Binafsi sijaridhishwa wataalam wa kuunga unga sana, technical know how haipo, watu hawajui hata nafasi zao zinahusu nini. Kwenye kutaja maeneo ya uwekezaji mtu anatoa history kweli?
MAKONDA THE PRESIDENT NEXT TIME
Yani hakuna kitu hao ila ujanjaujanja tu hawawezi hata kujua wanachokifanya hapo ungemwita kijana wa mitaani angechambua ila mzee zero
Wasomi wetu wengi ni wa vyeti tu hawana jambo , thinking capacity yao iko chini sana
Elimu ya Tanzania hiyo watu hawawezi kujieleza na hawajui wanachoongea
uyu jamaa anaakili kubwa sana Sema tu anafungwa mikono
Hii system ya Tausi inawafanya hapo jamaa walale. Hawajui wajibu wao.
@riazshaikh8577
Ай бұрын
Elimu zero kbsa, yani mtu hajui uchumi. Analysis zero
Hapa hakuna kitu makonda ningekuja mimi nadhani ungenielewa maana mimi no form four then mmachinga wa mjini nina akili na uelewa kuliko hao certificate na degree, mara masters next time nakuja makonda utanielewa mimi mtoto wa kitaa ninayejua mvua na jua akili nipo smart
Mimi nakuelewa sana watu wa Business tunafahamu
Viongozi wa halamashauri ya arusha wamewekwa sijui na wajomba maana km kuna kujuana hapa maana hawajui kujieleza, wajibu wao hawajui, wana vitambi tu vya rushwa na kupenda totozzzzz😂😂😂😂
Hiyo Ndio picha tosha, helimu ya Tanzania hakuna kitu, wengi wanaajiliwa kuganga njaa sio kutumia elimu Yao kutatua matatizo ya watu. Mama samia Mambo ni Bam Bam Bam.
Una akili Sana kuheshimiwa🙏🙏
Makonda pita mjini kwenye maduka uone kodi na maduka zilivyo tofauti duka la mtaji wa milioni 3 analipa kodi sawa na mwenye duka la mtaji wa milioni 50 alafu akija k
Safi sana
Raisi mama samia mpe luksa makonda. Atumbue wote ..viazi ndio vimejaa almashauli. Akuna watendaji 😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢
@banguha
Ай бұрын
Hahaaaa hilo neno kiaz limenikumbusha shulen mwal wetu wa English alikuwa analipenda
Makonda uko na point mm nakufatilia sana
Uko vizuri
Am proud of my RC, mwamba kwelikweli
Iv ushuru wa magar c chanzo Cha mapato?
Yaani kweli bado. Jamaa wanapigwa na bumbuwazi!
Tubadilike, as soon as mtu nanafungua business asigeuke kuwa adui wa government
Kwa namna hii, huyu Makonda ataka kujifanya mjuzi mno. Hakuna atakateweza kumjibu, maana kila ukijibu hatosheki wala kukubali.
@number179836
2 ай бұрын
Sahihi kabisa.
Wataalam kweli wamekuwa exposed. Pengine ni nchi nzima hivyo hivyo, hamna kitu. Tuko chini ya viwango. Asante sana mkuu wa mkoa wa Arusha. Endelea kuamsha viongozi.
Wazungu wanaangalia namba ya wahitaji.. point hiyo wataalamu wanazidiwa na wanasiasa hivyo ndio maana sehemu nyingi mambo hayaendi
Safi sana Makonda wewe ni Jembe huyu ni Kubini
Do!?... Kwakweli uyo jamaa ni kiazi kabisa kalibia wote. 😢😢😢😅😅😅 . Raisi mama samia atuna wachumi kabisa kabisa. 🙏🙏🙏🙏🙏. Tanzania Nivigumu kupiga atua ukiwa na wasaidizi kama hawa..... na wapo serikalini.
@georgemwakalindile687
Ай бұрын
Yani ingekuwa likes mtu mmoja zinaongezeka,ningekuwa na minya tu mpaka kidole kichoke
Mama Samia plz plz plz Rejesha Mh Agrey Joshua Mwanri
Mwanri mbunge wangu wa siha naomba kwa heshima ya wananchi mama mrudishe miaka 5 awanyooshe hawa vilaza
Wakati wa Bwana umetufikia Arusha.Damu ya Yesu izidi kukufunika kaka etu.
Haya sasa viongozi wababaishaji wanaunbuliwa Na Nakonda .hawatoshi Hawa, tunaomba tupewe watendaji Kazi sahihi wanaoweza Na kujua Kazi zako nje ndani.bila hivo utasubiri sana.nakumbuka Magu.tumechelewa sanaaaa
Hawa watumishi wanakaba ofisini na matumbo yao tuuu na vinyonyozi tuuu hakuna kitu hapo afisi biashara hawezi kujierezee
@banguha
Ай бұрын
Yn ningeomba viyoyoz vitolewe ofcn wajipepee kwa magazeti labda akili zitachangamka
Mazao
Sio rahisi watu wakawa na akili au wazo moja kama lako, pia majadiliano yanakuwa na mawazo tofauti, mwishoni mnaamua Kwa pamoja mfuate lipi.
@allyhamic1255
2 ай бұрын
Vip we iman yako inakuonesha kwamba wataalam wetu wamejitosheleza vilivyo..??
@ajmstationery6157
2 ай бұрын
@@allyhamic1255 Hapana. Ndio maana mwanzo niliandika kuwa ile ni chemsha bongo.
Chemsha bongo
inaonekana Arusha watendaji wa serikali ni wazuri tu ila walikuwa business as usual.....hawakuwa na dira wala self commitment individually.....ni bata tu....
Tanzania simama nishuke
Makonda nakupenda sana
Jamani siwalisema makonda ajasoma mbona anaongea vitu vya point kuliko wasomi
@WazirJuma-gd5oo
Ай бұрын
Wanasema ulaya ukitaka kumua mbwa ulaya unampa jina baya. Wale niwabaya wa makonda.jamaa Yuko vzur mno ila mtu akikuchukia lazima akupe jina baya mungu amtunze makonda
@PureSoul-rf4xd
Ай бұрын
Ndio ushangee na wewe 🤷♀️🤷♀️mwezangu,mimi nachojua tu nihivi mtu mwenye uwezo au uwezo fulani hivi si rahisi watu wampende .
Mh,Makonda kauliza swali kwa muhusika kaona mapungufu nikuwekeza kwenyesahani, jamani mnawazia kula tu hamuazii mengine.
Kweli makobda ndio maana samia alisema umeichemsha Çcm.sasa zam yawatendaji waarusha wanachemshwa kweli kweli vipara vitaota nywele.navichwa vitaota vipara ghafra
@meryamabdullah2081
2 ай бұрын
Yn hao viongozi wa Arusha wanakaa vilaza utazan sio wasomi 🤔
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
Makonda mbonaa umee letwaa jamani arushaa inaa mkuu wazee
Aelewi kiswahili huyo bwana
Fursa zipo ila hao matendaji ubongo wao umeganda, tunakuelewa makonda,
MIJIZI HIMEWEKWA KATIKA VITI KUPIGA PESA ZA WANANCHI TU😂😂😂😂
Makonda unafaa kuwa Rais kama kwel unaongea kutoka moyoni
Da makonda anafa sana sema atakaa sana apo ataamishwa tena.
Daah huyu jamaa brain yake ya Ulaya tu ndo utakuta vitu kama hivo kujuwa hadi Chumvi inayotumika kila mwezi mpaka kwa siku😂😂😂
Makonda sasa usipoangalia utakuwa unakimbiwa na watendaji maana maswali yako yanawatamanisha kwenda chooni maana asije akajikuta anapambana swali lako kaka uliza maswali yanayo endana na watendaji ma mbumbu mbu
@josephmussa0625
2 ай бұрын
😂😂
@SanareLaizer-en5it
2 ай бұрын
Uko vizuri sana
@banguha
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti uliza maswali yanayoendana na umbumbuu ila nimegundua watendaji wengi Mungu awasaidie nacheka hapa kama sijielew
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅😅😅
Haya ndo madharau ya kukaa offcn khaaaa,rushwa nyingi Arusha viongozi wanapachikwa tuuu,
Yani bado Nibola aseme sehem furani kunahiki na hiki tuwekeze eneo nikiasi gani na uitaji na fursa onyeshe ziko wapi niaibu kwa huyo Afisa anavyo jikanyaga
The know nothing
KWA Hili tunazidiwa hata na jirani zetu inaonekana hakuna mkakati wa uchumi kuvuna dola zipo inje inje ni mipongo tu hawaja elezea kiukamilifu
Kweli uelewa kuhusu uchumi ni shida hao ndio wataalamu wenye vidato mh makonda mwote mh kishimba, msukuma, ja pipo na moo. wa Simba hao watakuambia mambo yote ya uchumi sio hao wataalamu wKo
Makonda kiongozi kweli
Yap mi nakuunga mkono pia watendaji hawana seduce power ktk utendaji ni wezi tu wamezubaa na ni kweli tunaibiwa kwakuwa hakuna kinachofanyika uwenda hata kuzurura hawatembei ktk vijiji kujua kero za kilimo au la na km ishu ya pembejeo inamalizwa kwa mara moja ili tusonge mbele sio kila siku tunarudi nyuma
MUNGU Yuko nawe wachapishaji hao wanaongopa tu vitambi VYA wizi wanawalisha WATOTO wao Sumu MUNGU anawaona IKO siku mtoto wa maskn Hana HAKI Haha
Demand ya watu kwanza
Hatuna watendaji wenye uwezo. Wanafanyakazi bila utafiti.
Elimu ya bongo bana hovyo
Waongee huko huko maofisini wasije mitaani. Waweke mifumo na wasimamie. Kisha waulize kero za mifumo basi
Mazao Matunda jamani Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
Makonda oyee
Walioajiriwa kwenye nafasi kubwa na vyeo nagundua hawajui kitu kbsaaa japo ni wasomi ila hawa wa chini hata vyeo hawajapewa wanajua kukokotoa haswa na vyeo hawapewi sasa mtaaibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makonda 😢
MKUU Arusha DC WANA kipato Cha msitu na waterfall na Arusha DC hapigi greda barabara za kata tembelea hizo kat
Makonda wewe ni kichwa..tunafurah sana kuletewa mtu kama ww
Haw ndi watu wanaotuinea wajasiriamal
Kumbe tatizo elimu walikosomea. Basi mwekezaji awekeze mifumo ya elimu
Tumeluhusu wajinga kutufundishiae watoto wetu Safi sana makonda
Hiii swalq uwekezaji watu wa prevents secter ndo wanaelewa
Watu wako shaloo mbaya sijui nafasi wanapataje
Kwa maelezo hayo muekezaji awekezi
Nacheka sijui nacheka nini😀😀🤣jamaa anasema anamatangazo ana tausi alafu uyo tausi hajaanzisha bali naataka kuanzisha hahahahah duu
@ziddyziddy2524
Ай бұрын
😅😅😅😅
@radhiasalum7156
Ай бұрын
@@ziddyziddy2524 tanzania mfumo wa ufanyaji kazi mbovu mno
Kudadeeekii😂
Kigezo cha kua Rais ni kipi kwani? Muda utaamua
@user-bt3wt6nt4z
2 ай бұрын
We hukion au😂😂😂😂😂😂😂😂unamakusud wewe
Makonda, wachumi wanakuambia sahihi ila wewe unalojibu lako ambalo lipokichwani hautaki kusikiliza.
Sijamuelewa Rc.Haya anayataka kutoka kwa viongozi wa aina gani?
@kakak1245
2 ай бұрын
❤😅😅😅
@GibsonNtamamilo
2 ай бұрын
Huwezi kumuelewa shule ulikuwa unasinzia na kula visheti😂😂😂
@banguha
Ай бұрын
@@GibsonNtamamilo😂😂😂😂 niachie mbavu zangu shulen alikuwa anakula visheti Yesu wangu
Mi naona hata maafsa elimu kilimo waangaliwe jamani maafsa afya
Mkuu tembelea viwanda vilivyobinafsishwa uone waliofilisi na walioendelez
Wabeja namala
Ajira za krosi krosi mtu lilifeli form four anapewa kazi kiujanjaujanja
Wachumi wanaogopa hata kujitokeza
Awe wazili mkuu 2025
MAKONDA MKOMBOZI WA TAIFA TU PAMOJA NAWE MUNGU AKUTANGULIE
Jama anatoa macho tu 😅
@MrTop-wj7no
2 ай бұрын
😂😂😂
@user-bt3wt6nt4z
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MKUU wachumi ni kwazo kwa maendeleo
Arusha wamejaa matape haswa pole mkuu
Watakuaje na akili wakati hapo wamewekwa tu kisa mjomba alikuaga hapo
@radhiasalum7156
2 ай бұрын
Hapo sasa.yani wakiulizwa kuhusu ilo utaona jinsi walivyochomokezwa🤣🤣🤣
😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Afrika vikapu vya Afrika viiwe bora kwa wageni nakupa mtaji Kofia za mkeka masai wawe burudani na utamaduni wa Tanzania
Uko sahihi ni kweli Wananchi hawana elimu ya mfumo