KESI YA MPANGAJI ALIYEGOMA KULIPA KODI KWA MIAKA MINNE YAFIKA KWA RC MAKONDA ARUSHA.

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 18

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @jahululamasunga
    @jahululamasungaАй бұрын

    RC Makonda upo sawa big up

  • @nasibumontana9379
    @nasibumontana9379Ай бұрын

    Mh.Rais akipata kiongozi kama Makonda hii nchi itanyooka mno mno hakika mama anamtazamo wa mbali bas tu baadhi ya viongozi wanamuangusha mama yetu na kuwafanya wananchi kuwa wanyonge kumbe baadhi ya wachache tu kwenda kinyume na mama

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823Ай бұрын

    Tanga tuna changamoto nyingi ikiwemo kesi yetu ya YOHANA MBAZI CHAMSHAMA na wenzake 16 dhidi ya TANGA cement ya mwaka 1998 ambapo 16/03/2021 ilitolewa hukumu na mahakama kuu na kutupatia ushindi. Muda wa rufaa ukapita nasi tukakazia hukumu, lakini baadae tunaambiwa hati ya kukazia hukumu inaondolewa mdaiwa amekata rufaa, hebu fikiria toka tar 16/03/2021 mpaka tar 24/04/2024 kesi inasomwa ili kuondoa hati yakikazia hukumu ili rufaa ya mdaiwa yaani TANGA cement isikilizwe kwa tarehe isiyojulikana, na tangu kesi hii imeanza hadi leo ni miaka 26 na wengi wetu wamekufa. Hivi tumpelekee nani malalamiko yetu atushughulikie ili angalau haki hii iliyocheleweshwa tuipate!!?

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165Ай бұрын

    Angalia watu wanavyoteseka na watumishi wapo ! Alafu mtumishi akikosolewa eti kadhalilishwa mungu anawaona😱😱😱😱

  • @stellamokiwa2025
    @stellamokiwa2025Ай бұрын

    Umependeza sana Makonda....umenunua wap t-shirt na kofia ya Jesus

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898Ай бұрын

    Kuna watu wala hawajari kbc kazi yao kula mali za watu kuiba mali za watu zuluma kwao ndio msingi wao

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fhАй бұрын

    Hana hata aibu huyo dada unatumia nyumba ya watu alafu unatamba nayo kama yako

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785Ай бұрын

    Yaani nyie wa arusha mmepata bahati kubwa Sana.huyu kaka yangu natamani arudi kwetu usukumani,maana hata huku migogoro kama yote.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siАй бұрын

    Mahakama iwe makini sana inatisha

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairukiАй бұрын

    Wanasheria wa jiji hawajielewi anaongea vitu havieleweki

  • @hamadrehani9957
    @hamadrehani9957Ай бұрын

    Simba na dodoma

  • @user-gn1io8tu8h
    @user-gn1io8tu8hАй бұрын

    Huyu mwamba bado tunahitaj kumtumia

  • @elisbegaelias163
    @elisbegaelias163Ай бұрын

    Raisi alikosea sana angemleta mkoa wa mara huyu makonda

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu

    @MeckitilidaTushabe-or9hu

    Ай бұрын

    Aseee hajakosea jaman

  • @joyce55727

    @joyce55727

    Ай бұрын

    Mara na Arusha ni wale wale maana vita iliopo mara ndio vita iliyopo Arusha 😁😁

  • @user-qj6dz9yb3r
    @user-qj6dz9yb3rАй бұрын

    Hivi unadhulumuje mali ya hao akinadada mwanaume mzima

  • @josephdimosso6380

    @josephdimosso6380

    Ай бұрын

    Matajiri wengi ni matapeli hahaha na ndo principles za maisha ya kwenda juu

Келесі