MBELE YA MAKONDA "NINA WATOTO 11 SIJUI KUTOA MIMBA NAJUA KUZAA NAOMBA MSAADA WA BAISKELI TU
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 46
Kaka mkubwa Makonda,Mungu akutie nguvu kwa kweli kazi ngumu ,ila umeiweza, ahsante
Mh makonda pole na hongera kwa kazi ngumu mnoooo
Unayo kazi kwakweli Mungu akubariki
Ongera sana makonda mfano bola sana unasikiliza maelekezo ya kiongozi mkubwa nchimbi
Kuna Mambo anayokutana nayo MAKONDA mengine mazito ila jamaa jasiri maashallah 🙏
Jaman jaman jaman makonda anakutana na mengi sana
Hii kazi ni ngumu mh makonda anahitaji maombi ya wachrito.waislum.wahindu hadi wapagani i am telling you
@shanimbaruku2071
Ай бұрын
Tunamuombea sanaa❤
umri kama wakwangu aisee hongera mimi na wawili naomba uzima namimi niongeze
@MsAggie5
Ай бұрын
Mungu akutunzie lakini ongeza 😂
Hee jamani zikoshida yatupasa kumuomba Mungu sana
Tatizo police wengi sio waaminifu, weni wao wanashirikiana na waizi. Police wengi hawajui wajibu wao, uchunguzi ufanyike.
Watoto 11?
JEMBE HILO YAANI 11 BABIES WAKATI WANAWAKE WENGINE WANACHOKA MTOTO MMOJA TU.
Kwani lazima mzae kupitiliza jamani maisha magumu,ebu tumieni uzazi wa mpango
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Si nidhambi au
@annamussa185
Ай бұрын
@@MiriamAbdallah dhambi ni kuzaa watoto na huna cha kuwapa ni mateso tu,sasa miaka 39 watoto 11 jamani
Tz nzima mkuu wa mkoa ni mmoja tu huko Sasa Samia ukitaka kukosa Kura mtoee makonda huku kwenye sekta ya kusikiliza matatizo ya watu
Makonda Tunakuona na tunakuombea saaana
Ajawi kutoa mimba anajua tu kuzaa
Utajua ujui makonda😂😂😂39watotok 11asee hongera❤❤❤
@deogratiusyudatadei5658
Ай бұрын
Huyo mama katimiza maagizo ya MUNGU ,nendeni mkaijazee DUNIA 😂😂
@MsAggie5
Ай бұрын
Kweli miaka 39 watoto 11 aliolewa akiwa na miaka mingapi au kuna mapacha? Mume nae kafa kaona akapumzike Kwa amani
@radhiasalum7156
Ай бұрын
@@MsAggie5mume kafa nguvu zimemuisha🤣🤣itakuwa alikuwa anazaa baada ya mwaka kila mwaka mtoto ila eeanaubavj😀😀
@MsAggie5
Ай бұрын
@@radhiasalum7156 mmmh imekuwa mashine? Kha!
Makonda kazi unayo na pole kwa kuumiza kichwa kwa wananchi wako na mungu akujalie utendaji wa kazi yako na pia akulaze halima na basala na kauli nnjema kwa wananchi wako
@halimaoman8726
Ай бұрын
Akujalie Helena na busala
Mungu akutie nguvu njoo kiranyi sakina kuna barabara za miguu zimefungwa na watu wengine hata hatuwafikii majirani vzuri njoo sakina kiranyi mkuu
Makonda alipwe mishahara ya wa kuu wa mikoa yoteee
@MsAggie5
Ай бұрын
😂
Iyo Kari ajawai kutoa mimba
Safi sana wanapenda Siasa.police anakwepa majukumu yake jamani jamani
unajitahidi sana Makonda ila police Arusha ni wala rushwa.
@MsAggie5
Ай бұрын
Huyo Askari mwenye gwanda anajikanyaga tu!
Pole Mheshimiwa Makonda Mungu Akusaidie kazi ipo ila ni Njema sana Bwana Ajituze.
Mama yetu raisi tunaomba umpe makonda bonanse na umuongeze mshahara anafanya Sana kazi
Daaa ndy maana mwananchi unachukua jukumu mkononi
Huyo mkuu Polisi hajuwi majukumu yake. Ni majukumu ya kiapo na hanauhusiano na raia
Huyu askari ni mkali kwa mwanachi mbele ya rc asiokuwepo rc je inakuwaje
mhh wanasoma kweli hao watoto jamani maana ni wengi
Ameongea ukweli dada
Chomeni moto mnamrea wenyewe
Mapolisi wenu ndio wala rushwa na ndio majambazi wa kwanza haiwezekani polisi aletewe mharifu badala ya kumufunga amuachie juru na kurudi kuharibu.
@MsAggie5
Ай бұрын
Wakila rushwa wanadai hakuna ushahidi WA kutosha ......sheria nayo, mahakama nao wakila rushwa watasema hakuna ushahidi yaleyale
Mwee pole sana
Makonda anahitaji mno kuombewa ,yani mno tu