MBELE YA MAKONDA "NINA WATOTO 11 SIJUI KUTOA MIMBA NAJUA KUZAA NAOMBA MSAADA WA BAISKELI TU

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 46

  • @KusirieJonathan-ln5hk
    @KusirieJonathan-ln5hkАй бұрын

    Kaka mkubwa Makonda,Mungu akutie nguvu kwa kweli kazi ngumu ,ila umeiweza, ahsante

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965Ай бұрын

    Mh makonda pole na hongera kwa kazi ngumu mnoooo

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196Ай бұрын

    Unayo kazi kwakweli Mungu akubariki

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3jeАй бұрын

    Ongera sana makonda mfano bola sana unasikiliza maelekezo ya kiongozi mkubwa nchimbi

  • @KhmsNsr
    @KhmsNsrАй бұрын

    Kuna Mambo anayokutana nayo MAKONDA mengine mazito ila jamaa jasiri maashallah 🙏

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4clАй бұрын

    Jaman jaman jaman makonda anakutana na mengi sana

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473Ай бұрын

    Hii kazi ni ngumu mh makonda anahitaji maombi ya wachrito.waislum.wahindu hadi wapagani i am telling you

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    Ай бұрын

    Tunamuombea sanaa❤

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8qАй бұрын

    umri kama wakwangu aisee hongera mimi na wawili naomba uzima namimi niongeze

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Mungu akutunzie lakini ongeza 😂

  • @AlphonsinaMkongoma
    @AlphonsinaMkongomaАй бұрын

    Hee jamani zikoshida yatupasa kumuomba Mungu sana

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8uiАй бұрын

    Tatizo police wengi sio waaminifu, weni wao wanashirikiana na waizi. Police wengi hawajui wajibu wao, uchunguzi ufanyike.

  • @user-bg6vr8ip7j
    @user-bg6vr8ip7jАй бұрын

    Watoto 11?

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258Ай бұрын

    JEMBE HILO YAANI 11 BABIES WAKATI WANAWAKE WENGINE WANACHOKA MTOTO MMOJA TU.

  • @annamussa185
    @annamussa185Ай бұрын

    Kwani lazima mzae kupitiliza jamani maisha magumu,ebu tumieni uzazi wa mpango

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Si nidhambi au

  • @annamussa185

    @annamussa185

    Ай бұрын

    @@MiriamAbdallah dhambi ni kuzaa watoto na huna cha kuwapa ni mateso tu,sasa miaka 39 watoto 11 jamani

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658Ай бұрын

    Tz nzima mkuu wa mkoa ni mmoja tu huko Sasa Samia ukitaka kukosa Kura mtoee makonda huku kwenye sekta ya kusikiliza matatizo ya watu

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138Ай бұрын

    Makonda Tunakuona na tunakuombea saaana

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3jeАй бұрын

    Ajawi kutoa mimba anajua tu kuzaa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156Ай бұрын

    Utajua ujui makonda😂😂😂39watotok 11asee hongera❤❤❤

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    Ай бұрын

    Huyo mama katimiza maagizo ya MUNGU ,nendeni mkaijazee DUNIA 😂😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Kweli miaka 39 watoto 11 aliolewa akiwa na miaka mingapi au kuna mapacha? Mume nae kafa kaona akapumzike Kwa amani

  • @radhiasalum7156

    @radhiasalum7156

    Ай бұрын

    @@MsAggie5mume kafa nguvu zimemuisha🤣🤣itakuwa alikuwa anazaa baada ya mwaka kila mwaka mtoto ila eeanaubavj😀😀

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    @@radhiasalum7156 mmmh imekuwa mashine? Kha!

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726Ай бұрын

    Makonda kazi unayo na pole kwa kuumiza kichwa kwa wananchi wako na mungu akujalie utendaji wa kazi yako na pia akulaze halima na basala na kauli nnjema kwa wananchi wako

  • @halimaoman8726

    @halimaoman8726

    Ай бұрын

    Akujalie Helena na busala

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2xАй бұрын

    Mungu akutie nguvu njoo kiranyi sakina kuna barabara za miguu zimefungwa na watu wengine hata hatuwafikii majirani vzuri njoo sakina kiranyi mkuu

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658Ай бұрын

    Makonda alipwe mishahara ya wa kuu wa mikoa yoteee

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    😂

  • @elizabethmkude9452
    @elizabethmkude9452Ай бұрын

    Iyo Kari ajawai kutoa mimba

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701Ай бұрын

    Safi sana wanapenda Siasa.police anakwepa majukumu yake jamani jamani

  • @kyaro5945
    @kyaro5945Ай бұрын

    unajitahidi sana Makonda ila police Arusha ni wala rushwa.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Huyo Askari mwenye gwanda anajikanyaga tu!

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407Ай бұрын

    Pole Mheshimiwa Makonda Mungu Akusaidie kazi ipo ila ni Njema sana Bwana Ajituze.

  • @elizabethmkude9452
    @elizabethmkude9452Ай бұрын

    Mama yetu raisi tunaomba umpe makonda bonanse na umuongeze mshahara anafanya Sana kazi

  • @fanuelpeter7121
    @fanuelpeter7121Ай бұрын

    Daaa ndy maana mwananchi unachukua jukumu mkononi

  • @user-jl9sz6we9j
    @user-jl9sz6we9jАй бұрын

    Huyo mkuu Polisi hajuwi majukumu yake. Ni majukumu ya kiapo na hanauhusiano na raia

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935Ай бұрын

    Huyu askari ni mkali kwa mwanachi mbele ya rc asiokuwepo rc je inakuwaje

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4thАй бұрын

    mhh wanasoma kweli hao watoto jamani maana ni wengi

  • @eddakasela
    @eddakaselaАй бұрын

    Ameongea ukweli dada

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893Ай бұрын

    Chomeni moto mnamrea wenyewe

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333Ай бұрын

    Mapolisi wenu ndio wala rushwa na ndio majambazi wa kwanza haiwezekani polisi aletewe mharifu badala ya kumufunga amuachie juru na kurudi kuharibu.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    Ай бұрын

    Wakila rushwa wanadai hakuna ushahidi WA kutosha ......sheria nayo, mahakama nao wakila rushwa watasema hakuna ushahidi yaleyale

  • @joyceatupele8848
    @joyceatupele8848Ай бұрын

    Mwee pole sana

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbattaАй бұрын

    Makonda anahitaji mno kuombewa ,yani mno tu

Келесі