MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul makonda ameagiza kupangiwa kazi nyingine kwa mkuu wa kituo cha Buguruni Englibert Kasikana mara baada ya kutokea vuta nikuvute kwenye mkutano wake uliofanyika leo oktoba 25 katika eneo la buguruni.
Пікірлер: 425
Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)
Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.
@lulyehomadale9009
5 жыл бұрын
Hawa Madiwa propaganda tu hapo
@joviyhajoseph4722
5 жыл бұрын
lulyeho madale z see ß a za zß CCC CCC x
@hanspophassan5669
5 жыл бұрын
Nikweli kabisa
Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali
Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you
Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera
makonda wanaokuchukia walaniwe na tunamuomba mungu raisi akuache apo apo miaka mingi!!!akuna asosemwa ata raisi wetu anasema piga kazi usiogope!!!usiposemwa jua huna kitu.
@saidsuleiman5255
5 жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana
Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu
Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...
Makonda hongera,joo kenya utusaidie
Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza
Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde
Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians
magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful
@nawihadj6674
5 жыл бұрын
yeah
@juliuskivuyo5384
5 жыл бұрын
Good
Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.
Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.
Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo
Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya
Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni
@djmarashimartin7707
5 жыл бұрын
itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa
Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.
@ugaboy4736
5 жыл бұрын
Jamani polis ngum tuulizeni sisi
@mariawilbrod9786
5 жыл бұрын
Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?
tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema
Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu
Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓
@priscahongerasanaabel9893
5 жыл бұрын
hahahahah jaman kweli
@mwanaidimtwiku9983
5 жыл бұрын
Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe
Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu. Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae. Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa. Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.
@rajabuwiliam5854
5 ай бұрын
wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu
@jumakapilima7295
5 ай бұрын
Nimependa maelezo ya askari
@PasichalFrancis
4 ай бұрын
Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya
@RwegoshoraPatt-os2ik
4 ай бұрын
Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia
makonda safi sana Allah akujalie
shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki
Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.
Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.
@eliphaziamon8794
5 жыл бұрын
mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu
@gabrielresti1710
5 жыл бұрын
Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako
@yudithshayo4057
5 жыл бұрын
mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar
@mohamedykabwanga1647
5 жыл бұрын
Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www
@fransiskahaule3343
5 жыл бұрын
Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..
Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka
Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina
@user-jn2qj5wf6c
5 ай бұрын
Kama na fisad dawa Yako inachemka
makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.
Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.
Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana
Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini
Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel
Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.
@michaelmathayo2582
5 жыл бұрын
makonda upo sahihi
@titosindei6016
5 жыл бұрын
watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu
@adamsclassic9306
5 жыл бұрын
sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu
Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.
ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme
Safi sana mheshimiwa Makonda 👍
kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa
Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc
@mariawilbrod9786
5 жыл бұрын
Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele
@ahmednoor1412
5 жыл бұрын
Unasifia ujinga
@flavian-augustino.pangah
5 жыл бұрын
Ahmed noor asante kwa jibu lako
@sharifasharifa7680
5 жыл бұрын
Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan
Hongera sana mama.shikamoo,,
Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya
Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏
Safi sana Askari!!!
Unajua makonda ww ni msubutu sana jitoe kaka utapata malipo kutoka kwa MUNGU endelea kutetea wanyonge nakumbea heri insha'Allah
Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.
Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi
Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa
Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam
mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪
Hongera mama kwakuongea ukweri
Mtihani sana.
Asant sana Mh Makonda
Mama umetisha sana
Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd
Safi sana mkuu
Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama
Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo
By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee
Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.
Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.
RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya
@issahamza6820
5 жыл бұрын
Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.
@danielmsoma4741
5 жыл бұрын
naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.
@martinezsiwale4419
5 жыл бұрын
Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako
@martinezsiwale4419
5 жыл бұрын
Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe
bigup mkuu Wa mkoa
Makonda hongera sana
Jamani yangu macho tutawasiliana 2020
Big up Mh Makonda
safi sana . Apangiwe kazi nyingine .
Uko safi mkuu
Hapo sawa sasa
Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo
Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna
OCD safiiii unajibu vizuri sana kwa kujiamini
Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.
Amenisisimua my RC😍😍😍
MAMA INSHAALLAH LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO
Hapa kazi tu
@user-wu8oi7jk7s
5 ай бұрын
Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000
hawa wananchi nyinyi serekari munawaminije hapohapo janmani kumbukeni majungu makonda wewe babaangu wangeamini yote birakuchunguza kweri ungekuwa mtumishi kweri ndugu naumeokoka zichunguze roho zingine amina
RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .
Safi sana mama
ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!
@nawihadj6674
5 жыл бұрын
yeah bro
Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko
Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote
Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma
safi makonda
zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!
Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.
Mh.Mkuu wa Mkoa endelea na spidi hiyo na msaidie mama na Ocd.
safisana kipenzi changu makonda
Makonda we kweli ukovzr Sana baba
Kwa hiri Kaka makonda nimeanza kukukubariiii
Mungu acheni kuwaonea watu km mpo madarakini dhambi
Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda
Ocd hiyo ndo changamoto ya kazi ww unafanya kazi yko lkn raia wajanja wanakurudisha nyuma makonda co kila mlalamikaji ana haki utawavunja nguvu wezako
respect noo,,tenda hAki i utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii
Makonda pambana hapo polisi wanakula pesa za madawa yakulevya
Waonezi sana
Yaan siasa ukiiendekeza ni mbaya sana,
Safi sanaaaaaaa
Uyo ni muhuni ata apa magufuli alikua teminal anatusumbua sana alikua natukamata anatupeleka mahaka yajiji tunatoa sh 50,000 uyo hafai
ndio maana wazungu wanatudharau sana