AFISA UTUMISHI aingia 18 ZA MAKONDA, APEWA KIBANO KIZITO "NIKISEMA UNALINDA WEZI NITAKUWA NAKOSEA?"

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 388

  • @user-wq5vf3rq7o
    @user-wq5vf3rq7o28 күн бұрын

    Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    26 күн бұрын

    Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda

  • @Hmsungu-xn1xf

    @Hmsungu-xn1xf

    26 күн бұрын

    Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake

  • @volcaremigius6881

    @volcaremigius6881

    24 күн бұрын

    🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika

  • @riazshaikh8577

    @riazshaikh8577

    16 күн бұрын

    Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela28 күн бұрын

    wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s28 күн бұрын

    Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    28 күн бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris963828 күн бұрын

    Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    28 күн бұрын

    ❤❤❤❤ sana tu

  • @David-if6nk

    @David-if6nk

    28 күн бұрын

    😢

  • @hamidamussa-sy4fm

    @hamidamussa-sy4fm

    27 күн бұрын

    Atauliwa naye

  • @IgurusiAmcos

    @IgurusiAmcos

    2 күн бұрын

    Meana sports

  • @user-gn9rh7sw7r
    @user-gn9rh7sw7r28 күн бұрын

    Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri696127 күн бұрын

    Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻

  • @bakarininga4100
    @bakarininga410028 күн бұрын

    Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g28 күн бұрын

    Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧

  • @estellemwai5402

    @estellemwai5402

    28 күн бұрын

    💯✔️

  • @godwinmasoud7180
    @godwinmasoud718028 күн бұрын

    Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard403128 күн бұрын

    Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge

  • @ommyntigiry9332
    @ommyntigiry933228 күн бұрын

    🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    28 күн бұрын

    Wakinani wamupe nchi

  • @obedpeter6874
    @obedpeter687423 күн бұрын

    Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya

  • @costanciamkinga5040
    @costanciamkinga504027 күн бұрын

    Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c28 күн бұрын

    Mungu atuhurumie Baba piga kazi

  • @pascalpetro6623
    @pascalpetro662328 күн бұрын

    Asante Mungu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89328 күн бұрын

    Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao

  • @MukameMachel
    @MukameMachel28 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard403128 күн бұрын

    Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro558828 күн бұрын

    Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi

  • @PeterJohn-sg4oe

    @PeterJohn-sg4oe

    28 күн бұрын

    Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu

  • @Abillsn

    @Abillsn

    28 күн бұрын

    ​@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo

  • @martinabayyo9982

    @martinabayyo9982

    28 күн бұрын

    ​@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?

  • @emmanuelthomas1078

    @emmanuelthomas1078

    27 күн бұрын

    ​@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔

  • @kalindimazjkkabuje2562
    @kalindimazjkkabuje256228 күн бұрын

    Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki544228 күн бұрын

    Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.

  • @edrisalusonge4141

    @edrisalusonge4141

    20 күн бұрын

    Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile922026 күн бұрын

    Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,

  • @ShijaNzenzule
    @ShijaNzenzule28 күн бұрын

    Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko617428 күн бұрын

    Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii

  • @user-kq4by2vd4q

    @user-kq4by2vd4q

    28 күн бұрын

    Hamna ataharibu kwingine

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    27 күн бұрын

    we bwana tuaangalia uwezo sio umri

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    27 күн бұрын

    Kabisa

  • @kwzjkwz3532

    @kwzjkwz3532

    27 күн бұрын

    Mkoa unahitaji watu wa system

  • @kanankirannko6174

    @kanankirannko6174

    25 күн бұрын

    @@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f28 күн бұрын

    Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.

  • @user-yf5uq6bl2w
    @user-yf5uq6bl2w23 күн бұрын

    Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA

  • @Kidd11168
    @Kidd1116828 күн бұрын

    Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.

  • @user-sp2fu3wh6q
    @user-sp2fu3wh6q27 күн бұрын

    Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz702627 күн бұрын

    Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua

  • @malikkb6444
    @malikkb644428 күн бұрын

    Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed97628 күн бұрын

    Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako

  • @Jeneffershishi-ik4jo
    @Jeneffershishi-ik4jo28 күн бұрын

    Congratulation muheshimiwa

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde125927 күн бұрын

    Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw28 күн бұрын

    Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba911728 күн бұрын

    God bless Mr Makonda ,good job

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c28 күн бұрын

    Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary89328 күн бұрын

    HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao

  • @FridaUrassa-pj7yt

    @FridaUrassa-pj7yt

    23 күн бұрын

    Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!

  • @abiudmichael
    @abiudmichael27 күн бұрын

    Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz16 күн бұрын

    Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤

  • @ThomasErro
    @ThomasErro28 күн бұрын

    mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    28 күн бұрын

    Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂

  • @racheljephter5486

    @racheljephter5486

    27 күн бұрын

    😂😂😂

  • @hairuismail6456

    @hairuismail6456

    20 күн бұрын

    Hahaha 😅😅​@@taurehassan7399

  • @KhadijaAbdala-jt9xm

    @KhadijaAbdala-jt9xm

    4 күн бұрын

    Ahahahaha​@@taurehassan7399

  • @yusuphwaziri1189
    @yusuphwaziri11898 күн бұрын

    Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya169327 күн бұрын

    Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul28 күн бұрын

    Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤

  • @user-ej5sl9mn5k
    @user-ej5sl9mn5k28 күн бұрын

    Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi

  • @RaphaelMmbaga
    @RaphaelMmbaga21 күн бұрын

    Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe7 күн бұрын

    Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤

  • @user-cu9sq7yk3z
    @user-cu9sq7yk3z13 күн бұрын

    Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki

  • @MariamMlowe
    @MariamMlowe7 күн бұрын

    Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo12 күн бұрын

    Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania

  • @iddirashidi4753
    @iddirashidi475327 күн бұрын

    Mungu akulinde Mh Makonda

  • @jacksportman5181
    @jacksportman518128 күн бұрын

    Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    28 күн бұрын

    Sasa hivi 💯 😂😂😂

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    28 күн бұрын

    Wanaume mpooooo

  • @IsraelNada

    @IsraelNada

    28 күн бұрын

    Mh

  • @lumulyimage4826

    @lumulyimage4826

    28 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    27 күн бұрын

    Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.

  • @fadhiliramadhani2402
    @fadhiliramadhani240228 күн бұрын

    Kaka unapambana sana

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f26 күн бұрын

    Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.

  • @johnbernad3990
    @johnbernad399014 күн бұрын

    Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.

  • @dunstanchacha2128
    @dunstanchacha212828 күн бұрын

    I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf28 күн бұрын

    Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks28 күн бұрын

    Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa

  • @melanialeonard4031

    @melanialeonard4031

    28 күн бұрын

    Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote

  • @user-st6lo6if2l
    @user-st6lo6if2l17 күн бұрын

    Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana

  • @user-vf1gn4gu3s
    @user-vf1gn4gu3s28 күн бұрын

    Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in28 күн бұрын

    Wanapigwa spana 😂😂😂

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha351127 күн бұрын

    Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena

  • @tresphorymvulla363
    @tresphorymvulla3638 күн бұрын

    I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.

  • @emanuelawe-ur5hf
    @emanuelawe-ur5hf27 күн бұрын

    Mungu akubariki

  • @user-cs2ud6id9e
    @user-cs2ud6id9e16 күн бұрын

    Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli75928 күн бұрын

    IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile922026 күн бұрын

    Safi Sana

  • @AishaKawisa-ic8hj
    @AishaKawisa-ic8hj17 сағат бұрын

    Mm sijawapenda viongozi hata siku moja lakin makonda sipendi kumkosa ata siku moja

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki131728 күн бұрын

    Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q27 күн бұрын

    Makonda Mungu akulinde maana

  • @abdilillahramadhan9637
    @abdilillahramadhan963726 күн бұрын

    Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma

  • @godfreybigeyo4356
    @godfreybigeyo435628 күн бұрын

    Mungu siku moja atakusaidia

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl23 күн бұрын

    Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi

  • @paulmutailuka2417
    @paulmutailuka241725 күн бұрын

    Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠

  • @Kidd11168
    @Kidd1116828 күн бұрын

    Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa28 күн бұрын

    Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu

  • @augustinomlewa9662
    @augustinomlewa966227 күн бұрын

    2namshukuru sana mama anaupiga mwingi

  • @saulocharles9306
    @saulocharles930627 күн бұрын

    Mungu yupamoja nawe

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph787727 күн бұрын

    Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢

  • @angelabanzi8253
    @angelabanzi825327 күн бұрын

    Safi sana Mh

  • @donathamallya
    @donathamallya12 күн бұрын

    Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa. Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa. Mungu akutangulie

  • @AbdallahSuede
    @AbdallahSuede3 күн бұрын

    Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile922026 күн бұрын

    Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn180927 күн бұрын

    munguakulinde

  • @JaphasonSumar
    @JaphasonSumar27 күн бұрын

    Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi

  • @user-vn7ew6di3t
    @user-vn7ew6di3t26 күн бұрын

    Big up Kamanda Makonda

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv27 күн бұрын

    Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw28 күн бұрын

    Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare419628 күн бұрын

    Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv28 күн бұрын

    Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b28 күн бұрын

    Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao

  • @PauloKasimu
    @PauloKasimu17 күн бұрын

    Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r25 күн бұрын

    Mungu akulinde sana

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani118628 күн бұрын

    Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮

  • @laurentmichael8124
    @laurentmichael81244 күн бұрын

    Apo ndo nchi hii inatakiwa iwe lakini duuuuu kaz ipo fanya kazi makonda

  • @abdulibrahim8477
    @abdulibrahim84775 күн бұрын

    muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas90826 күн бұрын

    Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho

  • @osumsafi2095
    @osumsafi209528 күн бұрын

    MUNGU akubaliki sana makonda

  • @JumaRobilichi
    @JumaRobilichi23 күн бұрын

    Mzee mungu akupe maisha malefu

  • @AmedeusMroso
    @AmedeusMroso28 күн бұрын

    Safi sana mkuu

  • @justinmasangula2142
    @justinmasangula21429 күн бұрын

    Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora

  • @justinmasangula2142

    @justinmasangula2142

    9 күн бұрын

    Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi

Келесі