Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏
@khadjamhozya
26 күн бұрын
Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda
@Hmsungu-xn1xf
26 күн бұрын
Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake
@volcaremigius6881
24 күн бұрын
🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika
@riazshaikh8577
16 күн бұрын
Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂
@PiusNjelekela28 күн бұрын
wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama
@user-ze6lx9ng6s28 күн бұрын
Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏
@Zaburi-
28 күн бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@ladislausmoris963828 күн бұрын
Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much
@RamadanPaul
28 күн бұрын
❤❤❤❤ sana tu
@David-if6nk
28 күн бұрын
😢
@hamidamussa-sy4fm
27 күн бұрын
Atauliwa naye
@IgurusiAmcos
2 күн бұрын
Meana sports
@user-gn9rh7sw7r28 күн бұрын
Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke
@angelmashauri696127 күн бұрын
Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻
@bakarininga410028 күн бұрын
Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida
@user-xk7vy4gb6g28 күн бұрын
Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧
@estellemwai5402
28 күн бұрын
💯✔️
@godwinmasoud718028 күн бұрын
Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae
@melanialeonard403128 күн бұрын
Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge
@ommyntigiry933228 күн бұрын
🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi
@khadjamhozya
28 күн бұрын
Wakinani wamupe nchi
@obedpeter687423 күн бұрын
Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya
@costanciamkinga504027 күн бұрын
Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏
@user-qv2tg9cz8c28 күн бұрын
Mungu atuhurumie Baba piga kazi
@pascalpetro662328 күн бұрын
Asante Mungu
@msafiriomary89328 күн бұрын
Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao
@MukameMachel28 күн бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania
@melanialeonard403128 күн бұрын
Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu
@mussakimaro558828 күн бұрын
Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi
@PeterJohn-sg4oe
28 күн бұрын
Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu
@Abillsn
28 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo
@martinabayyo9982
28 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?
@emmanuelthomas1078
27 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔
@kalindimazjkkabuje256228 күн бұрын
Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee
@lukomanomaliki544228 күн бұрын
Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.
@edrisalusonge4141
20 күн бұрын
Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo
@joycmsokile922026 күн бұрын
Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,
@ShijaNzenzule28 күн бұрын
Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu
@kanankirannko617428 күн бұрын
Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii
@user-kq4by2vd4q
28 күн бұрын
Hamna ataharibu kwingine
@kwisa4899
27 күн бұрын
we bwana tuaangalia uwezo sio umri
@kakaaignas3675
27 күн бұрын
Kabisa
@kwzjkwz3532
27 күн бұрын
Mkoa unahitaji watu wa system
@kanankirannko6174
25 күн бұрын
@@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana
@user-sg6ez3cf1f28 күн бұрын
Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.
@user-yf5uq6bl2w23 күн бұрын
Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA
@Kidd1116828 күн бұрын
Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.
@user-sp2fu3wh6q27 күн бұрын
Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri
@mpambanajitz702627 күн бұрын
Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua
@malikkb644428 күн бұрын
Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?
@jokhamohammed97628 күн бұрын
Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako
@Jeneffershishi-ik4jo28 күн бұрын
Congratulation muheshimiwa
@masikitikomwakyonde125927 күн бұрын
Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.
@MasterOil-qm6vw28 күн бұрын
Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha
@democritenzoisaba911728 күн бұрын
God bless Mr Makonda ,good job
@user-xv7mo8tw7c28 күн бұрын
Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu
@msafiriomary89328 күн бұрын
HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao
@FridaUrassa-pj7yt
23 күн бұрын
Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!
@abiudmichael27 күн бұрын
Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉
@Fabianfideltz16 күн бұрын
Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤
@ThomasErro28 күн бұрын
mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje
@taurehassan7399
28 күн бұрын
Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂
@racheljephter5486
27 күн бұрын
😂😂😂
@hairuismail6456
20 күн бұрын
Hahaha 😅😅@@taurehassan7399
@KhadijaAbdala-jt9xm
4 күн бұрын
Ahahahaha@@taurehassan7399
@yusuphwaziri11898 күн бұрын
Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.
@jonathanakhabuhaya169327 күн бұрын
Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.
@RamadanPaul28 күн бұрын
Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤
@user-ej5sl9mn5k28 күн бұрын
Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi
@RaphaelMmbaga21 күн бұрын
Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli
@MariamMlowe7 күн бұрын
Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤
@user-cu9sq7yk3z13 күн бұрын
Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki
@MariamMlowe7 күн бұрын
Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo12 күн бұрын
Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania
@iddirashidi475327 күн бұрын
Mungu akulinde Mh Makonda
@jacksportman518128 күн бұрын
Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔
@halimamasai2234
28 күн бұрын
Sasa hivi 💯 😂😂😂
@halimamasai2234
28 күн бұрын
Wanaume mpooooo
@IsraelNada
28 күн бұрын
Mh
@lumulyimage4826
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@richardnganya2311
27 күн бұрын
Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.
@fadhiliramadhani240228 күн бұрын
Kaka unapambana sana
@user-gp5wx1ev9f26 күн бұрын
Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.
@johnbernad399014 күн бұрын
Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.
@dunstanchacha212828 күн бұрын
I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa
@SelijusiMalambo-rh6sf28 күн бұрын
Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police
@MiliamNeneka-us5ks28 күн бұрын
Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa
@melanialeonard4031
28 күн бұрын
Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote
@user-st6lo6if2l17 күн бұрын
Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana
@user-vf1gn4gu3s28 күн бұрын
Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!
@Ibrahim-ne3in28 күн бұрын
Wanapigwa spana 😂😂😂
@francismadirisha351127 күн бұрын
Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena
@tresphorymvulla3638 күн бұрын
I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.
@emanuelawe-ur5hf27 күн бұрын
Mungu akubariki
@user-cs2ud6id9e16 күн бұрын
Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha
@daudimaniseli75928 күн бұрын
IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE
@joycmsokile922026 күн бұрын
Safi Sana
@AishaKawisa-ic8hj17 сағат бұрын
Mm sijawapenda viongozi hata siku moja lakin makonda sipendi kumkosa ata siku moja
@gideonibatangaki131728 күн бұрын
Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake
@user-mp4yt7ps5q27 күн бұрын
Makonda Mungu akulinde maana
@abdilillahramadhan963726 күн бұрын
Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma
@godfreybigeyo435628 күн бұрын
Mungu siku moja atakusaidia
@AugustKisaka-qy7kl23 күн бұрын
Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi
@paulmutailuka241725 күн бұрын
Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠
@Kidd1116828 күн бұрын
Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.
@MasawilaGoa28 күн бұрын
Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu
@augustinomlewa966227 күн бұрын
2namshukuru sana mama anaupiga mwingi
@saulocharles930627 күн бұрын
Mungu yupamoja nawe
@omaryyusuph787727 күн бұрын
Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢
@angelabanzi825327 күн бұрын
Safi sana Mh
@donathamallya12 күн бұрын
Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa. Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa. Mungu akutangulie
@AbdallahSuede3 күн бұрын
Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie
@joycmsokile922026 күн бұрын
Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,
@vladimirputn180927 күн бұрын
munguakulinde
@JaphasonSumar27 күн бұрын
Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi
@user-vn7ew6di3t26 күн бұрын
Big up Kamanda Makonda
@HenryHabeli-iy5dv27 күн бұрын
Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote
@MasterOil-qm6vw28 күн бұрын
Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani
@dismaslalubare419628 күн бұрын
Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo
@PrinceHendry-hp8vv28 күн бұрын
Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi
@user-ov3bt3pf1b28 күн бұрын
Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao
@PauloKasimu17 күн бұрын
Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch
@user-md7ug5dd9r25 күн бұрын
Mungu akulinde sana
@ullujaffariyohani118628 күн бұрын
Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮
@laurentmichael81244 күн бұрын
Apo ndo nchi hii inatakiwa iwe lakini duuuuu kaz ipo fanya kazi makonda
@abdulibrahim84775 күн бұрын
muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake
@lucascosmas90826 күн бұрын
Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho
@osumsafi209528 күн бұрын
MUNGU akubaliki sana makonda
@JumaRobilichi23 күн бұрын
Mzee mungu akupe maisha malefu
@AmedeusMroso28 күн бұрын
Safi sana mkuu
@justinmasangula21429 күн бұрын
Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora
@justinmasangula2142
9 күн бұрын
Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi
Пікірлер: 388
Sipendi kusikiliza viongozi lakin kwa makonda ananifanya niunge bando Kila siku 👏👏👏👏👏👏👏
@khadjamhozya
26 күн бұрын
Kwasiku unatumia bando rashingapi jiri ya makonda
@Hmsungu-xn1xf
26 күн бұрын
Unajua sana makonda Yuko vizur kwenye uwongozi wake
@volcaremigius6881
24 күн бұрын
🎉Kumbe tupo wengi jamaa katushika
@riazshaikh8577
16 күн бұрын
Sana wangu, kwa kweli tunawahitaji viongozi kama huyu, si kijana bado, anatembea kukagua hata kwenye matope, wazee wakichaguliwa mapresha na sukari, nahamia Arusha nione mtu anidai rushwa 😂😂
wanaarusha mwombeeni sana makonda haki huwa unapigwa vita mno makonda wanamtafuta wengi ila Mungu atamlinda Piga kazi taifa litainika nakuhakikishia mama samia arusha itang'ara hutaamini umefanya vema mno kumpa kazi makonda asante sana mama
Makonda mungu akulinde,,ur strong leader,be blessed 🙏🙏
@Zaburi-
28 күн бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
Kwakweli mh makonda mungu arujalie tusije kupoteza kama mzee magufuli nitakupenda hadi nakufa , love u much
@RamadanPaul
28 күн бұрын
❤❤❤❤ sana tu
@David-if6nk
28 күн бұрын
😢
@hamidamussa-sy4fm
27 күн бұрын
Atauliwa naye
@IgurusiAmcos
2 күн бұрын
Meana sports
Wakuu wa mikoa wengine nchini wako wapiiiii waone kazikazi wananchi wanaonewa sana Rais Samia toa neno mama waliolala maofisini waamke
Hongera mh. Makonda kwa kazi nzuri…Mwenyez Mungu akulinde daima…🙏🏻
Arusha DC sio pouwa wanapiga hela sio kawaida
Mh Makonda jeshi la mtu mmoja nguvu kazi piga spana 🔧🔧
@estellemwai5402
28 күн бұрын
💯✔️
Makonda tunakuombea sana unafanya kazi kubwa sana kwenye hili taifa. Unafaa kuwa Waziri Mkuu ajae
Makonda majaliwa jerry silaa raisi waziri mkuu na sipika wa bunge
🎉hii nchi si mumpe jmn uyu au Kasim majaliwa mmoja Kati yao apewe nchi
@khadjamhozya
28 күн бұрын
Wakinani wamupe nchi
Afande anajua kuhoji ila kuhojiwa na makonda kabaki aaa mh aaa afande OCD kawa mdogo kama pirton,usiombe kukutana na maswali ya ana kwa ana na mh makonda utaimba haleluya
Tatizo hili lipo ktk Halmashauri karibu zote Tz Wakuu wa mikoa wengine fanyeni angalau muige mfano huu . Big up Mwanawane👏👏
Mungu atuhurumie Baba piga kazi
Asante Mungu
Saizi hata Panadol hospital hakuna wezi kibao
Mkuu wa mkoa Arusha, wewe ndie ulikuwa unastaili kuwa kiongozi wetu Tanzania
Ni mtu akikutwa mwizi aache kazi na arudishe ela wajue mtaan palivo pagumu
Hlf wanasema makonda mtu mbaya kama alikua na mapungufu zamani now yuko sawa anakimbiza tena anamsaidia mama na waziri wa ardhi doctor silaaa hivi ni vichwa hakuna kuogopa mtu wanafanya watu wanakua na maisha magumu sana ilihali kiongozi inatakiwa asimamie haki za wananchi
@PeterJohn-sg4oe
28 күн бұрын
Hatua zilishachuliwa na Polisi kuna haja gani ya kupiga kelele hapo kwa wananchi, hizo ni siasa tu
@Abillsn
28 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oevichwa maji kama ninyi ndio sababu ya wajinga na wezi kuendelea kuwepo
@martinabayyo9982
28 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oezero brain, unasuport ujinga au nawe ni mhusika?
@emmanuelthomas1078
27 күн бұрын
@@PeterJohn-sg4oeWee itakuwa ndo familia ya alietoroka na hayo ma million🤔🤔
Mungu akusaidie makonda nataman upite mikoa yotee
Mama Samia, watumishi wako wanakula sana hela.Naomba utoe mwongozo wabadhirifu washughulikie.
@edrisalusonge4141
20 күн бұрын
Kwani Hawa wakuu wa mikoa wengine ni watu wa nchi gani mbona wamekuwa hivyo kiasi hiki Yani makonda ndio anatakiwa kuwa mkuu wa mkoa Kila sehemu kwa nyakati tofauti tofauti Hawa viongozi wengine wa mikoa ni bovyo
Nchi hii tunahitaji viongozi like you Rc Makonda ,
Makonda kwa namna unavyo chapa kazi unastahili ungekuwa na kazi ya kutumikia watu nchi nzima na siyo mkoa tu ili usaidie wengi maana changamoto ni nyingi Kila sehemu
Huyu Dada ni mdogo sana mpeni kazi nyingine ataonewa tu hapo masikini Huu mkoa unatakiwa watu maalum Wa kufanya kazi hapa undugu mwingii ukabila mwingii
@user-kq4by2vd4q
28 күн бұрын
Hamna ataharibu kwingine
@kwisa4899
27 күн бұрын
we bwana tuaangalia uwezo sio umri
@kakaaignas3675
27 күн бұрын
Kabisa
@kwzjkwz3532
27 күн бұрын
Mkoa unahitaji watu wa system
@kanankirannko6174
25 күн бұрын
@@kwzjkwz3532 Yes clearly under standing big up Sana
Namkumbuka Magufuli kupitia utendaji wako Mh Paul Makonda.
Makonda nimesimama kawaida ila moyoni mwangu mikono juu kwa utendaji wako. Wewe nijembe . Viongoziwengine igeni mfano na si kumuonea kijicho huyu mkuu ktk utendaji wake. Shukrani kwa Mama Samia kwa kumleta MAKONDA ARUSHA
Anafikiri, huyo Haji tambui nini anacho kifanya,lakini kuna papa litasimama kwenye majukwa kusema ana dharirishwa. Washindwe na WA muogope Mungu.
Muheshiwa Makonda mungu akubarik sana unaongea ukweri
Tunataka kiongozi wa aina Gani? Tunataka Nini watanzania,, Hongera SANA MWAMBA makonda unajua kaka. Na kuna siku watajua unajua
Hivi nchi nzima ni shilingi ngapi inapotea kwa uzembe wa viongozi wasio wajibika?
Dah mungu akuepushie na Kila baraha Nakupenda sana Baba mungu akupe maisha marefu yenye baraka tere Afya njema na Amani 🎁🌹🎁🌹 pokea zawadi yako na maua yako
Congratulation muheshimiwa
Mmi mwenyewe sipendi kusikiliza viongozi mara nyingi kupitia mheshimiwa Makonda nimekipenda chama Cha CCM na nikaamua chukua kadi kabisa kumbe chama sio tatizo,tatizo ni viongozi.
Hawa polisi wanaweza kuwafuatilia raia wakikosea lakin watumishi wanawaacha
God bless Mr Makonda ,good job
Mie nlkuwa nashabkia upizana ila makonda akigombea anakura yangu
HAo wanabebana ukichunguza hapo hzo pesa wote hao wanahuska wote wezi hao
@FridaUrassa-pj7yt
23 күн бұрын
Moto wa mh Makonda umewaibua wakatngeneza uchunguzi!!!!
Makonda ni kiongozi thabiti sana. Nakukubali sana mkuu natamani nifanye kazi karibu na wewe🎉🎉🎉🎉
Mrith wa baba maguful ❤❤❤❤
mimi napenda kumpa makonda zawadi yake kwa kazi nzuri anaofanya je nitampaje
@taurehassan7399
28 күн бұрын
Nipe Mimi km ni pesa ntamfikishia ni rafiki yangu wa karibu Sana zitafika😂😂😂
@racheljephter5486
27 күн бұрын
😂😂😂
@hairuismail6456
20 күн бұрын
Hahaha 😅😅@@taurehassan7399
@KhadijaAbdala-jt9xm
4 күн бұрын
Ahahahaha@@taurehassan7399
Daaaah!huwa Namuomba mungu makonda uje kuiyongoza hii nchi afu pia huwa Namuomba mungu uje kuwa kiongozi ktk mkoa wetu wa shinyanga.
Hongera kwa spana Mh. Makonda.Naomba Mh. Rais akuongezee cheo kikubwa. Usimamie kupiga rushwa nchi nzima.Pengine utarudisha heshima ya Serikali na Chama.
Huyu jamaa awe raisi basi❤❤❤
Kwel ni aibu sana mama kuwa mkali ktk pesa zako mamamama watoto wa masikini hawana kazi
Hongera sana mh Makonda kwa kazi unayoifanya yan unafanya kaz kama mwamba. Magufuli
Makonda umenifany nipende kkusikiliza kila siku ❤❤❤
Wacha tu Makonda hongera ukiwa mwaminifu hutakiwi utauawa watu wote wanakuchukia tunakuombea udumu kazi Yako ni nzuri untetetea haki
Mungu baba akupe maisha marefu makonda ili uendelee kusaidia wanyonge
Makonda mungu akulinde utarudisha faraja ya Tanzania
Mungu akulinde Mh Makonda
Kila mahali anapoenda Makonda watumishi wanaosimama ni kina mama ivi ile 50%/50% mbona kama imefika 90%🤔
@halimamasai2234
28 күн бұрын
Sasa hivi 💯 😂😂😂
@halimamasai2234
28 күн бұрын
Wanaume mpooooo
@IsraelNada
28 күн бұрын
Mh
@lumulyimage4826
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@richardnganya2311
27 күн бұрын
Hiyo staili ni kutimia Kwa alichokiona Socrates!! Tunajikwamisha wenyewe. Muhimu ni uwezo wa mtu Kwa nafasi aliyopo.
Kaka unapambana sana
Ndugu Paul Makonda una kazi kubwa ya kufanya wanyoroshe wote waliolala. Natazama na kusikiliza nikwa Saudi Arabia RIYADH CITY ila natoka Kenya. Nataka Africa Mashariki iwe na viongozi wakuona na kutetea wananchi kama Muheshimiwa Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Wa Arusha. Hachezi na kazi yake kabisa. Wewe ni Raisi wa miaka michache ijayo.nTanzania Juu. Nakuombea MUNGU akupe maisha marefu. Maana watumishi wengi na wataalamu hatakupenda kwa kazi unayoifanya na wakurugenzi na watemdaji bali endelea kuifanya kazi ya wananchi. MUNGU Akubariki sana. Mama Dr. Samia Suluhu Hassan. Hapo uko na Jembe la ajabu sio mchezo. Paul Makonda juu zaidi. Muache qinyoroshe Arusha kisha umpelekee kwengine nako akawayie adabu wataalamu wengine.
Mh. Makonda Mungu akulinde sana tunakuombea sana uje kuwa kiongozi wa Taifa letu.
I wish all other government officials wangetenda kazi kama Makonda.... We pray for you mheshimiwa
Huyo hajuwi majukumu yake ye ye ndio alitakiwa awasaidie police
Huyu baba anakiti chake mbinguni..... Wanyoshe tulale wote njaa
@melanialeonard4031
28 күн бұрын
Kabisa biashara hazitoki mambo ni magumu mno hela zipo kwa watu wachache na familia zao wanapokezana vyeo safisha wote
Nimegundua watu wa Kanda ya ziwa vichwa sana
Mheshimiwa makonda big up sana kaza spanaaaaaaaaah!
Wanapigwa spana 😂😂😂
Habari ndio hiyo asante mama kwa makonda mitano tena
I am actually being interesting with Paul Makonda for his ways to deal with leaders who are not trustful.
Mungu akubariki
Kuanzia Leo nakuombea Mungu akulinde nenda na kijinini kwetu olturumet Arusha
IBRAHIM LA CAPTAIN TRAULE
Safi Sana
Mm sijawapenda viongozi hata siku moja lakin makonda sipendi kumkosa ata siku moja
Viongozi mnaponzwa nakitu kidogo,anapotua Mh,Makonda anakuja akielewa kila kitu Sasa wao wanaingia 18 zake
Makonda Mungu akulinde maana
Mh uko vizuri tunaimani nawewe mama chagua wakuu wamikoa kama mh makonda kazi yuko vizuri kiburi kwenye office zauma
Mungu siku moja atakusaidia
Uongozi sasa unakufa kutuongoza baraka zangu nakupa kiongozi
Arusha imeozaa kwa rushwaaaaaaaaaaa. Makonda pigaaa spanaaaaaaaaaaaaaaaa baba.🔧🔧🔨🛠
Hakika kazi IPO, BW Makondo unaye kazi. Watahama Mkoa, mapapa wanao walinda walisema watakufa Kwa pressure. Na hata aibu hawaoni.
Ww jamaa mungu akupe maisha maref sana akulinde damu ys baba ww magu
2namshukuru sana mama anaupiga mwingi
Mungu yupamoja nawe
Africa ndio maana maendeleo yanasuasua sana viongozi muogopeni mungu watu wanateseka hospital nyie mnakula hera daaah Africa 😢
Safi sana Mh
Watu wana ajiriwaje hawa jamani??kujibu tu swala lepesi hivi ,kusema mtu anasimamishwa kwanza kazi ndio anachunguzwa. Mhesimiwa kipekee nakupongeza kwa ujasiri Mungu also kupa. Mungu akutangulie
Kanda ya ziwa ajawai toka fala makonda urais unakuhusu mungu akutangulie
Makonda anafaa kuungwa mkono kwa kazi kubwa anayoifanya,
munguakulinde
Baba tunakuelewa kweli una dhamira yakweli yakusaidia ukandanizaji Kwa wananchi
Big up Kamanda Makonda
Makonda nimekukubali janja janja ilikuwa imeota mizizi mkoa was arusha hebu wanyooshe wapigaji wote
Kuogoza watu kama hawa yataka moyo yaan mtu kaiba pesa bado umemueka hapo kwenye ofisi kama makonda hajaenda hapo wananchi wangekula majani
Makonda spana zikichakaa niite nakununulia tools box mpya box spana rings spana combination spana full na nyundo na tindo tindua wrote hawo
Umetisha mkuu makonda wanaokupinga wakanye mavi
Hawajitibu na hizo hela kwa maana tayari wana kadi za bure za NHIF. Ziko tumboni kwao
Mkuu mungu akubariki Sana kwakutea wananch
Mungu akulinde sana
Dahhhhhh yaani hii Nchi ni ya ajabu sana mijitu inaiba hlf bado inaendelea na kazi 😢😮
Apo ndo nchi hii inatakiwa iwe lakini duuuuu kaz ipo fanya kazi makonda
muheshimiwa makonda siku akigombea urais kama Mwenyezi Mungu atatuweka kura yangu ni yake
Dah aisee yaani mkuu safi sana na mm najua viongozi wenzio takribani wote sasa wana kuangalia unavyo unguruma na ninacho shangaa awataki kuku iga mkuu hakika ww ni m'bunifu apa kazi tu ongera kiongozi makini apa spana mwanzo mwisho
MUNGU akubaliki sana makonda
Mzee mungu akupe maisha malefu
Safi sana mkuu
Jaman mungu ni mwem yan makonda hana tofauti na magufuli asante mungu kutupatia chombo bora
@justinmasangula2142
9 күн бұрын
Bab tunaomba uje kuwa hais watu matumbo moto wew ni hatari ya majambazi