MAKONDA AMBANANISHA MENEJA WA TARURA/KUJENGA NA KUTENGENEZA YAIBUA MJADALA

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 109

  • @abdallahmwakilima6261
    @abdallahmwakilima62613 ай бұрын

    Yaani Hawa ndio viongozi wetu ,daaaaaah mama Samia pole sana mama,Hawa ndio wasaidizi wako,itafika umechoka sana mama yetu kipenzi.

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf3 ай бұрын

    Baba Makonda kwenye haki umeweza natamani uwe waziri Mkuu au mgombea mwenza 2025 Mungu akusimamie umeweza kutufaitia watanzania💕

  • @melkizedekwiliam-hi7bz

    @melkizedekwiliam-hi7bz

    3 ай бұрын

    Hakika.

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon53163 ай бұрын

    Makonda piga kazi wewe ndoraisi ajae usiogope Mungu AKULINDE naitajimujiza utokee 2025 uweraisi

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv3 ай бұрын

    Watajuta mwaka huu arusha

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8ri3 ай бұрын

    Makonda wewe kiongozi mzuri sana yaaani unatenda haki kwa wanchi wa chini yaani barabara za arusha nimbaya sana kama huku maeneo sailetini mvua ikiyesha hakupitiki hawa viongozi ndo wanamchonanisha mama na wanaichi

  • @joycelaura4611
    @joycelaura46112 ай бұрын

    makonda ni mtu mwenyeakili sanaaaaaaaaaaaa hayuko kuumbua yuko kujenga

  • @bonymlowezi1819
    @bonymlowezi18193 ай бұрын

    Engineer wa Tarura yuko sahihi kabisa, barabara huwa zinatengenezwa(Maintenance) na structure za barabarani kama madaraja na culvert au mifumo ya maji taka na maji ya mvua huwa inajengwa(Construction)

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza10983 ай бұрын

    Kukaririshwa ni mbaya Sana.... Kiongozi mwenye jukumu akiongea kama amekaririshwa... Ni ngumu kutoa majimu yenye kushawishi....

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18993 ай бұрын

    Makonda angewekwa Wizara Ya Nishati na Madini ao awe mkurugenzi Tanesco umeme ungekuwepo bila shaka.

  • @mosesnyelo1380

    @mosesnyelo1380

    2 ай бұрын

    Biteko yuko nishati anatosha sana kubadilisha mambo

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    2 ай бұрын

    @@mosesnyelo1380 Safi Kaka

  • @AmirMahenge
    @AmirMahenge3 ай бұрын

    Wanatakiwa viongozi wa hulka yako mh mkuu wa mkoa wa Arusha wa kushirikisha watendaji wakuu wako kwenye mipango ya maendeleo ya maeneo Yao kwa wananchi ,kongole sana makonda

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    3 ай бұрын

    Anachosha mambo ya darasani kabisa

  • @siliviamushi4119
    @siliviamushi41192 ай бұрын

    Makonda Mungu azidi kukulinda uwendelee na kazi yako baba maana kiukweli nikiangalia barabara ya olasiti imekuwa shida jmn

  • @user-mx6nl6yr4w
    @user-mx6nl6yr4w3 ай бұрын

    Nachoelewa watendaji wengi wanachangamoto sana kiutendaji,kwani yamkini misingi ya Elimu Yao sio nzuri,au hawana Ari na kazi Yao au wamepata nafasi hizo kindugu.Wengi wenye uwezo mzuri wameachwa kwenye nafasi za chini,na wakijaribu kujiinua wanapigwa konzi kichwani ili wakae kimya.

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me3 ай бұрын

    Makonda wanyohoshe hao, wengi ni viongozi walevi

  • @nicolauslema88
    @nicolauslema883 ай бұрын

    Hawa watu hawana maana wanalipwa bure upigaji wakutisha anza nao.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71493 ай бұрын

    Hapa tunasikia maelezo tofauti kila diwani na hitaji lake,na pia majukumu ya tatura kujenga barabara za ndani haijakaa vizuri kwenye kilomita...bado kuna ambazo tumeachiwa wananchi na huruma ya tamisemi why?! Mbona tanroad wako sawa?! Serikali sasa ichukue barabara zote za ndani na kuikabidhi tarura fungu lote, mkandarasi akizingua wawajibike wote

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe58423 ай бұрын

    Muheshimiwa safi sana

  • @user-pe2ww6vc4y
    @user-pe2ww6vc4yАй бұрын

    Tatizo la viongozi wetu wengi hawana confidence coz walipatikana kimchongo mchongo! look yaani hajui hata anachokifanya yeye mwenyewe kama ofisa mkuu wa tarura.😂

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester19033 ай бұрын

    Ndiyo maana tunahitaji wapitishwe interviews

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid3 ай бұрын

    Ww acha kupakazia makonda sio sifa huyo nikiongozi mwdilifu anaejua changamoto za wananchi wk wengi wenu munatumiza ss wanyonge

  • @gidofond5119

    @gidofond5119

    3 ай бұрын

    Unatetea ujinga, mtu akishindwa kutoa ufafanuzi unaoeleweka mbele ya RC, acha chuki za kiwaki.

  • @tukuyufm
    @tukuyufm3 ай бұрын

    Niliumiss uongozi kama huu.

  • @user-xl8wp1lq3d
    @user-xl8wp1lq3d3 ай бұрын

    Yaani aelewi chochote sijui iyo kazi kapataje,

  • @Issajuma-pj5tc
    @Issajuma-pj5tc2 ай бұрын

    Duhhh mpk aibu yani sisi tu watu wa kawaida tunayaelewa haya majibu hawa ni viongozi gan. Ndio mana nchi hii ni mbovu sn cos ya viongozi wa mikoa km hawa

  • @mathiasndigomo2866
    @mathiasndigomo28663 ай бұрын

    Mh Makonda nihakika na kweli kama kuna watu au kama kuna baadhi ya Watanzania wenzangu hawakubali kuwa wewe ni kiongozi Bora na unayefuata nyayo za Hayati JPM basi tuwasamehe

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j2 ай бұрын

    Hyo ni zezeta hajui kutotautisha kjenga na ku repair aise haraf ukiwakuta ofsn

  • @jumaabdulrahmani1813
    @jumaabdulrahmani18132 ай бұрын

    Huyu mzee ningekuwa karibu naye ANGEKULA KOFI LA KIPARA😂mpaka watu wangeshangaa yani swali dogo kama hilo

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm3 ай бұрын

    Hawa watu wanapatikanaje? Hilo ndilo tatizo kubwa. Mnapeana madaraka kichama, kirafiki na kindugu bila kujali uwezo na hilo ndio tatizo kubwa kitaifa. Nchi I narudi shea nyuma kimaendeleo namna hii. Wanaopewa madaraka hawana elimu, ujuzi wala uongo I kwenye maeneo wanayoyasimamia.

  • @mathiasndigomo2866
    @mathiasndigomo28663 ай бұрын

    Naamini mimi kama mimi huo ndio uongozi ambao nchi ya Tanzania tunaowategemea na ndiyo maana bado tupo nyuma sana kwa maendeleo na kama hawatapatikana viongozi wanao fanana na wewe basi shughuri ipo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын

    Upo vizuri makinda umerisi kwa jembe magufuli

  • @filbertdamiani101
    @filbertdamiani1013 ай бұрын

    Mnazingua, tarura ni mjenzi wa barabara za vijiji au mitaani. Mambo ya kukarabati bado ni ya kwao.endapo itaharibika,.

  • @monicaMihangwa
    @monicaMihangwa2 ай бұрын

    Wengi mnamponda meneja Shida hapo ni kiongozi anayeulza usiasa mwngi kwn yy hajui maswali ya kitoto

  • @CharlesmkamasBituro
    @CharlesmkamasBituro2 ай бұрын

    Muheshimiwa siyo wote walio serikalini ukazani wote wameso wengine wamewekwa tu kama uyo bumbu tu

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle34922 ай бұрын

    Shkamooo makonda kwa herufi kubwa

  • @Mosses8
    @Mosses83 ай бұрын

    Kutengeneza ni kukarabati barabara zilizo haribika na vua jamani

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g3 ай бұрын

    Eti ndio wahandisi wetu, ee,wasomi hao,watanzania!

  • @marcokanga6720
    @marcokanga67203 ай бұрын

    Uwezo wa mambo

  • @djdavizo
    @djdavizo3 ай бұрын

    Makonda Asante sana maaNa hapa tu njiro barabara mbovu

  • @moyolameck555
    @moyolameck5553 ай бұрын

    Manager Tarura Hajui Kazi Yake aiseeee mh.mkuu wa mkoa kuna kijana yupo hapo TARURA anaitwa ENG.MKOLWA ametokea MBEYA anajua sana

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya3 ай бұрын

    Makonda yuko vizuri ila mwanzoni hatukumuelewa

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl2 ай бұрын

    Kakaangu Arusha imelala.Mama hajakosea kukupa wewe kuiamsha.Nashindwa kuelewa kwanini wanatetemeka kama sio wapigaji

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    MTOTO WA SHANGAZI WA KIKWETE HUYU KAWEKWA KITINI TUMBUA MAKUFULI JUNIOR 😂😂

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba9983 ай бұрын

    Dc wa arusha alikuwa na jibu kama la kwangu

  • @naturelle1097
    @naturelle10973 ай бұрын

    Frequency haishiki Tarura..😂 ataelezea vp kitu hajawai kufanya? Kisha fire those snoring infront of you..like seriously unavuta usingizi mzito mchana wote huu. Tutajionea mengi!

  • @Petro.John.
    @Petro.John.3 ай бұрын

    Jamaa yuko sahihi,ila kuna makosa madogo madogo tu,kwa sababu kuna barabara za vijijini na Tanroads ndo msimamizi mkuu wakishirikiana na Tarura.Tarura ni wakala wa barabara vijijini na mijini .

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes16403 ай бұрын

    Maswali ya makonda n very technical fikili mara mbili mbili kabla ujajibu daaah makonda n kiboko hahaha 😅

  • @dodilasmathias5245
    @dodilasmathias52453 ай бұрын

    sema Jamaa Hajui kujieleza,mtu anajua kusifia mbwa kwenye V8😊

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    3 ай бұрын

    Yn kwa kweli hadi aibu et msomi huyo

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl2 ай бұрын

    Makonda hakuna mtanzania asiyekuelewa kama kiongoz shupavu but masneech hawakupi nafasi ufanye yaliobora

  • @pinieliedward5992
    @pinieliedward59923 ай бұрын

    Barabara ni changamoto

  • @SmartGenerationTv
    @SmartGenerationTv3 ай бұрын

    Hawa wazee wetu wanakuwa wameandikiwa, sasa yeye anasoma tu.

  • @nicolauslema88
    @nicolauslema883 ай бұрын

    Tarura Arusha wameshiba tupewe wapya.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv3 ай бұрын

    Kidiwani😂

  • @user-im7ql7wo2r
    @user-im7ql7wo2r3 ай бұрын

    Makonda tunakuona unataka sifa, meneja si. Mlm wa kiswahili. Alichosomea ndiyo. anaeleza, wewe hutaki kusikia Ila kusikilizwa, hiyo si njema hata kidogo

  • @bakariiferefere2951
    @bakariiferefere29513 ай бұрын

    Hapo anampoteza mtaalamu shida nini

  • @remtulanassary
    @remtulanassary3 ай бұрын

    Kwa sasa mhe makonda hata ukiondoka... tumekuelewa... tawa walishindwa kujieleza.. hawajui wana spcs ngapi? Leo tarura..hawajui tofaut na ya ujenzi na ukarabati.

  • @danielmadenyeka4248
    @danielmadenyeka42483 ай бұрын

    Eti haki ya mama. Haaaaaaaaaa

  • @IsackMaingu
    @IsackMaingu3 ай бұрын

    Mh; RC Makonda utendaji wa kazi yako umenyooka ila wakuu wengi wa Idara hawajanyooka ndiyo changamoto waliyonayo, mbili najiuliza kazi alipata kwa mfumo gani? Tatu huwa wanafanyiwa interview kipindi wanaomba kazi? Kama wanafanyiwa interview ni aina gani ya interview wanafanyiwa hao mainjinia? Inasikitisha sana kwa msomi kama huyo anashindwa kuelezea namna gani anavyofanya kazi yake aliyoisomea..!!

  • @mgosimkome9242

    @mgosimkome9242

    3 ай бұрын

    Ndugu yangu zamani ndo watumishi walipatakana kwa Uwezo wao saivi unamjua nani makao makuu, Nani anakujua, Kingine kinachoharibu ni kupata watumishi kwa kuangalia Cheti chake kimejaa A A A na B B tu, hilo nalo ni tatizo kubwa sana, mi napenda sector binafsi uzuri wao huwa hawaangalii ufaulu wako Sijui GPA kubwa wanataka mtu mwenye Uwezo wa kufanya kazi na sio una first class, je kama uliipata kwa kukariri tu lkni huna Uwezo wa kujenga hoja na uelewe mpana ujue kusoma Tunatofautiana kuna mtu ana uelewa mkubwa sana katika mambo na anajua kujipambanua, lakini unakuta mtu yeye ana zile akili za darasani kujibu maswali tu siku za mitihani. Wengine hawawezi kukariri ndo maana baadhi ya walimu wakileta maswali ya uelewa wachache huwa wanaweza kujibu wale wakiriri ma point ya mwalimu slides huwa wanapata tabu

  • @costamasuba1099
    @costamasuba10993 ай бұрын

    Maintenence na new construction,hajui rm ,hivi ni kweli,

  • @mactweve3353
    @mactweve33533 ай бұрын

    Isingekua ufisadi ulioko ndani ya ccm huyu makonda alifaa kuwa rais wetu

  • @nicolausmlelwa5970
    @nicolausmlelwa59703 ай бұрын

    Mkuu anachanya watu

  • @johpixel4108
    @johpixel41082 ай бұрын

    Huku kwetu wilaya ya Meru Magaribi barabara za vumbi hazipitiki ni mbovu haswa

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y3 ай бұрын

    Makonda anatakiwa kua raisi wa nchi hii jaman.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3133 ай бұрын

    Vyeti

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e3 ай бұрын

    Unawachanganya watu,jamaa Yuko sahihi

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no3 ай бұрын

    Nchi imehamia Arusha😂😂😂

  • @adrianmutua3162
    @adrianmutua31623 ай бұрын

    18:35 2% tarmac in the whole region and you have the audacity to present on youre work🤣🤣

  • @hermanmtalo6340
    @hermanmtalo63403 ай бұрын

    Kipara kikubwa akili hamna eti una kazi waliokua halalikupata hiyo kazi walikosa ukapewa wewe mfuga kitambi no education

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence18123 ай бұрын

    Hao ndipo wasomi wetu wa Leo, ni kweli hawajui tofauti ya construction na maintenance!

  • @mgosimkome9242

    @mgosimkome9242

    3 ай бұрын

    Yaani inasikitisha Sana, unasikiliza hadi unasikia hasira meneja wa mkoa ndo huyu hajui lolote ndo tunamtegemea, Kama hajui hata kujieleza kazi zinafanyika kweli. Makonda unachokisema uko sahihi ni aibu Sana kiongozi mkuu wa mkoa hajui anachokiongea jmn. Msemo wa Makonda watu wana bahati Sana wanakula maisha tu wakati kuna watu mtaani wana weledi mzuri. Na haya pia ndo madhara ya kupata watu kwa kuangalia GPA kubwa kwenye Cheti chake cha elimu wakidhani mtu aliepata ufaulu mkubwa ndo anajua kumbe kuna mtu ana GPA ndogo yuko very smart. Mi hata hizi interview za kuandika zingetolewa zibaki za mahojiano pale unamuona Uwezo wa mtu wa kujieleza lkni mnaacha watu kisa hajapita interview ya written mnachagua waliokariri siku hiyo kusoma madhara yake ndo Haya tunapata watumishi wasio weza hata kujieleza. Mfumo wa kuajiri ubadilike mnaacha wafanyakazi bora huku nje kwa kigezo cha mitihani.

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    3 ай бұрын

    Ndo mana Arusha imefubaa viongozi wenyewe ndo hao et msomi hata kujieleza hawezi

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    3 ай бұрын

    Watanyooka safar hii

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz3 ай бұрын

    kiswahili ni lugha ngumu.

  • @dicksonisrael5491
    @dicksonisrael54913 ай бұрын

    Huyu jamaa na kamadharau flani Kwa watu Sasa anaimba nn

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 ай бұрын

    Kiswahili kigum sema repair

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe58423 ай бұрын

    Baada ya mama samia urais ni wewe baba

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y3 ай бұрын

    Ka kremishwa huyo jamaa.

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester19033 ай бұрын

    Tunahitaji wakuu wa mikoa kama hawa inaweza kumpunguzia raisi kazi

  • @prophetamanimloy405

    @prophetamanimloy405

    3 ай бұрын

    Kabisa yaani

  • @godfreysosthenes4066
    @godfreysosthenes40663 ай бұрын

    Kiufupi viongoz hawajui majukumu yao

  • @user-im7ql7wo2r
    @user-im7ql7wo2r3 ай бұрын

    Huyo ni mtaaluma si mwanasiasa wa kuongea kazi yake ni kutenda lugha ni ya walimu wa lugha

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe58423 ай бұрын

    Huku intel mmetusahau kabisa

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki13173 ай бұрын

    Watakukimbia maana hawajazoea hivyo.

  • @dicksonisrael5491
    @dicksonisrael54913 ай бұрын

    Eti Kuna kidiwani pale duh

  • @mdl6463
    @mdl64633 ай бұрын

    😅😅😅

  • @KhaimuMkumbaru-zs7zr
    @KhaimuMkumbaru-zs7zr3 ай бұрын

    Makonda hayo matatizo kila mkoa uzunguke mikoa y0te.

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l3 ай бұрын

    Hamuna kitu hapo pombe tuuu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63283 ай бұрын

    Mama samia pesa unaleta lkn unaowaajiri ni changamoto

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai74963 ай бұрын

    Sifa nyingi

  • @MadilishaSimon-sb9kk

    @MadilishaSimon-sb9kk

    3 ай бұрын

    Acha usenge watu wanaharibu halafu wewe unasema sifa ndo maana Africa haipigi hatua Kwa kuwa na watu wajinga kama ninyi

  • @ahmed-shakirmwamba4992
    @ahmed-shakirmwamba49923 ай бұрын

    Haya ni maigizo ya kutafuta umaarufu,kulikuwa hakuna sababu ya suala hili kuwa live mitandaoni. Mkuu wa mkoa angewaona hawa jamaa ofisini kwao. Hapa mnamuonyesha nani ? Uongozi usio na tija. Balabala, Balabala Balabala. Kutamka Barabara pia imekuwa shida.

  • @enocksilungwepondajr9707

    @enocksilungwepondajr9707

    3 ай бұрын

    Haya mkuu

  • @sabteectanzaniaLimited
    @sabteectanzaniaLimited3 ай бұрын

    Professionalism must be secured mpe nafasi mtaalam anieleze usimkatoshe alafu ili aonekane hajui

  • @Johnsonkayila
    @Johnsonkayila3 ай бұрын

    Ukisikia Arusha wana dunia yao ndo hivi sasa😂

  • @meryamabdullah2081

    @meryamabdullah2081

    3 ай бұрын

    Haki kujieleza hawajui kuelewa hawaelewi yn hapo kazi ipo

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha3 ай бұрын

    We makonda unachanganya sana wataalamu ili upate sifa kwa mama hauna lolote

  • @hamisimkoma7380

    @hamisimkoma7380

    3 ай бұрын

    Tulia wewe mmezoa kujaza vyoo vya serikali na hamna chochote

  • @zinzendorfdavid8776

    @zinzendorfdavid8776

    3 ай бұрын

    Acha ujinga elewa concept

  • @zinzendorfdavid8776

    @zinzendorfdavid8776

    3 ай бұрын

    Makonda Yuko sawa. Viongozi wa ovyo sana

  • @user-wt5nc9cn7t

    @user-wt5nc9cn7t

    3 ай бұрын

    Mtaalam hajitambui

  • @naturelle1097

    @naturelle1097

    3 ай бұрын

    Wataalam wanaoshindwa simple explanation

Келесі