MAKONDA AMBANANISHA MENEJA WA TARURA/KUJENGA NA KUTENGENEZA YAIBUA MJADALA
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 109
Yaani Hawa ndio viongozi wetu ,daaaaaah mama Samia pole sana mama,Hawa ndio wasaidizi wako,itafika umechoka sana mama yetu kipenzi.
Baba Makonda kwenye haki umeweza natamani uwe waziri Mkuu au mgombea mwenza 2025 Mungu akusimamie umeweza kutufaitia watanzania💕
@melkizedekwiliam-hi7bz
3 ай бұрын
Hakika.
Makonda piga kazi wewe ndoraisi ajae usiogope Mungu AKULINDE naitajimujiza utokee 2025 uweraisi
Watajuta mwaka huu arusha
Makonda wewe kiongozi mzuri sana yaaani unatenda haki kwa wanchi wa chini yaani barabara za arusha nimbaya sana kama huku maeneo sailetini mvua ikiyesha hakupitiki hawa viongozi ndo wanamchonanisha mama na wanaichi
makonda ni mtu mwenyeakili sanaaaaaaaaaaaa hayuko kuumbua yuko kujenga
Engineer wa Tarura yuko sahihi kabisa, barabara huwa zinatengenezwa(Maintenance) na structure za barabarani kama madaraja na culvert au mifumo ya maji taka na maji ya mvua huwa inajengwa(Construction)
Kukaririshwa ni mbaya Sana.... Kiongozi mwenye jukumu akiongea kama amekaririshwa... Ni ngumu kutoa majimu yenye kushawishi....
Makonda angewekwa Wizara Ya Nishati na Madini ao awe mkurugenzi Tanesco umeme ungekuwepo bila shaka.
@mosesnyelo1380
2 ай бұрын
Biteko yuko nishati anatosha sana kubadilisha mambo
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@mosesnyelo1380 Safi Kaka
Wanatakiwa viongozi wa hulka yako mh mkuu wa mkoa wa Arusha wa kushirikisha watendaji wakuu wako kwenye mipango ya maendeleo ya maeneo Yao kwa wananchi ,kongole sana makonda
@mbwanakiting7180
3 ай бұрын
Anachosha mambo ya darasani kabisa
Makonda Mungu azidi kukulinda uwendelee na kazi yako baba maana kiukweli nikiangalia barabara ya olasiti imekuwa shida jmn
Nachoelewa watendaji wengi wanachangamoto sana kiutendaji,kwani yamkini misingi ya Elimu Yao sio nzuri,au hawana Ari na kazi Yao au wamepata nafasi hizo kindugu.Wengi wenye uwezo mzuri wameachwa kwenye nafasi za chini,na wakijaribu kujiinua wanapigwa konzi kichwani ili wakae kimya.
Makonda wanyohoshe hao, wengi ni viongozi walevi
Hawa watu hawana maana wanalipwa bure upigaji wakutisha anza nao.
Hapa tunasikia maelezo tofauti kila diwani na hitaji lake,na pia majukumu ya tatura kujenga barabara za ndani haijakaa vizuri kwenye kilomita...bado kuna ambazo tumeachiwa wananchi na huruma ya tamisemi why?! Mbona tanroad wako sawa?! Serikali sasa ichukue barabara zote za ndani na kuikabidhi tarura fungu lote, mkandarasi akizingua wawajibike wote
Muheshimiwa safi sana
Tatizo la viongozi wetu wengi hawana confidence coz walipatikana kimchongo mchongo! look yaani hajui hata anachokifanya yeye mwenyewe kama ofisa mkuu wa tarura.😂
Ndiyo maana tunahitaji wapitishwe interviews
Ww acha kupakazia makonda sio sifa huyo nikiongozi mwdilifu anaejua changamoto za wananchi wk wengi wenu munatumiza ss wanyonge
@gidofond5119
3 ай бұрын
Unatetea ujinga, mtu akishindwa kutoa ufafanuzi unaoeleweka mbele ya RC, acha chuki za kiwaki.
Niliumiss uongozi kama huu.
Yaani aelewi chochote sijui iyo kazi kapataje,
Duhhh mpk aibu yani sisi tu watu wa kawaida tunayaelewa haya majibu hawa ni viongozi gan. Ndio mana nchi hii ni mbovu sn cos ya viongozi wa mikoa km hawa
Mh Makonda nihakika na kweli kama kuna watu au kama kuna baadhi ya Watanzania wenzangu hawakubali kuwa wewe ni kiongozi Bora na unayefuata nyayo za Hayati JPM basi tuwasamehe
Hyo ni zezeta hajui kutotautisha kjenga na ku repair aise haraf ukiwakuta ofsn
Huyu mzee ningekuwa karibu naye ANGEKULA KOFI LA KIPARA😂mpaka watu wangeshangaa yani swali dogo kama hilo
Hawa watu wanapatikanaje? Hilo ndilo tatizo kubwa. Mnapeana madaraka kichama, kirafiki na kindugu bila kujali uwezo na hilo ndio tatizo kubwa kitaifa. Nchi I narudi shea nyuma kimaendeleo namna hii. Wanaopewa madaraka hawana elimu, ujuzi wala uongo I kwenye maeneo wanayoyasimamia.
Naamini mimi kama mimi huo ndio uongozi ambao nchi ya Tanzania tunaowategemea na ndiyo maana bado tupo nyuma sana kwa maendeleo na kama hawatapatikana viongozi wanao fanana na wewe basi shughuri ipo
Upo vizuri makinda umerisi kwa jembe magufuli
Mnazingua, tarura ni mjenzi wa barabara za vijiji au mitaani. Mambo ya kukarabati bado ni ya kwao.endapo itaharibika,.
Wengi mnamponda meneja Shida hapo ni kiongozi anayeulza usiasa mwngi kwn yy hajui maswali ya kitoto
Muheshimiwa siyo wote walio serikalini ukazani wote wameso wengine wamewekwa tu kama uyo bumbu tu
Shkamooo makonda kwa herufi kubwa
Kutengeneza ni kukarabati barabara zilizo haribika na vua jamani
Eti ndio wahandisi wetu, ee,wasomi hao,watanzania!
Uwezo wa mambo
Makonda Asante sana maaNa hapa tu njiro barabara mbovu
Manager Tarura Hajui Kazi Yake aiseeee mh.mkuu wa mkoa kuna kijana yupo hapo TARURA anaitwa ENG.MKOLWA ametokea MBEYA anajua sana
Makonda yuko vizuri ila mwanzoni hatukumuelewa
Kakaangu Arusha imelala.Mama hajakosea kukupa wewe kuiamsha.Nashindwa kuelewa kwanini wanatetemeka kama sio wapigaji
MTOTO WA SHANGAZI WA KIKWETE HUYU KAWEKWA KITINI TUMBUA MAKUFULI JUNIOR 😂😂
Dc wa arusha alikuwa na jibu kama la kwangu
Frequency haishiki Tarura..😂 ataelezea vp kitu hajawai kufanya? Kisha fire those snoring infront of you..like seriously unavuta usingizi mzito mchana wote huu. Tutajionea mengi!
Jamaa yuko sahihi,ila kuna makosa madogo madogo tu,kwa sababu kuna barabara za vijijini na Tanroads ndo msimamizi mkuu wakishirikiana na Tarura.Tarura ni wakala wa barabara vijijini na mijini .
Maswali ya makonda n very technical fikili mara mbili mbili kabla ujajibu daaah makonda n kiboko hahaha 😅
sema Jamaa Hajui kujieleza,mtu anajua kusifia mbwa kwenye V8😊
@meryamabdullah2081
3 ай бұрын
Yn kwa kweli hadi aibu et msomi huyo
Makonda hakuna mtanzania asiyekuelewa kama kiongoz shupavu but masneech hawakupi nafasi ufanye yaliobora
Barabara ni changamoto
Hawa wazee wetu wanakuwa wameandikiwa, sasa yeye anasoma tu.
Tarura Arusha wameshiba tupewe wapya.
Kidiwani😂
Makonda tunakuona unataka sifa, meneja si. Mlm wa kiswahili. Alichosomea ndiyo. anaeleza, wewe hutaki kusikia Ila kusikilizwa, hiyo si njema hata kidogo
Hapo anampoteza mtaalamu shida nini
Kwa sasa mhe makonda hata ukiondoka... tumekuelewa... tawa walishindwa kujieleza.. hawajui wana spcs ngapi? Leo tarura..hawajui tofaut na ya ujenzi na ukarabati.
Eti haki ya mama. Haaaaaaaaaa
Mh; RC Makonda utendaji wa kazi yako umenyooka ila wakuu wengi wa Idara hawajanyooka ndiyo changamoto waliyonayo, mbili najiuliza kazi alipata kwa mfumo gani? Tatu huwa wanafanyiwa interview kipindi wanaomba kazi? Kama wanafanyiwa interview ni aina gani ya interview wanafanyiwa hao mainjinia? Inasikitisha sana kwa msomi kama huyo anashindwa kuelezea namna gani anavyofanya kazi yake aliyoisomea..!!
@mgosimkome9242
3 ай бұрын
Ndugu yangu zamani ndo watumishi walipatakana kwa Uwezo wao saivi unamjua nani makao makuu, Nani anakujua, Kingine kinachoharibu ni kupata watumishi kwa kuangalia Cheti chake kimejaa A A A na B B tu, hilo nalo ni tatizo kubwa sana, mi napenda sector binafsi uzuri wao huwa hawaangalii ufaulu wako Sijui GPA kubwa wanataka mtu mwenye Uwezo wa kufanya kazi na sio una first class, je kama uliipata kwa kukariri tu lkni huna Uwezo wa kujenga hoja na uelewe mpana ujue kusoma Tunatofautiana kuna mtu ana uelewa mkubwa sana katika mambo na anajua kujipambanua, lakini unakuta mtu yeye ana zile akili za darasani kujibu maswali tu siku za mitihani. Wengine hawawezi kukariri ndo maana baadhi ya walimu wakileta maswali ya uelewa wachache huwa wanaweza kujibu wale wakiriri ma point ya mwalimu slides huwa wanapata tabu
Maintenence na new construction,hajui rm ,hivi ni kweli,
Isingekua ufisadi ulioko ndani ya ccm huyu makonda alifaa kuwa rais wetu
Mkuu anachanya watu
Huku kwetu wilaya ya Meru Magaribi barabara za vumbi hazipitiki ni mbovu haswa
Makonda anatakiwa kua raisi wa nchi hii jaman.
Vyeti
Unawachanganya watu,jamaa Yuko sahihi
Nchi imehamia Arusha😂😂😂
18:35 2% tarmac in the whole region and you have the audacity to present on youre work🤣🤣
Kipara kikubwa akili hamna eti una kazi waliokua halalikupata hiyo kazi walikosa ukapewa wewe mfuga kitambi no education
Hao ndipo wasomi wetu wa Leo, ni kweli hawajui tofauti ya construction na maintenance!
@mgosimkome9242
3 ай бұрын
Yaani inasikitisha Sana, unasikiliza hadi unasikia hasira meneja wa mkoa ndo huyu hajui lolote ndo tunamtegemea, Kama hajui hata kujieleza kazi zinafanyika kweli. Makonda unachokisema uko sahihi ni aibu Sana kiongozi mkuu wa mkoa hajui anachokiongea jmn. Msemo wa Makonda watu wana bahati Sana wanakula maisha tu wakati kuna watu mtaani wana weledi mzuri. Na haya pia ndo madhara ya kupata watu kwa kuangalia GPA kubwa kwenye Cheti chake cha elimu wakidhani mtu aliepata ufaulu mkubwa ndo anajua kumbe kuna mtu ana GPA ndogo yuko very smart. Mi hata hizi interview za kuandika zingetolewa zibaki za mahojiano pale unamuona Uwezo wa mtu wa kujieleza lkni mnaacha watu kisa hajapita interview ya written mnachagua waliokariri siku hiyo kusoma madhara yake ndo Haya tunapata watumishi wasio weza hata kujieleza. Mfumo wa kuajiri ubadilike mnaacha wafanyakazi bora huku nje kwa kigezo cha mitihani.
@meryamabdullah2081
3 ай бұрын
Ndo mana Arusha imefubaa viongozi wenyewe ndo hao et msomi hata kujieleza hawezi
@meryamabdullah2081
3 ай бұрын
Watanyooka safar hii
kiswahili ni lugha ngumu.
Huyu jamaa na kamadharau flani Kwa watu Sasa anaimba nn
Kiswahili kigum sema repair
Baada ya mama samia urais ni wewe baba
Ka kremishwa huyo jamaa.
Tunahitaji wakuu wa mikoa kama hawa inaweza kumpunguzia raisi kazi
@prophetamanimloy405
3 ай бұрын
Kabisa yaani
Kiufupi viongoz hawajui majukumu yao
Huyo ni mtaaluma si mwanasiasa wa kuongea kazi yake ni kutenda lugha ni ya walimu wa lugha
Huku intel mmetusahau kabisa
Watakukimbia maana hawajazoea hivyo.
Eti Kuna kidiwani pale duh
😅😅😅
Makonda hayo matatizo kila mkoa uzunguke mikoa y0te.
Hamuna kitu hapo pombe tuuu
Mama samia pesa unaleta lkn unaowaajiri ni changamoto
Sifa nyingi
@MadilishaSimon-sb9kk
3 ай бұрын
Acha usenge watu wanaharibu halafu wewe unasema sifa ndo maana Africa haipigi hatua Kwa kuwa na watu wajinga kama ninyi
Haya ni maigizo ya kutafuta umaarufu,kulikuwa hakuna sababu ya suala hili kuwa live mitandaoni. Mkuu wa mkoa angewaona hawa jamaa ofisini kwao. Hapa mnamuonyesha nani ? Uongozi usio na tija. Balabala, Balabala Balabala. Kutamka Barabara pia imekuwa shida.
@enocksilungwepondajr9707
3 ай бұрын
Haya mkuu
Professionalism must be secured mpe nafasi mtaalam anieleze usimkatoshe alafu ili aonekane hajui
Ukisikia Arusha wana dunia yao ndo hivi sasa😂
@meryamabdullah2081
3 ай бұрын
Haki kujieleza hawajui kuelewa hawaelewi yn hapo kazi ipo
We makonda unachanganya sana wataalamu ili upate sifa kwa mama hauna lolote
@hamisimkoma7380
3 ай бұрын
Tulia wewe mmezoa kujaza vyoo vya serikali na hamna chochote
@zinzendorfdavid8776
3 ай бұрын
Acha ujinga elewa concept
@zinzendorfdavid8776
3 ай бұрын
Makonda Yuko sawa. Viongozi wa ovyo sana
@user-wt5nc9cn7t
3 ай бұрын
Mtaalam hajitambui
@naturelle1097
3 ай бұрын
Wataalam wanaoshindwa simple explanation