DKT. BASHIRU APIGIWA SHANGWE ZITO BUNGENI, AMTAJA MAGUFULI NA CCM, "SPIKA NAKUVUNJIA HESHIMA"

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 204

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio36032 ай бұрын

    Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i2 ай бұрын

    Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani

  • @joframsa

    @joframsa

    2 ай бұрын

    🙏🏾

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584Ай бұрын

    Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi18782 ай бұрын

    Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!

  • @DicksonPhanuel
    @DicksonPhanuel2 ай бұрын

    Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894Ай бұрын

    Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up2 ай бұрын

    Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Ай бұрын

    Kafichwa na nani mbona yupo huru

  • @nestor384
    @nestor3842 ай бұрын

    Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.

  • @bobjulieoneheartband

    @bobjulieoneheartband

    2 ай бұрын

    Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    2 ай бұрын

    @@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado

  • @cbegram6161

    @cbegram6161

    2 ай бұрын

    @@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises44472 ай бұрын

    Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827Ай бұрын

    Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela37192 ай бұрын

    Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha

  • @kelvinmwombeki763

    @kelvinmwombeki763

    2 ай бұрын

    Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv2 ай бұрын

    Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange44742 ай бұрын

    Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba3472 ай бұрын

    Hongera Dr KAKULWA

  • @PAMA3542
    @PAMA35422 ай бұрын

    Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    2 ай бұрын

    Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Ай бұрын

    ​@@festokemibala5832anaongea tu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael61232 ай бұрын

    Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.

  • @geey7893
    @geey78932 ай бұрын

    Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.

  • @ingozescopion

    @ingozescopion

    2 ай бұрын

    Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa

  • @geey7893

    @geey7893

    2 ай бұрын

    @@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo

  • @dassustephen731

    @dassustephen731

    2 ай бұрын

    Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda

  • @senziashwaibu3219

    @senziashwaibu3219

    Ай бұрын

    ​@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi

  • @dassustephen731

    @dassustephen731

    Ай бұрын

    @@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt2 ай бұрын

    Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo51392 ай бұрын

    Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge86622 ай бұрын

    Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv2 ай бұрын

    Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,

  • @amanijoseph6764
    @amanijoseph67642 ай бұрын

    Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87632 ай бұрын

    Inapendeza Sanaa MASHAALLAH

  • @noelnoel4916
    @noelnoel49162 ай бұрын

    Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki

  • @jayzeem14
    @jayzeem142 ай бұрын

    Great contribution

  • @DonatiraNdyanabo-wm4rl
    @DonatiraNdyanabo-wm4rl2 ай бұрын

    Hongera. Bashilubkb. Inawasomi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3132 ай бұрын

    Jiwe walilolikataa waashi Iko siku

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage55152 ай бұрын

    Hongera Sana Baba

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 ай бұрын

    Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband2 ай бұрын

    Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 ай бұрын

    Hongera sana Daktari Bashiru ❤

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises44472 ай бұрын

    Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya73452 ай бұрын

    Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558Ай бұрын

    Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢

  • @AgnesMathias-xi2he
    @AgnesMathias-xi2heАй бұрын

    ❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @user-vl7yy8gz9k
    @user-vl7yy8gz9kАй бұрын

    Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto12082 ай бұрын

    Very good

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKilukeАй бұрын

    Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa

  • @edithjosephat7155
    @edithjosephat71552 ай бұрын

    Point Dr MUNGU akutunze

  • @paldonjonas9489
    @paldonjonas9489Ай бұрын

    Huyu ndo Bashilu ninayemjua

  • @kilungamponda3984
    @kilungamponda39842 ай бұрын

    Very good 👍

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser81742 ай бұрын

    Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!

  • @user-zw9oj6ej9v

    @user-zw9oj6ej9v

    2 ай бұрын

    Kabisa kabisa...🤝

  • @stanleyamlima2085

    @stanleyamlima2085

    2 ай бұрын

    Uwooooooongooooooo

  • @peteralmas1505

    @peteralmas1505

    2 ай бұрын

    Niko pamoja nawe

  • @bobjulieoneheartband

    @bobjulieoneheartband

    2 ай бұрын

    Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p2 ай бұрын

    Hongera

  • @josephlorri431
    @josephlorri431Ай бұрын

    Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 ай бұрын

    KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??

  • @guugug9gt829

    @guugug9gt829

    2 ай бұрын

    Yote majizi ndiomaana yapokimyaa

  • @MOSAMAJE
    @MOSAMAJEАй бұрын

    Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas42092 ай бұрын

    Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.

  • @zigrondabagenga8585

    @zigrondabagenga8585

    2 ай бұрын

    Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir

  • @jumanneselemani2172

    @jumanneselemani2172

    2 ай бұрын

    HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.

  • @mohamedpesambili9460

    @mohamedpesambili9460

    2 ай бұрын

    ​@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Ай бұрын

    ​@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja2 ай бұрын

    Ubarikiwa sana baba

  • @dostovan5142
    @dostovan51422 ай бұрын

    Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana

  • @estonsaimon6671

    @estonsaimon6671

    2 ай бұрын

    Kabisa aisee

  • @ajirathabdulnoor4832
    @ajirathabdulnoor48322 ай бұрын

    🎉

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa819028 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania

  • @emanuelmarco8102
    @emanuelmarco81022 ай бұрын

    Uko vizuri

  • @JRltd-yo2py
    @JRltd-yo2py2 ай бұрын

    Nimeipenda

  • @user-xg6fj5kp4t
    @user-xg6fj5kp4tАй бұрын

    Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,

  • @user-qc2ry1pl7i
    @user-qc2ry1pl7i2 ай бұрын

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @divinemwakapina4059
    @divinemwakapina40592 ай бұрын

    Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee

  • @alexvenas2699
    @alexvenas26992 ай бұрын

    Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪

  • @Hassan-ot1mc

    @Hassan-ot1mc

    2 ай бұрын

    ccm unawajua lkn

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka52242 ай бұрын

    Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Ай бұрын

    Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98252 ай бұрын

    Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma122 ай бұрын

    Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.

  • @user-mp6rh6nt2t
    @user-mp6rh6nt2t2 ай бұрын

    Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako

  • @hussenikija6699
    @hussenikija66992 ай бұрын

    Umeongea point Daktari

  • @ellyitete938
    @ellyitete9382 ай бұрын

    Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi26352 ай бұрын

    In that way , our universities are simply glorified secondary schools .

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    2 ай бұрын

    Tht is the fact.

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    2 ай бұрын

    You are damn right

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051Ай бұрын

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis40732 ай бұрын

    Akili nyingi✍

  • @momhalidi9786
    @momhalidi97862 ай бұрын

    Duuuuuh

  • @kiatu
    @kiatu2 ай бұрын

    Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.

  • @Louez24
    @Louez242 ай бұрын

    Few; but NOTED with capital letters.

  • @MalusiCebekhulu
    @MalusiCebekhuluАй бұрын

    Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka2 ай бұрын

    Yupo makini sana

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuzaАй бұрын

    Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba57882 ай бұрын

    Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando

  • @fackazizi2170

    @fackazizi2170

    Ай бұрын

    Kweli

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly29862 ай бұрын

    Mpini wa JPM

  • @philbertluhunga5932
    @philbertluhunga59322 ай бұрын

    Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa

  • @EnockCharles-nd5to
    @EnockCharles-nd5to2 ай бұрын

    Kwanini hukumshauri Magufuli?

  • @omanoman-ir1ez

    @omanoman-ir1ez

    2 ай бұрын

    hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z2 ай бұрын

    Maneno magumu sana

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik2 ай бұрын

    Wakola kyoma

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani21722 ай бұрын

    9:40

  • @adidassichona
    @adidassichona2 ай бұрын

    Duu 0:31

  • @obedpeter6874
    @obedpeter68742 ай бұрын

    Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 ай бұрын

    NA NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA. TUKIWA NA KATIBA MPYA , SERIKALI ITAKUWA HAINGILII HAYO YATE. CHUO KIWE KAMA KAMPUNI CHINI YA UONGOZI WAKE .

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo2 ай бұрын

    Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v2 ай бұрын

    Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    2 ай бұрын

    U are right

  • @alikidungura9419
    @alikidungura94192 ай бұрын

    Huyu mnafikitu pasi

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091Ай бұрын

    Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho67542 ай бұрын

    dk bashiru ni mtu makini sana

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge86622 ай бұрын

    Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.

  • @muaminiadamu2361
    @muaminiadamu23612 ай бұрын

    Sukuma gang mko live

  • @AibaSaidy-jz3xs
    @AibaSaidy-jz3xs2 ай бұрын

    Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku2 ай бұрын

    Kwenye utumishi,ni shida baba.

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani21722 ай бұрын

    BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.

  • @bickosichula986

    @bickosichula986

    2 ай бұрын

    umejuaje kama hakushauri

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe2 ай бұрын

    Na raila odinga wa kenya ni zao la chuo kikuu cha dar es salam

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v2 ай бұрын

    Bora asiye na elimu kama kishimba angepewa nchi maana yy hasifii ujinga .. anaongea yanayowezekana tu

  • @spacdawgcokckgroupofcompan6164
    @spacdawgcokckgroupofcompan61642 ай бұрын

    Inabidi kukodisha waalim wakizungu wenye elimu yao kuja kutupa hiyo elimu wao kama wao siyo kupewa elimu na walioambukizwa elimu yao na pasipo kuipokea vizuri ni #changamoto

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    2 ай бұрын

    Nchi zao zitawaua

  • @kulwamwamlima2405
    @kulwamwamlima24052 ай бұрын

    hasunga anapiga tu makoffi wanambozi hatukusikii

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s2 ай бұрын

    Uyu mwamba namqubar

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын

    Nyiye wote ni ccm na akili zenu ziko tumboni nothing you can do

  • @superniki5699
    @superniki56992 ай бұрын

    Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya36732 ай бұрын

    Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.

  • @jaywi5681

    @jaywi5681

    Ай бұрын

    😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.

Келесі