Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani
@joframsa
2 ай бұрын
🙏🏾
@gaagwasaugustino2584Ай бұрын
Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.
@godymbanyi18782 ай бұрын
Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!
@DicksonPhanuel2 ай бұрын
Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako
@sospeterurassa9894Ай бұрын
Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba
@JeremiahRichard-oj8up2 ай бұрын
Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
Kafichwa na nani mbona yupo huru
@nestor3842 ай бұрын
Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.
@bobjulieoneheartband
2 ай бұрын
Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado
@cbegram6161
2 ай бұрын
@@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina
@romastasenterprises44472 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you
@hildandumbalo5827Ай бұрын
Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤
@nevermwambela37192 ай бұрын
Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha
@kelvinmwombeki763
2 ай бұрын
Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,
@tanzanitetv2 ай бұрын
Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu
@yusuphmakangemakange44742 ай бұрын
Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly
@eleutermhumba3472 ай бұрын
Hongera Dr KAKULWA
@PAMA35422 ай бұрын
Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
@@festokemibala5832anaongea tu
@albertinamichael61232 ай бұрын
Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.
@geey78932 ай бұрын
Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.
@ingozescopion
2 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa
@geey7893
2 ай бұрын
@@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo
@dassustephen731
2 ай бұрын
Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda
@senziashwaibu3219
Ай бұрын
@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi
@dassustephen731
Ай бұрын
@@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza
@Carolina-sm5zt2 ай бұрын
Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana
@josephmathayo51392 ай бұрын
Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.
@angelomfilinge86622 ай бұрын
Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.
@tanzanitetv2 ай бұрын
Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,
@amanijoseph67642 ай бұрын
Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana
@allyfutto87632 ай бұрын
Inapendeza Sanaa MASHAALLAH
@noelnoel49162 ай бұрын
Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki
@jayzeem142 ай бұрын
Great contribution
@DonatiraNdyanabo-wm4rl2 ай бұрын
Hongera. Bashilubkb. Inawasomi
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Jiwe walilolikataa waashi Iko siku
@michaelmwedimage55152 ай бұрын
Hongera Sana Baba
@kambamazig020242 ай бұрын
Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.
@bobjulieoneheartband2 ай бұрын
Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU
@kalumbugideon41592 ай бұрын
Hongera sana Daktari Bashiru ❤
@romastasenterprises44472 ай бұрын
Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.
@ebenezerkaaya73452 ай бұрын
Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍
@jacksonpetro9558Ай бұрын
Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢
@AgnesMathias-xi2heАй бұрын
❤❤❤❤🙏🙏🙏
@user-vl7yy8gz9kАй бұрын
Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa
@godfreyerasto12082 ай бұрын
Very good
@MustaphaKilukeАй бұрын
Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa
@edithjosephat71552 ай бұрын
Point Dr MUNGU akutunze
@paldonjonas9489Ай бұрын
Huyu ndo Bashilu ninayemjua
@kilungamponda39842 ай бұрын
Very good 👍
@davidlaiser81742 ай бұрын
Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!
@user-zw9oj6ej9v
2 ай бұрын
Kabisa kabisa...🤝
@stanleyamlima2085
2 ай бұрын
Uwooooooongooooooo
@peteralmas1505
2 ай бұрын
Niko pamoja nawe
@bobjulieoneheartband
2 ай бұрын
Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-kw5pb9dd7p2 ай бұрын
Hongera
@josephlorri431Ай бұрын
Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea
@kaundasutikaunda77692 ай бұрын
KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??
@guugug9gt829
2 ай бұрын
Yote majizi ndiomaana yapokimyaa
@MOSAMAJEАй бұрын
Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany
@stephenalmas42092 ай бұрын
Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.
@zigrondabagenga8585
2 ай бұрын
Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir
@jumanneselemani2172
2 ай бұрын
HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.
@mohamedpesambili9460
2 ай бұрын
@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅
@AtanasKameja2 ай бұрын
Ubarikiwa sana baba
@dostovan51422 ай бұрын
Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana
@estonsaimon6671
2 ай бұрын
Kabisa aisee
@ajirathabdulnoor48322 ай бұрын
🎉
@freddykulwa819028 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania
@emanuelmarco81022 ай бұрын
Uko vizuri
@JRltd-yo2py2 ай бұрын
Nimeipenda
@user-xg6fj5kp4tАй бұрын
Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,
@user-qc2ry1pl7i2 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@divinemwakapina40592 ай бұрын
Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee
@alexvenas26992 ай бұрын
Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪
@Hassan-ot1mc
2 ай бұрын
ccm unawajua lkn
@davidmpiluka52242 ай бұрын
Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅
@abdulhamis98252 ай бұрын
Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa
@farhatfatma122 ай бұрын
Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.
@user-mp6rh6nt2t2 ай бұрын
Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako
@hussenikija66992 ай бұрын
Umeongea point Daktari
@ellyitete9382 ай бұрын
Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"
@Mapenzi26352 ай бұрын
In that way , our universities are simply glorified secondary schools .
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
Tht is the fact.
@dostovan5142
2 ай бұрын
You are damn right
@georgekilwa2051Ай бұрын
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia
@dominicfrancis40732 ай бұрын
Akili nyingi✍
@momhalidi97862 ай бұрын
Duuuuuh
@kiatu2 ай бұрын
Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.
@Louez242 ай бұрын
Few; but NOTED with capital letters.
@MalusiCebekhuluАй бұрын
Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo
@GeorgeNtauka2 ай бұрын
Yupo makini sana
@AbrahamSekuzaАй бұрын
Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno
@annaniasbyarugaba57882 ай бұрын
Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando
@fackazizi2170
Ай бұрын
Kweli
@maprosokelly29862 ай бұрын
Mpini wa JPM
@philbertluhunga59322 ай бұрын
Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa
@EnockCharles-nd5to2 ай бұрын
Kwanini hukumshauri Magufuli?
@omanoman-ir1ez
2 ай бұрын
hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue
@user-zy6vq6lz7z2 ай бұрын
Maneno magumu sana
@RwegoshoraPatt-os2ik2 ай бұрын
Wakola kyoma
@jumanneselemani21722 ай бұрын
9:40
@adidassichona2 ай бұрын
Duu 0:31
@obedpeter68742 ай бұрын
Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa
@valenakomba76862 ай бұрын
NA NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA. TUKIWA NA KATIBA MPYA , SERIKALI ITAKUWA HAINGILII HAYO YATE. CHUO KIWE KAMA KAMPUNI CHINI YA UONGOZI WAKE .
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....
@user-dk5kk4rf3v2 ай бұрын
Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family
@dostovan5142
2 ай бұрын
U are right
@alikidungura94192 ай бұрын
Huyu mnafikitu pasi
@misanaalphayo2091Ай бұрын
Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli
@husseinjosephitocho67542 ай бұрын
dk bashiru ni mtu makini sana
@angelomfilinge86622 ай бұрын
Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.
@muaminiadamu23612 ай бұрын
Sukuma gang mko live
@AibaSaidy-jz3xs2 ай бұрын
Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.
@ChristerKoku2 ай бұрын
Kwenye utumishi,ni shida baba.
@jumanneselemani21722 ай бұрын
BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.
@bickosichula986
2 ай бұрын
umejuaje kama hakushauri
@KamardinTebe2 ай бұрын
Na raila odinga wa kenya ni zao la chuo kikuu cha dar es salam
@user-dk5kk4rf3v2 ай бұрын
Bora asiye na elimu kama kishimba angepewa nchi maana yy hasifii ujinga .. anaongea yanayowezekana tu
@spacdawgcokckgroupofcompan61642 ай бұрын
Inabidi kukodisha waalim wakizungu wenye elimu yao kuja kutupa hiyo elimu wao kama wao siyo kupewa elimu na walioambukizwa elimu yao na pasipo kuipokea vizuri ni #changamoto
@BONGOINMOTION
2 ай бұрын
Nchi zao zitawaua
@kulwamwamlima24052 ай бұрын
hasunga anapiga tu makoffi wanambozi hatukusikii
@user-jy4pm3hh9s2 ай бұрын
Uyu mwamba namqubar
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
Nyiye wote ni ccm na akili zenu ziko tumboni nothing you can do
@superniki56992 ай бұрын
Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine
@boneventuremweya36732 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.
@jaywi5681
Ай бұрын
😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.
Пікірлер: 204
Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA
Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani
@joframsa
2 ай бұрын
🙏🏾
Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.
Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!
Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako
Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba
Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
Kafichwa na nani mbona yupo huru
Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.
@bobjulieoneheartband
2 ай бұрын
Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado
@cbegram6161
2 ай бұрын
@@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina
Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you
Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤
Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha
@kelvinmwombeki763
2 ай бұрын
Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,
Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu
Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly
Hongera Dr KAKULWA
Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
@@festokemibala5832anaongea tu
Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.
Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.
@ingozescopion
2 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa
@geey7893
2 ай бұрын
@@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo
@dassustephen731
2 ай бұрын
Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda
@senziashwaibu3219
Ай бұрын
@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi
@dassustephen731
Ай бұрын
@@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza
Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana
Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.
Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.
Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,
Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana
Inapendeza Sanaa MASHAALLAH
Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki
Great contribution
Hongera. Bashilubkb. Inawasomi
Jiwe walilolikataa waashi Iko siku
Hongera Sana Baba
Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.
Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU
Hongera sana Daktari Bashiru ❤
Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.
Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍
Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢
❤❤❤❤🙏🙏🙏
Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa
Very good
Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa
Point Dr MUNGU akutunze
Huyu ndo Bashilu ninayemjua
Very good 👍
Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!
@user-zw9oj6ej9v
2 ай бұрын
Kabisa kabisa...🤝
@stanleyamlima2085
2 ай бұрын
Uwooooooongooooooo
@peteralmas1505
2 ай бұрын
Niko pamoja nawe
@bobjulieoneheartband
2 ай бұрын
Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera
Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea
KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??
@guugug9gt829
2 ай бұрын
Yote majizi ndiomaana yapokimyaa
Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany
Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.
@zigrondabagenga8585
2 ай бұрын
Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir
@jumanneselemani2172
2 ай бұрын
HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.
@mohamedpesambili9460
2 ай бұрын
@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅
Ubarikiwa sana baba
Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana
@estonsaimon6671
2 ай бұрын
Kabisa aisee
🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania
Uko vizuri
Nimeipenda
Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee
Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪
@Hassan-ot1mc
2 ай бұрын
ccm unawajua lkn
Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.
@hassanmfaume4522
Ай бұрын
Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅
Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa
Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.
Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako
Umeongea point Daktari
Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"
In that way , our universities are simply glorified secondary schools .
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
Tht is the fact.
@dostovan5142
2 ай бұрын
You are damn right
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia
Akili nyingi✍
Duuuuuh
Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.
Few; but NOTED with capital letters.
Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo
Yupo makini sana
Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno
Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando
@fackazizi2170
Ай бұрын
Kweli
Mpini wa JPM
Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa
Kwanini hukumshauri Magufuli?
@omanoman-ir1ez
2 ай бұрын
hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue
Maneno magumu sana
Wakola kyoma
9:40
Duu 0:31
Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa
NA NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA. TUKIWA NA KATIBA MPYA , SERIKALI ITAKUWA HAINGILII HAYO YATE. CHUO KIWE KAMA KAMPUNI CHINI YA UONGOZI WAKE .
Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....
Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family
@dostovan5142
2 ай бұрын
U are right
Huyu mnafikitu pasi
Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli
dk bashiru ni mtu makini sana
Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.
Sukuma gang mko live
Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.
Kwenye utumishi,ni shida baba.
BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.
@bickosichula986
2 ай бұрын
umejuaje kama hakushauri
Na raila odinga wa kenya ni zao la chuo kikuu cha dar es salam
Bora asiye na elimu kama kishimba angepewa nchi maana yy hasifii ujinga .. anaongea yanayowezekana tu
Inabidi kukodisha waalim wakizungu wenye elimu yao kuja kutupa hiyo elimu wao kama wao siyo kupewa elimu na walioambukizwa elimu yao na pasipo kuipokea vizuri ni #changamoto
@BONGOINMOTION
2 ай бұрын
Nchi zao zitawaua
hasunga anapiga tu makoffi wanambozi hatukusikii
Uyu mwamba namqubar
Nyiye wote ni ccm na akili zenu ziko tumboni nothing you can do
Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.
@jaywi5681
Ай бұрын
😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.