MABEYO AONGEA KWA UCHUNGU, ATOA KAULI NZITO KWA RAIS SAMIA, "WANAHANGAIKIA AJIRA, WAMEKOSA MWELEKEO"
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 234
@GeorgeNtauka14 күн бұрын
Best is best ever ,be blessed mabeyo umesema facts sana na kiongozi imara mara zote daima.
@cefr.1gstat62126 күн бұрын
Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
@johnmalembo646427 күн бұрын
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
@eddynaeem6708
26 күн бұрын
a hapo bado sijaona jipya
@athumanfuko199
26 күн бұрын
kweli ila kama una miaka 40+ hauna haki ya kuhoji kitu hii nchi kwasababu umeshaona marais wote na kama hatuna pesa tutulie by Chalamila.
@salehothman6144
25 күн бұрын
Akili yako bado haijapevuka au bado una umri mdogo hufahamu mtizamo wa ubinafsishaji!
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
24 күн бұрын
Shida haipo apo kaka Niboresha mfumo wa elumu tu bc tukisha kua na uelewa mzur kila ktu tutaweza kukifanya kwa ubora
@mamboshepea8888
22 күн бұрын
@@salehothman6144 😢😢😢
@EnockKisigo15 күн бұрын
Mkuu wetu wa Chuo Mungu Akubariki Amen
@sebastiansalamba31327 күн бұрын
Haya ndio maneno sasa
@ThomasMcha-jk5yt27 күн бұрын
Very Softly/Politely Spoken BUT The Message delivered is Very Strong!!...You can feel the Silence & Attention from the Audience.
@geey7893
27 күн бұрын
Best Boy in Tanzania. General VSM
@damianmcba9525
27 күн бұрын
He is not a boy he's a Man@@geey7893
@jacobd.kasofu2204
25 күн бұрын
Abusolutely....This Man is A Gentleman❤❤❤
@faustinombilinyi980925 күн бұрын
Mh. Mabeyo umestaafu umefanya kazi zako vizuri lkn ongea ukweli nchi sahiz iko ovyo hakuna chamageuzi wakati nchi inaizwa hiii
@johnsonchonja403227 күн бұрын
Mabeyo once again 💯
@user-ig6pg6oz9i27 күн бұрын
Uko vizuri sana ungefaa kuwa raisi wa tz tungekua vizuri sana tugenenepa
@jumamohamed3168
25 күн бұрын
Hayo ni mawazo yako .
@walidmgonja3644
24 күн бұрын
Akili Huna wewe,kila anayeongea vizuri kwako anafaa kuwa rais
@hemed4064
22 күн бұрын
Nae akiwa rais mtamlaumu kuliko samia
@obedmghase523827 күн бұрын
Yupo vizuri sana,Mungu azidi kukuoigania
@agastokissatu266726 күн бұрын
........tunataka fomu mbili za uchaguzi ndani ya cCm ya afande na mama wa bandari
@David-if6nk
18 күн бұрын
Afande atamgaragaza traveller hadi huruma. Matokeo yatakuwa kama ifwatavyo; Afande 98.9% Traveller 1.1%
@MasumbukoNgata27 күн бұрын
Asante mabeo nyinyi ndo wazarendo awamu hii haitaki wazarendo
@hassanmfaume4522
26 күн бұрын
Uzalendo wa nn 😂😂😂
@jacobd.kasofu2204
25 күн бұрын
Kabisa
@stephenndagalla818327 күн бұрын
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
@edsonnelson4464
27 күн бұрын
Ahh!! kumbe na G. Mabeyo naye ameongea
@MsAggie5
27 күн бұрын
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
@adelinelyaruu3036
27 күн бұрын
Wanataka kusikia kilichopo moyoni mwake
@mekajamtv9603
27 күн бұрын
unahuakika na ulisemalo😮
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
@namsifubwana215227 күн бұрын
Bandari zimeuzwa, misitu imeuzwa, unasema nini Gereli😢😢😢watu wananyanyaswa kwenye ardhi zao wanafukuzwa kwenye ardhi yao😥😥😥
@pembafresh6872
24 күн бұрын
Nyiebado hamjauzwa kwani,
@user-qr7et3vl5z
23 күн бұрын
Acha upinzani wewe hatukuelewi kabisaa
@dilludillu2747
22 күн бұрын
Wauze tu
@jogoomohamed265227 күн бұрын
Safi sana nchi yangu/yetu.Safi sana mhe Rais mama yangu/yetu.Hongera sana mkuu mstaafu(Mabeyo)Afande Mabeyo kwa speech nzuri.
@abdulhakeem959
26 күн бұрын
Ni mama yako sio mama yetu.mm nina mama yangu anaitwa Mariath sio samia
@jogoomohamed2652
25 күн бұрын
Bro mi mama yangu,coz kanitangulia kuzaliwa napia kiongozi wa nchi yangu.So nampenda napia namuheshimu sana kwenye maisha yangu.
@lucaschisamalo285225 күн бұрын
Mungu ibariki tanzania huwa naumia Sana inchi inakila kitu lakini watu wake wanaishi maisha magumu Sana
@gloryshayo9966
25 күн бұрын
Yaani sijui mwisho wa haya mateso ni lini??
@walidmgonja3644
24 күн бұрын
Kafanye kazi,Acha kulalamika hutatoboa
@lucaschisamalo2852
24 күн бұрын
@@walidmgonja3644 sawa mwenye Kazi
@christinenyagiro666227 күн бұрын
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
@ndukulusudikucho_
27 күн бұрын
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
@ladislausngoyinde4384
27 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_we ni mpumbav kabisa, mnaturudisha kwenye utumwa
@jesusiscoming237
27 күн бұрын
Duu
@simonmalegesi414
26 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_kweli aisee😂😂😂❤❤❤
@mimiraia2531
26 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ Unaongea usenge
@barakamusapolekidoti95727 күн бұрын
💪
@frankalfredy499126 күн бұрын
Great
@simonphabiano905025 күн бұрын
He speaks like Philip Mpango
@agastokissatu266726 күн бұрын
.... well said bro afande
@MichaelKingazi-wm7xj26 күн бұрын
Mungu akutunze baba padre, Amen sana.
@MPOYOLAFILMS25 күн бұрын
I love you my father...
@daudibukwimba422627 күн бұрын
Plan is key to success
@RubenGodfrey-mf6hk18 күн бұрын
Mama alimstaafisha kijanja maana anajua huyu ni mzalendo hataki makando kando
@AbdallahBakar-oc3ue27 күн бұрын
Na tatizo la watu wengi hawataki kustafu wanangangania madalaka wao vijana hawatapata ajira kamwe
@sskondopoleani9616
27 күн бұрын
Wewe kwa mtazamo wako, wazee gani waondoke, na vijana gani ambao wewe unaona wana faa kuchukua hizo nafasi unazozisema? Baada ya kulaumu toa Ushauri.
@sawegasper967026 күн бұрын
“Natumaini umeelewa vyema”😂
@joelgabrieljuma190627 күн бұрын
Point muhimu
@lugelosanga579827 күн бұрын
Tanzaniaaaa korongoniiiii
@joycemkeka376926 күн бұрын
Pamoja na kujiamini lakini umejaliwa unyenyevu nakupendaga sana mkuu venance mungu akutunze na ikimpendeza natamani siku mona uwe rais wa Tanzania 🙏🙏
@user-uo9kk7kn9z27 күн бұрын
Bukina Faso ndo ina uongozii Bora majeshii ndo Kila kitu
Hakika , vijana wengi tushapotea , hatuoni umuhimu wa elimu ,zaidi ya maumivu tu ya kusota na makaratasi ya vyeti😢🇹🇿🙌
@Carolina-sm5zt26 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu Mabeyo🎉🎉🎉🎉
@stanmasnon515226 күн бұрын
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
@vanessastafford642627 күн бұрын
Ferry Tu pale kigamboni serikali pana pesa nyingi panahitaji utendaji thabiti
@Mpapyrizy27 күн бұрын
👀
@williamkavuta806626 күн бұрын
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
@David-if6nk
18 күн бұрын
Mama ni wa hovyo sana
@AdamSaffi21126 күн бұрын
Dar ni karibu na Zanzibar, heheeee, Dodoma oyeeeee, DP World oyeeeee, musukuma oyeeeee!
@user-sr4ig4sl8y27 күн бұрын
Mzee ushauri wako nizuri sana tuige kwa kaka wa bukinafaso sisi ni matajir tupambanie nchibyetu
@adelinelyaruu3036
27 күн бұрын
Maliasili zimeenda
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
Zimeenda na yeye ndio mwenyekiti wa bodi.
@user-ev2xf1tv3w
26 күн бұрын
Kwel bro turhole oyeee
@clarencehilary5588
26 күн бұрын
Umenena
@MtamboMovies26 күн бұрын
Movie mpya
@MarksevenTz23 күн бұрын
Points mbili MUHIMU 1. Ajira 2. Namna ya kupata wajumbe wa Bodi Lakini MHUSIKA hajaelewa japo Amejitahidi kupiga makofi
@modrikabdallah25 күн бұрын
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
@suleimansadalla560625 күн бұрын
Asante mzee mimi sikusoma sana lakini nimekuelewa sanaaa,
@HappyMsuya-og7ok24 күн бұрын
Mmm tunamwitaji Mungu
@richkaja331724 күн бұрын
Mkuu kwani kuchua nchi unashindwa nini nyumba baba mama moyo akae nyumbani alee watoto kalia kiti mkuuu
@deohaule816127 күн бұрын
Mkutano wa gawio, je nikiasi gani kina gharimu serikali na wananchi kuandaa mikutano kama hii? Na matokeo yake kunyima maendeleo kwa watanzania walio wengi
@mfalmekaitaba242526 күн бұрын
Tukutane 2025 ,,hii nchi inahitaji mabadiriko
@TitoRufizi-xb2ub26 күн бұрын
Hapo kazi ni kusifiana tu hakuna laziada
@josiahlwakatare370127 күн бұрын
na mleta roboti😂😂
@halimakhalid13415 күн бұрын
Wanakua howi kweli wasaidie mkuu nimefulahi kuona umepewa nafas mkuu wetu good you
@temekepamoja275727 күн бұрын
Wezo ao
@amonimbalya277923 күн бұрын
Mabeyo hoyeeeeeeee
@pauloropian236727 күн бұрын
Ndugai Mungu akubariki popote ulipo, Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@Mumewangu
27 күн бұрын
Kampe na mkundu
@emanuelleopod3949
27 күн бұрын
@@Mumewangu ukimpa wewe inatosha
@user-sl1ko9me7u
27 күн бұрын
AIBU NA FEDHEHA KUTOA MATUSI...MDOMO MCHAFU!
@Mumewangu
27 күн бұрын
@@emanuelleopod3949 wewe ndie shoga manake unampenda mwanaume mwenzako na kumsifia
@user-mo7qq8rm8j26 күн бұрын
Tz yetu inaangukia shimoni jamani
@susanndanshau118525 күн бұрын
Hapo muhusika hata hajakuelewa. Woiiiiii😢😢😢
@juvenalismnali190127 күн бұрын
Na tanesco nao watafutiwe washindani kibiashara Ili serikali ipate Kodi.
@mosesgodfrey414326 күн бұрын
5:35
@edsonmnego403025 күн бұрын
Haya majitu ndo yanatakiwa yawe marais
@juliusmlula165827 күн бұрын
Mabeo ni muhujumu wa jeshi hakupandisha wanajeshi vyoo na alikuwa anapendelea jamaa zake tu tunamkumbuka Gen Mwamnyange
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Wew ni mwanajesh? Na je kama ndio kwa nn ukwenda kamat za jesh kulalamika? Kama sio unalalamikia vip vyeo vya jesh na wewe ukiwa na shughr nyingne??
Chistine.Rais kaiza nini lete ushahidi hapa acha maneno yasio na utafiti.Tofautisha kuuza na kiwwkeza
@RomanMwinyi
24 күн бұрын
We una faidka ndio mana walewalee
@valenakomba768626 күн бұрын
Na hilo gaiwo ni kwa kila mtanzaniaa au ni kwe nyinyi wenyewe wenye nnchi.
@MaridadiRashidilikwesoLikweso20 күн бұрын
nchi ya ahadi 😭😭📞💔 duuh
@Mr_king_st25 күн бұрын
Naona kama majaliwa anapotea taratibu
@seneu.212827 күн бұрын
Ubinafsishaji wa rasilimali za nchi ni tatizo Moja kubwa kwasababu Rushwa ndio huchukua mkondo hapo, Mzee mkapa alijaribu kufanya hivyo na kwenye kitabu cha maisha yake alichokiandika alikiri alifanya makosa makubwa kuruhusu ubinafsishaji, huwezi ruhusu kubinafsisha na hakuna taasisi huru kukagua aina huo wa uwekezaji kama una tija kwa taifa letu. Wananchi wa ngorongoro wamegeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi Yao kwasababu ya biashara ya cabon credit
@TM-zs3rm27 күн бұрын
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo. Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema. Amina.
@edsonkahesi860327 күн бұрын
Vijana wengi hawana ajira, wengi wao hasa wa kiume wamekuwa walevi na watumiaji wa madawa ya kulevya na wa kike wamekuwa wakitumia miili yao kwa njia ambazo siyo sahihi kujiingizia kipato. Tutafakari kwa kina kesho ya taifa letu na vijana hao.
@agastokissatu266726 күн бұрын
........cdf(Chief of defense forces)the former one,sijuwi kama huyoo mama amekuelewa
@mejjalomayan979226 күн бұрын
Uzeni hii nchi yote mrizike washenzi
@emmanuellangoi565426 күн бұрын
Anastahili kuwa Rais
@ms123ru24 күн бұрын
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
@mwanagwakyala321327 күн бұрын
maneno kuntu
@kakamau038414 күн бұрын
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
@MahdouMomba
15 сағат бұрын
Uko sahihi 100%, mfano mzuri ni akina Traore, Tiani na Goita pale Sahel States,
@Antelius-ew6it26 күн бұрын
Hii inachekesha sana
@patrickmtunguja320127 күн бұрын
Nchi masikini kutokufanya biashara eti zitegemee kodi tu kuendesha nchi ni natural fault! Tax bases za nchi zilizoendelea zinatosha lakini zetu hazitoshi kabisa hivyo lazima kukopa na kuumiza wananchi kwa kodi kubwa. Serikali iache uvivu iwekeze kwenye management and administration ya makampuni yake ifanye biashara na itakua tajiri.
@user-ig6pg6oz9i27 күн бұрын
Wamesikiliza sikio la kulia yametokea sikio la kushoto basi tenaàa ng'oo
@EmmanuelErnest-xd1rc7 күн бұрын
Wasee wapunguswe
@faustinombilinyi980925 күн бұрын
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
@user-lr7em1ch8g22 күн бұрын
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
@RomanMwinyi24 күн бұрын
Wana nchi tuna taka katiba mpya
@faidhamyovela17922 күн бұрын
Vijan upep umegeuk saiv mpo na mabeyoo😂😂😂😂 kisa kagusia ajira za vijan
@SamwelMbeye25 күн бұрын
Hamna jipya,uyo ndo katufikisha uku
@gosbertireneus555827 күн бұрын
Generali anaongea kwa nidhamu na mpangilio wa kimantiki,yaani anavutia huchoki kumsikiliza,zaidi maudhui yake ....pokea maua yako CDF mstaafu .
@christinenyagiro666227 күн бұрын
Uaminifu hapa haupo bali uchawa tu ili wachaguliwe kuwa kwenye board ili waweze kuwasifu mbona hujatueleza mafanikio yo yote ya hayo mashirika?
@user-ls1es8sd1s26 күн бұрын
UTumwa kitu kibaya Sana watu wenye Uzalendo waku Ripi ganiA hiri Taifa Awa Takiwi Apo mna sapo kila kitu Bira kujuA mna sapoti matatizo
@kichenjekichenje207227 күн бұрын
Hata wale tuliowaamini wametugeuka, kweli hii ndio Tanzania.Eti wako bega kwa bega na wewe!Wakina nani hao!?
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
Msaliti ni Nani ?
@hassangasaba4565
27 күн бұрын
Huwa wanalewa madaraka,ukimpa nchi atageuka kama kinyonga.
@emanuelleopod3949
27 күн бұрын
Kibaya zaidi mtu badala asemee nafsi yake yeye anajumuisha watu wote
@user-bt6ep3yb2h27 күн бұрын
Jiji la biashara.
@kedricksiame616726 күн бұрын
Chamsingi na mhim nikwamba hizi Ajila ina takiwa mtu akistafu akae nyumbani siyo kuteuliwa tena ale pesheni hizo na fasi wachukue wengine mnabadilishana tu vyeo pekeenu
@GeofreyMwandanji-ot2lf27 күн бұрын
Akuna uzalendo hiichii tunaleteana muvi tuu😅
@athanasiusnjita22727 күн бұрын
hakika umeonesha jinsi jeshi lilivo na ukomavu kutokana na hotuba yako nzuri na yenye mashiko kwa taifa letu ishi kwingi mzee
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Uho ni uchawa na kujipendekeza Mama Yako anashona vilaka unasifia mambo yasiyo kuwepo
@DavidMMKing26 күн бұрын
Mabwege ndio wanafurahia huu upuuzi, wananchi wako hoi afu kazi kusifiana tu upuuzi kabisa. Mkiambiwa nchi imeuzwa bado vichwa vigumu. Watanzania wengi yaani mmelala sana. Mkipakwa mafuta kwa nyuma ya chupa tayari msharizika mpaka muibiwe ndio muelewe yaani serikali inaruhusu makodi kibao tena ya wizi tu afu mnafurahia!!!
@gosbertireneus555827 күн бұрын
huyo madam ndo kachukua nafasi ya zuhura yunus??
@hashimshaban1921
26 күн бұрын
Zuhura yunus haonekani
@hashimshaban1921
26 күн бұрын
Haonekani kwenye tukio kubwa Kama hili
@user-bi7gk7im4f
6 күн бұрын
Katolewa
@Nedjadist26 күн бұрын
Yote bla bla tu. Kama hamtawaadhibu wala rushwa, wafujaji na wavunja sheria, kutaifisha mali zao, kuwalazimisha warudishe walichokiiba, kuwaweka jela miaka 12 na viboko 24....hakuna mabadiliko wala kunguru. Bla bla tu Kujenga nchi ni vita. Hakuna nchi imejengwa kwa lele mama, maneno matamu ya kusifiana!
@richardalex729627 күн бұрын
Yaan viongozi wa bongo mwamba anatospeech wanajikuta wanajua kunote kumbe unafikii hamna ata kinachoandikwa!
@whatisthetruth.879326 күн бұрын
Matapishi matupu
@temekepamoja275727 күн бұрын
Uyu ndio kauza nchi......
@edsonmwinami318727 күн бұрын
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
@MsAggie5
27 күн бұрын
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
Uyu anafaa kua rahisi au Ata awe mshauri wa raishi pia itasaidia nchi kwenda mbele
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
@@MsAggie5 Raisi anajitahid sana lkn mitazamo inatofautiana ila umeongea ktu cha maana sanaa
@MsAggie5
27 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw hilo la awe msaidizi wake hata Mimi naliunga mkono, angemsaidia vzr
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gwAnajitahidi kufanya nini ndugu ? Kilasiku tunakopa nini umekiona?
Пікірлер: 234
Best is best ever ,be blessed mabeyo umesema facts sana na kiongozi imara mara zote daima.
Kweli yaani mtu kila siku unakuta unaenda kuangalia taarifa ya habari labda kuna ajira, unanunua bando kila siku upo mtandaoni labda kuna Updates za ajira ila wapi,God bless you 💪 Generali mstaafu Mabeyo
Huwezi tengeneza ajiri huku ukibinafsisha na kukodisha na kuuza maliasili tulizo nazo......lasilimali ndizo huzalisha ajira nyingi....ziko wapi lasilimali zilizo mikononi mwa nchi na wazawa sasa....ni ndoto kufanya mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa fikra za kukaribisha wawekezaji wakwapuaji
@eddynaeem6708
26 күн бұрын
a hapo bado sijaona jipya
@athumanfuko199
26 күн бұрын
kweli ila kama una miaka 40+ hauna haki ya kuhoji kitu hii nchi kwasababu umeshaona marais wote na kama hatuna pesa tutulie by Chalamila.
@salehothman6144
25 күн бұрын
Akili yako bado haijapevuka au bado una umri mdogo hufahamu mtizamo wa ubinafsishaji!
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
24 күн бұрын
Shida haipo apo kaka Niboresha mfumo wa elumu tu bc tukisha kua na uelewa mzur kila ktu tutaweza kukifanya kwa ubora
@mamboshepea8888
22 күн бұрын
@@salehothman6144 😢😢😢
Mkuu wetu wa Chuo Mungu Akubariki Amen
Haya ndio maneno sasa
Very Softly/Politely Spoken BUT The Message delivered is Very Strong!!...You can feel the Silence & Attention from the Audience.
@geey7893
27 күн бұрын
Best Boy in Tanzania. General VSM
@damianmcba9525
27 күн бұрын
He is not a boy he's a Man@@geey7893
@jacobd.kasofu2204
25 күн бұрын
Abusolutely....This Man is A Gentleman❤❤❤
Mh. Mabeyo umestaafu umefanya kazi zako vizuri lkn ongea ukweli nchi sahiz iko ovyo hakuna chamageuzi wakati nchi inaizwa hiii
Mabeyo once again 💯
Uko vizuri sana ungefaa kuwa raisi wa tz tungekua vizuri sana tugenenepa
@jumamohamed3168
25 күн бұрын
Hayo ni mawazo yako .
@walidmgonja3644
24 күн бұрын
Akili Huna wewe,kila anayeongea vizuri kwako anafaa kuwa rais
@hemed4064
22 күн бұрын
Nae akiwa rais mtamlaumu kuliko samia
Yupo vizuri sana,Mungu azidi kukuoigania
........tunataka fomu mbili za uchaguzi ndani ya cCm ya afande na mama wa bandari
@David-if6nk
18 күн бұрын
Afande atamgaragaza traveller hadi huruma. Matokeo yatakuwa kama ifwatavyo; Afande 98.9% Traveller 1.1%
Asante mabeo nyinyi ndo wazarendo awamu hii haitaki wazarendo
@hassanmfaume4522
26 күн бұрын
Uzalendo wa nn 😂😂😂
@jacobd.kasofu2204
25 күн бұрын
Kabisa
Tamko zito kutoka kwa Generali Mstaafu Mabeho, "Tz ibadirike iendane na mabadiliko ya Kimataifa ya Dunia ya Kiuchumi, tusifanye kimazoea...". Kumbuka Generali Mabeho amenukuu mwanafalsa mwanajeshi wa Kichina, ambayo nchi yake (China) ndio inaongoza kwa sasa Kiuchumi Duniani. Hivyo Generali Mabeho anaishauri Tz (kupitia Rais Samia), kubadilika na kuachana na kukumbatia Mashirika ya fedha ya Kimagharibi ya IMF na WB.
@edsonnelson4464
27 күн бұрын
Ahh!! kumbe na G. Mabeyo naye ameongea
@MsAggie5
27 күн бұрын
Wenzie ndo wanapata ulaji humo, hiyo misaada na mikopo inakuwaga accounted for? Huyo cig huwa anakagua hiyo mikopo na misaada? Huko ndo raisi na mawaziri husika wanakula hela tena wanazipiga kweli kweli.
@adelinelyaruu3036
27 күн бұрын
Wanataka kusikia kilichopo moyoni mwake
@mekajamtv9603
27 күн бұрын
unahuakika na ulisemalo😮
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
Mabeyo hana kitu kipya zaidi kumsifia Rais na kufurahiya nafasi aliyopewa. Mashirika gani anayosema yapo vizuri? Zaidi ya sasa wamepewa nafasi ya kuiba. CIG anasema mashirika fedha zinapotea hata shirika la ndege ambalo limenunuliwa ndege za kutosha ambazo zimekuwa za kupanda viongozi. Hawa viongozi walikuwa wazalendo wakati wa Magufuri kwa sababu ilikuwa lazima upewi nafasi. Sasa hivi kigezo ni kumsifu Rais na kumshauri vizuri. Kama tumasema hatuwezi hata kuendesha bandari tunawezaje kuendana na mabadiliko ya kidunia ambayo mabeyo anasema? Yanayotoka moyoni huitaji kuandika kwenye kalatasi mabeyo amepewa kalatasi asome ili watudanganye. Sio mabeyo yupo kwenye bodi au kamati ya kuamisha na kuandaa wamasai bandia kusema wamasai wamekubali kuamishwa wakati sio kweli? Maneno hayatudanganyi wakati matendo tunayaona.
Bandari zimeuzwa, misitu imeuzwa, unasema nini Gereli😢😢😢watu wananyanyaswa kwenye ardhi zao wanafukuzwa kwenye ardhi yao😥😥😥
@pembafresh6872
24 күн бұрын
Nyiebado hamjauzwa kwani,
@user-qr7et3vl5z
23 күн бұрын
Acha upinzani wewe hatukuelewi kabisaa
@dilludillu2747
22 күн бұрын
Wauze tu
Safi sana nchi yangu/yetu.Safi sana mhe Rais mama yangu/yetu.Hongera sana mkuu mstaafu(Mabeyo)Afande Mabeyo kwa speech nzuri.
@abdulhakeem959
26 күн бұрын
Ni mama yako sio mama yetu.mm nina mama yangu anaitwa Mariath sio samia
@jogoomohamed2652
25 күн бұрын
Bro mi mama yangu,coz kanitangulia kuzaliwa napia kiongozi wa nchi yangu.So nampenda napia namuheshimu sana kwenye maisha yangu.
Mungu ibariki tanzania huwa naumia Sana inchi inakila kitu lakini watu wake wanaishi maisha magumu Sana
@gloryshayo9966
25 күн бұрын
Yaani sijui mwisho wa haya mateso ni lini??
@walidmgonja3644
24 күн бұрын
Kafanye kazi,Acha kulalamika hutatoboa
@lucaschisamalo2852
24 күн бұрын
@@walidmgonja3644 sawa mwenye Kazi
Ameuza mali za Inchi ya Tanganyika mnasifu nini? Mnasifu ili muendelee kuwa wenye viti vya board. Acheni kutufanya watumwa wenu. Inchi hii ni yetu wote.
@ndukulusudikucho_
27 күн бұрын
Kunyamaza ni hekima, ukiona mtu analalamika saana ujue anakwepa majukumu yake, fanya kazi Kijana acha Malalamiko, Bakharesa amepewa hela na nani? Familia ya MO dewji wamepewa hela na Serikali? Acha hizo kuwa serious na maisha
@ladislausngoyinde4384
27 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_we ni mpumbav kabisa, mnaturudisha kwenye utumwa
@jesusiscoming237
27 күн бұрын
Duu
@simonmalegesi414
26 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_kweli aisee😂😂😂❤❤❤
@mimiraia2531
26 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ Unaongea usenge
💪
Great
He speaks like Philip Mpango
.... well said bro afande
Mungu akutunze baba padre, Amen sana.
I love you my father...
Plan is key to success
Mama alimstaafisha kijanja maana anajua huyu ni mzalendo hataki makando kando
Na tatizo la watu wengi hawataki kustafu wanangangania madalaka wao vijana hawatapata ajira kamwe
@sskondopoleani9616
27 күн бұрын
Wewe kwa mtazamo wako, wazee gani waondoke, na vijana gani ambao wewe unaona wana faa kuchukua hizo nafasi unazozisema? Baada ya kulaumu toa Ushauri.
“Natumaini umeelewa vyema”😂
Point muhimu
Tanzaniaaaa korongoniiiii
Pamoja na kujiamini lakini umejaliwa unyenyevu nakupendaga sana mkuu venance mungu akutunze na ikimpendeza natamani siku mona uwe rais wa Tanzania 🙏🙏
Bukina Faso ndo ina uongozii Bora majeshii ndo Kila kitu
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Idd Amin hakuwa mwanajesh Nkurunzinza hakuwa mwanajesh Kabira hakuwa mwanajesh Mzee kikwete hakuwa mwanajesh Mzee mseven sio mwanajesh hacha kukalili
@David-if6nk
18 күн бұрын
Ni bora wajeshi kuliko hawa raia wapuuzipuuzi
Hakika , vijana wengi tushapotea , hatuoni umuhimu wa elimu ,zaidi ya maumivu tu ya kusota na makaratasi ya vyeti😢🇹🇿🙌
Mungu akupe maisha marefu Mabeyo🎉🎉🎉🎉
Asante kwa maneno mazuri mheshimiwa maana kauli MBIU ya kupata ajira wasema nasafi za kazi vigezo uwe na uzoefu wa miaka mitatu sasa vijana wamesomea kazi husika badala ya kupewa nafasi wanaambiwa uzoefu miaka mitatu je uzoefu huo unapatikana wapi
Ferry Tu pale kigamboni serikali pana pesa nyingi panahitaji utendaji thabiti
👀
Yan ivi hawez kugombea urais....hawa ndo u magufuli....tumekatishwa...tunataka mtu atakaendeleza ideas za Magu. Ila Mama anajitahid sana ku balance maendeleo na democrasia
@David-if6nk
18 күн бұрын
Mama ni wa hovyo sana
Dar ni karibu na Zanzibar, heheeee, Dodoma oyeeeee, DP World oyeeeee, musukuma oyeeeee!
Mzee ushauri wako nizuri sana tuige kwa kaka wa bukinafaso sisi ni matajir tupambanie nchibyetu
@adelinelyaruu3036
27 күн бұрын
Maliasili zimeenda
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
Zimeenda na yeye ndio mwenyekiti wa bodi.
@user-ev2xf1tv3w
26 күн бұрын
Kwel bro turhole oyeee
@clarencehilary5588
26 күн бұрын
Umenena
Movie mpya
Points mbili MUHIMU 1. Ajira 2. Namna ya kupata wajumbe wa Bodi Lakini MHUSIKA hajaelewa japo Amejitahidi kupiga makofi
MMi ni mzalendo wa tanzania kutoka Tanga tanzania 2sije tukaungana na NATO wala kufanya biashara yeyote ile maana wzungu wanatunyonyasan wa africa sana Haswa haoo wmarecani na Engeland 2sikubali watutawale kivyovyote vile 2kiamua Tanzania 2naweza ASANTE, 8:56 iv
Asante mzee mimi sikusoma sana lakini nimekuelewa sanaaa,
Mmm tunamwitaji Mungu
Mkuu kwani kuchua nchi unashindwa nini nyumba baba mama moyo akae nyumbani alee watoto kalia kiti mkuuu
Mkutano wa gawio, je nikiasi gani kina gharimu serikali na wananchi kuandaa mikutano kama hii? Na matokeo yake kunyima maendeleo kwa watanzania walio wengi
Tukutane 2025 ,,hii nchi inahitaji mabadiriko
Hapo kazi ni kusifiana tu hakuna laziada
na mleta roboti😂😂
Wanakua howi kweli wasaidie mkuu nimefulahi kuona umepewa nafas mkuu wetu good you
Wezo ao
Mabeyo hoyeeeeeeee
Ndugai Mungu akubariki popote ulipo, Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@Mumewangu
27 күн бұрын
Kampe na mkundu
@emanuelleopod3949
27 күн бұрын
@@Mumewangu ukimpa wewe inatosha
@user-sl1ko9me7u
27 күн бұрын
AIBU NA FEDHEHA KUTOA MATUSI...MDOMO MCHAFU!
@Mumewangu
27 күн бұрын
@@emanuelleopod3949 wewe ndie shoga manake unampenda mwanaume mwenzako na kumsifia
Tz yetu inaangukia shimoni jamani
Hapo muhusika hata hajakuelewa. Woiiiiii😢😢😢
Na tanesco nao watafutiwe washindani kibiashara Ili serikali ipate Kodi.
5:35
Haya majitu ndo yanatakiwa yawe marais
Mabeo ni muhujumu wa jeshi hakupandisha wanajeshi vyoo na alikuwa anapendelea jamaa zake tu tunamkumbuka Gen Mwamnyange
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Wew ni mwanajesh? Na je kama ndio kwa nn ukwenda kamat za jesh kulalamika? Kama sio unalalamikia vip vyeo vya jesh na wewe ukiwa na shughr nyingne??
@emanuelleopod3949
27 күн бұрын
Apandishe Vyoo gani tena ndugu
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
@@emanuelleopod3949 soma vizur utaona niliye mjibu Mzee
Duh!yan mung tusaidie umechkua wazalendo umetuachia majambazi yanauza nchi kwafaida zao wenyew
Peter alitoka jela kwa kuhujumu uchumi akapewa board member Reli mpya, hiyo inakuwaje. Nchi imeoza
Kilichobaki rubani apoteze ndeg2 muishie,,,Kam wenzen wak kenya,malaw,iran,,,,
@clarencehilary5588
26 күн бұрын
Safi sana
Sana mwamba umeupiga mwinga umewambiliapo
Chistine.Rais kaiza nini lete ushahidi hapa acha maneno yasio na utafiti.Tofautisha kuuza na kiwwkeza
@RomanMwinyi
24 күн бұрын
We una faidka ndio mana walewalee
Na hilo gaiwo ni kwa kila mtanzaniaa au ni kwe nyinyi wenyewe wenye nnchi.
nchi ya ahadi 😭😭📞💔 duuh
Naona kama majaliwa anapotea taratibu
Ubinafsishaji wa rasilimali za nchi ni tatizo Moja kubwa kwasababu Rushwa ndio huchukua mkondo hapo, Mzee mkapa alijaribu kufanya hivyo na kwenye kitabu cha maisha yake alichokiandika alikiri alifanya makosa makubwa kuruhusu ubinafsishaji, huwezi ruhusu kubinafsisha na hakuna taasisi huru kukagua aina huo wa uwekezaji kama una tija kwa taifa letu. Wananchi wa ngorongoro wamegeuzwa kuwa watumwa ndani ya nchi Yao kwasababu ya biashara ya cabon credit
Nakusifu ndugu Mabeyo kwa kuwa mkweli ingawa umekuwa too polite katika risala yako. Ungekuwa more direct kusudi Raisi apate picha kamili na mazito uliyoyasema. Raisi kazi hikes na watu wengi ambao hawapo serious na maisha ya Watanzania. Hawajaisoma dunia ni wapi inaelekea na nini au vipi tutumie raslimali zetu kuboresha maisha ya watanzania. Raisi umetukosea sana kuwapa mataifa ya nje raslimali zetu kuu na wazichukue burebure kwao na wakazichakate huko. Ungepigilia msumari tujenge viwanda Tanganyika, tuongeze thamani ya maligafi yetu badala ya kuwaruhusu wakachakate kwao na kukosesha Watanganyika wengi ajira nchini hasa vijana wa Somali a kazi. Kuwafukuza Wamasai na kupora ardhi na mifugo yao na kuwaruhusu wageni kuchukua ardhi zetu na kuwekeza huko. Hızı na haya maeneo ambayo ni Prime nchini kiuchumi ni makosa makubwa sana sana bila hata kuwahusisha wamasai ambao ndizo ardhi zao ni ki yüme cha sheria kikatiba ya nchi yetu na ningeshauri zirudishwe kwa Wamasai. Tumetoa raslimali kuu zote na bado hatuna dola na hii haieleweki hata kidogo. Mungu ibariki Tanzania. Wabariki viongozi wetu wakuu na kuheshimu madaraka yao na kufanya maamuzi magumu wakimtumainia Mungu kwa manufaa ya watanzania kwanza kabla ya mtu meingine yeyote. Mungu wabariki watanzania , uwalinde na kuwaongoza vyema. Amina.
Vijana wengi hawana ajira, wengi wao hasa wa kiume wamekuwa walevi na watumiaji wa madawa ya kulevya na wa kike wamekuwa wakitumia miili yao kwa njia ambazo siyo sahihi kujiingizia kipato. Tutafakari kwa kina kesho ya taifa letu na vijana hao.
........cdf(Chief of defense forces)the former one,sijuwi kama huyoo mama amekuelewa
Uzeni hii nchi yote mrizike washenzi
Anastahili kuwa Rais
Unemployment aisee ni kitu kidg alf mataifa yote yenye migogoro chanzo ni iko ndio maana marekani ina vitengo vingii sana vya jeshi ili wengi wenye elimu ya kawaida waendee kujiungaa jeshi. Na kupunguza hatri kubwa uasi kwenye nchi
maneno kuntu
Kuna mda kwa uchache wa akili yangu ninahisi kama UZARENDO upo JESHINI je ni mimi tu au hata nyinyi wenzangu???? Maana huyu jamaa anaongea point lkn kwa upole na utii wa hali ya juu
@MahdouMomba
15 сағат бұрын
Uko sahihi 100%, mfano mzuri ni akina Traore, Tiani na Goita pale Sahel States,
Hii inachekesha sana
Nchi masikini kutokufanya biashara eti zitegemee kodi tu kuendesha nchi ni natural fault! Tax bases za nchi zilizoendelea zinatosha lakini zetu hazitoshi kabisa hivyo lazima kukopa na kuumiza wananchi kwa kodi kubwa. Serikali iache uvivu iwekeze kwenye management and administration ya makampuni yake ifanye biashara na itakua tajiri.
Wamesikiliza sikio la kulia yametokea sikio la kushoto basi tenaàa ng'oo
Wasee wapunguswe
Mama Samia sio kila mtu anaweza kuwa mkurugenzi wa ikulu hiyo nafasi muhimu mno angalia huyo mtoto anavyojikanyaja hapo ovyo kabisa unajaza teuzi zako zingine HAZIELEWEKI kabisa
Tatizo wageni wameshika nafasi za vijana wetu wapo kibao mishahara yao mikubwa akiajiriwa mtanzania anapewa mishahara mdogo 😢😢😢 nenda kwenye makampuni uone wageni walivyo wengi wakija wanasimama nyuma ya fundi wakishajua wanakuwa ndio mafundi wakuu
Wana nchi tuna taka katiba mpya
Vijan upep umegeuk saiv mpo na mabeyoo😂😂😂😂 kisa kagusia ajira za vijan
Hamna jipya,uyo ndo katufikisha uku
Generali anaongea kwa nidhamu na mpangilio wa kimantiki,yaani anavutia huchoki kumsikiliza,zaidi maudhui yake ....pokea maua yako CDF mstaafu .
Uaminifu hapa haupo bali uchawa tu ili wachaguliwe kuwa kwenye board ili waweze kuwasifu mbona hujatueleza mafanikio yo yote ya hayo mashirika?
UTumwa kitu kibaya Sana watu wenye Uzalendo waku Ripi ganiA hiri Taifa Awa Takiwi Apo mna sapo kila kitu Bira kujuA mna sapoti matatizo
Hata wale tuliowaamini wametugeuka, kweli hii ndio Tanzania.Eti wako bega kwa bega na wewe!Wakina nani hao!?
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
Msaliti ni Nani ?
@hassangasaba4565
27 күн бұрын
Huwa wanalewa madaraka,ukimpa nchi atageuka kama kinyonga.
@emanuelleopod3949
27 күн бұрын
Kibaya zaidi mtu badala asemee nafsi yake yeye anajumuisha watu wote
Jiji la biashara.
Chamsingi na mhim nikwamba hizi Ajila ina takiwa mtu akistafu akae nyumbani siyo kuteuliwa tena ale pesheni hizo na fasi wachukue wengine mnabadilishana tu vyeo pekeenu
Akuna uzalendo hiichii tunaleteana muvi tuu😅
hakika umeonesha jinsi jeshi lilivo na ukomavu kutokana na hotuba yako nzuri na yenye mashiko kwa taifa letu ishi kwingi mzee
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Uho ni uchawa na kujipendekeza Mama Yako anashona vilaka unasifia mambo yasiyo kuwepo
Mabwege ndio wanafurahia huu upuuzi, wananchi wako hoi afu kazi kusifiana tu upuuzi kabisa. Mkiambiwa nchi imeuzwa bado vichwa vigumu. Watanzania wengi yaani mmelala sana. Mkipakwa mafuta kwa nyuma ya chupa tayari msharizika mpaka muibiwe ndio muelewe yaani serikali inaruhusu makodi kibao tena ya wizi tu afu mnafurahia!!!
huyo madam ndo kachukua nafasi ya zuhura yunus??
@hashimshaban1921
26 күн бұрын
Zuhura yunus haonekani
@hashimshaban1921
26 күн бұрын
Haonekani kwenye tukio kubwa Kama hili
@user-bi7gk7im4f
6 күн бұрын
Katolewa
Yote bla bla tu. Kama hamtawaadhibu wala rushwa, wafujaji na wavunja sheria, kutaifisha mali zao, kuwalazimisha warudishe walichokiiba, kuwaweka jela miaka 12 na viboko 24....hakuna mabadiliko wala kunguru. Bla bla tu Kujenga nchi ni vita. Hakuna nchi imejengwa kwa lele mama, maneno matamu ya kusifiana!
Yaan viongozi wa bongo mwamba anatospeech wanajikuta wanajua kunote kumbe unafikii hamna ata kinachoandikwa!
Matapishi matupu
Uyu ndio kauza nchi......
Kwa nini Mabeyo usichukuwe nchi???? Hakuna waziri yeyote anayeelewa anachofanya zaidi ya kupenda vyeo tu, inakuwaje nchi haina $$??? Wafanya biashara watafanyaje kazi???? Kama BOT hawana pesa za kuwawezesha wafanya biashara kuendeleza nchi kiuchumi??? Hizo Dollars haziko available kwa wananchi lakini wao wanazo za kutumia Dubai, Uingereza na hapa Marekani wanakuja kila mara kwa matumbuzi tu hakuna la maana, something need to be done
@MsAggie5
27 күн бұрын
Raisi ndo kiongozi mkuu kama halioni hilo, wasaidizi wake wanajilia hakutaka kuyachukua mazuri ya aliyemuachia akaamua kuwakumbatia mafisadi. Watu WA kupato cha chini wanaumia kulipa Kodi na maisha magumu walio juu wanateleza, machawa nao ndo wanabugia hela za nchi kila kukicha. Angechukua nchi Magu alivyofariki kama alishindwa ndo basi tena.
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
Uyu anafaa kua rahisi au Ata awe mshauri wa raishi pia itasaidia nchi kwenda mbele
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
27 күн бұрын
@@MsAggie5 Raisi anajitahid sana lkn mitazamo inatofautiana ila umeongea ktu cha maana sanaa
@MsAggie5
27 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw hilo la awe msaidizi wake hata Mimi naliunga mkono, angemsaidia vzr
@husseinmkanga7794
27 күн бұрын
@@AbdulRahmanAliy-sr7gwAnajitahidi kufanya nini ndugu ? Kilasiku tunakopa nini umekiona?