MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 44

  • @AliAdam-ve4ms
    @AliAdam-ve4msАй бұрын

    Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi

  • @user-nw6nh7yb4q
    @user-nw6nh7yb4q2 ай бұрын

    Bas kama VP tumpe nch mabeho

  • @mwabimulungamulungamwabi7201
    @mwabimulungamulungamwabi7201Ай бұрын

    nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c2 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭

  • @IssaMwaluko
    @IssaMwaluko2 ай бұрын

    mungu aisaidie famlly yake amina

  • @philipo6318
    @philipo63182 ай бұрын

    Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13192 ай бұрын

    Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u2 ай бұрын

    huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?

  • @bensonwissa5777

    @bensonwissa5777

    2 ай бұрын

    Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo

  • @MaikoMamboleo-qt9df
    @MaikoMamboleo-qt9df3 ай бұрын

    Safi sana

  • @EmmanuelJohn-eg9rg
    @EmmanuelJohn-eg9rg2 ай бұрын

    Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢

  • @PendoMwitewe-on3hj
    @PendoMwitewe-on3hj2 ай бұрын

    Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde

  • @ObediKinkusha-gq8fw
    @ObediKinkusha-gq8fw2 ай бұрын

    Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi2 ай бұрын

    Asante

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna52333 ай бұрын

    Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲

  • @marianmartin7483
    @marianmartin74833 ай бұрын

    Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.

  • @user-ne7cl4cx9o
    @user-ne7cl4cx9o2 ай бұрын

    Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq10 күн бұрын

    😢😢😢

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u2 ай бұрын

    Tunaumia sana

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga29383 ай бұрын

    mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde

  • @DaniKadaga
    @DaniKadagaАй бұрын

    Goody xong

  • @user-yg9fh9sj1w
    @user-yg9fh9sj1w29 күн бұрын

    Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo

  • @shadymsigwa
    @shadymsigwa2 ай бұрын

    Duuuuh mungu saidia taifa rangu

  • @HussenMashaka-os9ok
    @HussenMashaka-os9ok2 ай бұрын

    Nikweli Tanzania inashirikiana.

  • @fanueledmund6408
    @fanueledmund64082 ай бұрын

    Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota

  • @omuze1290
    @omuze12902 ай бұрын

    Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!

  • @OmaryHamisi-fz7hq
    @OmaryHamisi-fz7hq10 күн бұрын

    Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre212 ай бұрын

    Moyo wa kizarendo

  • @SiriOmari
    @SiriOmari2 ай бұрын

    😭😭😭

  • @ErnestMeshack
    @ErnestMeshack15 күн бұрын

    . . No❤

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo54423 ай бұрын

    Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau

  • @user-hd7zx9ns7q
    @user-hd7zx9ns7qАй бұрын

    Ukitaka kujiunga unafanyaje

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u2 ай бұрын

    lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    2 ай бұрын

    Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza

  • @EmmanuelLupoja

    @EmmanuelLupoja

    2 ай бұрын

    😂hela

  • @user-po5mm5vk6d
    @user-po5mm5vk6d2 ай бұрын

    Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri

  • @esterlogose
    @esterlogoseАй бұрын

    Hana lolote ni msakiti

  • @edmundphilemon3054
    @edmundphilemon30543 ай бұрын

    Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢

  • @mapesaevarist9094
    @mapesaevarist90943 ай бұрын

    Huyu mwamba alinyoosha 😂

  • @user-pw8xm8gm2u
    @user-pw8xm8gm2u2 ай бұрын

    Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M

  • @JosephKowelo
    @JosephKowelo2 ай бұрын

    Natak kuchat na pendo

  • @AnnaKipetha
    @AnnaKipethaАй бұрын

    Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.

Келесі