NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE STEVE MWEUSI

Комедия

#comedy

Пікірлер: 1 000

  • @user-ql2gv5hs2l
    @user-ql2gv5hs2l9 ай бұрын

    Entree Steven hana makosa. Kwa kweli mwalimu wewe ni mrembo😂😂😂❤

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed87359 ай бұрын

    MashaALLAH Mwalimu hapo umetia shani, greetings from Adelaide South Australia 🦘🦘🦘🖐️🖐️

  • @stanykibambe

    @stanykibambe

    Ай бұрын

    Not problème

  • @stanykibambe

    @stanykibambe

    Ай бұрын

    he's a man he's right

  • @danielmlewa4936
    @danielmlewa493610 ай бұрын

    Kwa hiyo steve unanipenda,hahaha steve" pigia mstari"

  • @ibrahimmwakengwa
    @ibrahimmwakengwa9 ай бұрын

    😂😂😂😂namkubali sana brother Steve

  • @shaddy_da_traveller.7314
    @shaddy_da_traveller.731410 ай бұрын

    Kumbe kutongoza mwalimu ni tamu sana na zaidi ni wale wa kiswahili.

  • @bayubahejames7536
    @bayubahejames753610 ай бұрын

    Steve we big up sana we follow you big time kutongoza mwalimu yeah you don't joke lakini uyo mwalimu nimrembo sana beautiful woman

  • @fazawalya7567
    @fazawalya75679 ай бұрын

    "Mwalimu nakupenda..." Aaash! Steve, you're a man😂😂😂

  • @user-rt1xu1gq4d
    @user-rt1xu1gq4d9 ай бұрын

    Steve hiii nikari kuliko, mwaga simu wote wakwelewe nakukubari mwamba

  • @jadeideus6389
    @jadeideus638910 ай бұрын

    Steve jiachie wew mtoto yupo majumba 6 hapo huyo😅😅😅😂😂

  • @user-od7ou1jp4i
    @user-od7ou1jp4i6 ай бұрын

    Steve akipelekwa milembe basi nawahudum watakuwa vichaa🎉🎉

  • @nuratyfulaa
    @nuratyfulaa8 ай бұрын

    Steve acha ukuma kaza kweli kwel unaweza xana tna xana ukilegeza watakunyoa

  • @ayubabakoibeto9759
    @ayubabakoibeto97599 ай бұрын

    What😮😮 !!! For the very first time I see Stephen being matured and making sense. This is really 2023. What a fantastic choice you made there Steve, she is much worth all the troubles the School Authority will give you when you are caught .

  • @GanizaniTime

    @GanizaniTime

    9 ай бұрын

    ❤😂😂good job guys

  • @user-bu9wl9fn3c
    @user-bu9wl9fn3c10 ай бұрын

    Tunakupenda Steve natoka Uganda 😅😅 unanifurahisha sana

  • @cantonaiddy6042

    @cantonaiddy6042

    10 ай бұрын

    Karibu Tanzania

  • @bosshapendi
    @bosshapendi10 ай бұрын

    Hii ya steve 😂😂😂 ni kali😮😮❤❤❤❤🇰🇪💪

  • @kisenamusikcomplete
    @kisenamusikcomplete10 ай бұрын

    Kali hiii inaenda inaenda kwenye top 10

  • @augustinemakoba5622
    @augustinemakoba562210 ай бұрын

    Daar hicho kiboko umechapa kwel 😂😂😂😂

  • @samuji10hatangimana70
    @samuji10hatangimana7010 ай бұрын

    Hata mkuu anataka kutongozwaaaaa makubwaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx10 ай бұрын

    Steve Mweusi Kwel Umehuwa Kwa Kwel God Bless You

  • @bakalikutafuta-pe3og
    @bakalikutafuta-pe3og10 ай бұрын

    Yani madam boss wenu mwampiga viboko mkitoka hapo mwataka mshahara dah nimecheka sana

  • @NduvaMwilu

    @NduvaMwilu

    2 күн бұрын

    Nduva

  • @magretndinda1455
    @magretndinda14559 ай бұрын

    😂😂😂 aky Steph na ndaro kujeni Kenya😂😂

  • @petermauta5789
    @petermauta578910 ай бұрын

    Mulete next episode ya hii tunaipendanga sana

  • @rithakimolo1832
    @rithakimolo183210 ай бұрын

    Steve wewe ni kiboko duuu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon53339 ай бұрын

    Majina yananza na Steve wanakuaga wasanii wakubwa sana

  • @benjaminbensuda1110
    @benjaminbensuda111010 ай бұрын

    Kakangu Steve nitafutie mrembo TZ ndugu yngu 😅😅😅

  • @Kinglaysb
    @Kinglaysb10 ай бұрын

    Hii ni kali ya mwaka ❤

  • @rajabushedafa6397
    @rajabushedafa639710 ай бұрын

    Wanao Vaa viatu vya vitenge wapewe maua Yao Kwa mujibu wa stivu kichaa😂😂😂

  • @mrkane8boy866
    @mrkane8boy86610 ай бұрын

    wakwanza mim nipen like zangu jaman ,love you from rwanda 🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    10 ай бұрын

    like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏

  • @user-cw8og8im6w

    @user-cw8og8im6w

    4 ай бұрын

    😢😢😢 uyu jamaa ach2

  • @AddyAli-nc7pq

    @AddyAli-nc7pq

    3 ай бұрын

  • @muwongeali1780

    @muwongeali1780

    25 күн бұрын

    😮🎉

  • @DeusdeditCharles

    @DeusdeditCharles

    19 күн бұрын

    Ya​@@officialkamdudu

  • @petermaina-nb9xh
    @petermaina-nb9xh10 ай бұрын

    Steve the master🎉 though mwalim ameweza kusema kweli kumbe Tanzania kuna warembo mwalim mahali upo hi👋 from kenya🇰🇪

  • @FaustinMulondablessing-dr5jv
    @FaustinMulondablessing-dr5jv10 ай бұрын

    Wewe mkali kutongoza jamani ahiseeeee❤

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan734610 ай бұрын

    waooo seteve na tim yake mpo vizur sana nawapenda

  • @wimawendo2630
    @wimawendo26307 ай бұрын

    Mwalimu kazingua STEVE was right. RIP CHARLES 🕊️🕊️🕊️🕊️

  • @safiunamugen7476
    @safiunamugen747610 ай бұрын

    Ata ivo Steve anajikaza sana ana act na wadada warembo sana hongera kk 🇶🇦🇶🇦

  • @ThaghembwaEzekiel-fj9jm
    @ThaghembwaEzekiel-fj9jm10 ай бұрын

    Tosha nyengine plus stive mweusi ❤❤❤

  • @manfromkakamega
    @manfromkakamega10 ай бұрын

    Aki wewe steve😂😂❤ 1:35 nakupenda bure basi nipeni like pekee❤👍

  • @officialkamdudu

    @officialkamdudu

    10 ай бұрын

    like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏

  • @Adamchestemuzaahim

    @Adamchestemuzaahim

    10 ай бұрын

    😂😂😂acha matusi kaka😂😂

  • @manfromkakamega

    @manfromkakamega

    10 ай бұрын

    @@officialkamdudu kwani ni makosa kuomba like kaka samahani lakini sikujua ni makosa 😪🙏🙏🙏

  • @JohnsonKariuki-uy6sj

    @JohnsonKariuki-uy6sj

    24 күн бұрын

    niko na shemeji yako bana 😂😂😂😂😂😂😂, steve bana

  • @user-ht2bz4io3f

    @user-ht2bz4io3f

    17 күн бұрын

    ​😅 unorthodoxy date kill looking once knoll OK Verdun pop pp bugs🎉

  • @user-iu4dr2ei4z
    @user-iu4dr2ei4z8 ай бұрын

    From Nigeria, Stephen you are a bold guy

  • @johnnytravo
    @johnnytravo10 ай бұрын

    😁😁😁😁 kaka Steve umeyakanyaga leo 😁😁😁😁

  • @goodluckmhagama5363
    @goodluckmhagama53637 ай бұрын

    Walimu wenyew wazuri hawa tunapeana majaribu tuuh😀😀😀

  • @andrewjuma1913

    @andrewjuma1913

    Ай бұрын

    😅😅😅mapenzi nimakorofi ushapendwa mumunya

  • @PacifiqueSumaili-xg5xk
    @PacifiqueSumaili-xg5xk10 ай бұрын

    Steve, umejiamini kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umtongoze madam 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @ZenaChai

    @ZenaChai

    29 күн бұрын

    Zenachi579 2:02

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla76909 ай бұрын

    Teachers ttzo nn?hio ndio true ❤,MLEE MTOTO

  • @ChothembuChristopher-qc2ui
    @ChothembuChristopher-qc2ui9 ай бұрын

    The teacher is so cute and beautiful even me NIMEKUPE DA

  • @festusmutie5397
    @festusmutie539710 ай бұрын

    Steve kula mwalimu ,,,😂😂ata yeye anaeza lika tuu😂😂😂

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba787410 ай бұрын

    😂😂😂😂😂sema madam kaza tu lakn mbona safi tu mwezio amekulewa mtunuku ache ujinga 😅😅😅😅😅

  • @davidwanyira3587
    @davidwanyira358726 күн бұрын

    Waaa, tanzania muko karibu kufikia nijeria, in moove, waa ataa hio iko waaaooo Wacth from nairobi, murantamgaje murabambere cyane 100% good

  • @JosephKarani-si7jc
    @JosephKarani-si7jc10 ай бұрын

    Wacha bangi steve❤❤❤

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna258010 ай бұрын

    Mbona kama anapiga Sana Steve haumiii

  • @NewtonMgodo-mj3ok
    @NewtonMgodo-mj3ok10 ай бұрын

    Mwalimu iyo nikitu ya kuambia mwalimu mkuu 😂😂😂

  • @petermhagama6921

    @petermhagama6921

    10 ай бұрын

    Yana zungumzika sio 😄

  • @user-ew5kf2wr2r
    @user-ew5kf2wr2r9 ай бұрын

    Nakumbuka nikiambia mode wa chem iyo story niliambiwa nichimbe shimo yenye nitatoshea

  • @neyotv2344
    @neyotv234410 ай бұрын

    Kichaa wetu Steve 🙌🙌

  • @user-pk1jd1tq9y
    @user-pk1jd1tq9y10 ай бұрын

    kuna kitu nimeikubali hii, story imewekwa vizuri wahusika wamecheza vizuri

  • @danielmunyaka5848
    @danielmunyaka584810 ай бұрын

    Pure talent 😅😅😅 Kidoti pia yuko sawa sana acting kama mkuu

  • @AnthonyKuchaba
    @AnthonyKuchaba9 ай бұрын

    Wape maisha brother wangu😂

  • @emorutnicholas1893
    @emorutnicholas189310 ай бұрын

    Steve, kimekuramba😂😂😂

  • @djlipua9337
    @djlipua933710 ай бұрын

    Wa kwanza kutoka kenya ...wapi likes jamani

  • @darelet

    @darelet

    Ай бұрын

    Mbona mnapenda kujitangaza kwa kila KZread ni kama ni jambo la busara? Sasa upewe taji ama?

  • @DadyWiliam-oz7dx

    @DadyWiliam-oz7dx

    26 күн бұрын

    Ok

  • @jeremisiyang
    @jeremisiyang10 ай бұрын

    mwalimu ungemwelewa tu jamani steven!!! bt nice job brathar

  • @kianda973
    @kianda97310 ай бұрын

    Bonge la igizo...😂😂😂❤

  • @johnmulelamuthoka2310
    @johnmulelamuthoka231010 ай бұрын

    From Kenya 🇰🇪 Steve Mweusi have made my day congratulation keep it up

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne596110 ай бұрын

    Steve acha Bangi utauponza 😂😂😂😂😂❤

  • @achienggloria494

    @achienggloria494

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂spare my ribs stive

  • @user-dg2tb3lw1w
    @user-dg2tb3lw1w2 ай бұрын

    Steve kuja nikupea dada yangu wachana na mwalimu Niko Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @hapJay-cz1dg
    @hapJay-cz1dg10 ай бұрын

    Big up👍👍 kwak my brother

  • @esthermunanie6381
    @esthermunanie638110 ай бұрын

    Kenya 🇰🇪 twacheka kutinzama video zako Steve mweusi 😍😍😍

  • @BenjaminRuto-xw3tc

    @BenjaminRuto-xw3tc

    8 ай бұрын

    Kdgi

  • @ericbahizi6526

    @ericbahizi6526

    7 ай бұрын

    Poli steven

  • @danielbarasa3342
    @danielbarasa334210 ай бұрын

    Ningekuwa Steven mbona ningekuwa nishawachanganya mwalimu pamoja na mkuu,yani wote pisi kali ❤❤😂😂😂😂😂

  • @MwajumaAlly-ti8gc

    @MwajumaAlly-ti8gc

    Ай бұрын

    yani nihatali

  • @OMMYDIMPOZ-wn2if
    @OMMYDIMPOZ-wn2ifАй бұрын

    I say hii comedy ni mwisho wa mawazo..haki ni kucheka tuu 😂😂😂…#254 🇰🇪

  • @NgamabalegaNicolas
    @NgamabalegaNicolas2 күн бұрын

    Ngama balega Nicolas journaliste toka kamituga Jimbo la Kivu ya kusini Steven Hana kosa

  • @pados2481
    @pados248110 ай бұрын

    Steve ni mwanafunzi shujaa sana 😂

  • @carengerold7421
    @carengerold742110 ай бұрын

    😂😂😂Jamani mbona kama fimbo za kweli au macho yangu

  • @jeanmunandi6763

    @jeanmunandi6763

    9 ай бұрын

    Qkicheche

  • @FredyBamunda

    @FredyBamunda

    5 күн бұрын

    Nauliza filamu ni kweli ao je? Kama ni kweli basi fimbo nayo ni kweli.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba581410 ай бұрын

    Kweli Steven mweusi ni kiboko ninakupateni nikiwa hapa European Swiden . Mpo VIZURI sana

  • @chibdeeboy

    @chibdeeboy

    10 ай бұрын

    😂😂

  • @user-vn5bg1xx6q
    @user-vn5bg1xx6q6 ай бұрын

    Steven kapenda kweli so utani jani ❤😅

  • @user-ht2bz4io3f

    @user-ht2bz4io3f

    17 күн бұрын

    Vp dd

  • @TadeuAlbertoTadeu
    @TadeuAlbertoTadeu10 ай бұрын

    Nazipenda kazi zako stive

  • @JumahamisiOmary
    @JumahamisiOmary10 ай бұрын

    We Steve tangia uanze kuota ndevu unamatatizo sana 😂

  • @carolkiptoo8703

    @carolkiptoo8703

    3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃

  • @user-ls6up3zj4j

    @user-ls6up3zj4j

    Ай бұрын

    Comedd​@@carolkiptoo8703

  • @ClayJaden-qh6zn
    @ClayJaden-qh6zn29 күн бұрын

    Safi sana Steven hayo ndio yalikuwa mambo yangu shuleni

  • @user-pr6br3jr9i
    @user-pr6br3jr9i20 күн бұрын

    Steve wewe ninoma bwana, chapa ule murembo mwalimu ❤😂😂😂

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany590210 ай бұрын

    Wew steve unaweza you're pure comedian 😂😂😂

  • @alfredkivuyo2739
    @alfredkivuyo273910 ай бұрын

    steve unatisha sana mdogo wangu

  • @JustinKalimbiriro
    @JustinKalimbiriro5 күн бұрын

    Napenda Sana. N'a wafwata Toka Sud Kivu RDcongo.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76310 ай бұрын

    Steve karowa kwako mwalimu muelewe kuna bibi huko wa miaka 60 kamuelewq kijana umri 27 😂eleza Steve

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja403210 ай бұрын

    🤣🤣🤣mwalimu apewe maua yake kwakwel katishaaa

  • @hilarymariki5696
    @hilarymariki569610 ай бұрын

    Steve falaa snaa 😂

  • @kimanziwambua1237
    @kimanziwambua123710 ай бұрын

    Steve, Steve, Steve, wanibaba from Kenya

  • @user-oq8vk8hf1m
    @user-oq8vk8hf1m10 ай бұрын

    Walimu wenyewe dah😅😅😅😅

  • @davidkimani4623
    @davidkimani462310 ай бұрын

    wow the acting here is top notch😮

  • @OctavianMakoye-vl7qx

    @OctavianMakoye-vl7qx

    10 ай бұрын

    😅😅

  • @user-fq9ol4nr9x
    @user-fq9ol4nr9x10 ай бұрын

    Aki Steve wee mtundu kabisaa eti wamtongoza mwalimu wako jamani😂😂😂

  • @joshuamwaniki6795
    @joshuamwaniki67958 ай бұрын

    Steve naja Tanzania tupige Show

  • @stevemutinda-id8lt
    @stevemutinda-id8lt2 ай бұрын

    Steve manzi umeweza sana..dada ni mrembo sana..mlete kenya 🇰🇪 nim treat..❤❤

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie749010 ай бұрын

    Stivin amepatikana😂

  • @iamFestanny-tz
    @iamFestanny-tz10 ай бұрын

    Lakini huyo Dem huwa mrembo na mwenye figure sana❤❤huyo ni wangu Steve🥰🥰

  • @charlesobwori9887
    @charlesobwori98879 ай бұрын

    Kutoka Kenya kazi nzuri kaka

  • @mazaluxe
    @mazaluxe9 күн бұрын

    Dem ana sauti nzurii❤❤

  • @uzabakirihojpaul9934
    @uzabakirihojpaul993410 ай бұрын

    Steve unacekwa Sana kweri😃😃😃😃

  • @ugisingoma9397
    @ugisingoma939710 ай бұрын

    mwalimu heshima kwake 😂😂🙏

  • @simonwitila4653
    @simonwitila465320 күн бұрын

    Mwanafunzi roho JUU 😅 kamtongoza mwalimu mrembo shuleni😅😅

  • @langobayayouthcommediangro9482
    @langobayayouthcommediangro94829 ай бұрын

    Kila kitu niuamuz wa moyo kama madam asha penda hakuna noma nakubalu stv big up mm ni gunta from coast malindi

  • @YoungboyNeverBrokeAgain3845
    @YoungboyNeverBrokeAgain384510 ай бұрын

    Dah uyu jamaa bhn et "mamboo"😂😂

  • @boniphacefundisha7268
    @boniphacefundisha726810 ай бұрын

    Ila hawa walimu angewakazia kidogo tu wangeeleweka wanaeleweka kabisa😂😂😂

  • @issamlibwa9398

    @issamlibwa9398

    10 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kelvie346
    @kelvie3469 ай бұрын

    Dah hivi sasa nmependa mwalimu mkui

  • @noahkajinga7599
    @noahkajinga759910 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwalimu kaambiwa

  • @jonathanbrayson6946
    @jonathanbrayson694610 ай бұрын

    Stevu utafika mbali Sana pambana

  • @citizenmistik2258
    @citizenmistik22589 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂je ne comprends rien de cette langue mais j’ai aimé 🥰

  • @williamsongerson4882

    @williamsongerson4882

    9 ай бұрын

    William

  • @amadikitenge3409

    @amadikitenge3409

    9 ай бұрын

    Arrete 😂

  • @mwisenezajeandedieu1052

    @mwisenezajeandedieu1052

    7 ай бұрын

    C'est la langue de swahili

  • @rutinkuba3799

    @rutinkuba3799

    6 ай бұрын

    Une histories dramatical.

  • @user-mz5sd1fj7w

    @user-mz5sd1fj7w

    6 ай бұрын

    Il a dit qu'il aimait t,en enseignant mais pardon parce que je ne connais pas bien le français

  • @bernardkinanda-ep3zq
    @bernardkinanda-ep3zq9 ай бұрын

    huyo mwalimu namtafuta sana aiseee

  • @user-ff4tu7bd5d
    @user-ff4tu7bd5d27 күн бұрын

    Hapo kweli stev anacheza au anapigwa kwelikweli😂😂😂

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony108510 ай бұрын

    Hahahaha 😂 Stivin

Келесі