😂😂😂 mwaka tobe hatari nitakugeuza nini et ukitaka kuliwa unachokonolew na kidole 😂😂😂😂
@stevenmsigwa85155 ай бұрын
Unawakilisha vyema sana jina steve
@petroishirini_ngwanashijat57129 ай бұрын
Kwa jina naitwa PETRO ISHIRINI msanii wa nyimbo za asili kanda ya ziwa nazingatia maokoto Stive na mkubali pia mwakitobe hasa kwenye big boss ya clam vevo alafu kidawa kwenye fagio ulinifagia hadi mimi
Пікірлер: 436
Zingatia maokoto mganga😂😂😂😂😂 kama unamkubali Steve usipote bila kulike
Ila Steve anavyoanza kuongea, utasema hapa bora tumepata mtu wa maana😂😂😂😂. Kumbe mbele upuuzi mtupu yaan komedi ya Steve raha sana
Steve umewez na umechza kam pele kumleta mwakatobe upew maua yako🎉🎉🎉🎉
Steve mozes nafrai sna kua umeceza na mganga mwakatobe nawapenda sna❤❤❤
Makatobe tena na steve mweusi😂one love from🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂zingatia maokoto mwakatobe unaweza sana uganga
Naona wachawi wa Clam wanarudi huku Kwa Steve 😂😂😂😂
Mwakatobe ninatambua mchango wako kwenye industry 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwakatobe great job we mchumba zuchu tu wewe pamoja sana team mkuranga kwa kina hamadi kijicho stivu mweusi fatuma.
Mwakatobe we ni fundi sanaa😂
@GadKasanga-je6mi
6 ай бұрын
Sana
@mohammedkidody5618
6 ай бұрын
Kabisa
Mwakatobe you are the best actor 💪big up
Mwakatobe nakuona utakuwa Mbali Sana broo nakukubali Sana 🤝
Mwakatobe na Steve tena good job wadau big love from 🇰🇪
Steve tume subiriya commedy , vyoo vime jaa 😂😂😂😂 WE love you 🇨🇩🇨🇩
😂😂😂mganga mwakatobe fanya kazi yako nakuaminia sana😂😂😂😂😂😂maokoto yanazingatiwa😂😂😂😂😂penda sana ww
Steve umeniangusha umemaliza bila kutaja hamadi kijijo😂😂😅😅😅
@dejong360
9 ай бұрын
Hahahah
Mwakatobe in the house😂🤝
Steve nataka kufika Mkulanga😂😂😂😂❤
Mwakatobe😂😂😂😂😂😂, we zuchu tu, wakuru, wakurungaa
ILA MWAKATOBE ANA MANENO YA KIPUUZIIIII 🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka kujiunga nanyi jamani nifanyaje 😂😂😂 from South Africa 🇿🇦 naomba like na maua yangu😂😂😂
@ahadibenno9756
6 ай бұрын
Mauwa Utapata 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@paving-fs2go
6 ай бұрын
Nimependa
Hahaaaa zingatia maokoto maimuna ananuka shida😁😁😁😁😁
Eti minywele imemmnyonyoka kama kabeji la mia tano😂😂😂 mchongoano
Mwakatobe never disappoint 😂😂
Mwakatobe is the best actor ever....!!
Usitaje hilo jina unaniunguza😂😂😂
Steve huku Kenya tunakubali 😂😂😂😂
Mwakatobe Nilimkubali Mazimaaa kweny Big Boss Jamaa angekufa muvi yote ingeharibika
Jamn hiv uyu steven anayofamilia kwel maan 😂😂😂😂😂😂. Anafuraisha sana🎉🎉🎉🎉🎉
Steven ni mwizi kweli kweli nipe liké yangu hopo DR.CONGO🇨🇩🇨🇩🇨🇩
kumbe Steve mweusi ndo mwizi kabisa 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
steve nakuomba mwenywe unilike hapa,,,,best comedian nakubal xan xteve
Mwakatombe na steve mmetisha mbaya 😅😅😅😅😅
Steve to the world.🇰🇪🇺🇬
😂😂😂😂😂😂 mwakatobeee shikamoooo😅
😂😂😂😂ila Steve anasula ya wizi kabisa 😂😂😂😂😂
Fatuma wewe 😘😘😘 Hamadi kijicho ukowapi 😂😂😂
@FatumaKishasha-ph6ii
7 ай бұрын
😂😂
@GadKasanga-je6mi
6 ай бұрын
We seleman we sele
Kweli Leo Steve kaletewa mganga au VIpi onelove from damagemweusi tumpe Steve Maya,,,mfwwwe
Stevu we noma kaka
Stive mweusi my best actor Kwanza za shule
😂😂😂😂 Kilingeni kunanuka shida zingatia Maokoto 😂😂😂😂
Huyu mwamba mwakatobe anafanya picha inakua na mvuto sana. Unatakiwa ulipwe vzr maana wew ndo man of the match
Mgangaa uwachamba utaeza sema Asha boko😅😅😅😅
Il love your stive 🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunakupenda sn ❤
@VickyVictoire-rq8nv
9 ай бұрын
Thanks
Yani hii kz sijachoka kuiangalia kila wkt nairudia😂😂😂 mtafute mtafute wakurukaa nae😂😂😂
One love from Kenya 🇰🇪 😍 ❤️
Steve unanimaliza kinyama ulipo sina shaka ata nikiwa na hasra hapo ni full brudan 😂😂😂😂😂😂😂😂
Steven wewe nataka vunjika mbavu sababu yakucheka 😂😂😂😂😮
Steve naomba nipe namba ya uyo Dada mwenye kidoti
Steve n mwakatobe best actors much love from Kenya 😂😂😂❤❤❤❤
Steven mweusi mbwa kweli 😂😂😂
Ety boss zingatia maokoto 😂😂😂😂😂😂 kilingeni kuna shida
Binafsi, mwakatobe umetisha sana kk.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 stivu weye kkkkkkkkk uko kibumbafu kweli kkkkkkk
Kumbe mwakatobe anakuanga cute bila kujipaka rangi😂
Stive tuletee hamadi kijicho tumuone bhana
😂😂😂😂😂😂 Steve kapatikana
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪🤣🤣🤣🤣
Natamani kumwona Ahmad kijicho wallah😂😂😂😂😂
Kuna mmoja hapo nilijua amekufa kweli... Boss 😢😢😢
@DanielmashaGona
5 ай бұрын
Yes hoyo dogo amevaa black t-shirt aliaga dunia
Yaan hii timu, wote wanajielewa. Safi sana.
Nakubali steve tunakutak burundi
Steve ndo mwizi 😅😅😊😢😢😂😂
Mwakatobeeee, 😀😀 Wasafii, eyolaizer Abbah🤣🤣
@alexmgusi2534
9 ай бұрын
😂😂😂
Mwakatobe utafika mbali sana blazah,usikate tamaa mafanikio yanakuja taratibu
Mwakatobe tunakutambuaaaa😮😅.
Umetisha stev
Atimae zuchu n'a fatuma Leo wamekutana🤣🤣🤣
Huwaga nikiskia fatuma wewe najua kinachofuata ni arushiwe busu 😂😂😂😂
@dericko10
9 ай бұрын
😂 pia mimi kaka
Kinyago cha mpalule,kinaitwa Seleman,Seleman we sele,sele,waasafi,iyo nyzer Abaa...😂😂😂😂😂😂
Mwakatobe oyooo🤣🤣🤣🤣🤣
😂hahahaha stevu si ujiseme tutu jamaniiii
Mwakatobe a.k.a zingatia maokoto😂😂. Sauti ya Zuchu sura ya diamond😂😂
,😂 I said mwakatobeeee will go places
😂😂😂😂😂😂😂😂dah mmetishaaaaaa wazeee kifuatacho nikucheka Hadi mbavu zchokeeeeeeeeeeeeeeeeee
Steve 😂😂😂😂umeweza kwenye hio video hyo mganga latoka wapi anifunzie mth adabu jamani
Steve nakukubali bana YESU mbele🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
NAKUBALI sana mwakatobe. Niko mtwara Kuchele
Steve ana ua kinoma Yani ako vizuri unyama mwingi sanaaaaa na Mwakatobe naye kichaa 😂😂😂 Yani hapa chizi kapatana na mwendawazimu 🙌🏾 🙌🏾
Sijazaa Wacha kufanya hivyo😂😂😂😂
Ha ha ha ha umeomba kabisa kaka Steve🤣😂😂😂
🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂 jamni nimecheka Sana kwa hii
kinyago chenyesula yaunyago😅😅😅
Mganga noma sana😂😂😂😂
Wasafa,eyoolizer ,abhaa😂😂😂😂
Mwakatobe wewe uko na kipaji acha kutumiwa na clam vevo funguka bana.alafu Steve naskia anakuita fatuma duuh 😂😂😂
Steve umeingiza nzeve kuruka😂😂😂
Best comedy in Africa ❤
Mwaka tobe unatishaaa upo vzriii mwambaaa
Namkubali mwakatobe kinyama 😂😂😂😂
We nenda utanidai mm
😂😂😂😂😂 Eyooo lyzer... Mara C nine... #Mwakatobe Bhana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wasafii eyoo laizer 😂😂😂😂
Stev umetisha Sana kumchukua mwakatobe
😂😂😂😂😂😂😂stive balaa
.... Mwakatobe....roga huyo stivu mweusi....hey haiyaaa..
😂😂😂 mwaka tobe hatari nitakugeuza nini et ukitaka kuliwa unachokonolew na kidole 😂😂😂😂
Unawakilisha vyema sana jina steve
Kwa jina naitwa PETRO ISHIRINI msanii wa nyimbo za asili kanda ya ziwa nazingatia maokoto Stive na mkubali pia mwakitobe hasa kwenye big boss ya clam vevo alafu kidawa kwenye fagio ulinifagia hadi mimi
Chukua mauwa yako steve👍👍