Келесі
- 10:35
- 281 М.
- 9:07:11
- 928 М.
- 2 күн бұрын
- 00:56
- 10 МЛН
- 5 күн бұрын
- 00:30
- 51 МЛН
- 14 күн бұрын
- 00:16
- 104 МЛН
- 20 күн бұрын
- 8:01
- 319 М.
- 12:25
- 338 М.
- 11:49
- 542 М.
- 8:48
- 622 М.
- 9:33
- 678 М.
- 18:07
- 422 М.
- 9:46
- 220 М.
- 13:31
- 380 М.
- 0:47
- 3,6 МЛН
- 0:47
- 5 МЛН
Пікірлер: 233
Kama wew ni miongoni mwa mashabiki wa kubwa sana. Wa NDARO MJESHI KIKOFIA AND STEVE MWEUSI basi wew gonga like hapa twende mbele🥰🥰🥰
@user-nz7qu1ol3s
6 ай бұрын
saw
Kama unawakubali hawa vijana gonga like hapa 😂
From nairobi kenya manze Steve na ndaro nafurai Kazi enu sana mungu azidi kuwaogoza kila iiitwapo leo
Kazi nzuri Aziza Mungu akusaidie Dada anguu ufkie malengo yako 🌹🌷🌹💯♥️
kazi safi Steve hamna vidaa inanipita tangu mwanzo much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@symoatetwe7996
6 ай бұрын
Representing nairobi Japo leo camera quality iko law
Aseee ni noma bn wakuu🙌🏾🙌🏾
Liki ya Ndaro
@user-ky2ph2vo7c
6 ай бұрын
Vp
@karimuyahaya4068
6 ай бұрын
❤❤
@user-vj6gl6mt5j
6 ай бұрын
Kaka do voice
@ShadrackJeremiah
6 ай бұрын
Kwel
@ProsperAmad
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Wanangu sana kazi nzuri🔥🔥🔥
Good job bro 👍🏿👏🏿👏🏿🇨🇩💪🏼usikate tamaha yaki bro 👍🏼👏🏼 utafika unapohenda Mimi kama shabikiyenu👌🏿👌🏿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Fatuma tu njo naomba maana napenda wakati unasema fatuma wewe 😂😂 Mimi naitwa ezee from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Vituko vya ndaro na Steve wanafurahisha sana❤❤❤❤
Like para todos vocês.peço me like pelo menos 10 eu sou vosso fã aqui Mozambique 🇲🇿, Good your work all elmentes🎉.
Kali hio... REMMY ONE From Kenya watching live..
🙌🙌🙌 eti kusikia wali unavaa had cheni
From Dubai nawaona ndaro na stive kaxi tamu 👏👏
Good job brothers
Kazi nzuri kikubwa tu msije kutengana. Mkawa maadui tena 🔥🔥🔥🔥💯
Kazi nzuri sanaa ila ukague kabla ya kupost mana tittle ina error sana na mashabiki zako cyo wabongo tuu ko wanajifunza kiswahili kupitia nyinyi
Good job bu tittle jaman muwe mnazikagua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamaniii mbavu zangu mieeee Ndaro nakupenda bureee stivu unajua baba🙌🙌 hayaaa njeeeeee
Hajra yuko wapi siku hizi
Hahahaha am following from Burundi
Ndaarooo Na Stive hamuezi kuniangusha, take love from Burundi🇧🇮
Uwii haki ndalo na sitivu nawapenda mpaka basi 😂😂😂😂bado hawajasema mpaka waseme kina mandevu
😂😂 nzr
😂😂😂😂😂 ndaro muoga Steve ndio sanaaa😂😂😂😂
ongereni sana tunawafatilia sana kutoka hapa usa California
Mko vzr shida yenu kumaliza
Ndaro ft mweusi family 👪👪namndogowao sele👈
😂😂 naomba unijubu swalilang 🙏🙏 kwan A ninamb au heluf😂😂
Kumbe broiler wako na mbio 😂😂😂
Steve unaboesha na hilo kanzu lako but i always appreciate your comedy,,,,,,,nice job
Daro karibu 254 unapedwa
Mara nyingi Steve na ndaro umalizikaji wa move zao au vichekesho havifurahishi bado aanahitaji kujuwa namna ya kumaliza😊
Kaka unajua kk sikupingi
Nipeni likes za kina Ndaro na Steve bwanaaa
nmb 1
Kak kikwer unaweza bigabuu❤❤
Mm wa mwisho likes jaman
Et mungu akitaka kukupa hakuandikii barua 😂😂
Hahaha 🤣🤣🤣 safi san
Good sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 from mozambique
Ndugu yangu jambo
Tamba pande zetu pande zako hautambi😂😂
Nawakubali Sana Hawa jamaa jaman
Steve kwa michambo hujambo
Aaaa 😂 kudadeki yani nilikua nakunywa juisi mpaka nimepaliw hakiamung 😂😂😂😂😂
Wapili 🎉🎉🎉🎉🎉
Nisubirini nataka kwenda msalani nikakojoe,nikirudi ndo niwapatie sapoti.
Steve 😂😂😂😂😂😂😂😂😂man crazzy siku moja natamani nifanye ucheshi na wewe
Yamenifanya nicheke 😅😅😅 hadi chozi
Like Steve
Masters Wako Moto, Ndaro na Steve hiyo safiii
Aki mimi mutanimaliza nyie siku moja😂😂😂😂😂😂❤🇧🇮
Fatuma wewe just chilling 😂😂😂😂😂
Oyaaa big up wanangu wa burudani
😂😂😂
Hahaha Hawa viazi ni shida
Cjawahi pata like hiv huwa zina utamu gani familia 10 zinatosha
Niatari Steven 😂
Sema ng'weee
I always call these guys geniuses,, they are so creative and they appears us
@user-is6hj2pb9l
6 ай бұрын
🌹🌹🌹❤
One love from buja ville🇧🇮
Ndarooo eti unavaila cheni😂😂
Katika ma comédien wote tz Awa jama noma nawakubali asilimia 100% kwasababu wananipa faraja sana tena napitisha wakati wangu kwaajiliyao
Bien 🇨🇩
Sawa Steve na ndaro uwezo mwingi 🎉
Hiyo kali jomn
Haya majamaa n mashenzi na nusu
Naskiaga ukiwa wa kwanza ùnapewa likes lakini mbona sina likes
Hahahahha chenga saana ninyii
😂😂😂 sura Yako ndara ndio nini
Stev mwehu kbs nimecheka nusu machoz😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 chapati tamba pande zako pande zetu 😂😂😂😂😂
Nawapenda sana❤
mimi mkenya tunawapenda
Sura Yako ndara yangu😂😂😂😂😂😂😂
HAMADI KIJICHO. kesha tajwa tayri...😂😂😂
Fatuma wewe umpaa😂😂😂😂😅😅😅
Hahahahaha nakubali
Kwa mbaali nimeskia saut bibi ameyakanyaga 😂😂😂
Nimecheka yangu yooote😂😂😂
Fatuma ww mwaaaaaaaaa😅😅
Hiiii eti analia Steve bhana
Tamba pande zako pande zetu tautambii😅😅😂
Tamba pande zako 😂😂😂😂😂
Nyie ndaro ni hatari ,🤛🤛🤛
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂Dah
Pow nakupongeza kwa furahaa nendeleeni kutupa sheko
Hii wametisha Steve na ndaro😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭😭
Jamani Steve kidoti aliendaga wapi ?
😂😂😂😂😂😂😂kuku waliotaka kukimbia au waliokimbia, ila broiler wana mbio😂😂😂😂😂
Mbona umeanza vizuri unakuja kumalizia kijingajinga🤭😂😂😂steve
Lete kuku ndaro na Steve 😂😂😂
Ndaro na stive😂😂😂😂❤
Kalabhaye
😂😂😂😂 sura yako ndara yangu
Wajnga kwel😅😅😅😅😅😅
Kiekiekieee 😢
Hahaah...Steve tuletee hamadi kijicho